Asalam aleikum warmatullah wabarakatuh.Waislam nawaambia kama ndugu yenu katika iman Huyu Abdallah Humeid ana chuki binafsi na wivu na duktur Islam. Ana wivu duktur anakubalika sana na watu , nimemsikiza sana nipate kosa kwa duktur ila sioni naona ikhtilaf tu ndogo ndogo za kawaida lakini anavyomponda subhanallah utadhani kama ambae duktur ni shia au mtu wa maulidi, kwaiyo nawasihi mumpuuze huyu mjinga kwa kutaka kugawanya ummah. Wasalam aleikum warmatullah
Hata masalafy wakasema nini hapo jamaa hawaoni hawasikii... mpaka atakapo Allah kuwaongoza, maana hata kama hii iko wazi kabisa na watatetea batil wakiwa wajua... Allah awalipe kheri masalafy wallah mumetufungua macho sanaa... جزاكم الله خيرا.
Salafi wa kweli hawezi kujinasibisha yye ni salafi,na hawa masalafi wa kisasa wanaojiita hivyo wapo tofauti sana na Masalafi wa karne ya kwanza ya maswahaba,wasikudanganyeni .
Kumbe kuwa pamoja na Hanii bin Breik Kharijee ,na kuwa Na uwanachan ssm ndio usalaf huo , Hao ni Majuhli katika kuzilewa ibara za wanachuoni ,Muhammd amfuta bana ati ,Huku Hizbu Salaf alaf Katibu mwenezi😅😅😅ssm hya
Wanazoeni Mnaowasema Hawa kukuwa. Kama nyie apo hata Mtu Akikosea Sio hivyo nyie sijui Mtafwata Manihaji gani Kwani Dr islam sio mtu wa Bidia wallah mcheni Allah
Duktur anatak aonekane ana Akhlaq nzuri...!!! Lakin huko ni kuichafua Da'awatusalafiyyah! Sasa masalafy wote wakiwa kama yeye kupinga ruduud si bida'a zitajaa sasa kwenye mujitamaa! Allah awalipe kheri madaiya wa kisalafy koz wanajitoa sana katika kuwaradd watu wa bida'a bila kuogopa shari itakayotokea
Ila kweli ujadida ni ujinga na upotevu kweli hamchoki kutaja watu heri mngekua mnakaa hizo mnaita markaz zenu mkisomesha Sasa hata wenye hukaa chini kuwaskiza faida yake nn,,,mara sheikh mzima kama duktur Islam c mtu wa kuweka kwenye ujinga mara hadi waliokufa Abu muawiya Allah awasamehe waliko kueni na adabu genge la gufeli na kundi lao
@@abdiazizmohamed444 mmezianza nynyi hizo fitna hata vitabu vya masalafi wale wa uhakika wanawaita majuhal na ni kweli sababu hata kutafsir hivyo vitabu balaa mwaweka mmbo yenu acheni bana kusumbua watu
mm hata simuelewi huyu jamaa Ana chuki sana na duktur eti azungumzi watu wa bid-aa ww nawe humsilizi utajuaje sisi tunao mskiliza ndio tajua Acha chuki wewe hata ukimchukia sisi twampenda kwa ajili ya Allah wenzako wenye elimu ndogo kama yako waenda kusoma kwake wewe piga kelele wala halitokusaidia iyo mwezi sita yako ulio enda kosoma yakudanganya
Kama kweli nyie nwakweli. Baasi. Mumtoe Muhammad mafuta kwenye sunna ..maan ana mikhaalafa kibao na ni mwanachama wa ccm ..ila ALLAH awalipe kwa khyana. Zenu. Kwa wènzenu
Hapa masala tuko kwa wale ambao wanalingania bila kujua kama huyu dr Islam,ama Muhammad mafuta kwa kwenye ccm sio Dini sasa lazma utafautishe baina ya dini na ccm...
@@adamh1751 hhhh hivi nikuulize. Huyo Muhammad mafuta asingekua ndugu yake mafuta mkubwa au. Kama hawalinganii pamoja nanyie wala musingemuacha mfano kwa Abuu qatada mulimsema kuhusu ruto as kwanini nyie. Munabakia na mijitu ya ajabu ajabu kama Muhammad mafuta
@@adamh1751hii ndio hoja yako ya kumtetea Muhammad mafuta?? hivi angalia kassim mufuta akieleza athar mbovu za vyama bali katika nukuu za wanachuoni hafai kuwa daai maana yeye kuwa mwanachama analingania uhizbiyyah atampenda mwanachama na atachukia mwenye kupinga chama chake hapo misingi ya daawatussalafiyyah itakua imevunjwa au bado ipo?
