MWABUKUSI ANAONGEA SAKATA LA KUMCHANGIA TUNDU LISSU GARI. KAFUNGUKA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 май 2024

Комментарии • 75

  • @derickshula1978
    @derickshula1978 Месяц назад +6

    Amina sana kaka Mwabukusi, umenena vizuri sana kaka, Lisu ni MUSA atakayetutoa Misiri yetu. Mwabukusi juu Lisu juu, Mbowe juu, Slaa juu, jamani Mungu katupa zawadi ya watu kuliko watu au mataifa yote Duniani

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f Месяц назад +9

    Wanaopinga kumchangia shujaa wetu ni Maadui zetu na Tanganyika yetu Tuko na MUNGU tusonge mbele ushindi ni wetu

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Месяц назад +8

    Tunduism legacy jamani anahitaji gari la kumsaidia kuendelea kutupigania kuweka nchi hii mahali sahihi hata ikiwezekana bullet proof car

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Месяц назад +7

    Tutamchangia mpaka anunue gari mana tunamhitaji sana na tunajua mengi na kutetewa mengi nae huyu mh lissu.

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Месяц назад +12

    Nakubaliana nawe mtumishi wa MUNGU Mwabukusi!

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 Месяц назад +8

    Mwabikusi. Umesema. Kweri Mimi namuungamkono Lisu. Silimia

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Месяц назад +5

    Huo ni ukweli Advocate Mwabukusi!! Well said

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад +7

    LISU LISU LISU PEOPLE POWER

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Месяц назад +9

    umemaliza kila kitu

  • @Samweli-ij3im
    @Samweli-ij3im Месяц назад +7

    Wanaobeza ni hao misukule wa ccm ambao damu za wenye haki zinawalilia na zitakuwa juu ya vichwa vyao na watoto wait hao wanao furahia mateso ya wenye haki mile pita handeni

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад +8

    CCM WANAUMIA LISSU ANAVYOTUPA. HELIMU YA ULAIA KUHUSU HAKI ZETU NA IPO SIKU CCM ITAONDOKA MADALAKANI NA TANGANYIKA YETU TUTAIPATA NA CCM IKAONGOZE ZANZIBAR

  • @derickshula1978
    @derickshula1978 Месяц назад +4

    NAOMBA SANA MUNGU LISU AJE APATE HATA MWAKA MMOJA KUONGOZA HII INCHI TUTAKUJA KUMUELEWA SAIZ WENGI WAMEZONGWA NA MASHETANI YA TAIFA HILI NDIO MAANA TUNACHELEWA KUMUELEWA.NAJUWA KUSUDI LA MUNGU LITAFIKA,AMINA

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +5

    Hakika Lissu ni hazina yetu. Sawa kabisa, Lissu ni mzalendo wa kweli. Awamu ya pili nitachangia tena na tena.

  • @deusdeditkullwah5586
    @deusdeditkullwah5586 Месяц назад +5

    Wakili Mwabukusi nafurahia maini Yako hongera tafadhari nikuombe kitu hajikisha umechukua fomu ya ubunge kupitia Chadema

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Месяц назад +4

    Good points brother. May God bless you. Ameen.

  • @renatusmgusii2268
    @renatusmgusii2268 Месяц назад +4

    NampongezA Mwabukuzi. Sina maneno mazuri zaidi ya kieleza jinsi nilivyoguswa na maneno yake.

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Месяц назад +4

    MH Boniface mwambukusi, wakili msomi umekuwa mwalimu Bora sana ktk shughuli za kuielimisha jamiii iliyopo mbele yetu, mh, usihofu uwe na amani moyoni mwako MH Lisu atachangiwa pesa kabisa wasikuchoshe hao haramia CCM, mh endelea kufundisha kinachojiri kwenye Taifa letu,

  • @starspreandprimaryschools3075
    @starspreandprimaryschools3075 Месяц назад +7

    Safi sana mheshimiwa Mwabukusi, nipe namba ya kuchangia

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Месяц назад +4

    Ukosawa mwabukusi

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад +5

    We behind you guys and we still praying for you LISU

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Месяц назад +4

    Namshangaa Prof. Kabudi wa sasa ni tofauti kabisa na Prof. Kabudi wakati wa Tume ya Warioba. Eti huyu ni Professa tuliompeleka kusoma Kwa Kodi zetu na akaenda kusomea ukigeugeu.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Месяц назад +4

