Uvamizi huo umejaa Siraha za zote za NATO wanajeshi wa NATO walio valishwa sare za jeshi la ki Ukraine huwo ushujaa unao wapa unatoka wapi. Amka wewe usikeshe kwenye usingizi wa machweo ya siku ya PILI😂
@@nyawawawanyawawa935kwani ulifhani putini yupo peke ake pale😅😅 thubutu.. na ukumbuke Kuna kipindi mpaka mtanzania alouliwa jeshini akiipigania Urusi ,
@@ShedrackShedrack-c2bhuu ni ukwl sns media kubwa tunayo tegemea kuwa katikat ndio inaleta upendeleo ongea ukwl Ukraine inasambaza upendo na tunategemea habar bila upendeleo
Mimi pia nimewafatilia sana hawa waandishi wanatoa taarifa huku na wao wakiwa na ushabiki na mlengo wanaoupenda hawaelezi uhalisia Wa mambo wana unazi sana. Wanampamba Urusi ,Iran wakati ukweli hauko hivyo ukifuatilia vyanzo mbali mbali dunian utaona kabisa hawa jamaa wanaripoti kwa mrengo bila kufuata uhalisia mimi nimepunguza kuwafatilia.
@@philiponzota5494 ndio mkuu mimi nimejikuta siwapendi sikuizi yani wamekua watu kama magaidi sijui mazombi yani wanaendaenda tu ovyo tofauti na kitambo
Sky(sns) ni dhahiri kuwa nyote mmechagua upande wa Urusi, iweje habari za urusi kupigwa mnazitangaza kama vile mnawasiwasi au hamna uhakika ila kwa Urusi mnatangaza na nguvu kwakujiamini. DJ Smaa hatujamsikia tangu Urusi apate kichapo yaani kama vile hajui kinachoendelea.
@@HamadJuma-kj5td mbona hata mtume wenu muhamadi alikua shoga alikua anafirwa na walaki wakatoriki,, na ndie aliefanya kua mtume kwa nguvu za wakatoriki, ili kuizofisha sabato ya MUNGU.
Kuna Raia wanajua Ukraine atashinda vita 😢😢. Ukraine imefanya makosa makubwa kuingia kursk, kama walivyofanya makosa Napolean na Hitler miaka ya nyuma . Wameingia vizuri kutoka itakuwa ngumu sanaa
Kwn hujui kuwa wakati Hitler anavamia Ukraine pia ilikuwa sehemu ya Soviet Union? Hapa ni wasoviet kwa wasoviet wanapigana. Huenda Ukraine ndio iliplay role kubwa zaidi katika kumshinda Hitler kuliko hata Urusi. Usije ukashangaa Urusi ikashindwa vita na Ukraine maana waukraine ni wasoviet pia. Wanachohitaji waukraine ni silaha za kutosha na pia waruhusiwe kupiga popote wanakoona kunafaa ndani ya Urusi tofauti na mwanzo ambapo walikuwa wanazuiwa kupiga ndani ya Urusi.
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA. HAKIKA KITAKACHOENDA KUIPATA UKRAIN NI MUNGU ANAJUA. URUSI NI YUDA, NI BALAA. HALAFU ANATAKA AWAONYESHE MAGHARIBI KUWA YEYE NI NANI. AMEWAACHA MAKUSUDU WAJICHANGANYE ILI AWATEKETEZE. COOL
Nilikuwa namuaminia sana Urusi, ila kwa sasa huyu mzee asipoangalia wanaweza kumfanya kama Osama. Kumbukeni kuna siku Ikulu yake moja ilishambuliwa bahati tu hakuwepo. Umoja wa Nato ni wengi hawawezi, atashambuliwa pande zake nyingi, mwisho atapiga tu nyukilia na hapo maangamizi makubwa pande zote kila sehemu ya dunia.