@@abbaspaziaog2188 abu qatada mm namjua hivi 15years yani namjua baado mwanafunzi sasa abu qatada mambo yake acha nae, ama Muhammad mafuta mm hapa simjui bali namjua sheikh khasim mafuta juu nimeona yuko kwenye haki na anafunza dini kupitia Quran na sunnah kwa ufahamu wa wema waliopita, dr islam nimesoma kwake 10 iliopita ndio nikaja kuona hamna kitu hapa, na siku zote ww usiwe shabiki kwenye Dini bali fuata haki ipo wapi? Muhammad bachu kelele zake hana tafauti na watu maskani juu nishamuona anapenda vikao hizo,sasa fanya utafiti kabla hujamuongela mtu.
Mum radd kwanza Muhammad mafuta futaaa. Ni mwanachama wa ccm. Na kawaida yenu. Hizbu salafi hamuamini kwamba vijishekh. Vyenu. Vinakosea. . Hhh. Allah mustaan
@@مبغضالبدع-ع9ص nakama nyie niwakweli. Baasi. Mtoeni. Muhammad mafuta alopinda kupindukia. Au nikwasababu nimdogo ake. Bwana mkubwa wenu mafuta ya gari 🤣🤣🤣 kama Humeid ni mwanaume kweli amtoe. Muhammad mafuta ya taa mwanachama wa ccm 😅😅 laminitis kama hamuogopi. Mafuta ya taa mkubwa 😅😅
@@ABUUJAAFAR92 wamekuwa wehu kabsa yani: hadi mmoja kasema kuwa ANABURUDIKA NA HIZI RUDUUD.... Now mahizbi wameifanya dini kuwa team ya mpira kocha wao akiwa Bachu!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xkumbe ukiwa hizbu Saalaf yafaa kuwa na kadi ya ssmu ,Yan huku Niwe hizbu Salaf halaf halaf huku katibu mwenezi Muhammad mafuta bana ,anavituko kweli hizbu Salaf yule
Hakika Allah tabaraka wata'ala atahukumu baina yenu kwa Yale mliyokuwa mkihitarafiana
BarakAllah fiyk Allah awaifdhi ma sheikh wetu wa ki salafi allahuma Amiyn
Asalam aleikum warmatullah wabarakatuh.Waislam nawaambia kama ndugu yenu katika iman Huyu Abdallah Humeid ana chuki binafsi na wivu na duktur Islam. Ana wivu duktur anakubalika sana na watu , nimemsikiza sana nipate kosa kwa duktur ila sioni naona ikhtilaf tu ndogo ndogo za kawaida lakini anavyomponda subhanallah utadhani kama ambae duktur ni shia au mtu wa maulidi, kwaiyo nawasihi mumpuuze huyu mjinga kwa kutaka kugawanya ummah. Wasalam aleikum warmatullah
Hii channel itakosa post bila kumzungumza dr islam
Hata masalafy wakasema nini hapo jamaa hawaoni hawasikii... mpaka atakapo Allah kuwaongoza, maana hata kama hii iko wazi kabisa na watatetea batil wakiwa wajua... Allah awalipe kheri masalafy wallah mumetufungua macho sanaa...
جزاكم الله خيرا.
Wallah cijawahi ona manhaj ya haqq kma manhaj salafi wanabainisha haqq kwa uwazi na batwil ila wengi katika watu hawaelewi
kwahiyo mafuta alipotaja aibu za Barahiyani za kuiba M40 ni haki kufanya vile?
Salafi wa kweli hawezi kujinasibisha yye ni salafi,na hawa masalafi wa kisasa wanaojiita hivyo wapo tofauti sana na Masalafi wa karne ya kwanza ya maswahaba,wasikudanganyeni .
