Dakika 10 Za Maangamizi - Maarifa TheBig Thinker | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Maarifa 'The Big Thinker' Rapa kutoka Kibaha akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo.
    Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.

Комментарии • 414

  • @Maarifaa
    @Maarifaa 7 лет назад +177

    asante MUNGU sijafika niendako ila sipo nilipoanzia @maarifabigthinker

    • @fashionking4821
      @fashionking4821 7 лет назад +4

      Maarifa BigThinker @hahaha chafya ya mpishi haizimi moto

    • @comradehamimu2763
      @comradehamimu2763 7 лет назад +3

      tumeyapata maarifa vizuri kabisa

    • @nkingamarco658
      @nkingamarco658 7 лет назад +3

      Maarifa BigThinker hv ndo v2 ambavyo huwa tunahitaj mashabiki big up man daaaaa mauwezo

    • @jeremiahissayazeriana399
      @jeremiahissayazeriana399 7 лет назад +2

      Maarifa BigThinker respect 🙌🙌🙌

    • @musamoe2604
      @musamoe2604 7 лет назад +3

      wewe ni hatari hongera we unatisha kama mtu asiejulikana

  • @maletz9660
    @maletz9660 5 лет назад +6

    huku kwetu mwizi hapigwi. anasemwa mpaka anakufa.
    gonga like kama unamkubali maarifa

  • @zablonnkya5651
    @zablonnkya5651 5 лет назад +17

    Kutokana na kufatilia dakika 10 za maangamizi wasanii wenye majina hawawezi flow freestyle wanachana nyimbo zao tena kwa kuzisoma
    Lakini Hawa underground Wanatoa moja kwa moja kichwani na wanazimaliza dakika vyema kwa kitu kinaeleweka....
    Big up Sana maarifa

    • @milajishabani8909
      @milajishabani8909 5 лет назад +1

      yesuuu

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 2 года назад +2

      Kwani aliekwambia dk 10 za maangamiz ni kwaajil ya freestyle ni nani?😂

    • @derickdepota101
      @derickdepota101 10 месяцев назад

      ​@@OchoaHomeDecor_watu wanachanganya saana😂

  • @chegaritofx
    @chegaritofx 7 лет назад +38

    Nasemajeeee!!! Hawa watu ndo wale wasiojulikana.....bado tunawatafuta....maarifa niii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mnyembzeskipper4839
    @mnyembzeskipper4839 7 лет назад +4

    Maarifa anaenjoy mwenyewe, yuko vizuri hadi sio vizuri kazi imepata mchapaji.

  • @salminmwalile6172
    @salminmwalile6172 7 лет назад +4

    Umeangamiza kweli mzee baba, salute sana maarifa, utafika mbali in shaa allah

  • @Memes_Swahili
    @Memes_Swahili 7 лет назад +5

    Hallow! I'm Raiden from Canada, I don't understand Swahili but,,,
    Mamamamaeee Maarifa we ni mtu mbaya sana aiseee!!!

  • @daizolemmy621
    @daizolemmy621 7 лет назад +4

    for the first time na comments hapa dis men his freaking danger 🔥🔥

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 7 лет назад +7

    Chafya ya mpishi haizimi moto😂😂😂😂 #mwanangu sinaga neno ww ndo m2 wa kwanza ambaye umefanya utofaut kidogo👏👏👏

  • @jameschanja8304
    @jameschanja8304 7 лет назад +4

    Waliotumwa wanitulize wamekutwa nimewatliza😂😂😂😂😂😂 kwenye hip hop inaitwa playwords salute bro maarifa the big thinker

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 7 лет назад +3

    Anaweza. SALUTE Maarifa unachana kwa mapana zaidi ya Taarifa. #Irep254

  • @jamesmushi4406
    @jamesmushi4406 7 лет назад +3

    maaarifaa kauuwaa qmmke baa Mdgo kaaujuaa kutufurahishaaaa aisee salute Sana maarifa

  • @michaelmchome6862
    @michaelmchome6862 7 лет назад +5

    My brother 🙌🏻 ... You killing it...

