URUSI yaionya UKRAINE huku Zelensky akidai kukamata wanajeshi wake 100

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 207

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +9

    Safi sana.wanajeshi wa Ukraine wana uzalendo wa hali juu sana na nchi yao.Ni majasiri sana sijapata kuona.Hongereni sana na Mungu yu pamoja nanyi.

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 2 месяца назад +2

      Uvamizi huo umejaa Siraha za zote za NATO wanajeshi wa NATO walio valishwa sare za jeshi la ki Ukraine huwo ushujaa unao wapa unatoka wapi. Amka wewe usikeshe kwenye usingizi wa machweo ya siku ya PILI😂

    • @RichardAlex-f9b
      @RichardAlex-f9b 2 месяца назад

      Boraaa ata unaelewaa unachokicoment​@@nyawawawanyawawa935

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 месяца назад +1

      ​@@nyawawawanyawawa935kwani ulifhani putini yupo peke ake pale😅😅 thubutu.. na ukumbuke Kuna kipindi mpaka mtanzania alouliwa jeshini akiipigania Urusi ,

    • @charlesmapunda2002
      @charlesmapunda2002 2 месяца назад

      Bado hamumjui putin

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 месяца назад

      @@charlesmapunda2002 Kila Jambo Huwa Lina mwisho wake

  • @salumdege9009
    @salumdege9009 2 месяца назад +15

    Mimi nawakubali sana SNS, hizi taarifa za Zelensk zinaumiza sana kwa kweli

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 2 месяца назад +1

      Baba hii inaitwa PR stunt. Amejitwanga kwenye kinu mwenyewe We call it “ The beginning of the end “ history inatabia yakujirudia

    • @DodomaTanzania-r5z
      @DodomaTanzania-r5z 2 месяца назад

      ​@@thelonewolf4429msemo wako pia ugeuzia upande wa mashoga utaona unaleta maana ile ile uliyokusudia

    • @kassimkhalid1185
      @kassimkhalid1185 2 месяца назад

      Usijali Urusi atatoboa hao magaidi wametoka nchi tafauti wapo Wamerekani,wangereza,Latvia ,Romani,poland,holand,mexico,nigeria.

  • @philiponzota5494
    @philiponzota5494 2 месяца назад +9

    sns mnachambua mambo kishabikii, mbn hamuongelei ukrain kuingia urusi mnakazania tu urusi urusi, iran iran, mnachambua kwa ushabiko sioo kwa ukweli yanayojiri. acheni ushabiki kwenye uchambuzi😢

    • @ShedrackShedrack-c2b
      @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад +2

      Haho wanaleta unazi jambo hakifanya urusi wanasema hamefanya hakifanya Ukraine wanasema amedai hau amesema

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 2 месяца назад

      ​@@ShedrackShedrack-c2bhuu ni ukwl sns media kubwa tunayo tegemea kuwa katikat ndio inaleta upendeleo ongea ukwl Ukraine inasambaza upendo na tunategemea habar bila upendeleo

    • @HaruniMrema
      @HaruniMrema 2 месяца назад +3

      Mimi pia nimewafatilia sana hawa waandishi wanatoa taarifa huku na wao wakiwa na ushabiki na mlengo wanaoupenda hawaelezi uhalisia Wa mambo wana unazi sana. Wanampamba Urusi ,Iran wakati ukweli hauko hivyo ukifuatilia vyanzo mbali mbali dunian utaona kabisa hawa jamaa wanaripoti kwa mrengo bila kufuata uhalisia mimi nimepunguza kuwafatilia.

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

      @@philiponzota5494 ndio mkuu mimi nimejikuta siwapendi sikuizi yani wamekua watu kama magaidi sijui mazombi yani wanaendaenda tu ovyo tofauti na kitambo

    • @omarymapande27
      @omarymapande27 2 месяца назад

      Kabisa ushabiki mwingi sana

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 2 месяца назад +7

    Ukrane ni mbwa Kenge atateketezwa

  • @hudson2005
    @hudson2005 2 месяца назад +6

    Sky(sns) ni dhahiri kuwa nyote mmechagua upande wa Urusi, iweje habari za urusi kupigwa mnazitangaza kama vile mnawasiwasi au hamna uhakika ila kwa Urusi mnatangaza na nguvu kwakujiamini. DJ Smaa hatujamsikia tangu Urusi apate kichapo yaani kama vile hajui kinachoendelea.

