Maarifa ft Mashabiki - Meneja { Official Music Video }

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • #Maarifa #ManzeseMusic #Meneja

Комментарии • 866

  • @vancy_crazy
    @vancy_crazy Месяц назад +78

    Kama na wewe umeirudia hii ngoma Zaid ya Mara moja gonga like hapa

  • @mparemmoja5430
    @mparemmoja5430 Месяц назад +5

    Kwa Mara ya kwanza msanii alietupa samani mashabiki kwa kutushirikisha kwenye ngoma hi

  • @kassimsadiki7894
    @kassimsadiki7894 Месяц назад +27

    Watu wanalia na meneja kitambaa cha sanda watu wameshona sale ya harusi🤣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @carlososama1858
    @carlososama1858 Месяц назад +4

    Mi na meneja wngu sote tunatafuta meneja,,,,,,😢😢😢

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Месяц назад +4

    Hii ilibidi ikae #ontrending #tellaaxistz

  • @makulaextra5084
    @makulaextra5084 Месяц назад +53

    Jamn nimekuwa wa kwanza like zangu

  • @Mk.junior-r2o
    @Mk.junior-r2o Месяц назад +44

    Hukurupuki kutoa Kaz zako kwa utakaa muda mrefu na mziki wako mzur mapanch yakutosha verse zimetulia sio mitusi utakua wa kuishi muda mrefu mungu atupe tu maisha marefu

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Месяц назад

    real hip-hop
    big up "maarifa" toto la baba

  • @ChizyBoy-x4b
    @ChizyBoy-x4b 10 дней назад

    No stress 😂
    Nhenhe força, espero que agente chegue mais quê o atua.......(Azagaia WPG)🔥🔥

  • @AbasamiduBahati
    @AbasamiduBahati 13 дней назад

    Shusha ngoma mzee

  • @kelvinpaul2808
    @kelvinpaul2808 Месяц назад +23

    Kwenye list yangu ukiniulz nitaje rapper bora wanaofanya vizr kwa hizi zama ni Dizasta pamoja na Maarifa
    Majina yao na kazi zao ziko very perfect

  • @laxmajor
    @laxmajor Месяц назад +4

    Kqza my marifaa dunia wa takujuwa tu one day 🖤

  • @amosizeOg
    @amosizeOg Месяц назад +9

    Oya weeee hii Pini sana mwanetu kauaaaaa anastahili KESI ya mauaji mahakama kuu

  • @digala7088
    @digala7088 Месяц назад

    Noma Nuksi Balaaa

  • @ArashiJeshi
    @ArashiJeshi Месяц назад +8

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 watu mauwaaaa kwa hii it nomaaaaaaa