  • @ibraahmapexah5418
    @ibraahmapexah5418 7 лет назад +1

    maarifaaaaa we ni big thinker
    ........keep it up mwambaaaaaaaa

  • @antonymwasi7854
    @antonymwasi7854 3 года назад +5

    Hata ukitembea juu ya maji watasema hauna nauli🔥🔥✔

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 7 лет назад +3

    Hukuwahi kuniangusha tunaposema best Emcees nadhan ww n among of them umekichafuaaaaaa yan mzee we si m2 mzur kabisaaaaaaa

  • @ericklusaya4116
    @ericklusaya4116 7 лет назад +3

    You deserve to be THE BIG THINKER kaka Big Up!

  • @cassanosniper6799
    @cassanosniper6799 7 лет назад +5

    Shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo 🔥

  • @faridabaruthy7435
    @faridabaruthy7435 5 лет назад +3

    This is the best ever

  • @youngxhadah7951
    @youngxhadah7951 6 лет назад +1

    ebwanaaae! vipaji vya kweli vipomtaani... salut maarifa wape maarifa wenye maarifa yao.

  • @ToyTz
    @ToyTz 7 лет назад +12

    anakwambia ye ndo mwizi anaemwiba mwizi na mlinzi!! NoMa sAnA!! yupo frexh mwana!! kauwa kwa nafasi yakee! nampa bigup

  • @tirathegreat8839
    @tirathegreat8839 Месяц назад

    Maarifa the big thinker the real Mc...umetisha mzee baba

  • @sillaskelly6135
    @sillaskelly6135 5 лет назад +1

    kuhusu wanafiki msijali kiboko yao kifo!! mnyama umetishaa

  • @francismorris4092
    @francismorris4092 7 лет назад +5

    One of the BEST so far

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 7 лет назад +7

    duh hii kweli noma kama umechepuka na mke wa mganga

  • @kimolyjunior7978
    @kimolyjunior7978 4 года назад +1

    Maarifa umetishaaaa kweli nimeuamini uwezo wako

  • @dego1087
    @dego1087 Год назад

    Kuhusu hii mitihan ya maisha wa kusahihisha ni mungu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @pj4087
    @pj4087 7 лет назад +1

    Naamin huu ni muda sahihi wa kupata kile tulichokimiss mda mref kwenye hiphop bongo ,Ni mtu sahihi na umekuja kwa wakati sahihi .Ipo siku utaishi ndoto zako .HATAREEEEE........Maarifa ya Maarifa haikuwa rahisi na kwawanafki TUPILIAKULEEEEEE

  • @tysonkitumbika5548
    @tysonkitumbika5548 6 лет назад

    umekomaa mzee ni tofauti na kitambo naona hatua nzuri, big up home boy.

  • @jorammasinga3786
    @jorammasinga3786 7 лет назад +3

    jamaaaa uko vizuri unaweza usile ukoko hata kama umepikia jungu kuu

  • @dr.abdinassir6807
    @dr.abdinassir6807 7 лет назад +20

    Yani kilichotokea apo nikua *umefanya kitu ambacho watu awakuwaza itakua ivo* #Maarifa 😷
    kweli *unaweza tembea juu ya maji wakasema umepoteza nauli* 😂😀😂😀💪

  • @ToyTz
    @ToyTz 7 лет назад +7

    ebana bro dulla! nexttym kama ikiwezekana tumckie na KADGO hapo'' by mr.T.O.Y

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy738 7 лет назад +2

    jamaa mbaya serious you know how to rap and creating hard punch lines...achia dude BA's support IPO

    • @Maarifaa
      @Maarifaa 6 лет назад +2

      jooh cloudy madude yapo
      Maarifa ft Bright - Maarifa Ya Maarifa
      Maarifa ft DudySound - HaikuwaRahisi
      Maarifa - TupiliaKule
      Maarifa ft Kenny & BrownPunch - SioMjadala
      ZisakaeHizo

  • @apolinaryprimus5542
    @apolinaryprimus5542 5 лет назад

    Am ur no 1 fan!!!!