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 2 месяца назад

      Kwa sabab zelenzky ni muongo na vyombo vya magharibi ni vya propaganda nyingi

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 2 месяца назад

      Kichapo gan😅😅

  • @olomweneabongela1717
    @olomweneabongela1717 2 месяца назад +7

    Hii media iko tu juu ya urusi inamaana wanajeshi wa urusi hafagi

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 месяца назад +12

    Mafanikio kidogo... Kelele mingi.... Let see the end.

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 2 месяца назад +4

      Wewe ungefurahia Tanzania ikivamiwa ? Twache ujinga na kuonea inchi inajikomboa from uhalifu ya Russia.

    • @HamadJuma-kj5td
      @HamadJuma-kj5td 2 месяца назад

      ​@@karaniomoit5259w mwenyewe shaoga nenda kaungane na wenziwo uko ukrein😂

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 месяца назад +1

      @@HamadJuma-kj5td mbona hata mtume wenu muhamadi alikua shoga alikua anafirwa na walaki wakatoriki,, na ndie aliefanya kua mtume kwa nguvu za wakatoriki, ili kuizofisha sabato ya MUNGU.

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 месяца назад

      Hapa mtume muhammad kaingiaje hapa?​@@martinisadru9899

    • @MrPece-u6i
      @MrPece-u6i 2 месяца назад

      We ni mjinga na hujitambu​@@martinisadru9899nachuki zako
      Mungu anakuona.

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 2 месяца назад +6

    Kuna Raia wanajua Ukraine atashinda vita 😢😢. Ukraine imefanya makosa makubwa kuingia kursk, kama walivyofanya makosa Napolean na Hitler miaka ya nyuma . Wameingia vizuri kutoka itakuwa ngumu sanaa

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 2 месяца назад +3

      😂😂😂😂 hv unatambua nn maana ya vita au unabweka tu na ushabeki mandazi kwan wenyew awajui kinacho endelea au ww unajua zaid

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад +2

      Kwn hujui kuwa wakati Hitler anavamia Ukraine pia ilikuwa sehemu ya Soviet Union? Hapa ni wasoviet kwa wasoviet wanapigana. Huenda Ukraine ndio iliplay role kubwa zaidi katika kumshinda Hitler kuliko hata Urusi. Usije ukashangaa Urusi ikashindwa vita na Ukraine maana waukraine ni wasoviet pia. Wanachohitaji waukraine ni silaha za kutosha na pia waruhusiwe kupiga popote wanakoona kunafaa ndani ya Urusi tofauti na mwanzo ambapo walikuwa wanazuiwa kupiga ndani ya Urusi.

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 2 месяца назад

      Una akili saaaana ...big up mzee. ​@@rumdeesonsoa1811

  • @thomasjuma9833
    @thomasjuma9833 2 месяца назад +1

    ❤ Kenya pro Russia❤❤❤❤

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 2 месяца назад +15

    Mkubwa baada ya kumwaga ugari naona Sasa Dogo yeye kanyea Sahani kabisa. Vita ndio vina Anza upya baada ya karibu miaka 3

    • @3malis
      @3malis 2 месяца назад +1

      Jamaa kakataa unyonge

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 месяца назад +7

    Hatariii crown media hatuna jambo dogo .SnS tupo visuri

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 месяца назад

      @@FrankKashamakula-xb1pc Nimemaanisha media ninazosipenda tz ni Crown media na SNS

    • @alphamenson3784
      @alphamenson3784 2 месяца назад

      Hizi ni brand mbili tofauti mzee kila ipewe heshima yake tofauti

    • @FrankKashamakula-xb1pc
      @FrankKashamakula-xb1pc 2 месяца назад

      @@Brunotarimo10 haikueleweka unamanisha nni

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 месяца назад

      @@alphamenson3784 Crown hatuna Jambo dogo

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 месяца назад

      @@FrankKashamakula-xb1pc Nimemaanisha Crown ndo habari ya Town

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 2 месяца назад +6

    NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA. HAKIKA KITAKACHOENDA KUIPATA UKRAIN NI MUNGU ANAJUA. URUSI NI YUDA, NI BALAA. HALAFU ANATAKA AWAONYESHE MAGHARIBI KUWA YEYE NI NANI. AMEWAACHA MAKUSUDU WAJICHANGANYE ILI AWATEKETEZE. COOL

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 месяца назад +6

    Naumia sana ila nina imani kejeli aliyo nayo Zelensky ataomba poo tu time will tell.

