Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu
Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo ! ongera Mheshimiwa wakili. Aksante sana kwa maelezo yako. MwenyeziMungu akubariki. Aamiin.
Kwa namna ilivyo kama angeenda chama kingine chochote cha upinzani wala isingekuwa tatizo ,ila kwenda chama ambacho amekipinga kwa miaka yake yote ,hata huko alikokimbilia hawatamwamini
Nakubaliana na wakili Mwabukusi, hata Daudi aliwai kumkimbia Sauli wa agano la kale, akaenda kujiunga na maadui wa Israel, ambao niwa Filisti, ampaka akaingizwa kikosini Cha jeshi ili kupigana na Sauli, baada ya Sauli kufa Daudi aka ludi Israel mpaka akawa Mfalme.
Mafanikio yanatafutwa kwa mbinu nyingi,, maana maisha hayapaswi kusimamishwa,, ki hivyo, maana kuna watu nyuma yako wanamshukuru MUNGU kwa rizki kupitia wewe,,, hata mheshimiwa rowasa kipenzi cha wengi,, alijaribu kutafuta mafanikio kupitia chadema, baada ya ccm kutomtendea haki, hivo msigwa! Ana haki kabisa kutafuta mafanikio kupitia njia nyengine. Siasa, sio msaada kwa watu, ila ni kazi kama kazi nyengine. Ndio maana mwanasiasa ni mtumwa wetu, na atalipwa kwa kodi zetu.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"! Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk. Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina
Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm
The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.
Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi
Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.
Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua
Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo
Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee
Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli
Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2
Msigwa ana haki kikatiba kuhamia chama chochote ila maneno yake yanadhihirisha ni mhalifu wa kisiasa.
Hongera kwa vision yako nzuri.
Hili jamaa Lina akili sanaaa
Nimekukubali mwambukusi big up
THIS MAN NEVER DISAPPOINT
Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu
Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo !
ongera Mheshimiwa wakili.
Aksante sana kwa maelezo yako.
MwenyeziMungu akubariki.
Aamiin.
Hakika leo mwabukus umesema vzr sana,mungu akubaliki sanaaaaaaa,njoooo ccm ww
Mbona wa Ccm wanakwenda Chadema sasa cha ajabu nini Msigwa kuondoka Chadema Ccm kazi inaendelea
Kwa namna ilivyo kama angeenda chama kingine chochote cha upinzani wala isingekuwa tatizo ,ila kwenda chama ambacho amekipinga kwa miaka yake yote ,hata huko alikokimbilia hawatamwamini
Mzee wangu busara Yako nikubwa sana
Unamaanisha alitaka kuuwawaa au
Kuhamia sio tatizo bali tatizo ni amehamaje na wakati gan amehama?
Nakubaliana na wakili Mwabukusi, hata Daudi aliwai kumkimbia Sauli wa agano la kale, akaenda kujiunga na maadui wa Israel, ambao niwa Filisti, ampaka akaingizwa kikosini Cha jeshi ili kupigana na Sauli, baada ya Sauli kufa Daudi aka ludi Israel mpaka akawa Mfalme.
@@kamazimakyaruz1219ingekuwa like zina kubali kwa wingi, ninge gonga mbaka kidole kiishe.
Point kubwa sana mwanasheria msomi
Unions hivyo ujue watu hawampendi na wamemchoka
Mafanikio yanatafutwa kwa mbinu nyingi,, maana maisha hayapaswi kusimamishwa,, ki hivyo, maana kuna watu nyuma yako wanamshukuru MUNGU kwa rizki kupitia wewe,,, hata mheshimiwa rowasa kipenzi cha wengi,, alijaribu kutafuta mafanikio kupitia chadema, baada ya ccm kutomtendea haki, hivo msigwa! Ana haki kabisa kutafuta mafanikio kupitia njia nyengine. Siasa, sio msaada kwa watu, ila ni kazi kama kazi nyengine. Ndio maana mwanasiasa ni mtumwa wetu, na atalipwa kwa kodi zetu.
Umeongea kwa kujilinda sana mzee wanga kwenda ccm ? Bola kukaa pembeni
Watu wanatofautiana kwenye dini sembuse chama kikubwa tuipende chadema yetu
Msigwa hapendi hilii taifa Kama ameta asali yeye alambe tu asikichafue yeye aendetu
Miongoni mwa watu wenye hekima nyingi! Huyu mwambukusi nae yupo.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Umeongea point sana
Tangu nimjue huyu jamaa ndo kwanza leo nimemuona anaongea maneno yenye akili..
Sasa wewe siumesoma ndo maana unaelewa, wanaopinga na kuongea maneno machafu ni wale wasiokuwa na ufahamu
Chadema imekua ni chama mtu mmoja na shauri bora tundu lisu akanzishe na yy chama chake au ahame hii chadema
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"!
Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk.
Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema.
Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
Makonda tena
kama ni hivyo alitakiwa kukaa kimya tu. Hakuna anaye lalamika kuhama bali maneno yake
Maneno yake yasikupe shida hiyo ndio pona yake.
Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina
Basi chukua muda nakufatilia mengine ambayo umeaminishwa kuwa ni mabaya kumbe yanamema
Mchngaji kweda kuishi na shetani is to much
Mwingine ni ww ambae hajamuelewa mwambusi
@@ce-08 sijamwelewa kutumia hakiyake ya kwenda kwa mashetani wenziye ccm
Nakukubali mzee una busara kubwa hakuna haja kulumbana
SAWA WAKILI MSOMI ASANTE ILA LA KUKAA MADARAKAN NA UENYEKITI KWA MIAKA 30 HUJASEMA UMELIPITA
Hayupo kwenye Hilo mipaka iheshimiwe
Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm
😂😂😂😂
Kelivini
Nimekubali,kila Nabiii na wakati wake LUSSU,MWAMBUKUSI ni Mana bii kwa wakati huu!!! Pia msisahau kuwa ni Maoni yangu!!
