JINSI KAMANDA MURILO ALIVYOCHANGANYA MAFAILI AKIHOJIWA NA CHEIF ODEMBA AKIRI SWALA UTEKAJI UPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 31

  • @yonahizza-o8z
    @yonahizza-o8z 46 минут назад

    Wte. Nyie wa2 ni watu muhimu sana @chif odemba unagusa sana nyoyo zetu maana unatufikishia ujumbe ngazi za juu Sana ambazo sis hatuwezi gusa huko! Hekma/utulivu/na elimu mingi inatumika ktk kuuliza maswali..na hiii inagusa miyoyo yetu maana unauliza maswali yaliyo mioyoni mwa wengi! Fact🤝🙏..ikipatikana nafasi zaidi ya hapo tuna tamani kuskia au kuona mAzungumzo yko na mh: mkuu wa majeshi @amir jeshi mkuu wa nchi yetu atujibu hapo maana maswali Yako niyetu/nchi hii ni ya watanzania wte..tunayo haki kuhoji/kujua yanayo endelea ndani ya nchi yetu pendwa tz Asante....
    Mungu akuinue zaid ya hapo🙏🙏

  • @AwatifSharif-j1n
    @AwatifSharif-j1n Час назад +1

    Muliro mitano tena !! Uhakikaa 👍

  • @Mpakele
    @Mpakele 2 часа назад +1

    Angewakamata washikaji waliomteka ili baadae wawajibike. MUONGO AU HAWAJIBIKI KWA MAANA alieleza wanajulikana.
    Na kama kudanganya kutokana na maelezo ya mwanzo, kwanini hajapelekwa mahakamani Kwa KUDANGANYA

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o Час назад

    Jumanne mulilo ni kamanda hodari sana nilimjua alipokuwa tarime mara ila ata yeye anaona aibu kwa jins police wanavyofanya ni maagizo ya mamlaka

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 3 часа назад +1

    Ule mwenye kiti ya uvccm bukoba alivyokua anajigamba mbele ya polisi kua mtu akipotea msihangaike kumtafuta mshawah ata kumchukulia hatua yeyote ile?😊

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 3 часа назад

    Afande Muliro jamani mbona anajibu utumbo 💃🏾💃🏾💃🏾

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 3 часа назад +1

    Vyama mbali mbali mbona wa ccm hajawahi potea ata mmoja?nitajie kiongozi ata mmoja wa ccm mwenye ashawah kupotea

  • @rodrigoChiduo-s1l
    @rodrigoChiduo-s1l 2 часа назад

    Mmm watekaji ununio kila kitu ununio duuu mtz amka vizuri

  • @RegnaLeonard
    @RegnaLeonard 3 часа назад

    Yaani anavyojibu ukimwangalia unaona kabisa amesha choose side which haikubariki

  • @ferdinandikubila3669
    @ferdinandikubila3669 2 часа назад

    Huyu ndiye ananiita Kamanda na anakijibu kirahi rahisi tuu.

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 Час назад

    Mtamionea Muliro ndugub,zangu,huyu ni mtu smart sana lkn afanyeje sasa kwa mfano,mnataka aseme nini sasa kwa mfano?

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 3 часа назад

    Uyuu murirooo anakiburii Sanaa anavyo onaonekana

  • @MedardLutelemba
    @MedardLutelemba 2 часа назад

    Hawa watu nani huwa anawateua na wanatumia vigezo gani maana hili jamaa linajibu kimandazi

  • @knight6757
    @knight6757 3 часа назад

    🤔

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 Час назад

    Yeye anafuraha.

  • @RegnaLeonard
    @RegnaLeonard 3 часа назад

    Kwanza anauwezo kabisa anavyojibu

  • @TostauFelix
    @TostauFelix 2 часа назад

    Sura ya uongo utaiona...nikakojoe nilale mie

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 3 минуты назад

    Huyo kamanda ni mwongo kupita kawaida

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 2 часа назад

    Dunia simama nishuke

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 44 минуты назад

    Afande hajazoea kujibu maswali magumu toka kwa vyombo vya habari huru..Amezoea kutoa press release bila kuizwa tougher questions.That is why he has been stumbling,fumbling,mumbling throuhout interview.

  • @Mpakele
    @Mpakele 2 часа назад

    Kama alitekwa na washikaji. Kwanini hakuwakamata

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 3 часа назад

    Sasa kwa maana hiyo unatushauri nini pale askari anapokuja kukukamata na hana sare za polisi tumpge mawe?maana

  • @Steveminde
    @Steveminde Час назад

    HOVYO KABIA DAQQQQQQQ😅😅😅😅

  • @eustacefordranger1174
    @eustacefordranger1174 2 часа назад

    mbumbumbu huyu,yaan huyu hajui majukumu yake..

  • @EvansKabandi
    @EvansKabandi 3 часа назад

    Muliro kolo tu

  • @omarikhalfan1079
    @omarikhalfan1079 2 часа назад

    Mzee muliro umeupiga mwingi huyo mtangazaji haeleweki ana mlengo gani

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 52 минуты назад

      Huyo afande amesindwa mujibu maswali Kwa ufasaha.Ni ubabaishahi tu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 35 минут назад

      Ulitaka mtangazaji awe mlengo gani,

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 48 минут назад

    He is talking absolute nonsense.It amounts to q bunch ou lies and outraegous nonsense.Stop this kind of hypoctical nonsense.

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 55 минут назад

    Ufafanuzi hafifu sana huu toka kwa kamanda.Anaongea siasa badala ya utaalamu.Jeshi hili linapaswa kuvunjwa na kupangwa upya kabisaaa.Wakajifunze marekani namna FBI inavyofanya kazi.