Umati wa MWAMPOSA wamshangaza RC CHALAMILA,afunguka MAZITO ''kama ni UCHAWI ata mimi usingenifikia''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 417

  • @aghamedia
    @aghamedia 8 дней назад +19

    Speech Yako mkuu ni nzr sana umenena vyema

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 8 дней назад +8

    Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu

  • @terezadotto5458
    @terezadotto5458 6 дней назад +3

    Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana

  • @hboywasasa
    @hboywasasa 8 дней назад +11

    Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 8 дней назад +15

    AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 7 дней назад

      @@saxannjo6173 yes 👍🏽

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 5 дней назад +6

    Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 5 дней назад +2

    Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 4 дня назад

      Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 6 дней назад +5

    Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 8 дней назад +15

    Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 8 дней назад +2

      @@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 8 дней назад +2

      @@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 7 дней назад +2

      ​@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 7 дней назад

      ​@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 6 дней назад

      kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 8 дней назад +7

    Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 7 дней назад +6

    Huyu jamaa anakubalika sana not a joke

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 7 дней назад +6

    Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.

    • @VitusMagobe
      @VitusMagobe 3 дня назад

      Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo 7 дней назад +4

    Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      kweli ili waendelee kuturoga

  • @victorwilliam9987
    @victorwilliam9987 7 дней назад +7

    ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 5 дней назад

      Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 8 дней назад +7

    Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 7 дней назад +7

    Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 5 дней назад +1

      😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu

    • @Bilioneabichwa331
      @Bilioneabichwa331 5 дней назад

      Pumbav, yaani akuinue mwamposa?

    • @othmanmaulid4867
      @othmanmaulid4867 4 дня назад

      Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga

    • @victorvenantkaigarula6255
      @victorvenantkaigarula6255 День назад

      😂😂😂😂 nimecheka sana, mwamposa akuinue

  • @benmbwele
    @benmbwele 7 дней назад +4

    Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui.
    Chalamila ni mmojawapo.
    Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 8 дней назад +10

    mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 8 дней назад +6

    Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 2 дня назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu🙏🏾👏

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 8 дней назад +11

    Watu wana shida mzeee wangu.

  • @TumsifuErick
    @TumsifuErick 4 дня назад +1

    Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 8 дней назад +11

    Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya

  • @ruahahilltoplodge
    @ruahahilltoplodge 6 дней назад +3

    Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 4 дня назад +1

    Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 6 дней назад +3

    Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 4 дня назад +2

    😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen

  • @salummahanzar6714
    @salummahanzar6714 5 дней назад +2

    RC chalamila nakukubali Sana kaka

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 8 дней назад +14

    Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu

    • @user-ez1ky4ls7c
      @user-ez1ky4ls7c 8 дней назад +2

      😂😂😂😂😂😂kabisa

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 8 дней назад

      @@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 7 дней назад +1

      Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂

    • @Kelvinjoseph-jz7kq
      @Kelvinjoseph-jz7kq 7 дней назад +2

      @@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm

    • @ce-08
      @ce-08 7 дней назад +2

      Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu

  • @VictoriaNgatunga-nm9py
    @VictoriaNgatunga-nm9py 4 дня назад +2

    Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏

  • @BarakaMalande
    @BarakaMalande День назад +1

    Dini ni moja , mungu mmoja na mtume WA mwisho ni mtume Muhammad sallalahu allayhi wasallam, huyu mwamposa mtume na yesu tumitaje?

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 8 дней назад +7

    Chalamila leo umenifuraisha sana

  • @user-st3ws1ns5g
    @user-st3ws1ns5g 3 дня назад +2

    Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 8 дней назад +6

    Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 8 дней назад

      Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle

    • @stanleymissiontv2303
      @stanleymissiontv2303 8 дней назад +1

      Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 7 дней назад

      @@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣

    • @AgnesNjau-iq3gf
      @AgnesNjau-iq3gf 5 дней назад

      Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 8 дней назад +24

    YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

    • @DjMswati
      @DjMswati 8 дней назад +2

      kweli broo

    • @HamduniYasir
      @HamduniYasir 8 дней назад +1

      Hamad Shein 😂😂😂

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 8 дней назад +4

      Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 8 дней назад +1

      ​@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 7 дней назад +4

      Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka

  • @user-us1mh8zw1v
    @user-us1mh8zw1v 7 дней назад +2

    Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 8 дней назад +3

    Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake

    • @eunicejohn5520
      @eunicejohn5520 8 дней назад

      Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 3 дня назад

    Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 7 дней назад +2

    Kazi kazi

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 8 дней назад +3

    Mkuu wa mkoa upo vizuri sana

  • @ShabanMainde
    @ShabanMainde 4 дня назад +2

    Alikusanya dunia sio kijiji😮

  • @kessiahLutungulu-t3s
    @kessiahLutungulu-t3s 3 дня назад

    Baba mungu akupe maisha milioni

  • @HASASON
    @HASASON 8 дней назад +40

    Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini

    • @davidsamson8292
      @davidsamson8292 8 дней назад +3

      Imani yako imekuponya

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 8 дней назад +5

      Machawa wa Mwamposa utawajua tu.

