Amina sana kaka Mwabukusi, umenena vizuri sana kaka, Lisu ni MUSA atakayetutoa Misiri yetu. Mwabukusi juu Lisu juu, Mbowe juu, Slaa juu, jamani Mungu katupa zawadi ya watu kuliko watu au mataifa yote Duniani
Wanaobeza ni hao misukule wa ccm ambao damu za wenye haki zinawalilia na zitakuwa juu ya vichwa vyao na watoto wait hao wanao furahia mateso ya wenye haki mile pita handeni
CCM WANAUMIA LISSU ANAVYOTUPA. HELIMU YA ULAIA KUHUSU HAKI ZETU NA IPO SIKU CCM ITAONDOKA MADALAKANI NA TANGANYIKA YETU TUTAIPATA NA CCM IKAONGOZE ZANZIBAR
NAOMBA SANA MUNGU LISU AJE APATE HATA MWAKA MMOJA KUONGOZA HII INCHI TUTAKUJA KUMUELEWA SAIZ WENGI WAMEZONGWA NA MASHETANI YA TAIFA HILI NDIO MAANA TUNACHELEWA KUMUELEWA.NAJUWA KUSUDI LA MUNGU LITAFIKA,AMINA
MH Boniface mwambukusi, wakili msomi umekuwa mwalimu Bora sana ktk shughuli za kuielimisha jamiii iliyopo mbele yetu, mh, usihofu uwe na amani moyoni mwako MH Lisu atachangiwa pesa kabisa wasikuchoshe hao haramia CCM, mh endelea kufundisha kinachojiri kwenye Taifa letu,
Namshangaa Prof. Kabudi wa sasa ni tofauti kabisa na Prof. Kabudi wakati wa Tume ya Warioba. Eti huyu ni Professa tuliompeleka kusoma Kwa Kodi zetu na akaenda kusomea ukigeugeu.
asante sana maria je serekali ya muungano tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa amani na mapori yetu tuyamiki bila kufukuzwa kama wakimbizi ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi awajui yanayo endelea maria je nauliza tutafanyaje swala vitambulisho vya taifa vitolewe kwa haraka sisi wooote ❤
Mh. Mwabukusi, mbona unachelewa kuchukua KADI!? Ebu kachukue kadi ili Jimbo la Mbeya mjini litakapogawanywa kama inavyosemekana wewe usimame Jimbo moja na Sugu Jimbo jingine. Nakukubali sana Mwamba sijui muda wote huu ulikuwa wapi
Inchí hii wapo watu MUNGU anatambua kuwa ana watumishi wake!! Na ni wachache. Pili atakapokuja kuwaweka hazalani, wengine watategemea kuona labda Mwamposa, au muhubili yoyote, utakuja kushangaa kumbe wapo kwenye Siasa au harakati. Tena wachache sana. Najuwa mmojawapo ni TUNDU LISU, NA MWABUKSI, HAWA WATU NI WATU WACHACHE SANA DUNIANI, WALITOKEA KIPINDI CHA MJERUMANI ALIPOKUWA ANAKUJA AFRICA. NDIO NAANZA KUWAONA SAIZI. LISU, MWABUKSI, SLAAA, MDUDE, NA WENGINE WOTE WANAOPIGANIA TAIFA HILI KWA GHALAMA ZA UHAI WAO BILA UWOGA NDIO WATUMISHI WA MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA INCHI, WENGINE SINA HAKIKA KABISA. NA SIWAAMINI KABISA.
Mwabukusi muongo Lissu alipiganie Taifa gani? Acha upoyoyo Lissu anapigania maisha yake Sio ya Watanzania Wanamuunga mkono LISSU HAWAJITAMBUI KAMA ULIVYO WEWE MWABUKUSI
Nani mwenye utindio wa ubongo? Ambaye alizunguka kuwaambia watanzania kwamba kiongozi flani ni fisadi na baadaye akazunguka kumnadi huyo huyo aliye mtuhumu awali eti, eti, eti... achaguliwe awe kiongozi wao. Nini kiliwageuza wakarudia kulamba matapishi yao. Msiwadharau wananchi mkafikiri wana akili za usahaulifu kama kuku. Huwezi kufanya siasa za kinafiki huku ukimtaja Mungu wa Mbinguni, huko, huko, huko na rudia huko ni kujilisha upepo.
