Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

TRUMP ajeruhiwa kwa Risasi kwenye Jaribio la Kuuawa wakati wa Mkutano wa kampeni, wawili wauawa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 270

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад +11

    No place to run. Except for God's protection.✌️

    • @dandara008
      @dandara008 29 дней назад +1

      uko wrong my Guy sometimes lazima u Fight, Ngoja AI iwe moto utajua how to save yourself just incase God will not come to intervene .

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Месяц назад +55

    Kisha wanazishtakigi nchi za kiafrika kuwa hazina demokrasia ....

    • @musiccaentertainment100k8
      @musiccaentertainment100k8 Месяц назад +2

      Kwan democrasia ni nini😅😅

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Месяц назад

      ​@@musiccaentertainment100k8democracy ni ushoga

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂😂 ona sasa yan hajui chochote anaropoka Trump kawa targeted kwa sababu nyingi sio inchi ni Sera za chama ,marekani wazungu kibao wanajitambua na wana hofu ya mungu kama wewe, issue ni viongozi wa vyama vya siasa democratic part VS republican mzee kama unafatilia fatilia mpk mwisho usitikise mti maembe hayaja wiva

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад +1

      Sera nyingi za ubaguzi juu ya watu weusi na ndoa za jinsia moja zimeidhinishwa na kuanzishwa pia kutekelezwa na chama cha democratic part ambao ndo walikataa pia kufuta utumwa mpk chama cha republican (abraham lincoln) kupiga vita kufuta biashara hiyo na pia kuwapa watu weusi nafasi ya kufungua biashara na kununua ardhi

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      Na ata ivo marekani ni REPUBLIC OF UNITED STATES kwamba inchi zote ambazo zipo ndani ya bara la American (canada,australia etc)kuungana na kutumia sarafu moja ya kiuchimi na mifumo ya kisiasa na sheria za inchi kwaiyo Sisi wenyew Africa tunatakiwa kujita REPUBLIC OF AFRICA kwa sababu bara la africa ni moja usipagawe na mipaka ya wakoloni
      democracy is like saying socialism

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Месяц назад +49

    Hii sasa ndiyo Marekani tunayoijua

    • @user-sb3vt1yh9s
      @user-sb3vt1yh9s Месяц назад

      Nimecheka kwa sauti imeshanyesha huko

    • @azasam1447
      @azasam1447 Месяц назад +3

      Fbi na cia hamna ulinzi imara kbc bora bongo

    • @user-ql6hg7fy9p
      @user-ql6hg7fy9p Месяц назад

      @@azasam1447 Sasa hili tukio la mauwaji lingetokea Urusi, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha. Hawa ni matapeli wakubwa wao wenyewe ndio wahuska haya mengine ni mbwembwe tu na propaganda.

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      @@azasam1447😂😂😂😂 acha utani fatilia vizuri iyo ilikua inside work mzee CIA na FBI knew about it sema is an inside job walitaka wamfanye trump kama walivyo mfanya JFK ila sio eti kwamba awajui akati kuna mwana alikamtwa kwa kupitia social media tu acha utani na surveillance ya marekani wewe

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 Месяц назад +1

      Huwezi mpiga Putin kuzembe vile

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Месяц назад +15

    Dj sima alisemaga yupo salamaa

  • @eve3894
    @eve3894 Месяц назад +11

    Asante sana Sky . I was waiting for you to report this. You and your team am doing a great job. Lots of love from London ❤

    • @redtk2971
      @redtk2971 Месяц назад

      We na we icho kingereza cha mkoa gani kwani😂

    • @mathiaslyamunda2526
      @mathiaslyamunda2526 Месяц назад

      Kabisa

    • @salimbahatisha3003
      @salimbahatisha3003 Месяц назад +1

      Ni London hii hii yenye kiengereza iki au London lounge ya kule ubungo external jeshini😁

    • @GoodDeeds-Jesus
      @GoodDeeds-Jesus Месяц назад +2

      @redtk
      @salimbahatisha
      Inaonekana ninyi wawili ni wajuaji sana halafu hamjui kitu, hapo alichosea kikubwa hasa ni kipi? Inawezekana hata mkiulizwa kakosea wapi mnaweza kuwa hamjui.
      Kakosea kwa bahati mbaya nina uhakika huo kwasababu kila kitu kipo sahihi isipokuwa kAtype "am" badala ya "are" kwa mtu muelewa anafahamu kabisa ni bahati mbaya, wabongo sisi kwa chuki na wivu asee!