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 8 дней назад +4

      Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 8 дней назад +2

      @@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.

    • @BakariAlly-dm1vf
      @BakariAlly-dm1vf 8 дней назад

      😂😂

  • @Dema_Tours
    @Dema_Tours 6 дней назад +1

    Mtumishi wa Mungu

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 7 дней назад +5

    Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri 8 дней назад

    Salaam Almassih, Yeshua akibar

  • @dismaboytz4849
    @dismaboytz4849 8 дней назад +6

    Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj 8 дней назад

      Ovyooo

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 7 дней назад

      Na ujinga pia unatuponza

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 7 дней назад

      Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.

    • @ashuramuhammed3257
      @ashuramuhammed3257 7 дней назад

      Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6t 6 дней назад +2

    Mtu wa maaana kabisa chalamila

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e 6 дней назад +2

    Namuona magufuli wa badae

  • @MagrethSudy
    @MagrethSudy 3 дня назад

    Pamoja mtumishi

  • @babajay3445
    @babajay3445 7 дней назад +9

    Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe

    • @josephdimosso6380
      @josephdimosso6380 7 дней назад

      Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

    • @josephdimosso6380
      @josephdimosso6380 7 дней назад

      Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

    • @PrudencePaul-mr1ge
      @PrudencePaul-mr1ge 6 дней назад

      Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 5 дней назад

      Kwel kabxaa

    • @AGM19697
      @AGM19697 5 дней назад

      Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani

  • @lusogoalbert138
    @lusogoalbert138 3 дня назад

    DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉

  • @joshuaezekiel8257
    @joshuaezekiel8257 5 дней назад +1

    Ameen kubwa mkuuu wetu

  • @yaluclile566
    @yaluclile566 7 дней назад +1

    Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 8 дней назад +3

    Jina la bwana libarikiwe.

  • @FurahiniMbise-cb6uf
    @FurahiniMbise-cb6uf 6 дней назад +2

    Ameeen and ameen

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f 7 дней назад +2

    Watu wengi kama utitiri

  • @yaluclile566
    @yaluclile566 7 дней назад +2

    Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi

  • @user-yh8ny1nf3f
    @user-yh8ny1nf3f 7 дней назад +2

    Maneno ya upako

  • @upendomwakalibule
    @upendomwakalibule 8 дней назад

    Ameeeeeeen

  • @tseaamaqhamarabura7138
    @tseaamaqhamarabura7138 6 дней назад +1

    Dar imepata RC hakika

  • @gelarisjonathan7081
    @gelarisjonathan7081 8 дней назад +2

    Çhalamira mbona muhubiri mzuri

  • @mrsmussa115
    @mrsmussa115 8 дней назад +20

    ujinga ni mzigo Allah atuongoze

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 8 дней назад +1

      Ameen

    • @tanzanianpatriotic3532
      @tanzanianpatriotic3532 8 дней назад +4

      Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 8 дней назад

      Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 8 дней назад +6

      Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 8 дней назад

      ​@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 7 дней назад +1

    Mwamposa ni asset kwa wanasiasa

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 6 дней назад +2

    Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 4 дня назад

    Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 дней назад +1

    Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 8 дней назад +1

      Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 7 дней назад +1

      ​@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 7 дней назад

      @@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 дней назад

      @@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 6 дней назад

      @@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.

  • @HappinessMsham
    @HappinessMsham 3 дня назад

    ❤❤

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 8 дней назад

    Duh

  • @PrinceCharlz-vv1zs
    @PrinceCharlz-vv1zs 8 дней назад +3

    waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 8 дней назад +1

      Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 8 дней назад

      Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l 8 дней назад

      Mungu wako sisi waislam hatuna mungu

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 8 дней назад

      @@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      @@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 8 дней назад +4

    Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 3 дня назад

    Watu wanapenda miujiza kuliko neno

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 8 дней назад +4

    Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥

    • @Beauthoms
      @Beauthoms 8 дней назад +2

      Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 8 дней назад +1

      We mwenyewe zezeta au hujajiua?