Mamluki tu wewe wa chanel
Kumbe kuwa pamoja na Hanii bin Breik Kharijee ,na kuwa Na uwanachan ssm ndio usalaf huo ,
Hao ni Majuhli katika kuzilewa ibara za wanachuoni ,Muhammd amfuta bana ati ,Huku Hizbu Salaf alaf Katibu mwenezi😅😅😅ssm hya
@@mahfoudhcalender2747wallah Sheikh Salim barahiyyan hakuiba Pesa ,Ila Haw mahizbi Asalaf Waongo sana
Wanazoeni Mnaowasema Hawa kukuwa. Kama nyie apo hata Mtu Akikosea Sio hivyo nyie sijui Mtafwata Manihaji gani Kwani Dr islam sio mtu wa Bidia wallah mcheni Allah
Ni wahuni kbsa sio wahuni wahuni nyinyi sio masalafy
Mashallah
Afwan niulize yafaa kuweka picha ya Duktur Maana si ni katika taswiir ama vp??
Duktur anatak aonekane ana Akhlaq nzuri...!!! Lakin huko ni kuichafua Da'awatusalafiyyah!
Sasa masalafy wote wakiwa kama yeye kupinga ruduud si bida'a zitajaa sasa kwenye mujitamaa!
Allah awalipe kheri madaiya wa kisalafy koz wanajitoa sana katika kuwaradd watu wa bida'a bila kuogopa shari itakayotokea
Wewe unajitoa ufahamu,taja bidaa inayofanywa na watu ila usitaje watu ,hivi kinachozungumzwa huelewi maneno ayo?
@@samirhumud7408 Kwanini watu wa bida'a wasitajwe??? unapingana na maneno ya maulamaa au hujui hukum ya hilo nikupe udhuru!
Wewe kosoa anachosema achana na yeye, na mkajibu hoja kwa Muhammad bachu
Hasad na taasub ndo zinazo wasumbuwa nyinnyi mahizbu salaf mahadadiya
Sas anaichafua dawa ssalafiyaah vp wakti mushapa red card wazee
Acheni kua busy huku kuna clip zenu zinawangoja kwa Muhammad bachu majibu au kaeni kimya msitusumbue
Sheikh Mziwanda kashasema, hawa salafi wa sasa ni Tuwi la Nne
Ila kweli ujadida ni ujinga na upotevu kweli hamchoki kutaja watu heri mngekua mnakaa hizo mnaita markaz zenu mkisomesha Sasa hata wenye hukaa chini kuwaskiza faida yake nn,,,mara sheikh mzima kama duktur Islam c mtu wa kuweka kwenye ujinga mara hadi waliokufa Abu muawiya Allah awasamehe waliko kueni na adabu genge la gufeli na kundi lao
Sema usalafi ni fitna kutoka najd
@@abdiazizmohamed444 mmezianza nynyi hizo fitna hata vitabu vya masalafi wale wa uhakika wanawaita majuhal na ni kweli sababu hata kutafsir hivyo vitabu balaa mwaweka mmbo yenu acheni bana kusumbua watu
mm hata simuelewi huyu jamaa Ana chuki sana na duktur eti azungumzi watu wa bid-aa ww nawe humsilizi utajuaje sisi tunao mskiliza ndio tajua Acha chuki wewe hata ukimchukia sisi twampenda kwa ajili ya Allah wenzako wenye elimu ndogo kama yako waenda kusoma kwake wewe piga kelele wala halitokusaidia iyo mwezi sita yako ulio enda kosoma yakudanganya
@@yasiniali7275 akhiy Hawa mahizbu salaf chukiy na hasad ndo maradhi yaoo
Kama kweli nyie nwakweli. Baasi. Mumtoe Muhammad mafuta kwenye sunna ..maan ana mikhaalafa kibao na ni mwanachama wa ccm ..ila ALLAH awalipe kwa khyana. Zenu. Kwa wènzenu
Hapa masala tuko kwa wale ambao wanalingania bila kujua kama huyu dr Islam,ama Muhammad mafuta kwa kwenye ccm sio Dini sasa lazma utafautishe baina ya dini na ccm...
