MKE WA TUNDU LISSU AWALIZA WATU, AELEZEA YALIYOMKUTA KWA MIAKA MITATU YA KUUGUZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #ChademaMedia #Chadema

Комментарии • 103

  • @nuhuhatibu1617
    @nuhuhatibu1617 4 года назад +10

    Yaani huyu mama kaongea kwa hisia sana na anaumia sana pole sana mama kwani hakuna mwanadam yeyote yule ambaye anaweza maumivu haya ila tumuachie MUNGU ndio ambaye atahukumu eee MWENZI MUNGU NAOMBA MWISHO MWEMA NISIJE NIKAWA MIONGONI MWA WATU WABAYA🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻

    • @MagdarenaLunyalula
      @MagdarenaLunyalula 8 месяцев назад

      Mungu mi mwamifu hakika hamtagarikishwa mungu atawalinfa

  • @atiliogisanganga3964
    @atiliogisanganga3964 4 года назад +2

    Mama wa kazi uko vizuri wewe ni mke mwema Mungu akupe moyo huohuo wa hekima sisi hatuwaachi .tunakwenda na lisu tutamaliza na lisu

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 4 года назад +17

    Wapo wanaombeza Lissu,but if not today..it's tomorrow!..he must be the greatest leader!

  • @jacobmayalla5698
    @jacobmayalla5698 4 года назад +9

    Pole Malkia wa Tanzania,Umepambana Sana,hakika unafaa kuwa Malkia na ninaamini,Utamshauri vizuri Mfalme!!!!?

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 4 месяца назад

      Malikia gan au malkia wa manyumbu? Hahahaaaaa keeeenge

    • @ULUMBIADAM
      @ULUMBIADAM 4 месяца назад

      K,wewe

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +5

    Mamma yetu wa Tz aliye tuuguzia kipenzi chetu Mhe Tundu Lisu Mungu akupe baraka zaid kwa mahaba makubwa zaid juu ya Rais wetu Mhe Tundu Lisu ❤❤❤❤❤

  • @shukranisekaga9609
    @shukranisekaga9609 4 года назад +6

    Mwanamke jasiri sana ww, nakupenda sana first lady! Unaosha!

  • @rebecashumbi3450
    @rebecashumbi3450 Год назад +1

    Jina la Yesu lilimuokoa mmeo nawashauri mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu tulimuombea mweshimiwa poleni Yesu yuko kazini tuliomba kuokoka ni vizuri mpeni YESU maisha yeni mama pole poleni sana

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 6 дней назад

    Mungu ni mwema sana kwa Familia yenu msikate tamaa

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 4 года назад +4

    She a real strong 💪 woman💃👩, Much blessing to you mom.

  • @amanijoel3924
    @amanijoel3924 4 года назад +5

    It wasn’t easy.... it’s not easy ..... we still have long way to go but there is a hope . Through the cloudy ⛅️ I can see an open window ... penye nia pana NJIA ....watching & following you from the 🇺🇸 But Tanzania 🇹🇿 is my home

  • @hassansamo6823
    @hassansamo6823 4 года назад +3

    Tunaomba mola lissu afanikiwe insha allah

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 4 года назад +11

    Rais wetu lissu 🙏 umeshapita

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 4 года назад

      Dua za kuku

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      Katwiga Yona kwan ww nani.. paka uone ina shindikan... mbn mlimuombea afe lkn ni mzima wa afya... nyie wajinga tu tutawaonyesha

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 4 года назад +6

    Asante sana First Lady wetu

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 4 года назад

      Mnajua mlichokoza boss wenu. Mnataka Italia kwa kufanya ujanja ujanja muonewe huruma na mambo yote mlipanga wenyewe. Mnadanganya bongo lala siyo werevu. Mnajuliakana mipango yenu. Tamaa bin Tamaa

    • @simonfundi3609
      @simonfundi3609 4 года назад

      Dorah Y huruma za Mungu zinatutosha hatuitaji izo za maccm

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 4 года назад +12

    Unatetea wanyonge saf kabisa

  • @murugaisaya6681
    @murugaisaya6681 4 года назад +2

    It's painful hongera sana mama we shujaaa

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 4 года назад +2

    Hongera sana my wifi love u.

