Dakika 10 Za Maangamizi - Maarifa TheBig Thinker | Planet Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Maarifa 'The Big Thinker' Rapa kutoka Kibaha akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
asante MUNGU sijafika niendako ila sipo nilipoanzia @maarifabigthinker
Maarifa BigThinker @hahaha chafya ya mpishi haizimi moto
tumeyapata maarifa vizuri kabisa
Maarifa BigThinker hv ndo v2 ambavyo huwa tunahitaj mashabiki big up man daaaaa mauwezo
Maarifa BigThinker respect 🙌🙌🙌
wewe ni hatari hongera we unatisha kama mtu asiejulikana
huku kwetu mwizi hapigwi. anasemwa mpaka anakufa.
gonga like kama unamkubali maarifa
Kutokana na kufatilia dakika 10 za maangamizi wasanii wenye majina hawawezi flow freestyle wanachana nyimbo zao tena kwa kuzisoma
Lakini Hawa underground Wanatoa moja kwa moja kichwani na wanazimaliza dakika vyema kwa kitu kinaeleweka....
Big up Sana maarifa
yesuuu
Kwani aliekwambia dk 10 za maangamiz ni kwaajil ya freestyle ni nani?😂
@@OchoaHomeDecor_watu wanachanganya saana😂
Nasemajeeee!!! Hawa watu ndo wale wasiojulikana.....bado tunawatafuta....maarifa niii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Leonard chegarito maarfa on top ndio paku invest tajir wang
du
Maarifa anaenjoy mwenyewe, yuko vizuri hadi sio vizuri kazi imepata mchapaji.
Umeangamiza kweli mzee baba, salute sana maarifa, utafika mbali in shaa allah
Hallow! I'm Raiden from Canada, I don't understand Swahili but,,,
Mamamamaeee Maarifa we ni mtu mbaya sana aiseee!!!
for the first time na comments hapa dis men his freaking danger 🔥🔥
Chafya ya mpishi haizimi moto😂😂😂😂 #mwanangu sinaga neno ww ndo m2 wa kwanza ambaye umefanya utofaut kidogo👏👏👏
Waliotumwa wanitulize wamekutwa nimewatliza😂😂😂😂😂😂 kwenye hip hop inaitwa playwords salute bro maarifa the big thinker
Anaweza. SALUTE Maarifa unachana kwa mapana zaidi ya Taarifa. #Irep254
maaarifaa kauuwaa qmmke baa Mdgo kaaujuaa kutufurahishaaaa aisee salute Sana maarifa
My brother 🙌🏻 ... You killing it...
maarifaaaaa we ni big thinker
........keep it up mwambaaaaaaaa
Hata ukitembea juu ya maji watasema hauna nauli🔥🔥✔
Hukuwahi kuniangusha tunaposema best Emcees nadhan ww n among of them umekichafuaaaaaa yan mzee we si m2 mzur kabisaaaaaaa
You deserve to be THE BIG THINKER kaka Big Up!
Shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo 🔥
This is the best ever
ebwanaaae! vipaji vya kweli vipomtaani... salut maarifa wape maarifa wenye maarifa yao.
anakwambia ye ndo mwizi anaemwiba mwizi na mlinzi!! NoMa sAnA!! yupo frexh mwana!! kauwa kwa nafasi yakee! nampa bigup
T.o.y Tz Bahati Bukuku
mtoto wa baba anaujua
Maarifa the big thinker the real Mc...umetisha mzee baba
kuhusu wanafiki msijali kiboko yao kifo!! mnyama umetishaa
One of the BEST so far
duh hii kweli noma kama umechepuka na mke wa mganga
Maarifa umetishaaaa kweli nimeuamini uwezo wako
Kuhusu hii mitihan ya maisha wa kusahihisha ni mungu 🔥🔥🔥🔥🔥
Naamin huu ni muda sahihi wa kupata kile tulichokimiss mda mref kwenye hiphop bongo ,Ni mtu sahihi na umekuja kwa wakati sahihi .Ipo siku utaishi ndoto zako .HATAREEEEE........Maarifa ya Maarifa haikuwa rahisi na kwawanafki TUPILIAKULEEEEEE
umekomaa mzee ni tofauti na kitambo naona hatua nzuri, big up home boy.