hivi kipindi wenzunu wako shule nyie mlikuwa machinga ng'ombe hivi unazijua silaha za nyuklia Mrusi na mmarekani ndio wanaongoza kuwa na silaha nyingi duniani endapo Mrusi alizidiwa akataka kujihami kwa kutumia silaha zake za nyuklia si yukren wala nchi za ulaya tu dunia nzima tutakuwa hatarini kutoweka mnapotaka kushabikia vita mnadhani ni Tanzania na Uganda poleni ni swala la kumwomba Mungu vita ishe tu maana wenzetu wako mbali sana kwa teknolojia
Kwanini sns mnapenda kutumia neno AMEDAI,WAMEDAI au AKIDAI kwamba hamuamini ama haina uhakika,ama vipi?nimeona sana hii,haswa kwa habari itakayotoka upande wa Ukraine,toeni habari kama ilivyozungumzwa,kama ya uongo au ukweli tutajua mbeleni,ila rekebisheni hili,naliona mara kwa mara mukitoa habari ya upande wa Ukraine.
Lugha ya kisheria hiyo.... Hapo ukiongea direct ina maana Una uhakika na kufungulia mashitaka utakuwa hauna cha kujitetea....hapo hiyo inaonyesha amerefer kutoka sehemu na si kauli zao SNS
Unakuaje mwafrica afu unakchukia Putin??. Unajua Kwa kias gan Russia ilipambana kuondoa ukolon Africa?? Wamagaharib wanamchukia Putin sababu Putin anawatia vburi viongoz wa kiafrica nakuwapa nguvu ya kujiamin je ww unakchukia Putin Kwa lipi?? Sis waafrica adui yetu sio Putin Bali adui yetu ni wamagaharib. Tafuta speech za yule rais dogo wa Burkina Faso ndo utanielewa nn namaanisha
Ivi amjiulizi alisema wameenda askari elfu moja na amewauwa wote leo anasema ameua elfu mbili ivi amjiongezi kwamba kule kumeumana yani wanajeshi wapo wengi na vita amezidiwa putini uku mnaleta uongo subirini mtapata jibu
Hata mim nashangaa. Ilikuwa wanajeshi 1000 wamevamia ndani ya Urusi. Leo hii Urusi imefanikiwa kuwaua zaidi ya 1000. Sasa hawa wanaoendelea kuipelekea Urusi moto kwenye eneo la Kursk wametokea wapi?
Huyu shoga haa pakutokea atachagua mambo mawili aidha marekani wenyewe watakuja kumuua ama ajisalimishe akimbilie urusi marekani wamemuekea mtego na amenasa wanamsoma tu muda utaongea
Putin mipango yake ya miaka mitatu mbele wa magharibi mwaka mmoja mbele sasa ni tofauti Putin ni jasus na ni mtaalam sana ktk kupigana vita na anahuruma sana na watu wasio kuwa na hatia kwa mipango yake ni mikali sana si kwamba hawezi kuinyamazisha Ukraine no hpn..
Nasoma comments za waarabu weusi yani nacheka tu😂😂😂😂... eti na wao wameumizwa sana na kitendo cha Ukraine kuvamia Urusi... inawauma mpaka wanasema ni uongo wakati hata Urusi yenyewe ilidhibitisha Hilo... 😂😂😂🤣
Yani urusi hayupo Ukraine kwasababu uwezi ishikilia mbeya halafu mtu awe tunduma kapitaje hapo mbeya au kafikaje mombasa wewe upo tanga kavukaje horohoro
Hivyo ndivyo vita inavyotakiwa ipigananwe ili atakaeshinda itakuwa ameshinda kweli. Ni tofauti na mwanzo ambapo Ukraine ilikuwa hairuhusiwi kupiga ndani ya Urusi.
Sana kaka yan sns ndio channel nilikuwa nakubali ila anavyo endelea anaenda kuwa media ya kawaida za kutafuta views yy anajua kila kitu ila kupindisha mambo kwa ushabeki ndio unamualibu
@@rumdeesonsoa1811Dunia ya Leo mkuu Uchina kamwe hatokubali Russia aanguke sababu anajua kifuatacho ni yeye kushughulikiwa.Kuna mataifa Kama 5 yapo radhi kutuma askari wake wakiona Russia kazidiwa, sema tu vyombo vya habari vya magharibi vinakuza sana Mambo.