The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.
Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi
Msigwa Usitowe na kushambulia chadema tayari ccm wamekuogopa watakuacha pabaya
Kingunge Lowasa Mwenyekiti mkoa Shy walihama ni haki
Msigwa ana haki ya kuhama,ila asikashifu mtu yeyote wa kule kwenye chama alichotoka
Mwambukusi ukiwa shuleni ni mmoja ya mwanafunzi uliopata walimu bora kabisa. Wengine tumepita shule zenye walimu wa kukaririshwa mambo.
Kweli hiyo.
Tundu lisu alisema uchaguzi ndani ya chama umejaa sana rushwa mtu ameona ndani ya chadema kuna shida si haki kikatiba mtu kuhama
Nyie akina Mwabukusi tuambieni ukweli kama nyie niwachumia tumbo,mfano wewe unaenda ccm kwasasa utatuambia uko sahihi wakati bandari zimeuzwa NK,,acheni unafiki.msigwa kaboa
Yote kwa yote , Mwanasiasa nikama mchezaji mpila anaangalia maslahi kwanza, then tujifunze kupenda chama sio mtu, mtu amda wowote anageuka,
Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.
Ajiulize NYALANDU ako wapi.
Ndio atajua CCM ni wanunuzi tu unabakia boya.
Sababu ya kuhama ni dhaifu sana, Sikutegemea kama atahama kwa sababu hiyo.Sasa ccm anakokimbilia ni hakuna rushwa?
Haiwashtui hapo walopofika haiwashtui.... labda ni kwa wasiojua siasa za tz.
Kumbe mchungaji yupo sawa kakimbia wanaotaka kumdhuru safi yeye mtumishi anajuwa siri
Mzigwa agepata uwenyekiti asingeodoka nimroo wadaraka
Vema SANA MWABUKUSI UPO VIZURI HAPO HAITAKIWE KUWE NA VITA AU FITINA HIYO NDIO DEMOCRASIA
Toka nifahamiane na wewe wakili sijawai kujuta hata kidogo wewe unafaaa
Mwambukusi ni mwalimu.Tumsikilize na kujifunza.
Mwambukusi ni mtu mwema sana anapenda haki.Familia yake yawapenda watu,kwa Mwambukusi husipindishe haki.
Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua
Ukosawa Mabukusi endeleana msimamo huo bila kutishika
Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo
Hakuna aliepinga kuhama, tatizo maneno, akikaa kimya hakuna atakaemsema
Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee
Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli
Ahsante sana Severin ni kweli hatuna chuki ya watu kuhama tatizo maneno ya ovyo,hasante Mwambukusi kuwa mkweli.Tumepata somo hapo.
Hoja za Mwabukusi Hua zimenyooka kama rula.
Sasa je? Huko alikoenda ataweza kuwasemea wananch au ni cheo anataka??
Wakili simamia ukweli kuwa mkweli tunakuelewa sana huna uongo kwenye jambo
Maneno mazuri yaliyo kolea
munyo na yenye hekma. Ubarikiwe Wakili msomi.
Mwabukusi leo umeniudhi
✌️🙏🙏🙏🙏
UKIGOMBEA URAISI KURA YANGU UNAYO, I SWEAR GOD
Hapana chadema ni saccos ya mbowe bwana,
“Hatuna mtu ana miliki ya mawazo”. Kweli.
Msigwa ananjaa.. amefuata kula
Mwambukusi big up uwe unatoa no zako kna watu Mambo hayapo sawa mtu hajui aanzie wapi
Mchngaji Msigwa ni msaliti kwa nini asiede cuf au nccr mageuzi
Huko kote msigwa alishapita,bila kuwa na cheo hakai
Yani leo nimekupigia saluti umeonge maneno mazuri sana
Lakini pia,hata wanaohama wasiwe wasema hovyo.
Ukovizuli sana haki
Anataja madaraka hana lolote shenzi sana
Ni haki yake kabisa kikatiba, lakini kwenda ccm kweli?
Wakili ww uko vizury sana unapenda kusema ukweli
Chama cyo msahafuu wala katibaa
Maneno yake inapoza mwenyewe jaaa na unafiki Hama tu
Huo ndio ukweli kuhama sio uwadui nimamzi
Aaa kwa kauli hii hata wewe Huna muda
Leo nimekuelewa Sana kaka
Ukweli kabisa Kila Moja anahaki kwenda ata kapo
Msigwa aachwe tu kwani kuna nini
Sahihi kabisa,msigwa ana haki zake😊
Nakupongeza wakili
Well spoken🎉🎉🎉
Well said Mkuu
Ni. Haki. Ake
Sawa kabisa uko sawa
Yaani kazingua sana aiseh
Una Akili sana
Mwabukusi uko visuri Sana kaka angu
Asante
Uko vizuri kk
Momumo nkamu gwangu ❤
SEMA WEWE NI RAFIKI YAKE TWENDE KWENYE U ALISIA. KWELI NILIKUWA NAKUAMINI LAKINI KWENYE HILI DIKUKUBALII!!
UMESOMEA WAPI?? MBONA HUYU MWL AMEFUNDISHA SUB TOPIC HII VIXUR NA AMETUELEZEA TU HATA CHEKE CHEA HAWEZI KUSEEEMA HAJAELEWA WEEE VIPI???
Sasa Wewe unataka aseme nini ufurahi
Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2