MPAKA HOME: Nimewahi Kumfumania Aunt Ezekiel na Mwanaume Mwingine- Baba Haji
HTML-код
- Опубликовано: 1 ноя 2017
- Subscribe / uwazi1
MPAKA HOME: Haji Adam "Niliwahi Kuishi na Aunt Ezekiel"
STAA wa filamu za Kibongo, Haji Adam 'Baba Haji' ameibukiwa usiku mnene na kipindi kinachozidi kujizolea umaarufu cha Mpaka Home na kufanyiwa mahojiano ambayo ni ya kipekee (exclusive).
Katika mahojiano hayo, msanii huyo mwenye uwezo mkubwa wa kuigiza, alifunguka mambo mengi ambayo hakuwahi kuyasema mahali popote.
Baba haji alianika ukweli juu ya uhusiano wake na msanii Irene Uwoya huku akikiri kuwahi kuishi kinyumba na msanii Aunty Ezekiel, jambo ambalo halikuwahi kutajwa mahali popote.
Unajua alisema nini juu ya jambo hilo? Tazama mahojiano haya murua kabisa.
ttp:// / uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. . Развлечения
Whaaat l never new this guy is very open mind l like him very much with that move you act with Ezekiel you went out of country then when back she found aunty amepata mtoto mweupe ilihali waou weusi Bali alikuwa amebakwa aka mwambia hata musamehe duniani wala ahera ndio hicho kiswahili chake pia kina manufaa sana God grant you good health.
Nampenda sana adam yy ni mpole jinsi yuwach eza movie uwa ni smart sana.wallah ajalie kheri kazi zake amiin.
nadhani tumeona tofauti ya wasanii waliopita chuo cha sanaa na hawa waliotokea tandale moja kwa moja
Ave seen,what a different
kanyeeee
Kwayote hongereni sana .maneno yanayo semwa na watu msiyajali kwakuwa haya toboi mwili . gd jobu
Mhhh ni mtu wa kuji-proud sana baba haji dah
Baba haji huwa huigi na hujisikii bro big up Sana'a bro
Tobaaaaa uyo mke ana moyo mm siwezi kuvumilia upumbavu uhu khaaa ain't mchambe tu uyu mtu ana adabuu
Bahaji nakukubali san but kwa hili nimekuwa si shabiki yako
hukustahili kuongea ya aunt coz unamaisha yako na yeye anamaisha yake ss hv.
pia sio vizur kusema huwez kusahau penzi la aunt while unamahusiano na mwanamke mwngne (MKE)unataka ajisikiaje mwanamke unaeishi nae sasa hv.
Watu wa tanga hatupo hivyo ukarimu wetu sio wa kumchafua mwenzio na nnaamini dini unaijua hukustahili kusema hayo.
Mamuu Amir @upo sawa kabisa ulivyomjibu
Kama ume chukizwa na tangazo linalo mariza mb gonga like twenzetu
Nimempenda sana haji anasema ukweli kabisa.
Kweli haji mpole sana nanimkweli
Fatma T ...nanii kasema..uuongo mtupu
Hongera nisalimie tark wajina wamwanangu,nisalimie wote MashaAllah
Asante Grobal Tv
Mtangaxaji unaongea sana pia baba haji umeoa unamfanya mkeo ajihisi kwamba sio bora kwako unapoanza kuongelea mwanamke mwingine is not fair for her.
Love hadi kaz zako nzuri
Uyu Jamaa namkubali sana wakiwa na riyama mambo hayaalipiki shukurani sana
safi sna baba haji umejua kufungua saf sana kwa kyjiamini
Mtangazaji unajitahidi Sana hata unapotukanwa unajua kujishusha na kujitetea kwa adabu hongera
Duh mtangazaji nomaaa sio kwa haraka izo wewe ni Jali muda uko faster zaid ya umeme
confidential breakdown
Mmh ww jamaa Nimekuelewa sema umefunguka sana Bro ile....mbya
Nakukubali sana Brother
Mtangazahiii hajatuliaaa
Kipindi ni kuzuri sana cha leo ila umekifupisha kweli sana yaan kuna vitu ving umetunyima
bongo tv wajinga
kama haumkabali mtangazaji gonga like.