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 2 месяца назад +2

      Putin anapigana na nato ulikuwa aujui

    • @kassimkhalid1185
      @kassimkhalid1185 2 месяца назад

      Jeshi la Nato ndio liliongia Urusi sio Ukraine.

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile 2 месяца назад

    Tatizo ni putin ana fanya uzembe inatakiwa achome moto mji mzima

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 2 месяца назад +5

    Wasije wakalia maana hawa ni wazee wakulialia

  • @abdunasiriathumani9011
    @abdunasiriathumani9011 2 месяца назад +3

    Shida iliyopo ni kwamba wamagharibi ni waongo ktk taarifa zao ndomaana hata wakishambulia hatuamini mwamba putin chukua maamuzi ya nukliya

    • @ZHING.Tech.
      @ZHING.Tech. 2 месяца назад

      Hpn hatua hiyo itakuwa kubwa sana kak kweli tunamkubal purtin lakn atakapo tumia nuclear sisi pia tutamuona hafai asee hiyo itakuwa mbaya

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 2 месяца назад +3

    Urusi anaremba sana

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 2 месяца назад

    DD Geopolitics mka tazame matokeo

  • @GastoJohn-s1p
    @GastoJohn-s1p 2 месяца назад +3

    Zelensky, songa mbele, Mungu yupo pamoja na wew.

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 2 месяца назад +8

    Zerensiky ni muongo hatari🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @rashidiamini
    @rashidiamini 2 месяца назад +11

    Urusi anamuonea huruma xn Ukraine huo ndo ukwl

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 2 месяца назад +2

    Ujue Mzee Putin anamchelewasha sana Dogo anampa mda sana Sisi tunatakiwa tujadili vitu vingine Sasa sio kilasiku Jambo hilohilo tu tunachoka

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 2 месяца назад +3

    😃dola ya urusi ndo inaenda kuanguka deeply complitely

    • @tekashisixtynin9threewithd727
      @tekashisixtynin9threewithd727 2 месяца назад +2

      Umeongea point sana kunywa soda

    • @ZaidHamasiZaid
      @ZaidHamasiZaid 2 месяца назад +1

      Nilikuwa namuaminia sana Urusi, ila kwa sasa huyu mzee asipoangalia wanaweza kumfanya kama Osama. Kumbukeni kuna siku Ikulu yake moja ilishambuliwa bahati tu hakuwepo. Umoja wa Nato ni wengi hawawezi, atashambuliwa pande zake nyingi, mwisho atapiga tu nyukilia na hapo maangamizi makubwa pande zote kila sehemu ya dunia.

    • @athumanshaban
      @athumanshaban 2 месяца назад

      hivi kipindi wenzunu wako shule nyie mlikuwa machinga ng'ombe hivi unazijua silaha za nyuklia Mrusi na mmarekani ndio wanaongoza kuwa na silaha nyingi duniani endapo Mrusi alizidiwa akataka kujihami kwa kutumia silaha zake za nyuklia si yukren wala nchi za ulaya tu dunia nzima tutakuwa hatarini kutoweka mnapotaka kushabikia vita mnadhani ni Tanzania na Uganda poleni ni swala la kumwomba Mungu vita ishe tu maana wenzetu wako mbali sana kwa teknolojia

  • @MsokaDibron
    @MsokaDibron 2 месяца назад

    Aiseee,2naitaka moscow na huyo putin

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 2 месяца назад +5

    Kwanini sns mnapenda kutumia neno AMEDAI,WAMEDAI au AKIDAI kwamba hamuamini ama haina uhakika,ama vipi?nimeona sana hii,haswa kwa habari itakayotoka upande wa Ukraine,toeni habari kama ilivyozungumzwa,kama ya uongo au ukweli tutajua mbeleni,ila rekebisheni hili,naliona mara kwa mara mukitoa habari ya upande wa Ukraine.

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 2 месяца назад

      Sisi ni against liars na mashoga

    • @Mzawaoddszone
      @Mzawaoddszone 2 месяца назад

      Lugha ya kisheria hiyo.... Hapo ukiongea direct ina maana Una uhakika na kufungulia mashitaka utakuwa hauna cha kujitetea....hapo hiyo inaonyesha amerefer kutoka sehemu na si kauli zao SNS

    • @abdul-qadirkhamis2518
      @abdul-qadirkhamis2518 2 месяца назад

      Kasome uandishi wa Habari, usiropokwe tu

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 2 месяца назад

      ​@@Clever-l8vsiko hapa kwa pande za mashoga au urijali,nazungumza nilionalo

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 2 месяца назад

      ​@@Mzawaoddszoneumenielewa lakin maelezo yangu?

