MPAKA HOME YAZUA KASHESHE ‘BEI MBAYA’ KWA ESHA BUHETI!
HTML-код
- Опубликовано: 9 авг 2017
- SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
KIPINDI kinachozidi kujizolea umaarufu mkubwa cha Mpaka Home kinachorushwa kila wiki kupitia channel hii namba moja, wiki hii kilikumbana na kasheshe kubwa, baada ya kumvamia msanii mkongwe, Esha Salim Kaombwe Buheti ‘Mtata’, usiku wa manane kwa lengo la kufanya naye mahojiano kama ilivyo ada yake, hivyo kuzua sekeseke la aina yake.
Katika uvamizi huo, Esha Buheti ambaye ni mjamzito wa kujifungua wakati wowote, aligeuka mbogo na kumpa masharti mengi na magumu mtangazaji wa kipindi hicho. Hebu tazama mwenyewe ujionee kilichojiri. - Развлечения
Mungu akusaidie Sana ujifungue salama
Nmejifunza mengi sana kwa Dada hakika ni mama bora yuko vizuri ningependa nimwone inaonekana ako na madini Fulani mungu akupe maisha marefu sana dadaangu nakupenda sana
In
Masha Allah shukran Esha Masha Allah uko sawa,Hongera sana .Duuuh mtangazaji umepatikana leo.
Hahaha MashaAllah ana roho safi sana Esha buheti
one of the best program on television big up global tv , na huyo Brighton msimbadilishe muacheni hivyo hivyo na ukatuni wake inapendeza
😂😂😂😂
nakupendaga esha buhet mungu akulinde na kijacho wako
Mashaallah tabaraQillah kila lakher Dada Esha Buheti....Lovely lady
Woow, huyo mtoto yuko swafi sana aki
Kwahiyo utajifungua wa kike
daaaa yani hana hata hasira. ...hadi raha 😂😂😂😂
Esha ni mzuri kwa kwel
Da Asha nimekupenda sana sana Inshaallah mungu Akujalie ujifunguwe salama mtoto mwenye kheir na wewe Ameen Ameen Yaraby😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😍😍😍😍😍
Emmanuel Sanga uko pows
ali alesry
Nice
dada Mara yakwanza nimekuona nimekupena sana mungu akupe kher inshallah ujifunhuwe salama inshallah
Wewe mtangazaji huna quality ya hio kazi cha kwanza ukaaji wako na huyo mwanamke hauridhishi umejongea sana na,moving ur hands near her ukiuliza maswali..second maswali yako hayako proffessional na matamshi yako hayako clear unabaruza sana maneno..tatu uvaaji wako na style unapoongea unaeka tama sana mara,unajipangusa uso maro kubetesha shingo..nafkiri you need to be smart look the write types of questions..they way unapeleka mikono kwa hilo tumbo..unafaa upigwe makofi na kutolewa nje na husband wake ..mshamba sana huyu jamaa global tv munajiebisha to have such people..I'm sure kuna watu wanavipaji wa hii kazi but munawapa watu kujuana someone one like huyu jamaa hafai
Tumekupenda esha
Nyumba zilizo haribika kisiwani pemba
Katika wasanii wasanii wanawake wa bongo eshe ni number one I love you esah buhetiiii
Hayo majibu
kiukweli atamm nakukubali sn dada Mungu atakusaidia na utajifungua salama
Jaman mi nampenda huyu dada....yani nataman alijue hilo...
Ingawa si ipendi hii tabia ya kuwaendea watu majumbani mwao bila kuwajulisha wahusika , lakini nimempenda huyu Mtangazaji ni mtilivu na heshima .
Hongera Sana esha napenda Sana muvi zako
Uko vizur
😂😂😂 et unantemea mayai.....nampenda sana huyu dada
ahahaha nakupenda sana dada esha. mwanao mzuri
Hongera Sana kwako pazuri Sana.
Nampenda sana uyu dada
Aisee hongera sana mtangazaji umejitahidi umekuwa mvumilivu
jamani tefuteni mwenye mimba mwengine mufanye interview manake sikwa majibu hayo...ilov u eshaa😂😂😂😂😂😂😂😂
😂 😂 😂
yani watanzania mnavimaneno maneno hatari, mnatoa mapovu mpaka mnaboa, me sijaona kosa lolote hapo hesha buheti ajui kulinga pia me nampenda coz anapenda kusema kweli na ukimkosea hajui kuweka kitu moyoni mtasawazisha na maisha yataendelea.
nimekupenda bureeee sana mamiiiii duuuuh u teach meee many things
Eisha jaman mdada wa watu mstaarab kabisa na mimba alokunayo lkn bado ni mstahamilivu sana
nampenda sana huyu dada mashallah
Ipo siku atang'atwa na mbwa kiukweli ukweli maana kumuendea mtu usiku haileti maana
lov u esha 😍😍😍
nimependa Sana haya mahojiano na huyu dada
Yaan hujanifikia mm glory
Mi mjamzito ctakiwi kuumwa na mammbu duu hahaa nimeipenda nimecheka sana hii interview
Siyo vizuri kuvamia watu
Jaman huyu dada wallah nampenda from the bottom of my heart,,,, anafurahisha halaf ni mzuri maa Shaa allah, ila Brighton punguza😂😂
Mashaallah mngu akujaalie mtoto mwema
mtoto mzurii kama mamayake
hahaaaaaaa ''kwan wew ndio unanipeleka lebaa''huhuuuu
unamaneno yahekima sana dada binaadamu anapanga mungu anaamua
Mtoto mzuri mashaall
dada mungu akulinde
Kabisa
Jamani hadirah natamani mtoto wakike namimi
Muombe Allah atakujaalia
Nimekupenda bure Esha
🙌🙌 hapo kwenye chispi kuku umenikumbusha mbali mana nilikuwa napenda nilivyokuwa mjamzito ukitaka nikulilie usilete hicho kitu mimba kiboko
Nampenda sana esha
Duuh tam hiyo nimeipenda sana mungu akupe maisha mema nawanao kadada ila sijaamini we kama nimasai kwauzur huo khaa
hongera mpz nakupendaga sana Esha wangu
hahhaha eti ukiacha viatu nje mbwa atajisevi
I like it.Maisha uliyoishi ww usijekukubali wanao waishi tujitaidi sana kutafuta na kuwekeza kwa ajili yao.
