Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Msanii wa vichekesho, Dickson Makwaya 'Bambo', anafahamika sana katika medani ya komedi Bongo, lakini ni wangapi wanaojua maisha yake halisi? Basi Global Tv Online ilimtimbia mpaka Kigogo Mbuyuni jijini Dar es Salaam nyakati za usiku na kujionea maisha yake halisi anayoishi.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Bambo amezungumza mambo mengi, ikiwemo jinsi alivyokutana na mkewe aliyemzalia watoto wawili, na jinsi anavyoishi na familia yake. Bambo pia ameeleza jinsi alivyomtoa kisanii mchekeshaji Kingwendu, akaeleza kwamba ni yeye ndiye aliyemtoa kijijini na kumpeleka Kaole, mpaka sasa ambapo ana jina kubwa.
    Ameeleza jinsi anavyoweza kutofautisha maisha yake halisi na maisha ya kisanii.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    jambo ambalo ambalo watu wengi hawalijui, Bambo ni mkali wa kupiga gitaa ambapo ndani ya video hii ameonesha uwezo mkubwa wa kupiga gitaa, sanaa ambayo pia amemfundisha mwanaye. Bila shaka utainjoi!
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Комментарии • 691

  • @stevensenghana4584
    @stevensenghana4584 7 лет назад +18

    msifikiri kwa mtazamo hasi angalieni pia hii ni challenge kuwajua hao vioo vya jamii huwa mnawaona wasanii wana magari au majumba lakini Bambo amekubali kuhojiwa sio wanaojionesha kwa majumba ya watu so big up Global tv

  • @johnspmteddygk8563
    @johnspmteddygk8563 6 лет назад +1

    Nimependa uhalisia wa Dickson S. Makwaya "Bambo" kwa kujivaa utu wake ndani na nje ya Comedy.Pia nimevutiwa na shemeji yetu mke wa Bambo kwa kumkubali na kumpenda Bambo alivyo kimwonekano na kimaisha,napenda pia anavyomuangalia bro.Bambo hapo wakati akihojiwa na kuzungumza.Yaani lugha yake ya mwili kwa Bambo inaonesha namna anavyoguswa na kumpenda Bambo kivyovyote vile.Ingekuwa ni mdada mwingine hapo wala hata hasingekaa sofa moja na mumewe hata kumuangalia usoni.Hongereni,Mungu aibariki familia yenu.

  • @humphreyjoseph5945
    @humphreyjoseph5945 4 года назад +2

    Saf sana mnyasa mwenzangu japo umejibland km mngoni. Fresh sn Bambo

  • @daimavlog
    @daimavlog 7 лет назад +2

    Nimeipenda familia ya Bambo. You can see love.

  • @saviongaila3546
    @saviongaila3546 7 лет назад

    Hii program ikifanyiwa maboresho ni nzuri sana, ilaa waandaaji hawako serious, mtangazaji nae commedy.... Fanyeni maboresho Global TV... Idea ni nzuri sana

  • @geophreylalika2374
    @geophreylalika2374 7 лет назад

    safi sana bambo hapa nimeipenda coz hutaki kuficha uhalisia wako kama wengi tunavyowaona

  • @hamisa_mahimbo
    @hamisa_mahimbo 6 лет назад

    yaani kuna vikongwe wa sanaa wako underrated sana... Taasisi ya sanaa ifanye hawa vikongwe wapate heshima na recognition wanayostahili..

  • @zabibukivyele7407
    @zabibukivyele7407 5 лет назад

    Mtangazaji umetisha sana duuh

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 5 лет назад

    mungu awabaliki bambo na family yako nimeipenda sana life style yako

  • @helmanjohn8286
    @helmanjohn8286 7 лет назад +2

    binafsi nimempenda sana mke wake

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 6 лет назад +3

    Nampenda sn Bambo na vichekesho vyake

  • @anthonykimbwene7503
    @anthonykimbwene7503 7 лет назад

    Iko vizuri sana hiyo

  • @Rahmamatengo6114
    @Rahmamatengo6114 6 лет назад +3

    Aise bamboo nakupendaga bure aise uko vizur amazing

  • @zuhurambonde7599
    @zuhurambonde7599 5 лет назад +3

    Dah!! Bambo yaani uswahilini

  • @samsonzablon
    @samsonzablon 7 лет назад +37

    Ama kweli sanaa Tanzania haithaminiwi, kweli mtu kama Bambo tangu nimemfahamu, hakutakiwa kuishi maisha haya.