  • @OlaisMoses
    @OlaisMoses 2 месяца назад +1

    Urusiii asingepiganaa Hii vitaa ni ameingiaa kwenyeee mtego mbayaaa sanaaa tuwaombeee waaachee vita waishii Wote kwa amaniii dunianii

  • @williamkisinga3618
    @williamkisinga3618 2 месяца назад +3

    Rusia kuvamia Ukraine sawa lkn wao kuvamiwa aaaah

    • @theempire4058
      @theempire4058 2 месяца назад +1

      Umeonaee

    • @Ufahamu-01
      @Ufahamu-01 2 месяца назад +2

      Huu ni wakat wao urus kupata daawa😅😅

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

      @@williamkisinga3618 jamaa wamekua waongo sana yani sijui wamearibika vipi

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 2 месяца назад +2

    Tunajua sns nyote ni urus kwaiy ujui mkoa ulio weka tadhali urus 😅😅😅😅 lazima mjutue kuwa Ukraine ni moto

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 2 месяца назад

    Ukrain isiombe urusi achange kina kutoka operation mpka kuwa vita itaisha sio mda

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 2 месяца назад

    Mimi nasubiria ndani ya mwezi hawa jamaa wanao jitamba wasije wakalia😂

  • @hikupskikons8914
    @hikupskikons8914 2 месяца назад

    Urusi anaenda kupigwa kwenye hii vita

  • @Njiwamichael-km1dm8et9x
    @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад +4

    Yani nyie mmekua wapuuzi baada ya kutoa taarifa mmekua wanafiki wa kirusi mnasaau vita ni vita na urusi saizi hali sio nzuri

  • @allymwakopwe
    @allymwakopwe 2 месяца назад

    Profesa. Ali. Magema. Kutoka. Tanga. Tanzania. Anasema. Kwa. Nini
    Urus
    Haisambaratishi. Yukereni. Mara. Moja. Inabaki. Maneno. Tu😅😅😅

  • @194summer
    @194summer 2 месяца назад

    Urusi ikivamia sio ugaidi
    Ukraine ikivamia ni ugaidi,,mwanamke mjinga sana

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 2 месяца назад +4

    Vita vimeamia Urusi acha nae aonje moto

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 месяца назад

    Waislamu vita yenu iko mashariki ya kati,

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 месяца назад +2

    💪🗿🦾🇺🇦, mbaka kazee putin kasiwe mungu mtu.

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 месяца назад +2

    Bado tunamuunga mkono urusi

  • @theempire4058
    @theempire4058 2 месяца назад +1

    Sio hali ya dharura ni hali ya hatari ndugu mwandishi

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 месяца назад +9

    Mvamizi ni mrusi, Ukraine anamuonyesha Putine kwamba Urusi hanauwezo. Keep it up Ukraine piga hao magaidi hadiwaombe pooh maana walikuchokoza wenyewe

    • @SundayMbatia-hr8qp
      @SundayMbatia-hr8qp 2 месяца назад +2

      Unakuaje mwafrica afu unakchukia Putin??. Unajua Kwa kias gan Russia ilipambana kuondoa ukolon Africa?? Wamagaharib wanamchukia Putin sababu Putin anawatia vburi viongoz wa kiafrica nakuwapa nguvu ya kujiamin je ww unakchukia Putin Kwa lipi?? Sis waafrica adui yetu sio Putin Bali adui yetu ni wamagaharib. Tafuta speech za yule rais dogo wa Burkina Faso ndo utanielewa nn namaanisha

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 2 месяца назад

      ​@@SundayMbatia-hr8qpww twambia mm najua video ya mwish mwalim alienda kwa marikia ungereza sjawai kumuona anaenda urus

