Dogo Janja - Kishada Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2019
- Watch the latest song Kishada By Dogo Janja.
#DogoJanja
#Kishada
More Songs Of Dogo Janja
Banana: https: // • Dogo janja - Banana (...
NGARENARO: • Dogo Janja - NGARENARO...
Kidebe: https: // • Dogo Janja - Kidebe (O...
My Life: https: // • Dogo Janja - My Life (...
Wayu Wayu: • Dogo Janja - WAYU WAYU...
Digital Distribution & Promotions: Ziiki Media.
For Latest Update:
dogojanjatz
/ dogojanjatz
/ dogojanjatz
Intro:
Badman in di love yooo yes rastaa
Chorous
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Vers:
Kila nikikuona, Haki ya MUNGU naliaga
Machozi kila kona,Sina wakuyafutaga
Unataka nini nikupe,mradi usinitupe
(eeeh eeeh oooh mamamama weeeh)
Moyoni nipo mweupe, njoo nigande kama kupe
(Eeeh eeeh ooh mamamama weee)
Nataka tuishi peace,eeeeh
Hata ka sina money, uuuh
Tukomeshe wabishi, eeeh
Mpaka si tufanane, uuuh
Yaaani mi na we yani yani mi na wee
Kama embe zakibada
Yani mi na wee yani yani mi na we
Kama upepo na kishada
Chorous
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Vers 2:
Tukipita tunashikana, kabaa
Mitaani wanabishana, kwamba
Mi na wewe hatutazikana
Japo kipato kidogo embu ridhika maaa
Am in loveeee
Aaaaaah aaaaah aaaah aaaah
Am in love aaaaah
Aaaah aaah aaaah aaaah aaaah
Nataka tuishi peace,eeeeh
Hata ka sina money, uuuh
Tukomeshe wabishi, eeeh
Mpaka si tufanane, uuuh
Yaaani mi na we yani yani mi na wee
Kama embe zakibada
Yani mi na wee yani yani mi na we
Kama upepo na kishada
Chorous
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Bridge
Pressure pressure , inanipandaa
Kesha nakesha kesha kesha, japo ninakitanda
Pressure pressure , inanipandaa
Kesha nakesha kesha kesha, japo ninakitanda
Chorous
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata
Ooooooweeee tararata ta taratata Видеоклипы
Janjaro umetengeneza hit song tena 🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🦅🦅🦅. Umetish buda
Respect Buda Boss kaskazin itabak kua Juu
Bonge LA nyimbo wapi like za janjaro 🔥🔥
Kila nikikuona haki mungu naliaga.machozi kila kona hakuna wa kuyafutaga. Oooooweee. Hatariiiiiii pamoja janjarooooo.
haya sasa dogo siyo dogo tena mpaka anajua kuandika talaka kwa uwoya siyo dogo ni broether janja like kwake kwa ngoma kal
RESPECT BROTHER
Kama goma hili umelikubal gonga like
I Love this song.. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪. Ngrarenaro
Shee mohd support kenyan pia arrow bouy ameachilia bonge la ngoma nenda kaview and commen
Sure bro Acha nilicheki
Shee mohd yaah it goes by da name ngeta hope umeiona
Nice
Sana dogo janja .unaeza mpka mda wa sasa.Hongera ndugu wape vitu hadi wapagawe.hadi kishadaaaa
Bongo upo wewe tyuuu Dogo wengne wote wanafuatana sio beat sio melod zao,,,,,,Conguration janjarooooo
Waoooo.kam unamkubal janjaro gonga like twende sawa
Nakubaliii Nakubaliii gonga meza Umetishaa sanaaa Mwanangu blessed
NJOO UONE CARTOON YA #KANYAGA UTA CHEKA GUSA HAPA ruclips.net/video/T6huj2gc9Ow/видео.html
Chuuma
Janaangu #BudaBooss Nakubal Dingiii👏🔥🔥🔥🔥
Kama kishada umekielewa gonga like
Janjaroo respect mosi wamanyiree sanah kikubwa pumzi kaka unajua Kinoma 👊👊👊👊👊
Wacha weeeeeee #NAKUONA SASA MWANANGU JANJA KWENYE UKUBWA WA MUZIK💣💣🙏 WAPISHE SASA HAPO NAMBA MOJA JANJA KAFIKA NA PINI LA MWAKA NA MIEZ YOTE
Wee nyoko janja umeuwa sana humu jamani mm cjawah pata like kilacku niombe like kweli
Bonge LA ngoma
janjaro umeua balaaaaaa 🔥🔥
nipeni like za janjaro japo nimechelewa jamano
Hyo ngalelo dingoo n Yechu,Aikatai eroo.Ngoma kali Bridge imetuliaa,Arusha swt home💪💥
Janjaroo unapata beat nzurii sana producer wa nyimbo zako anakupatia sana kazi nzurii mdogo wangu big up ila zawadii kubwaa apewe na producer piaa BONGE LA BEAT
Huyo ni mnyama dakxo chali Mdogoake na Marco chali wa mj record ni watu wabaya sana
Hapo alipodance chugga style sasaa weeee 😋😋😋😋
Janjarooooo!!! Dg fundi ww!! Jamani na mm nizam yangu leo mnipatie like cyo kila cku mecnatoa tu kwenu!! Naombeni hata 50 tu zinanitosha.
