MIMBA ZA MAPEMA SONGWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • Mkuu wa mkoa wa songwe bwana Daniel Chongolo ametoa onyo kali kwa waume wenye hulka ya kuwapachika mimba watoto wa umri wa chini kuwa chuma chao kii motoni. Chongolo pia amesema wazazi wanaowaoza wanao wakiwa wachanga hawatasazwa katika oparesheni hiyo.

Комментарии •