MPAKA HOME: Nimewahi Kumfumania Aunt Ezekiel na Mwanaume Mwingine- Baba Haji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 ноя 2017
  • Subscribe / uwazi1
    MPAKA HOME: Haji Adam "Niliwahi Kuishi na Aunt Ezekiel"
    STAA wa filamu za Kibongo, Haji Adam 'Baba Haji' ameibukiwa usiku mnene na kipindi kinachozidi kujizolea umaarufu cha Mpaka Home na kufanyiwa mahojiano ambayo ni ya kipekee (exclusive).
    Katika mahojiano hayo, msanii huyo mwenye uwezo mkubwa wa kuigiza, alifunguka mambo mengi ambayo hakuwahi kuyasema mahali popote.
    Baba haji alianika ukweli juu ya uhusiano wake na msanii Irene Uwoya huku akikiri kuwahi kuishi kinyumba na msanii Aunty Ezekiel, jambo ambalo halikuwahi kutajwa mahali popote.
    Unajua alisema nini juu ya jambo hilo? Tazama mahojiano haya murua kabisa.
    ttp:// / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpubli. .
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 390

  • @beverlykavugwi1894
    @beverlykavugwi1894 6 лет назад

    Whaaat l never new this guy is very open mind l like him very much with that move you act with Ezekiel you went out of country then when back she found aunty amepata mtoto mweupe ilihali waou weusi Bali alikuwa amebakwa aka mwambia hata musamehe duniani wala ahera ndio hicho kiswahili chake pia kina manufaa sana God grant you good health.

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 5 лет назад

    Nampenda sana adam yy ni mpole jinsi yuwach eza movie uwa ni smart sana.wallah ajalie kheri kazi zake amiin.

  • @ilungasalle
    @ilungasalle 6 лет назад +14

    nadhani tumeona tofauti ya wasanii waliopita chuo cha sanaa na hawa waliotokea tandale moja kwa moja

  • @samsonikhenani6682
    @samsonikhenani6682 6 лет назад

    Kwayote hongereni sana .maneno yanayo semwa na watu msiyajali kwakuwa haya toboi mwili . gd jobu

  • @mwanasarebakari1219
    @mwanasarebakari1219 6 лет назад +1

    Mhhh ni mtu wa kuji-proud sana baba haji dah

  • @julymilkytz7598
    @julymilkytz7598 6 лет назад +8

    Baba haji huwa huigi na hujisikii bro big up Sana'a bro

  • @sashababy1321
    @sashababy1321 6 лет назад +6

    Tobaaaaa uyo mke ana moyo mm siwezi kuvumilia upumbavu uhu khaaa ain't mchambe tu uyu mtu ana adabuu

  • @mamuuamir5806
    @mamuuamir5806 6 лет назад +13

    Bahaji nakukubali san but kwa hili nimekuwa si shabiki yako
    hukustahili kuongea ya aunt coz unamaisha yako na yeye anamaisha yake ss hv.
    pia sio vizur kusema huwez kusahau penzi la aunt while unamahusiano na mwanamke mwngne (MKE)unataka ajisikiaje mwanamke unaeishi nae sasa hv.
    Watu wa tanga hatupo hivyo ukarimu wetu sio wa kumchafua mwenzio na nnaamini dini unaijua hukustahili kusema hayo.

  • @idrisatarawe7305
    @idrisatarawe7305 5 лет назад

    Kama ume chukizwa na tangazo linalo mariza mb gonga like twenzetu

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 лет назад +16

    Nimempenda sana haji anasema ukweli kabisa.

  • @Himdat-wg1ut
    @Himdat-wg1ut 6 лет назад

    Hongera nisalimie tark wajina wamwanangu,nisalimie wote MashaAllah

  • @selemanharuni7997
    @selemanharuni7997 6 лет назад

    Asante Grobal Tv

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 6 лет назад +15

    Mtangaxaji unaongea sana pia baba haji umeoa unamfanya mkeo ajihisi kwamba sio bora kwako unapoanza kuongelea mwanamke mwingine is not fair for her.

