🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • 🔴#BREAKING: MZEE MAGOMA AFICHUA MAMBO MAZITO -"NATAKA WANIKABIDHI OFISI YANGU"-ATANGAZA MSIMAMO WAKE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 233

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @salimmohamed3394
    @salimmohamed3394 Месяц назад +7

    Mzee anadharauliwa likini ukimsikiliza sana anakitu

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 Месяц назад

      Hakika mwana tatz wengi wapo kumtusi na sio kuelewa nin hoja zake ,hili ni jamb la kukaa pande mbili na kudil nalo kwa pand zot mbili

    • @jamesbakera2135
      @jamesbakera2135 Месяц назад

      Fact

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Месяц назад +3

    Msikilizeni Mzee Magoma nyie walamihogo. Mzee ana points

  • @PachangaPachanga-tv9hn
    @PachangaPachanga-tv9hn Месяц назад +5

    nakukubali sana mze wangu endelea kuwanyoosha mpaka waseme

  • @clementkonda139
    @clementkonda139 Месяц назад +2

    Safi Santa malipo hapahapa Duniani🎉🎉💥💪💯

  • @krispinkisanga3261
    @krispinkisanga3261 Месяц назад +5

    Ukiweka ushabiki pembeni ukilichukua hili kwa kina huyu mzee ana hoja ya msingi sana

    • @mskJr1993.
      @mskJr1993. Месяц назад

      Ndio maana ameshinda kesi

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Месяц назад +7

    Huyu Mzee uzee dawa very intelegency anakili msi mdharau km mnavyo mdharau.

    • @abubakarali6363
      @abubakarali6363 Месяц назад

      @@jimmymhina1264 kwa maslahi y a timu na Hali ya kuitembeza bakuli tuliyopitia hakutakiwa kuleta chokochoko hizo

    • @revocatuspaulo6716
      @revocatuspaulo6716 Месяц назад

      Huo ukuma kampe fala nyie

  • @agustinoshechambo8122
    @agustinoshechambo8122 Месяц назад +2

    Huyu mzee Juma Magoma ana akili nyingi sana.

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Месяц назад +5

    Mzee magoma amegusa maslahi ya akina Ali kamwe ndio maana wamekuwa wakali 😂😂😂

  • @JohnKeya-b8d
    @JohnKeya-b8d Месяц назад +7

    Jambo hili liishe kwa amani ili timu yetu iendelee kufanya vizuri kwenye mashindano yaliyo mbele yetu, MUNGU atusaidie

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Месяц назад

      Lazima apozwe huyu mzee ndio mambo yataisha laa sivyo hali ni ngumu

    • @salehhemed9388
      @salehhemed9388 Месяц назад

      Kawashika pabaya

    • @salumjuma3152
      @salumjuma3152 Месяц назад

      Apewe rushwa au
      Au apewe club
      Kama umarufu kashapata atuache tupumue pumbavu kabisa

    • @EDDYVINS-u6c
      @EDDYVINS-u6c Месяц назад

      Mzee Yuko sahihi
      Sana uwezi Kula pekee yako
      Hao ndio wenye timu Yao
      Umekuja ila timu umewakuta
      Wenyewe wenyewe ndio hao usiwaache
      Engenia Akirudi akae nae Mzee vizuli

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад +3

    Mzee yupo vizuri mnoo, hakurupuki kujibu hoja. Hakika ana kitu asikilizwe.✌️

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Месяц назад

      Mchawi tu huyo hana lolote

  • @hassanjalikazi6754
    @hassanjalikazi6754 Месяц назад +1

    Mzee uko sawa kabisa

  • @yusufhussein5654
    @yusufhussein5654 Месяц назад +3

    MZEE MAGOMA YUKO SAHIHI ANADAI HAKI YAKE HII CLUB AMETOKANAYO MBALI SANA MPENI CLUB YAKE KAMA MNAONA HAYOKO SAWA NA NYINYI NENDENI MAHAKAMANI MKAKANUSHE HICHO ANACHO KIDAI SIO KULALAMIKA KWENYE MITANDAO MNAFIKIRI KWENYE MITANDAO NDIO KUNATOA HAKI

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад

    Mwandishi uko vizuri

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад +4

    Huyu mzee anajua yanga nje Ndani siyo hoyahoya

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 18 дней назад

    "Yes right " (that's right)😂😂

  • @SaidaShaban-wy8ub
    @SaidaShaban-wy8ub Месяц назад +3

    Fact huyu mzeee anakitu wallah 😂 sema sisi wabishi tunaonekanaga hatuna points😅😅

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Месяц назад

    Mzee kichwa sana

  • @MAMBIJUNIOR-qy2xz
    @MAMBIJUNIOR-qy2xz Месяц назад

    mzee magoma atengenezewe sanamu pale jangwani

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Месяц назад

    Ofis hipi kwa kipato kipi.mjinga sana.kesi ndo.inaongoza nchi au pesa.kwanza hupo na elim.gan?

