RADDI KWA ABU HASHIM NA HASSAN WAZIRI KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA || Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 217

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Месяц назад +6

    Watake wasitake ndugu zetu masalafy Shekh Muhammad Bachu kielimu na ufahamu sahihi na upekuzi na utafiti wa kihoja isimame mahali gani, Shekh Muhammad Bachu yuko juu sana Maashaa Allaah, na munayo yafanya ndugu zetu ni aibu kwenu na kwa walimu wenu, bali mi nawaambia Shekh Muhammad Bachu Allaah amhifadhi na amzidishie upana wa maarifa ktk Elimu ya Dini yetu Tukufu ya Uislam, na ampambe kwa afya njema, na kwa juhudi zenye matunda kwa wana Sunnah nimdogo tu wa umri lkn kielimu yuko juu sana Maashaa Allaah.
    Kwaio acheni ubishi mutavuka nguo nyote mchana kweupe.
    Wambieni walimu wenu wawafundishe namna ya kumjibu Shekh Muhammad Bachu.
    Na mi nashangaa mbona hoja zenu zina pinduliwa kama kipande cha karatasi tu, lkn hoja zake kwenu zimekua ni tatizo kubwa na aibu kubwa kwenu maana mumeshindwa kujibu hija yeyote na majibu yakawa yameenda shule.

  • @akidakitete7056
    @akidakitete7056 Месяц назад +10

    Shekh unahoja madhubuti sana juu ya jambo hili usalafi na usalafi feki kihakika imekua sunna imeteteleka sana kwa hoja zisizo na mashiko za hawa majadida.Allah akuhifadhi sana shekh wetu....... Allahumma amiyn

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Месяц назад +2

      Masha'Allah !!!...umebarikiwa kujenga na luvunja hoja kivitabu,M'mungu ampe zaid elimu na mwisho mwema

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa Месяц назад

      Allahuma Aamiyn

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa Месяц назад

      😂😂,Abuu Hashim yaonekana anavuta bangi ALLAh mtukufu amuongoz. Mpotevu Abuu Hashim. Na. Genge lake loote 17:26

    • @YusuphSadiki
      @YusuphSadiki Месяц назад +1

      Kwamaneno yako hayo utakwenda kuulizwa na Allah kwakumzulia abuu Hashim kuwa avuta bangi umefanya dhulma tarajuu @NuryaMusa

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa Месяц назад

      @@YusuphSadiki ww ni mpumbavu kma Abuu Hashim yaonekana naww ni mvutaji bangi Kama yy nikuulize Kama. Akili zako ni nzima. Hivi unaamini Muhammad Al imam ni Shia kama slivyoongea huyu Abuu Hashim mjinga . Ebu nijibu. Kwanza ndiyo ungalie nyie ndiyo hamtaulizwa kwa maneno yenu ykijinga Kama hayo ya Abuu Hashim hadady swaafikah

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Месяц назад +8

    Tunajivunia kua namtukama Muhammad nasoro bachu Allah akupe umrimurefu upate kuupanguvu uislam na wanaozofisha uislam iwekwenye kutumiamajini au kutumia uganga au pete allah azidi kuwazofisha umoja bada yamwengin

    • @hassanisihaka910
      @hassanisihaka910 Месяц назад

      Huyu sio sheikh bwanaa
      Hakuna Salafina Swaleh walofanya haya
      Kama yupo tuleteeni Adillah

    • @YusuphSadiki
      @YusuphSadiki 29 дней назад

      @@user-xb6tr5vq4b fuata hawaa za nafsi uone unajivunia ujinga nauhizbi mche Allah

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 Месяц назад +6

    Hakika hiki unachokisema waislamu watakielewa tu, Alhamdulillah

  • @ismailmakame7183
    @ismailmakame7183 Месяц назад +5

    Allah akuhifadhi akufiashe ktk uislamu nasunnah amin

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3db Месяц назад +7

    Ust Muhammad Bachu حفظه الله niko swali.
    Abuu Mu'awiya Hassan Awaadh رحمه الله unapomlinganisha na wanazuoni waliompa udhuru Muhammad Imaam je yeye (Abuu Mu'awiya) ni katika wale الراسخون في العلم
    Nimeuliza hivo kwasababu ndugu yetu Abul Abbas hassan waziri حفظه الله asema kwamba wale wanazuoni waliompa udhuru Muhammad Imaam hawawezi kubidiishwa kwasababu wao ni ahlul ilmi wamebobea kielimu. Kisha akasema kwamba katika elimu ya jarh na ta'adil wanazuoni wasema kwamba inayotangulizwa ni jarh kwasababu waliomjeruhi wametumia hoja za kielimu katika kumbidiisha kuliko wale waliompa udhuru Muhammad Imaam.
    Kisha akasema kwamba yule ambaye si katika wanazuoni akimfuata huyo aliyejeruhiwa atakuwa miongoni mwake
    Sasa naomba utuwekee wazi jambo hili

