Ni lini mtoto wa africa ataenda kuifanyia uchunguzi nchi za ulaya au kupewa takwimu za nchi za ulaya hasa zinavyofanya mauji siri kwa viongozi wa africa na jinsi gani wanatuibia rasilimali asili yetu ni lini mtu mweusi ataweza kumiliki uchumi wetu bila uchumi tegemezi ndio mada tunataka wasihamishe akili zetu wameweza kufadhili mambo haya kuliko maslahi na uchumi wa kujitegemea au siasa tegemezi
Upo vizuri baba tunataka ndugu zetu warudi❤❤ na mungu atakubariki❤❤❤❤❤
Hongera sana umesema ukweli mtupu mashaAllah
Ni lini mtoto wa africa ataenda kuifanyia uchunguzi nchi za ulaya au kupewa takwimu za nchi za ulaya hasa zinavyofanya mauji siri kwa viongozi wa africa na jinsi gani wanatuibia rasilimali asili yetu ni lini mtu mweusi ataweza kumiliki uchumi wetu bila uchumi tegemezi ndio mada tunataka wasihamishe akili zetu wameweza kufadhili mambo haya kuliko maslahi na uchumi wa kujitegemea au siasa tegemezi