    Very good mh mwabukusi

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Месяц назад +4

    Wanaopinga Tundu. Lissu Asichangiwe Wameongwa Na Ccm Kwa Chuki Za Ccm

  • @calystkavishe9670
    @calystkavishe9670 Месяц назад +3

    Mungu atangulie katika jitiada za kukomboa Taifa letu la Tanzania kwa kupitia wapambanaji na wanaharakati kama Mh. Tundu Lisu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад

    Big brain explanation vary brave lndipendet privet advocate mwabukusi on tundundulisu

  • @AshuriKipingi
    @AshuriKipingi Месяц назад

    Naumia sana wanapopungua viongoz kama Hawa,that's nice wanasheria wetu,

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Месяц назад

    Sana sana sana Mh Mwabikusi. Asante sana Kiongozi.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Месяц назад +3

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @andrewmbughi3587
    @andrewmbughi3587 Месяц назад

    Mwabukusi big up kwa maneno thabiti

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Месяц назад

    Nawakubar sana boniphace na tundu hero's journey

  • @mosesntamahungiro4995
    @mosesntamahungiro4995 Месяц назад

    Mwabukusi kaka shikamooo nimekuelewa kaka

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад +3

    MWABUKUSI NA WEWE MUNGU AGUBARIKI

  • @kinginno3412
    @kinginno3412 Месяц назад +4

    Tutachanga hatamilioni elfu tatu

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Месяц назад +4

    Wewe ni jembe letu

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Месяц назад

    Lisu kwakweli mtu moja smart sana na mpambania haki wa kweli wa Taifa.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Месяц назад +4

    Ccm.mnawakatisha.tamaa.wasimchagie.lisu.wakati.nyie.mnaishi.kwa.kodi.zetu.maisha.yenu.yote.ni.kodi.na.bado.mnaiba.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Месяц назад

    Sawfi sana mwabukusi lete namba ya kuchangia. Tunamkaribisha huku kwetu Tunduru

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Месяц назад

    Big Up Mwabukusi

  • @MdYeasin-xx1gm
    @MdYeasin-xx1gm Месяц назад

    Safi sana wakili majitu mapumbavu tuyatenge sasa tuta fika tu

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Месяц назад

    Ni kweli mkuu hata kama mtu anayeweza ampe hata mkewe ampigepige masaji pia hicho ni muhimu sana vilevile

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Huyo keshapewa milioni mia 4 hio michango ni danganya toto apewe na waliomfuga huko Ulaya

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Месяц назад +3

    asante sana maria je serekali ya muungano tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa amani na mapori yetu tuyamiki bila kufukuzwa kama wakimbizi ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi awajui yanayo endelea maria je nauliza tutafanyaje swala vitambulisho vya taifa vitolewe kwa haraka sisi wooote ❤

  • @mtalemwasamwel2172
    @mtalemwasamwel2172 Месяц назад

    Mh. Mwabukusi, mbona unachelewa kuchukua KADI!?
    Ebu kachukue kadi ili Jimbo la Mbeya mjini litakapogawanywa kama inavyosemekana wewe usimame Jimbo moja na Sugu Jimbo jingine. Nakukubali sana Mwamba sijui muda wote huu ulikuwa wapi

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Месяц назад +1

    Kongole sana mheshimiwa. Ni mpumbavu tu ndiye hatakuelewa.

  • @FredyMichael-ex3kv
    @FredyMichael-ex3kv Месяц назад +2

    Nashauri mchango uwe milele

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Месяц назад

    Freedom is coming 2morooooo❤❤

  • @ElizeusKaiza
    @ElizeusKaiza Месяц назад

    Naomba a/c namba nachanga kutokana kilicho tokea. Waliofanya hivyo Mola awahiukumu popote walipo.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Месяц назад

    Tutachangia sana,wasiotaka wasichange hawalazimishwi.

