Pambalu Awasha Moto Suala la Utekaji Nchini, Awasha moto pia kwa Bunge Kushindwa Kujadili Utekaji
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Amezungumza haya wkaati akichangia mada kwenye kongamano la matukio ya watu kupotea nchini Tanzania ambalo limeandaliwa na TLS.
Umeongea vizuri Sana MUNGU Akubariki Sana
Ndugu hapo ninaona unahubiri hadi machozi yamenitoka. Kweli tutaulizwa na Mungu kile tulichokifanya.
Bravo MWABUKUSI.
Ndugu zangu ambao mwenyezi mungu amewajalia kushiriki mdahalo huu hebu tuache unafiki tulisaidie hili taifa nawaombeni sana.
Wewe unaesema kwanini watekwe viongozi wachadema chadema ndio inayo watikisa watawala ujuehivo
Kwanini wapotee viongozi wa Chadema tu ?? Katiba mpya inahitajika
Pambalu amna ktu