Maarifa Ft Dogo Janja - Acha Iwe (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #Maarifa #Achaiwe #Mmb
    Producers: Pwizle & Rashdon
    Studio: Active Records & Suprise
    Maarifa is hiphop artist from Tanzania signed under music label named MMB { Manzese Music Baby }

Комментарии • 494

  • @halidhakim883
    @halidhakim883 День назад

    Hiii ngomaaaa nomaaaaaa

  • @MeryRichard-fs4xs
    @MeryRichard-fs4xs Месяц назад

    Wanangu acha iweee wanangu acha iweeee nalewa bia zinashukaaa

  • @genesbkimariokimario7357
    @genesbkimariokimario7357 5 лет назад +14

    Kama unaamini janjaro kauwa kwenye coras twende sawa ni like hizo

  • @allychaye2925
    @allychaye2925 3 года назад

    Jamaa anaweza sanaa maarifa

  • @yusuphramadhani2244
    @yusuphramadhani2244 5 лет назад

    Tshaaa mwambaaa

  • @allykabelwa2769
    @allykabelwa2769 5 лет назад

    Aliyebadili jalala wakafikiri kapona kichaa

  • @vanessafrancis6216
    @vanessafrancis6216 2 года назад

    Hii ngoma ni kali maarifa endelea kutoa mangoma kali maarifa😀😀😀

  • @ibrahimkazimoto685
    @ibrahimkazimoto685 Год назад

    Janjaro kaingia kubwa sana yani

  • @paulmbonika2459
    @paulmbonika2459 3 года назад +6

    Maarifa, new Suma Mnazaleti, Satule kwako Broda... Fan wa Bongo HipHop niko nyuma yako. Piga kazi mkuu.

  • @a.k.astudio5351
    @a.k.astudio5351 5 лет назад

    Maarif ni moto

  • @AyubuNkilaka
    @AyubuNkilaka 2 месяца назад

    Unajua sana mwane tu sema ni malakumi ungekua unatoa kopi

  • @obadiakapinga5315
    @obadiakapinga5315 5 лет назад +31

    Tulioletwa na FA tujuane, chupa yangu ya mwez hii

  • @awemaqway1201
    @awemaqway1201 3 дня назад

    Hivi comment inakuwaje nyingi kuliko viewers au wengine mnachati humu😅😅

  • @luckmusic810
    @luckmusic810 5 лет назад

    Yaani noumaaa sana

  • @juniorjoel3564
    @juniorjoel3564 Год назад

    Maarifa ya maarifa

  • @rashidimanga6111
    @rashidimanga6111 5 лет назад +1

    Bigthinker

  • @kiddmokerog3261
    @kiddmokerog3261 4 года назад

    Mtoto baba ✌✌

  • @elvinsanga8786
    @elvinsanga8786 4 года назад

    Makin mzee baba

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial 4 года назад +7

    Bona maarifa Mkali na hajatokea,, ama washirikina wamembania nyota, , Huyu jamaa hatari,,support yangu kwa Maarifa kutoka 254, nakukubali sana

  • @pierrepaul2309
    @pierrepaul2309 4 года назад

    Hiyo style ya rap ni nooooma mzeya

  • @khalidikibakuli132
    @khalidikibakuli132 5 лет назад

    ngomaa kaliiiiiiiii

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau551 3 года назад

    The big thinker...

  • @pnstudiostz.
    @pnstudiostz. 5 лет назад +38

    Hilo jina Maarifa umelitendea haki nmependa sana stile yako ya kurap mzee

    • @clarahcut3michael321
      @clarahcut3michael321 5 лет назад

      Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 5 лет назад

    Kaza Buti maarifa

  • @patrovincoelisjunior7989
    @patrovincoelisjunior7989 10 месяцев назад

    Wah🔥🔥🔥

  • @g5tvkabocho190
    @g5tvkabocho190 5 лет назад +4

    Hakuna watu wanafiki kama watanzania hata kama kitu nikizuri wao wana dislike tuuu ..pendeni vya kwenu #MARIFA #DOGOJANJA