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm 2 месяца назад +1

      Urusi hana lolote

    • @sigfridchristian1890
      @sigfridchristian1890 2 месяца назад

      @@raydanfrenk 🤣🤣🤣🤣ujui kitu wewe sio kosa lako

    • @saidiomar6642
      @saidiomar6642 2 месяца назад

      Baba ako ndio hana uwezo wa kumzalisha mamaako

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 2 месяца назад

    Zelenzkxy anatakiwa afe alafu ukrain ichukuliwe yote

  • @charlesbig22
    @charlesbig22 2 месяца назад

    Na mtakubali tu!ingekuwa ni Russia kuyishambulia Ukraine ,ma ripti yenu yangekuwa ya kila sekunde.ebu kuwa professional guys

  • @ShedrackShedrack-c2b
    @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад +1

    Nyny toeni habari zenye usawa nyny siyo waongo kama wakina mwakirembe ilasematu nyny mnaupendeleo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 месяца назад

    Ni2000

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 2 месяца назад

    Vita imegeuka au?.. hem ngoja tuone

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 2 месяца назад

    Heti ameshika wanajeshi 100!!! Jitape tu bahadaye utalialia tuko hap

  • @oxtinho159
    @oxtinho159 2 месяца назад +4

    Kiufupi Russia ni JKT RUVUUU TUUU😂

    • @Goshi-ov2wy
      @Goshi-ov2wy 2 месяца назад

      Hifadhi maneno boss

    • @oxtinho159
      @oxtinho159 2 месяца назад +1

      @@Goshi-ov2wy Angekua ana Jeshi La Maana Angevamiwa kwakee hahahha JKT RUVUU TUUU

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

      @@oxtinho159 migambo wale

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo 2 месяца назад

    Sasanimejua kumbe sio Ukraine wanaopigana na urusi niwakulungwa wenyewe ndo wanaopigana na mrusi,😂😂 wenye D mbili wameelewa.

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 2 месяца назад +9

    Ila hawa Ukraine wanacho kitafuta sio mda watakipata

    • @Moyo122
      @Moyo122 2 месяца назад +4

      ACHA akili za kijahidina wewe

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 2 месяца назад

      Wewe niwa wap Tena elewa zelensk hazalishi silaha kuwa kama unae akili bhas na wewe

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 2 месяца назад

      Ukrane wamejipanga

    • @lucasngalawa8826
      @lucasngalawa8826 2 месяца назад

      @@davidsika5292 muda utaongea

  • @hitngwasutv971
    @hitngwasutv971 2 месяца назад

    Nikiwanakichwa kigumu kama zereska bora nifetu

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад

    Russia akishambulia kwa nguvu zote rafiki yake Trump atapoteza nafasi ya kuwa Rais wa United State of America. so msidha kama Putin hana hakili.

  • @shaabansulaymaan4478
    @shaabansulaymaan4478 2 месяца назад

    Urusi anazngua sana
    Kila siku anaonya tu,angemaliza vita tuongelee vitu vingine muhim!!

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 месяца назад

    Kitu kinachonishangaza ... waislamu huishabikia Urusi dhidi ya Usa...lakini USA na Russia ni mataifa ya kikristo 😂😂

  • @Njiwamichael-km1dm8et9x
    @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад +3

    Ivi amjiulizi alisema wameenda askari elfu moja na amewauwa wote leo anasema ameua elfu mbili ivi amjiongezi kwamba kule kumeumana yani wanajeshi wapo wengi na vita amezidiwa putini uku mnaleta uongo subirini mtapata jibu

    • @FrankKashamakula-xb1pc
      @FrankKashamakula-xb1pc 2 месяца назад +1

      1,0000,troops
      6,00 tanks
      4,00 aircraft
      IDADI YAO IO APO PUTIN KAINGIA KWENYE MFUMO

    • @theempire4058
      @theempire4058 2 месяца назад +2

      Jamaa habar zao saiv ni vichekesho, tatizo wanampamba putin had wanaharibu ukwel hawausemi,

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад

      ​@@FrankKashamakula-xb1pcMkuu 2,000,000 troops hebu jaribu Kuedit hapo?

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад +2

      Hata mim nashangaa. Ilikuwa wanajeshi 1000 wamevamia ndani ya Urusi. Leo hii Urusi imefanikiwa kuwaua zaidi ya 1000. Sasa hawa wanaoendelea kuipelekea Urusi moto kwenye eneo la Kursk wametokea wapi?