Tunajua huu ndio mwisho wa Zelensky sasa. Wanekwa Kursk, sasa mazungumzo ya Amani hayatakuwepo. Vita kwenda mbele, Je Ukraine wataweza? Kursk kukombolewa Je, Zelensky na vikosi vyake wataendelea kupigana? Ngoja tuone maana Mzee Putin na serkali yake wanapania kutoa jibu kali na mbaya kuwahi kushuhudiwa dhidi ya utawala wa Kyv.
MISHIPA YA SHINGO LA ZELENSKI IMEANZA KUVIMBA ANAPOONGEA KAMA MWANZO WA OPERESHEN. . SASA TUTAONA MISHIPAHIYO KAMA ITAVIMBA MDA WA WIKIMZIMA😂😂😂😂. TUSUBIRI MAJIBU KWA WANAUME.
Safi sana.wanajeshi wa Ukraine wana uzalendo wa hali juu sana na nchi yao.Ni majasiri sana sijapata kuona.Hongereni sana na Mungu yu pamoja nanyi.
Uvamizi huo umejaa Siraha za zote za NATO wanajeshi wa NATO walio valishwa sare za jeshi la ki Ukraine huwo ushujaa unao wapa unatoka wapi. Amka wewe usikeshe kwenye usingizi wa machweo ya siku ya PILI😂
Boraaa ata unaelewaa unachokicoment@@nyawawawanyawawa935
@@nyawawawanyawawa935kwani ulifhani putini yupo peke ake pale😅😅 thubutu.. na ukumbuke Kuna kipindi mpaka mtanzania alouliwa jeshini akiipigania Urusi ,
Bado hamumjui putin
@@charlesmapunda2002 Kila Jambo Huwa Lina mwisho wake
Mimi nawakubali sana SNS, hizi taarifa za Zelensk zinaumiza sana kwa kweli
Baba hii inaitwa PR stunt. Amejitwanga kwenye kinu mwenyewe We call it “ The beginning of the end “ history inatabia yakujirudia
@@thelonewolf4429msemo wako pia ugeuzia upande wa mashoga utaona unaleta maana ile ile uliyokusudia
Usijali Urusi atatoboa hao magaidi wametoka nchi tafauti wapo Wamerekani,wangereza,Latvia ,Romani,poland,holand,mexico,nigeria.
sns mnachambua mambo kishabikii, mbn hamuongelei ukrain kuingia urusi mnakazania tu urusi urusi, iran iran, mnachambua kwa ushabiko sioo kwa ukweli yanayojiri. acheni ushabiki kwenye uchambuzi😢
Haho wanaleta unazi jambo hakifanya urusi wanasema hamefanya hakifanya Ukraine wanasema amedai hau amesema
@@ShedrackShedrack-c2bhuu ni ukwl sns media kubwa tunayo tegemea kuwa katikat ndio inaleta upendeleo ongea ukwl Ukraine inasambaza upendo na tunategemea habar bila upendeleo
Mimi pia nimewafatilia sana hawa waandishi wanatoa taarifa huku na wao wakiwa na ushabiki na mlengo wanaoupenda hawaelezi uhalisia Wa mambo wana unazi sana. Wanampamba Urusi ,Iran wakati ukweli hauko hivyo ukifuatilia vyanzo mbali mbali dunian utaona kabisa hawa jamaa wanaripoti kwa mrengo bila kufuata uhalisia mimi nimepunguza kuwafatilia.
@@philiponzota5494 ndio mkuu mimi nimejikuta siwapendi sikuizi yani wamekua watu kama magaidi sijui mazombi yani wanaendaenda tu ovyo tofauti na kitambo
Kabisa ushabiki mwingi sana
Ukrane ni mbwa Kenge atateketezwa
Sky(sns) ni dhahiri kuwa nyote mmechagua upande wa Urusi, iweje habari za urusi kupigwa mnazitangaza kama vile mnawasiwasi au hamna uhakika ila kwa Urusi mnatangaza na nguvu kwakujiamini. DJ Smaa hatujamsikia tangu Urusi apate kichapo yaani kama vile hajui kinachoendelea.