  • @saidbhanji4234
    @saidbhanji4234 Месяц назад +3

    Alaaa kumbe ni mambo ya katiba ndio maudhui yenyewe.

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 Месяц назад +3

    Mzee tulia muda ushaenda sana acha watu wafanye kazi muda wa majungu ulishapitaga

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад +3

    Huyu mzee anajua anachokipambania na hatanyamaza..
    Kwenye swala la haki kwa unachokiamini huwezi kuogopa hata ukisimama peke yako..
    Yanga msikilizeni huyu mzee ili roho yake ipoe..
    Mnavyombeza nakumtukana mnachokoza moto zaidi.. Huyu mzee Ana point

    • @Nyegereboy-b5y
      @Nyegereboy-b5y Месяц назад

      Pointigan wakat hanakadi

    • @murshidodhiambo891
      @murshidodhiambo891 Месяц назад

      Sikiliza vzr kadi zilivyo tolewa kiholela inawezekana hata wew uliyo nayo si ya kwel ni haramu hawa wazee wanaifaham timu kuliko mashabik ​@@Nyegereboy-b5y

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад +1

    Ukiwa mtu wa kukurupuka huyu mzee hutamuelewa ila ukimsikiliza kwa makini mzee yupo sahihi

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 Месяц назад

    Mzee Magoma yuko juu sana.Changamoto ya kukosa eneo la kutosha kwa ajili ya mkutano amejibu kuwa zoom inaweza kutumika.
    HONGERA YAKE!!!!

  • @MashakaAthumaniAthumanimashaka
    @MashakaAthumaniAthumanimashaka Месяц назад +3

    Namuunga mkono huyo mzee hawawazee.wasomi naumry wake niwachache sana fact zake zimenyooka sana mzee anapambana vijana oyaoyaha wawajui wao ninani kapambana mpaka nakikwete kwemikutanoo nyinyi nani 1)nimemwelewa anarudi kwenye mfumo.ili atakae kuja kuongoza anyooke.
    (2)Anataka kusijikutokea tena migogoro.
    (3)Anakaki nanimwachama alie jitoa mhanga
    (4)huyu sichawa kesi kapambana nayomuda mref huyu niyanga dam
    (5)mzee nyooshamfomo atakae kushukuru akushuku asietaka naasitake mwenye fikra atajua

  • @SamwelLaizer-o3x
    @SamwelLaizer-o3x Месяц назад +4

    Njaa tu hapa.. Hkuna lingne zaidi

  • @CosmassEmmanuel
    @CosmassEmmanuel Месяц назад +2

    Mzee Magoma usiogope vitisho,hayo yote nikukulegeza wewe,be strong.

  • @josephmpunta2662
    @josephmpunta2662 Месяц назад +1

    Mzee ana d3

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Месяц назад +1

    Ila hawa wazee 🤣🤣🤣 nmecheka sana aisee mpira wetu Mungu atusaidie Tanzania

  • @AndersonAdam-l5u
    @AndersonAdam-l5u Месяц назад

    Jaman huyu mzee atali sana tumien hakili mashabiki wa yanga

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji Месяц назад

    Apelekwe akalebure anafoji Saini Yamaha wataifalawazanzibari

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph4555 Месяц назад

    Shida anaweza kuiendesha iyo ofisi akiachiwa hata miez 3? Au kutaka kuiharibu tim tu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад +3

    Mzee kumbe wewe ndio Mwenye yanga yako wanakuonea bure

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Месяц назад

      Haya mwenye Yanga akipewa sasa hivi ataifanyia nini? Huyu mzee ni mchawi tu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Месяц назад

    Mtangazaji wacha kujifanya unajua history, nyamaza tumskilize mhojiwa, munaboa watangazaji wa kizazi kipya.