Janja ngoma zako ziko kitofauti na ngoma za wasanii wengine ndio maana hauchuji me huwa nakubali sana ngoma zako
Unajua Dogo J Nikiona Mzigo Umetoa Yan Hua Sinaga Worries Coz Najua Lazima Utakua 🔥
Beat Kali sana dah ila sasa
Janjaro ngarenaro aujawai kukosea mzaz
Alie rudia kuskiliza mara tano kama mimi gonga like twende sawa
Nice bro
Nakubal
Hiyo chunga dance imenifurahisha sana ngoma Kali ❤❤❤❤ 😘😘😘Arusha moja tuweke like hapa ili tujuane🙏🙏🙏
Poa ila bado mapema
Dogo janja yan uko juuuu sana rafkiang big up sana japo umenisahau mi mwanao wa ngalelo tumechexa wote utotoni nakupa bg up unatuletea mambo mazuri kama haya na utabaki kuwa juuuuu
Nakubali 🔥🔥
Kishada kazi nzuri bofya like hapa
Penda nyimbo
....kazi poa dogo.keep you are one of my favourite.listning nikiwa 🇬🇧
Janjaro love from #WazambuliTV 🇹🇿🇷🇺🇨🇮🇿🇦🇬🇼🇰🇪🇧🇴🇪🇬🙌
Nataka tuishi peace,eeeeh
Hata ka sina money, uuuh
Tukomeshe wabishi, eeeh
Mpaka si tufanane, uuuh
.
.
#KISHADA
Ahsante dogo janja upo sawa hii mbona umewamaliza wote wenye safura
Wanangu wa+254 Team janjaro mko wapi najua leo sikosi likes
jamani janja mkali like kama umeiludia hii ngoma Mara nyingi kama mimi
naigubal mkali lete nyinginee gonga like hapo chin 😁😁😁😁😁
Nice ngoma dogo. Unaweza
Congratulations bro .....Am Harun from Kenya but currently in Toronto Canada.... I support this rapa ....I even designed my Dread's like him
ASE Ngoma kalii Sana janjaaa 🙌
Dogo janja songs in my blood👏👏👏
Nataka tuishi peace Hata Kama sina money 💰
Umetisha sana mwana
Ngoma kali xana nimeipenda janja weka like twenzao
Love from Burundi kama kuna wengine hapa naomba like zenu tujuane...Hits only always big up dogo janja
Dogo kweli we ni janja..254 tunachunguza chunguza ..
Huyu ndio janja bhana
Nice song janjaroooo Buddha boss's!!!!!
Nimeikubali sanaa yako mwanangu! Wimbo upo juu, keep up.
Naikubali hy song
Dogo j tunakukubali yani mambo yako 🔥 gonga like kwa dogo j
Ckuping mwamba ngoma kali san 😍
Noma sana wapili apa
Congratulation so much broo @Dogo janja 👏unatuwakilisha vyema #Bongo music , .& nasi tuwakilisha #Goespel music @Dogo janja 👍
Asanteeeee dogo janja 👏👏👏👏🏹🏹🔥🔥🎤🎤🎧🎧🎶🎶📸📸🇹🇿🇹🇿
Janjaro wew mbunifu Sana kwa sisi tunaokufuatilia tushaelewa iko kiitikio imekuaje ukakipata
Chali wa r like kama zote kitu ya chuga no lomoni nyingi iko kwenye kilo iyoo 💗👍
It is Bad man on this one..fireeee
Kunabaashi yawatu wakiona unafanikiwa katka maisha wanatamani waingie wakushushe kama bei yamiogo yakukaanga uwoya aliingiailikukushuaha lakini ukakomaa kichuga bg Up dogo endelea kukaza iliakikusikia ajione kama fanta nyeusi
tamu dha ohhh we shusha presha .janvier kjt Congo DRC
The kinda music the untire universal wanted right now, we received it well from Seattle, Washington, great job #Janjaro
🔥🔥🔥🔥💤💤
Umetisha mdg wang yan daaaah... mnipe like zang wadau🙏🏾💥💥
Oraaah chalii ya A R chugga ni faya kama #kidhada wakalishe babaako uwiii#papapapaaaa
Usichoke Kuangaliaaaa " Uzalendo kwanza 🇹🇿🇹🇿
Kama umeona ngoma kari kama mm gonga like twende sw
Nimekuwa wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 like back please 😌 ngoma kali sanaaaaa 🌟🌟🌟🌟
Dr Suley Tv n .iyo kali sn
Like ya 200 ya kwangu
Dr Suley Tv dah atar
Dojanj
Janjaro upo vizuri sana ndugu yangu kaza buti
Yaani dogo ngoma zako kivyako vyako uko very unique sanaaaaaaa umeweza dogo
Kali ya mwaka iyo bro....video kali ngoma kali... mnyama janjaro ngarenaro
good cn
Unaitwa Dogo Janja
Mimi nakuita King Janja 🌟 ukilenga haukosi 🏹
Kazimily Voice Ngoma kalisanaaa
Sana
😍😘😘😘😘😘😘😘
@@kishemacreen4296 together🔥
Gogo janja namkubali tu saana....Kenya kileleshwa
One love janjaro😍😍😍😍😍😍😍😍 ngoma unaisikia mpaka inside the heart
Uko unique sana ur una midundo ya kivyako vyako yani no shobo
-LEVEL ZAKO HAWAWEZI GUSA WATOTO WA JUZI
APPRETIATE💪💪💪
edgar rwebangira umeonaeee dogo anawza
@@rebbylyanga4067 saaaanaaaaa
@@edgarrwebangira4113 sana
🔥🔥🔥ARUSHA STAND UP AR TOTHE WORLD 🌍🔥
Nyimbo nzuri sn big up
hands up for Daxo-Chali... hamna mtu anamtaja huyu jamaa umu, ni genoius!!!