Kwa sabab zelenzky ni muongo na vyombo vya magharibi ni vya propaganda nyingi
Kichapo gan😅😅
Hii media iko tu juu ya urusi inamaana wanajeshi wa urusi hafagi
😂😂😂😂
Stupid
😂😂
Mafanikio kidogo... Kelele mingi.... Let see the end.
Wewe ungefurahia Tanzania ikivamiwa ? Twache ujinga na kuonea inchi inajikomboa from uhalifu ya Russia.
@@karaniomoit5259w mwenyewe shaoga nenda kaungane na wenziwo uko ukrein😂
@@HamadJuma-kj5td mbona hata mtume wenu muhamadi alikua shoga alikua anafirwa na walaki wakatoriki,, na ndie aliefanya kua mtume kwa nguvu za wakatoriki, ili kuizofisha sabato ya MUNGU.
Hapa mtume muhammad kaingiaje hapa?@@martinisadru9899
We ni mjinga na hujitambu@@martinisadru9899nachuki zako
Mungu anakuona.
Kuna Raia wanajua Ukraine atashinda vita 😢😢. Ukraine imefanya makosa makubwa kuingia kursk, kama walivyofanya makosa Napolean na Hitler miaka ya nyuma . Wameingia vizuri kutoka itakuwa ngumu sanaa
😂😂😂😂 hv unatambua nn maana ya vita au unabweka tu na ushabeki mandazi kwan wenyew awajui kinacho endelea au ww unajua zaid
Kwn hujui kuwa wakati Hitler anavamia Ukraine pia ilikuwa sehemu ya Soviet Union? Hapa ni wasoviet kwa wasoviet wanapigana. Huenda Ukraine ndio iliplay role kubwa zaidi katika kumshinda Hitler kuliko hata Urusi. Usije ukashangaa Urusi ikashindwa vita na Ukraine maana waukraine ni wasoviet pia. Wanachohitaji waukraine ni silaha za kutosha na pia waruhusiwe kupiga popote wanakoona kunafaa ndani ya Urusi tofauti na mwanzo ambapo walikuwa wanazuiwa kupiga ndani ya Urusi.
Una akili saaaana ...big up mzee. @@rumdeesonsoa1811
❤ Kenya pro Russia❤❤❤❤
Mkubwa baada ya kumwaga ugari naona Sasa Dogo yeye kanyea Sahani kabisa. Vita ndio vina Anza upya baada ya karibu miaka 3
Jamaa kakataa unyonge
Hatariii crown media hatuna jambo dogo .SnS tupo visuri
@@FrankKashamakula-xb1pc Nimemaanisha media ninazosipenda tz ni Crown media na SNS
Hizi ni brand mbili tofauti mzee kila ipewe heshima yake tofauti
@@Brunotarimo10 haikueleweka unamanisha nni
@@alphamenson3784 Crown hatuna Jambo dogo
@@FrankKashamakula-xb1pc Nimemaanisha Crown ndo habari ya Town
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA. HAKIKA KITAKACHOENDA KUIPATA UKRAIN NI MUNGU ANAJUA. URUSI NI YUDA, NI BALAA. HALAFU ANATAKA AWAONYESHE MAGHARIBI KUWA YEYE NI NANI. AMEWAACHA MAKUSUDU WAJICHANGANYE ILI AWATEKETEZE. COOL
acha uongo 😂🤣🤣
Hakuna lolote
Mwaka wa pili hakimpati kitu
Acha propaganda za mashariki
Naumia sana ila nina imani kejeli aliyo nayo Zelensky ataomba poo tu time will tell.
Putin anapigana na nato ulikuwa aujui
Jeshi la Nato ndio liliongia Urusi sio Ukraine.