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 6 лет назад

    Love hadi kaz zako nzuri

  • @user-fj9it6mq4u
    @user-fj9it6mq4u 6 лет назад

    Uyu Jamaa namkubali sana wakiwa na riyama mambo hayaalipiki shukurani sana

  • @sixmundpeter8695
    @sixmundpeter8695 4 года назад

    safi sna baba haji umejua kufungua saf sana kwa kyjiamini

  • @happykipoya42
    @happykipoya42 6 лет назад

    Mtangazaji unajitahidi Sana hata unapotukanwa unajua kujishusha na kujitetea kwa adabu hongera

  • @japhethmangaka6603
    @japhethmangaka6603 4 года назад +2

    Duh mtangazaji nomaaa sio kwa haraka izo wewe ni Jali muda uko faster zaid ya umeme

  • @franciscomyoka4220
    @franciscomyoka4220 6 лет назад

    confidential breakdown

  • @zidihermfinanga7468
    @zidihermfinanga7468 6 лет назад

    Mmh ww jamaa Nimekuelewa sema umefunguka sana Bro ile....mbya

  • @najma3268
    @najma3268 6 лет назад

    Nakukubali sana Brother

  • @rukiashoko7528
    @rukiashoko7528 4 года назад +1

    Mtangazahiii hajatuliaaa

  • @bongotv6199
    @bongotv6199 6 лет назад +5

    Kipindi ni kuzuri sana cha leo ila umekifupisha kweli sana yaan kuna vitu ving umetunyima

  • @freckfide744
    @freckfide744 6 лет назад +1

    kama haumkabali mtangazaji gonga like.

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga9220 6 лет назад +5

    bado hujakua baba haji maana aunt kisha olewa na ww ushaoa haina haja kuongelea maisha ya x wako unless bado unamtaman

  • @zabibukivyele7407
    @zabibukivyele7407 4 года назад +4

    Muliwahi kukaa utupu lkn hamujawahi kuzitumia tupu zenu me hapo mbona sijaelewa jamam

  • @marymaiko6605
    @marymaiko6605 5 лет назад +4

    sijapenda kwani lazima useme mamb ya nyum jamani watu wengine mmmmh! ovyo

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin 6 лет назад +10

    Huyu anampenda bado aunty anakumbuka uzuri wake nahajamuumbua kwa mabaya big up

    • @LSA-23
      @LSA-23 6 лет назад

      kweli kabisa hata mi naona bado anampenda Sana, sijui mke wake atakua anajisikiaje kusikia maneno ya mmewe 😢

    • @eddnahwiston7851
      @eddnahwiston7851 5 лет назад

      ameharibu alivosema ya aunt ezekiel

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +3

    Mtangazaji unakierehere, 😂😂😂

  • @stellahmutheu9249
    @stellahmutheu9249 6 лет назад

    Napenda sana movie zake

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +2

    I love bb haj yuko sahiihiiiii

  • @shizzlemreal1811
    @shizzlemreal1811 6 лет назад +42

    Huyu mtu nampendaga Sana haswaa kw ile movie ya Jamila na Pete ya ajabu

  • @mariamothman579
    @mariamothman579 6 лет назад

    dah khaji nakupendaga sanaa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад

    Mmm.kaka umetisha

  • @dr.abdinassir6807
    @dr.abdinassir6807 6 лет назад +13

    binafsi sjakifurahia leo kipndi kwa sabab
    1 Tunaambiwa Haji kalaal wakat unaingia ndani kuna movement zinaendelea
    2 Aikua na haja ya *kumzalilisha* Ant kwa yot ayo
    3 kipind ni kifupi leo, bila taarifa

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 6 лет назад +8

    Duh ba Hajj umevuka mpaka Huyo mkeo pia ameskia hayo ya wewe na Anty Ezekiel. Japo yalipita ila yauma nakupa Hongera uko mbelembele kimaendeleo.