  • @user-op1un3cx5v
    @user-op1un3cx5v Месяц назад

    Daaa cnachakusema amemaliza

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Месяц назад

    Ata nyelele au CCM wanachangiwa

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 Месяц назад

    Tunataka number team strong tupo huku Gulf county balozi zinanatutesa, tupeni number ya kuchangia

  • @derickshula1978
    @derickshula1978 Месяц назад +1

    Inchí hii wapo watu MUNGU anatambua kuwa ana watumishi wake!! Na ni wachache. Pili atakapokuja kuwaweka hazalani, wengine watategemea kuona labda Mwamposa, au muhubili yoyote, utakuja kushangaa kumbe wapo kwenye Siasa au harakati. Tena wachache sana. Najuwa mmojawapo ni TUNDU LISU, NA MWABUKSI, HAWA WATU NI WATU WACHACHE SANA DUNIANI, WALITOKEA KIPINDI CHA MJERUMANI ALIPOKUWA ANAKUJA AFRICA. NDIO NAANZA KUWAONA SAIZI. LISU, MWABUKSI, SLAAA, MDUDE, NA WENGINE WOTE WANAOPIGANIA TAIFA HILI KWA GHALAMA ZA UHAI WAO BILA UWOGA NDIO WATUMISHI WA MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA INCHI, WENGINE SINA HAKIKA KABISA. NA SIWAAMINI KABISA.

  • @estomihmassawe120
    @estomihmassawe120 Месяц назад

    Naomba tujulishwe namna/mfumo wa kuchangia. Pesa(gari la Lisu) yetu tutaituma wapi na vipi?

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 Месяц назад

    Tunachangaje Sasa tupeni number,

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Месяц назад

    Hata miye ninamchangia elfu sabini ili akaifanye kazi ya ukombozi kwa ufanisi na kutuweka huru watanganyika.

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Месяц назад

    Kwa nini anazungumziwa Lisu kama mtu binafsi na sio kama mtu anayefanya kazi chini ya Chama?

  • @OSWARDPANJA
    @OSWARDPANJA Месяц назад

    Tukopamoja namba za kuchangia ziko wapi?

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    HAO ULIOWATAJA NDIYO WALIOPIGANIA TAIFA LAKINI SIO LISSU

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Месяц назад +3

    Good job wakili Mia Ina Kuja

  • @ElizeusKaiza
    @ElizeusKaiza Месяц назад

    Account namba inahitajika. Nitumie.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад

    Mwabukusi sio kumchangia gari tu mpe na mkundu wako kuma weeee ccm mbele kwa mbele

    • @frankatilio
      @frankatilio Месяц назад

      Pole sana Muogope Mungu,Kuna kujib kwa Allah kadri ya matamshi,

  • @EmmanuelAngetile-gn2td
    @EmmanuelAngetile-gn2td Месяц назад +3

    Ninakukubali sana kila saa na kila wakati, ujawahi kuongea upumbavu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад

    IKIWEZEKANA ANUNULIWE GARI ISIYOPENYA RISASI SHIME WATANZANIA TUSILEMAE KIFIKRA MWENYE ENZI MUNGU AMETUPA AKILI TIMAMUU. BAHATI MBAYA KUNA WALIOUMBWA NA UTINDIO UBONGO HAO TUWAOMBEE

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Mwabukusi muongo
    Lissu alipiganie Taifa gani? Acha upoyoyo
    Lissu anapigania maisha yake
    Sio ya Watanzania
    Wanamuunga mkono LISSU HAWAJITAMBUI KAMA ULIVYO WEWE MWABUKUSI

    • @user-vg9sd2fc1k
      @user-vg9sd2fc1k Месяц назад

      Kwann alipigwa risasi😢😢

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Месяц назад

      @@user-vg9sd2fc1k alijipiga risasi mwenyewe hivi upigwe Risasi mkono wa kushoto
      Uumie mkono wa kulia
      Waaache upoyoyo wadanganywe wasio na Akili

  • @Wamisangi
    @Wamisangi Месяц назад +1

    Nani mwenye utindio wa ubongo? Ambaye alizunguka kuwaambia watanzania kwamba kiongozi flani ni fisadi na baadaye akazunguka kumnadi huyo huyo aliye mtuhumu awali eti, eti, eti...
    achaguliwe awe kiongozi wao. Nini kiliwageuza wakarudia kulamba matapishi yao.
    Msiwadharau wananchi mkafikiri wana akili za usahaulifu kama kuku. Huwezi kufanya siasa za kinafiki huku ukimtaja Mungu wa Mbinguni, huko, huko, huko na rudia huko ni kujilisha upepo.