  • @simonmdulla8051
    @simonmdulla8051 Год назад +1

    Mungu.akutie.nguvu.mama.endelea.kua.hivyo.

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 3 месяца назад

    Duu mungu yupo msjaribu ni sehemu ya binadamu waliofanya haya mungu anawaona

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 2 месяца назад

    Poleni sana

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforce 4 месяца назад

    Madam Lissu,we love you.Pole sana.

  • @jonathanmundeda9714
    @jonathanmundeda9714 Год назад +1

    Pole sana na familia yako mama

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 4 года назад +4

    Mara pah'Antipasu ikulu ....yaan kuna watu sijui wataenda kuishi nchi ipi maan mzik wake hapatosh ...

    • @izackhongoli4017
      @izackhongoli4017 4 года назад

      apo ukubali ukatae akipta lisu nakuingia ikulu vita inaanza amini nakwambia

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 4 года назад

      We endelea kuota na otakaaposhwa ukiamka ukafungue milango ya ikulu

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад

      Hiiiiiiii tutawakojolea mdomoni hao mubwaa

  • @sebastiankessy1015
    @sebastiankessy1015 4 года назад +3

    Dah pole Kwa Yaliyo kukuta

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 Год назад

    Mama usiwashukuru watu,mshukuru Mungu aliemshindia na kumuepusha na kifo

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 4 года назад

    Aliyempiga risasi ipo siku. Mungu ni mwema na muadilifu, hasahau, hali, hanywi, anampururia. Ipo siku yake

  • @faustinendama2304
    @faustinendama2304 4 года назад

    Pole sana

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 4 года назад +1

    Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya -
    Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___
    1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea.
    2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani.
    Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ?
    Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani?
    3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ?
    4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ?
    Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi?
    5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .?
    kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi.
    Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao?
    Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu.
    6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi?
    7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini?
    8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ?
    9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu?
    10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ?
    Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi.
    11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.?
    Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani?
    KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO.
    BWANA YESU ASIFIWE !
    CCM OYEEE !!

  • @shebymnazi3530
    @shebymnazi3530 4 года назад

    Mwenyezi Mungu atalipa kwa yote aliyofanyiwa kiumbe chake tundu lisu tunaamini ivyo

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 4 года назад

    Inauma sana Kwa binadamu kumfanya mwenzako kama mnyama wa polini mungu atawalipa Kwa yote

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 4 года назад +1

    Wapinzani hasa chadema na Act kama mtawachekea hii Tume ya ccm watawatesa sana lakini ngumi jiwe ndo itaondoa huu upumbavu ya mungu mtu

  • @Omarimakuka
    @Omarimakuka 9 дней назад

    Hana cha maana

  • @drtobias_
    @drtobias_ 4 года назад

    Chadema Tunaomba SERA JAMANI

    • @mcjogopah8513
      @mcjogopah8513 4 года назад

      Kwani Lazima, uje huku ambako hakuna Sera? Au wewe ndie wale wasiojulikana?

    • @drtobias_
      @drtobias_ 4 года назад

      @@mcjogopah8513 ndugu yangu tusigombane ,sijasema hivyo kwa Nia mbaya,Hii Ni hamu tu ya kumwona Lissu akiwa IKULU

    • @zacijoe3772
      @zacijoe3772 4 года назад

      Mbona Lisu kamwaga sera au umekuwa kipofu

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 4 года назад +2

    Inasikitisha

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 10 месяцев назад

    Lakini amesema ubavu wangu , kwani nisawa kweli nani hapo ndie ubavu wa mwenzake kati ya lisu na mkewe?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Mkulya sura mbaya shapeless

  • @octavianadolph4577
    @octavianadolph4577 4 года назад

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    RIP LISSU

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 4 года назад

    Mmmmh, nao wanalia hawana wa kulilia

  • @mussamapesa5632
    @mussamapesa5632 4 года назад +3

    Tutamuomba magufuli ampe kazi mumeo ili na ww upate utulivu maana unaonekana mumeo anakutesa sana