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

      Jamaa saivi wameanza kua waongo taarifa za umu zinakakua tofauti afu wanageuka kila siku

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 2 месяца назад

    Kuna chanel ya telegram laiti mki itazama mta ona wana jeshi wa Ukraine wanavyo pigwa na ku kamatwa

  • @LORDRICKNKYA
    @LORDRICKNKYA 2 месяца назад +1

    Wazee hamlali tuu😂😂😂

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 2 месяца назад +2

    Mim number 5 naomba like jamani

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 2 месяца назад

      Mwambie mkeo akupe like watu wanauwana ww unaomba like

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 2 месяца назад

      Toa maoni mpumbavu ww,like za nn,toa maoni yako watu tusome

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 2 месяца назад

      @@chusseboywcb2808 😂😂😂 acha wauwane wewe inakuuma nini

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 2 месяца назад

      @@Muharram-c5n Tulia amdala

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 2 месяца назад

      @@hatibumohamedi3471 kama huna huluma nabinadam unae muona utakua na Imani namungu jina zuri roho yakishetani 😭

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    Huyu shoga haa pakutokea atachagua mambo mawili aidha marekani wenyewe watakuja kumuua ama ajisalimishe akimbilie urusi marekani wamemuekea mtego na amenasa wanamsoma tu muda utaongea

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 2 месяца назад +1

    Warusi walionkufa hawasemi

  • @aediaygo8546
    @aediaygo8546 2 месяца назад

    Alikuwa mxhekeshaji Wacha achekeshe😂

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 2 месяца назад

    Watanzania wengi niwagonjwa wa akili munamutukuza putini kama ni mungu mavi kabisa

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 2 месяца назад

    Dj Sma Yuko wapi aje atudadavulie hata mambo kiundani zaidi tuelewe Hali halisi kwasababu Mimi naona huyu zelensinky ni habari za propaganda anatupa

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 месяца назад

    Urusi wapigwetu

  • @Fanueljames903Shaban
    @Fanueljames903Shaban 2 месяца назад

    Hii vita ukreni atashinda

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 2 месяца назад

    Siyoo anadai kukamataa wanajeshi ni kweli wanajeshi wa kirusii wamekamatwaa kuweni wakweli mnapendelea sana urusii,mpaka naanza kuwatiliashaka ninyi, SNS,au mnahongwa wa warusiiii😮

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 2 месяца назад +2

    Safi sana ukraine kwa sababu mumevamiwa amaaduwi

  • @Rakim-y2z
    @Rakim-y2z 2 месяца назад

    Putin mipango yake ya miaka mitatu mbele wa magharibi mwaka mmoja mbele sasa ni tofauti Putin ni jasus na ni mtaalam sana ktk kupigana vita na anahuruma sana na watu wasio kuwa na hatia kwa mipango yake ni mikali sana si kwamba hawezi kuinyamazisha Ukraine no hpn..

  • @salumuselemani-km2ee
    @salumuselemani-km2ee 2 месяца назад

    Hawa ni NATO direct, Putin ingiza full mkoko unawachekea sana Hawa

  • @erickmwisa1342
    @erickmwisa1342 2 месяца назад

    Uzuri wa urusi wanaweka ushahidi wa video

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 2 месяца назад

    Nasoma comments za waarabu weusi yani nacheka tu😂😂😂😂... eti na wao wameumizwa sana na kitendo cha Ukraine kuvamia Urusi... inawauma mpaka wanasema ni uongo wakati hata Urusi yenyewe ilidhibitisha Hilo... 😂😂😂🤣

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 2 месяца назад

    ukweli uliopo ni kwamba Ukraine amekiwasha hapo kursk na mrusi anapigika vibaya mno

  • @YamunguMatamya
    @YamunguMatamya 2 месяца назад

    Putin alizubaa acha apigwe,vita angekuwa kashamaliza ila taarabu zikawa nyingi sasa aduwi amejipata

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 месяца назад +5

    Kwenye jambo hili la machungu watu mnaomba like kweli😭😭😭mimi niko pamoja na mrusi namuombea

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 2 месяца назад +1

      Ucjar mjomba ni swala la muda

    • @RaymondPaul-bs7su
      @RaymondPaul-bs7su 2 месяца назад

      Ukraine naona amejipeleka mwenyewe kwenye moto...ukiwaka asilalamikee

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 месяца назад

    Wanajifariji tu wasubiri kipigo.