jamaaaa uko vizuri unaweza usile ukoko hata kama umepikia jungu kuu
Yani kilichotokea apo nikua *umefanya kitu ambacho watu awakuwaza itakua ivo* #Maarifa 😷
kweli *unaweza tembea juu ya maji wakasema umepoteza nauli* 😂😀😂😀💪
😁
Hatar mzee n zaidi y lunya
ebana bro dulla! nexttym kama ikiwezekana tumckie na KADGO hapo'' by mr.T.O.Y
jamaa mbaya serious you know how to rap and creating hard punch lines...achia dude BA's support IPO
jooh cloudy madude yapo
Maarifa ft Bright - Maarifa Ya Maarifa
Maarifa ft DudySound - HaikuwaRahisi
Maarifa - TupiliaKule
Maarifa ft Kenny & BrownPunch - SioMjadala
ZisakaeHizo
Am ur no 1 fan!!!!
hatari sana Presented Mwenzangu
ayeeeeeeee maarifa kweliiiii amekichafuaaa!!!!!!!
Babakeeeeeeeeeeeeeeeeee hizi vibes sio za nchi hii
dah kanishawishi sanaaa... cpendagi hip pop ila maarifa kama ananishawishi vileeeeee😅
Nakukubali sana kijana ....#anthony messu tokea #picha ya ndege kibaha
w noma zaidi ya sana una zidi hadi marapa wengine
unalitendea haki jina lako mzee kweli wew maarifa
Good job mzee!
Jamaaa umetisha Sanaa ", killer atasubiri Sanaa, ww ni shida brother,
#maarifathebigthinker hataree mtoto wa fid
huyudogo anajua sana kweli big thinkeR
maarifa
kibaha finest..... kunamitari tata humu unatakuwa uturiee sana kama kuna tuzo basi top 3 ...1 scoda
2 boshoo
3maarifa
wagombeee tuzo maana wameuwaa nazani ingekuwa pow mwisho wa mwaka kukawa na show ya dk10za maangamiz tutalipa kiingilio fanyeni ivo ili kuwapa motisha wasani kama maarifa.... #0714988885
Mbeya boi chuma anawakarisha wote hao
@@edwardenglibert9158 wee kuna BANDO MC , kuna Toxic ,
Jamaa anajua ile kinoma sio poa yani ila hajulikani tyu fanya juhudi sana mwanangu ufike in the highest stage MAARIFA BIG THINKER
Boshoo hatoboi hapa….
walotumwa kunituliza wamekutwa wametulia✌
nakuona mdau, vip mumeo nchama mzima?? 😂 😂
Steven Karia 😂😂nampango Wa kumuibukia Dom😂😂
+miss makusudi 😂 😂 😂 usijemmaliza mistar
Steven Karia na nilivyo sasa tofaut na hiphop😂😂😂atanichana bila kunimaliza akiishiwa nahamia kwa nchma then selementally😄hlf ntatua kwa wenye movement yao(lunduno)
Chura me simpig teke bali namdondoshea tofari.., gonga laik apo kama umemwelewa kwa kina
safi sana yupo poa.....big up
maarifa mtu mbayaaa najivunia ww kwenye music rap....
Big up umetisha sana mzazi.....kama vipi arud tena mjengoni
utamu upo palipozibwa ndo maana wahuni tunapenda bikra😀😀, nomah sana mwanangu big thinker
wanataka wakunje ngumi wakati awana ata vidole @MAARIFA
HAHA😂 @maarifa nimecheka sna unaweza mzawaa GOD bless you
Noma juu ya noma @maarifa mwaga tenzi
Hatari San one of the finest mapezi ugonjwa n usipo kaza utafas
Salue homie! you killed it
♥️♥️😍💃💃
Noma sana, 100% nampa. Kama vp muandae tuzo za dk 10 za maangamizi sisi tutapiga kura.
