Mzee tunawaomba wafichueni hao waliopo nyuma ya Magoma ili Serikali iwajue na kuwashughulikia. Pia Mahakama zetu zisiwe kichaka cha kuchochea migogoro wao ni wapatanishi. Laana hii ilimpata hata Pilato ambaye kwa hila alimkabidhi Yesu kwa Mayahudi na Yuda Iskariote mwishowe alijinyonga na ni dhairi yupo ahera.
Mzee tunawaomba wafichueni hao waliopo nyuma ya Magoma ili Serikali iwajue na kuwashughulikia.
Pia Mahakama zetu zisiwe kichaka cha kuchochea migogoro wao ni wapatanishi. Laana hii ilimpata hata Pilato ambaye kwa hila alimkabidhi Yesu kwa Mayahudi na Yuda Iskariote mwishowe alijinyonga na ni dhairi yupo ahera.
Kuna watu wanafuraha kumbe watapigwa nyingi sisi ndo yanga
OFISI YA R....S IMETAJWA.....
Hawa WATANGAZAJI NAO NI KINYONGA LEO WAPO NA MAGOKUM.........KESHO NA NYIE HAWA NDIYO WANACHOCHEA
Kwa hiyo huyo mzee kassonso analingana na baba yako?.
Ahmed huyo Kasonso siyo Mzee uyo ni ugomvi tu anauleta hapo mie nasema Magoma ndo Mzee pale Yanga kuliko yye
Uyo magoma enzi za bakuli alikuwepo wapiii
Si Mzee yaani ndo Mzee ila yye Chawa wa wazee
Magoma ndo Mzee.kuliko.Kasonso
@@FatumaIssa-w1s Magoma alikua Yanga Asili enzi ya Bakuli
😂😂😂@@RashidJumanne-hb1lm
Magoma qurjuwaina musimsumbue
😂😂