TUMEIPATA SAUTI YA MSIGWA SIKILIZA ALICHOONGEA ''MIMI NI MTU HURU/SIJAENDA CCM KWAAJILII.....
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
KILA MTU ANAMSEMA MAGUFULI... Laana ya kumsema vibaya marehemu iwe Juu yako daima.
Nailiza tu kwa nia njema. Huyu huwa anajiita Mchungaji, ni Mchungaji wa ng'ombe au Mbuzi? 😂😂😂😂
Mbuzi na ngombe
Sud upo vizuri sana umemuhoji mpumbavu aisee
Msigwa upo vizuri
Wewe sio kiongozi bora
Njaa za mfukoni zimehamia kichwani na tumboni! Very good!!???
😂😂
Ww hiyo ni njaa tu inakusumbua ungekuwa mtu wa maana ungebaki nashughuli zako tu unaenda kujiunga na watu ambao wanatuhujumu tena
Njoo iringa uongee na wezao CHADEMA sisi ccm hatukutaki
Msigwa Kwa kweli ametia aibu sana
CCM msifurahi sana mawazo yenu sio ya Mungu huyo sio wenu Mungu atamrudisha alikotoka ana kazi nae huko
Chagadema ni umbea na uongo mtupu Sera hakuna Zaidi ya lawama ,malalamishi,ubinafsi,uchonganishi, ubaguzi na usenge 😢😢
Huyo ni mtumishi wa mungu alichokifanya anajua mungu na yeye ila naamini.mungu hazihakiwi
Mungu hapendi basaliti na wanafiki.
Umeshindwa kanda ya nyasa unatafuta cheo ccm chenzi sana unapenda cheo
Mpumbavu tu huyo mzee lakin pia hata chama changu pia sijui wanawazaga nini wakati mwingine...huyu mzee aliyekosa hekima kwanza basi tuendelee
Jamaa alikuwa kwenye payroll.
Msigwa upo Sawa achana nao hao mashogaaaaa CCM ndo chama bora
Ujui kitu kinacho endelea unaongeatu
Kwa kweli mtu hakosi hoja za kuongea, Aibu sana kwa mtu kama yeye, Hongera Monetę kwa maswari ya msingi.
😂😂😂Ni aibu kwa nchi
Tumbo tumbo njaa 😂😂😂
Jamani naomba mnisaidie msigwa anatambulika mwanzoni kwa cheo Cha utumishi wa Mungu ni kweli aliwahi kumtumikia Mungu au aliwahi kukuwa mchungaji wa kondeni TU.Naomba kujua tu maana nilimwamini Sana.
Acha ujinga Wewe chama Kiko imala nakitakuwa imala natutakuimala uliye Potenza dila niwewe msigwa njaa zinakusumbua kwenda tuu acha kujibalaguza
msigwa umetufanyia vibaya sana,
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅,,,,,ngoja tuone kama zile kelele za katiba mpya zitaendelea au bs tujuwe ni ndumilakuwili
Katombwe nyuma huko, kwani katiba mpya mbaka akudaiye msigwa! Kwani wewe huna mdomo wa kwenda kudai katiba mpya? Kila mbuzi huishi kwa urefu wa kamba yake alokadiriwa na mchungaji.
Unasingizia magu hawex kujibu sasa
Huyu ni mnafiki na mtu dhaifu sana. Anajaribu kuficha upumbavu wake na madhaifu yake kwa kumsingizia Magufuli. Magufuli gani aliyemwahidi pesa? Anataka kutudanganya Samia hajamwahidi cheo? PUMBAVU KABISA😡😡😡
Hata Kingunge alihama Lowasa Sumaye Mwenyekiti Shinyanga ana haki
Njaa mbaya sana
Hakuna cha njaa wala usaliti Msigwa katumia demokasia yake sasa lawama za nini au kwavile kahamia CCM ndo mnakerekwa poleni sana chadema 🤣🤣🤣🤣
Inaonekana hata siasa kwako ni ziro sana,Msigwa ni wazi alikuwa anatumika tangu kwa Mzee Magufuli alikuwa anakitafuna chama cha Chadema pole pole na hao Chadema walikuwa wanampeleleza pole pole ndiyo maana katika uongozi wa Kanda waliamua kumkata yaani amepigwa na Sugu,kitu kingine sio siku nyingi ameukosa Uongozi mara katua CCM,huoni kama alikuwa anatumika zamani?