Tatizo ni putin ana fanya uzembe inatakiwa achome moto mji mzima
Wasije wakalia maana hawa ni wazee wakulialia
Kama Palestine kwa Israel 😂😂
Shida iliyopo ni kwamba wamagharibi ni waongo ktk taarifa zao ndomaana hata wakishambulia hatuamini mwamba putin chukua maamuzi ya nukliya
Hpn hatua hiyo itakuwa kubwa sana kak kweli tunamkubal purtin lakn atakapo tumia nuclear sisi pia tutamuona hafai asee hiyo itakuwa mbaya
Urusi anaremba sana
DD Geopolitics mka tazame matokeo
Zelensky, songa mbele, Mungu yupo pamoja na wew.
mungu yupi
Zerensiky ni muongo hatari🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Uongo gani wadhani ni kwanini Putin anatoa vitisho
😂😂unatak kusikia unayotaka kusikia!
Comedy huyo 😂😂
Urusi anamuonea huruma xn Ukraine huo ndo ukwl
Ha ha haaaaa, unajamba
Acheni kusifu ujinga ya Russia
Urusi ameshindwa vita au anaonea huruma????
Ujue Mzee Putin anamchelewasha sana Dogo anampa mda sana Sisi tunatakiwa tujadili vitu vingine Sasa sio kilasiku Jambo hilohilo tu tunachoka
😃dola ya urusi ndo inaenda kuanguka deeply complitely
Umeongea point sana kunywa soda
Nilikuwa namuaminia sana Urusi, ila kwa sasa huyu mzee asipoangalia wanaweza kumfanya kama Osama. Kumbukeni kuna siku Ikulu yake moja ilishambuliwa bahati tu hakuwepo. Umoja wa Nato ni wengi hawawezi, atashambuliwa pande zake nyingi, mwisho atapiga tu nyukilia na hapo maangamizi makubwa pande zote kila sehemu ya dunia.
hivi kipindi wenzunu wako shule nyie mlikuwa machinga ng'ombe hivi unazijua silaha za nyuklia Mrusi na mmarekani ndio wanaongoza kuwa na silaha nyingi duniani endapo Mrusi alizidiwa akataka kujihami kwa kutumia silaha zake za nyuklia si yukren wala nchi za ulaya tu dunia nzima tutakuwa hatarini kutoweka mnapotaka kushabikia vita mnadhani ni Tanzania na Uganda poleni ni swala la kumwomba Mungu vita ishe tu maana wenzetu wako mbali sana kwa teknolojia
Aiseee,2naitaka moscow na huyo putin
Kwanini sns mnapenda kutumia neno AMEDAI,WAMEDAI au AKIDAI kwamba hamuamini ama haina uhakika,ama vipi?nimeona sana hii,haswa kwa habari itakayotoka upande wa Ukraine,toeni habari kama ilivyozungumzwa,kama ya uongo au ukweli tutajua mbeleni,ila rekebisheni hili,naliona mara kwa mara mukitoa habari ya upande wa Ukraine.
Sisi ni against liars na mashoga
Lugha ya kisheria hiyo.... Hapo ukiongea direct ina maana Una uhakika na kufungulia mashitaka utakuwa hauna cha kujitetea....hapo hiyo inaonyesha amerefer kutoka sehemu na si kauli zao SNS
Kasome uandishi wa Habari, usiropokwe tu
@@Clever-l8vsiko hapa kwa pande za mashoga au urijali,nazungumza nilionalo
@@Mzawaoddszoneumenielewa lakin maelezo yangu?