bado hujakua baba haji maana aunt kisha olewa na ww ushaoa haina haja kuongelea maisha ya x wako unless bado unamtaman
Muliwahi kukaa utupu lkn hamujawahi kuzitumia tupu zenu me hapo mbona sijaelewa jamam
sijapenda kwani lazima useme mamb ya nyum jamani watu wengine mmmmh! ovyo
Huyu anampenda bado aunty anakumbuka uzuri wake nahajamuumbua kwa mabaya big up
kweli kabisa hata mi naona bado anampenda Sana, sijui mke wake atakua anajisikiaje kusikia maneno ya mmewe 😢
ameharibu alivosema ya aunt ezekiel
Mtangazaji unakierehere, 😂😂😂
Napenda sana movie zake
I love bb haj yuko sahiihiiiii
Huyu mtu nampendaga Sana haswaa kw ile movie ya Jamila na Pete ya ajabu
Shizzle mreal yani mimi naww pamoko
Namkubalisana
Shomari Hamad 😍😍😍😍😍
Shizzle mreal wow so is this guy, that movie is mwaah I wish to watch it again. Love from +254
Shizzle mreal Me to
dah khaji nakupendaga sanaa
Mmm.kaka umetisha
binafsi sjakifurahia leo kipndi kwa sabab
1 Tunaambiwa Haji kalaal wakat unaingia ndani kuna movement zinaendelea
2 Aikua na haja ya *kumzalilisha* Ant kwa yot ayo
3 kipind ni kifupi leo, bila taarifa
Dr. Abdi Nassir kollplpp
Dr. Abdi Nassir poa haj
Unabidi ukizoee ikikipindi
Duh ba Hajj umevuka mpaka Huyo mkeo pia ameskia hayo ya wewe na Anty Ezekiel. Japo yalipita ila yauma nakupa Hongera uko mbelembele kimaendeleo.
😂😂😂😂😂mtangazaji nae haupuumui BabaHajji umetisha mno big up tu sanaaaa
Haaaa mtangazaji kakomeshwaa kawa mdogo
Samantha Ali ni maumbile yake ana kigugumizi ila mbishi
Hajji unakosea mengne ya ndan clazma kuyaongea mana watu wanamaixha yao, unadhalilixha
Napenda vile unavyoingiza lakini umeniudhi nimekusoma we ni mtu wa aina gani(1),ulikua na Nia ya kuongea kuhusu aunt na mengi ya kumuaribia ni vile mtangazaji alikatiza story(2)kila mtu uwa ana mbio zake kimaisha so kuhusu kanumba alifanya bidii yake akafika alipofika na Kua star wa kipekee(3 )una sifa sana ww mfanyakazi wamsumbua akuletee maji nahunywi kujidaii oh mfanyakazi...respect ur age sio kuporokwa tu umeniboa ata huyu mtangazaji umemuboa pia mpaka hana tym ya kuuliza maswali
Upo vizur sana
Nice
Kaka mstaarabu sana namkubar Sana
Haikuwa sahihi kumzungungumzia kiundani mpenzi wa zamani hali ya kuwa umeoa na unafamilia na yeye anaishi na mpenzi wake yaani hapa nimekudharau sana
Nyie wote hamuerewi mnadici kwer
Nimeinjoy
Kweli ulimpenda... Muonekano wako jinsi unavyomuongelea kweli alikugusa ku moyo na bado ukimuongelea unaumia kwa kutokuwa naye alikujali na unamjali bado ila mara nyingi uambiwacho huweza kuwa ni kukukinga kwa kweli au kwa uongo jibu sahihi analo mwenyewe mwanamke
Jamani eeeeeeee hatari sana
Alikuwa kalala,huku anamnyonyesha mtoto maji
usivae tena hilo shart lako sawa mzamiaji unashindwa kununua hata ya mashati ya miatano ijia miatano huku bunju
Mmmh bongo movie aaaa apo sawa sijui maana mnatisha
MTANGAZAJI ANAZINGUA SANA KIGUGUMIZI KINGI ALAFU ATA KUULIZA MASWALI AJUI
mtangazaji anafanana na Sam mahela ki udadis na muonekano vipi kuna ujamaa?
kweli kama ana copy swaga
Nakuku Bali xana aji adamu
Good
safi
Mashaallah una mtt mkbw
🙌🙌🙌🙌👏👏👏
baba haji ninakukubali sana nakupendaga mnoo
😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 bb haj kamchanganya mtangazaji na watazamaji pia kwa hayo maneno eti nimewahi kua na mahusiano ya utupu lkni sjawahi kuingiliana nae kiutupu naomba mlioelewa mnifahamishe nashindwa kutafakari hayo maneno yake.
