"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 115

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +13

    Msigwa ana haki kikatiba kuhamia chama chochote ila maneno yake yanadhihirisha ni mhalifu wa kisiasa.

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 3 месяца назад +8

    Hongera kwa vision yako nzuri.

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 3 месяца назад +6

    Hili jamaa Lina akili sanaaa

  • @OmaryKilongola
    @OmaryKilongola 3 месяца назад +7

    Nimekukubali mwambukusi big up

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 3 месяца назад +6

    THIS MAN NEVER DISAPPOINT

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 3 месяца назад +11

    Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 3 месяца назад +5

    Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo !
    ongera Mheshimiwa wakili.
    Aksante sana kwa maelezo yako.
    MwenyeziMungu akubariki.
    Aamiin.

  • @RajabShayo
    @RajabShayo 3 месяца назад +4

    Hakika leo mwabukus umesema vzr sana,mungu akubaliki sanaaaaaaa,njoooo ccm ww

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +6

    Mbona wa Ccm wanakwenda Chadema sasa cha ajabu nini Msigwa kuondoka Chadema Ccm kazi inaendelea

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 3 месяца назад +1

    Kwa namna ilivyo kama angeenda chama kingine chochote cha upinzani wala isingekuwa tatizo ,ila kwenda chama ambacho amekipinga kwa miaka yake yote ,hata huko alikokimbilia hawatamwamini

  • @BonyMayunga
    @BonyMayunga 3 месяца назад +5

    Mzee wangu busara Yako nikubwa sana

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 2 месяца назад +1

    Kuhamia sio tatizo bali tatizo ni amehamaje na wakati gan amehama?

    • @kamazimakyaruz1219
      @kamazimakyaruz1219 2 месяца назад +1

      Nakubaliana na wakili Mwabukusi, hata Daudi aliwai kumkimbia Sauli wa agano la kale, akaenda kujiunga na maadui wa Israel, ambao niwa Filisti, ampaka akaingizwa kikosini Cha jeshi ili kupigana na Sauli, baada ya Sauli kufa Daudi aka ludi Israel mpaka akawa Mfalme.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 месяца назад

      ​@@kamazimakyaruz1219ingekuwa like zina kubali kwa wingi, ninge gonga mbaka kidole kiishe.

  • @dabigregory3221
    @dabigregory3221 2 месяца назад +1

    Point kubwa sana mwanasheria msomi

  • @aneth520
    @aneth520 2 месяца назад

    Unions hivyo ujue watu hawampendi na wamemchoka

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 месяца назад

    Mafanikio yanatafutwa kwa mbinu nyingi,, maana maisha hayapaswi kusimamishwa,, ki hivyo, maana kuna watu nyuma yako wanamshukuru MUNGU kwa rizki kupitia wewe,,, hata mheshimiwa rowasa kipenzi cha wengi,, alijaribu kutafuta mafanikio kupitia chadema, baada ya ccm kutomtendea haki, hivo msigwa! Ana haki kabisa kutafuta mafanikio kupitia njia nyengine. Siasa, sio msaada kwa watu, ila ni kazi kama kazi nyengine. Ndio maana mwanasiasa ni mtumwa wetu, na atalipwa kwa kodi zetu.

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 3 месяца назад +3

    Umeongea kwa kujilinda sana mzee wanga kwenda ccm ? Bola kukaa pembeni

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 2 месяца назад

    Watu wanatofautiana kwenye dini sembuse chama kikubwa tuipende chadema yetu

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht 2 месяца назад

    Msigwa hapendi hilii taifa Kama ameta asali yeye alambe tu asikichafue yeye aendetu

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 месяца назад

    Miongoni mwa watu wenye hekima nyingi! Huyu mwambukusi nae yupo.

  • @ezekielgenja3912
    @ezekielgenja3912 2 месяца назад

    Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.

  • @ezekielgenja3912
    @ezekielgenja3912 2 месяца назад

    Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.

  • @ezekielgenja3912
    @ezekielgenja3912 2 месяца назад

    Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 2 месяца назад +1

    Umeongea point sana

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 месяца назад

    Tangu nimjue huyu jamaa ndo kwanza leo nimemuona anaongea maneno yenye akili..

  • @mochemba
    @mochemba 3 месяца назад

    Sasa wewe siumesoma ndo maana unaelewa, wanaopinga na kuongea maneno machafu ni wale wasiokuwa na ufahamu

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 3 месяца назад

    Chadema imekua ni chama mtu mmoja na shauri bora tundu lisu akanzishe na yy chama chake au ahame hii chadema

  • @AllyDaudiNgoyeji
    @AllyDaudiNgoyeji 3 месяца назад +2

    Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"!
    Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk.
    Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema.
    Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.

  • @SeverinMagwaya
    @SeverinMagwaya 3 месяца назад +3

    kama ni hivyo alitakiwa kukaa kimya tu. Hakuna anaye lalamika kuhama bali maneno yake

    • @misitutfs6576
      @misitutfs6576 3 месяца назад

      Maneno yake yasikupe shida hiyo ndio pona yake.