Urusiii asingepiganaa Hii vitaa ni ameingiaa kwenyeee mtego mbayaaa sanaaa tuwaombeee waaachee vita waishii Wote kwa amaniii dunianii
Rusia kuvamia Ukraine sawa lkn wao kuvamiwa aaaah
Umeonaee
Huu ni wakat wao urus kupata daawa😅😅
@@williamkisinga3618 jamaa wamekua waongo sana yani sijui wamearibika vipi
Tunajua sns nyote ni urus kwaiy ujui mkoa ulio weka tadhali urus 😅😅😅😅 lazima mjutue kuwa Ukraine ni moto
Ukrain isiombe urusi achange kina kutoka operation mpka kuwa vita itaisha sio mda
Mimi nasubiria ndani ya mwezi hawa jamaa wanao jitamba wasije wakalia😂
Urusi anaenda kupigwa kwenye hii vita
Yani nyie mmekua wapuuzi baada ya kutoa taarifa mmekua wanafiki wa kirusi mnasaau vita ni vita na urusi saizi hali sio nzuri
Jamaa wanamteteaga sana putin😂😂😂
Wamekua mazombi
Profesa. Ali. Magema. Kutoka. Tanga. Tanzania. Anasema. Kwa. Nini
Urus
Haisambaratishi. Yukereni. Mara. Moja. Inabaki. Maneno. Tu😅😅😅
Urusi ikivamia sio ugaidi
Ukraine ikivamia ni ugaidi,,mwanamke mjinga sana
Vita vimeamia Urusi acha nae aonje moto
Waislamu vita yenu iko mashariki ya kati,
💪🗿🦾🇺🇦, mbaka kazee putin kasiwe mungu mtu.
Bado tunamuunga mkono urusi
Mtajiju
Sio hali ya dharura ni hali ya hatari ndugu mwandishi
Mvamizi ni mrusi, Ukraine anamuonyesha Putine kwamba Urusi hanauwezo. Keep it up Ukraine piga hao magaidi hadiwaombe pooh maana walikuchokoza wenyewe
Unakuaje mwafrica afu unakchukia Putin??. Unajua Kwa kias gan Russia ilipambana kuondoa ukolon Africa?? Wamagaharib wanamchukia Putin sababu Putin anawatia vburi viongoz wa kiafrica nakuwapa nguvu ya kujiamin je ww unakchukia Putin Kwa lipi?? Sis waafrica adui yetu sio Putin Bali adui yetu ni wamagaharib. Tafuta speech za yule rais dogo wa Burkina Faso ndo utanielewa nn namaanisha
@@SundayMbatia-hr8qpww twambia mm najua video ya mwish mwalim alienda kwa marikia ungereza sjawai kumuona anaenda urus
Urusi hana lolote
@@raydanfrenk 🤣🤣🤣🤣ujui kitu wewe sio kosa lako
Baba ako ndio hana uwezo wa kumzalisha mamaako
Zelenzkxy anatakiwa afe alafu ukrain ichukuliwe yote
Na mtakubali tu!ingekuwa ni Russia kuyishambulia Ukraine ,ma ripti yenu yangekuwa ya kila sekunde.ebu kuwa professional guys
Nyny toeni habari zenye usawa nyny siyo waongo kama wakina mwakirembe ilasematu nyny mnaupendeleo
Ni2000
Vita imegeuka au?.. hem ngoja tuone
Heti ameshika wanajeshi 100!!! Jitape tu bahadaye utalialia tuko hap
Kiufupi Russia ni JKT RUVUUU TUUU😂
Hifadhi maneno boss
@@Goshi-ov2wy Angekua ana Jeshi La Maana Angevamiwa kwakee hahahha JKT RUVUU TUUU
@@oxtinho159 migambo wale
Sasanimejua kumbe sio Ukraine wanaopigana na urusi niwakulungwa wenyewe ndo wanaopigana na mrusi,😂😂 wenye D mbili wameelewa.
Ila hawa Ukraine wanacho kitafuta sio mda watakipata
ACHA akili za kijahidina wewe
Wewe niwa wap Tena elewa zelensk hazalishi silaha kuwa kama unae akili bhas na wewe
Ukrane wamejipanga
@@davidsika5292 muda utaongea
Nikiwanakichwa kigumu kama zereska bora nifetu
Russia akishambulia kwa nguvu zote rafiki yake Trump atapoteza nafasi ya kuwa Rais wa United State of America. so msidha kama Putin hana hakili.
Urusi anazngua sana
Kila siku anaonya tu,angemaliza vita tuongelee vitu vingine muhim!!