  • @ivannywizzy5166
    @ivannywizzy5166 5 лет назад +1

    haaaa dogo janja ww noma hio voice sio poa big up sana

    • @shairanadam1443
      @shairanadam1443 5 лет назад

      Ivanny Wizzy mamaeee njaa kauaa na voice mzeee sio poaaa ase

    • @Maarifaa
      @Maarifaa  5 лет назад

      #Achaiwe

  • @SamuelCharles-111
    @SamuelCharles-111 5 лет назад

    Hatariiii

  • @jamesmushy4812
    @jamesmushy4812 3 года назад

    Naakubali broo

  • @briankiwelu2979
    @briankiwelu2979 5 лет назад +9

    Mwanangu wa kibaha,chemba la kwa mathias,MAARIFA big up sana bro.Peperusha bendera ya kibaha wanao wa kwa mathias tupo nyuma yako.Be blessed

  • @nasryshabany7204
    @nasryshabany7204 5 лет назад

    janjaro umetisha

  • @saadyhassany2399
    @saadyhassany2399 4 года назад +1

    Ashukuliwe madee noma sana hyo baba

  • @deljaysamil1153
    @deljaysamil1153 5 лет назад

    Noma

  • @pouldominick3203
    @pouldominick3203 4 года назад

    Moja kati ya wasanii ambao cwaelewagi

  • @emmajoshtanzania1790
    @emmajoshtanzania1790 5 лет назад +1

    Qubaaaaabaqe hiiiiiiiiit🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @michaelpaulo9298
      @michaelpaulo9298 5 лет назад

      Kaza buti 😂😂ila dogo janja amekuskot sana kwenye koras

    • @kaimukomba2392
      @kaimukomba2392 5 лет назад +1

      maarifa umeuwa kwanza umechana kitofaut ila viwak hawata elewa ila ukweli ngoma nikali sana

  • @noelbarkin5070
    @noelbarkin5070 5 лет назад

    Acha iweeeee

  • @ipyanaandrea6829
    @ipyanaandrea6829 5 лет назад

    Mwana fa kanileta huku jaman

  • @emmanuelkaitabatz556
    @emmanuelkaitabatz556 5 лет назад +4

    Kali nilikuwa naisikia tu wasafi FM nikasema huyu ni nani sasa umepata shabiki mpya Mimi hapa

  • @mouddybest3526
    @mouddybest3526 3 года назад +1

    Marifaaa

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 5 лет назад

    Ila kiukwer dg janja kaua Sana

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 5 лет назад +26

    Mpinzani halisi wa young killar...wampe muda mwngi wa kutoa madude nmemsikia #block89 nmekuja mwenyew kutafuta ngoma zake ana*ipaji kikubwa sanaaa big up..

    • @hassanyghaly8812
      @hassanyghaly8812 5 лет назад +1

      Nyimbo yenyew ni maarifa inajitafsiri

    • @clarahcut3michael321
      @clarahcut3michael321 5 лет назад +1

      MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html. ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html

    • @michaeljeremiah634
      @michaeljeremiah634 5 лет назад

      @@clarahcut3michael321 dah..kwel mzeee ila usimuite mwizi...bana uwez fanya kitu cha pekee yko dunia hii kila kitu kilishwa fanywa mzee....maarifa atabaki kuwa maarifa,uyo mwamba atabaki kuwa uyo tunaheshimu kile alichofanya,salute kwakee

    • @clarahcut3michael321
      @clarahcut3michael321 5 лет назад

      @@michaeljeremiah634 hamna sheria inayosema kumiliki nyimbo ya Mtu bila ruhusa. Ingekuwa ni refix or cover ya nyimbo kweli inakubalika ila kuchukua nyimbo ya Mtu kuiga (copy &paste) afu unaekea logo kama yako then watu wakusifie NO NO NI WIZIIIIIIIIIIII angepay homage kwa the artist mwenye wimbo amae ni sarkodie na kk fosu,

  • @giftkiladay
    @giftkiladay 5 лет назад

    Kaka hii ya kwenda kabisa mkuu,,

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 3 года назад

    Nimetokea kkkubal mkali. Uko gud can.