    • @habibahabiba7128
      @habibahabiba7128 Месяц назад

      Hatari​@@redtk2971

  • @AliAbdousalami
    @AliAbdousalami Месяц назад +1

    Marhaba SNS kwa kututa Habari Zauhakika , Hongera ❤

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Месяц назад +9

    Na amini dunia awafuati marekani democrasia.bali wanafuata misaada na uwoga.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Месяц назад +21

    Halafu vyombo vya magharibi hawajasema kanusurika kifo bali wanasema eti Trump kaumiya 😮😮😮
    Ukweli utakuja tu.

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂 hao ni CNN ndo mana Trump anawaitaga fake news america is so divided yan utahisi vyombo vyote vya habari vina sugarcoat vitu ni kweli hata raia wanapata shida juu ya icho kitu ndo mana wanatumia social media kama X au TRUTH social kupata habari pure

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад +2

      censorship is real na huo ni mfano mdogo

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Месяц назад +6

    Washenzi Mungu Ajaalie NA wao Wapigane Wao kwa wao... kama wanavosababisha mauwaji kwenye ULIMWENGU huu.....🤲

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      😂😂😂😂 siku america ikidondoka jua adi bongo mzee acha kujichetua kaka fatilia siasa mwanzo mwisho isishie njiani

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv Месяц назад

      @@dandara008 mbona tayari ameanza kidogo kidogo kuondoka kwenye sovereignty ya dunia.. Hii kawaida huwa kidogo kidogo

  • @elmelekidaniel3015
    @elmelekidaniel3015 Месяц назад +7

    INGEKUWA AFRICA UNGESIKIA WANATAKA KULETA WALINDA AMANI WA UN WAKATIKWAO AMANI HAIPO

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Месяц назад +16

    Ingilikuwa Africa kwetu hapo wangilisema wazungu mpka basi tu😂😂😂

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 Месяц назад +2

      Nawao njo wanaleta migogoro Africa

    • @user-xo9rb7wj7s
      @user-xo9rb7wj7s Месяц назад

      Kwanini wasisemwe, ni wanafik sana ndo wao kwa makusudi wanailetea Africa na n'nchi zengine migogoro kwa zimwi liitwalo democracy

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      @@user-xo9rb7wj7sKabisa sema we unataka mfumo wa chama kimoja ili iweje ukifatilia chama cha democratic kimekaa madarakani muda mwingi na kina kura za watu wengi weusi lakini chama hicho hicho ndicho kilikataa kuwachilia watumwa wawe huru kimewanyima reparation watu weusi kwaiyo na ni chama cha watu wanaotaka ajenda zao zitimizwe🌈 2016 ulimuona wap trump anaenda inchi za watu anawambia wakubali ushoga akuna kwasabubu yeye anatokea chama cha republicans na sasa chama cha democratic kimemaliza muda wake na raia wanamtaka trump arudi madarakani lazima watime nguvu kubaki madarakani hasahasa pale kiongozi anaerudi madarakani ataki shogo na ajenda zao

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Месяц назад +16

    Damu ya gaza itawaghalimu watageukana wenyewe kwa wenyewe Mungu ajibu maombi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Месяц назад

      Unaongea upuuzi mjinga wewe, huyu ni mkweli hafichi hata maovu yao ndio hawampendi, na kuhusu gaza ameshasema sana raisi wa sasa ameziba masikio ukumbuke huyu ni rafiki wa Urusi maana yake uwepo wake ungepunguza vita.