    • @stevenjoyce5102
      @stevenjoyce5102 7 лет назад

      Samson Zablon Sasa we ukitoka aishije acha unafiki

    • @samsonzablon
      @samsonzablon 7 лет назад +1

      Yanga Omar kabla hujacoment uwe unaelewa statement ya mtu. Kuwa mstaarabu

    • @maryjonas2546
      @maryjonas2546 6 лет назад +1

      mda mrefu nillizani ana bonge LA mjengo

    • @jamesgabriel9238
      @jamesgabriel9238 6 лет назад

      Leave your jokes my friend life is everywhere

    • @jamesbariki1930
      @jamesbariki1930 5 лет назад

      mtangazaji hajierewi

  • @godfreymwita1808
    @godfreymwita1808 7 лет назад +11

    mtoto laptop hata kwenye Vita unakimbia nae hahahahaaaaa 😂😂 nimekuelewa bamboo......!

  • @musasaidi7973
    @musasaidi7973 7 лет назад +1

    Mtangazaji hafai kabisa kiukweli Global kwa hii mmechemsha

  • @maombikonga
    @maombikonga 7 лет назад

    Mtangazaji miyeyusho sana hayuko makini na kazi yake

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 6 лет назад

    Bamboo mchekeshaji any time dakika moja ya kwanza nimecheka sana

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 5 лет назад +1

    Duh hii kali!! Bambo anamuuliza mtangazaji we nani ilhali maiki kaikamata yeye mwenyewe halafu yupo nayo ndani?! Hii kweli muvi tena director kabugi!! he he he he he heeeeeee...

  • @pattitoshie410
    @pattitoshie410 7 лет назад +4

    familia nzuri sana! supa star kama Bambo mkazi hayaendani jamani..

  • @andersonmichael3887
    @andersonmichael3887 4 года назад

    Mtangazaji hujui aise

  • @ericamyra1207
    @ericamyra1207 7 лет назад +3

    hahahahahhhhh uyu kaka ataniuaa ..sio kwa maisha haya

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 7 лет назад +11

    mtangazaji unaweza sana sema ongeza ubunifu bro

  • @homsapili6486
    @homsapili6486 6 лет назад

    Nimekipenda hiki kipindi sana tu big up Global

  • @idrissdasaity5788
    @idrissdasaity5788 4 года назад +1

    Ha ha ha ha ha
    Nimeipenda sana

  • @sizanyamtokera2919
    @sizanyamtokera2919 4 года назад

    Mtangazaji sijui anaongeaje duh fani zinalazimishwa

  • @p.tvburudan5410
    @p.tvburudan5410 4 года назад

    Mtangaaji so fani yake

  • @johnnamkwahe6959
    @johnnamkwahe6959 4 года назад

    Global TV ni brand kubwa nchini na inaheshimika. Lakini kwa aina hii ya utangazaji na uendeshaji vipindi ni mambo ya aibu. Hakuna mtangazaji hapo!

  • @khadijawendomwachirenje3513
    @khadijawendomwachirenje3513 7 лет назад +15

    duuuu na hiyo nyumba nje ukiona utasikitika lakini ndani Safi sana

  • @allanmujuni5943
    @allanmujuni5943 4 года назад

    Daaah jamaa hajui mpka anakwaza

  • @D-mox
    @D-mox 4 года назад +1

    Kumamaee iyo maiki ya global tv bambo alikua nayondni alf mtngzaji Kalime

  • @nilimainaftally9802
    @nilimainaftally9802 7 лет назад

    nice sana...kwa kipindi

  • @fellaanikulapo4712
    @fellaanikulapo4712 7 лет назад +13

    kipindi kina malengo na maudhui mazuri ila nafikir host wa show hii inabd abadilike ajifunze kuuliza vitu kwa style itakaweza kuvutia mtizamaji maana hawa ni kama hawaeleweki au hawajui wanachokitafuta kwa msanii

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 7 лет назад +2

    Mtangazaji anakata stimu sana. Analazimisha staili ya uongeaji ambayo haiwezi na anajikuta hawezi kutamka maneno. Aachane na hiyo kazi

  • @majangatime1914
    @majangatime1914 5 лет назад

    Global chagueeni vijana wenyeee CV nzuri

  • @kashindivenerand5862
    @kashindivenerand5862 4 года назад

    Fresh

  • @halimahydari9222
    @halimahydari9222 6 лет назад +1

    Bamboo fanya mazowezi kitambi noma kwa kibamiya

  • @Rahmamatengo6114
    @Rahmamatengo6114 6 лет назад

    Kizuri sana hich kipind msikiache 😂😂😂😂😂😂😂jaman rahaa tuuuuupuuu

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 года назад

    Familia Ina Furaha Kupita maelezo... Maisha mazuri yanayomfanya awe na amani... Hana maisha ya kujilinganisha

  • @mathayomgaya3670
    @mathayomgaya3670 7 лет назад +3

    wasanii wetu wana hali ngumu sana, halafu mtangazaji inabd urudi shule kipind kina kasoro kibao cjui editor wako hazioni ama vp