  • @ronnynike2689
    @ronnynike2689 Месяц назад +4

    Ila hyo mzee wa mafund wanapenda ugali anaitwa nan ananichkesha sana

  • @lonidoboymnyama6763
    @lonidoboymnyama6763 Месяц назад +5

    Nimeludia malanyingi kusikiliza kali sana

  • @SteveWamichano-pk3mv
    @SteveWamichano-pk3mv Месяц назад +5

    Maarifa kuanzia Leo nakueshim

  • @Don_abujay
    @Don_abujay Месяц назад +5

    Umeuwa mwanangu goma limeenda hili

  • @digala7088
    @digala7088 Месяц назад

    Kuna Wachanaji Halafu Kuna Maarifa

  • @ErickMsuya-d8f
    @ErickMsuya-d8f Месяц назад +5

    Maarifa king wa new generation

  • @brain_ujazo
    @brain_ujazo Месяц назад

    KAZI kubwaa sanaaa

  • @dinosaurtz2597
    @dinosaurtz2597 Месяц назад +5

    Naona kama inachelewa babek na nipo on time 😢 20:15 🔥🙌🏾

  • @YacobThiago-x3h
    @YacobThiago-x3h Месяц назад +4

    Nikweli kakaa unapitia hizi changamoto au umeimba 2

  • @MuhalamiRibata
    @MuhalamiRibata Месяц назад +5

    Kifochetu ni furaha kwawauza majeneza

  • @KarisaJumakarisa-ee5lk
    @KarisaJumakarisa-ee5lk Месяц назад +7

    Big maarifa nakukubali sana from 254

  • @TIN_MAART
    @TIN_MAART Месяц назад +2

    Ihii goma kali sana naskiliza kila mda ♥️

  • @allymakallo4137
    @allymakallo4137 Месяц назад +4

    Ooh meneja elewa bas

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Месяц назад

    Maarifa mbaya sana huyu jamaa🫡🤕🤕

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Месяц назад

    Menejaaaaa😂
    Ngoma imetulia sana

  • @poolboypoolboymanstrong8570
    @poolboypoolboymanstrong8570 Месяц назад +3

    Sio utAn mwambA 🎉🎉🎉

  • @user-zt5dc3qm7z
    @user-zt5dc3qm7z Месяц назад

    Fire hatariii

  • @FocusNyari
    @FocusNyari Месяц назад

    Maarifa ni motoooo

  • @Mk.junior-r2o
    @Mk.junior-r2o Месяц назад +8

    Nakubal brother

  • @Msela-bi_tozzy.
    @Msela-bi_tozzy. Месяц назад +14

    Mnataka nitoke mnasaha kilicho mkuta janja💥💥💥 mnasahau kilicho mkuta Gaza 💥💥

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Месяц назад +3

    SNS ime7bisha nafika apa ngoma moja matata sana nakumbuka bongo fleva alisi

  • @changanataliforlife3760
    @changanataliforlife3760 Месяц назад

    MotoSana🔥🔥🔥🇹🇿

  • @ArashiJeshi
    @ArashiJeshi Месяц назад +3

    Mbona😊 sichoki kusikiriza hii gomaa

  • @luckyboy_ke
    @luckyboy_ke Месяц назад +10

    MTOTO WA BABA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌

  • @saadmotto965
    @saadmotto965 Месяц назад

    Kibaha finest🙌🙌🙌

  • @Ramjane_OG
    @Ramjane_OG Месяц назад +6

    hongera sana mtot wa baba

  • @amosizeOg
    @amosizeOg Месяц назад +9

    We're turned for Hold manager, wasanii hawana shkran kabsaaa😂

  • @saidikajanja885
    @saidikajanja885 Месяц назад +8

    Tulio play zaid ya Mara moja tujuanee, ngoma kaliiiii,,

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma Месяц назад

    Noma sana

  • @mashairiyamachinga2379
    @mashairiyamachinga2379 Месяц назад +6

    Kazk kazi.... team Kibaha... @Maarifa na brother Mjaka

  • @mosesmkune569
    @mosesmkune569 14 дней назад

    Safi kaka

  • @SamsonMakunja-rc3jx
    @SamsonMakunja-rc3jx Месяц назад

    Without doubt it's hits song big up

  • @21stCentury-x
    @21stCentury-x Месяц назад

    This song brought tryzah to me. I’ve been watching this guy for a while. Thanks Toxic

  • @khamisfakih_than
    @khamisfakih_than 6 дней назад

    Kibaha final

  • @temboFashion
    @temboFashion Месяц назад +3

    Taitwa tembo hii ngoma nom na nusu

  • @Mog04-r3o
    @Mog04-r3o Месяц назад +2

    Etì mnasahau kilichomkuta gaza..dah

  • @AlterOg-p2v
    @AlterOg-p2v Месяц назад +12

    Noma sanaa hit hii🤩🤩🤩

  • @CLEVERZAI
    @CLEVERZAI Месяц назад

    Umetisha kaka

  • @erickmanucho4092
    @erickmanucho4092 Месяц назад

    Maarifa Messi 🔥🔥🙌🙌

  • @yustinkivamba4721
    @yustinkivamba4721 Месяц назад +3

    Wote tunatafuta menej😱😱😭😭😭☑️ inaumiza sana mwamba anamengi ,, ila tunataka atufurahishe anaye mshikia magongo atembee yeye kahama na magongo hajali😱😱

