Sasa hii nchi ni wapi hawa viongozi wetu wanapabtia? Yaani kila sekta malalmiko tuu... kwani ninyi viongozi hamjipangi kabla hamjafanya maamuzi mkakaa na hao wadau mkaelewana?
Mimi binafsi waziri wa fedha na w/mipango waangaliwe vizuri nahisi hawapo sawa na Mh.Rais awaondowe ,Kisha aweke wengine pia Kilimo hakuna kitu Kila kukicha wanalalamikiwa wao tu kwani wananini?--Huu ni ushauri wangu na Sina kinyongo nao.
Madam fransisca masika dah nakumbuka ulivyokua redio tripleA arusha redio ya papa king big up xn nimefurahi xn kukuona wewe ni kichwa unaongea kisomi kama spika tulia akson 🎉🎉🎉🎉
SHIDA HATA NINYI PIA MKIZIPATA HIZO DOLA MNAPENDA KUUZA BEI KUBWA MNO,HUKU MNAJIFANYA KUTAKA KUPEWA KIDOGO. TUACHE USANII ILI PESA YETU IPANDE THAMANI. KUNA TATIZO KTK TAASISI ZA SERIKALI NYINGI ZINAJIENDESHA KIBABE NA KUTAMANI KUWAIBIA WAWEKEZAJI,NA WABADILIKE.
Mko sawa viongozi wetu kwa kweli wahusika waliohusika ni vyema wachukuliwe hatua maana wamefanya hivyo kwa makusudi ili hali wanajua mwongozo wa bank kuu
Mpaka lini mpaka lini jamani mivutano hii inakoma mbona ni swala dogo tu serikali kufanya maamuzi sahihi mara mmoja tu watu wakafanya kazi zao kwa utulivu serikali inapungukiwa na nini wakisikiliza kero na wakatoa mamuzi yanayotakiwa dah inachosha na kuumiza sana sana watu wateseke kutafuta wageni nje kwa gharama zao wanunue magari kwa gharama zao tena kwa kukopa wenyewe bado kuletewa shida kila kukicha
Dahh. Mmeguswa kidogo tu.. kelele kibao. Malalamiko kibao. Vipi mnavyowabana ma tour guide wenu????. Mnavolalamika pia jaribuni kuangalia Hao wapambanaji ambao Ni mabalizi WA kujitolea hapa nchini kwetu. Mikitu mna miroho mibaya.
Kwenye kutishia kugoma sasa hapo mnakosa busara kabisa, mnahudumia wageni wetu watokao nje ya nchi ulaya america Urabuni tabia za kienyeji enyeji mzitoe kabisa vichwani mwenu yaani ni aibu hata kutanka hilo neno eti tulitaka kupaki magari mbugani? Au mmechoka pesa? Kama kuna miaka mmefaidika na utalii ni miaka hii ambayo majirani zetu Kenya vurugu zinatisha wageni na watalii wote wanasema tunaenda Tanzania kuna uhakika sasa msijichanganye na kulewa sifa na pesa, mtaharibu sasa hivi, mkumbuke mwisho wa yote mtajikomoa wenyewe watalii wakiacha kuja nani anapata hasara? Mtumie busara kubwa kwenye maamuzi yenu hasa kioindi hiki cha neema kilichowadondokea
Hoja zenu ni za msingi, na hongera wote mlioongea hapo, asilimia 💯 ni ukweli.Nashanga walioko Serikalini siku zote wanashindwaje kuwaelewa!
Mheshimiwa Rais naomba umpe huyu dadaangu fransisca masika kazi kwenye serikali yako ana IQ kubwa anaongea kama waziri au mbunge
KILA SIKU MAMBO YANAZIDI KUHARIBIKA.. YANI TUNAHARIBU NCHI YETU KWA MIKONO YETU WENYEWE.. HII NI AIBU SANA 😭😭..
Kuna namna huyo jamaa kwenye 4:41 ameambiwa Wewewe huwezi zungumza bhana 😂😂😂😂😂😂😂,
Mama amempa Rungu @Mwigulu @SAMIA @MWIGULU ATAKUINGIZA KTK SHIDA KUBWA MNOO UTAJUTA CHUNGULIA WAKATI AROUND YOU.
TIMING 💥
Sasa hii nchi ni wapi hawa viongozi wetu wanapabtia? Yaani kila sekta malalmiko tuu... kwani ninyi viongozi hamjipangi kabla hamjafanya maamuzi mkakaa na hao wadau mkaelewana?