  • @denismakarius807
    @denismakarius807 4 года назад

    Mtangazaji kanichefua sana ana kipaji unauliza mpk choon

  • @m.amanitv8534
    @m.amanitv8534 4 года назад

    Mtangazaji Kalewa Balaa

  • @mathiashatson1151
    @mathiashatson1151 7 лет назад +1

    yaaanii uyu mtangazaji sio

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 лет назад +16

    global tabia mbay saan mkome

    • @benjakasuga2503
      @benjakasuga2503 6 лет назад

      Rosemary Benjamin hii

    • @rehemamtonyi7206
      @rehemamtonyi7206 5 лет назад

      Hivi mnavyo sema hajuwi kutangaza je nyie mngeweza au maneno tu achen ujinga

  • @daudrevocatus4952
    @daudrevocatus4952 7 лет назад

    daah dogo kwenye gitaa uko vizuri. hongera.

  • @davidmichael9132
    @davidmichael9132 5 лет назад

    Global TV huyu mtangazaji anawaharibia brand

  • @swahibamnene5847
    @swahibamnene5847 4 года назад +1

    Jmn Bambo miaka yote hyo maisha yko hvoi😮😮😮

  • @kapilykahera7883
    @kapilykahera7883 5 лет назад

    Bambo nakupenda sana

  • @edithachale2749
    @edithachale2749 7 лет назад +5

    yaani kama ni kuboa mtangazaji huyo anaboa yupo resi sana , huo ni uzalilishaji kwa watu wenye ujuzi na elimu zao, badilisheni mtangazaji tafadhali , mbaya sanaaaaaa

  • @0656840872
    @0656840872 5 лет назад

    Jamaaa ana maswali ovyo ila bambo nimemkubali havungi ana confidence ya kutosha safi sana 👍👏

  • @fridanjau3168
    @fridanjau3168 7 лет назад +1

    mke wa bambo mzuriiii

  • @mariusfaustine7374
    @mariusfaustine7374 7 лет назад

    Mmmm jaman kweli Ndo kwake kweli?

  • @esmahnguzo8448
    @esmahnguzo8448 4 года назад

    Jaman mtangazaji mmh

  • @jamesgabriel9238
    @jamesgabriel9238 6 лет назад +1

    Uswahilini

  • @richiekatwiga9400
    @richiekatwiga9400 7 лет назад

    Kpnd kipo vzur,, msikate tamaa

  • @mussamadali3044
    @mussamadali3044 3 года назад

    Alierudi 2021 gonga like mungu mkubwa

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 7 лет назад

    Hiki kipindi kinzuri km kikipata good mtangazaji Yule dada Alikuwa hovyo Huyu nA hovyo inaboa Jamani

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 7 лет назад +3

    uyo mtangazi sio poah

  • @nurdeenmohamed3381
    @nurdeenmohamed3381 5 лет назад

    Very nice

  • @salimally6877
    @salimally6877 5 лет назад +1

    Good

  • @geraldchambo1378
    @geraldchambo1378 5 лет назад

    Kiping iko bomba IRA mtanga zaj sio

  • @isackmwinuka9274
    @isackmwinuka9274 5 лет назад

    bambo yuko OK! ila mtangazaji anafeli yan kama kakurupuka so anajitia Sam maheera hivyo kaboa akajipange upya kama nikweli gonga like ntwende sawa ndugu!

  • @jamesgabriel9238
    @jamesgabriel9238 6 лет назад

    Mi ndo real fan wake

  • @bonifacefrancis2854
    @bonifacefrancis2854 4 года назад

    Kweli

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 7 лет назад +20

    uyo presenter faaaaaaalaaaa bora mnichukue mimi

    • @dativanyamata9731
      @dativanyamata9731 7 лет назад

      we boya una nn kaz kucema wengne

    • @tatut3889
      @tatut3889 7 лет назад

      kondele tv 😂😂😂😂😂😂mpiga ngoma ubambia kwake

    • @morrismorris7030
      @morrismorris7030 4 года назад

      😂😂😂😂😂

  • @msodokithesantz1655
    @msodokithesantz1655 5 лет назад

    Mtangazaji hafaii sana bora mbadilishe huyuuuu hafaii snaa 😹 haha

  • @MegaVenance
    @MegaVenance 6 лет назад +2

    Bambo eti analalamika kavamiwa wakati kashika MIC ya Global TV heheheh

  • @muvobhekinyonga985
    @muvobhekinyonga985 7 лет назад +8

    nimefurah pale bambo aliposema kwamba:we vp ntakupiga na jiwe
    hahahahaha
    mtangazaji zero

  • @ocbimagez9703
    @ocbimagez9703 7 лет назад

    kazi ipo

  • @ibrahimushabani5299
    @ibrahimushabani5299 6 лет назад

    Mnafeli

  • @shabansalum162
    @shabansalum162 7 лет назад

    grobal TV hapo hamna mtangazaji kama itawezekana kuna mtangazaji mmoja yupo kwenye mbeya yetu TV nazani yule mkimuweka hapo atafaa sana