  • @maskinijeuri9447
    @maskinijeuri9447 7 лет назад +4

    hatari sana Presented Mwenzangu

  • @jaffarmakalah9834
    @jaffarmakalah9834 7 лет назад +3

    ayeeeeeeee maarifa kweliiiii amekichafuaaa!!!!!!!

  • @johnizoboy
    @johnizoboy 6 лет назад +2

    Babakeeeeeeeeeeeeeeeeee hizi vibes sio za nchi hii

  • @faudhiafundi8348
    @faudhiafundi8348 7 лет назад +19

    dah kanishawishi sanaaa... cpendagi hip pop ila maarifa kama ananishawishi vileeeeee😅

    • @kisinzankwabi2384
      @kisinzankwabi2384 5 лет назад

      Nakukubali sana kijana ....#anthony messu tokea #picha ya ndege kibaha

  • @mbuguswambuguswa4318
    @mbuguswambuguswa4318 7 лет назад +4

    w noma zaidi ya sana una zidi hadi marapa wengine

  • @barakamichael673
    @barakamichael673 7 лет назад +1

    unalitendea haki jina lako mzee kweli wew maarifa

  • @yoscomcvevo3961
    @yoscomcvevo3961 7 лет назад +4

    Good job mzee!

  • @artistkilongola422
    @artistkilongola422 6 лет назад

    Jamaaa umetisha Sanaa ", killer atasubiri Sanaa, ww ni shida brother,

  • @nsajigwamwakolo6379
    @nsajigwamwakolo6379 7 лет назад +8

    #maarifathebigthinker hataree mtoto wa fid

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 7 лет назад +13

    maarifa
    kibaha finest..... kunamitari tata humu unatakuwa uturiee sana kama kuna tuzo basi top 3 ...1 scoda
    2 boshoo
    3maarifa
    wagombeee tuzo maana wameuwaa nazani ingekuwa pow mwisho wa mwaka kukawa na show ya dk10za maangamiz tutalipa kiingilio fanyeni ivo ili kuwapa motisha wasani kama maarifa.... #0714988885

    • @edwardenglibert9158
      @edwardenglibert9158 5 лет назад

      Mbeya boi chuma anawakarisha wote hao

    • @seifsuleiman846
      @seifsuleiman846 4 года назад

      @@edwardenglibert9158 wee kuna BANDO MC , kuna Toxic ,

    • @seifsuleiman846
      @seifsuleiman846 4 года назад

      Jamaa anajua ile kinoma sio poa yani ila hajulikani tyu fanya juhudi sana mwanangu ufike in the highest stage MAARIFA BIG THINKER

    • @rodgerspembe6663
      @rodgerspembe6663 Год назад

      Boshoo hatoboi hapa….

  • @missmakusudi7237
    @missmakusudi7237 7 лет назад +18

    walotumwa kunituliza wamekutwa wametulia✌

    • @stevenkaria6
      @stevenkaria6 7 лет назад +1

      nakuona mdau, vip mumeo nchama mzima?? 😂 😂

    • @missmakusudi7237
      @missmakusudi7237 7 лет назад

      Steven Karia 😂😂nampango Wa kumuibukia Dom😂😂

    • @stevenkaria6
      @stevenkaria6 7 лет назад +2

      +miss makusudi 😂 😂 😂 usijemmaliza mistar

    • @missmakusudi7237
      @missmakusudi7237 7 лет назад

      Steven Karia na nilivyo sasa tofaut na hiphop😂😂😂atanichana bila kunimaliza akiishiwa nahamia kwa nchma then selementally😄hlf ntatua kwa wenye movement yao(lunduno)

    • @majidimakinywa6168
      @majidimakinywa6168 3 года назад

      Chura me simpig teke bali namdondoshea tofari.., gonga laik apo kama umemwelewa kwa kina

  • @dominickadogo11
    @dominickadogo11 7 лет назад +2

    safi sana yupo poa.....big up

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 7 лет назад +4

    maarifa mtu mbayaaa najivunia ww kwenye music rap....