Nakubaliana nawe ktk kosa la Chadema kumpokea Lowasa, Lakini sipo tayari kuamini Lile kosa la Chadema liifanye Ccm kuwa ni Bora kuliko Chadema, No!! Pale kweli waliteleza Lakini Bado Chadema ni Bora mara 5 kuliko Ccm, wanashangaa kumchangia Lisu gari ya Mil 300 afanye Kazi ya Taifa, wakati Mi Ccm limoja tu linakula ma billion ya Watz?
Wamisangi, naona kama sio ccm basi ubongo wako umechanganika na maji zaidi,ujazo wa ubongo mdogo kuliko maji. nikuulize ukimuhubili mchawi na akaacha uchawi wake utaendelea kumshikilia na uchawi? Pili kuna mtu aliitwa Sauli kwenye Biblia,unajuwa mazambi yake alifanya? Hadi alikuja kuitwa paulo, na ndiye aliyeweka nyaraka nyingi zaidi zitadumu milele kuliko wote walioandika barua kwa watu.huyo uliyetamani wasimsafishe baada ya kutubu zambi zake usije kushangaa hata Mungu alishampokea saizi,tena watumishi wenzake ndio waliomsafisha.wasiogope bulaaa zako watakutana mbinguni.hivyo jitafakar sana upone maji yapunguwe upone kufikili na ujuwe maisha ya taifa lako vzur
Kuna mahali popote CDM walikiri hadharani kukosea kumpokea EL Hayati, kama ambavyo walitangaza hadharani kumpokea ? Nikumbushe. Nini kiliwasukuma kumpokea kwa sababu zilikuwepo telesi kipindi hicho kwamba Mzee wawatu akitoa fedha mpaka wanafamilia wake wakaingilia kati kumnusuru, nani walikuwa wafaidika wa hizo fedha kama hii tetesi inao ukweli? Kama kumpokea na kumnadi ambapo ilikuwa ni kulamba matapishi yao kulikuwa ni matokeo ya hizo fedha watu hao bado wana integrity mbele ya macho ya wazalendo unaowafanya wa aminike??? Sauli alikuwa anafanya kazi ya Mungu kupitia imani ya kiyahudi dhamira yake ilikuwa njema hakutaka kujinufaisha yeye binafsi. Hivi katika waliokuwa wanamnadi EL nani alikuwa kimbelembele zaidi? Hakuwa amelipwa ndio maana akawa kimbelembele? Magari ya gharama kubwa wanayo miliki nini chanzo chake? Mbona John Mnyika alikuwa na ujasiri wa kukataa maamuzi ya kubadili gia angani na kukataa kumnadi EL, hawa wengine walisukumwa na nini? Wako watu hutaona wakijitokeza hadharani kutafuta sifa ambao kimsingi walitumia akili na maarifa yao waliojaliwa na Mungu kutia mawazo ambayo yaliishamirisha CDM kipindi kile halafu khafla from nowhere na kirahisi tu. Eti tumebadilisha gia angani. WHAT A BETRAYAL THAT WAS!!!! Hekima gani inayo tumika kusema CDM ni afadhali? Nini msimamamo wao kuhusu ushoga kwa mfano?
Amina sana kaka Mwabukusi, umenena vizuri sana kaka, Lisu ni MUSA atakayetutoa Misiri yetu. Mwabukusi juu Lisu juu, Mbowe juu, Slaa juu, jamani Mungu katupa zawadi ya watu kuliko watu au mataifa yote Duniani
Wanaopinga kumchangia shujaa wetu ni Maadui zetu na Tanganyika yetu Tuko na MUNGU tusonge mbele ushindi ni wetu
Tunduism legacy jamani anahitaji gari la kumsaidia kuendelea kutupigania kuweka nchi hii mahali sahihi hata ikiwezekana bullet proof car
Tutamchangia mpaka anunue gari mana tunamhitaji sana na tunajua mengi na kutetewa mengi nae huyu mh lissu.