    • @rjqaasam4587
      @rjqaasam4587 Месяц назад

      Aaamiin

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc Месяц назад

      ​@@nassercurtis9579kweli kabisa unachokisema

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 Месяц назад

      @@nassercurtis9579 wewe ndio mwehu usiejitambua

  • @emmanuelmanga25
    @emmanuelmanga25 Месяц назад +16

    Hao hao secret services watammaliza na huyo waliyemuua ni mtu wao

    • @MohammedAlly-hp8fg
      @MohammedAlly-hp8fg Месяц назад +1

      Yes wla ujakosea ni mchezo tu umefanyika kwa sbbu zao ilikumjengea Iman mbele za umma na kumchafua mwengine ujinga ujinga tu

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Месяц назад

      Nyiny mashoga mnasemaje hiyo ndio marekani halisi

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Месяц назад

      Hapana kuna mda unawekwa huru ila hawa ndo wwamefanya drump asife walimrukia mapema na kumuweka chini wao wakakaa juu yake sisi tulikuwa nao live

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Месяц назад +18

    Daah, kwa tukio hili sasa NAMKUBALI SANA DJ SMA. na kuanzia leo najiunga kwenye group la whatsapp

    • @fauzanhamed
      @fauzanhamed Месяц назад

      hujachelewa sana

    • @fauzanhamed
      @fauzanhamed Месяц назад

      karibu kweny ulimwengu wa ukomboz wakifikra

  • @DavidMwamengo
    @DavidMwamengo Месяц назад +4

    Sky this is so great, I really appreciate your effort 👌 💪, I think in Africa we practice democracy despite everything which happens here, united state they should come to Africa and learn from us how to practice democracy, anyways its really bad for Trump hoping he will get back to his feet soon

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod Месяц назад +17

    Joe Biden anawaza vita na trump wanajuwa kwamba watashinda... trump na Vladimir ni marafiki na marekani hawataki Hilo wao wanawaza vita

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Месяц назад +2

      LGBTQ+ Community hawamtaki trump!

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      @@jamesraphaelmdima4729Trump kafanya mengi chakwanza Amani ukiangalia middle east kwanzia 2016-2020 kulikua hakuna vita Putin alimuheshimu trump kwasababu alizuia bomba lake la mafuta kwenda Europa kwaiyo putin lazima angekua mpole ili afanye biashara kwasababu Russia bila mafuta awana nguvu ya kupigana vita na Trump alikua anajua ilo kwamba hata uwe na vifaru elfu hamsini mabumu hayajifyatui yenyewe lazime wese liwepo na United Arabs walikubali kuendele kuuza mafuta kwa dola na USA ilikua no1 katika uzalishaji wa mafuta kwaiyo hakuna ambaye angeweza kununua mafuta kutoka russia bila kua na hofu kutoka marekani na kwaivyo trump miaka yote 4 ilikua na Amani pia wana inchi waliishi maisha mazuri kwa kushuka kwa bei za mafuta na kila kitu ni mafuta (umeme) pia soko la hisa lilikua zaidi ajira zilikuwepo sio tu kwa watu weupe bali ata watu weusi na raia south american na wachina waliopo marekani ivyo kila Race ilikua inapata ela ya kuendesha maisha yao uhalifu ulipungua uhamiaji haramu pia kwaiyo trump alikua totauti sana na Rais waliopita na ndio mana masocialist awakupenda na wana taka wakabi madarakani pia kwaiyo kwa wao wanamuona trump kama tishio ila kwa raia wanamuona Tumaini lao la mwisho

  • @JamalDikolaga
    @JamalDikolaga Месяц назад

    Duh aisee Pol San

  • @shafiiramadhani
    @shafiiramadhani Месяц назад +2

    Hiyo ndiyo tofauty ya sns nawengine

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Месяц назад +29

    Haya waendelee kutuaminisha Marekani kuna Amani na Demokrasia

    • @RizikiQueen
      @RizikiQueen Месяц назад +1

      Marecani akuna amani mimi niko uku amna amani kbs

    • @gracenbarnes5254
      @gracenbarnes5254 Месяц назад

      Hakuna amani sehemu gani ya marekani kazini,mtaani,kazini au wapi mimi naishi marekani sijakutana na kadhia yoyote

    • @ce-08
      @ce-08 Месяц назад

      😂😂 watu bhana amani ipi nyinyi mnayoitaka changamoto ndogo ndogo Kila nchi zipo hakuna nchi ambayo inaamani kama vile uko peponi haipo hyo nchi