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Месяц назад

    Njaaa ni shida sana

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 Месяц назад

    Mzee aliposikia swala la jera ad kipara kikaanza kuwasha 😂😂😂

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 Месяц назад

    Mzee yupo makini

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Месяц назад

    hamna kitu hapa

  • @HalediMndewa-i4n
    @HalediMndewa-i4n Месяц назад

    Raise hers huyu asikilizwe jaman

  • @kassimkalole8834
    @kassimkalole8834 Месяц назад

    Ila mzee mpilii kwa kweli alikotokea sijuiii

  • @partisonshipella7312
    @partisonshipella7312 Месяц назад

    Huyu mzee asipuuzwe kila kitu. Lakini nahisi anatumika

  • @BoazIkupilika
    @BoazIkupilika Месяц назад

    Muulizeni Ahmed Abeid lini alikuwa mdhamini?

  • @bjshio3249
    @bjshio3249 Месяц назад +1

    Huyu Mzee ni hazina ya Yanga. Mtunzeni.

  • @iam_sami
    @iam_sami Месяц назад

    Mzee anapointi zake na facts magomaaaaaaa pga babaaaa😂😂😂

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +1

    Kama ana mapenzi na Yanga oneni anavyotoa siri za ndani. Huyu simba

  • @davidpius4764
    @davidpius4764 Месяц назад

    Mzee chiz uyuu

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 Месяц назад

    Huyo Mzee apimwe Akili! Akikutwa Mzima wanayanga wamchangie pesa atakuwa anasumbuliwa na Njaa,

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 Месяц назад

    Hivi kweli kama kuwa nakadi ndiyo kuwa mwanachama mzuri au mwema kumbe wakina nape sio wana ccm kwakuwa hawanakadi nyingi za ccm huyo mzee katumwa na upande wapili ili kujaribu kuivuruga yanga jamani kwanini huyo mzee anataka kuiaribu yanga jamani?

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 Месяц назад

    Huyu fala sana anataka timu iendeshwe kizamani,yani usajili wachezaji wa kawaida ili upate faida,alianza vizuri lakini huku anaharibu

  • @sidekp
    @sidekp Месяц назад

    Wakupe ofc mzee

  • @kundaelikilewo7176
    @kundaelikilewo7176 Месяц назад

    Mzee magoma tunakulinda akugusi Mtu ,ole wqke huyo manara akuguse tutamwonyesha kazi,sema vyote mzeee usiogope tupo nawe

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Месяц назад

    Huyu mzee ukimsikiliza kwa umakini ana kitu ila ni cha mda mrefu kama kiporo kimevunda

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Месяц назад

      Yah yaan 😂😂😂 ukimfuatilia huyu mzee ana mambo yamenyooka mengine hawa kina heris hawayajui

  • @hasanisalimu5321
    @hasanisalimu5321 Месяц назад

    Wewe njaa itakuwa sura mbaya

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +1

    Hapo alipo hata buku moja hana njaa inamsumbua jinga kabisa

  • @brownnsajigwa4617
    @brownnsajigwa4617 Месяц назад

    wanamkosea mzee magoma

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад

    Mbona anazungumza kama wa za Ndaaaaaaani

  • @SamsonAntony-e3w
    @SamsonAntony-e3w Месяц назад

    😢uyo mzee choko2

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад

    Ila mzee kaenda mjini shikamoo mzee magoma? Lkn umetumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Месяц назад +1

    Umekwenda kumhoji bila kujiandaa na maswali mahususi yatakayojibu sintofahamu iliyopo. Unamhoji kama m mbeya na sio mwandishi. Hovyo !

    • @wbmclassic1651
      @wbmclassic1651 Месяц назад

      Kabisa.anadandia tu kila kona hajui hata cha kuuliza

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 Месяц назад +1

    Haliwezi kuisha Eng.atupishe madarakani, kauli ya mahakama iheshimiwe kanisa

    • @SinganoRichard
      @SinganoRichard Месяц назад

      Ili ukae ww

    • @SinganoRichard
      @SinganoRichard Месяц назад

      Komaeni nasimba yenu haya ya yanga hayakuhusu

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 Месяц назад

      Kauli ya mahakama alikabidhiwa nani? Mahakama nayo ni kituko.

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 Месяц назад

    Mzee Hasidi sana, kizazi hiki wamebaki wachache sana lakini ni hatari.

  • @eclaskilawa8972
    @eclaskilawa8972 Месяц назад

    Mzee anahekima sana huyu

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Alikuwa wapi cku zote?