  • @AdamRingo-x8g
    @AdamRingo-x8g Месяц назад

    Noma sanaas

  • @Mrboom720
    @Mrboom720 Месяц назад +3

    Mr Boom was here

  • @KhadijaJuma-b4l
    @KhadijaJuma-b4l Месяц назад +2

    Sema mwnangu ww ni noma kama ulivo marifaa

  • @dogo_noma9
    @dogo_noma9 Месяц назад

    Noma sana hii

  • @i_makaveli
    @i_makaveli Месяц назад

    Big thinker🔥🔥🔥

  • @Arapmisemo
    @Arapmisemo Месяц назад

    Short and clear , straight outta hihop

  • @kibanga7906
    @kibanga7906 Месяц назад

    KING OF ALL NEW SCHOOL RAPPERS

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Safi snaaa

  • @MuharamMrisho
    @MuharamMrisho Месяц назад +1

    Ndio maana ya maarifa umeua mdogo wangu kimya kingi kibaha finest umetisha baba

  • @pancrasshirima
    @pancrasshirima Месяц назад

    Bado una kipaji ila kaza sana umepoa ghafla mkuu

  • @VicentBless
    @VicentBless Месяц назад

    uyu mtu ni mnooo

  • @HarounYange
    @HarounYange Месяц назад +2

    mi sijafunzwa kukuelekeza ila kifo chetu ndo furaha ya wauza majeneza🔥🔥🔥🔥 big thinker

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Unabalaa sanaaa

  • @Kigumi_therarebway-fn4dw
    @Kigumi_therarebway-fn4dw Месяц назад +2

    nikiweka kichwa imo..usije tafuta mabega🔥🔥

  • @boutapacabou9180
    @boutapacabou9180 Месяц назад +5

    Mtoto wa baba

  • @davidmaige2929
    @davidmaige2929 Месяц назад +5

    Meneja anatukosea sama mashabiki zako

  • @awemaqway1201
    @awemaqway1201 22 дня назад

    Mm na maanager tunatafuta meneja

  • @joh21official40
    @joh21official40 Месяц назад

    hili dudee la motoo sema video jau 🎉🎉🎉🎉

  • @bakarially253
    @bakarially253 Месяц назад +6

    Hapa kuna shida kubwa sana na madee huyo Dogo ni Tanzania no 1 kwa vijana wa Rappers lakini madee sijui anashida gani😊

    • @mkulungwa4890
      @mkulungwa4890 Месяц назад

      🔥

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Месяц назад +1

      Kwaio huyu n no 1 yan huyu n zaidi ya Conboi na Dizasta au sio?😀

  • @officialvein
    @officialvein Месяц назад

    Watu wanalia na manager

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Hii noma sanaa

  • @azizikasese2044
    @azizikasese2044 Месяц назад

    Kaliiii

  • @kibanga7906
    @kibanga7906 Месяц назад

    SASA WEWE INABIDI UWE MENEJA WA MADEE

  • @Hamadi-ri9lp
    @Hamadi-ri9lp Месяц назад

    oyaaaaaaaaaaaa nomaaa

  • @ZablonsifaSamini-ux8oz
    @ZablonsifaSamini-ux8oz Месяц назад

    Kibaha finest

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Safi sanaaa

  • @user-zr9ni7rr6j
    @user-zr9ni7rr6j Месяц назад +2

    We jamaa ni mnoma sasa ❤

  • @packfunga5652
    @packfunga5652 Месяц назад

    Ngoma kali san

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Unyama sanaaa

  • @JudithMlewa
    @JudithMlewa Месяц назад

    Nomaa

  • @johnsonmaarifa3582
    @johnsonmaarifa3582 Месяц назад

    Unaubunifuu mkubwa sana

  • @jmusictz1911
    @jmusictz1911 Месяц назад

    meneja anakuangusha😢😢

  • @rashidmambo1412
    @rashidmambo1412 Месяц назад +1

    Nakuwa nakukubali kaka

  • @isayachilijila463
    @isayachilijila463 Месяц назад

    Jamaa badili flows, sasaiv game imabadilika jisifie ata kidogo😅

  • @3kingsmusictv873
    @3kingsmusictv873 Месяц назад

    🎉🎉🎉big thinker

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Hii kubwa snaaa

  • @kibanga7906
    @kibanga7906 Месяц назад

    KUNA WACHANAJI HALAFU KUNA WEWE

  • @JudithMlewa
    @JudithMlewa Месяц назад

    Kali

  • @ArashiJeshi
    @ArashiJeshi Месяц назад +4

    Kwel wew ni maarifa nmekubal

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 Месяц назад

    Kali😊

  • @paulcharles3338
    @paulcharles3338 Месяц назад

    Hiv ni kwel 😮😢😢

  • @mofaya4807
    @mofaya4807 Месяц назад +4

    Asa nyimbo ina dadika Mbili alfu ina coras umeimba kidogo sana cjasikia utamu

  • @One_5_l
    @One_5_l Месяц назад

    Ngoma kali

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 Месяц назад

    Hujawahi niangusha

  • @awesoapollo8608
    @awesoapollo8608 Месяц назад

    Watu wanalia na Meneja😅