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Месяц назад

      Marekani mashoga

    • @dandara008
      @dandara008 Месяц назад

      @@omarymwaluko9765😂😂😂😂 ushadanganya mpaka basi ukitaka kujifunza anza umpya anziaa na WORLD ECONOMIC FORUM na kama umesoma kitabu cha think and grow rich utaona jinsi gani majina makubwa ya mabilionea wa kimarekani ndio wanotaka kutumia njia hii kutawala dunia yote ndio mana wanatoa ela ili kusambaza agenda hii ndhani corona pia imekufunga macho kwaiyo sio tu America kama utafatilia nlichokwambia utagundua inchi ya Marekani ikijakudondoka Hakuna inchi yoyote itakayo baki zote zitadondoka kwaiyo usichukie inchi bali fatilia watu wanaoichafua inchi na MALENGO hayo hasa ni nini

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Месяц назад +4

    I was watching live when it happened 😮

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Месяц назад +17

    Huyu ndio rais ajae kwakweli😊😊

  • @DrNelsonJohnMuhirwe
    @DrNelsonJohnMuhirwe Месяц назад

    Asanteni Sana

  • @ayubusossy2893
    @ayubusossy2893 Месяц назад

    Perfect keep it up Brother Sky

  • @user-jo5ig8ww1b
    @user-jo5ig8ww1b Месяц назад +21

    Watauwana wao kwa wao kwa laana za watoto wa gaza

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 Месяц назад +3

    Inchi inaotufunza democracy kwetu Africa 😢

  • @officialyoung6
    @officialyoung6 Месяц назад +2

    Ni hatar

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Месяц назад

    Mpo vizuri

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn Месяц назад +13

    Marekani niinci yaajabu wahuni niwengi

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja Месяц назад +1

      Hapa kwenu hawapo si juz tu JPM ametoweka

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Месяц назад

    Traore awe makin sana zile ishu za watu kumlaki aachane nazo. Mfikishie taarifazake

  • @Torono_95
    @Torono_95 Месяц назад

    Africa niwakati wetu kuwatumia barua ya onyo waache izo mambo zao

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Месяц назад

    tenaaa boraaa wangemuuaaa wnyonyajii wa bara la africa na wabuguzii na watesaji wa wafricaa wenzetu huko americaa

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 Месяц назад

    Wanasiasa ni wajanja sana wakiwa
    Kwenye kampeni wanatupumbazisha kwa matukio ya kweli na ya uwongo .

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Месяц назад +4

    Mbona kama utabili niliousoma kuuwawa kwa Trump unataka kutimia jaman.

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Месяц назад

    RUTO MUST GO

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Месяц назад

    Siasa za wenzetu zina hatarisha maisha yao sana

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Месяц назад +2

    Dj sma alitabiri mwezi mmoja kabla

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u Месяц назад

      Acha owongo

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Месяц назад

      Dj sma alitabir kitu gan tujuzane

    • @Niget-us1np
      @Niget-us1np Месяц назад

      ​@@user-es4uf6gj7usababu ufwatiliwi fuyus

    • @adamkapolo8817
      @adamkapolo8817 Месяц назад

      @@user-it7ih1it3m alitabiri kuuwawa kwa ant west viongozi wote wanaopinga magharibi alimtaja pia trump

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Месяц назад

    Duh

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso Месяц назад +1

    Nchi inayo tetra haki za binadamu! Hovyo. Biden na jopo lake anahusika

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 Месяц назад

    Was waiting for this

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Месяц назад +1

    Ila hajadhurika sana

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Месяц назад

    Kazi suri Sana ya lizi walipo mu protect trump

    • @user-xo9rb7wj7s
      @user-xo9rb7wj7s Месяц назад

      Toka zako damu zimetoka..jamaa yako kaafa , walinzi wameprotect nini😅😅

  • @peterIrungu-bq1hj
    @peterIrungu-bq1hj Месяц назад

    Hii ni kiki ya Wana siasa

  • @AbuuBakar-t26
    @AbuuBakar-t26 Месяц назад +4

    Tukio la kutengeneza ilo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад

      Naamini hivyo pia

    • @Williamsalum-n1z
      @Williamsalum-n1z Месяц назад

      upooo sahii ndugu

    • @Williamsalum-n1z
      @Williamsalum-n1z Месяц назад +1

      Ukiskia paaaaaaaaaaaaaah ...................... Alieee lengaaaa hanaaa shabaaaah😢

    • @Williamsalum-n1z
      @Williamsalum-n1z Месяц назад

      Kweliiii mtuu amepanga kukumalizaa anapigaa risasi Kama njuguu angekuwa mtuhumiwa angekuwa anania kweliii angepitaaa na kichwaaaa 😂😂😂😂