  • @WisleyDaniel-xk7xf
    @WisleyDaniel-xk7xf 2 месяца назад +2

    Like Zune plz

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 месяца назад

    Putin afe

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 месяца назад

    🇷🇺 ni nchi kubwa duniani sasa wanalolitafuta watalipata😂😂😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад

      Ukubwa sio hoja huo ni ukubwa wa eneo tu

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 2 месяца назад

    Yani urusi hayupo Ukraine kwasababu uwezi ishikilia mbeya halafu mtu awe tunduma kapitaje hapo mbeya au kafikaje mombasa wewe upo tanga kavukaje horohoro

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 2 месяца назад

    Putin kafel

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 2 месяца назад

    Ukraine ina tafuta uchokozi wakati wame sahau wali fanya nini

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад +1

      Hivyo ndivyo vita inavyotakiwa ipigananwe ili atakaeshinda itakuwa ameshinda kweli. Ni tofauti na mwanzo ambapo Ukraine ilikuwa hairuhusiwi kupiga ndani ya Urusi.

  • @Njiwamichael-km1dm8et9x
    @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

    Yani sikuizi umekua mwongo mchochezi mbaka unachelewa kutoa habari yani umekua mshabiki akuna taarifa apo yani umekua mrusi

    • @theempire4058
      @theempire4058 2 месяца назад +1

      Jamaa wamekua comedian

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 2 месяца назад +1

      Sana kaka yan sns ndio channel nilikuwa nakubali ila anavyo endelea anaenda kuwa media ya kawaida za kutafuta views yy anajua kila kitu ila kupindisha mambo kwa ushabeki ndio unamualibu

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 месяца назад

      Yani wazee me sijaelewa kwanini amekubari kupotezwa na wale vijana amekua kama zombi

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 2 месяца назад

    Propaganda za NATO

  • @iddi29
    @iddi29 2 месяца назад +4

    Kiukweli Urussi amezidiwa mbinu ni wazi kabisa

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 месяца назад +2

      wewe maku hauelewi lolote

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 2 месяца назад +1

      ​@@PAULNYANDILEww unae elewa twambie ukw

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад

      ​@@raydanfrenkSema mkuu hili suala ukiangalia sana vyombo vya habari vya magharibi unaweza Sema urusi inaanguka kesho.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад +1

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjNa inaweza kuanguka kweli. Huoni Soviet Union ilivyoanguka?

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад

      ​@@rumdeesonsoa1811Dunia ya Leo mkuu Uchina kamwe hatokubali Russia aanguke sababu anajua kifuatacho ni yeye kushughulikiwa.Kuna mataifa Kama 5 yapo radhi kutuma askari wake wakiona Russia kazidiwa, sema tu vyombo vya habari vya magharibi vinakuza sana Mambo.

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 2 месяца назад +1

    Mukuki kwa nguluwe kwa binadamu ni muchungu urusi mupekipata Cha moto ni mwanzo

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 2 месяца назад

    Tunajua huu ndio mwisho wa Zelensky sasa. Wanekwa Kursk, sasa mazungumzo ya Amani hayatakuwepo. Vita kwenda mbele, Je Ukraine wataweza? Kursk kukombolewa Je, Zelensky na vikosi vyake wataendelea kupigana? Ngoja tuone maana Mzee Putin na serkali yake wanapania kutoa jibu kali na mbaya kuwahi kushuhudiwa dhidi ya utawala wa Kyv.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад

      Ili Ukraine kupambana kisawa sawa anatakiwa apewe silaha za kutosha na pia aruhusiwe kupiga popote ndani ya Urusi tena kwa mashambulizi makubwa zaidi

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 2 месяца назад

    MISHIPA YA SHINGO LA ZELENSKI IMEANZA KUVIMBA ANAPOONGEA KAMA MWANZO WA OPERESHEN. . SASA TUTAONA MISHIPAHIYO KAMA ITAVIMBA MDA WA WIKIMZIMA😂😂😂😂. TUSUBIRI MAJIBU KWA WANAUME.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад

      Mwanaume ameshashikwa pumb hana uwezo tena. Akileta za kuleta zinang'olewa

    • @ELIFASMADEBHO
      @ELIFASMADEBHO 2 месяца назад

      PRO WEST NN BROTHER 😅

  • @Mkundi-o7v
    @Mkundi-o7v 2 месяца назад

    Ww zile propaganda za wamagharibi putting hajawahi shindwa vita Malaya wewe

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 2 месяца назад

      Hahahahahaha vipi vita ya Urudi Afaghastan ya mwaka 1979