    • @musarashid-xw1qm
      @musarashid-xw1qm Месяц назад

      Abuu muawiya halaumiwi kuchangua upande baina ya pande 2 kote kunamaulamaa yeye abuu muawia ni bulabu elim

    • @ELIMUyenyeMANUFAA
      @ELIMUyenyeMANUFAA Месяц назад +1

      Kwani Abu muawiyyah (Allah amrehemu hawezi kufanya hivo kwa kuwaigiya hao wanazuoni ??!!!)
      TAFAKARI,kumbuka walimu zako ni binadam wanaweza kukosea makosa makubwa na miongoni mwa makosa ni nilo la kumbidiisha Abu Muawiyya.
      Wajirejee.

    • @ELIMUyenyeMANUFAA
      @ELIMUyenyeMANUFAA Месяц назад +2

      Kwanini hao ustadhi wanaenda kinyume na Maulaamaa ?kwanini Abu mamuawiyyah asiwafati Maulamaa?
      Na kwanini ma ustadhi hao wambidii she Abu Muawiyya kwa kuwafata alafu wasibiidiishwe Maulamaa waliomtangulia kwa hilo?
      Ni swala la kuwa muadilifu na kutambua kuawa maustadhi hao waliombidiisha Abu Muawiyya wako kwenye Makosa Makubwa Allah awasamee awarejeshe kwenye na sisi pia

    • @hashimukillenja9377
      @hashimukillenja9377 Месяц назад

      Kwanini mlazimishe watu wafuate rai yenu? Sisi tunawafuata wanachuoni waliompa udhuru na ndio wapo katika haqi.
      و الله أعلم

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      ​@@hashimukillenja9377nakupa mwalim kilennja

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Месяц назад +4

    Baarakanllah fiikum AL Akhy Muhammad bachu

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 Месяц назад +9

    Wallaah mimi na mpenda sanaa sheykh Abul Abbas Hassan waziri … huwa shubha hizi huwa anaziweka wazi vzuri sana kwa mtu anayetaka haqqi

    • @user-kf6po4ux2n
      @user-kf6po4ux2n Месяц назад

      Lkopp
      0 pool pool pool makka dz, 😏❤OK😊😊😊❤😊❤j I f

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np Месяц назад +1

      Hakuna shubha bali nyinyi ni kihoja

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q Месяц назад

      Maskin pole

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад +1

      Unampenda Abul abas nenda kamsikkikize Hummeid anaaanza kuwakataa kidog kidog Humeid Muelewa sana Na Alllah atajalia ataicha hiyo njia yenu mbaya ,Dawa imeanza kumuingia

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q Месяц назад

      Ndugu yetu usifuate kama anavyofuata kipofu

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q Месяц назад +5

    Kwanzaaa mm kiukweli nlikuwa nawapenda sana Hawa majadida lkn Tangu nimeanza kuuona ukweli Hawa jamaa Kila mtu kwao hafai. Halafu Wana mafuta na kiburi wanajiona sanaaaaaa na kuamiliana na watu vizur hawana iyo kitu.. kiufupi siwapendi hasaaa wallah tena... Qauli zao mbaya.. alhamdulillah Muhammad bachu kwa kuwanyoosha Hawa mazayuni..

    • @nassor6333
      @nassor6333 Месяц назад

      Sasa nani kasema anakupenda wewe?

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Месяц назад

      Watu wa sunna wote tunapendana kwa ajili ya Allah sheikh kasoro majadida tu na ww ni ktk wao!

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il Месяц назад

      Umefanya vyema

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Месяц назад +1

      Kweli kaka hata wakiwa jiran zako wan tabia mbayasana majadida na ni vigumu kuishi nao kwa wema bora wakat mwingine hata mabaniyan wana tabia nzuri salamu wanatoa kwa bashasha na ujiran wanazingatia na wanaishi na watu kwa wema na wanasema mazuri kwa watu majadida ni tofaut kila kitu hawana tabia hizo bali mtihan na ndimi zao hatar

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Wee ni Msufi Japo kuwa tuna Mizozo na hawa majadida lkn Hatusubutu Kwaita hawa Kuwa Wazayuni

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Месяц назад +3

    Allah akupe nguvu na akuongoze al akhy Bachu!