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Kwahiyo huyo aliyekufa amejiua 😂😂😂

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Месяц назад +2

    Sma alisema kitambo!! Hujawahi kufeli

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Месяц назад

    God is good he survived

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Месяц назад

    Iyo ki2 kaipanga mwenyewe ili awe katika safe side wa2 wamuhurumie m2 apewe kazi ya kumpija yy amkose kabisa huu ni uongo imepangwa na wao wenyewe

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso Месяц назад +2

    safi sana ulafi wa madaraka umezidi

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 Месяц назад

    Kitabu cha ufunuo wa Yohana kilishaga mmulika trump kitambo!!what a mysterious book

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Месяц назад +1

    yaleyale aliyo sema DJ sma

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Месяц назад

    Uwauwane mamaeeee washazoea kutufanya tuuwane africa wafeee

  • @FredCharles-u3z
    @FredCharles-u3z Месяц назад +1

    Acha Africa ingekua urusi leo sipat picha

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Месяц назад +2

    Hiyo mipango ya serikali ya marekani. Wanajua Trump akiwa raisi atasitisha kupeleka silaha Ukraine na kuacha kuisapoti Ukraine.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад

      Sio wanajua ameshasema hakuna shilingi itatoka kwenda Ukraine

  • @radjamtaki5597
    @radjamtaki5597 Месяц назад

    Taarifa za kushambuliwa kwa patriot defensive system huko ukraine mbona hamtupi???

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Месяц назад

    Dah !
    Kwa hio wakam mau zinde sio ?

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Месяц назад

    Watajijua wenyewe.

  • @saudamwinyipembe5749
    @saudamwinyipembe5749 Месяц назад

    Africa tujifunze kujiendesha wenyewe si kutengemea hawa watu ambao hata wanaoneana wivu wao kwa wao 0:00

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Месяц назад

    Hii twataka ruto afanyiwe mana ame tushinda Tabia

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 Месяц назад +1

    Wamelitengeneza shambling hili, limekaa kisiasa sana na huku marekn wengi hawajaliwekea manan sana

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 Месяц назад

      Tukio la Kutengenezwa Mpaka Kuuana Duuh Sio Poa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Месяц назад

      Hawajaliwekea maanani kivipi wakati kila chombo kinatangaza?

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 Месяц назад

      Sio la kutengeneza Bro, kwan kuuana viongoz huko marekan imeanza leo

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Месяц назад

    👏👏👏👏👏💪💪

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Месяц назад

    Mbona hatari sana!,, mwamba trump aishi,,,

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 Месяц назад +2

    Asee wamarekani shikamooo

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Месяц назад +1

    Afu utakuta wapuuzi wamoja huku kwetu wanasimama jukwaani na kujinadi jifunzeni demokrasia Marekani 😢 sijui wanatuona sie wananchi hatuyaoni yanayoendelea huko kwako 🤔

    • @Theman-dn8vo
      @Theman-dn8vo Месяц назад

      Sawa sio adi marekan hta hapo kwa jitani zetu tunajifunza ila kwetu hapa hakuna hio

    • @OmbeniSengambi
      @OmbeniSengambi Месяц назад

      Hahahaha duniani ukiwa tofauti na watu wengine kinachofatia vita tu kwanzia mitume viongozi wa serekari mbaka famiria

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Месяц назад +5

    Africa amka acheni kuuwana acheni vita kaenipamoja serikali na waasi amani ipatikane,moto hauzimi moto,moto unazimwa na maji.

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r Месяц назад

    Marekani ya maqaidi

  • @SimonJeshi-nq1hs
    @SimonJeshi-nq1hs Месяц назад +3

    Hio ni nchi yenye democrasia !!!!!!€€€!!!!!!

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Месяц назад +1

    Nakingine utaskia mshambuliaji anaasili yakiarabu au kiparestin

  • @JeivinMtundu
    @JeivinMtundu Месяц назад

    Afu tunaambiwa marekani kuna democracy..ukitaka kujua waandishi waa marekani hawakubali nchi yao kuchafuliwa wanaandika simpo tu ashambuliwa iwe hapa bongo tungeyasoma mengi freemason wangehusishwaaaa

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m Месяц назад

    Dah!amshukuru mungu cna

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 Месяц назад +2

    Soon watakuja na propaganda zao za kuwa ni ugaidi na watawasingizia waislam na ikiwa tofauti wataita hate crime hio ndio marekani na ulaya.