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 3 месяца назад +3

    Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 месяца назад

      Basi chukua muda nakufatilia mengine ambayo umeaminishwa kuwa ni mabaya kumbe yanamema

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 3 месяца назад +2

    Mchngaji kweda kuishi na shetani is to much

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      Mwingine ni ww ambae hajamuelewa mwambusi

    • @ChristianMkumbo-ix2ke
      @ChristianMkumbo-ix2ke 3 месяца назад

      @@ce-08 sijamwelewa kutumia hakiyake ya kwenda kwa mashetani wenziye ccm

  • @SaidShombe
    @SaidShombe 3 месяца назад +2

    Nakukubali mzee una busara kubwa hakuna haja kulumbana

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 3 месяца назад +2

    SAWA WAKILI MSOMI ASANTE ILA LA KUKAA MADARAKAN NA UENYEKITI KWA MIAKA 30 HUJASEMA UMELIPITA

    • @spencersambo469
      @spencersambo469 3 месяца назад

      Hayupo kwenye Hilo mipaka iheshimiwe

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 3 месяца назад +1

    Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm

  • @BabuelMartin
    @BabuelMartin 3 месяца назад

    Kelivini

  • @saimonlugobi1102
    @saimonlugobi1102 3 месяца назад

    Nimekubali,kila Nabiii na wakati wake LUSSU,MWAMBUKUSI ni Mana bii kwa wakati huu!!! Pia msisahau kuwa ni Maoni yangu!!

  • @saadune
    @saadune 3 месяца назад

    The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy 3 месяца назад

    Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi

  • @MohamedSalum-d4t
    @MohamedSalum-d4t 3 месяца назад

    Msigwa Usitowe na kushambulia chadema tayari ccm wamekuogopa watakuacha pabaya

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад

    Kingunge Lowasa Mwenyekiti mkoa Shy walihama ni haki

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 3 месяца назад

    Msigwa ana haki ya kuhama,ila asikashifu mtu yeyote wa kule kwenye chama alichotoka

  • @adrianoadriano-ys6bm
    @adrianoadriano-ys6bm 3 месяца назад

    Mwambukusi ukiwa shuleni ni mmoja ya mwanafunzi uliopata walimu bora kabisa. Wengine tumepita shule zenye walimu wa kukaririshwa mambo.

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 3 месяца назад +1

    Kweli hiyo.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 3 месяца назад

    Tundu lisu alisema uchaguzi ndani ya chama umejaa sana rushwa mtu ameona ndani ya chadema kuna shida si haki kikatiba mtu kuhama

  • @AntonyKajange
    @AntonyKajange 3 месяца назад +2

    Nyie akina Mwabukusi tuambieni ukweli kama nyie niwachumia tumbo,mfano wewe unaenda ccm kwasasa utatuambia uko sahihi wakati bandari zimeuzwa NK,,acheni unafiki.msigwa kaboa

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 3 месяца назад

      Yote kwa yote , Mwanasiasa nikama mchezaji mpila anaangalia maslahi kwanza, then tujifunze kupenda chama sio mtu, mtu amda wowote anageuka,

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 3 месяца назад

    Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 3 месяца назад

    Ajiulize NYALANDU ako wapi.
    Ndio atajua CCM ni wanunuzi tu unabakia boya.

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 3 месяца назад

    Sababu ya kuhama ni dhaifu sana, Sikutegemea kama atahama kwa sababu hiyo.Sasa ccm anakokimbilia ni hakuna rushwa?

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya8855 3 месяца назад

    Haiwashtui hapo walopofika haiwashtui.... labda ni kwa wasiojua siasa za tz.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 3 месяца назад

    Kumbe mchungaji yupo sawa kakimbia wanaotaka kumdhuru safi yeye mtumishi anajuwa siri

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi 3 месяца назад

    Mzigwa agepata uwenyekiti asingeodoka nimroo wadaraka

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 3 месяца назад

    Vema SANA MWABUKUSI UPO VIZURI HAPO HAITAKIWE KUWE NA VITA AU FITINA HIYO NDIO DEMOCRASIA

  • @jumskibona3261
    @jumskibona3261 3 месяца назад

    Toka nifahamiane na wewe wakili sijawai kujuta hata kidogo wewe unafaaa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Mwambukusi ni mwalimu.Tumsikilize na kujifunza.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Mwambukusi ni mtu mwema sana anapenda haki.Familia yake yawapenda watu,kwa Mwambukusi husipindishe haki.

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 3 месяца назад

    Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua

  • @MaikoLainza
    @MaikoLainza 3 месяца назад

    Ukosawa Mabukusi endeleana msimamo huo bila kutishika

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 3 месяца назад

    Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo

  • @melch3097
    @melch3097 3 месяца назад

    Hakuna aliepinga kuhama, tatizo maneno, akikaa kimya hakuna atakaemsema

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад

    Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 месяца назад

    Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Ahsante sana Severin ni kweli hatuna chuki ya watu kuhama tatizo maneno ya ovyo,hasante Mwambukusi kuwa mkweli.Tumepata somo hapo.

