Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Msanii wa vichekesho, Dickson Makwaya 'Bambo', anafahamika sana katika medani ya komedi Bongo, lakini ni wangapi wanaojua maisha yake halisi? Basi Global Tv Online ilimtimbia mpaka Kigogo Mbuyuni jijini Dar es Salaam nyakati za usiku na kujionea maisha yake halisi anayoishi.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Bambo amezungumza mambo mengi, ikiwemo jinsi alivyokutana na mkewe aliyemzalia watoto wawili, na jinsi anavyoishi na familia yake. Bambo pia ameeleza jinsi alivyomtoa kisanii mchekeshaji Kingwendu, akaeleza kwamba ni yeye ndiye aliyemtoa kijijini na kumpeleka Kaole, mpaka sasa ambapo ana jina kubwa.
Ameeleza jinsi anavyoweza kutofautisha maisha yake halisi na maisha ya kisanii.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
jambo ambalo ambalo watu wengi hawalijui, Bambo ni mkali wa kupiga gitaa ambapo ndani ya video hii ameonesha uwezo mkubwa wa kupiga gitaa, sanaa ambayo pia amemfundisha mwanaye. Bila shaka utainjoi!
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
msifikiri kwa mtazamo hasi angalieni pia hii ni challenge kuwajua hao vioo vya jamii huwa mnawaona wasanii wana magari au majumba lakini Bambo amekubali kuhojiwa sio wanaojionesha kwa majumba ya watu so big up Global tv
Kisanaa ameshindwa
nomaaaa
Nimependa uhalisia wa Dickson S. Makwaya "Bambo" kwa kujivaa utu wake ndani na nje ya Comedy.Pia nimevutiwa na shemeji yetu mke wa Bambo kwa kumkubali na kumpenda Bambo alivyo kimwonekano na kimaisha,napenda pia anavyomuangalia bro.Bambo hapo wakati akihojiwa na kuzungumza.Yaani lugha yake ya mwili kwa Bambo inaonesha namna anavyoguswa na kumpenda Bambo kivyovyote vile.Ingekuwa ni mdada mwingine hapo wala hata hasingekaa sofa moja na mumewe hata kumuangalia usoni.Hongereni,Mungu aibariki familia yenu.
Saf sana mnyasa mwenzangu japo umejibland km mngoni. Fresh sn Bambo
Nimeipenda familia ya Bambo. You can see love.
Hii program ikifanyiwa maboresho ni nzuri sana, ilaa waandaaji hawako serious, mtangazaji nae commedy.... Fanyeni maboresho Global TV... Idea ni nzuri sana
safi sana bambo hapa nimeipenda coz hutaki kuficha uhalisia wako kama wengi tunavyowaona
yaani kuna vikongwe wa sanaa wako underrated sana... Taasisi ya sanaa ifanye hawa vikongwe wapate heshima na recognition wanayostahili..
Mtangazaji umetisha sana duuh
mungu awabaliki bambo na family yako nimeipenda sana life style yako
binafsi nimempenda sana mke wake
Nampenda sn Bambo na vichekesho vyake
Iko vizuri sana hiyo
Aise bamboo nakupendaga bure aise uko vizur amazing
Dah!! Bambo yaani uswahilini
Ama kweli sanaa Tanzania haithaminiwi, kweli mtu kama Bambo tangu nimemfahamu, hakutakiwa kuishi maisha haya.
Samson Zablon Sasa we ukitoka aishije acha unafiki
Yanga Omar kabla hujacoment uwe unaelewa statement ya mtu. Kuwa mstaarabu
mda mrefu nillizani ana bonge LA mjengo
Leave your jokes my friend life is everywhere
mtangazaji hajierewi
mtoto laptop hata kwenye Vita unakimbia nae hahahahaaaaa 😂😂 nimekuelewa bamboo......!
Mtangazaji hafai kabisa kiukweli Global kwa hii mmechemsha
Mtangazaji miyeyusho sana hayuko makini na kazi yake
Bamboo mchekeshaji any time dakika moja ya kwanza nimecheka sana
Duh hii kali!! Bambo anamuuliza mtangazaji we nani ilhali maiki kaikamata yeye mwenyewe halafu yupo nayo ndani?! Hii kweli muvi tena director kabugi!! he he he he he heeeeeee...
familia nzuri sana! supa star kama Bambo mkazi hayaendani jamani..
Ndio my
Mtangazaji hujui aise
hahahahahhhhh uyu kaka ataniuaa ..sio kwa maisha haya
mtangazaji unaweza sana sema ongeza ubunifu bro
Nimekipenda hiki kipindi sana tu big up Global
Ha ha ha ha ha
Nimeipenda sana
Mtangazaji sijui anaongeaje duh fani zinalazimishwa
Mtangaaji so fani yake
Global TV ni brand kubwa nchini na inaheshimika. Lakini kwa aina hii ya utangazaji na uendeshaji vipindi ni mambo ya aibu. Hakuna mtangazaji hapo!