  • @selemanharuni7997
    @selemanharuni7997 7 лет назад

    Hatali sana

  • @paulkashinje930
    @paulkashinje930 7 лет назад

    Presenter nenda shule.....waigizaji mnaziki sana asee

  • @mafanikioyatoba.4945
    @mafanikioyatoba.4945 7 лет назад

    Bambo nakukubali

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 лет назад

    kha jamani mwanamke mzuri ajabu asili hakuna mkorojo mashalah hao watoto wako walivyo wazuri watulivu hadi raha

  • @BLACK-zy6bx
    @BLACK-zy6bx 4 года назад +2

    Ahahahahahiyo mc imeendaje kwa bambo..aise mnazingua kinoma

  • @benjakasuga2503
    @benjakasuga2503 6 лет назад

    noma hii ishu ilipangwa kabla

  • @frajomedia6071
    @frajomedia6071 6 лет назад

    Na haya ndio maisha ya what we call 'Star', dah inasikitisha kwakweli

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 7 лет назад

    hahaaa Jama nampenda sana

  • @castormpunga528
    @castormpunga528 7 лет назад +1

    noumaaa san, Bambo

  • @majangatime1914
    @majangatime1914 5 лет назад

    Kaziii zinawenyeewe utangazajii unawenyeweeee

  • @wajuraofficial
    @wajuraofficial 7 лет назад +14

    Kipindi sio kibaya ila huyo mtangazaji Mumpe sector nyingine kabaka fani

  • @matthewglory2877
    @matthewglory2877 4 года назад

    Maisha ya wasanii wa comedian ni magumu sanaa

  • @upendojoseph5338
    @upendojoseph5338 5 лет назад

    Kumpododi mwee Bambo unanikumbusha mbali.

  • @jamesgabriel9238
    @jamesgabriel9238 6 лет назад

    Naicheki nikiwa Lusaka-Zambia, nipo nacheka ndugu yangu

  • @simaisalim7327
    @simaisalim7327 7 лет назад

    hii sitabia mzuri bora muwapigie cm

  • @omegaamir908
    @omegaamir908 6 лет назад

    Nyie mwamwehu mnamaliza mh shenzi mnatuona sisi mamwehu sana ..... MTU anagongewa na mike kashika shenzi

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 4 года назад

    Mtangazaji uyu mmm anamakogo sana yaani mmmm adi anaboa

  • @tatanyarusareruya9700
    @tatanyarusareruya9700 4 года назад

    safi jamani kajitahidi kuwa na kanyumba kuliko dudu baya

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 7 лет назад

    Ee bwana eeh!

  • @Hedva255
    @Hedva255 7 лет назад +3

    mmmh watanzania siwawezi hahahaha....mwenzenu anawez kosa kazi halaf mkivamiwa na majambazi makwenu mnasingizia serikali kumbe mnakosoa vijana kwenye ajira zao hahahahahahaha

  • @SaidijamalSaidijamal
    @SaidijamalSaidijamal 7 лет назад +1

    duh kwa umaarufu wote wa bambo ckutegemea angekaa such place unaju he is a big cimedian jaman c

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 4 года назад

    Hakuna journalist

  • @mariammbughi2702
    @mariammbughi2702 7 лет назад

    😂😂😂mnachekesha kweli nyie global

  • @Joram255
    @Joram255 7 лет назад

    global tv kuna kadogo kanajua some body shayo..ila huyu hoster kalewa hajui kuuliza maswali

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад +1

    😂😂Nimecheka adi basi mtanqazaji shikamoo

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 7 лет назад

    amujui

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 5 лет назад

    Mtangazaji kalewa mhhh

  • @sonthadei7443
    @sonthadei7443 7 лет назад +28

    Yaan huyu mtangazaji Hana mvutooo Hata.. Yaani sijui maharage ya wapi huyu.. Global sikilizeni maoni ya wapenzi wenu

    • @sebastiandeus763
      @sebastiandeus763 7 лет назад +2

      son thadei Anaboa kinyama huyoo mtangazajiii

    • @ibrahimenos4199
      @ibrahimenos4199 7 лет назад +2

      true
      true
      true
      Hana Kitu Kabisa hujui kupangilia maneno&maswali

    • @ibrahimenos4199
      @ibrahimenos4199 7 лет назад +1

      +Japhet Thomson yes

    • @renardphilipo1647
      @renardphilipo1647 6 лет назад

      son thadei kabisa hajui kazi yake!!" mtangazaji anaboa sana.

    • @BLACK-zy6bx
      @BLACK-zy6bx 4 года назад

      Son na ww upo