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 лет назад +5

    😂😂😂😂😂mtangazaji nae haupuumui BabaHajji umetisha mno big up tu sanaaaa

    • @sadakilona5031
      @sadakilona5031 6 лет назад

      Haaaa mtangazaji kakomeshwaa kawa mdogo

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 6 лет назад +1

      Samantha Ali ni maumbile yake ana kigugumizi ila mbishi

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 6 лет назад +4

    Hajji unakosea mengne ya ndan clazma kuyaongea mana watu wanamaixha yao, unadhalilixha

  • @nellychokoletivlogs5485
    @nellychokoletivlogs5485 6 лет назад +1

    Napenda vile unavyoingiza lakini umeniudhi nimekusoma we ni mtu wa aina gani(1),ulikua na Nia ya kuongea kuhusu aunt na mengi ya kumuaribia ni vile mtangazaji alikatiza story(2)kila mtu uwa ana mbio zake kimaisha so kuhusu kanumba alifanya bidii yake akafika alipofika na Kua star wa kipekee(3 )una sifa sana ww mfanyakazi wamsumbua akuletee maji nahunywi kujidaii oh mfanyakazi...respect ur age sio kuporokwa tu umeniboa ata huyu mtangazaji umemuboa pia mpaka hana tym ya kuuliza maswali

  • @dottopollandy6924
    @dottopollandy6924 6 лет назад

    Upo vizur sana

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 лет назад

    Nice

  • @mariampolesanajanjarorajah9942
    @mariampolesanajanjarorajah9942 5 лет назад

    Kaka mstaarabu sana namkubar Sana

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 6 лет назад +3

    Haikuwa sahihi kumzungungumzia kiundani mpenzi wa zamani hali ya kuwa umeoa na unafamilia na yeye anaishi na mpenzi wake yaani hapa nimekudharau sana

  • @winniechoyo4072
    @winniechoyo4072 6 лет назад

    Nimeinjoy

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 6 лет назад

    Kweli ulimpenda... Muonekano wako jinsi unavyomuongelea kweli alikugusa ku moyo na bado ukimuongelea unaumia kwa kutokuwa naye alikujali na unamjali bado ila mara nyingi uambiwacho huweza kuwa ni kukukinga kwa kweli au kwa uongo jibu sahihi analo mwenyewe mwanamke

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 4 года назад

    Jamani eeeeeeee hatari sana

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 4 года назад +2

    Alikuwa kalala,huku anamnyonyesha mtoto maji

  • @honolyjohn4789
    @honolyjohn4789 6 лет назад +1

    usivae tena hilo shart lako sawa mzamiaji unashindwa kununua hata ya mashati ya miatano ijia miatano huku bunju

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 5 лет назад

    Mmmh bongo movie aaaa apo sawa sijui maana mnatisha

  • @khalingumu9999
    @khalingumu9999 6 лет назад +1

    MTANGAZAJI ANAZINGUA SANA KIGUGUMIZI KINGI ALAFU ATA KUULIZA MASWALI AJUI

  • @elizabethkisogole9476
    @elizabethkisogole9476 6 лет назад +18

    mtangazaji anafanana na Sam mahela ki udadis na muonekano vipi kuna ujamaa?

  • @ashuramustafa2058
    @ashuramustafa2058 6 лет назад

    Good

  • @fatmaikopoa34
    @fatmaikopoa34 6 лет назад

    safi

  • @teefahbaby352
    @teefahbaby352 6 лет назад

    Mashaallah una mtt mkbw

  • @mathewstanley4063
    @mathewstanley4063 6 лет назад +1

    🙌🙌🙌🙌👏👏👏

  • @maryndosi2280
    @maryndosi2280 6 лет назад

    baba haji ninakukubali sana nakupendaga mnoo

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 лет назад

    😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 bb haj kamchanganya mtangazaji na watazamaji pia kwa hayo maneno eti nimewahi kua na mahusiano ya utupu lkni sjawahi kuingiliana nae kiutupu naomba mlioelewa mnifahamishe nashindwa kutafakari hayo maneno yake.