Kitu kinachonishangaza ... waislamu huishabikia Urusi dhidi ya Usa...lakini USA na Russia ni mataifa ya kikristo 😂😂
Ivi amjiulizi alisema wameenda askari elfu moja na amewauwa wote leo anasema ameua elfu mbili ivi amjiongezi kwamba kule kumeumana yani wanajeshi wapo wengi na vita amezidiwa putini uku mnaleta uongo subirini mtapata jibu
1,0000,troops
6,00 tanks
4,00 aircraft
IDADI YAO IO APO PUTIN KAINGIA KWENYE MFUMO
Jamaa habar zao saiv ni vichekesho, tatizo wanampamba putin had wanaharibu ukwel hawausemi,
@@FrankKashamakula-xb1pcMkuu 2,000,000 troops hebu jaribu Kuedit hapo?
Hata mim nashangaa. Ilikuwa wanajeshi 1000 wamevamia ndani ya Urusi. Leo hii Urusi imefanikiwa kuwaua zaidi ya 1000. Sasa hawa wanaoendelea kuipelekea Urusi moto kwenye eneo la Kursk wametokea wapi?
Jamaa saivi wameanza kua waongo taarifa za umu zinakakua tofauti afu wanageuka kila siku
Kuna chanel ya telegram laiti mki itazama mta ona wana jeshi wa Ukraine wanavyo pigwa na ku kamatwa
Wazee hamlali tuu😂😂😂
Mim number 5 naomba like jamani
Mwambie mkeo akupe like watu wanauwana ww unaomba like
Toa maoni mpumbavu ww,like za nn,toa maoni yako watu tusome
@@chusseboywcb2808 😂😂😂 acha wauwane wewe inakuuma nini
@@Muharram-c5n Tulia amdala
@@hatibumohamedi3471 kama huna huluma nabinadam unae muona utakua na Imani namungu jina zuri roho yakishetani 😭
Huyu shoga haa pakutokea atachagua mambo mawili aidha marekani wenyewe watakuja kumuua ama ajisalimishe akimbilie urusi marekani wamemuekea mtego na amenasa wanamsoma tu muda utaongea
Warusi walionkufa hawasemi
Alikuwa mxhekeshaji Wacha achekeshe😂
Watanzania wengi niwagonjwa wa akili munamutukuza putini kama ni mungu mavi kabisa
Dj Sma Yuko wapi aje atudadavulie hata mambo kiundani zaidi tuelewe Hali halisi kwasababu Mimi naona huyu zelensinky ni habari za propaganda anatupa
Urusi wapigwetu
Hii vita ukreni atashinda
Siyoo anadai kukamataa wanajeshi ni kweli wanajeshi wa kirusii wamekamatwaa kuweni wakweli mnapendelea sana urusii,mpaka naanza kuwatiliashaka ninyi, SNS,au mnahongwa wa warusiiii😮
Safi sana ukraine kwa sababu mumevamiwa amaaduwi
Putin mipango yake ya miaka mitatu mbele wa magharibi mwaka mmoja mbele sasa ni tofauti Putin ni jasus na ni mtaalam sana ktk kupigana vita na anahuruma sana na watu wasio kuwa na hatia kwa mipango yake ni mikali sana si kwamba hawezi kuinyamazisha Ukraine no hpn..
Hawa ni NATO direct, Putin ingiza full mkoko unawachekea sana Hawa
Uzuri wa urusi wanaweka ushahidi wa video
Nasoma comments za waarabu weusi yani nacheka tu😂😂😂😂... eti na wao wameumizwa sana na kitendo cha Ukraine kuvamia Urusi... inawauma mpaka wanasema ni uongo wakati hata Urusi yenyewe ilidhibitisha Hilo... 😂😂😂🤣
ukweli uliopo ni kwamba Ukraine amekiwasha hapo kursk na mrusi anapigika vibaya mno
Ushafirwa ww
@@victorguapo7827 sawa
Putin alizubaa acha apigwe,vita angekuwa kashamaliza ila taarabu zikawa nyingi sasa aduwi amejipata
Kwenye jambo hili la machungu watu mnaomba like kweli😭😭😭mimi niko pamoja na mrusi namuombea
Ucjar mjomba ni swala la muda
Ukraine naona amejipeleka mwenyewe kwenye moto...ukiwaka asilalamikee
Wanajifariji tu wasubiri kipigo.
