Inasikitisha: Jamaa Arusha alivyotapeliwa madini ya Tanzanite yenye thamani ya TZS Bilioni 1

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 30

  • @amourmohamedfaki4506
    @amourmohamedfaki4506 12 часов назад +6

    Mm ni mtu wa tatu leo 🎉nipeni bc likes my colleagues

  • @AbubakariMfinanga
    @AbubakariMfinanga 9 часов назад +6

    Sns kumbukeni sana tunawaamin kwa taarifa zenu kua ni za uhakika sasa kuen makin sana na taarifa unazo tupa kwa mfano ii taarifa ya uyo ndg yetu aina usahihi ,kiufupi sharti la mgidin nikwamba madin makubwa yote ni ya mmiliki wa mgod kinyume na apo umeiba sasa uyo ajasema iyo kanun

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 7 часов назад

      Brother hauja kosea Kwani NAMI nime chumba sana hapo BLOCK na OPEC Et mgodi ulikuwa wa kwake ama hizo nonel futa compressor vyakula kulipa Kodi pia Kingine ni kwamba ulipanda na kitu inatakiwa iwe ni Siri yako kwani unaweza uwawa m2 akachukuwa 🪨 hapo ilitakiwa atoke night pia kijanja aruke ukuta asepe zake Sasa Ali mbwela mbwela mara wakuu Hawa hapa hata kama ingelikuwa Mimi ndiye kirenga ninge mkwara jabali tuu

    • @ArmstrongCheggeh
      @ArmstrongCheggeh 2 часа назад

      Oyaa mi nataka green garnet kama unaweza pata au uko na watu njoo tupige biashara​@@OnesmoEphrata

  • @zainaramadhan3487
    @zainaramadhan3487 10 часов назад +2

    Pole ndugu. Yangu hata Mimi nitapeliwa madini ya Ruby .hapo mahenge mwaka 90..na Mr juma kimtu .

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 12 часов назад +5

    Finally Story za Chuga

  • @Vivimediatz
    @Vivimediatz 12 часов назад +1

    Pole jaman

  • @Maktaba_Ya_Mkristo
    @Maktaba_Ya_Mkristo 11 часов назад

    Soma Zaburi 119:71-72. Ubarikiwe sana (Aman ya moyo vs bilioni ) Bora aman ya moyo hiyo ni hekima

  • @ArmstrongCheggeh
    @ArmstrongCheggeh 2 часа назад

    Naitaji green garnet

  • @brownshirima5924
    @brownshirima5924 8 часов назад

    Mwamba nakubali sana. Na wew ni kweli hakika na umeongea ukweli kbsaaa

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 56 минут назад

    Mmmmh watakuwepo kweli hao watu walio kuibia

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 7 часов назад

    Hawa makala 360 aaaah wa hame dsm wa hamie chuga BANA

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 10 часов назад

    Nenda mahakamani achana na mambo ya kumuachia Mungu. Hata Mungu anataka ujipambanie.

  • @ArmstrongCheggeh
    @ArmstrongCheggeh 2 часа назад

    Mimi nataka green garnet mwe mawe haya aje

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 8 часов назад

    Duniani hamna haki kabisa😢😢😢😢

  • @andrewchihwalo8937
    @andrewchihwalo8937 7 часов назад

    So sad

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 часов назад

    UMETOA KAFALA YA MZAZI WAKO BILA MAFANIKIO GODIONI POLE MALA MBILI 😢😢😢

  • @bensonphilip9673
    @bensonphilip9673 9 часов назад

    Inasikitisha sns inasitisha 😂😂😂😂🎉

  • @emanuelmwihambi7994
    @emanuelmwihambi7994 8 часов назад

    😢😢😢😢

  • @farmpridetz8974
    @farmpridetz8974 11 часов назад

    😢😢

  • @AbubakariMfinanga
    @AbubakariMfinanga 9 часов назад +1

    Anachokifanya uyu Gideon nikuleta fitna

    • @zistykecc
      @zistykecc 8 часов назад +1

      Mbona kama inakuuma sana?🤷🏾‍♂️

    • @zabubamudy126
      @zabubamudy126 2 часа назад

      ​@@zistykecc😂😂😂😂

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 9 часов назад

    Hawo ndio bin Adam 😢

  • @theempire4058
    @theempire4058 11 часов назад

    Mamlaka wachukue hatua kwenye hili na huyu jamaa apewe haki yake na sheria kali ichukuliwe kwa jambo walilomfanyia na iwe fundisho kwa wengine. Watanzania wanateseka na wananyonywa sana.

  • @aediaygo8546
    @aediaygo8546 12 часов назад

    Huko Hakuna Sheria landanai lemshuku watu wanauawa huko landanai Kwa kina taitas watu wanateswa Sana 😅😅

  • @nick1o7bang17
    @nick1o7bang17 11 часов назад

    Tatizo la kuchukua haki za mtu kibabe mwesho unakuaga mbaya sana kwa vizazi vinavo baki matajiri wengi wa mawe wakisha kufa family zao uwa zinatapanya izo mali maana maana zinakuaga sio za halali

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 10 часов назад

      Hizo dua za mwewe. Ukitapeliwa pambania haki yako usisubiri hadi vizazi vyake vije kuteseka huko mbele wakati wewe unateseka leo.

    • @nick1o7bang17
      @nick1o7bang17 10 часов назад +1

      @@Burner_Acc cjasema kua usipambane mzee nimesema kua kua na tabia ya mali ambazo sio za halali sio jambo zuri acha