Maarifa yupo vzuri sana
Noma kwel maarifa umetixhaaaaaa
Umeangamiza Dunia nzima.@maarifabigThinker..
Nathubutu kusema huyu jamaaa ndo lawakalisha wote walippita hapo kwenye dakika 10 tang muanzishe na kma kuna tuzo za dakika kumi zitatolewa basi apewe huyo jamaaa kidogo baada ya yeye haidary skoda anafata
Wosaaa Maarifa bonge ya talent babu nimekubali
yupo fresh. safi kaza sana
Noma sana mzee baba, Maarifa anauwezo aiseee
utamu upo palipo zibwa ndo maana zinapendwa .....bikraaaa
maarifa huyo jamaa anabalaaaaa, keep up bro, wana wachaa iwe
Nimekuelewa sana maarifa endelea tu kumwaga tenzi
Big Thinker
Yeah u the best mr maarif
uwezo A+🔥🔥🔥🔥 maarifaaa
Hizi ndo hitaji, confidence pia flow..
Zidisha bwai
Noma🔥🇰🇪
Jitahidi tu kubalance style zako na midundo
Hatari maarifa
Nakuweka Kwenye Top3 Mzee #MAARIFA japo hukupiga freestyle ila umeangamiza ipasavyo.. BigUp sana
.
1.SELLEMENTALLY
2.Hidarry Scoda
3.MAARIFA
4.ZAiiDi
5YoungKiller
Melkiory Emmanuel aaaaa brother nchama the best Veep?
+sami cantro labda hajamwona 😂 😂
1:Haidary scoda
2:nchama the best
ilaaaa hii n maoni yangu,yako pia nayaheshimu Kama vip em mskize nchama the best nae km hukupata nafas ta kumskiz
+miss makusudi Nimekusoma big
+miss makusudi nchama na hidary nimewapa 1&2 ndo wafuate wengine
muito obrigado amigo maarifa we proud to a hve u...kweny hip hop
hahaha you speak Portuguese
Real..maarifa..shigdaaa..!
Dogo huko vizuri sanaaaaaaaaaa kaza support kwako
Genius uyo dogo cyo uongo kapiga Non_stop,big up
Maarifa bigthinker
Respect sana
Thus y I love Hip Hop
Oyoo mchawi wa lugha the bigthinker himself
Maarifa we noma big thinker
tunaomba ivyo vifaa vya studio mfanyie zabuni Maana vya kizamani mnooooo khaaaaa
watu 😱😱🙌🙌🙋🙆🙆oooooooooooooyooooo ntaaaaaaaaaaariiiii tenzi
Tunaoingalia tena 2024 tujuane hapa
Daaah Haya kweli Maarifa...
Noma sana
Big Thinker Salute to you
shida zinaweza kumyeyusha hata barafu wa moyo
Natiiii from kenya
Maarifa🔥🔥
Umetisha jamaa!!!!
#KibahaFinest!!
kaangamiza kweli haijawahiii tokea toka 10 za maangamizi zianze duniani
Tifu Wastani tangu zianze dunia nia 🤣🤣🤣
katisha sana jamaa
Umesikika mzee baba, Tenzi kali mzee
Maarifaa umeuwaaa mbaba
ametisha kinoma
kama songa uyu jamaa
Ur d best
Maarifa kweli kweli aseee big up #NGUMUBLACK
Good One you killing it right.
kweli Jembe mtasha wa lugha Yani mtundu
Flow Kali sana
Oyo jombaa katisha balaa yan mpaka rhaaaa hmmm hadi nlitamani isiishe....