Like Zune plz
Putin afe
🇷🇺 ni nchi kubwa duniani sasa wanalolitafuta watalipata😂😂😂
Ukubwa sio hoja huo ni ukubwa wa eneo tu
Yani urusi hayupo Ukraine kwasababu uwezi ishikilia mbeya halafu mtu awe tunduma kapitaje hapo mbeya au kafikaje mombasa wewe upo tanga kavukaje horohoro
Putin kafel
Ukraine ina tafuta uchokozi wakati wame sahau wali fanya nini
Hivyo ndivyo vita inavyotakiwa ipigananwe ili atakaeshinda itakuwa ameshinda kweli. Ni tofauti na mwanzo ambapo Ukraine ilikuwa hairuhusiwi kupiga ndani ya Urusi.
Yani sikuizi umekua mwongo mchochezi mbaka unachelewa kutoa habari yani umekua mshabiki akuna taarifa apo yani umekua mrusi
Jamaa wamekua comedian
Sana kaka yan sns ndio channel nilikuwa nakubali ila anavyo endelea anaenda kuwa media ya kawaida za kutafuta views yy anajua kila kitu ila kupindisha mambo kwa ushabeki ndio unamualibu
Yani wazee me sijaelewa kwanini amekubari kupotezwa na wale vijana amekua kama zombi
Propaganda za NATO
Kiukweli Urussi amezidiwa mbinu ni wazi kabisa
wewe maku hauelewi lolote
@@PAULNYANDILEww unae elewa twambie ukw
@@raydanfrenkSema mkuu hili suala ukiangalia sana vyombo vya habari vya magharibi unaweza Sema urusi inaanguka kesho.
@@GeorgeAkasha-zx2rjNa inaweza kuanguka kweli. Huoni Soviet Union ilivyoanguka?
@@rumdeesonsoa1811Dunia ya Leo mkuu Uchina kamwe hatokubali Russia aanguke sababu anajua kifuatacho ni yeye kushughulikiwa.Kuna mataifa Kama 5 yapo radhi kutuma askari wake wakiona Russia kazidiwa, sema tu vyombo vya habari vya magharibi vinakuza sana Mambo.
Mukuki kwa nguluwe kwa binadamu ni muchungu urusi mupekipata Cha moto ni mwanzo
Tunajua huu ndio mwisho wa Zelensky sasa. Wanekwa Kursk, sasa mazungumzo ya Amani hayatakuwepo. Vita kwenda mbele, Je Ukraine wataweza? Kursk kukombolewa Je, Zelensky na vikosi vyake wataendelea kupigana? Ngoja tuone maana Mzee Putin na serkali yake wanapania kutoa jibu kali na mbaya kuwahi kushuhudiwa dhidi ya utawala wa Kyv.
Ili Ukraine kupambana kisawa sawa anatakiwa apewe silaha za kutosha na pia aruhusiwe kupiga popote ndani ya Urusi tena kwa mashambulizi makubwa zaidi
MISHIPA YA SHINGO LA ZELENSKI IMEANZA KUVIMBA ANAPOONGEA KAMA MWANZO WA OPERESHEN. . SASA TUTAONA MISHIPAHIYO KAMA ITAVIMBA MDA WA WIKIMZIMA😂😂😂😂. TUSUBIRI MAJIBU KWA WANAUME.
Mwanaume ameshashikwa pumb hana uwezo tena. Akileta za kuleta zinang'olewa
PRO WEST NN BROTHER 😅
Ww zile propaganda za wamagharibi putting hajawahi shindwa vita Malaya wewe
Hahahahahaha vipi vita ya Urudi Afaghastan ya mwaka 1979