  • @kyternjunie2835
    @kyternjunie2835 7 лет назад

    Big up umetisha sana mzazi.....kama vipi arud tena mjengoni

  • @ipyanamsomba8026
    @ipyanamsomba8026 7 лет назад +2

    utamu upo palipozibwa ndo maana wahuni tunapenda bikra😀😀, nomah sana mwanangu big thinker

  • @geophreyjoseph8737
    @geophreyjoseph8737 7 лет назад +10

    wanataka wakunje ngumi wakati awana ata vidole @MAARIFA

  • @emmanuelymtamaduni2951
    @emmanuelymtamaduni2951 7 лет назад +7

    HAHA😂 @maarifa nimecheka sna unaweza mzawaa GOD bless you

  • @illushadahkid3400
    @illushadahkid3400 7 лет назад +7

    Noma juu ya noma @maarifa mwaga tenzi

  • @djsulumusicanalyst
    @djsulumusicanalyst 3 года назад

    Hatari San one of the finest mapezi ugonjwa n usipo kaza utafas

  • @hamimuadisababa5471
    @hamimuadisababa5471 7 лет назад +4

    Salue homie! you killed it

  • @stanleyludovick8803
    @stanleyludovick8803 7 лет назад

    Noma sana, 100% nampa. Kama vp muandae tuzo za dk 10 za maangamizi sisi tutapiga kura.
    Maarifa yupo vzuri sana

  • @kikomelikagere5757
    @kikomelikagere5757 5 лет назад

    Noma kwel maarifa umetixhaaaaaa

  • @mlwanikamchizi3507
    @mlwanikamchizi3507 7 лет назад

    Umeangamiza Dunia nzima.@maarifabigThinker..

  • @fix799
    @fix799 7 лет назад +7

    Nathubutu kusema huyu jamaaa ndo lawakalisha wote walippita hapo kwenye dakika 10 tang muanzishe na kma kuna tuzo za dakika kumi zitatolewa basi apewe huyo jamaaa kidogo baada ya yeye haidary skoda anafata

  • @mwikaabas2763
    @mwikaabas2763 7 лет назад +3

    Wosaaa Maarifa bonge ya talent babu nimekubali

  • @malulujr
    @malulujr 7 лет назад

    yupo fresh. safi kaza sana

  • @kalingajnr9560
    @kalingajnr9560 7 лет назад

    Noma sana mzee baba, Maarifa anauwezo aiseee

  • @mullahdaddy8230
    @mullahdaddy8230 7 лет назад +22

    utamu upo palipo zibwa ndo maana zinapendwa .....bikraaaa

  • @abdulsaidi4084
    @abdulsaidi4084 5 лет назад

    maarifa huyo jamaa anabalaaaaa, keep up bro, wana wachaa iwe

  • @tumaindaniel7907
    @tumaindaniel7907 6 лет назад

    Nimekuelewa sana maarifa endelea tu kumwaga tenzi

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 6 лет назад +2

    Big Thinker

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 6 лет назад

    Yeah u the best mr maarif

  • @myriamshafii897
    @myriamshafii897 7 лет назад +1

    uwezo A+🔥🔥🔥🔥 maarifaaa

  • @bonitojo
    @bonitojo 6 лет назад +2

    Hizi ndo hitaji, confidence pia flow..
    Zidisha bwai

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS Год назад

    Noma🔥🇰🇪

  • @mwikaabas2763
    @mwikaabas2763 7 лет назад +8

    Jitahidi tu kubalance style zako na midundo

  • @monyogang3004
    @monyogang3004 7 лет назад +11

    Nakuweka Kwenye Top3 Mzee #MAARIFA japo hukupiga freestyle ila umeangamiza ipasavyo.. BigUp sana
    .
    1.SELLEMENTALLY
    2.Hidarry Scoda
    3.MAARIFA
    4.ZAiiDi
    5YoungKiller

    • @samicantro4719
      @samicantro4719 7 лет назад

      Melkiory Emmanuel aaaaa brother nchama the best Veep?