Nakubaliana nawe mtumishi wa MUNGU Mwabukusi!
Mwabikusi. Umesema. Kweri Mimi namuungamkono Lisu. Silimia
Huo ni ukweli Advocate Mwabukusi!! Well said
LISU LISU LISU PEOPLE POWER
umemaliza kila kitu
Wanaobeza ni hao misukule wa ccm ambao damu za wenye haki zinawalilia na zitakuwa juu ya vichwa vyao na watoto wait hao wanao furahia mateso ya wenye haki mile pita handeni
CCM WANAUMIA LISSU ANAVYOTUPA. HELIMU YA ULAIA KUHUSU HAKI ZETU NA IPO SIKU CCM ITAONDOKA MADALAKANI NA TANGANYIKA YETU TUTAIPATA NA CCM IKAONGOZE ZANZIBAR
NAOMBA SANA MUNGU LISU AJE APATE HATA MWAKA MMOJA KUONGOZA HII INCHI TUTAKUJA KUMUELEWA SAIZ WENGI WAMEZONGWA NA MASHETANI YA TAIFA HILI NDIO MAANA TUNACHELEWA KUMUELEWA.NAJUWA KUSUDI LA MUNGU LITAFIKA,AMINA
Hakika Lissu ni hazina yetu. Sawa kabisa, Lissu ni mzalendo wa kweli. Awamu ya pili nitachangia tena na tena.
Wakili Mwabukusi nafurahia maini Yako hongera tafadhari nikuombe kitu hajikisha umechukua fomu ya ubunge kupitia Chadema
Good points brother. May God bless you. Ameen.
NampongezA Mwabukuzi. Sina maneno mazuri zaidi ya kieleza jinsi nilivyoguswa na maneno yake.
MH Boniface mwambukusi, wakili msomi umekuwa mwalimu Bora sana ktk shughuli za kuielimisha jamiii iliyopo mbele yetu, mh, usihofu uwe na amani moyoni mwako MH Lisu atachangiwa pesa kabisa wasikuchoshe hao haramia CCM, mh endelea kufundisha kinachojiri kwenye Taifa letu,
Safi sana mheshimiwa Mwabukusi, nipe namba ya kuchangia
Ukosawa mwabukusi
We behind you guys and we still praying for you LISU
Namshangaa Prof. Kabudi wa sasa ni tofauti kabisa na Prof. Kabudi wakati wa Tume ya Warioba. Eti huyu ni Professa tuliompeleka kusoma Kwa Kodi zetu na akaenda kusomea ukigeugeu.
Very good mh mwabukusi
Wanaopinga Tundu. Lissu Asichangiwe Wameongwa Na Ccm Kwa Chuki Za Ccm
Mungu atangulie katika jitiada za kukomboa Taifa letu la Tanzania kwa kupitia wapambanaji na wanaharakati kama Mh. Tundu Lisu
Big brain explanation vary brave lndipendet privet advocate mwabukusi on tundundulisu
Naumia sana wanapopungua viongoz kama Hawa,that's nice wanasheria wetu,
Sana sana sana Mh Mwabikusi. Asante sana Kiongozi.
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Mwabukusi big up kwa maneno thabiti
Nawakubar sana boniphace na tundu hero's journey
Mwabukusi kaka shikamooo nimekuelewa kaka
MWABUKUSI NA WEWE MUNGU AGUBARIKI
Tutachanga hatamilioni elfu tatu
Wewe ni jembe letu
Lisu kwakweli mtu moja smart sana na mpambania haki wa kweli wa Taifa.
Ccm.mnawakatisha.tamaa.wasimchagie.lisu.wakati.nyie.mnaishi.kwa.kodi.zetu.maisha.yenu.yote.ni.kodi.na.bado.mnaiba.
