Pambalu Awasha Moto Suala la Utekaji Nchini, Awasha moto pia kwa Bunge Kushindwa Kujadili Utekaji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Amezungumza haya wkaati akichangia mada kwenye kongamano la matukio ya watu kupotea nchini Tanzania ambalo limeandaliwa na TLS.

Комментарии • 7

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 Час назад +3

    Umeongea vizuri Sana MUNGU Akubariki Sana

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Час назад +3

    Ndugu hapo ninaona unahubiri hadi machozi yamenitoka. Kweli tutaulizwa na Mungu kile tulichokifanya.

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 3 часа назад +2

    Bravo MWABUKUSI.

  • @WakwetuTz-g7i
    @WakwetuTz-g7i 6 минут назад

    Ndugu zangu ambao mwenyezi mungu amewajalia kushiriki mdahalo huu hebu tuache unafiki tulisaidie hili taifa nawaombeni sana.

  • @SeciliaKasian
    @SeciliaKasian 39 минут назад

    Wewe unaesema kwanini watekwe viongozi wachadema chadema ndio inayo watikisa watawala ujuehivo

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 3 часа назад +1

    Kwanini wapotee viongozi wa Chadema tu ?? Katiba mpya inahitajika

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Час назад

    Pambalu amna ktu