Maarifa Ft Dogo Janja - Acha Iwe (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- #Maarifa #Achaiwe #Mmb
Producers: Pwizle & Rashdon
Studio: Active Records & Suprise
Maarifa is hiphop artist from Tanzania signed under music label named MMB { Manzese Music Baby }
Hiii ngomaaaa nomaaaaaa
Wanangu acha iweee wanangu acha iweeee nalewa bia zinashukaaa
Kama unaamini janjaro kauwa kwenye coras twende sawa ni like hizo
Jamaa anaweza sanaa maarifa
Tshaaa mwambaaa
Aliyebadili jalala wakafikiri kapona kichaa
Hii ngoma ni kali maarifa endelea kutoa mangoma kali maarifa😀😀😀
Janjaro kaingia kubwa sana yani
Maarifa, new Suma Mnazaleti, Satule kwako Broda... Fan wa Bongo HipHop niko nyuma yako. Piga kazi mkuu.
Maarif ni moto
Unajua sana mwane tu sema ni malakumi ungekua unatoa kopi
Tulioletwa na FA tujuane, chupa yangu ya mwez hii
Hivi comment inakuwaje nyingi kuliko viewers au wengine mnachati humu😅😅
Yaani noumaaa sana
Maarifa ya maarifa
Bigthinker
Mtoto baba ✌✌
Makin mzee baba
Bona maarifa Mkali na hajatokea,, ama washirikina wamembania nyota, , Huyu jamaa hatari,,support yangu kwa Maarifa kutoka 254, nakukubali sana
Hiyo style ya rap ni nooooma mzeya
ngomaa kaliiiiiiiii
The big thinker...
Hilo jina Maarifa umelitendea haki nmependa sana stile yako ya kurap mzee
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html
Kaza Buti maarifa
Wah🔥🔥🔥
Hakuna watu wanafiki kama watanzania hata kama kitu nikizuri wao wana dislike tuuu ..pendeni vya kwenu #MARIFA #DOGOJANJA
#Achaiwe
haaaa dogo janja ww noma hio voice sio poa big up sana
Ivanny Wizzy mamaeee njaa kauaa na voice mzeee sio poaaa ase
#Achaiwe
Hatariiii
Naakubali broo
Mwanangu wa kibaha,chemba la kwa mathias,MAARIFA big up sana bro.Peperusha bendera ya kibaha wanao wa kwa mathias tupo nyuma yako.Be blessed
Aminia sana
janjaro umetisha
Ashukuliwe madee noma sana hyo baba
Noma
Moja kati ya wasanii ambao cwaelewagi
Qubaaaaabaqe hiiiiiiiiit🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaza buti 😂😂ila dogo janja amekuskot sana kwenye koras
maarifa umeuwa kwanza umechana kitofaut ila viwak hawata elewa ila ukweli ngoma nikali sana
Acha iweeeee
Mwana fa kanileta huku jaman
Kali nilikuwa naisikia tu wasafi FM nikasema huyu ni nani sasa umepata shabiki mpya Mimi hapa
Marifaaa
Ila kiukwer dg janja kaua Sana
Mpinzani halisi wa young killar...wampe muda mwngi wa kutoa madude nmemsikia #block89 nmekuja mwenyew kutafuta ngoma zake ana*ipaji kikubwa sanaaa big up..
Nyimbo yenyew ni maarifa inajitafsiri
MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html. ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html
@@clarahcut3michael321 dah..kwel mzeee ila usimuite mwizi...bana uwez fanya kitu cha pekee yko dunia hii kila kitu kilishwa fanywa mzee....maarifa atabaki kuwa maarifa,uyo mwamba atabaki kuwa uyo tunaheshimu kile alichofanya,salute kwakee
@@michaeljeremiah634 hamna sheria inayosema kumiliki nyimbo ya Mtu bila ruhusa. Ingekuwa ni refix or cover ya nyimbo kweli inakubalika ila kuchukua nyimbo ya Mtu kuiga (copy &paste) afu unaekea logo kama yako then watu wakusifie NO NO NI WIZIIIIIIIIIIII angepay homage kwa the artist mwenye wimbo amae ni sarkodie na kk fosu,
Kaka hii ya kwenda kabisa mkuu,,
#Achaiwe
Nimetokea kkkubal mkali. Uko gud can.
