Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Namtukuza sana Bwana Yesu Kristo katika hili pia shikamoo Baba na ubarikiwe sana
Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO MOKOZI Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza
Mungu uwakumbatie woote walioko cdm
Chagadema 😢 Sera zero
Japo kuwa ni haki yake Kuna jambo nyuma yake, No tamaa za vyeo, muda utasema..
Hallelujah!!!TANZANIA DAIMA.
Njaa inachangia san nchi hii.
Wewe umewahi kukutana na yesu wapi? Yani wachungaji mkiwa ktk mambo ya siasa mnkua Ka mmekunywa gongoo tu
Safari ya kuwelekea kwenye mafanikio ni ndefu sana wengi watashindwa kufikia mafaniko hayo.
Ukabila umezidi huko
A Bishop is ordained
Mimi ni Mwanao kabisa Mtume Mwonaji Kefa Oscar Munisi wa shinyanga mjini.
Kule kiti chake hakipo
Mbowe ni mwamba tuna mkubari
Hata ukienda chooni unakubali tu
Musigwa kaishia ja ngwani kaahindwa kuwa fikisha kondoo wake Kanani
Yesu tangu alipaa mbinguni hajawahi kumtokea mtu yeyote wala kuonana naye acheni uongo
Siasa hiyo
Chadema vema
Uko Sawa.
Maneno juu ya msigwa hayana maana, si mtu muhimu kwakuwa hakuwa kiongozi tena
Siasa sio uadui
Ameongwa huyo ilamwache ameongwa tuu
Unaongea nini mbona hueleweki nyamaza tu!
Mboe ni mpinzani wa kweli ndomaana anashambuliwa sana
Ukimjua mnafuki basi tu
Wee acha unafiki wewe wewe mnao jiita wachungaji acheni siasa mtumikieni mungu
Kabisa, siunajua piga mchungaji kondoo watawanyike.
Mtu kuhama sio shida walikuja lowasa na sumai achen kumdiskas huyo
Ameuunga mkono rais kwA kuwahamisha wamasai ngorongoro
Kuenda ni haki yake ila mdomo wake ndiyo unampoza🤔
Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza
Namtukuza sana Bwana Yesu Kristo katika hili pia shikamoo Baba na ubarikiwe sana
Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO MOKOZI Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza
Mungu uwakumbatie woote walioko cdm
Chagadema 😢 Sera zero
Japo kuwa ni haki yake Kuna jambo nyuma yake, No tamaa za vyeo, muda utasema..
Hallelujah!!!
TANZANIA DAIMA.
Njaa inachangia san nchi hii.
Wewe umewahi kukutana na yesu wapi? Yani wachungaji mkiwa ktk mambo ya siasa mnkua Ka mmekunywa gongoo tu
Safari ya kuwelekea kwenye mafanikio ni ndefu sana wengi watashindwa kufikia mafaniko hayo.
Ukabila umezidi huko
A Bishop is ordained
Mimi ni Mwanao kabisa Mtume Mwonaji Kefa Oscar Munisi wa shinyanga mjini.
Kule kiti chake hakipo
Mbowe ni mwamba tuna mkubari
Hata ukienda chooni unakubali tu
Musigwa kaishia ja ngwani kaahindwa kuwa fikisha kondoo wake Kanani
Yesu tangu alipaa mbinguni hajawahi kumtokea mtu yeyote wala kuonana naye acheni uongo
Siasa hiyo
Chadema vema
Uko Sawa.
Maneno juu ya msigwa hayana maana, si mtu muhimu kwakuwa hakuwa kiongozi tena
Siasa sio uadui
Ameongwa huyo ilamwache ameongwa tuu
Unaongea nini mbona hueleweki nyamaza tu!
Mboe ni mpinzani wa kweli ndomaana anashambuliwa sana
Ukimjua mnafuki basi tu
Wee acha unafiki wewe wewe mnao jiita wachungaji acheni siasa mtumikieni mungu
Kabisa, siunajua piga mchungaji kondoo watawanyike.
Mtu kuhama sio shida walikuja lowasa na sumai achen kumdiskas huyo
Ameuunga mkono rais kwA kuwahamisha wamasai ngorongoro
Kuenda ni haki yake ila mdomo wake ndiyo unampoza🤔
Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza