Sns kumbukeni sana tunawaamin kwa taarifa zenu kua ni za uhakika sasa kuen makin sana na taarifa unazo tupa kwa mfano ii taarifa ya uyo ndg yetu aina usahihi ,kiufupi sharti la mgidin nikwamba madin makubwa yote ni ya mmiliki wa mgod kinyume na apo umeiba sasa uyo ajasema iyo kanun
Brother hauja kosea Kwani NAMI nime chumba sana hapo BLOCK na OPEC Et mgodi ulikuwa wa kwake ama hizo nonel futa compressor vyakula kulipa Kodi pia Kingine ni kwamba ulipanda na kitu inatakiwa iwe ni Siri yako kwani unaweza uwawa m2 akachukuwa 🪨 hapo ilitakiwa atoke night pia kijanja aruke ukuta asepe zake Sasa Ali mbwela mbwela mara wakuu Hawa hapa hata kama ingelikuwa Mimi ndiye kirenga ninge mkwara jabali tuu
Mamlaka wachukue hatua kwenye hili na huyu jamaa apewe haki yake na sheria kali ichukuliwe kwa jambo walilomfanyia na iwe fundisho kwa wengine. Watanzania wanateseka na wananyonywa sana.
Tatizo la kuchukua haki za mtu kibabe mwesho unakuaga mbaya sana kwa vizazi vinavo baki matajiri wengi wa mawe wakisha kufa family zao uwa zinatapanya izo mali maana maana zinakuaga sio za halali
Mm ni mtu wa tatu leo 🎉nipeni bc likes my colleagues
Sns kumbukeni sana tunawaamin kwa taarifa zenu kua ni za uhakika sasa kuen makin sana na taarifa unazo tupa kwa mfano ii taarifa ya uyo ndg yetu aina usahihi ,kiufupi sharti la mgidin nikwamba madin makubwa yote ni ya mmiliki wa mgod kinyume na apo umeiba sasa uyo ajasema iyo kanun
Brother hauja kosea Kwani NAMI nime chumba sana hapo BLOCK na OPEC Et mgodi ulikuwa wa kwake ama hizo nonel futa compressor vyakula kulipa Kodi pia Kingine ni kwamba ulipanda na kitu inatakiwa iwe ni Siri yako kwani unaweza uwawa m2 akachukuwa 🪨 hapo ilitakiwa atoke night pia kijanja aruke ukuta asepe zake Sasa Ali mbwela mbwela mara wakuu Hawa hapa hata kama ingelikuwa Mimi ndiye kirenga ninge mkwara jabali tuu
Oyaa mi nataka green garnet kama unaweza pata au uko na watu njoo tupige biashara@@OnesmoEphrata
Pole ndugu. Yangu hata Mimi nitapeliwa madini ya Ruby .hapo mahenge mwaka 90..na Mr juma kimtu .
Finally Story za Chuga
Pole jaman
Soma Zaburi 119:71-72. Ubarikiwe sana (Aman ya moyo vs bilioni ) Bora aman ya moyo hiyo ni hekima
Naitaji green garnet
Mwamba nakubali sana. Na wew ni kweli hakika na umeongea ukweli kbsaaa
Mmmmh watakuwepo kweli hao watu walio kuibia
Hawa makala 360 aaaah wa hame dsm wa hamie chuga BANA
Nenda mahakamani achana na mambo ya kumuachia Mungu. Hata Mungu anataka ujipambanie.
Mimi nataka green garnet mwe mawe haya aje
Duniani hamna haki kabisa😢😢😢😢
So sad
UMETOA KAFALA YA MZAZI WAKO BILA MAFANIKIO GODIONI POLE MALA MBILI 😢😢😢
Inasikitisha sns inasitisha 😂😂😂😂🎉
😢😢😢😢
😢😢
Anachokifanya uyu Gideon nikuleta fitna
Mbona kama inakuuma sana?🤷🏾♂️
@@zistykecc😂😂😂😂
Hawo ndio bin Adam 😢
Mamlaka wachukue hatua kwenye hili na huyu jamaa apewe haki yake na sheria kali ichukuliwe kwa jambo walilomfanyia na iwe fundisho kwa wengine. Watanzania wanateseka na wananyonywa sana.
Huko Hakuna Sheria landanai lemshuku watu wanauawa huko landanai Kwa kina taitas watu wanateswa Sana 😅😅
Tatizo la kuchukua haki za mtu kibabe mwesho unakuaga mbaya sana kwa vizazi vinavo baki matajiri wengi wa mawe wakisha kufa family zao uwa zinatapanya izo mali maana maana zinakuaga sio za halali
Hizo dua za mwewe. Ukitapeliwa pambania haki yako usisubiri hadi vizazi vyake vije kuteseka huko mbele wakati wewe unateseka leo.
@@Burner_Acc cjasema kua usipambane mzee nimesema kua kua na tabia ya mali ambazo sio za halali sio jambo zuri acha