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 8 дней назад +3

    Innarilah wainahilah rajiun

    • @Nick16697
      @Nick16697 8 дней назад

      Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..

    • @SharifTwahirAbdullqadir
      @SharifTwahirAbdullqadir 7 дней назад

      Nailo ndo guza lenyewe​@@Nick16697

    • @AGM19697
      @AGM19697 5 дней назад

      Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu.
      Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana.
      Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 8 дней назад +5

    Hapo ni wanawake ni wengi sn

    • @AGM19697
      @AGM19697 5 дней назад

      Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini

  • @akidahabibu7862
    @akidahabibu7862 2 дня назад

    maokoto kaisha chukua ya mwamposa sema kaongea point ila mwamposa bado kwangu niwa mchongo akili nyingi sana.

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 8 дней назад +2

    Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi

  • @MozaSihha
    @MozaSihha 7 дней назад

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 8 дней назад +1

    Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa

  • @MwalimuJelly
    @MwalimuJelly 7 дней назад

    Amen

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 4 дня назад

    Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf 7 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 4 дня назад

    AMEN🙏🙏

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en 8 дней назад +1

    Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini
    Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo
    Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa
    Sisi ndio wabongo Bana
    Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia
    Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani
    Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 8 дней назад +3

    Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 8 дней назад

      Yani wewe akili yako imeishia hapo

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 8 дней назад

      Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 8 дней назад

      😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 8 дней назад

      Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      ufahamu wako kiwango cha chini kabisa

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 8 дней назад

    Ukovizuri mr copypest.

  • @user-ii1gz2it4c
    @user-ii1gz2it4c 7 дней назад

    🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮

  • @barakalameck7342
    @barakalameck7342 8 дней назад

    Mungu awasaidie watu wake wanaangamia sana kwakuamini manabii hawa..ila mungu hadhihakiwi nawaambia kua mungu atawasambalatisha mmoja baada ya mwingine ole wenu acheni kucheza na mungu.

    • @Nick16697
      @Nick16697 8 дней назад

      Omba Mungu akupe rehema ya kumjua yeye na taratibu zake

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 7 дней назад

      ​@@Nick16697Tunamambo mengi sana yakumwomba mungu, ikiwemo kuombea taifa nasio kuomba kumjua mtu zaidi chakukushauli nikwamba umwombe mungu kumjua yeye zaidi ndo utajua maana yayote hayo unayoyaona duniani unaishi kwaamani sana nakumwamini yeye siyokuamini mitume na manabii??

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      mungu ndie anaehukumu wewe umepata wapi ujasiri wa kutoa hukumu kua makini isije akarudi kwako 😊

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 5 дней назад

      Ujinga unakusumbua msiwe mna musisha Mungu kwenye upumbavu wa akili zenu

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 8 дней назад +3

    Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa

  • @AdamAmos-rr6fg
    @AdamAmos-rr6fg 8 дней назад +6

    Uyu nae chawa kwel uyu

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 8 дней назад +1

    kweli njia ni pana sana

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 8 дней назад +2

    Mliskia wap kumuona mchungaji unatoa hela😂😂

    • @aghamedia
      @aghamedia 8 дней назад

      @@vicentmapunda3146 ya kiboko sasa io

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      mwamposa ni bure kabisa ata sadaka sio lazima umechemka ndugu 😂

    • @AGM19697
      @AGM19697 5 дней назад

      Pale ni mguu wako tu mengine kadiri ulivyojaliwa

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 7 дней назад

    Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 8 дней назад +2

    Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo

  • @consolatamaunde9820
    @consolatamaunde9820 6 дней назад

    Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE

  • @drmdee
    @drmdee 8 дней назад

    Tunakwama sana kwa kupenda shortcut hatutak kufuta vtabu vya mungu

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      mwamposa anatumia kitabu cha kuzimu au 😂😂😂😂

  • @NashonJunior-or5eh
    @NashonJunior-or5eh 6 дней назад +1

    Sijawai ona akihubir watu waache dhambii

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 5 дней назад

      Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 8 дней назад

    Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 8 дней назад +8

    Astaghafirullah

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 8 дней назад

      Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo

    • @Nick16697
      @Nick16697 8 дней назад

      ​@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar

    • @AGM19697
      @AGM19697 5 дней назад

      ​@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?

  • @jaromemwazembe6396
    @jaromemwazembe6396 8 дней назад +2

    Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 7 дней назад +2

      Undisha wewe labda niwitowako achakujitia wewe ndie unamjuamungu saaana fuatayako

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 6 дней назад

      @Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 6 дней назад

      @@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 5 дней назад

      @Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa