Wte. Nyie wa2 ni watu muhimu sana @chif odemba unagusa sana nyoyo zetu maana unatufikishia ujumbe ngazi za juu Sana ambazo sis hatuwezi gusa huko! Hekma/utulivu/na elimu mingi inatumika ktk kuuliza maswali..na hiii inagusa miyoyo yetu maana unauliza maswali yaliyo mioyoni mwa wengi! Fact🤝🙏..ikipatikana nafasi zaidi ya hapo tuna tamani kuskia au kuona mAzungumzo yko na mh: mkuu wa majeshi @amir jeshi mkuu wa nchi yetu atujibu hapo maana maswali Yako niyetu/nchi hii ni ya watanzania wte..tunayo haki kuhoji/kujua yanayo endelea ndani ya nchi yetu pendwa tz Asante.... Mungu akuinue zaid ya hapo🙏🙏
Angewakamata washikaji waliomteka ili baadae wawajibike. MUONGO AU HAWAJIBIKI KWA MAANA alieleza wanajulikana. Na kama kudanganya kutokana na maelezo ya mwanzo, kwanini hajapelekwa mahakamani Kwa KUDANGANYA
Afande hajazoea kujibu maswali magumu toka kwa vyombo vya habari huru..Amezoea kutoa press release bila kuizwa tougher questions.That is why he has been stumbling,fumbling,mumbling throuhout interview.
Ufafanuzi hafifu sana huu toka kwa kamanda.Anaongea siasa badala ya utaalamu.Jeshi hili linapaswa kuvunjwa na kupangwa upya kabisaaa.Wakajifunze marekani namna FBI inavyofanya kazi.
Wte. Nyie wa2 ni watu muhimu sana @chif odemba unagusa sana nyoyo zetu maana unatufikishia ujumbe ngazi za juu Sana ambazo sis hatuwezi gusa huko! Hekma/utulivu/na elimu mingi inatumika ktk kuuliza maswali..na hiii inagusa miyoyo yetu maana unauliza maswali yaliyo mioyoni mwa wengi! Fact🤝🙏..ikipatikana nafasi zaidi ya hapo tuna tamani kuskia au kuona mAzungumzo yko na mh: mkuu wa majeshi @amir jeshi mkuu wa nchi yetu atujibu hapo maana maswali Yako niyetu/nchi hii ni ya watanzania wte..tunayo haki kuhoji/kujua yanayo endelea ndani ya nchi yetu pendwa tz Asante....
Mungu akuinue zaid ya hapo🙏🙏
Muliro mitano tena !! Uhakikaa 👍
Angewakamata washikaji waliomteka ili baadae wawajibike. MUONGO AU HAWAJIBIKI KWA MAANA alieleza wanajulikana.
Na kama kudanganya kutokana na maelezo ya mwanzo, kwanini hajapelekwa mahakamani Kwa KUDANGANYA
Jumanne mulilo ni kamanda hodari sana nilimjua alipokuwa tarime mara ila ata yeye anaona aibu kwa jins police wanavyofanya ni maagizo ya mamlaka
Ule mwenye kiti ya uvccm bukoba alivyokua anajigamba mbele ya polisi kua mtu akipotea msihangaike kumtafuta mshawah ata kumchukulia hatua yeyote ile?😊
Afande Muliro jamani mbona anajibu utumbo 💃🏾💃🏾💃🏾
Vyama mbali mbali mbona wa ccm hajawahi potea ata mmoja?nitajie kiongozi ata mmoja wa ccm mwenye ashawah kupotea
Mmm watekaji ununio kila kitu ununio duuu mtz amka vizuri
Yaani anavyojibu ukimwangalia unaona kabisa amesha choose side which haikubariki
Huyu ndiye ananiita Kamanda na anakijibu kirahi rahisi tuu.
Mtamionea Muliro ndugub,zangu,huyu ni mtu smart sana lkn afanyeje sasa kwa mfano,mnataka aseme nini sasa kwa mfano?
Uyuu murirooo anakiburii Sanaa anavyo onaonekana
Hawa watu nani huwa anawateua na wanatumia vigezo gani maana hili jamaa linajibu kimandazi
🤔
Yeye anafuraha.
Kwanza anauwezo kabisa anavyojibu
Sura ya uongo utaiona...nikakojoe nilale mie
Huyo kamanda ni mwongo kupita kawaida
Dunia simama nishuke
Afande hajazoea kujibu maswali magumu toka kwa vyombo vya habari huru..Amezoea kutoa press release bila kuizwa tougher questions.That is why he has been stumbling,fumbling,mumbling throuhout interview.
Kama alitekwa na washikaji. Kwanini hakuwakamata
Sasa kwa maana hiyo unatushauri nini pale askari anapokuja kukukamata na hana sare za polisi tumpge mawe?maana
Yes
HOVYO KABIA DAQQQQQQQ😅😅😅😅
mbumbumbu huyu,yaan huyu hajui majukumu yake..
Muliro kolo tu
Mzee muliro umeupiga mwingi huyo mtangazaji haeleweki ana mlengo gani
Huyo afande amesindwa mujibu maswali Kwa ufasaha.Ni ubabaishahi tu
Ulitaka mtangazaji awe mlengo gani,
He is talking absolute nonsense.It amounts to q bunch ou lies and outraegous nonsense.Stop this kind of hypoctical nonsense.
Ufafanuzi hafifu sana huu toka kwa kamanda.Anaongea siasa badala ya utaalamu.Jeshi hili linapaswa kuvunjwa na kupangwa upya kabisaaa.Wakajifunze marekani namna FBI inavyofanya kazi.