Mama kijacho noma
Dada esha yani unaongea vizuri sana uko na furaha sana mungu akulinde dada na mwanao
Masha Allah
siku Atakula Makofi huyu mpka home itakoma hahhaha
Umm Ali 😂😂😂😂😂
hehehehe hehehehe
😂😂😂😂
Somo yangu somo yangu Esha mrembo naona hata kitabia za fanana toto LA msa
mtangazi mwenyewe kuongea hajui! ==😂😂😂😂😂
officiall triple ongea ww unaejua 😏😏
officiall triple ongea wew unaejua
officiall triple umeona nilichokiona hafai kabsa wala haendani na utangazaji
maashallah Allah kakujaalia
Leo mtangazaji umekipata,kazi ya Leo imekuwa ngumu kwako ila una uvumilivu hongera
esha mtt wako mzur sana
mashallah
mashallah
Mashallah
Esha ni moto
I nearly pee myself laughing 😂 lol 😂
😂 😂 😂 😂
Hongera navyokupenda
Esha kiboko.nimekupenda bule
Endeni kwa wemaaaaa sasaaaa
Esha weee hatari ati ulikua mnatoka kwenda kula Ice cream 😂😂😂mwanao atakaaa!!!!....nakutakia kila la kheri ujifungue salama.Inshaa Allah
hahahahaha jmn lav u sana da Esha
daaah mtangazaji uyu n OMA!!!!!!!!!!
Nakupenda bure da Esha 😍
@esha weee mashallah
Ok
Nice uyo dada yuko vizuri
Kiukweli si uungwana na mnafanya jambo baya.. Na mtu anaweza kukushtaki kabisa.. Unawezaje kwenda kwa mtu bila taarifa . Jifunzeni ustaarabu
red apple kweli kbsaaa
huwa wanawapa taarifa unadhani wanavamia kwel,i ila huwa wanawaambia waigize kuwa wakali ili kunogesha kipindi ila kiukweli wanawapa taarifa.
Kaswi
red apple wanawapa sana taarifa siyo kwamba hawana taarifa wanajua saana
david mihambo Kabisa, Maana bambo alikuwa hadi ma mic lol!
esha we mzuri nimekupenda sio mjeurii mashaallah
Habiba Khlifa kumbe dadake kabula jaman
Huyu jamaa yupo vizuri sana afu anafanana na hiki kipindi😂😂
Hassanova junior 😃😃
+Martin Mussa 😂😂😂😂
Hassanova junior jamaniii
Mama kijacho unanikosha hatareee
+Ysha Mwilima Me too
mpaka home nendeni kwa ebitoke
ahahahahaha jaman staki kucheka mm
Safi dada mungu ndo kila kitu
beauty and is Good Mom
Tatizo.huwa.mnawatarifu.mekap.hizo
Nakupenda sana dada esha 💞💞💞
Esha acha vituko mbwa anakula viatu? Du
kabisa mama tumerizika
Uyu dada nimempenda kuhusu uangalizi wa mtoto
esha achanyodo
eisha kila la khery utulitee mgeni inshaallah
Uwe na mic mbili
hongera nengajan'g
😂😂😂😂😂😂jamani esha
Nimekumic my dia yaan umenichekesha hapo ulipomuuliza mtangazaji eti nimeishia wapi anyway allah akuvushe salama inshaallah
Nakupenda bule
Eti anyways!😀😀😀😀😀mwndshi wa habari hujui kizungu basi si uongee tu kiswahili
Inshaallah dada mola akujaze afya ujifungue salama
nice
Mtoto akaribishwa na shampagne, Allah atamsaidia
Esha nimejifunza jambo toka kwako,stay blessed
Tu nakupenda pia
Kipind kiko powa sana, japo wanakuwa na tabu kuojiwa
Hongera
jmn Leo nmechekaje huyo jamaaa
Daaah Esha unanifurahisha xana
siwai kucheka kama leo
Nakupend Xan xixter uko vizur nimekukubali
Brighton nakukubali sana! Mzee baba
safi sana Esha napenda watu kama nyinyi hahahhaha japo ameingia but wampa vijembe hehehee warureeee
kama kweli iko hivi kutafta uhalisia wa hawa ndugu zetu, kazi ipo aiseeee,
katoto kana akil hdi rha
Poleni sana waandishi wa habari mna kazi ngumu mmmmmmm🤔
Hahaha yani Mala umelewane mala mchenjiane
Jina lako na kazi hii yakuvamia inakufaa najina haya ni watata
Brighton wew umemvurugia mjamzito viatu af hata hujaziarrange tena wewww umbea brighton hahahhaa noum sn
Ila ayo mambo ya kushtukiza kiukweli sio mazuri