Subhanallah, wallah ni mtihani sisi tunalala ktk nyumba nzuri wenzetu wanalala ktk vibanda hatuwasaidii, Allah ataenda kutuuliza juu ya neema alizotupa tusipozitoa kwa wenye kuhitaji.
Shukran kubwa sana al fatah TV kwa kuangazia hali kama hii ,wazanzibari mwenyezi mungu awafungulie kila la kheri, wengine wana jilimbizia mishahara minene, hali wengine walala hoi.
ان لله مع صبرينtuwe nasubira tu maishayadunianimapambo ty yenye thaman duni SNA kuliko bawa lambu Allah atakuondosheeni thiki akher kwakuwalipa jannatufirdaus inshaallah
Huuu ni msiba mzito siku za kampeni kuelekea uchaguzi gari mzuri zinapaki viwanjani mwa madhalili kama sisi wakitangazwa2 vijiji hivi huwa vinyaa allah awe nanyi msimu huuu wa ramadhani tukiwa tunaelekea edd alfitrii
Allah awaja'lie kila la kheri dunian na akhera na awaepushe n kila la shari duniani n akhera Halaf kuna mtu anakuja anadeslike nashindwa kuelewa wana mioya ya aina gan hawa wasiopend hii
Ukiwa unalala pazuri unakula kizuri halaf ukasema mungu hakuoni wallah wallah nnapa unakufuru na kiumbe wewe huna shukurani kwamungu tizama familia inavyoishi kwashida wewe kiumbe mungu kakuruzuku neema yakulala pazuri namafeni yanakupepea ukae ulalamike maisha magumu wallah narudia tena wewe huna shukurani hata kidogo Kwa Allah wallah hio hali inasikitisha sana waisalm wenzetu wanaishi ktk shida kma hio maskeen insikitisha sana sana sana
Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun!! Kuna watu wanakula wanasaza wanatupa chakula bado wanajiita waislamu hali ya kuwa Kuna watu hawajui hata Daku yao wanaipata vipi ftari yao wanaipata vipi waislamu ni jukumu letu soote kuhakikisha tunawapa faraja ndugu zetu!! Watu wanafadhili mambo ya hovyo yasiyo na manufaa na wao duniani wala akhera wanaacha Kheri hizi!! Allah atuzindue...... Oooh inauma sana!!!
Alaf mnasema nyumban kumenoga rudin hali ndio hii wazee wetu wanateseka namna hii mungu anawaona subirin mtaona uwezo wake Sub'hanah hamuwez mkaachwa salama ht kidogo kwanin mnafanya nchi kama mali yenu na watoto wenu...al fatah shukran za dhat kwenu haya ndio ya kutuonyeshe ...c c watoto wa kimaskin tulio jaribu kujikongoja kidogo tukawaachia hao jamaa hiyo nchi bado inauma ht huku tuliko nyumban ni nyumban tu dah' Enyi wenye uchu wa madaraka na mlio lewa misifa na umaaruuf wangalien haw sio kukod maukumbi na kufutulisha wt mwenyez anawaona ...
pole sana ndugu zetu allah atawafanyia wapesi insha allah,ila kwa upeo wangu wangepatiwa japo bati tu kwani wanaweza jenga hata kwa tofali za tope na wakaishi uzuri2
inalilah wainailaihi rajiun nijukumu letu waislam kusaidiana, katika maisha yangu yote sijawahi kuona watu na hali ngumu kama hii jamani kuna umuhimu wa kutembea vijijini ili tujue hali za ndugu zetu zikoje ewe mola tupe uwezo na nyoyo za kusaidiana 😓
Kiukweli naumia sana tena sana sisi tunalala pazuri tnakula vzuri kumbe wallah kuna waislamu wenzetu hawana chkula wala makazi Tuzidi kutoa swadaka zetu ili zweze kusaidia kwa ndugu zetu hawa
Mungu atwapa heri halafu unakuta mtu moja anakula rushwa mamilioni masikini hawana hata riski ya siku moja kama mm ndiyo raisi nawanyonga wote wanaokula rushwa
Naomben acaunt Namba ya alfataa nitume zaktulifitrii na sadaka yang kidogo ili niwe miongon mwa walio jisikia nimeona nibora niwatumie hao kulikukon niwape masikin wa hapa mjini ni harasa kubwa ndo mana tunapatwa na maswahibu kila wakati ila hali wwnye kuhitaji msaada wapo wanteseka
Very sad wallahi niwapi huko jamani tuwachangie niko mombasa .Chakula kitaisha pia kitaharibika na mvua malazi muhimu mungu mkubwa humo humo mwazaana kupita maelezo.
