FURAHA YANGU By Kwaya ya Mt. Theresia wa Mtoto Yesu, Kigango cha Sabasaba_Mafinga Tz
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Furaha yangu ni Wimbo unaobeba jina la album ya kwaya ya Mt Theresia wa mtoto Yesu, Kigango cha Bikira Maria Mama wa Huruma, Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni, Mafinga, Jimbo Katoliki la Iringa.
Nce ad melodious voices from uuuuuu,,sir God awazidishie❤❤❤❤,
Wimbo mtamu Sana mungu awajalie moyo wakuendelea na uenezaji wa injili daima ❤😂🎉🌸🌻🏵️💮💐🌺🌱🍂🌾👍🙏🌲🌵🌳🌳☘️☘️🌿🍀😔🌹🇹🇿
Hilo beat la mwanzoni apo wimbo wake unaitwaje
Wakatolikii wanawezaa kwenda kwenye maombi
Mungu azidi kuwabariki kwa kazi ya uinjilishaji mnayoifanya
Amina ❤❤️🇸🇦
Hakika furaha yangu ni kumsifu bwana
Barikiweniu mno nyimbo nzurii sana
❣️❣️❣️❤❤🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Furaha yangu mimi nii kumsifu Bwana tuliobarikiwa tujuane kwa like
Amina mbarikiwe sana Wimbo umenibariki
Je suis Burundais🇧🇮, mais j'adore la mélodie tanzanienne !!!
Continuez ce travail béni.
On the name of almighty God, there isn't a pianist as this one who is ruling this sweet choir.
Congratulation choir Nice song
Kwanini nisimsifu bwana....furaha yangu Mimi..nikumsifu bwana...
Nimefurahi sana nyimbo nzuri kama hizi ziko hata vigangoni Mungu awainue zaidi mko vizuri.
Marcelino mwageni t
nyimbo nzuri kweli
wimbo mzuri amina tumeupenda sana
God bless you-I like the song
Furaha yangu kwa hakika ni kumsifu Bwana❤️❤️❤️
I keep repeating the song. I'm an addict of their voices.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Me too, I have to reply it a several time
Aise kweri bwana furaha yangu ni kumsifu bwana very nice song faraja sana ndani ya wimbo.
Wimbo mzuri sasa,,, mie huku Kenya napenzwa na nyimbo zenu nzuri . Mola awaneemesha tena na tena.
Karibu Tanzania
Kwa mbalii namuona mama yangu kipenzi.Pumzika kwa amani Bi Mjeshi😭😭😭
5 years later I still find peace from this song...... therapy
❤❤❤❤ furaha yangu mimi ni kumsifu Bwana .....
Aise iringa hongereni sana ngoja nije siku moja nije tuimbe malangali cesilia
I love the boy with trumpet congratulations.
Mcheza kinanda upo vzr sana hongera
Nitamsifu bwana milele ❤❤❤❤❤
Vraiment vous êtes les meilleurs... Je suis sénégalais et j'adore beaucoup vos chants car je porte la chorale dans mon coeur. Je ne comprends pas le Swahili mais j'apprends quand-même quelques mots. Dieu vous bénisse et vous comble de ses grâces.🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amazing
Mmmmmmmklllopooòppp⁰0⁰9o
Lemmpp00⁰
Thank you very much, you welcome to visit Tanzania🇹🇿🙏🙏😀
Watching from USA Atlanta Georgia bwana Tumsifu yesu christos Animina.
Nakubali sana aisee msifuni mungu katika patakatifu pake
Mungu ninaemwita akika anasikia wakati mwingine anashusha baraka zake hata bila kuomba hakika ananipenda good song
Safi xanaa wanakwaya ya mafinga, najivunia ukatorik Iringa tupo juu hata iweje ukristo raha sana
sana
Wat een prachtige uitstraling wederom .Voeding voor geest en ziel !
Kbsaaa Roma wanajua mpka wanavutia jaman
Hakika mnanikumbusha mbali sana wanakwaya enzi zile nikiwa changarawe high school tumeimba sana hii kwaya. Nafarijika kuona mmepiga hatua nzuri namna hii. Mnastahili pongezi kwa kweli.
leo msafiri sasana
Good Catholics l wish less in Tanzania just to join the singing with you mean God bless you , Release as many songs as many as possible
Wimbo unafundisha hongereni
I love your songs I hope one day in life I will come to pray holy mass with you brethren if I happen to be in Tanzania especially those sides of Mafinga since I know the place though scantily.
Karibu sana ndugu🇹🇿🙏🙏😀
Mungu awabarki nice song pround to be Catholic touching song hongera
Exactly
nita mtukuza milele ilove Jesus
Wooow! Siku si nyingi mtakuwa kama Makuburi, kwaya ya mt, Kizito.......dah! Nawapenda
Furaha yangu ni kumsifu Mungu wetu aliye mwanga wangu kila siku na hasa yasiyowezekana kwangu....
Hongera sana kwa wimbo mzuri wa uinjilishaji. Mungu awabariki sana na awazidishie nguvu, ujasiri na upendo zaidi..
Hongereni sana wana Mafinga. mpo juu kuinjilisha
Mon Dieu.... soyez bénis mes frères et sœurs...