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 8 месяцев назад

    Safisana

  • @denismakono197
    @denismakono197 4 года назад +2

    Kwan tunaomba history ya maisha yako umekufa au mwanga Sera unishawish lakin najua rais anajulikana in magufuli upo mama

    • @mohdhassan8763
      @mohdhassan8763 4 года назад +1

      wovu wakumwa jiji kazienu mbropa nganda

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      Ww acha kuongea kama mtu unae kosa hoja... kwan hujui nani ndy msema sera saiv wa chama...😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tatizo watu wa sisim sio smart kbs mnafanya mambo kwa mazoea

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +4

    Sera sera tunataka......... sio kuomba huruma........

    • @hijakisoro5376
      @hijakisoro5376 4 года назад +1

      Sera na hamani broo kua care

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 года назад

      kweli

    • @johnsonmarick45
      @johnsonmarick45 4 года назад +1

      Wewe utampa huruma, au sifa

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      Yan watu wa sisim bhn.. 😂😂😂😂 nyie mizik ndy sera sera..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm ww hata siku chekei nakutukan ww ni mjinga na utoke kweny ujinga... au umetuma... sasa kwa taarifa yako hakuna mtu anaongea sera saiv tofauti na MGOMBEA URAIS BASI NA SIO MTU MWNGN FALA WW

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 месяца назад

    Huwa nacheka sana nikiwaona waigizaji kama huyu mama! Ulijichelewesha sana kuolewa na chozi anayepinga kila kitu! Hiv mtawaambukiza na watoto ujinga kama huo mlionao poleni sana!

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 3 месяца назад

    Mnafiki kama mumeo hats ubalozi was nyumba kumi hapati

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 4 года назад +2

    Magufuli anatuletea upumbavu was kitoto lazima aondoke. Kwa kutuletea vitendo vya kihuni akili zake taahira kutumia shooting act no good

    • @yusufuvea5311
      @yusufuvea5311 4 года назад

      Utaondoka ww na mamazako Magufuli ndiye wa Tz maumbwa nyie

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 4 года назад +1

      Eti aondoke ,,wewe ni kagonjwa ka akili

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      yusufu vea ndy umemaliza hapo.... mjinga mkubwa ww kwani yy nani paka asiondoke huyo magufuli yan amefanya nn toka aingike au kuongeza DENI LA TAIFA KAPA WATT HATUZA ZAA TUNATAKIWA KULIPA

    • @yusufuvea5311
      @yusufuvea5311 4 года назад

      @@jevinjacob5439 kwani ww tangu uzaliwe umefanya nn mpaka ulipo unakua kama shoga bhana,, kwani we ni kipofu huoni si aliyoyafanya

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      yusufu vea mashoga wanatambuana aise... mm sijaona kila kitu huwa kina fanywa hvy hvy na marais wote toka uhuru na hata wakoloni walifanya

  • @deodatusideostusi627
    @deodatusideostusi627 4 года назад

    Baba I

  • @jamhurramadhan3707
    @jamhurramadhan3707 4 года назад

    Hiyo nihadis yk tukiruhusu kila moja aimuliye majaribu aliyo pitia sijuw na atakuwa rais mana kila moja atakua na matatizo makubwa zaid

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 3 месяца назад

    WEWE MBONA UNAUSO KAMA UNA PULIZA MOTO ALIPIGWA RISASI KWA SABABU YA KUTAKA KUTU SHAWI TUOWANE WANA UME KWA WANAUME NA WANAWAKE 2 KAMA NA WEWE NI MOJA WAO BASI MTAKAASANA BASI TAFUTE KAZI NYINGINE ZA KUFANYA AO NJOONI HUKU MIRERENI TUCHIMBE MADINI BLOCK C ASANTE SANA FATA USHAURI WANGU