  • @NasryMwanguku
    @NasryMwanguku Месяц назад +4

    Shekh me nibado 2 mwanafunzi nataman Allah anifanye katija moyo wangu uwe kama wako nakupenda sana mm أسد الله Allah akuhifadhi hutukan watu ndo kilicho fanya nkupende usiogope ostadhi sema wajifunze kupitia ww

  • @Idri683
    @Idri683 Месяц назад +1

    Jazakallah kheiry Ustaadh Mohamed Bachu .

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu Месяц назад +2

    Akhi nakupenda saana kwaajil ya Allah akupe mwanga Zaid kwenye daawa yako

  • @user-xe1nc5kq6j
    @user-xe1nc5kq6j Месяц назад +3

    Mashallah tunafaidika sheikh.usiache kutubainishia

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 Месяц назад +1

    MAASHAA ALLAH jazakallakheir sheikh kwakutupa elm

  • @IsmailMuhammad-y1i
    @IsmailMuhammad-y1i Месяц назад +4

    Napenda radi zako waelaikum salam napenda radi zako

  • @AhmedSalim-g7s
    @AhmedSalim-g7s Месяц назад +2

    Kwa kweli sheikh Muhammad unatema Madini

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Месяц назад +3

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @abdiosman6031
    @abdiosman6031 Месяц назад +5

    Mwamba huyu ni kiboko ya majadida

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 Месяц назад +3

    Hawa wana ichukia salafiyyah kwasababu wanataka waachwe waendelee na ule ukhawaajir wao… hawa ansaar sunnah…kila mwenye umri kidogo katika kufatilia mas’ala ya dini anaweza akalijua hlo

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Humeid sheikh wako ,Ananza kuwakataza nyinyi mjadida Allah awape nusra ,Allah atamjalia ataoyona haki kisawa sawa

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Niyiny ni wajinga wa kuzielew ibara za Wanazuoni ,

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q Месяц назад +5

    Visalafi wamepata kidume Chao Wana udhi kweli kweli Hawa jamaa

  • @hashimukillenja9377
    @hashimukillenja9377 Месяц назад

    ALLAH AKUHIFADHI,AKUPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA.
    JAPO HATUKUBALIANI KATIKA MAMBO YOTE LAKINI KATIKA HILI TUNAUNGANA NA WEWE.HATUUNGI MKONO KUWALAZIMISHA WATU WAWAFUATE WATU FULANI KATIKA MAMBO YA IJITIHAAD NA KULETA MTAFARUKU BAINA YA WAISLAMU KIUJUMLA NA WANA SUNNA KHASWA.

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Месяц назад +3

    MASOMO haya ni ya kielimu hakika watu wana elimika vyema.

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji Месяц назад +2

    Sheikh bachu ule ukhawariji wakuwatuc VIONGOZI Usha acha naona hatuja sikia tarajui yko

    • @husseinally3350
      @husseinally3350 Месяц назад

      Yani nduguyangu kweli hilopia unalileta hapo

    • @MohdAliHaji
      @MohdAliHaji Месяц назад

      @@husseinally3350 ndio mada yake ukiiyangalia kiujumla inahusu uhizbia lazima akumbushwe juu ya hiloo asijisahaulishe ili tupate tarajui yake au aseme yeye ni salafy kwa kauli ni khawariji kwa vitendo

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Месяц назад +2

    Sura yako imejaa nuru na dalili ya imani na khouf ya Allah

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s Месяц назад +1

    Hao jamaa ni riihun mumtinah, Mtume pia kafanya mikataba ya Amani na makureishi, na anamuambia swahaba Aly Andika Bismillaahi, makurayshi wanasema hatumtambui Allaaha, hawa ni harufu mbaya

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu4991 Месяц назад +1

    سبحان الله العظيم

  • @YusuphSadiki
    @YusuphSadiki Месяц назад +1

    Nyinyi mahizbi mtakwenda kuulizwa nashekh wenu huyo kigogo cha hizbiyyun mmuogopeni Allah namnamatusi mahizibi nashekh wenu bachu duh mtakua na mazito siku ya kiyama

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад +3

    MULABISS MULABISS MULABISS MULABISS MULABISS

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Месяц назад

      Ww ni jadida mjinga sheikh na hapa huna hoja yyte ni taasub na hasad tu!

