MZOZO MKALI: BASHE, MDEE NA WANASHERIA WATOLEWA NJE YA BUNGE NA SPIKA, MAREKEBISHO YA KIFUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 110

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 4 дня назад +8

    Yani huyo mwanasheria mkuu wa serikali, ndo simwelewagi kabisa, nadhani ni vyeo vya kupeana. Spika uko vizuri kabisa ila udhaifu wako ni pale unapo gundua tatizo, unashindwa kutoa maamuzi ya uwajibishwaji kwa kosa uliloligundua.

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 4 дня назад +10

    Ukitaka kujua bunge letu Lina vilaza wengi hapa hutasikia meza kupigwa maana hakuna wanachokielewa zaidi ya kutoa macho tu

    • @sylivanusbernard3325
      @sylivanusbernard3325 4 дня назад

      Chief Umenifurahisha Sana japo nina Imani saana na kile ulichokisema

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 4 дня назад

      Kwani kupiga makofi ni lazima hoja iwe nzuri, si Hata utumbo watu wanapiga makofi.

    • @julietngassa2353
      @julietngassa2353 День назад

      😂😂😂

  • @user-qe9ml4hx9b
    @user-qe9ml4hx9b 4 дня назад +4

    Wanajifanya wanajadili ili tuone kama wanafanya kazi kubwa kumbe ni danganya toto hakuna mkazo wowote

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 3 дня назад +1

    Hivi shule mmeenda nyinyi tu serikali tunaomba Bashe urudishe ela yetu ya zidio la sukari tuliyonunua 6000 kwa kilo sisi wananchi. Na Mpina harudi bungeni ameonewa

  • @ErnestLutubija-wp5tq
    @ErnestLutubija-wp5tq 4 дня назад +7

    kwani kunaubaya gani bungeni kikitumika Kiswahili Tu kama lugha ya taifa maana kuchanganya lugha hivii mh

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 4 дня назад +5

    Mpina oyeeeeeh

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 4 дня назад +3

    mpina💪💪💪

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 4 дня назад +3

    Hapa ninachoona wanajaribu kuweka viraka vya kuendeleza kuficha madudu ambayo yameshatokea. Mimi ningeshauri serikali wangekuwa wanakubali kukosolewa wanapoona wamekosa wakomba msamaha badala ya kufukuza nje ya Bunge watu wanowkosoa. Yaani ndio wanakumbuka kufanya maekebisho sasa wakati walishaovertake procedure!!!

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z 4 дня назад +1

    Tunaomba mpina mmuombe msamaha.maana hajawakosea bali mmemuonea tu

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk 4 дня назад +1

    Mbona wabunge kama mmepoa sana nahisi mmeanza kumkumbuka Mh.Mpina alikuwa yuko sahihi kufuatilia mambo ya kitaifa kwa hapo Mpina angelipika na taarifa (Mpina-Think tank ya Taifa)

  • @d.family.choir1799
    @d.family.choir1799 4 дня назад +5

    Ivi kwanini kistumike kiswahili kwenye kuandika vitu ya msingi kama ivyo da kweli mkoloni katuloga

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 4 дня назад +2

    IPO siku na sisitutawakimbiza hapo bungeni mmeona wenzenu Kenya walivyo fanya nyie tuchezeeni

  • @drp3721
    @drp3721 4 дня назад +3

    Mh. Spika unapata kazi ya ziada, kazi ambayo Mwanasheria mkuu angekwisha kufanya.

  • @kitosio
    @kitosio 4 дня назад +2

    Mh. Spika Ni Hodari Sana Sana. Sasa ivi Bungu letu Lina Manufaa makubwa zaidi.

  • @fadhilmbulugwa7322
    @fadhilmbulugwa7322 4 дня назад +1

    Mwanasheria mkuu wa serikal mbona anajibu kwa kubahatisha

  • @barakamussa
    @barakamussa 4 дня назад

    Surely,, keep on DR TULIA Mungu akutangulie katika kulijenga taifa letu

    • @ibrahimtesha2733
      @ibrahimtesha2733 4 дня назад

      Tulia si ndiye anamlinda Bashe? Na si ndiye alisimsmia wastaafu wapunguziwe mafao ya kustaafu kupitia kikokotoo 1/580 badala ya 1/540, kadirio la umri baada ya kustaafu kuwa 12.5 badala ya 15.5, mkupuo kiduchu 40% badala ya 50% akatunyongelea mbali?

  • @jumamayenga7449
    @jumamayenga7449 4 дня назад +1

    Ccm nnyie ni mmetuzoea twende kazi

  • @ring-tone278
    @ring-tone278 4 дня назад +2

    .
    Ruto has lost control and is not serving Kenyans anymore but foreign Interests and himself. A failed Presidency.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 4 дня назад +4

    Huyo mwanasheria ingekuwa enzi za bunge la kina Tundu Lisu, Zito, Silaa jasho lingemtoka😅

  • @hajikhamis-od1no
    @hajikhamis-od1no День назад

    Yani always namkubali sanaaa halima mdee

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 дня назад +1

    Rubbish. Watu wazima badala ya kuzungumzia lini tunaondoa umaskini wa kutisha Tanzania....