  • @amurikakombe7213
    @amurikakombe7213 6 лет назад

    ni nzuri

  • @khaityzahoro6094
    @khaityzahoro6094 4 года назад +3

    mtangazaji atulii analukaluka kwenyekiti kamabisi kwenyekikahango

  • @veronicamtenga2807
    @veronicamtenga2807 6 лет назад

    namkubabali sanasana

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 6 лет назад +3

    Sasa simuwe na mike mbili....mnachangia hiyo moja kwa shida shida kha

    • @DIMOXCHITAH
      @DIMOXCHITAH 4 года назад

      Shakila Masoud awaijui corona hawa

  • @sheilahashim3372
    @sheilahashim3372 6 лет назад +4

    uenda alimdanganya ili apate nafasi ya kumuacha

  • @user-qv3fb5hx9n
    @user-qv3fb5hx9n 6 лет назад

    ndo usani uyo naona ni umalaya tupumnazini hovyo kiivyo e mungu nisaidie mwanangu asiwagi msani duuuh

  • @japhariydhwahi2255
    @japhariydhwahi2255 4 года назад +1

    Mtangazaji una kihele hele sana na kigugumizi kime zidi alafu ww Haji ume funguka sana una tia aibu

    • @gracemgonja1098
      @gracemgonja1098 4 года назад

      Ndo mna wanakufaga ovyoovyo ksa kujua maixha ya wtu

  • @izacksbalzack1854
    @izacksbalzack1854 6 лет назад

    Pangani wapi?

  • @rashidisaid7011
    @rashidisaid7011 6 лет назад +47

    kwani we ichi kipind hakikulipii?.. mbona ilo shat lako kila kipindi unakua nalo umelivaa.. ukibadilisha ni umevaa lile sweta lako

  • @tatujuma5531
    @tatujuma5531 5 лет назад +1

    Laiti ningekuwa mie ndio mkeo ungejuta kuanzia siku hyo!! Unamke alafu unamsifu x wako kwa nini ukioa mke mwingine ukaacha kupigania penzi usilosahau?? Kislam umekosea sana muombe msamaha mkeo na zawadi mnunulie.

  • @fedelischengula7891
    @fedelischengula7891 5 лет назад

    uyu mjamaa namkubali sana

  • @sadocksebastian7620
    @sadocksebastian7620 6 лет назад +2

    Mtangazaji una tension sana!! take it easy, just relax, interview itapendeza

  • @saudanaftari4102
    @saudanaftari4102 6 лет назад

    nice baby good.

  • @azizijuma1282
    @azizijuma1282 4 года назад

    Mtangazaji wakifala badilishen mtangazaji global tv

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 6 лет назад +17

    kwa wastara ulikula matunda ulitoka umenenepa mwenyewe

  • @ruqiyaruq5142
    @ruqiyaruq5142 4 года назад

    Ba haji mwanao umefanana hongera

  • @rahimakazogoro391
    @rahimakazogoro391 6 лет назад +1

    india

  • @singlemother4936
    @singlemother4936 6 лет назад +3

    Mm napenda hiki kipnd lkn ananikera huyu mtangazaji, he is neither serious nor smart!!

  • @happykipoya42
    @happykipoya42 6 лет назад

    Hahahaaa Rashid said nakuona nakuona!

  • @everlynmanigamaniga818
    @everlynmanigamaniga818 5 лет назад +1

    Sasa ilikua aireen uoya ghafla auntie Ezekiel akaingilia hivi Una nini wewe hajj, ila umefanya nikajua kumbe ulimunyandua auntie😂😂😂

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 лет назад +1

    Mmmh 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️

  • @rashidisaid7011
    @rashidisaid7011 6 лет назад +1

    ila story ya unt haiusiki na hayi maisha yako hapo sasa sijui umeiweka hapo... au kiki...

