MAHALI WANAPOLALA WATANZANIA MAREKANI🇺🇸/ UTOFAUTI WA MSHAHARA UKOJE HUKU NA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Twende Zetu Marekani

Комментарии • 61

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 месяцев назад +1

    Dogo hongera sana kwa kutoboa maisha. Nimekufuatilia sana na kufurahia juhudi zako na moyo wa kishujaa uliouonesha ktk maisha yako tangu unasoma kwenu Ikungu Singida, ukaenda Arusha kujitafuta ukaja Dar ku hastle kwenye mahotel mziki nk. Hatimaye Mungu ameona juhudi zako na kukunyoshea mkono wake sasa upo Marekani umejipata. Hongera sana. Una inspire vijana wengine nao wapambane wafike huko ili wasaidie wazazi wao.

  • @ngoynzoagermain
    @ngoynzoagermain 8 месяцев назад +2

    Pole sana kwa kazi nzuri unayo ifanya Bro.. Big up
    From 🇨🇩🇨🇩

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  8 месяцев назад

      Shukran bro🫱🏾‍🫲🏿🙏🏾

  • @mallowmduhu4933
    @mallowmduhu4933 7 месяцев назад +1

    Nimekukubali sana Mwamba, sorry home unatokea wapi huku Tanzania?
    Pia mtafute Jack wa USA 🇺🇸

  • @masengoclaude4932
    @masengoclaude4932 5 месяцев назад

    Asante sana Bro! kwa kazi unajituma na muda wako unatuonesha mitaa ya marekani! Barikiwa na mungu.

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 4 месяца назад

    Nakubali

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 8 месяцев назад +1

    Broo Hongera sn shkrn kw kutufamisha mmb mengi km haya sisi wengine ilikuwa hatujui kiukwl Mungu Akubariki

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  8 месяцев назад

      Shukran bro🫱🏾‍🫲🏿🙏🏾

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 5 месяцев назад +1

    Ila ww unasema ukweli hakuna safar ambayo inafanywa bila hela lazma utoe hela

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Месяц назад

    Kiherehere tu cha wapigania uhuru ndio kimelifanya bara la Africa kuwa masikini bila wao tungefanana na huko

  • @MrnicasMsigala-jk3ci
    @MrnicasMsigala-jk3ci 8 месяцев назад +1

    Kaka umetisha mzee wangu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    👊👍✌️.

  • @protasfidel
    @protasfidel 8 месяцев назад

    Noma sana brow me nataka nihingie apo brw wangu

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 5 месяцев назад

    Hongera dogo.

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 8 месяцев назад +1

    Brother kwema heshima yako mkuu.brother ukweli mm natamani sana sikumoja nifanye kazi apo America

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  8 месяцев назад

      Penye Nia Pana njia, hang in there

    • @thomasmwasongwe7790
      @thomasmwasongwe7790 8 месяцев назад

      Natamani sana ndugu nakufuati sana video zako.mm naweza kufanya kazi zote ngumu lakini py mm ni driver wa magari madogo na makubwa kiukweli natamani sana nifanye kazi us.

  • @kibandanimall_tanzania
    @kibandanimall_tanzania 8 месяцев назад +1

    minyoooshoooo🔥🔥🔥🔥

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 8 месяцев назад +1

    Kaka habari, nakupataje brother kuna vitu naitaji unielekeze

  • @richardeliseus4301
    @richardeliseus4301 6 месяцев назад

    Big up

  • @user-gj5iy2rq8y
    @user-gj5iy2rq8y 8 месяцев назад

    Vipin home boy Vipin huko Kazi Za kupiga Rangi magari zipo huko?

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 8 месяцев назад

    Big

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 8 месяцев назад

    Matumizi je ..yakoje huko

  • @hanschid941
    @hanschid941 7 месяцев назад

    Alafu pia marekani ni vyema zaidi ukiwa na kazi zaidi ya moja hapo unaweza ukatoboa kirahisi kuliko kuwa na kazi moja2

  • @shahadamussaefm7310
    @shahadamussaefm7310 8 месяцев назад

    Ahh wemshamba2 kakaa

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 8 месяцев назад

    Wewe Achana na kamati ya roho mbaya mzee tubia video you tube umanetaizi upate ela ya pipi pia cc tujifinze kama ambavyo umepanga fullstop

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад +3

    Mshahara mkubwa ila gharama za maisha pia zipo juu huko. Bongo tunaingiza mshahara mdogo ila gharama za maisha zipo chini. Ndio maana mnaishi kwa kujifichaficha. Hamna la maana.