@@RamadhaniLukambuzi We ndo hujui siasa ndo maana ukachagua chama cha wachaga Msigwa tunaye imewakera sana Msigwa kujiunga na CCM angenda chama kingine wala msinge sema poleni 🤣🤣🤣
@@halimamasai2234 Kwenda CCM sio shida kwa sababu ni haki yake ya kikatiba lakini ameenda huko kwa muda gani?Kwahiyo lengo lake ulikuwa ni uongozi sio?Je kuwa Chadema au CCM ni lazima uwe kiongozi mkubwa?huwezi kuwa mwanachama wa kawaida kama mimi hapa?Hata huko alikoenda anadhani anaweza kuwa katika nafasi ya Mama Samia kama alivyomjaribu Mbowe?Kauli Mbiu za Chadema na pamoja na matakwa ya wananchi ya kuishinikisha CCM na Viongozi wake wafanye kwa Wanachi yamefanyika?Ili tuseme labda ameenda huko kwa sababu Chama tawala kimekizi haja za Msingi za Watanzania?Hoja za Chadema siku zote ni hizi 1.KATIBA MPYA;imepatikana?2.TUME HURU YA UCHAGUZI;imepatikana?3.KODI ZINAZOTOZWA;haki imepatikana kwa walipa kodi?4.KODI ZA WATANZANIA WANAZOLIPA;zinatumika kwa njia iliyonyooka?Kama hizi hoja zimefanyiwa kazi basi anayo haki ya kurudi huko!
Wewe ni msaliti tuu hauna jipya ukiona baba anakimbia nyumba yake na kukimbilia jilani huyo hafai hata kidogo hata huko hufai maana unajenga tumbo lako tu
Huyu hana msimamo wowote!
Umeuza haki yako kwa mlo (tumbo)
Aisee umetufundishs,pakubwa sana kwamba ww ni mnafiki unayeonesha ni kiasi gani viongozi wa kiafrika ni wachumia tumbo
Kama mtu anahama hama chama Siyo mtu wa kuaminika sana tengenezeni wanachama wetu hawa ni watu Tamara tu hate ccm kuna prinspo
Aisee nimegundua wanadamu wanabadlika kumbe asiyebadilika ni mungu pekee inasikitisha sana
Mtangazaji upo vzr kwa kumhoji
Hongera sana mtangazaji
Tafadhali sanaa..Tuachie JPM.Alale kwa.usalama.Amefanya mambo makubwa Sana'a ktk nchi hii.huo.Uhuru mlionyimwa kwa.sababu mlikuwa mnamkwamishwa ktk kujenga nchi.kwa kuhama hujakosea.Hata Zito alihama.
Mjinga mmoja ww
@@MathewNathan-yb2bzmjinga na choko nani bora? 🤣🤣🤣
@@MathewNathan-yb2bz Naamini.ujumbe.umefika kisawasawa
Inauma sana kama
Je bado utaendelea kudai katiba mpya, pamoja na tume huru ya uchaguzi? 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
Subuti
>Mahojiano yanakuweka mahali pagumu sana Mch. Msigwa!
>Uhuru ni jambo moja lkn CHADEMA kupoteza misingi ni jambo lingine kabisa wala hakusafishi misingi ya CCM uliyoipinga miaka yote.
>Mshituko mkubwa wa wananchi wengi ni kielelezo tosha cha kukosa msimamo na kanuni!