    • @babatchi9169
      @babatchi9169 Месяц назад

      @@mbjunior166 na kama week ni msomi basi basi MAULAMÃ wameku7a wo7e,uhizbi unakusumbua neda uka7ie mbali HIZB NKUBWA W3W3

    • @babatchi9169
      @babatchi9169 Месяц назад

      @@mbjunior166 kuna HIZB msomi ona Ilo unalo lii7a aheik jinsi linababaika na ku7apa7apa e7i ho Nam7aka qassim 😂 ikawa MASU7I wamelikojoza na bidã zao i7akuaje kwa sheikh qassim? Ila sheikh anadili na mwen73 MBUA

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад

      Hizbu salaf Katika ubora wako

    • @saidsalim2561
      @saidsalim2561 Месяц назад

      Upo sahih ​@@mbjunior166

  • @IsmailMuhammad-y1i
    @IsmailMuhammad-y1i Месяц назад +1

    Napenda

  • @abusihaa6396
    @abusihaa6396 Месяц назад +1

    Hao unaowaita MAJADIDA ndio walio mletea Sheikh Nassor Bachu Allah amrehemu DAAWA SALAFIA na akaikubali na wewe Allah akuongoze jishughulishe na kutafuta elm na kakako mdogo.

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Mbna jambo hilo lishapongwa zamani au hujui

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Месяц назад +2

    Jamaaaa wana chuki wao kwa wao
    Majadida

  • @user-zj6uz6dt9j
    @user-zj6uz6dt9j Месяц назад

    ❤❤❤ mashaallah

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Месяц назад +7

    Usulubu anaoutumia bachu sio wa kiilmu bali ni wakihamasa ,,,sasa maneno kama "mwambieni qasim mafuta alete kibaraka mwingine "
    Ni dalili tosha si mtu anayejitegemea kiilmu bali anataka kuleta hamasa kwa maneno kama ya mashabiki wa mpira ,na wanaomsifu bachu ni watu ambao fahamu zao ni ndogo maskini na wanaghurika kirahisi na porojo zake ,,,

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад

      Mwamba, kama unaona hayo maneno hayapo sawa hio ni wewe tu, sisi tunaona ni sawa kabisa, mana hao wapuuzi wenzio wanasema machafu kuliko hayo, AU HUKUMBUKI WALIVOMUITA MUHAMMAD BACHU KASUKU WA ZANZIBAR, NA WENGINE WAKAMWITA MUHAMMAD BICHWA?
      Kama ni muadilifu nenda kawaambia MAJADIDA wenzio kwanza kisha ndo uje hapa... JADIDA MMOJA WE😂

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад

      Tuliaa nyinnyi mahizbu salaf huyo muhamed mafuta Ana maneno machafuu Sana kawatukana baadh ya mashekh

    • @abuumansour8479
      @abuumansour8479 Месяц назад

      @@HassanHamad-rf9tq hhhhhhhhh

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад

      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x kama mimi sio mtu wa dini jaribu kuvuruga jambo katika dini uone nitakavokuraruwa, mumezowea kuwaonea wasioweza kujibizana kina Dk Islam ndio maana mulijiona wasomi , sasa mumepata mtu uwanjani munatafuta huruma, mutakoma, na kama wewe unajona msomi sana basi usinijibu kwa kiswahili kuanzia sasa, nijibu kwa kiarabu ndio lugha ya kisomi, ntakujua kama ni salafi kweli au unafuata mkumbo tu

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      ​@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xwee Akhy ushamsikia Humeid tafuta umsikie anavyo sema radi zenu hazna uwdilifu ,Nying ni chaki

  • @hassanhamid4359
    @hassanhamid4359 Месяц назад

    Eka muhadhar wa muhammad al imamu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Месяц назад +2

    Huyu jamaaa anatoa elimu tupu

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Месяц назад

    Kuna kauli za jamhuuri hua munaziacha na kuichukua kauli ya mtu mmoja tu Albaani au sio nyinyi

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад +2

    KASOME KASOM3 KASOME KASOME KASOME U7APO7EA KINANA

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il Месяц назад

      @@babatchi9169 ww ulosoma somewhat na wengine bas

    • @ELIMUyenyeMANUFAA
      @ELIMUyenyeMANUFAA Месяц назад

      Kasome:sio hojja
      Ni katika Qauli za kukimbia

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Vp msumari umeingia sio naona unapiga kelele

    • @babatchi9169
      @babatchi9169 Месяц назад

      @@ELIMUyenyeMANUFAA unajuaje oja naw3 ujasoma?

    • @babatchi9169
      @babatchi9169 Месяц назад

      @@AbAlhuraas msuma ni qassim sio Hizb BA

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Месяц назад +2

    Kiukweli asietoshakwahaa hatotosheka hadikufa

    • @iddijuma6152
      @iddijuma6152 Месяц назад

      unatosheka kwa lipi upumbavu tu na ujinga ulio mjaa huuhizbo mubtadii

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад +1

    KUNA WA7U WANA U7O7O SANA KA7IKA DINI?