duuuu na hiyo nyumba nje ukiona utasikitika lakini ndani Safi sana
kbsaaaa yani
Khadija Wendo Mwachirenje ,maana zingine nje pazuri,ndani pabaya
mwende
Daaah jamaa hajui mpka anakwaza
Kumamaee iyo maiki ya global tv bambo alikua nayondni alf mtngzaji Kalime
nice sana...kwa kipindi
kipindi kina malengo na maudhui mazuri ila nafikir host wa show hii inabd abadilike ajifunze kuuliza vitu kwa style itakaweza kuvutia mtizamaji maana hawa ni kama hawaeleweki au hawajui wanachokitafuta kwa msanii
Kipindi kizuri ila hakina host
Mtangazaji anakata stimu sana. Analazimisha staili ya uongeaji ambayo haiwezi na anajikuta hawezi kutamka maneno. Aachane na hiyo kazi
Global chagueeni vijana wenyeee CV nzuri
Fresh
Bamboo fanya mazowezi kitambi noma kwa kibamiya
Kizuri sana hich kipind msikiache 😂😂😂😂😂😂😂jaman rahaa tuuuuupuuu
Familia Ina Furaha Kupita maelezo... Maisha mazuri yanayomfanya awe na amani... Hana maisha ya kujilinganisha
wasanii wetu wana hali ngumu sana, halafu mtangazaji inabd urudi shule kipind kina kasoro kibao cjui editor wako hazioni ama vp
Mtangazaji kanichefua sana ana kipaji unauliza mpk choon
Mtangazaji Kalewa Balaa
yaaanii uyu mtangazaji sio
global tabia mbay saan mkome
Rosemary Benjamin hii
Hivi mnavyo sema hajuwi kutangaza je nyie mngeweza au maneno tu achen ujinga
daah dogo kwenye gitaa uko vizuri. hongera.
Global TV huyu mtangazaji anawaharibia brand
Jmn Bambo miaka yote hyo maisha yko hvoi😮😮😮
Bambo nakupenda sana
yaani kama ni kuboa mtangazaji huyo anaboa yupo resi sana , huo ni uzalilishaji kwa watu wenye ujuzi na elimu zao, badilisheni mtangazaji tafadhali , mbaya sanaaaaaa
Jamaaa ana maswali ovyo ila bambo nimemkubali havungi ana confidence ya kutosha safi sana 👍👏
mke wa bambo mzuriiii
Mmmm jaman kweli Ndo kwake kweli?
Jaman mtangazaji mmh
Uswahilini
Kpnd kipo vzur,, msikate tamaa
Alierudi 2021 gonga like mungu mkubwa
Hiki kipindi kinzuri km kikipata good mtangazaji Yule dada Alikuwa hovyo Huyu nA hovyo inaboa Jamani
uyo mtangazi sio poah
Very nice
Good
Kiping iko bomba IRA mtanga zaj sio
bambo yuko OK! ila mtangazaji anafeli yan kama kakurupuka so anajitia Sam maheera hivyo kaboa akajipange upya kama nikweli gonga like ntwende sawa ndugu!
Mi ndo real fan wake
Kweli
uyo presenter faaaaaaalaaaa bora mnichukue mimi
we boya una nn kaz kucema wengne
kondele tv 😂😂😂😂😂😂mpiga ngoma ubambia kwake
😂😂😂😂😂
Mtangazaji hafaii sana bora mbadilishe huyuuuu hafaii snaa 😹 haha
Bambo eti analalamika kavamiwa wakati kashika MIC ya Global TV heheheh
Is too
nimefurah pale bambo aliposema kwamba:we vp ntakupiga na jiwe
hahahahaha
mtangazaji zero
kazi ipo
Mnafeli
grobal TV hapo hamna mtangazaji kama itawezekana kuna mtangazaji mmoja yupo kwenye mbeya yetu TV nazani yule mkimuweka hapo atafaa sana
Hatali sana
Presenter nenda shule.....waigizaji mnaziki sana asee
Bambo nakukubali
kha jamani mwanamke mzuri ajabu asili hakuna mkorojo mashalah hao watoto wako walivyo wazuri watulivu hadi raha
Ahahahahahiyo mc imeendaje kwa bambo..aise mnazingua kinoma
noma hii ishu ilipangwa kabla
Na haya ndio maisha ya what we call 'Star', dah inasikitisha kwakweli
hahaaa Jama nampenda sana
noumaaa san, Bambo
Kaziii zinawenyeewe utangazajii unawenyeweeee
Kipindi sio kibaya ila huyo mtangazaji Mumpe sector nyingine kabaka fani
Hahahah
Maisha ya wasanii wa comedian ni magumu sanaa
Kumpododi mwee Bambo unanikumbusha mbali.
Naicheki nikiwa Lusaka-Zambia, nipo nacheka ndugu yangu
hii sitabia mzuri bora muwapigie cm
Nyie mwamwehu mnamaliza mh shenzi mnatuona sisi mamwehu sana ..... MTU anagongewa na mike kashika shenzi
Mtangazaji uyu mmm anamakogo sana yaani mmmm adi anaboa
safi jamani kajitahidi kuwa na kanyumba kuliko dudu baya
Ee bwana eeh!
mmmh watanzania siwawezi hahahaha....mwenzenu anawez kosa kazi halaf mkivamiwa na majambazi makwenu mnasingizia serikali kumbe mnakosoa vijana kwenye ajira zao hahahahahahaha
duh kwa umaarufu wote wa bambo ckutegemea angekaa such place unaju he is a big cimedian jaman c
Hakuna journalist
😂😂😂mnachekesha kweli nyie global
global tv kuna kadogo kanajua some body shayo..ila huyu hoster kalewa hajui kuuliza maswali
😂😂Nimecheka adi basi mtanqazaji shikamoo
amujui
Mtangazaji kalewa mhhh
Yaan huyu mtangazaji Hana mvutooo Hata.. Yaani sijui maharage ya wapi huyu.. Global sikilizeni maoni ya wapenzi wenu
son thadei Anaboa kinyama huyoo mtangazajiii
true
true
true
Hana Kitu Kabisa hujui kupangilia maneno&maswali
+Japhet Thomson yes
son thadei kabisa hajui kazi yake!!" mtangazaji anaboa sana.
Son na ww upo