  • @yusufuvea5311
    @yusufuvea5311 4 года назад

    Sera hamna kila siku risasi risasi,,, mmekwisha nyie

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 4 года назад +1

    Wewe ni kamanda, wewe ni malkia wa nguvu

  • @hassannanji3564
    @hassannanji3564 4 года назад

    Leteni sera sio kila siku kuhubiria kupingwa risasi.hizi stori zinachosha.You think you are going to win election by using this agenda.it's nonsense.absurd.I believe JPM will emerge winner by 85 percent of votes before 10.00 am

  • @subiraabeid588
    @subiraabeid588 4 года назад

    Pole sana mama lakini lisu kula yangu simpi

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 4 года назад

      Kwa iyo hutaki kujua habari za risasi daa we kweli ni fisiam

    • @bensonzabroni1809
      @bensonzabroni1809 4 года назад

      Tunaweza kushinda but kama hatutaeleza lengo la kugombea tutashindwa tunahitaji sera sasa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +1

    Ubavu wa risas tunajua sasa mwagen sera story nying za nn

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 4 года назад

      Ata kupigwa risasi pia ni sera tena kubwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Sura mbaya ya kikulya

  • @nebartmuyagala9545
    @nebartmuyagala9545 4 года назад +3

    Historia tulishaisikia tupe sera mama baada yakufikilia kuchukua hii inchi pamoja nakua nindoto ya mchana

  • @jandpelectronics363
    @jandpelectronics363 4 года назад

    SIMLIJIFANYA MTAANDAMANA KUDAI HAKI ZENU KUTEULIWA WALIOFYEKWA NDIPO MUANZE KAMPENI !!!!MBONA HAMUANDAMANIIIIIII??????

    • @gizakazeno1688
      @gizakazeno1688 4 года назад

      Alijifanya mjanja anajua sheria kumuwekea mwamba pingamizi ya kugombea urais,,, sasa watu wakaona isiwe tabu wakamwaga mbga kabisaa fyekelea mbali wagombea ubnge na madiwani...anatafuta jina kupitia jina la mwamba jpm

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 4 года назад

    What's WOMEN?? _Is way organising men

  • @kibwanaMAlly
    @kibwanaMAlly 4 года назад

    Inahusiana nanin sasa .

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 4 года назад

      Kwan ww unatutakia nn... mbn wambea watu wa sisim, hofu yenu mnajua kuwa mnatetea uwovu... labla ni kwambie tu umasikin hauondoki kwa kujifangany sisi wenyw.... sisim imefanya nn kweny hii nchi toka 59 hakuna ambacho tuna jivunia ni kizur sio umeme, barabara, maji na biashara.. usiongee kwa ushabiki mjinga ww

  • @mwanasaid6177
    @mwanasaid6177 4 года назад +1

    Sasa habari za risasi sisi za nini?

    • @abdulrahmansalim9773
      @abdulrahmansalim9773 4 года назад

      Kama baba yako ingelikuwaje . Magufuli hafai akili zake taahira mpumbavu was kuileta mafundisho ya shooting act mjinga mwizi bustard

    • @mwanasaid6177
      @mwanasaid6177 4 года назад +1

      @@abdulrahmansalim9773 mpumbavu mwenyew mbwa wewe habari za magufuli zimekujaje hapa?kwanza unaanzaje kumtukana kiongozi wa nchi? Ww ipo siku mdomo utakuponza

    • @agustinopaulo3650
      @agustinopaulo3650 4 года назад +1

      Mweshimiwa lisu umesahau wapi nchi yetu ina rasmali nying sana ikiwemo madini y aina nying,hifadhi ya wanyam, maziwa, na megineo mengi vya kuingiza kipato serikali unashidwa nini kusema kila mtanzania aliyefikishwa umri wa miak18 anastahili kila mwish w mwezi apate fungu fulan y hela kweny hudum y benk ili kila mtanzania a enjoy matunda y nchi yake hii ni sehem moja wapo y kupunguza umaskin nchin kwa asilimia kubwa san

    • @hassansamo6823
      @hassansamo6823 4 года назад

      Jiulize senge ww

  • @adenadolph1951
    @adenadolph1951 4 года назад

    Magufuli rais asubuhi na mapema kabisa atatangazwa,NGARA CCM NGARA.....JPM 4 ALL 2020