  • @KhamisHabib
    @KhamisHabib Месяц назад +1

    Mm hapo ndio nakuona ww unamitihani

  • @user-qo3ei9tp7t
    @user-qo3ei9tp7t Месяц назад

    Waelimishe salafia jadidah waraa alyahud

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w 10 дней назад

    Wewe hata maana ya Jumhur huelewi kama usivyoelewa hadithi ya ghariyb. Eti Jumhuri ulamaa wamempa udhru Muhammad Imam😂😂😂. Kweli kujisomea bila shekh nako ni matatizo

  • @Cherehanitanzania
    @Cherehanitanzania Месяц назад +1

    𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗔𝘁𝘂𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗲 𝗞𝘁𝗸 𝗛𝗮𝗸𝗶

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w 10 дней назад

    Bachu! Bachu! Bachu! Hiyo manhaji yako ya jalalani wapelekee maveve wenzako. Usituletee habari za udhru kwa muhammad imam hali kushasimama hoja za kitabu na sunnah dhidi yake. Kwanza wewe soma kwanza ili uache kuokota mizoga kila mahali.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 24 дня назад

    Mtoto wa simba nae simba, wallahy shekh wetu al maruhum nasoro bachu, Allah ampe mwanga katika kaburi yake wallahy mi napenda kumwita simba wa minbar na khurafi , Ameondoka simba ametuachia simba bado ananguruma kwa nyika za ahl batwil na kulaluwa batil zao. Awakupati kabisa nilichokigundua kwa hawa majadida ni kuna mashekh walowaegemeza wao kwa matamanio hawo wakisema kitu hawapingi, Laiti angetamka maneno hayo shekh rabiy ule udhuru alopewa shekh muhammad imamu hilo lingepita na kwakuwa wametamka waso wataka wao ndo hawakubali udhuru huo mfano kina shekh fawzan, abu muhusini abadi, na Hawa ni mashekh wa kisalafi lakini kwakuwa wanawakubali kiunafiki tuuh ndomana hawataki, na hawa wote ni mashekh wa kisalafi. Lakini kwakuwa ni kikundi cha wajinga waso elewa maana ya usalafi walojikusanya wakawaweka na mashekh wanao wataka wao wakisema hawapingwi. Mtu kama shekh fawzan ni salafi sasa uki muhizibisha Abuu muhawiya kwa kuwa kafata kauli ya shekh fawzan na muhusini Abadi wana manisha kuwa Hawa nao ni mahizbi saasa kwa mtazamo wao finyu wa Hawa salafi uchwara japo hawatamki lakini kumtukana mbeba sheria ni sawa na kumtukana aloidhinisha sheriah😂😂😂😂daaah ummah umebainikiwa na hili pote bovu Allah akulinde shk wasomeshe wanafunzi wako warithi hiyo ilmu itasaidia watu unafaida kubwa sana shekh bachu duniani na kwa Alllah.

  • @nassor6333
    @nassor6333 Месяц назад +1

    Yaani wewe na shekhe qassim Mafuta (Allah amuifadh) ni mbingu na ardh, sasa upo hapo kujikuza tu maana hata unaemtetea mlikua mnafanana?

    • @ELIMUyenyeMANUFAA
      @ELIMUyenyeMANUFAA Месяц назад

      Hueleweki:akikosea ustadhi kassim Mafuta ni jambo la kawaida ni yy kutubia

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад +1

    SHEKH LA 7ALBISS SIKU U7APO7EA NA 7ALBISS ZAKO

    • @user-md5tr1kg5s
      @user-md5tr1kg5s Месяц назад

      Mh haya twambie ww kafanya talbis wapi?!....😅😅 iyoo aibuu

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s Месяц назад

    Hao wanakwenda kichwa mchunga, watu wamebebwa katika kapu la upofu

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Месяц назад

    MAWAHABI MNAHANGAIKA HIZO SIFA ZOTE NI ZA KWENU MAJADIDE NA MAHIZBI NYOTE MUKO SAWA

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 Месяц назад +1

    Ninyooshee watu simba hadi wanyooke

  • @Shabalala99275
    @Shabalala99275 Месяц назад

    😂😂vita ya ndugu.......... 😂😂

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Месяц назад

    Naona mnaigana nyinyi kwa nyinyi

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Месяц назад

    Shida ya ndgu zetu Hawa wanaojiita kuw wao t ndo masalaf au mpk ujiunge nao wanashida tu ya kuelew ;Sasa huyu hasani waziri waliye mtuma mbon hakidhi vigezo vya kupambana na mhammad bachu

  • @saidabdallah5448
    @saidabdallah5448 Месяц назад +1

    Alaykum msalam alhamdulillah
    Abdallah humed yuko wapi?
    Nimwepesi sana kuwajibu masufi kwanini hafungui mdomo kwa mohamed bachu?