>Kujenga chama na nchi ktk muundo na mfumo uliopo, kabla ya kupatikana Katiba Mpya ni mtihani na kutarajia miujiza!
Chagadema baki na Lissu chizi wenu hawana Sera yoyote
Hakika JK Nyerere alisema namnukuu:Wanasiasa wanaohamahama ni malayamalaya wa kisiasa Nakumbuka sana kweli Wanasiasa wahamao vyama ni Malaya? KAMA alivyosema MWALIMU
Jamani naota au!
Msenge tu ww
Msenge tu ww
Inauma sana basitu
Huyu Mtangazaji ana sauti kma Tido Mhando ni yeye?
Sudi mnete
Katika hili Msigwa umezingua, wewe ulionekana kuwa utaluvusha taifa lakini umerudi tena kwa mafisadi. Loh! Tanzania yangu
kiukweli simpendi msigwa alivyofanya Bure kabisa
Watu kama hawa wasihesimiwe, niwasaliti, ivi kweli utamwaminije mtu kama huu
Kama JPM alikuofa pesa na ubunge WA CCM sasa unawezaje kukwepa usaliti huu !?
Hixho chama ukifikingazi ya juu ndo utajuwa kuwa kumbobcham cha mtu moj hivihivi siyo rais
Mzigwa akili IPO kisogoni tapeli muongo mkubwa sio mchungaji wa Nini nitapeli Fulani hivi,
Msigwa Kuma tuu utatuambia nn wewe umejalia masilahi yako sio ya kukomboa nchi njaa tuu hiyo
hili jamaa pumbavuu waheedi,, hata hajitambui anataka nini - mbabaishaji tu na njaa sana..
Sema upumbavu yote .achana na jina la mzee wetu wew .bado tunae mioyon.Mag oyeeeee
Ni bola umeondoka, ugetuvulugia chama
Tuje nyumbani kwako na picha zako za uchafu wako tuonyeshe kwenye vyombo vya habari hata cku nne kabla ujajiunga ccm ulikuwa ipogoro na kimada chako vp tumwage na ss ugali
We fala kwanini uto hizo picha sasa kwa vile kahama ndo inakumaa na bado mtaumia sana Msigwa yupo sawa cha cha siasa si baba la mama We matako nini CCM oyeee Msigwa oyeeee
Ahhaaaaaa kumbe jamaaa anapenda vyeo
Welcome msigwa kama naona mkutano utakavokuwa mzuri iringa
Njaa mbaya sana.
Kanisa la huyu bwana liko wapi
Jakaya alishindwa na mkapa akatulia baadaye akawa rais msigwa ni mpenda madaraka alikosa sadaka
Maswali ya mtangazaji yote yamekaa vizuri ila yamejibiwa kiubabaishaji kwani aliyeulizwa Hana jipya zaidi ya kua mpiga porojo km huko alikoenda. Watanzania umetuangusha mno lkn kubwa umejiangusha wewe mwenyewe na history itakuhukumu .
Mchungaji hawezi kuwa mnafiki na muongo , lakini kwasasa watu washakujuwa ni mnafiki na muongo ,,YAANI UNATWAMBIA YAKWAMBA YALE YOTE ULIYOKUWA UNAYASEMA DHIDI YA WAOVU CCM YALIKUWA NI UONGO NA UNAYOYASEMA SASA NI YA UKWELI?
Ccm Kuna watoto wao usichukue vyeo vyao. Hah hah hah! Ok
Pumbavuuuui😂😂😂
Duuuh Siasa hizi😂😂😂
Njoo Iringa tukuchambe
msigwa atakuwa mwanachama wa kawaida kama wengine. yeye kama anatarajia atapata uongozi basi asahau maana hata ccm wapo watu wenye uwezo kuliko msigwa.
Wewe unatama ya madaraka wakwagarie kwa macho mawiri
Kiongozi Malaya malaya huyu, ni aibu kubwa. Msukuma alisha maliza kuwa unapewa pesa kama unabisha chongoa mdomo, kweli hukuchongoa mdomo wewe ni kibaka kama vibaka wengine.