    • @stevenkaria6
      @stevenkaria6 7 лет назад

      +sami cantro labda hajamwona 😂 😂

    • @missmakusudi7237
      @missmakusudi7237 7 лет назад

      1:Haidary scoda
      2:nchama the best
      ilaaaa hii n maoni yangu,yako pia nayaheshimu Kama vip em mskize nchama the best nae km hukupata nafas ta kumskiz

    • @monyogang3004
      @monyogang3004 7 лет назад +1

      +miss makusudi Nimekusoma big

    • @stevenkaria6
      @stevenkaria6 7 лет назад

      +miss makusudi nchama na hidary nimewapa 1&2 ndo wafuate wengine

  • @membejunior2004
    @membejunior2004 4 года назад +2

    muito obrigado amigo maarifa we proud to a hve u...kweny hip hop

  • @karathajunior6675
    @karathajunior6675 5 лет назад

    Real..maarifa..shigdaaa..!

  • @austinekabisama5895
    @austinekabisama5895 5 лет назад

    Dogo huko vizuri sanaaaaaaaaaa kaza support kwako

  • @johnmulungu9821
    @johnmulungu9821 7 лет назад

    Genius uyo dogo cyo uongo kapiga Non_stop,big up

  • @saimmabula3442
    @saimmabula3442 7 лет назад +5

    Maarifa bigthinker

  • @rabiistima9494
    @rabiistima9494 7 лет назад +1

    Respect sana
    Thus y I love Hip Hop

  • @benjaminlambert3657
    @benjaminlambert3657 7 лет назад +4

    Oyoo mchawi wa lugha the bigthinker himself

  • @vicentpasco1024
    @vicentpasco1024 7 лет назад

    Maarifa we noma big thinker

  • @mwinyijumasupportmytalent7698
    @mwinyijumasupportmytalent7698 4 года назад

    tunaomba ivyo vifaa vya studio mfanyie zabuni Maana vya kizamani mnooooo khaaaaa

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari4731 7 лет назад +3

    watu 😱😱🙌🙌🙋🙆🙆oooooooooooooyooooo ntaaaaaaaaaaariiiii tenzi

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 2 месяца назад

    Tunaoingalia tena 2024 tujuane hapa

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 5 лет назад

    Daaah Haya kweli Maarifa...

  • @jacksonsamson7109
    @jacksonsamson7109 4 года назад

    Noma sana

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 6 лет назад

    Big Thinker Salute to you

  • @stevenkaria6
    @stevenkaria6 7 лет назад +13

    shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo

  • @pascalmusyoki7491
    @pascalmusyoki7491 3 года назад

    Natiiii from kenya

  • @cevo9920
    @cevo9920 3 года назад +1

    Maarifa🔥🔥

  • @sylvanusmrekoni6463
    @sylvanusmrekoni6463 7 лет назад

    Umetisha jamaa!!!!

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 7 лет назад +4

    #KibahaFinest!!

  • @tifuwastani9739
    @tifuwastani9739 7 лет назад +6

    kaangamiza kweli haijawahiii tokea toka 10 za maangamizi zianze duniani

  • @kalingajnr9560
    @kalingajnr9560 7 лет назад

    Umesikika mzee baba, Tenzi kali mzee

  • @dissartv4806
    @dissartv4806 7 лет назад +2

    Maarifaa umeuwaaa mbaba

  • @amiryamse2729
    @amiryamse2729 7 лет назад +6

    ametisha kinoma

  • @nassermtitu7426
    @nassermtitu7426 7 лет назад

    Ur d best

  • @lenkbizzy30
    @lenkbizzy30 7 лет назад

    Maarifa kweli kweli aseee big up #NGUMUBLACK

  • @alphoncemarijani6233
    @alphoncemarijani6233 7 лет назад

    Good One you killing it right.

  • @divinejr3607
    @divinejr3607 7 лет назад +4

    kweli Jembe mtasha wa lugha Yani mtundu

  • @Offroad.k
    @Offroad.k 3 года назад

    Flow Kali sana

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 7 лет назад +6

    Oyo jombaa katisha balaa yan mpaka rhaaaa hmmm hadi nlitamani isiishe....