    • @salhamlanz9806
      @salhamlanz9806 8 месяцев назад

      Punguza makasiliko 😂😂

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад

      @@salhamlanz9806 Ukweli ndio huo, take it or leave it😂... gharama za maisha zinatofautiana sana

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 8 месяцев назад

      Ndio ivo. Ila uwezekano wa kufika mbali kimaisha Marekani ni mkubwa kuliko Bongo ukiwa na akili ya maisha

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад +1

      @@rumdeesonsoa1811 Ni kweli. Fursa ni nyingi ila muhimu ni akili kumkichwa

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Месяц назад

      Gharama zipi za maisha zipo chini bongo?

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 5 месяцев назад

    Kaka video yako ya jana na yule jmaa alie cross boder vip mwendelezo ila tuombeane nimeshafanya program na ebm ya kuja huko nasubil kazi ipatikane ya kunisponsa visa

    • @user-wr2jl5tm4j
      @user-wr2jl5tm4j 5 месяцев назад

      Anza na canada ndio fasta

    • @mkingageorge2641
      @mkingageorge2641 5 месяцев назад

      Ooook ila namsubili argent atakako pata ndo naanzia

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 8 месяцев назад

    Jxt

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 8 месяцев назад

    Ongerea vitu vya maana

  • @user-ki9wu6no3d
    @user-ki9wu6no3d 8 месяцев назад

    😂😂😂Eti mshahara waiaka miwili

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 8 месяцев назад

    Ongea vitu vya maana! Mambo ya wanawake ya nini??

  • @marychacha7084
    @marychacha7084 8 месяцев назад

    Huko ukiwa mkubwa sana...

  • @user-xx7xs8zb1q
    @user-xx7xs8zb1q 8 месяцев назад +1

    Afu we dogo acha kudanganya watu,kuna video yako eti ulikuwa unaonyesha maneno ambayo ukiishi unapata uraia mapema??are you serious stop lying to people,the Immigration laws applies to everybody so acha ujinga!

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 8 месяцев назад

      Mchawi tu wewe kwanini wewe usifungue RUclips channel yako ndioman watanzania atuendelei kwa sababu ya Binadam kama ninyi kwanini usifungue you tube channel yako kama sio mwanga ni nini.??

  • @fredlema5283
    @fredlema5283 8 месяцев назад

    Ila unatutamanisha kuja uko utaeza kutuleta uko wote tunaoitaji kuja uko

  • @khlafanmwassa
    @khlafanmwassa 8 месяцев назад

    Mbona tunaona majengo tu watu wako wapi broo

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  8 месяцев назад

      Winter time now so in baridi kali

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 8 месяцев назад +1

      population ya watu uko sio kubwa kaka nyumba moja inashi watu 3 kushuka chin sasa iyo population utaion wapi

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 8 месяцев назад

      ​@@yusuphswai6851Marekani ina watu zaidi ya milioni 330 unasema population ni ndogo. Tofauti ni kwamba nchi za wenzetu wanapenda kuspend most of time indoors

  • @fredlema5283
    @fredlema5283 8 месяцев назад

    Tufanyie mpango bc tuje na sisi tule maisha kama ww

  • @alfredmbacho
    @alfredmbacho 8 месяцев назад

    Broo naomba nikuulize kitu kwanini barabarani amna watu wanaotembea coz nmekuwa nikikufatilia mara nyingi ila naona nyumba tu ila sioni watu

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d 8 месяцев назад

      Marekani maisha ya ndani Yaan indoor Life Mtu anatoka kazini Then anaingia ndani si maisha ya ujamaa kama Tanzania

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 8 месяцев назад

      Nchi za Ulaya na Marekani ndio zilivyo. Hamnaga watu wanaotembea tembea ovyo mtaani au watoto kucheza cheza mtaani. Kama unapenda kujumuika na watu mbali mbali na kupiga soga mtaani hizo nchi zitakushinda

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Месяц назад

      Hayo mambo yapo Africa pekee

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 8 месяцев назад

    Upo poa ila upepo unasumbua

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d 8 месяцев назад

      Marekani Haikuwa na mfumo wa kijamaa kama ambavyo ilkua Tanzania..Ndio maana Sisi Tunawez kutembelea a Ukaend Kwa shangazi na marafiki Lkin marekani haupo hivyo mtu na familia yake tu so akitok kazini ni ndani tu na familia yake

  • @allymjaka7255
    @allymjaka7255 8 месяцев назад

    Mwamba nakukubali sana sana nakufatilia sana ila niliomba jambo moja ? Samahani ivi wewe ulingia kwa green card

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 8 месяцев назад

    Unaongea nini sasa,

  • @user-kf5ln5gs2f
    @user-kf5ln5gs2f 8 месяцев назад

    fungua account whatsapp bro uwe admin tuchat vzr?