😢😢
CCM NA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VILIVYO PATA USAJILI WA KUDUMU SIYO DINI
ANA MAAMUZI YAKWENDA CHAMA CHOCHOTE ATAKACHO TAKA KWENDA
HATA WALIO KUWA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI WALIKUWA CCM WAKAHAMIA UPINZANI
MSIGWA ANAUHURU KWENDA POPOTE ATAKAPO TAKA KWENDA
Msigwa achana na chama cha wahuni chagadema 😢
Heshima yake imeshuka sana
Kwani vipande vinaonyeshwa wazi wazi?
Malaya hana aibu huyu ni mpenda madaraka miaka 20 ndani ya chadema ni uasi
Chizi fresh
Hah hah hah! JE usipopata hiyo nafasi utafanyaje ndg yangu ? Ok
Apa hutosema chochote mmm umeyakanyaga bana
Bulasa musigwa😅😅😅🙌
Acha ujinga kabisa msigwa sema unanjaa tuu Wewe usitufanya watt ukajinge nachi gani uicnjenge Wewe wanaojenga ichi nimashujaaa sokama wewe
Wanasemaga mbwa hawezi kula matapishi yake, ila leo ndo imekuwa ukweli. Yaani Mchungaji mzima na yale yote aliyosema kwa ccm leo hii anasema anaenda kukijenga chama?. Kwa hiyo chama kiendelee kuteka watu, kupoteza au na kuiba, n.k. 😂. Kwani huwezi kujenga nchi bila kuwa na chama?. Mbona watanzania wengi wanaijenga nchi na hawana hata chama. Hao wauza karanga kariakoo wanaolipa kodi TRA hawaijengi tanzania?. Au kwani Bakhresa ushawahi msikia anasema anasubiri mwenyekiti wa ccm amwambie nini afanye kujenga tanzania?. 😂.
Kuna jambo MUNGU anafanya utashangaa
Nakiomba chama chetu pendwa chadema tujipange Kila anapotoka Msigwa na sisi tunaenda kujibu hoja mpaka akae kimya
Umejibu vizuri Msigwa chapa kazi Ccm na Mama lazima atakupa kazi yoyote siyo lazima cheo kazi ni kazi bora tonge liende mdomoni
Chadema wote ni wasaliti musiwaamini hawa wanafiki wahuni walavi wa walaku wapenda vyeo
Mzee msigwa umekwisha sasa pole sana
Anaimalika
Njaa tuuu ya hela na cheo hamna kitu kingine.
Msigwa wewe umehemia ccm.unafikili utasemanini wakati umehamia uko
Pole msigwa.kwaaibu iyo.ugekuwa umekaakimya.ugejijea umalufu
Ww msigwa ulisema ukienda ccm utapewa cheo na vitu vingi tu
Huna safariii wewe yeyote anae kimbiaa mapambano hua hanasafari anapotea kamaa linavopotea vumbii tu
Lakini uongo zambi jamaa kijani kimemtoa kinoma 🤣🤣🤣
Kubadilika kama Kinyonga nibinu za Kujichimbia dhidi ya Adui zako, Chadema ni chama Wachaga zaidi, Ccm ni chama cha Watanzania wengi, Pia ndani ya Ccm kuna Uchaguzi na Taratibu za Usawa kwa wote, Chadema Mbowe ndiye Mmiliki wa Chama.
Wewe kabila gani
NJAA MBAYA
Msngwa umeruka mkojo ukaenda kukanyaga mavi pole
Wewe acha kudanganya watu umehongwa na kunyimwa uenyekiti wa kanda
Njaa uyòoo
Msigwa unatamaaa nakujuwa
UNGEKISHAURI HICHO CHAMA WEWE NI MJINGA TU NA MALAYA
Miyeyusho msingwa umejichosha umeonyesha hila
Chama cratus 20
Yuda😂