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 3 месяца назад

    Hoja za Mwabukusi Hua zimenyooka kama rula.

  • @MeshackMheni
    @MeshackMheni 3 месяца назад

    Sasa je? Huko alikoenda ataweza kuwasemea wananch au ni cheo anataka??

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 3 месяца назад

    Wakili simamia ukweli kuwa mkweli tunakuelewa sana huna uongo kwenye jambo

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 3 месяца назад

    Maneno mazuri yaliyo kolea
    munyo na yenye hekma. Ubarikiwe Wakili msomi.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 3 месяца назад

    Mwabukusi leo umeniudhi

  • @IsayaMedot
    @IsayaMedot 3 месяца назад +1

    ✌️🙏🙏🙏🙏

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 3 месяца назад

    UKIGOMBEA URAISI KURA YANGU UNAYO, I SWEAR GOD

  • @RajabShayo
    @RajabShayo 3 месяца назад

    Hapana chadema ni saccos ya mbowe bwana,

  • @kiatu
    @kiatu 3 месяца назад

    “Hatuna mtu ana miliki ya mawazo”. Kweli.

  • @Omar-g9q9b
    @Omar-g9q9b 3 месяца назад

    Msigwa ananjaa.. amefuata kula

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 3 месяца назад

    Mwambukusi big up uwe unatoa no zako kna watu Mambo hayapo sawa mtu hajui aanzie wapi

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 3 месяца назад +2

    Mchngaji Msigwa ni msaliti kwa nini asiede cuf au nccr mageuzi

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 3 месяца назад

      Huko kote msigwa alishapita,bila kuwa na cheo hakai

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 месяца назад

    Yani leo nimekupigia saluti umeonge maneno mazuri sana

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Lakini pia,hata wanaohama wasiwe wasema hovyo.

  • @HamisNgole-oo8if
    @HamisNgole-oo8if 3 месяца назад

    Ukovizuli sana haki

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 3 месяца назад

    Anataja madaraka hana lolote shenzi sana

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 3 месяца назад

    Ni haki yake kabisa kikatiba, lakini kwenda ccm kweli?

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 3 месяца назад

    Wakili ww uko vizury sana unapenda kusema ukweli

  • @ramadhaniabdulabi4035
    @ramadhaniabdulabi4035 3 месяца назад

    Chama cyo msahafuu wala katibaa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 3 месяца назад

    Maneno yake inapoza mwenyewe jaaa na unafiki Hama tu

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 месяца назад

    Huo ndio ukweli kuhama sio uwadui nimamzi

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 3 месяца назад

    Aaa kwa kauli hii hata wewe Huna muda

  • @nyambwirobakari9436
    @nyambwirobakari9436 3 месяца назад

    Leo nimekuelewa Sana kaka

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 3 месяца назад

    Ukweli kabisa Kila Moja anahaki kwenda ata kapo

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 месяца назад

    Msigwa aachwe tu kwani kuna nini

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 3 месяца назад

    Sahihi kabisa,msigwa ana haki zake😊

  • @rashidhtibangayukatibangayuka
    @rashidhtibangayukatibangayuka 3 месяца назад

    Nakupongeza wakili

  • @angolile
    @angolile 2 месяца назад

    Well spoken🎉🎉🎉

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 3 месяца назад

    Well said Mkuu

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 3 месяца назад

    Ni. Haki. Ake

  • @ZakayoDionisi
    @ZakayoDionisi 3 месяца назад

    Sawa kabisa uko sawa

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 3 месяца назад

    Yaani kazingua sana aiseh

  • @SimonKalinga-h5g
    @SimonKalinga-h5g 3 месяца назад

    Una Akili sana

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 3 месяца назад

    Mwabukusi uko visuri Sana kaka angu

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 3 месяца назад

    Asante

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 3 месяца назад

    Uko vizuri kk

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 месяца назад

    Momumo nkamu gwangu ❤

  • @DevotaPacras
    @DevotaPacras 3 месяца назад

    SEMA WEWE NI RAFIKI YAKE TWENDE KWENYE U ALISIA. KWELI NILIKUWA NAKUAMINI LAKINI KWENYE HILI DIKUKUBALII!!

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 3 месяца назад

      UMESOMEA WAPI?? MBONA HUYU MWL AMEFUNDISHA SUB TOPIC HII VIXUR NA AMETUELEZEA TU HATA CHEKE CHEA HAWEZI KUSEEEMA HAJAELEWA WEEE VIPI???

    • @ellylema9042
      @ellylema9042 3 месяца назад

      Sasa Wewe unataka aseme nini ufurahi

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 месяца назад

    Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2