Eee eee m/mungu niongezee lizik niweze kuflahisha masikin wenzangu eee mwenyez mungu machozi haya nayotoa nazan iposiku yata dondokea mikononi mwawatu kama hawa ndugizangu kutoa nisekhem mojawapo jabada naukitoa ulicho nacho na M/mungu hakika atakuongeazea lizki inshaanlah Leo hii kunawatu wanauwezo kwachakur toa ndugu Yangu chakula hiki tuki kitumia vibaya hakika kita tupeleka kwenye shimo lamoto lililo andaliwa watu waovu vyote tuta viacha ila siku yamalipo vita kusanywa vitu vyoto ulivyo kua ukivimilik kama ulikua namakontena yavyakula utaulizwa ulikua ukivitua VIP vitu hiv ndugu Yangu tukumbuke yakua hii dunia sio nchi yetu sisi viumbe tuchukulie mifano kwewezetu tulokua nao hatuko naotena tuishi kama ugenini Wansalahm Anlahnkum
Alhamdulilah sisi waislamu Tunategemea Qadari ya Allaah.Nasubira hakika-Allaah yupo nasi.tujitahidi tutoe kidogo tulichojaliwa na Allaah kwa Allaah nikumbwa-sanatu.
LAILAHAILALLAH MUHAMADUN RASUULULLAH Dhima waisilamu hasa wenye mali toeni zaka za mali zenu na muzielekeze huku lakini AL FATAH Waambieni watu ni kijiji gani?
ALLAH awalipe khery alfatah kazi kubwa munafanya gonga like kama unawakubali
Allah awaruzuku kwa rehma zake Naomba utujulishe hichi kijiji kipo maeneo gani sheigh Rashid jazzak llahh kheiyr
Subhanallah, wallah ni mtihani sisi tunalala ktk nyumba nzuri wenzetu wanalala ktk vibanda hatuwasaidii, Allah ataenda kutuuliza juu ya neema alizotupa tusipozitoa kwa wenye kuhitaji.
Si hamtaki kupungukiwa
SUBUHANALLAH SHEIKH RASHID ALLAH AKULIPE KHERI FIDUNIA WALI AKHERA NA KOO ZIMA YA AL FATAH DAWA
Ukisema muislam ndugu yake muislam neno ili Lina ukakasi wote sisi ni ndugu
Shukran kubwa sana al fatah TV kwa kuangazia hali kama hii ,wazanzibari mwenyezi mungu awafungulie kila la kheri, wengine wana jilimbizia mishahara minene, hali wengine walala hoi.
Rashid Allah awarudhuk kwa kazi mnaoifanye
Subuhana Allah,Allah awafanyie wepec ndugu zetu wanapata tabu sana😢😢😢
Ya raab tujalie tuwe wenye kutowa ,,,Allah awazidishia al Fatah Dua zetu muhimu 🇰🇪
ان لله مع صبرينtuwe nasubira tu maishayadunianimapambo ty yenye thaman duni SNA kuliko bawa lambu Allah atakuondosheeni thiki akher kwakuwalipa jannatufirdaus inshaallah
tusilaumu serekali itasaidia wangapi sis wenyew watanzania tupo wengi tukitoa hata 5000 kila mwenye huruma nipesa nyingi sana
Mwenyezi Mungu atawahifadhi In shaa Allah
Alhamdulillah tumshkuru mungu kheri na shari zote znatoka kwake mungu atawastiri pamoja na watoto wao
Subhana llah. Allah akulipe kheir dunia hadi akhera sheikh rashid. Na awafanyie wepesi nduguzetu
Subhaanallah.