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 Месяц назад

      Pengine hapo amekosa jawabu ndio maana akawa kimya!

    • @NaduuAbdilah-uj5vj
      @NaduuAbdilah-uj5vj Месяц назад +1

      Achana na abdala humeid hata shekh qasimu mafuta ni mwepesii ila hawajibu wana jua wame kosea

    • @salumtakao9828
      @salumtakao9828 Месяц назад

      Abdallah humid haachi hakiba ya maneno akiongea ndo maan kaubana kimnya atanyooshwa vibaya na bachu yule jamaa.

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад

      Hawezi kujitokeza hata siku moja...😂 yaani kama namuona vile atakavokoseshwa usingizi na Bachu😂😂

    • @abuumansour8479
      @abuumansour8479 Месяц назад

      ​@@Najma_Mbarukwe ukht ushaolew kama bdo nije naona wanifaa

  • @abulqassimashirazy-mv8ee
    @abulqassimashirazy-mv8ee Месяц назад +3

    Wewe bachu unamfananiza abuu muawiyaa na fauzani ,huoni kua maulamaa Wana mlango mwengine na awamu wanamlango mwengine

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Месяц назад

      Unajichanganya

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад +1

      Wewe una wazimu?
      Uliambia Abu muawia ni katika Awamu?
      Kama huskilizi hizi video usiweke comments zako mbovu hapa

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад +1

      Kamfananisha wapi kijana acheni taasub zenuu nyinnyi mahizbu salaf

    • @abuumansour8479
      @abuumansour8479 Месяц назад +1

      @@abulqassimashirazy-mv8ee Mm nawaambia Abuu MUAWIYAH رحمه الله alikua akisema yeye hamtetei Muhammad Al Imam lakin ananukuu Maullamaa waliompa udhur Muhammad Al Imam kwaio mkitaka kumwita ni hizby bas anzen na shekh Swaleh Fawzan
      Acha Talbis na uwongo izo ni alama za Uhizbiyya Majadida mna tab

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Месяц назад

      Hawa watu ni mtihani sana kaka. Allah atuongoze sisi na wao!

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Месяц назад

    Simba ungurumaa
    Sisi TU kinajifunza mengi kwako
    Kuna vitu vingi una vichambua Kwa vitabu sio kama hao waongo anakaa na vitabu alafu havitumii anatoa maneno ya mdomoni kwake na Wala sio vitabu .
    Sheikh wangu wewe chapa TU usichoke huo ni ubao

  • @ibrahimsaid5538
    @ibrahimsaid5538 Месяц назад +1

    Hakuna atakae kuunga mkono kwa huo upuuz unao zungmza ispokua mpuuzi mithli yako kaa usome acha ghurur ya nafs ww ni jahil huna mstawa wowote wakielm

    • @KhalfanSaleh-e7l
      @KhalfanSaleh-e7l 19 часов назад

      Muogope Allah usiwaite watu wapuuzi

    • @ibrahimsaid5538
      @ibrahimsaid5538 19 часов назад

      Upuuz ni sfa ya vitendo vya mt ambapo mtendaji huitwa mpuuzi soma juzuu ya 2 ayah ya 1 imeanza hv ( wata sema wapumbavu سيقول السفهاء من الناس ) hvo ndug yang mt anapo fanya vitendo hivo si matus kumnasibsha na vitendo vyake hassa akiwa ana kanywa

  • @directorkr7302
    @directorkr7302 Месяц назад

    We dgo bachu huna adabu kbsa,hyo Abuu hashimu ni baba ako kbsa

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Nenda kwambie Mafuta ,kuwa wengi amewavunjia heshima kuna Wengine Wanaweza kumzaa na na wengi wamemzidi kiumri ,lkn kawatusi sana

  • @iddijuma6152
    @iddijuma6152 Месяц назад

    nanyinyi mnao msifia huyu bwana hebu msikilizeni na abul hasani waziri

  • @ibrahimsaid5538
    @ibrahimsaid5538 Месяц назад +1

    حب الظهور يقسم الظهر achana na kutafta umaru kuptia kudhehrisha ujinga

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад

      Mahizbu salaf hamna hoja Zaid ya taasub na hasad tuu

    • @ibrahimsaid5538
      @ibrahimsaid5538 Месяц назад

      @@HassanHamad-rf9tq alhamndllah hayo yote hatuna ndomaan huna uthbtisho

    • @saidsalim2561
      @saidsalim2561 Месяц назад

      Acha hasadi

    • @ibrahimsaid5538
      @ibrahimsaid5538 18 дней назад

      Uthbtisho gan wataka zaidi hayo anayo fanya

    • @ibrahimsaid5538
      @ibrahimsaid5538 18 дней назад

      @@saidsalim2561 hiyo so hasad ni maeneno ya wana wachuon kwa weny kupend umaarufu

  • @masoudmohammed4258
    @masoudmohammed4258 Месяц назад +3

    Huyu haijui manhaj salafi ni mjinga katika manhaj.