Kweli mungu ni jemedari wa vita yangu daima nitamtumkia
Mbarikiwe, mzidi kumwimbia Mungu katika roho na kweli.
Mungu abarik milele nice
Wimbo unafikirisha Sana..
This song inspires holly Spirity.may this pianist who rules this choir be blessed.jean claude from Burundi especially in ngozi toun.
May God bless you Jean
kwa kweli mnainjilisha kwa Furaha kama ulivyo wimbo, mungu awabariki sana
I'm Jean claude,from Burundi in ngozi toun.
Amina furaha yetu ni kumtukuza
Pongezini wanakwaya wa Mt Theresia wa Mtoto Yesu kwa wimbo wenu mzuri. Karibuni pia nanyi kwa channel yetu (Catholic tv music & hymes) remember to subscribe, like, comment and share.
Na Mola awabariki kwa kazi yenu nzuri. watching from DOHA -QATAR
Nyimbo ya bariki kweli
Lit 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo za kwerisma zipo vizuri, mungu awape miaka mingi watunzi.
Love all jmni nawapenda san na my mom nimkumic sn
Naipenda sanaaa
Asee naona ni kama nimechelewa kuifahamu kwaya hii ya Mt. Teresia kigango cha sabasaba Mafinga- Iringa, kwani naiangalia video hii kuwa na ujumbe mzuri pia na waimbaji wazuri wametulia. Hongereni sanaaa!!!
Hongereni kwa ujumbe mzuri
wimbo mzuri sana jamani umenibariki sanaaa yaaniii
Kuma
www.accuweather.com/en/tz/musoma/314063/weather-forecast/314063
Musoma, Mara, Tanzania Three Day Weather Forecast .
Nyimboo nzurr Sanaa hongerenii
Nicer song a watch every day
This song is very nice the choir is very nice thank God for always singing for u 🙏🙏
amina nmeabarikiw sana na huu wimbo mungu awabariki sana katk utume wenu
Rajo production ukovivur kaka mungu akujalie uambukize nawengne
Kwaya ya Mt. Theresia Mpalizwa mbinguni Mafinga hongereni kwa ujumbe mzuri.
Mpiga kipenga umenifurahisha sana. Amina
Wilhelm Elias hii ni theresia mtoto yesu kigango cha sabasaba mafinga tofauti na bikira maria mpalizwa mbinguni bmmm
Amen.
Thank you so much.
God Bless
thank you
Nimeipenda hii
nimeupenda kweli ,furaha yangu ni kumsifu BWANA Kila siku ,mubarikiwe sana
watumishi wamu MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki sana
Furaha yangu kumsifu Bwana,, mbarikiwe wapendwa
Furaha yangu ni kumsifu Bwana
kama ilivyo ada kutangaza na kumsifu mungu ni wajibu was kila mkiristo mbarikiwe sana
ongereni sana wimbo mzr Sana..........tuko pamoja na nyie wanakwaya w2 wa kigago cha sabasaba Mafinga 1
hongera sana waimbaji kazi ni nzur sana mbarikiwe sana
Hakika inatia nguvuuu katikasafar Ang ya maishaa
Tumsifu yesu Kristo bwana wetu,milele na milele...
Umenibarik sana
Yani wimbo umejaa baraka za Yesu mwanzo mwisho hauchoshi kusikiliza
ndio unapendeza sana
Furaha yangu ni kumsifu .naupenda xana hu winbo .karibun .karatu .
Nimebarikiwa xana na huu wimbo..mbarikiwe xana wapendwa
Very nice one
Amina kubwa
mbalikiwe sana mungu azidi kuwapa nguvu na afya mzidi kumtukuza milele
mubarikiwe sana kwa iyo nyimbo na ha burundi tunabafaamu
Mbarikiwe sanaaa
Nice song may my lord be with you in you thing and you active you do love the song
Mubarikiwe sana kwa ujumbe mzr mungu azidi kuwatia nguvu
barikiwa sana
furaha yangu kumsifu Bwana
pongez kwake Kisusi Chipukizi
Napalikiwa sana ninaokoka hata nikiwa saud arebia
Benjamin mungu abariki ujumbe wenu
kazi wanakwaya mmetiza kazi yenu kikamilifu kabisa big up
Butanga Sospeter nafarijika sana kusikia hizi nyimbo
kwanini hizi video zenu nzuri mnazotengeneza rajo production madukani huwa hazipatikani?kwa mfano kwaya ya makuburi hapa mbeya inapatikana duka moja tu.nimezunguka makambako nzima haipatikani
safi sana
Mungu awabariki sana mmeimb vizuri, nitapataje hii sidi yeny huu wimbo
mungu awabari mpiga kinada uko vizuri niipenda biti yako
Rajo production mko juu hongereni sana
Feeling needed😘🤗
Good song wish to watch everyday
Baraka nyingi sana kwenu na Mwenyezi Mungu awatangulie katika unjilishaji wenu.
Mubarikiwe sana na Bwana Wetu Yesu Kristu
Nice song😍🤓
Furaha tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good work ray
Furaha yangu ni kumsifu Mungu daima
Great , this is so awesome !