  • @uwembatvonline
    @uwembatvonline Месяц назад

    Wao kwa wao,, ndiyo maana wamemuua ili kupoteza ushahidi 😂😂mchezo wake Trump huo

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 Месяц назад

    Tukio kubwa sana hili na limenishitua sana

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus633 Месяц назад

    Ndiyo tunaambiwaga hiyo ni nchi ya demokrasia.

  • @sharonvugutsa969
    @sharonvugutsa969 Месяц назад

    😢😢😢😢😢😢

  • @solomonjackson3827
    @solomonjackson3827 Месяц назад

    Mwenye maono Hafi mpaka yatimie

  • @robertkabuthia2781
    @robertkabuthia2781 Месяц назад

    That was close

  • @stevenmahinda657
    @stevenmahinda657 Месяц назад

    Kwann auawe badala ya kumkamata...

  • @mdimistudio6041
    @mdimistudio6041 Месяц назад

    Daaah wanataka kumuua mwamba

  • @Ryannkae
    @Ryannkae Месяц назад

    Nasikia aliye jaribu kumuhuwa ameuwawa nawana nchi

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад

    Nampongeza Mpiga picha aliyeipata io shot ya chini akiwa kashapigwa

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 Месяц назад

    Hii mbaya sana😭😭

  • @kennedyjomo9255
    @kennedyjomo9255 Месяц назад

    Democracy is not Democracy

  • @allyiddy6311
    @allyiddy6311 Месяц назад

    Naona kma bado meng yanakuja kweny uchanguzi wa rais America

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Месяц назад

    Im smelling something bad wacha kiumane vizur tuone😂😂

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Месяц назад +1

    Marekani wao kwa wao hawaelewani harafu leo kuna watu wanasema US ni nchi yenye utulivu, amani na demokrasia. Hakuna kitu kama hicho US ni Wauwaji tu.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Месяц назад

      Kwn nchini kwetu tunaelewana? Imagine na sisi tungeruhusiwa kumiliki silaha kila raia kama Marekani

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Месяц назад

      ​@@rumdeesonsoa1811marekani mashoga

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 Месяц назад

    Awe makini kwakua ki majukwaa tiari kamshinda Biden

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod Месяц назад +1

    Kumekucha

  • @African511
    @African511 Месяц назад

    Haya sasa wenye Democrasia yao,ndiyo mwalimu sahihi wa kuharibu Democrasia,Africa shitukeni,Rudini kwenye tamaduni zenu.

  • @zainakingwele9228
    @zainakingwele9228 Месяц назад

    Siasa za trump izo

  • @denisrenatus4935
    @denisrenatus4935 Месяц назад

    Hongera kwa Dj sma na tunasubl uchambuz wake kwa hili tukio

  • @chany9950
    @chany9950 Месяц назад

    Duuuh

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v Месяц назад

    Hiyo ndio historia halisi ya mabeberu wanaposema sisi sio wastaarabu ni kwasababu ya uchonganishi wao ila wao wamekua sio wastaarabu kwa kutuua sisi makutuibia mawekuja kustaarabika baada ya kuiba sana duniani kote na kuua watu kwa njia tofauti ikiwemo utumwa

  • @alnaseralshaukail3350
    @alnaseralshaukail3350 Месяц назад +1

    Hawa watu hawafirii chochote ubongoni mwao wanawaza kuwa tu hadi lini?

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Месяц назад

    Duuh hatary😳😳

  • @amadou564
    @amadou564 Месяц назад

    Vamoos Trump

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Месяц назад

    Big up trump

  • @hilarymtepa9811
    @hilarymtepa9811 Месяц назад

    Love it love it.

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад

    Wauni so watu wazuri😅😅😅😅😅😅

  • @emmanueljohn7253
    @emmanueljohn7253 Месяц назад

    Kama yeye kakoswa basi tupeni taarifa za hao walokuwa nyuma yake

  • @mussawaziri4702
    @mussawaziri4702 Месяц назад

    Nyie jamaa mnamfanya milrad asilale😂😂😂

  • @Mafimbajunior
    @Mafimbajunior Месяц назад

    Hitman gan huyo anamiss target 😂