Allah atuwezeshe kuwasaidia maskini, inasikitisha sana
Kweli Hali ni ngumu Sana inasikitisha Sana
Allah awalipe subrah
Hali inatoa machozi
Tajir na pesa yake maskin na wanawe mungu yuko pamoja nanyi Insha Allah atawalipa
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN MUNGU atupe iman ya kusaidiana waislam
Mungu awalipe kheri alfatah na awaajalie wenye uwezo imani ya kuwaasaidia hawa
samahani ndugu mtangazaji kama ndakuwa nimekukosea naomba tuchangie wote sio waislamu tu lekebisha kauli mana sote ni ndugu
msamehe tu ndugu yetu ameteleza binadam ss sote nindugu sio kidini wala kabila!
Subhanallah mola tufanyie wepesi waja wakooo
Mungu awalipe heri inshaallah!!!
Subhannallah eee mola wetu wajaalie waja wako waondokani na umaskini
Innalillah wainnailaih rajiun Machozi yamenitoka Alhamdulillah alaa kulli hal😓 Jaman wenzet wanashida kweli Uarab nakushkur kwa neema ulizotupa jaman mola wetu tuwezeshe kuwasaidia wenzetu hawa
Ameen inshaAllah
Subhannallah rabbanna atina fii ddunia hasana wafil akherat Hasan waqiina a adhaba nnar😥
@@ame.polenfamiliabaya4663 Ammin Yaarab
Huuu ni msiba mzito siku za kampeni kuelekea uchaguzi gari mzuri zinapaki viwanjani mwa madhalili kama sisi wakitangazwa2 vijiji hivi huwa vinyaa allah awe nanyi msimu huuu wa ramadhani tukiwa tunaelekea edd alfitrii
Mungu awafanyie wepes kwakwer
Mwenyezi mungu awajalie wepesi
inshallah mungu awafanyie tahfeef na wepesi awape stara mama zangu bibi zangu na watoto woote kwa jumla,,na subra iwe pamoja nanyi,,hadi chozi
Allah awaja'lie kila la kheri dunian na akhera na awaepushe n kila la shari duniani n akhera
Halaf kuna mtu anakuja anadeslike nashindwa kuelewa wana mioya ya aina gan hawa wasiopend hii
Maskiniii dunia hiii kuna watu wanateseka kweli jamaniii duuh,mungu awatizame kwa huruma zake,shukran Al fatah
Viongozi washapata wanacho kitaka wamejisahau wote hao wariwafata kuwaomba kura wamejisahau sasa kama kunaviumbe wanawaitaji msaada mungu awafalij 😢😢
Ukiwa unalala pazuri unakula kizuri halaf ukasema mungu hakuoni wallah wallah nnapa unakufuru na kiumbe wewe huna shukurani kwamungu tizama familia inavyoishi kwashida wewe kiumbe mungu kakuruzuku neema yakulala pazuri namafeni yanakupepea ukae ulalamike maisha magumu wallah narudia tena wewe huna shukurani hata kidogo Kwa Allah wallah hio hali inasikitisha sana waisalm wenzetu wanaishi ktk shida kma hio maskeen insikitisha sana sana sana
Allah atakulipeni alfatah kwa kaz yenu mzur 😢😢mtihan kwel
Inanikumbusha mbali mama yangu ALLAH akurehemu ulipitia machungu km hy YARABBI tuhifadhi
Subhanallah ni wapi huko ndugu mtangazaji Allah awape subira tunaomba direction
Allah awajaalie inshaAllah
Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun!! Kuna watu wanakula wanasaza wanatupa chakula bado wanajiita waislamu hali ya kuwa Kuna watu hawajui hata Daku yao wanaipata vipi ftari yao wanaipata vipi waislamu ni jukumu letu soote kuhakikisha tunawapa faraja ndugu zetu!! Watu wanafadhili mambo ya hovyo yasiyo na manufaa na wao duniani wala akhera wanaacha Kheri hizi!! Allah atuzindue...... Oooh inauma sana!!!