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 Месяц назад

    Fatuma karume Yuko juu Sheria

  • @user-yg5gg1pk1t
    @user-yg5gg1pk1t Месяц назад

    Komaa mzee ilitukutombe vzr

  • @MsuyaSereckys
    @MsuyaSereckys Месяц назад

    Mzee yanga kweli watu Wana chiki tu roho mbaya mzee yanga kwelikweli

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Месяц назад

    Nuksi kweli mzeee mingine mishavu kama linapuliza moto

  • @saulyboy3334
    @saulyboy3334 Месяц назад

    Mmm jamani huyu mzee nikichwa kinamadini mengi sana aise tukiweka ushabiki pembeni wakuu

  • @jamesbakera2135
    @jamesbakera2135 Месяц назад

    Komaa mzee wangu kwa staili iliyopo wanachama bila mwenyekiti haiwezi kwenda

  • @IbrahimNgolo-cp5mi
    @IbrahimNgolo-cp5mi Месяц назад

    Mzee yuko sahihi

  • @EsterClement-f1c
    @EsterClement-f1c Месяц назад

    Yaan linadanganya duh

  • @delphinemboya
    @delphinemboya Месяц назад

    Mzee uko sahihi kabisa hapo watu wanaokubeza ni kwajili ya matumbo yao😮

  • @jumaahmada3815
    @jumaahmada3815 Месяц назад

    Baba. YANGA. uendelee

  • @AbdallahMohamedndaro
    @AbdallahMohamedndaro Месяц назад

    Ww unaweza kuongoza ongera Mzee uko sawa ila jismini kwanza ukiturudisha kwenye bakuli tunakuchapa

  • @abubakarali6363
    @abubakarali6363 Месяц назад +1

    Mipengo kama mwanamke aliekeketwa

  • @Barick2
    @Barick2 Месяц назад

    Huyo mzee naye anataka kuleta matatizo,,aachane na Yanga

  • @jekoniarubeni4609
    @jekoniarubeni4609 Месяц назад

    Aliakuwa mwanachama mwaka 1983, yanga imeanzishwa miaka ya nyuma hata kuzaliw bado na wenye yanga wako wapi leo unasimama wew kam vile ndio ulianzisha timu duuh tamaa mbaya sana sna...mzee anaona kama anakufa maskini afu club amekua ndani ya club sio ameikuza club

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Месяц назад

    Huyu mzee kwa hali hiyo haliyokuwa nayo noma njaa tu

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад

    Sasa si kashinda watu wanaendelea na majukumu yao tuone atafanya nn na wapuuzi wenzio

  • @iam_sami
    @iam_sami Месяц назад

    Mzee anakunya htr😂

  • @John-sz9je
    @John-sz9je Месяц назад

    Mzee hajielewi huyuuu

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Месяц назад

    Ubaya ubwela

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 Месяц назад

    Yaani huyu ndio chanzo cha vurugu Yanga mwisho itapelekea timu kuharibu walipofikia

  • @tabithalimo2399
    @tabithalimo2399 Месяц назад

    Mzee wa ulongonii

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Месяц назад

    Kaanzishe timu yako na mkeo 😊

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад

    Mzee anakitu atafika mbali,

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 Месяц назад

    Sasa mbona unapinga peke ako ndugu wakati maoni yalikusanywa kwenye matawi,siku zote wengi wape

  • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
    @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye Месяц назад

    mtu wa maana kabisa huyu Engineer akabidhi funguo 🤣🤣🤣

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Месяц назад

    Huyu mzee yupo sahihi wanamdharau ni wale ambao hata kadi hawana mnataka Gsm akiondoka turudi kwenye bakuri

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад

    Mwanachama wakati huna kadi

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Месяц назад

    Mzee ana mjengo bwana

  • @davidshabani7305
    @davidshabani7305 Месяц назад

    Mwandishi nifunze kuhoji

  • @sidekp
    @sidekp Месяц назад

    Alafu tunaomba mzee ajibiwe kwa hoja

  • @ghalibalhinai2078
    @ghalibalhinai2078 Месяц назад

    Huyo mtangazaji mmeokota wapi hana taaluma ya uandishi zaidi ya uchonganishi mshamba mshamba tuuu

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Месяц назад

    Magomo ni mzee wa choko choko tu

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Месяц назад

    Kakaa kichawichawi

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад

    Mzee magoma alitakiwa kua mwanasheria anakili sana anaongea point anajua kupigania hoja

  • @GwidoMlyuka
    @GwidoMlyuka Месяц назад

    Kachanganyikiwa

  • @tanzaniayetu1709
    @tanzaniayetu1709 Месяц назад

    Wale wazee ety janja weed😂😂