  • @alisalum6733
    @alisalum6733 4 дня назад +2

    Mama Tanzania❤

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 4 дня назад +2

    Mwana sheria mkuu Kuna Madudu anaficha

  • @africaone4306
    @africaone4306 3 дня назад

    Kuna wabunge wao wamejiandaa kupiga makofi tu.. hata hawajisumbui kusoma na kuchangia.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 4 дня назад +1

    Mbona mnazimia spika maiki vipi tena

  • @abdallahhuseinkabale7534
    @abdallahhuseinkabale7534 3 дня назад

    Bonge la spika ..mola akulinde watu wanafundishwa mpka waelewe

  • @mnoor20051
    @mnoor20051 4 дня назад +1

    HIYO SUKARI YA BUFFER STOCK, ITANUNULIWA WAPI, KWA NANI, NA KWA BEI GANI. JEE IWAPO ITANUNULIWA KWENYE VIWANDA VYA NCHINI ITAKUWA SUKARI YA ZIADA AMABYO HAITA LETA UPUNGUFU SOKONI. JEE HAPA HAPATAKUWA NA UFISADI NA UPENDEDELEO, NA UNUNUZI UTAKUWA WA USHIBDANI KATI YA VIWANDA

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 3 дня назад

    Hili ni Bunge LA wa Bunge. Cyo Bunge LA Watanzania

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 4 дня назад +1

    Wasome kwa kiswahili au kisukuma

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 4 дня назад

    Nice one muheshimiwa Spika

  • @Stevenmwanisawa-dt5vb
    @Stevenmwanisawa-dt5vb 3 дня назад

    Mapoyoyo ni wengi mbona wamemlinda Fulani.

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g 4 дня назад +6

    Ukweli mnaomsifia tulia mmechanganyikiwa ni mtu anaongoza bungee kinafiki sana amekalia upande wa serikali so bunge la wananchi

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 4 дня назад +2

    Mwanasheria wetu mmmh.Hana uhakika naanacjokifanya

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 4 дня назад

      Si ndio huyo aliyewalaumu watu kujisomba Kwa Makonda,,,

  • @esuthoby7865
    @esuthoby7865 4 дня назад

    Hivi hili bunge haliwezi kuona kuwa ni ujinga mkubwa kutunga sheria za nchi kwa kizungu? Nchi gani itakuheshimu kama hutmii identity yako wewe mwenyewe.yaani bado mko colonised?hadi leo hamuwatendei haki watanzania walio wengi na lugha yao.mnachekwa sana na wakoloni wenu,bado hamjajitawala.poleni sana.

  • @user-rv8cl2yg2r
    @user-rv8cl2yg2r 4 дня назад +1

    Ruto must. Stay

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 3 дня назад

    Me sijaelewa kwani ili ni Bunge la Ulaya au Tanzania? Sasa kizungu kingi cha nn ongeeni Kiswahili chetu Kwene kilakitu woote tuelewe mbona mkija kutudai Kodi amuongei kingeleza chenu

  • @petermasanilo732
    @petermasanilo732 2 дня назад

    Kumbee mpina Yuko sahihi hata ninyi mmegundua makosa ya Bashe

  • @EmanuelAndrew-nq5oc
    @EmanuelAndrew-nq5oc 4 дня назад

    Mm nime notice nyakara😂😂

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 4 дня назад

    Hahahaaa mwana sheria mkuu. Pole.

  • @josephineseruhere-cv4wc
    @josephineseruhere-cv4wc 4 дня назад

    Hongera Spika wa Bunge Big up❤

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 3 дня назад

      Mpina yupo sahihi kaonewa kwasababu kasema ukweli

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 3 дня назад

    Duuuuh! AG khaaaa!

  • @user-py8ol3zd2y
    @user-py8ol3zd2y 2 дня назад

    Mbona maneno mengine munayabana inamaana munatuongopea au

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 4 дня назад +1

    Akifa atasifiwa wala Asijali

  • @zuwenaenock2073
    @zuwenaenock2073 4 дня назад

    Spika wa bunge mh tulia dada yangu kazi unaifanya vzr sana ila kwanini unakuwa na kaupole furani unapogundua kuna kosa hulichukuliii mamzi

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 3 дня назад

    Halima mdee 👊

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 дня назад

    Kama ni ivo mpina luhaga alikuwa sahihi sana

  • @salumgharib7687
    @salumgharib7687 4 дня назад

    Mh : tunaomba tuongelee kwa lugha yetu ya kiswshili ni mzuri sana tujivunie lunga. yetu. 5:55

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 3 дня назад

    Mheshimiwa spika shida ya Mpina ninani anayeaagiza na anauwezo gani hapo ndio rushwa imetembea Bashe atujibu kwa hilo. Numegundua kumbe mnaelewa ila mnatufanya mapumbavu sisi wananchi