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 5 лет назад

    Wahun acha iwe

  • @yothamsolomonimtewele6969
    @yothamsolomonimtewele6969 5 лет назад

    Upo vzr

  • @sephjuma4294
    @sephjuma4294 5 лет назад +6

    "Ubora wa mfuko hutegemea uzito wa Mzigo" ....MAARIFA

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 5 лет назад

    Dogo njanja kaza Mwanangu

  • @calvinmshanga9077
    @calvinmshanga9077 Год назад

    Ndio maana halisi ya maarifa

  • @mudystarog1381
    @mudystarog1381 5 лет назад +3

    Nimekubali sana maarifa umetisha sana unyama kama wote yaani full shangwe ngoma iko poa kabisa nimeipenda

  • @muaribifu_tz6572
    @muaribifu_tz6572 5 лет назад

    Chaliangu ii ngoma ni kwre

  • @sosterntulian491
    @sosterntulian491 5 лет назад

    Hatari sana hii

  • @jabirmohamed5835
    @jabirmohamed5835 2 года назад

    NAMKUBALI MAARIFA

  • @remit57bahati48
    @remit57bahati48 5 лет назад

    Nakubal san mwana

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori9697 3 года назад

    ipo powaa

  • @ramaaboki6255
    @ramaaboki6255 5 лет назад +2

    Wauweee

  • @ropedwai7499
    @ropedwai7499 3 года назад

    Maarifa A cha iwe

  • @ridhiwanladdah6799
    @ridhiwanladdah6799 5 лет назад +1

    Dude kali la mwaka kwa mataifa yote na sayari zngne......haa haa haa! shout out to Maarifa BigThinker!

  • @sarahmchelema2517
    @sarahmchelema2517 4 года назад

    Dah nazkubali San nyimbo zke

  • @maimonatalal8994
    @maimonatalal8994 3 года назад +1

    💞💞💞💞💞💞💃💃💃 acha iweeeeee

  • @ummutaymiyyah6774
    @ummutaymiyyah6774 5 лет назад +2

    Fayaaaaa #achaiwe

  • @bboy9321
    @bboy9321 5 лет назад +4

    maarifa your so dope....kwanza unastairi yako yakipekee sana uko vzur big up

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +1

    Nishanyimwa nauli na walosema maisha safari, mamae uyu nd Rashid maarifa mtoto wa mama penya iyoooo...

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 5 лет назад +1

    Daaah rap ya huyu jamaa nimeipenda sana kwa kweli style moja kali sana asee...big up Maarifa

  • @kelvinmartin6296
    @kelvinmartin6296 3 года назад +1

    Ngoma yangu ya kuitia simu hiii

  • @wilisonmpluka5876
    @wilisonmpluka5876 3 года назад

    Maalifa moto uwuooo

  • @roobenmwakitalu4133
    @roobenmwakitalu4133 5 лет назад

    umetisha mzazi

  • @mohamedyusuph1321
    @mohamedyusuph1321 5 лет назад

    Komaa dogo sio mbaya

  • @maxmilianmariceli6708
    @maxmilianmariceli6708 5 лет назад +78

    Shabiki makini wa Maarifa toka maarifa ya Maarifa🙏🏿
    Chupa ni kwikwi

  • @kelvodewriter
    @kelvodewriter 3 года назад

    bado yadunda kama hivi imetokea leo

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez3382 5 лет назад

    achaa iweeee

  • @grasianzabron1062
    @grasianzabron1062 5 лет назад +2

    Eyoooomaarifa dah mpaka Keri wadau ngoma hii ya kwenda fanyeni support ya nguvu acha ngoma iende

  • @josephjoven1729
    @josephjoven1729 4 года назад

    Acha iweee

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 22 дня назад

    Here we go

  • @sir.dejemantatz6261
    @sir.dejemantatz6261 5 лет назад +2

    Oi, @maarifa thebigthinker, sikia hii ni ngoma kubwa sana amini, acha iwe!! Alipofia ndege hapakoswi manyoya ,nami nikwambie umefia penyewe..👊💙

  • @nassjenas2714
    @nassjenas2714 Год назад

    2023 nipeni like zangu

  • @officialmaufundi5069
    @officialmaufundi5069 5 лет назад

    ashukuriwe madee

  • @iguchiparkdaacha6882
    @iguchiparkdaacha6882 2 года назад +1

    Naisi 🤨

  • @richardmguli4865
    @richardmguli4865 5 лет назад

    unajua mzee

  • @eunicejoseph3870
    @eunicejoseph3870 5 лет назад +1

    Ni sisi tunaoelewa nn maana ya mziki mzur ndio tunapata raha kuskilza ngoma tamu kama hii

  • @samlove1897
    @samlove1897 5 лет назад +1

    Umeuwa mwanangu mtaa tusha kiwasha #achaiwe.