Wahun acha iwe
Upo vzr
"Ubora wa mfuko hutegemea uzito wa Mzigo" ....MAARIFA
kabisaaa
Sure mzee,
Dogo njanja kaza Mwanangu
Ndio maana halisi ya maarifa
Nimekubali sana maarifa umetisha sana unyama kama wote yaani full shangwe ngoma iko poa kabisa nimeipenda
Chaliangu ii ngoma ni kwre
Hatari sana hii
NAMKUBALI MAARIFA
Nakubal san mwana
ipo powaa
Wauweee
#Achaiwe
Maarifa A cha iwe
Dude kali la mwaka kwa mataifa yote na sayari zngne......haa haa haa! shout out to Maarifa BigThinker!
#Achaiwe
Dah nazkubali San nyimbo zke
💞💞💞💞💞💞💃💃💃 acha iweeeeee
Fayaaaaa #achaiwe
#Achaiwe
maarifa your so dope....kwanza unastairi yako yakipekee sana uko vzur big up
Nishanyimwa nauli na walosema maisha safari, mamae uyu nd Rashid maarifa mtoto wa mama penya iyoooo...
Daaah rap ya huyu jamaa nimeipenda sana kwa kweli style moja kali sana asee...big up Maarifa
#Achaiwe
shukrani
Ngoma yangu ya kuitia simu hiii
Maalifa moto uwuooo
umetisha mzazi
Komaa dogo sio mbaya
Shabiki makini wa Maarifa toka maarifa ya Maarifa🙏🏿
Chupa ni kwikwi
#Achaiwe
Sambaz link #Achaiwe
daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: ruclips.net/video/R7gwnFn9BMM/видео.html
Wametisha
Tariq Kideu mapema sana imeshasambaa
bado yadunda kama hivi imetokea leo
achaa iweeee
Eyoooomaarifa dah mpaka Keri wadau ngoma hii ya kwenda fanyeni support ya nguvu acha ngoma iende
#Achaiwe
Acha iweee
Here we go
Oi, @maarifa thebigthinker, sikia hii ni ngoma kubwa sana amini, acha iwe!! Alipofia ndege hapakoswi manyoya ,nami nikwambie umefia penyewe..👊💙
noma kabisaa
2023 nipeni like zangu
ashukuriwe madee
Naisi 🤨
unajua mzee
Ni sisi tunaoelewa nn maana ya mziki mzur ndio tunapata raha kuskilza ngoma tamu kama hii
Umeuwa mwanangu mtaa tusha kiwasha #achaiwe.
Rap battle ingekuwa viral sana
hahaha #Achaiwe
Itakua poa kama na janja nae angechana kama bato fla hv coz janja nae anaweza kutwist ...so far so good ila sio ngoma ya sokoni kwa sasa kwenda international tunahtaji zaid ya hapo.. Fikiria zaidi jinsi ya kupenya sio tuckilize wana gheto.. Madee endelea kimnoa kijana..
InShAllah
daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: ruclips.net/video/R7gwnFn9BMM/видео.html
Janja ni mkal sana kwenye kuchana
International kwa nyimbo ya wizi?!!copy &paste?!!😂😂😂😂😂
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html
Ngoma Kali mwanaa #achaiwe kwenye trending
#Achaiwe
Jamani tuwasifie Wana hip-hop wote lkn maarifa Ni Bora Zaid
Acha iwe.
Mano likwe likwe
Nomaaaa
#Achaiwe
Kazaaa mjomba madee nimekubali tunda jipya hilo
Hii ngoma ukiachana na maarifa DOGO JANJA KAIPENDEZESHA SANA 🔥🔥🔥
Maarifa kwel umefanana na jina lako
Full maunjanja
Kibaha finest
Tomplex na Maarifa Big Thinker
Unaambiwa #ACHAIWE
Rrrraaa noma sana 🙌🙌🔥
Mm
Ngoma kali
❤❤maarifa ya maarifa❤❤❤❤kibaa kwa Mathias hip hop❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉boom❤❤❤🎉🎉🎉
Alibadili jalala wakazani kapona kichaa...💥💥💥💥 Hizi lyrics Unaeza peleka Egypt na tukashangilia nazo
noma kabisaaa
Safiiiii Mdogo wangu
Hii maaarifa ume tisha ,,,,wimbo ni mzuri sanaaaa ila sema nn acha iwe
#Achaiwe
Mwng Ache Iwe ✌🏽
Kama unaamini Planet Bongo ni Pindi la dunia gonga like wajanja Wameelewa Nyeupeeeee
Ashukuliwe madee✅
#Achaiwe