HATARI!! MZEE KIBUYU WA YANGA AMVAA MAGOMA KUHUSU UCHAWI, AMPA MAKAVU ANA NJAA TUNAMJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Truth Media
    Hakika ni za kweli

Комментарии • 35

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Месяц назад +2

    Simba Ukitaka kuwapoteza jifanye unataka mchezaji hafu tulia,faster watamkimbilia ,ndo iliyotokea kwa awesu

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +2

    Waambie mzee.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Месяц назад

    Kweli Hawa MAKOLO muda wao wa kuongea huwa ni huu, LIGI ikianza wanaanza na MANGUNGU...!..hawana maana hao MAKOLO

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 Месяц назад

    Mwambie magoma amalizie uzee wake vizuri aachane na yanga mzee wetu

  • @ZakiriKatabwa-z2d
    @ZakiriKatabwa-z2d Месяц назад

    Hivi kweli Hawa munaowaita wazee huwa mnachunguza kwanza ama vp wengine wahuni tu

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 Месяц назад

    Mizee MIISLAMU kazi yao huwa kutambishiana uchawi tu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад +1

    Simba msajilini Magoma mdashinda😂😂😂😂😂😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Ila mzee ana Fact kweli,Uwesu alipigwa tanooooo😂😂😂😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    MAGOMA APEWE MAUA YAKE 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉HAPO NDO MTAJUA MAANA YA NENO (UBAYA UBWELA )😅😅😅😅😅😅

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Месяц назад +1

      Wewe nichizi sas ukiangalia huyo magoma atafua dafu mana choko choko tangu mwaka 90

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 Месяц назад

    Hiyo simu au KISWASWADU

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Месяц назад

    Ila jaman tuwe makin wanasimba hili vugu vugu la YANGA litatuponza kwakwel nilazma tuwe na D mbili, TUTAKULA NYINGI tuikumbuke hii...!

  • @DanielNicolao
    @DanielNicolao Месяц назад +1

    Magoma mambo???

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata Месяц назад

    Ila taarifa za nchi hii Kila sku unapata taarifa za kukinai kwa watoa taarifa.

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Месяц назад

    Hawa wazee wa Yanga njaa ndiyo inswasumbuwa

  • @maximillianmubashi7328
    @maximillianmubashi7328 Месяц назад

    Kwa muda mrefu mzee Mangoma hajapata pesa za mlangoni

  • @saidhamad3313
    @saidhamad3313 Месяц назад

    Mzee huyu ana busara Achana na mzee magoma

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Месяц назад

    Huyu mzee kuwaambia ukweli huu ndo muda wao

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +4

    Yanga 2024/2025 bingwa na wa pili azam.

  • @user-ff1wk8rh3b
    @user-ff1wk8rh3b Месяц назад

    Magoma ukimsikiza yuko kama kinyonga na mtu aliyekunywa maji ya choo kachanganya na bangi.

  • @MagrethSalim
    @MagrethSalim Месяц назад

    Jamani njaa mbaya. Kweli adui yako muombee njaa. Yote njaa hiyo.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад

    Ma,dunduka baada ya tarehe 08 watafunga midomo " kimya -- Nyeka "

  • @sirajally8356
    @sirajally8356 Месяц назад

    baba ascha kuongea unafki mm mwanao katka kufli ni mwaka huu mzee magoma katushika pabaya

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Ivi mtu anashitaki uongozi ,halafu anaongea na hewa,na anashinda kesi😂😂😂 shuhuli

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад +1

      Sio hewa , Waliigawana majukumu,, mmoja wao kajifanya anaiwakilisha yanga ndio mshitakiwa, akawa anakubali kila kitu,,, ndo huyo aliefoji sign za Wadhamini za kina Mama Fatma karume na wenzake .

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 Месяц назад

      yaan mama karume awakilishwe na team ya magoma? acheni kujifariji wana Simba.

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Yanga bingwaaaaaa mpka 2060😂😂😂😂😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад

    Mzee chembela kutokea kalole kisiju

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Месяц назад

    Anaongea kwasababu ya njaa

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Na Mimba ya Ali kamwe imekula Hela ya Nani kama si Mzee Kamwe?

  • @sirajally8356
    @sirajally8356 Месяц назад

    acha kutisha baba ww mzee najua had kwako

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo Месяц назад

      Kwahiyo Kama unapajuwa asiongee? We ni maku kweli

  • @KaliMachezu
    @KaliMachezu Месяц назад

    Kwani
    Mzee magoma ana tatizo gani chama kitu gani

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