    • @abuumansour8479
      @abuumansour8479 Месяц назад +1

      Ww unaejua manhaj pangua hojja acha chukii na hassad

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад +2

      Hajui manhaj ya salafi😂😂😂 mbona mashekh zenu wanaojua wamekimbia😂😂

    • @abuumansour8479
      @abuumansour8479 Месяц назад

      @@Najma_Mbaruk awoo wajing thannna

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад

      Kijana acha mipasho na talbiss lete hoja zenye mashiko

    • @Modyb
      @Modyb Месяц назад +1

      Maskini kichwa kigumu yuaenda tu. Allah amuongoze huyu?

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Месяц назад

    MAWAHABI MNAITANA MAKHAWAARIJ NA KUKUFURISHANA WENYEWE KWA WENYEWE MNAOJINASIBISHA NA USALAFI

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Месяц назад

    Shekh mpka watanyooka
    nahic wanajilaumu sana walipokutaka kuwa salafi jadiida ukawakatalia!!!
    Sasa wanakuelewa ww cio mtu wa kumchezea !
    Haya jadiida fauzaan n Hizbiyi???
    Mjibu sasa nykta kwa nukta!

  • @JumaMweluwe
    @JumaMweluwe Месяц назад +1

    Shekh me nakupend lakn mbon kil sik rad tu tubadilishie radha

    • @salimkhamis3638
      @salimkhamis3638 Месяц назад

      Ni ladha sio radha

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад

      Raddi ina kipindi chake maalumu.
      Tutulie kwanza wanyooshwe hawa MAJADIDA mpaka wakimbie😂

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад +1

      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Hata ukiona nipo hapa ujue mume keshatimiziwa kila kitu, Sasa tunaburudika na Ruduud ziloenda shule, poleni MAJADIDA, mara hii mumepata kiboko yenu

    • @ELIMUyenyeMANUFAA
      @ELIMUyenyeMANUFAA Месяц назад

      @@ABUUBAAZNYUNGU-j4xmume wake kaingia aje hapa?
      Ya subhana allah

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu Месяц назад

    Achen ushabik wa mashekhe wenu nyie majadida wa mafuta musifute kauli za mashekhe wenu fuata haki

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 Месяц назад

    Hawa masalafy sijui kama wanasoma au ni ujinga?walahi mtihani

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu Месяц назад

    Mafuta kaleta vurugu kwenye sunna Hana abuu muawia Allah amrehem kashajua ni mtu wawapi nyie mnajiona sahihi saana sio uislamu huo

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 Месяц назад

    Unajua huyu watu wanapata naye shida ya bure …mustwalahul hadithi kule mombasa ilimtoa kamasi …sasa hapa ukimuambia jerhu mufassar muqqddamu aala taadiili ataelewa kitu kweli?

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Месяц назад

    Mna vituko vya karne mashekhele nyie

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Месяц назад

    Wallah hizi ibarra iliuzifaham lipo sharti

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 Месяц назад

    WEWE SHIDA YAKO MPAKA UMTAJE QASIMU MAFUTA,UNAMTAJA KULIKO UNAVYOMTAJA BABA YAKO MZAZI,HIYO NI DALI YA CHUKI,HUSDA NA KUHARIBIKIWA KIMANHAJI.

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      Kwa iyo ukimpinga mafuta ni dalili ya kuharibukiwa kimanhaki ?
      Ama kwli nyiny ni Wajinga katika kuzielewa ibara za wanazuoni

    • @seniornyungu9718
      @seniornyungu9718 Месяц назад

      @AbAlhuraas kumpinga bila hoja ni uhizb na kuharibikiwa kimanihaji,halafu anamchokonoa mtu ambae hamjibu,kwanini amtaje kila siku asipambane na hao wanaojibizana nao?