  • @sillaskelly6135
    @sillaskelly6135 5 лет назад +2

    Rap battle ingekuwa viral sana

  • @dalechill5821
    @dalechill5821 5 лет назад +29

    Itakua poa kama na janja nae angechana kama bato fla hv coz janja nae anaweza kutwist ...so far so good ila sio ngoma ya sokoni kwa sasa kwenda international tunahtaji zaid ya hapo.. Fikiria zaidi jinsi ya kupenya sio tuckilize wana gheto.. Madee endelea kimnoa kijana..

    • @Maarifaa
      @Maarifaa  5 лет назад +7

      InShAllah

    • @dbaymailing1661
      @dbaymailing1661 5 лет назад +1

      daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: ruclips.net/video/R7gwnFn9BMM/видео.html

    • @juvenalymnyama735
      @juvenalymnyama735 5 лет назад +1

      Janja ni mkal sana kwenye kuchana

    • @clarahcut3michael321
      @clarahcut3michael321 5 лет назад

      International kwa nyimbo ya wizi?!!copy &paste?!!😂😂😂😂😂

    • @clarahcut3michael321
      @clarahcut3michael321 5 лет назад

      Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii ruclips.net/video/uXonxYnu-Zw/видео.html

  • @razackfadhil1030
    @razackfadhil1030 5 лет назад +5

    Ngoma Kali mwanaa #achaiwe kwenye trending

  • @athumanimbagala8107
    @athumanimbagala8107 2 года назад

    Jamani tuwasifie Wana hip-hop wote lkn maarifa Ni Bora Zaid

  • @tausinassibu7473
    @tausinassibu7473 4 года назад

    Acha iwe.

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 4 года назад

    Mano likwe likwe

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 5 лет назад +1

    Nomaaaa

  • @amarmohd9003
    @amarmohd9003 5 лет назад +1

    Kazaaa mjomba madee nimekubali tunda jipya hilo

  • @veryinterestingriddles
    @veryinterestingriddles 5 лет назад +6

    Hii ngoma ukiachana na maarifa DOGO JANJA KAIPENDEZESHA SANA 🔥🔥🔥

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 лет назад +2

    Maarifa kwel umefanana na jina lako
    Full maunjanja

  • @emmanueldottto5379
    @emmanueldottto5379 5 лет назад +1

    Kibaha finest

  • @tomplexbrigedier2282
    @tomplexbrigedier2282 5 лет назад +3

    Tomplex na Maarifa Big Thinker
    Unaambiwa #ACHAIWE

  • @ismailsuma5858
    @ismailsuma5858 5 лет назад +2

    Rrrraaa noma sana 🙌🙌🔥

  • @userone1173
    @userone1173 5 лет назад

    Ngoma kali

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 Год назад

    ❤❤maarifa ya maarifa❤❤❤❤kibaa kwa Mathias hip hop❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉boom❤❤❤🎉🎉🎉

  • @lazaronkanga2085
    @lazaronkanga2085 5 лет назад +4

    Alibadili jalala wakazani kapona kichaa...💥💥💥💥 Hizi lyrics Unaeza peleka Egypt na tukashangilia nazo

  • @odaxshombe8138
    @odaxshombe8138 5 лет назад +3

    Hii maaarifa ume tisha ,,,,wimbo ni mzuri sanaaaa ila sema nn acha iwe

  • @danielpatrick5878
    @danielpatrick5878 5 лет назад +1

    Mwng Ache Iwe ✌🏽

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 5 лет назад

    Kama unaamini Planet Bongo ni Pindi la dunia gonga like wajanja Wameelewa Nyeupeeeee

  • @shabanijulius8345
    @shabanijulius8345 5 лет назад +5

    Ashukuliwe madee✅