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад +1

      Nakubaliana nawe ktk kosa la Chadema kumpokea Lowasa, Lakini sipo tayari kuamini Lile kosa la Chadema liifanye Ccm kuwa ni Bora kuliko Chadema, No!! Pale kweli waliteleza Lakini Bado Chadema ni Bora mara 5 kuliko Ccm, wanashangaa kumchangia Lisu gari ya Mil 300 afanye Kazi ya Taifa, wakati Mi Ccm limoja tu linakula ma billion ya Watz?

  • @user-vs8hp2li9u
    @user-vs8hp2li9u Месяц назад

    Shujaa umesema neno

  • @derickshula1978
    @derickshula1978 Месяц назад

    Wamisangi, naona kama sio ccm basi ubongo wako umechanganika na maji zaidi,ujazo wa ubongo mdogo kuliko maji. nikuulize ukimuhubili mchawi na akaacha uchawi wake utaendelea kumshikilia na uchawi? Pili kuna mtu aliitwa Sauli kwenye Biblia,unajuwa mazambi yake alifanya? Hadi alikuja kuitwa paulo, na ndiye aliyeweka nyaraka nyingi zaidi zitadumu milele kuliko wote walioandika barua kwa watu.huyo uliyetamani wasimsafishe baada ya kutubu zambi zake usije kushangaa hata Mungu alishampokea saizi,tena watumishi wenzake ndio waliomsafisha.wasiogope bulaaa zako watakutana mbinguni.hivyo jitafakar sana upone maji yapunguwe upone kufikili na ujuwe maisha ya taifa lako vzur

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Месяц назад

      Kuna mahali popote CDM walikiri hadharani kukosea kumpokea EL Hayati, kama ambavyo walitangaza hadharani kumpokea ? Nikumbushe. Nini kiliwasukuma kumpokea kwa sababu zilikuwepo telesi kipindi hicho kwamba Mzee wawatu akitoa fedha mpaka wanafamilia wake wakaingilia kati kumnusuru, nani walikuwa wafaidika wa hizo fedha kama hii tetesi inao ukweli? Kama kumpokea na kumnadi ambapo ilikuwa ni kulamba matapishi yao kulikuwa ni matokeo ya hizo fedha watu hao bado wana integrity mbele ya macho ya wazalendo unaowafanya wa aminike???
      Sauli alikuwa anafanya kazi ya Mungu kupitia imani ya kiyahudi dhamira yake ilikuwa njema hakutaka kujinufaisha yeye binafsi. Hivi katika waliokuwa wanamnadi EL nani alikuwa kimbelembele zaidi? Hakuwa amelipwa ndio maana akawa kimbelembele? Magari ya gharama kubwa wanayo miliki nini chanzo chake?
      Mbona John Mnyika alikuwa na ujasiri wa kukataa maamuzi ya kubadili gia angani na kukataa kumnadi EL, hawa wengine walisukumwa na nini?
      Wako watu hutaona wakijitokeza hadharani kutafuta sifa ambao kimsingi walitumia akili na maarifa yao waliojaliwa na Mungu kutia mawazo ambayo yaliishamirisha CDM kipindi kile halafu khafla from nowhere na kirahisi tu. Eti tumebadilisha gia angani. WHAT A BETRAYAL THAT WAS!!!!
      Hekima gani inayo tumika kusema CDM ni afadhali? Nini msimamamo wao kuhusu ushoga kwa mfano?

    • @Wamisangi
      @Wamisangi Месяц назад

      Hayo maoni yako kuhusu ubongo wangu na kujibu kwachili NENO. Isaya 54:17

    • @cyprianboniphace-oz5lw
      @cyprianboniphace-oz5lw Месяц назад

      Kwachili neno aahaa we kweli hauko vizuri