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 3 дня назад

      Sahizi hata wale Mburula walioongozwa na mihemuko kumshambulia na kumpa adhabu Mpina ndio wanaiba umuhimu wake ...shame on our parliament

  • @illomowerner7690
    @illomowerner7690 3 дня назад

    Hivi huyu Bashe hawezi KUONGEA kiswahili mahiri mpaka aongee kiingereza?
    Watanzania wote wanaujua kiingereza?
    Kama hawezi kuongea lugha yetu basi aachishwe, lakini pia Kwa nini bajeti ziwasilishwe kwa kiingereza....? Kwa nini zisiandaliwe mbili?
    Ya kiswahili na kiingereza for international matters and recognition?.

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 4 дня назад

    Ni bunge linazima sauti? ama ndo hii channel? mpina jitayarishe kushtaki bunge lote wakulipe mahela😅😅😅😅😅

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 4 дня назад

    Mnago,mbna tu kila siku eternet hakuna

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 4 дня назад

    Context matters

  • @richardkayuguyugumasalu2594
    @richardkayuguyugumasalu2594 3 дня назад

    Hawa nao cku moja tuwatimuwe na ubwabwa wao tuupige

  • @adow9musictz931
    @adow9musictz931 4 дня назад

    Forever tz i love u tutafika tu

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 4 дня назад

    Tatizo ni elimu wote hapo mmesoma baba na mama,wanakula ugali,na maharage mkikutana na fundi gereju tu,wote ni zero

  • @bakarimahenge
    @bakarimahenge 4 дня назад

    mpina hongera wanafichiana madudu yawo hamna chochote hapo

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 4 дня назад +1

    Kosa la mpina liko wapi

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 4 дня назад

    Wanawake kuvaa mitandio bungeni ni sahihi kweli?Spika angalia hili swala la kuvaa kiholela.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 дня назад

    Leo mitambo yenu imekua ya kipuuzi sauti

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 4 дня назад

    Ni kwa nini sheria zetu haziandikwi kwa Kiswahili?

  • @josephineseruhere-cv4wc
    @josephineseruhere-cv4wc 4 дня назад

    Yu tubu mnapotosha huo siyo mzozo Language kingerzawni kigumu na kila mmja ana uelewa na ufafahamu wake so they was jus difining it was in form of indigestion 😂😂❤

  • @GodfreyMkolokoti
    @GodfreyMkolokoti 4 дня назад

    Jamaa huyuuu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 дня назад +1

    Me Wananikera sana Bunge kutumia kiingereza Luga iliokuja na ndege

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 4 дня назад

    sauti zinakatakata 😢😢

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 дня назад

    Hivi kusoma kunafaidia nini mtu akikosa maarifa? Naona aibu sana kuwa tuna vyuo vikuu.

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 4 дня назад

      Sisi tunaona aibu kuwa na watu wanaoendekeza mapenzi

  • @zuwenaenock2073
    @zuwenaenock2073 4 дня назад

    Na Aida

  • @farajiharuna5945
    @farajiharuna5945 4 дня назад

    Mbona mnakata kata jamaani

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 4 дня назад

    Boring Bunge session focussing very boring issues

  • @GodfreyMkolokoti
    @GodfreyMkolokoti 4 дня назад

    Mwacheria

  • @user-qq5ze4lp7m
    @user-qq5ze4lp7m 4 дня назад

    kiswahili nichakuombea kulatu nja

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 3 дня назад

      Waje watumie kiingereza kwenye uchaguzi ✍️

  • @fadhilmbulugwa7322
    @fadhilmbulugwa7322 4 дня назад

    Mwanasheria mkuu wa serikal mh!

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 4 дня назад

    Mbona mkatakata

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 3 дня назад

    Hivi hii shida ya kukoment hoja you tobe mnaipata kama mimi unatach mpaka unataka kughairi au ni simu yangu au
    Ila nimpongeze speaker wetu anajua sheria ndani nje

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 4 дня назад +1

    KWANI NI MSITUMIE MNATUMIA LUGHA KWA WIZI WENU WENGINE WASIELEWE

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 4 дня назад +1

    Spika uko vzr sana aisee

  • @JosephMtaya
    @JosephMtaya 4 дня назад

    Spika bigap

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 3 дня назад

    sasa kizungu cha nini na wakati bunge lakitanzania na kiswahili na wanao sikiliza wengi was watu wavijijini hawajui kiswahili si muongee lugha ya taifa kwenye mambo muhimu kama haya yanayohusu raiya wote waliosoma na wasio soma

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr 4 дня назад

    SASA mmemfungia Mpina Kwa Nini??? Nyinyi wenyewe wabunge amjiridhika😮😮😮😮

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb 4 дня назад

    Mzimu wa mpina unawaumbua hawa sasa wanatapatapa tu vilaza hawa