Sawfi sana mwabukusi lete namba ya kuchangia. Tunamkaribisha huku kwetu Tunduru
Big Up Mwabukusi
Safi sana wakili majitu mapumbavu tuyatenge sasa tuta fika tu
Ni kweli mkuu hata kama mtu anayeweza ampe hata mkewe ampigepige masaji pia hicho ni muhimu sana vilevile
Huyo keshapewa milioni mia 4 hio michango ni danganya toto apewe na waliomfuga huko Ulaya
asante sana maria je serekali ya muungano tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa amani na mapori yetu tuyamiki bila kufukuzwa kama wakimbizi ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi awajui yanayo endelea maria je nauliza tutafanyaje swala vitambulisho vya taifa vitolewe kwa haraka sisi wooote ❤
Mh. Mwabukusi, mbona unachelewa kuchukua KADI!?
Ebu kachukue kadi ili Jimbo la Mbeya mjini litakapogawanywa kama inavyosemekana wewe usimame Jimbo moja na Sugu Jimbo jingine. Nakukubali sana Mwamba sijui muda wote huu ulikuwa wapi
Kongole sana mheshimiwa. Ni mpumbavu tu ndiye hatakuelewa.
Nashauri mchango uwe milele
Freedom is coming 2morooooo❤❤
Naomba a/c namba nachanga kutokana kilicho tokea. Waliofanya hivyo Mola awahiukumu popote walipo.
Tutachangia sana,wasiotaka wasichange hawalazimishwi.
Daaa cnachakusema amemaliza
Ata nyelele au CCM wanachangiwa
Tunataka number team strong tupo huku Gulf county balozi zinanatutesa, tupeni number ya kuchangia
Inchí hii wapo watu MUNGU anatambua kuwa ana watumishi wake!! Na ni wachache. Pili atakapokuja kuwaweka hazalani, wengine watategemea kuona labda Mwamposa, au muhubili yoyote, utakuja kushangaa kumbe wapo kwenye Siasa au harakati. Tena wachache sana. Najuwa mmojawapo ni TUNDU LISU, NA MWABUKSI, HAWA WATU NI WATU WACHACHE SANA DUNIANI, WALITOKEA KIPINDI CHA MJERUMANI ALIPOKUWA ANAKUJA AFRICA. NDIO NAANZA KUWAONA SAIZI. LISU, MWABUKSI, SLAAA, MDUDE, NA WENGINE WOTE WANAOPIGANIA TAIFA HILI KWA GHALAMA ZA UHAI WAO BILA UWOGA NDIO WATUMISHI WA MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA INCHI, WENGINE SINA HAKIKA KABISA. NA SIWAAMINI KABISA.
Naomba tujulishwe namna/mfumo wa kuchangia. Pesa(gari la Lisu) yetu tutaituma wapi na vipi?
Tunachangaje Sasa tupeni number,
Hata miye ninamchangia elfu sabini ili akaifanye kazi ya ukombozi kwa ufanisi na kutuweka huru watanganyika.
Kwa nini anazungumziwa Lisu kama mtu binafsi na sio kama mtu anayefanya kazi chini ya Chama?
Tukopamoja namba za kuchangia ziko wapi?
HAO ULIOWATAJA NDIYO WALIOPIGANIA TAIFA LAKINI SIO LISSU
Good job wakili Mia Ina Kuja
Account namba inahitajika. Nitumie.
Mwabukusi sio kumchangia gari tu mpe na mkundu wako kuma weeee ccm mbele kwa mbele
Pole sana Muogope Mungu,Kuna kujib kwa Allah kadri ya matamshi,
Ninakukubali sana kila saa na kila wakati, ujawahi kuongea upumbavu
IKIWEZEKANA ANUNULIWE GARI ISIYOPENYA RISASI SHIME WATANZANIA TUSILEMAE KIFIKRA MWENYE ENZI MUNGU AMETUPA AKILI TIMAMUU. BAHATI MBAYA KUNA WALIOUMBWA NA UTINDIO UBONGO HAO TUWAOMBEE
Mwabukusi muongo
Lissu alipiganie Taifa gani? Acha upoyoyo
Lissu anapigania maisha yake
Sio ya Watanzania
Wanamuunga mkono LISSU HAWAJITAMBUI KAMA ULIVYO WEWE MWABUKUSI
Kwann alipigwa risasi😢😢
@@user-vg9sd2fc1k alijipiga risasi mwenyewe hivi upigwe Risasi mkono wa kushoto
Uumie mkono wa kulia
Waaache upoyoyo wadanganywe wasio na Akili
Nani mwenye utindio wa ubongo? Ambaye alizunguka kuwaambia watanzania kwamba kiongozi flani ni fisadi na baadaye akazunguka kumnadi huyo huyo aliye mtuhumu awali eti, eti, eti...
achaguliwe awe kiongozi wao. Nini kiliwageuza wakarudia kulamba matapishi yao.
