#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2024

Комментарии • 33

  • @KefaMunisi-ft8zz
    @KefaMunisi-ft8zz День назад

    Namtukuza sana Bwana Yesu Kristo katika hili pia shikamoo Baba na ubarikiwe sana

  • @KefaMunisi-ft8zz
    @KefaMunisi-ft8zz День назад

    Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO MOKOZI Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 2 дня назад +5

    Mungu uwakumbatie woote walioko cdm

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 дня назад +4

    Japo kuwa ni haki yake Kuna jambo nyuma yake, No tamaa za vyeo, muda utasema..

  • @miraabdul7470
    @miraabdul7470 3 дня назад +1

    Hallelujah!!!
    TANZANIA DAIMA.

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 3 дня назад +3

    Njaa inachangia san nchi hii.

  • @jafarmlawa9627
    @jafarmlawa9627 2 дня назад +2

    Wewe umewahi kukutana na yesu wapi? Yani wachungaji mkiwa ktk mambo ya siasa mnkua Ka mmekunywa gongoo tu

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 2 дня назад +2

    Safari ya kuwelekea kwenye mafanikio ni ndefu sana wengi watashindwa kufikia mafaniko hayo.

  • @oam14l
    @oam14l 2 дня назад +1

    A Bishop is ordained

  • @KefaMunisi-ft8zz
    @KefaMunisi-ft8zz День назад

    Mimi ni Mwanao kabisa Mtume Mwonaji Kefa Oscar Munisi wa shinyanga mjini.

  • @johnlyochi7212
    @johnlyochi7212 3 дня назад +2

    Kule kiti chake hakipo

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 3 дня назад +3

    Mbowe ni mwamba tuna mkubari

    • @fauzseif7344
      @fauzseif7344 2 дня назад

      Hata ukienda chooni unakubali tu

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 3 дня назад +1

    Musigwa kaishia ja ngwani kaahindwa kuwa fikisha kondoo wake Kanani

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 2 дня назад

    Yesu tangu alipaa mbinguni hajawahi kumtokea mtu yeyote wala kuonana naye acheni uongo

  • @johnlyochi7212
    @johnlyochi7212 3 дня назад +1

    Siasa hiyo

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 дня назад

    Chadema vema

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 2 дня назад

    Uko Sawa.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 2 дня назад

    Maneno juu ya msigwa hayana maana, si mtu muhimu kwakuwa hakuwa kiongozi tena

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 2 дня назад

    Siasa sio uadui

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 2 дня назад

    Ameongwa huyo ilamwache ameongwa tuu

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l 2 дня назад

    Unaongea nini mbona hueleweki nyamaza tu!

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 3 дня назад +3

    Mboe ni mpinzani wa kweli ndomaana anashambuliwa sana

    • @fauzseif7344
      @fauzseif7344 3 дня назад

      Ukimjua mnafuki basi tu

    • @fauzseif7344
      @fauzseif7344 3 дня назад

      Wee acha unafiki wewe wewe mnao jiita wachungaji acheni siasa mtumikieni mungu

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 2 дня назад

      Kabisa, siunajua piga mchungaji kondoo watawanyike.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 дня назад

    Mtu kuhama sio shida walikuja lowasa na sumai achen kumdiskas huyo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 дня назад

    Ameuunga mkono rais kwA kuwahamisha wamasai ngorongoro

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 дня назад +2

    Kuenda ni haki yake ila mdomo wake ndiyo unampoza🤔

  • @KefaMunisi-ft8zz
    @KefaMunisi-ft8zz День назад

    Nawasalimu katika Jina la BWANA WETU YESU KRISTO Baba Mtume Shaniel nimekukumbuka sana na namna ya kukupata sikuweza