Wanaoiba kura waongoze nchi kwa tamaa ya Dunia iko Allah atawauliza na kila mchunga atawaulizwa na atajibu Jiandaeni siku so nyingi Dunia mapito
Kazi yenu ni nzuri sana kuiubua yaliyofichikana lakini musiwaulize nyama umekula lini mazingira waliyonayo yanatosha kuelewa kila kitu
Ni vijiji gani hivi wallahi machozi yanakutoka
Ndiomana mm huwa siwezi kutizama video
WaPi hapa
Plastics na cancer Allah atunusuru na atuhifadhi , atupe subra na tuwasaidie wenye mahitaji zaid
Huku nazan nipemba vijijin nimelia Mimi anae jua m/mungu
Mungu wangu
SUBHANNALLAH,kunawenzetu wanaishi maisha magumu sna😤😤😤
Hakika
Innaalillaah. M/mungu atawasaidia.. Inasikitisha kila mwenye kuiona hii video asitoe machoz huo ni mpungufu wa iman
Nimelia Walahi nimelia, ni zaidi ya Udhalili! What kind of life?
Usilie sana. Tuma ulichonacho
Subhanallah😢😢😢jmn roho inaniumaaa miee watoto wadg wanatesekaa Allah atafanya wepes amin🤝🤝
Alaf mnasema nyumban kumenoga rudin hali ndio hii wazee wetu wanateseka namna hii mungu anawaona subirin mtaona uwezo wake Sub'hanah hamuwez mkaachwa salama ht kidogo
kwanin mnafanya nchi kama mali yenu na watoto wenu...al fatah shukran za dhat kwenu haya ndio ya kutuonyeshe ...c c watoto wa kimaskin tulio jaribu kujikongoja kidogo tukawaachia hao jamaa hiyo nchi bado inauma ht huku tuliko nyumban ni nyumban tu dah' Enyi wenye uchu wa madaraka na mlio lewa misifa na umaaruuf wangalien haw sio kukod maukumbi na kufutulisha wt mwenyez anawaona ...
pole sana ndugu zetu allah atawafanyia wapesi insha allah,ila kwa upeo wangu wangepatiwa japo bati tu kwani wanaweza jenga hata kwa tofali za tope na wakaishi uzuri2
inalilah wainailaihi rajiun nijukumu letu waislam kusaidiana, katika maisha yangu yote sijawahi kuona watu na hali ngumu kama hii jamani kuna umuhimu wa kutembea vijijini ili tujue hali za ndugu zetu zikoje ewe mola tupe uwezo na nyoyo za kusaidiana 😓
Yani mumenkumbusha mbali maisha nliokuwa nkihishi n babu n nyanya yangu mungu awarehemu😭😭😭
Aamiin
M/mungu atawafanyia wepesi Inshallah .
Kiukweli naumia sana tena sana sisi tunalala pazuri tnakula vzuri kumbe wallah kuna waislamu wenzetu hawana chkula wala makazi Tuzidi kutoa swadaka zetu ili zweze kusaidia kwa ndugu zetu hawa
Subuhananllah inasikitisha wallah ewe mola wetu wape wepesi waja wako haw waweze kuondikana na maish haya
Subhannah llah.alhamdulillah mungu atawasitiri.matajiri mko wapi muastiri wenzenuwallah imeniliza
Government issue wakat wa uchaguz wanakuja mbio mbio wakishapata kura bx wanaangalia matumbo yao
Dah mackin mngu awafanyie wepc mckin
Kama kweli wewe ni kiongozi halafu una imani, kwa hali hii huwezi kuiba hata kidogo serikalini
Mungu atwapa heri halafu unakuta mtu moja anakula rushwa mamilioni masikini hawana hata riski ya siku moja kama mm ndiyo raisi nawanyonga wote wanaokula rushwa
Eee,mungu awabarik mnaowajal masikin
Insha AllAh mungu awape subra
peleni inauma Sana sehemu Gani hiko mtangazaji Nataka nijuwe wapi huko
Tanga
Naomben acaunt Namba ya alfataa nitume zaktulifitrii na sadaka yang kidogo ili niwe miongon mwa walio jisikia nimeona nibora niwatumie hao kulikukon niwape masikin wa hapa mjini ni harasa kubwa ndo mana tunapatwa na maswahibu kila wakati ila hali wwnye kuhitaji msaada wapo wanteseka
Hii,nchi,hainaviongozi,wazanzibar,tushikane,mkono,
إنا لله وإنا إليه راجعون.
يا ألله احفظ من كل بلاء
sheikh rashid hicho kijiji gani au shamba gani
Very sad wallahi niwapi huko jamani tuwachangie niko mombasa .Chakula kitaisha pia kitaharibika na mvua malazi muhimu mungu mkubwa humo humo mwazaana kupita maelezo.
Jamani adi nalia mimi dunia hii wengine tumekuja kusindikiza wenzetu 😭
Eee eee m/mungu niongezee lizik niweze kuflahisha masikin wenzangu eee mwenyez mungu machozi haya nayotoa nazan iposiku yata dondokea mikononi mwawatu kama hawa ndugizangu kutoa nisekhem mojawapo jabada naukitoa ulicho nacho na M/mungu hakika atakuongeazea lizki inshaanlah Leo hii kunawatu wanauwezo kwachakur toa ndugu Yangu chakula hiki tuki kitumia vibaya hakika kita tupeleka kwenye shimo lamoto lililo andaliwa watu waovu vyote tuta viacha ila siku yamalipo vita kusanywa vitu vyoto ulivyo kua ukivimilik kama ulikua namakontena yavyakula utaulizwa ulikua ukivitua VIP vitu hiv ndugu Yangu tukumbuke yakua hii dunia sio nchi yetu sisi viumbe tuchukulie mifano kwewezetu tulokua nao hatuko naotena tuishi kama ugenini Wansalahm Anlahnkum
Yaa Allah machozi yananitoka.
Subhaanallah
Alafu c.c.m wanasema zanzibar wameleta maendeleo fyuuuu
Video inaliza Allah tupe mioyo ya huruma tuwasadie wanyonge
Amiin yaa Rabby
Mungu wangu.kijiji icho kipo wapi?
mungu atakulipa inshallah
Subhanallah nashindwa hata Ku comment wallah
Wapi hapo
Nikwel baba mungu awarip
Subhan ALLAH
Akhi..... huku ni maeneo ya wapi....
Subhannallah
Nyumba kama hio inatakiwa iwe ya kiongozi ,
Alhamdulillah
Sheikh Rashed hichi ni kijiji gani
Tanga
Subbuhanallah
subhan Allah
Alhamdulilah sisi waislamu Tunategemea Qadari ya Allaah.Nasubira hakika-Allaah yupo nasi.tujitahidi tutoe kidogo tulichojaliwa na Allaah kwa Allaah nikumbwa-sanatu.
LAILAHAILALLAH MUHAMADUN RASUULULLAH Dhima waisilamu hasa wenye mali toeni zaka za mali zenu na muzielekeze huku lakini AL FATAH Waambieni watu ni kijiji gani?
Shekh rashid hii ni sehm gani
Alfatah kijiji gani hiki
Zip zanzibar (Kilombero na Matemwe )
SUBHANA ALLAH ALLAH AWAFANYIE WEPESI NDUGU ZETU HAWA INSHALLAH
Subhaanallaahi wabihamdihi subhaanallaahil adhwiim, ALLAHU AKBAAR
We Amana acha siasa hii jumuiya lengo lake in kuwaibua wenye mahitaji ili wasaidiwe kama una uwezo saidia, huu sio uwanja wa Kampeni jielewe
Mbona guozao zuri hata mm familia yangu haina uwezo kwamm masini najua ukiwana shida padezote utaona zinashi nguo zuri nyumba baya mmm
Pelekeni hiyo clip ustawi wa jamii
😭😭😭😭😭mtihani
Ni Unguja au Tanga?
Mpo wapi ofisi zenu
Da hii nidhima kiukweli mhh huku mjini tunazimwaga nyama
Kwani hapo Ni wapi
Subhanallah
duuu, niwapi hapo mkoa gani,wilaya gani?
Mimi nipo uk vipi naweza Kurosawa chochote
Subuhana llah
Muwatafutie na makaazi pia japo nyumba ya vyumba viwili
Ni wapi huko
Kwanini wasijengewe nyumba 2 kama vile za michenzani?
Nani ajenge, serikali ya Mapinduzi? Tusahau
subuhanaallahh
Kijiji gani hichi hapa znz