4:41 mbona huyo jamaa amezuiliwa namna hiyo 😂
Angechafuwa hali ya hewa huyo 😂😂😂
Mimi binafsi waziri wa fedha na w/mipango waangaliwe vizuri nahisi hawapo sawa na Mh.Rais awaondowe ,Kisha aweke wengine pia Kilimo hakuna kitu Kila kukicha wanalalamikiwa wao tu kwani wananini?--Huu ni ushauri wangu na Sina kinyongo nao.
Hii serikali inawapa watu kazi nitofauti sana naile yamakufuli kwahiyo ukizubaa inakula kwako maana huko serikalini hakuna anayekujali
Madam fransisca masika dah nakumbuka ulivyokua redio tripleA arusha redio ya papa king big up xn nimefurahi xn kukuona wewe ni kichwa unaongea kisomi kama spika tulia akson 🎉🎉🎉🎉
SHIDA HATA NINYI PIA MKIZIPATA HIZO DOLA MNAPENDA KUUZA BEI KUBWA MNO,HUKU MNAJIFANYA KUTAKA KUPEWA KIDOGO.
TUACHE USANII ILI PESA YETU IPANDE THAMANI.
KUNA TATIZO KTK TAASISI ZA SERIKALI NYINGI ZINAJIENDESHA KIBABE NA KUTAMANI KUWAIBIA WAWEKEZAJI,NA WABADILIKE.
Mko sawa viongozi wetu kwa kweli wahusika waliohusika ni vyema wachukuliwe hatua maana wamefanya hivyo kwa makusudi ili hali wanajua mwongozo wa bank kuu
Tunaharibu Nchi yetu
Hivi kwanini rahisi Samia hambadirishi wazili wa fedha shida ni nini mbona hatumuelewi wazi wa fedha
Safi sana!!
Huyu dada anajiamini.anafaa sana.
😢
Mzungu kashtuka😅😅😅
Mzungu kashtuka😅😅
Mpaka lini mpaka lini jamani mivutano hii inakoma mbona ni swala dogo tu serikali kufanya maamuzi sahihi mara mmoja tu watu wakafanya kazi zao kwa utulivu serikali inapungukiwa na nini wakisikiliza kero na wakatoa mamuzi yanayotakiwa dah inachosha na kuumiza sana sana watu wateseke kutafuta wageni nje kwa gharama zao wanunue magari kwa gharama zao tena kwa kukopa wenyewe bado kuletewa shida kila kukicha
Itoshe kusema serikali yetu ndo inaturudisha nyuma kwa kila namna
Dahh. Mmeguswa kidogo tu.. kelele kibao. Malalamiko kibao. Vipi mnavyowabana ma tour guide wenu????. Mnavolalamika pia jaribuni kuangalia Hao wapambanaji ambao Ni mabalizi WA kujitolea hapa nchini kwetu. Mikitu mna miroho mibaya.
Andamaneni Ma'Gen z nyie
Niwapongeze wote
TUMEISHA MSHAURI RAISI SAMIA KWANINI HAMBADILISHI WAZIRISTAN WA FEDHA??
KWANINI KATI YAO??
TUTAJUA TU
Gomeni tu,huu uongozi wa sasa ni ufisadi tu,kodi to much, RIP JPM
Kwenye kutishia kugoma sasa hapo mnakosa busara kabisa, mnahudumia wageni wetu watokao nje ya nchi ulaya america Urabuni tabia za kienyeji enyeji mzitoe kabisa vichwani mwenu yaani ni aibu hata kutanka hilo neno eti tulitaka kupaki magari mbugani? Au mmechoka pesa? Kama kuna miaka mmefaidika na utalii ni miaka hii ambayo majirani zetu Kenya vurugu zinatisha wageni na watalii wote wanasema tunaenda Tanzania kuna uhakika sasa msijichanganye na kulewa sifa na pesa, mtaharibu sasa hivi, mkumbuke mwisho wa yote mtajikomoa wenyewe watalii wakiacha kuja nani anapata hasara?
Mtumie busara kubwa kwenye maamuzi yenu hasa kioindi hiki cha neema kilichowadondokea
Kwa iyo wafanye kazii hasara Mnakimbilia tu kukoment kitu ambacho hukifanyiii aujui inaendajeee unacoment tuu
Unaonaje na ww ukafanye iyo kaz
Kafanye hiyo kazi na wewe
😢