@@adamh1751vipi kuhusu Hani bin breyk aliyebidiishwa na wanavyuoni wa kisunnah wote mbona masaafiqah wamtetea na kunyamazia au na yeye hana athar
@@adamh1751 hhhh hivi nikuulize. Huyo Muhammad mafuta asingekua ndugu yake mafuta mkubwa au. Kama hawalinganii pamoja nanyie wala musingemuacha mfano kwa Abuu qatada mulimsema kuhusu ruto as kwanini nyie. Munabakia na mijitu ya ajabu ajabu kama Muhammad mafuta
@@adamh1751hii ndio hoja yako ya kumtetea Muhammad mafuta?? hivi angalia kassim mufuta akieleza athar mbovu za vyama bali katika nukuu za wanachuoni hafai kuwa daai maana yeye kuwa mwanachama analingania uhizbiyyah atampenda mwanachama na atachukia mwenye kupinga chama chake hapo misingi ya daawatussalafiyyah itakua imevunjwa au bado ipo?
@@abbaspaziaog2188 abu qatada mm namjua hivi 15years yani namjua baado mwanafunzi sasa abu qatada mambo yake acha nae, ama Muhammad mafuta mm hapa simjui bali namjua sheikh khasim mafuta juu nimeona yuko kwenye haki na anafunza dini kupitia Quran na sunnah kwa ufahamu wa wema waliopita, dr islam nimesoma kwake 10 iliopita ndio nikaja kuona hamna kitu hapa, na siku zote ww usiwe shabiki kwenye Dini bali fuata haki ipo wapi? Muhammad bachu kelele zake hana tafauti na watu maskani juu nishamuona anapenda vikao hizo,sasa fanya utafiti kabla hujamuongela mtu.
Ndio kazin ya mahizbi kina Islam na kinda la kihzibi Muhammad bichwa
Naam usimsahau bwana sookwa na uraska wanaruka ruka tu wameshindwa kumtoa kwenye sunna bwana mafut ya madem mdogo wake mti mkavu. Kwenye. Sunna 😢
Mum radd kwanza Muhammad mafuta futaaa. Ni mwanachama wa ccm. Na kawaida yenu. Hizbu salafi hamuamini kwamba vijishekh. Vyenu. Vinakosea. . Hhh. Allah mustaan
Pazia unaonaje pazia ya duktuur hapa imeanguka au vipi?
Umeona alivyopindisha maneno hapo??? Pazia zote chini... 😂😂😂😂😂
@@مبغضالبدع-ع9ص sìnimewambia nyie ni watu wamatusi. Nyie hizbu salafi?? Mahadadiyah
@@مبغضالبدع-ع9ص nakama nyie niwakweli. Baasi. Mtoeni. Muhammad mafuta alopinda kupindukia. Au nikwasababu nimdogo ake. Bwana mkubwa wenu mafuta ya gari 🤣🤣🤣 kama Humeid ni mwanaume kweli amtoe. Muhammad mafuta ya taa mwanachama wa ccm 😅😅 laminitis kama hamuogopi. Mafuta ya taa mkubwa 😅😅
Daktoor ananukulu maneno ya ibn Rajab al hambali
Mbona hamumkashif ibn Rajab hapa
Ndio maana Bakr abuu Zaid akawaita majadida
Na mkosoaji pia ananukuu maneno ya in Rajab vile vile mbona hamjamwita jadida ndio maana mnaitwa mahizb kwa kujitowa faham na ujinga
Majadida mfumo wao ni mpya salafi Amrika
@@abdufatahhussein7706 mfano WA huo mfumo mpya ulokuwa nao
Kuna kunukuu maneno ya Ibn Rajab Rahimahullah kisawasawa na kimakosa,Jua hizo tofauti mbili
@@abdulbasithamid2370 basi towa makosa ya apo paliponukuliwa vibaya "ubainifu kwa mwenye kudai" usilalame Tu
Masafi wendawazim ndo hawa hamielewi ibara za wanavyuon kaz kuruka ruka tu
Bachu amekujaza uhizbiy hadi umekuwa mjinga ,,
Bachu amekujaza uhizbiy hadi umekuwa mjinga ,,
@@ABUUJAAFAR92 wamekuwa wehu kabsa yani: hadi mmoja kasema kuwa ANABURUDIKA NA HIZI RUDUUD.... Now mahizbi wameifanya dini kuwa team ya mpira kocha wao akiwa Bachu!
@@ABUUJAAFAR92nyinyi ni Majuhali katika kuzilewa ibara za Wanazuoni ,
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xkumbe ukiwa hizbu Saalaf yafaa kuwa na kadi ya ssmu ,Yan huku Niwe hizbu Salaf halaf halaf huku katibu mwenezi Muhammad mafuta bana ,anavituko kweli hizbu Salaf yule