Msiwadharau wananchi mkafikiri wana akili za usahaulifu kama kuku. Huwezi kufanya siasa za kinafiki huku ukimtaja Mungu wa Mbinguni, huko, huko, huko na rudia huko ni kujilisha upepo.
Nakubaliana nawe ktk kosa la Chadema kumpokea Lowasa, Lakini sipo tayari kuamini Lile kosa la Chadema liifanye Ccm kuwa ni Bora kuliko Chadema, No!! Pale kweli waliteleza Lakini Bado Chadema ni Bora mara 5 kuliko Ccm, wanashangaa kumchangia Lisu gari ya Mil 300 afanye Kazi ya Taifa, wakati Mi Ccm limoja tu linakula ma billion ya Watz?
Shujaa umesema neno
Wamisangi, naona kama sio ccm basi ubongo wako umechanganika na maji zaidi,ujazo wa ubongo mdogo kuliko maji. nikuulize ukimuhubili mchawi na akaacha uchawi wake utaendelea kumshikilia na uchawi? Pili kuna mtu aliitwa Sauli kwenye Biblia,unajuwa mazambi yake alifanya? Hadi alikuja kuitwa paulo, na ndiye aliyeweka nyaraka nyingi zaidi zitadumu milele kuliko wote walioandika barua kwa watu.huyo uliyetamani wasimsafishe baada ya kutubu zambi zake usije kushangaa hata Mungu alishampokea saizi,tena watumishi wenzake ndio waliomsafisha.wasiogope bulaaa zako watakutana mbinguni.hivyo jitafakar sana upone maji yapunguwe upone kufikili na ujuwe maisha ya taifa lako vzur
Kuna mahali popote CDM walikiri hadharani kukosea kumpokea EL Hayati, kama ambavyo walitangaza hadharani kumpokea ? Nikumbushe. Nini kiliwasukuma kumpokea kwa sababu zilikuwepo telesi kipindi hicho kwamba Mzee wawatu akitoa fedha mpaka wanafamilia wake wakaingilia kati kumnusuru, nani walikuwa wafaidika wa hizo fedha kama hii tetesi inao ukweli? Kama kumpokea na kumnadi ambapo ilikuwa ni kulamba matapishi yao kulikuwa ni matokeo ya hizo fedha watu hao bado wana integrity mbele ya macho ya wazalendo unaowafanya wa aminike???
Sauli alikuwa anafanya kazi ya Mungu kupitia imani ya kiyahudi dhamira yake ilikuwa njema hakutaka kujinufaisha yeye binafsi. Hivi katika waliokuwa wanamnadi EL nani alikuwa kimbelembele zaidi? Hakuwa amelipwa ndio maana akawa kimbelembele? Magari ya gharama kubwa wanayo miliki nini chanzo chake?
Mbona John Mnyika alikuwa na ujasiri wa kukataa maamuzi ya kubadili gia angani na kukataa kumnadi EL, hawa wengine walisukumwa na nini?
Wako watu hutaona wakijitokeza hadharani kutafuta sifa ambao kimsingi walitumia akili na maarifa yao waliojaliwa na Mungu kutia mawazo ambayo yaliishamirisha CDM kipindi kile halafu khafla from nowhere na kirahisi tu. Eti tumebadilisha gia angani. WHAT A BETRAYAL THAT WAS!!!!
Hekima gani inayo tumika kusema CDM ni afadhali? Nini msimamamo wao kuhusu ushoga kwa mfano?
Hayo maoni yako kuhusu ubongo wangu na kujibu kwachili NENO. Isaya 54:17
Kwachili neno aahaa we kweli hauko vizuri