🙌🙌🙌🙌twende na support zenu wanao mkubali @dogo janja Kishada 🔥🔥🔥🔥🔥🔥iko powa
Kali sana janjarooo🔥🔥🔥🔥
Great songs@ Kimoi big fanz from neighbor country kenya @ one luv
Asee chalangu unjua kisoroo....Ni maseke bablay
kijana pekee kwenye mziki unaotoa nyimbo za hisia kwa jamii Allah akuongoze katka kaz zako wimbo MZUR yaani ni 🔥🔥
Kama umeicheki hili ngoma zaidi ya Mara moja. #kishada
Dondosha bonge la like hapa.
Sijawahi kukuinamishia ila kwa hapa, U Got my Respek (Respect).Shit is hot
Kishadaaaaa.... Kama umeielewa kazi ya chaliii ya chuga like hapa afu comment #UWOYA #KISHADA
Jiwe la mwakaaa 😗😗😗
Best artist from Tanzania * team janjaro gonga like apa
Ukweli.ngoma.kali.pia.video.ninzur.dogo.janja.upo.vizur
Mzee uko vzuli sana
p
Nakupenda dogo hukoseangi
huhakose kusema bro
Waliommiss #JANJARO nipeni like 3 tuu👏
Hujawahi kosea mwamba yani n💥💥🔥🔥🔥🔥
janjaro mwanangu sanaaa tupien hata like kadhaa ngarenaro repulic
iyooooo r chuga juuuu
Badman dogoJ* .. dedication to someone ...yoh! This song it' on fire🔥 🌐 wide must go!
janjaro nakukubali sana ngoma kari sana ongera dogo
Dogo nakujua ,
ukimwaga unamwaga kweli
iyoo chuga dance uwe unachukua ata vijana wawili watatu ivii coz naona kama ndio itakua inapendeza ndugu yangu ngoma kali Kali kaliiiiiiiiiiiiiiiiij
Chaliiyaaaraaa nakukubali
Kabisa, mi mwenyewe hapo kwenye clip ya Chuga dance nmerudia kuangalia kama Mara 8 hivi
Laizer Yusuph yaaan awe anafanya hvyo
yeree!5
Janja Kali sana
NJOO UONE CARTOON YA #KANYAGA UTA CHEKA GUSA HAPA ruclips.net/video/T6huj2gc9Ow/видео.html
Dogo anajua sana, Basi tu bongo haya maisha hayako fair.
Kama unamkubali dogo janja acha like yako hapa.
Kama ilikua umemiss ngoma qali kama hii kutok kwa janjaro gonga like apo chini 🔥🔥
Jaman ingawa nimekuwa wa mswidede naombeni like zenu
Wangapi mnapenda nyimbo za janjaro kijana wa ngare naro tujuane kwa.like apa.kama umeshauskiliza huu wimbo zaidi ya mara 5 kama mm hasa hio kiswahili ya chuga naikubali sana😄😘 from +254 mombasa.
haujawah kosea Dogo janja 💪🔥🔥
Ngoma Kali 🔥
I like the song janjaro you are my super start🙌🙌🙌keep it up my guy🙋🙋🙋all the way from Namibia
mob love kutoka doha qatar . goma limeweza . wataitikia tu kabla hawajaitwa. no1 fan
Hii ngoma kali imekaa ya majuu angechana kinge ingekua moto sana big up dogo umetisha..
Cjawahi kupata like leo fanya km unakosea 🤙🤙🤦♂️🤦♂️
Nasibu Kiangai nimekosea
@@agnesmakande1253 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeonaaaa
Nasibu Kiangai 😂😂😂😂😂
🙌🙌
😂😂
Sema bonge la ngoma yani nikiipata na ugali lain hii ngoma silali 😂😂👊
Dogo janja il y aura jamais deux comment toi a TZ, je te félicitate fort. Suis un grand fan! Janjaro for life.
💣💥💥💥 Kali aiseee