  • @neemamwaimu7040
    @neemamwaimu7040 6 лет назад +1

    Huyu bado anampenda Mrs iyobo😂😂😂

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Год назад

    Masikini we baba haji ndio nini sasa kumuongelea mtu bila hata kuulizwa makubwa.

  • @jumandutu2275
    @jumandutu2275 4 года назад

    Huyu mtangazaz anaongea Kama anatoa taarifa ya habar tunapoenda kuchukua course tuweni makini jamani unaweza kuta unasomea kompyuta kumbe kipaji kiko kwenye ufundi

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 лет назад

    Aisha ELIAS Ok nimekulewa maskin

  • @mariamkimwaga943
    @mariamkimwaga943 6 лет назад +3

    Ila povu atali baba haji iyobo amuachi we mwaga mboga tu

  • @safiamahmoud980
    @safiamahmoud980 5 лет назад

    jamani haji Adam

  • @ilhamsimai4459
    @ilhamsimai4459 6 лет назад +3

    kuvamia huku sikwanchii hii.

  • @hassanmusso3007
    @hassanmusso3007 6 лет назад

    Nimekubari vipindi vyenu sartii sana

  • @NeemaKmussa
    @NeemaKmussa 4 года назад +1

    Mmmh kwani mnaosema haji hajui kufisha mumemsahau 🤣🤣km huyu ni wamaneno ya kuambiwa

  • @sadikibinsadiki9317
    @sadikibinsadiki9317 6 лет назад

    Na kwa diamond please

  • @jacklinenyahega2405
    @jacklinenyahega2405 6 лет назад +1

    uko kama vile ulikuwa na kinyongo na Aunt ila ulikosa pa kukisemea ndo maana umeelezea kitu ambacho hujaulizwa.

  • @qweencharles307
    @qweencharles307 6 лет назад +1

    Huyu kaka yuko poa hajaleta figisufigisu kama wengine wanavyokuaga

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 Год назад

    Mapenz yamezaliwa Tanga ilikua zaman hiyo baba pia mapenz ni ufundi wako tu mwenyewe

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 6 лет назад +3

    Mnayataka nyinyi km ww ujaulizwa habari za uant umejikoki mwenyewe

  • @sheilahashim3372
    @sheilahashim3372 6 лет назад +2

    kweeenda uko unamjua kuliko mama ake mjinga saaana

  • @morogoro1084
    @morogoro1084 Год назад

    Suprise gani mbona waongo wakati huwa mnawapigia cm kuwaomba mna nn lkn aaaaag

  • @tedyjoseph5178
    @tedyjoseph5178 3 года назад

    Sasa ww baba haji mbona unachanganya na kingereza ebu mumuige bulandina chagula maharufu kama johari

  • @happymwakajila499
    @happymwakajila499 6 лет назад +1

    mmmh mKubwaa mtangazajii mhhh

  • @rahmangajime551
    @rahmangajime551 6 лет назад +4

    mishavu napua sasa 😀😀😀😀haji shogaaa huyu mwanaume mwenye akil timamu hawez kuongea hiviii hatutoi kiki hapaaa unahadh ww

  • @abdullsaid2708
    @abdullsaid2708 4 года назад

    Huyu haji Adam nilimuona mstarab sana kumbe hana lolote unawezaje kuweka wazi ivo mahusiano ya hawara wako wa zamani hukumbuki kuwa ww ni star na una make saiv acha zako jielewe unaonekana mbali sio vzr ata km uli det nae

  • @wilbrodmalima3034
    @wilbrodmalima3034 5 лет назад +1

    Cku nkija kwangu bila tarfa mtaona moto