ni nzuri
mtangazaji atulii analukaluka kwenyekiti kamabisi kwenyekikahango
namkubabali sanasana
Sasa simuwe na mike mbili....mnachangia hiyo moja kwa shida shida kha
Shakila Masoud awaijui corona hawa
uenda alimdanganya ili apate nafasi ya kumuacha
ndo usani uyo naona ni umalaya tupumnazini hovyo kiivyo e mungu nisaidie mwanangu asiwagi msani duuuh
Mtangazaji una kihele hele sana na kigugumizi kime zidi alafu ww Haji ume funguka sana una tia aibu
Ndo mna wanakufaga ovyoovyo ksa kujua maixha ya wtu
Pangani wapi?
kwani we ichi kipind hakikulipii?.. mbona ilo shat lako kila kipindi unakua nalo umelivaa.. ukibadilisha ni umevaa lile sweta lako
Rashidi Said 😂😂😂 ni uniform ya kazi bahnaa
Achen kupond mwenzenu yupo kazn
A TV Online haaa
Rashidi Said hahahha uwiiii nmecheka kwa saut mie
Mbavu zangu mie.....rashid
Laiti ningekuwa mie ndio mkeo ungejuta kuanzia siku hyo!! Unamke alafu unamsifu x wako kwa nini ukioa mke mwingine ukaacha kupigania penzi usilosahau?? Kislam umekosea sana muombe msamaha mkeo na zawadi mnunulie.
Haha wewe
uyu mjamaa namkubali sana
Mtangazaji una tension sana!! take it easy, just relax, interview itapendeza
nice baby good.
Mtangazaji wakifala badilishen mtangazaji global tv
kwa wastara ulikula matunda ulitoka umenenepa mwenyewe
David Phares ha ha ha ha ha
David Phares 😂😂😂😂😂😂😂nasoda juu
David Phares Hahahahaha
Hahaaaaaaa
Ba haji mwanao umefanana hongera
india
Mm napenda hiki kipnd lkn ananikera huyu mtangazaji, he is neither serious nor smart!!
Hahahaaa Rashid said nakuona nakuona!
Sasa ilikua aireen uoya ghafla auntie Ezekiel akaingilia hivi Una nini wewe hajj, ila umefanya nikajua kumbe ulimunyandua auntie😂😂😂
Mmmh 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
ila story ya unt haiusiki na hayi maisha yako hapo sasa sijui umeiweka hapo... au kiki...
Huyu bado anampenda Mrs iyobo😂😂😂
Masikini we baba haji ndio nini sasa kumuongelea mtu bila hata kuulizwa makubwa.
Huyu mtangazaz anaongea Kama anatoa taarifa ya habar tunapoenda kuchukua course tuweni makini jamani unaweza kuta unasomea kompyuta kumbe kipaji kiko kwenye ufundi
Aisha ELIAS Ok nimekulewa maskin
Ila povu atali baba haji iyobo amuachi we mwaga mboga tu
jamani haji Adam
kuvamia huku sikwanchii hii.
Nimekubari vipindi vyenu sartii sana
Mmmh kwani mnaosema haji hajui kufisha mumemsahau 🤣🤣km huyu ni wamaneno ya kuambiwa
😂😂😂😂
Na kwa diamond please
uko kama vile ulikuwa na kinyongo na Aunt ila ulikosa pa kukisemea ndo maana umeelezea kitu ambacho hujaulizwa.
Huyu kaka yuko poa hajaleta figisufigisu kama wengine wanavyokuaga
Mapenz yamezaliwa Tanga ilikua zaman hiyo baba pia mapenz ni ufundi wako tu mwenyewe
Mnayataka nyinyi km ww ujaulizwa habari za uant umejikoki mwenyewe
du ushambaaa
kweeenda uko unamjua kuliko mama ake mjinga saaana
Suprise gani mbona waongo wakati huwa mnawapigia cm kuwaomba mna nn lkn aaaaag
Sasa ww baba haji mbona unachanganya na kingereza ebu mumuige bulandina chagula maharufu kama johari
mmmh mKubwaa mtangazajii mhhh
😂😂😂😂😂
mishavu napua sasa 😀😀😀😀haji shogaaa huyu mwanaume mwenye akil timamu hawez kuongea hiviii hatutoi kiki hapaaa unahadh ww
Huyu haji Adam nilimuona mstarab sana kumbe hana lolote unawezaje kuweka wazi ivo mahusiano ya hawara wako wa zamani hukumbuki kuwa ww ni star na una make saiv acha zako jielewe unaonekana mbali sio vzr ata km uli det nae
Cku nkija kwangu bila tarfa mtaona moto