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      @@seniornyungu9718 sas unataka atajwe wee wala huhusiki wakati yeye ndiye mhuska wa kadhia hyo atatajwe yeye ,Mpa atakpo Rudi katika usswa ,au unatka atajwe nani sas

    • @saidsalim2561
      @saidsalim2561 Месяц назад

      Huna hoja acha taasubb

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Месяц назад

      @@saidsalim2561 kwan kuna sehem nimetoa hoja apo ,mbna Mahizb Asalaf mushagonjwa ,

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Месяц назад

    Sikusifu ila hata waungane wote hawakuwezi kwa Uwezo wa Allah Elimu uliyokuwa nayo ni urithi wa Sheikh bachu baba yako Allah Amrehemu komaa na kheir usikate tamaa tuko nyuma yako sheikh letu Allah Akuhifadhi...

  • @Athmandeo-kn7ri
    @Athmandeo-kn7ri Месяц назад

    Mbona wewe pia usitulie uwache fitna wepia huna kheri waongeza mwoto kwa fitna

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Месяц назад +1

    Saiv majadida wanakulana wao kwa wao
    Miskiti yao kwa wao wanafungiana
    Mashuhuli daawa tabligh

  • @iddijuma6152
    @iddijuma6152 Месяц назад +1

    huyu bacho ni mtu wa fitna sana, lengo lake si dini

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад +1

    bachu dawaat ssalaf huiwezi,maana ni DA'AWA inayofungamana na elim na sisla ya elimu hiyo,hao washirika wako ni MAHZIB bila ya shaka,!
    Unawatetea kina MOHAMED IMAAMU watu wa shari ktk dawaat ssalaf?

    • @dawud6065
      @dawud6065 Месяц назад +1

      Akhy umepoteza dira?
      Hivi wewe si ni katika wafuasi wa Shaykh Yayha hajury ?
      Kwa nini kutuhumu watu uhizby na hawa unaowashabikia tayari washa wahizbisha ama ni kujitoa fahamu?

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q Месяц назад

      Shirki ipi

  • @abulqassimashirazy-mv8ee
    @abulqassimashirazy-mv8ee Месяц назад +2

    Kua na adabu na abul fadhli .wala humor abul fadhl Hana habar na wewe

    • @user-ti6tn7bs9q
      @user-ti6tn7bs9q Месяц назад

      Hana habari au hajui kujibu SI useme tu ukweli

    • @Najma_Mbaruk
      @Najma_Mbaruk Месяц назад +1

      Hana KHABARI au anaogopa kuabika?
      Unafanya mchezo na huyu jamaa anavofungua vitabu!!! Lazima ajiulize mara 10 kabla hajitokeza😂😂😂

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Месяц назад +1

      Tuliaa wewee dawa iwaingie wewe na shekh wako

    • @masoudabdallah9878
      @masoudabdallah9878 Месяц назад

      uyo mafuta ndo mufti wenu pongwe ila kwa wengine ni wakawaida si mtume wala sio swahab😊

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np Месяц назад

      Yani mafuta mnamtukuza sana . Hahahaha nyinyi watu wa hovyo sana

  • @Cherehanitanzania
    @Cherehanitanzania Месяц назад +2

    𝗠𝗮𝗮𝘀𝗵𝗮𝗮𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗛𝗶𝗶 𝗘𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗔𝗻𝗮𝘆𝗼𝗶𝘁𝗼𝗮 𝗦𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗡𝗶𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗠𝗻𝗼 𝗡𝗮 𝗜𝗺𝗲𝗻𝘆𝗼𝗼𝗸𝗮 𝗛𝗮𝘀𝘄𝗮 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯 𝗔𝗻𝗮𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗞𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗛𝗮𝗼𝗻𝗴𝗲𝗶 𝗧𝘂 𝗞𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗔𝗸𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗡𝗶𝗺𝗲𝗼𝗻𝗴𝗲𝗮 𝗡𝗼, 𝗔𝗻𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗧𝗲𝗻𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗔𝗺𝗯𝗮𝘃𝘆𝗼 𝗠𝗮𝗷𝗮𝗱𝗶𝗱𝗮𝗵 𝗣𝗶𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝗶𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗔𝗷𝗮𝗯𝘂 𝗡𝗶𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗡𝗮 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼 𝗪𝗮𝗼 𝗛𝗮𝗹𝗶 𝗬𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗔𝗻𝗮𝗻𝘆𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗦𝗵𝗲𝗮𝗶𝗸𝗵 𝗞𝘂𝘄𝗮𝗷𝗶𝗯 𝗪𝗮𝗼 𝗣𝗶𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼 𝗻𝗮𝗻𝗱𝗼 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝗶𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗦𝗼 𝗡𝗶𝗮𝗷𝗮𝗯𝘂 𝗦𝗮𝗻𝗮😢