Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Viongozi wa dunia wafunguka kuhusu jaribio la kuuliwa kwa TRUMP

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 77

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Месяц назад +6

    😂😂😂😂nyoko wamefeli wanajikanyaga ngoja ashinde uchaguzi

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Месяц назад +9

    Mashoga walokuwa wanafiki eti wamefarijika yupo salama uku kwenye myoyo zao wakisema daaah deal limefeli sasa tumekwisha mazima

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Месяц назад +17

    Mbabe ni mmoja tu na ndo maana wanamuandama kila kukicha## Russia 🇷🇺

  • @mubarakahussein9950
    @mubarakahussein9950 Месяц назад +6

    Wanafiki tu Macron Zelenskyy na wenzie !

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Месяц назад +5

    😂😂😂 wamarekani kama wamekuwa wakiabudiwa saivi maaana kama lingetokea kwengine Hilo jambo Wala lisingekuwa kubwa kiasi hicho🙌🙌🙌

    • @eleven-in5qw
      @eleven-in5qw Месяц назад

      Kwany Trump mtu mdogo

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 Месяц назад +1

      ​@@eleven-in5qw vipi wale watu 71 waliokufa gaza, mbona hawaongelewi?

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 29 дней назад

    Ni wanafiki sana

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Месяц назад +4

    Nakemea vikali jaribio hili lkn mungu mpe ushindi Trump ili akomboe vurugu za Aina hii zisijitokeze tena duniani mungu hupanga hupanga ushindi sio mauaji ya yule atakae shinda kwa kuchaguliwa na mungu kama Trump

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Месяц назад +8

    Ingekua kiongozi wa Africa wangeongea??😢😢😂😂😂😂😂 wajinga tu ao wazungu

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Месяц назад +1

    Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please hile interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 Месяц назад +13

    wacha nao waone walicho kua wakifanyiwa viongozi mashuuri wa Africa🌍 kua ni uonevu

  • @danielnyangasi8808
    @danielnyangasi8808 Месяц назад +6

    Namuona Putin anaandika anafuta 😂😂

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Месяц назад +4

    Ivi nan ni muhusika apo....akili yang inasema biden au nakosea 😢

    • @richardcastromzena5136
      @richardcastromzena5136 Месяц назад

      Inside jobs hizo, kama John Kennedy

    • @RynoFiree
      @RynoFiree 29 дней назад

      Biden hawez hiyo ingeongeza asilimia za yeye kushindwa, marekani inamatajiri wengi ambao Trump akipita atawabana Sana ko hapo kunakamchezo Biden anaweza asihusike kabisa

  • @HashimOlomi
    @HashimOlomi Месяц назад +2

    Lakin kumbukeni Irani walishatoaga listi ya viongozi wa marekani wanaotakiwa kuuliwa

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Месяц назад +2

    Shehbaz Shariff nayy eti anakemea Machafuko ya Kisiasa waktk Wazir mkuu wa Zaman wa nch hyo hadi leo kamuweka Gerezan

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Месяц назад +1

    Watu wanafika hatua wanachoka na hili haliangalii wapi na nani. Tuombe sana tusifikie huku

  • @juliusmwanyonga2877
    @juliusmwanyonga2877 Месяц назад

    Siasa za kichovu zinaelekea kujirudia huko marekani. Mfano mzuri uko wapi iwapo taifa kubwa kama marekani linaendeleza siasa chovu. Tupigane kwa hoja kwa faida ya maendeleo ya watu pamoja na taifa. Ukiona kiongozi anatumia mtutu wa bunduki ujue hakubaliki na ni fisadi katika taifa husika.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Месяц назад +2

    Sio viongoz wote wa Dunia maana Mh dk Samia suluhu sijamsikia

  • @abdallahmohammed6865
    @abdallahmohammed6865 Месяц назад

    Angekua na jina la kiislamu angeitwa Gaidi

    • @salumyusuph6633
      @salumyusuph6633 Месяц назад

      Umenena sahihi, hawa si watu wa kuaminiwa na walimwengu, wana chuki mbaya sana isiyo na sababu ya kweli

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 Месяц назад

    Kazi ipo

  • @Kakajambazitv..
    @Kakajambazitv.. Месяц назад

    Seen by me kaka jambazi usa 🇺🇸

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Zelensky mutu wa maana sana

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Месяц назад +1

    This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 Месяц назад

    Wanafik hao

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Месяц назад

    Africa hatupo au

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Месяц назад

    Hawa viongozi waagharibi niwanafik sana akiwemo Zelensky....wanajua kinacjlhoendelea .....Hii nikazi ya NATO

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Месяц назад +1

    Waongoao waliomba afe

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b Месяц назад

    Wame shupa wengi ingekuwa Congo awangesemaukweli

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Месяц назад

    Wabongo tunapend ushabiki kila jambo ,tuache shobo za kijinga kam.unfk ubaki kwetu hiz nchi hazituhusu

  • @amraniamuri3080
    @amraniamuri3080 Месяц назад

    Trump simuanmini uyo 😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    ✌️👊🙏.

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Месяц назад

    Hizi ni dalili ya ushindi. Mungu mponye haraka raisi trump. Mipepo hiyo

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t Месяц назад

    Mbona sijawasikia kulaani motukia km hayo yaliyotokea afrika na kwengineko au afrika ni watoto wa kando...

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Месяц назад

    Pumbavu wote hao, Wapalestina wanauwawa kila kukicha wala hatusikia hatua zozote kuchukuliwa kusitisha mauaji

  • @IddyAmir-gq1jr
    @IddyAmir-gq1jr Месяц назад

    Acha wauane wenyewe kwa wenyewe

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Месяц назад

    Ni wanafk wote wanaojua njama hio

  • @billskeez92
    @billskeez92 Месяц назад +3

    Wanafki tu Hao

  • @user-lv3de1pi7j
    @user-lv3de1pi7j Месяц назад

    Kwanin hajadedi mshenz huyo

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Месяц назад

    Zelensky kachanganyikiwa nn

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Месяц назад

    Trump atashinda uchaguzi

  • @antonyelias866
    @antonyelias866 Месяц назад

    Acha wauwane kwan mbona wananyonga viongozi wenzao

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Месяц назад

    Hawa wote ni vigagura

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Месяц назад

    Donald trump💪

  • @sailortraveler9880
    @sailortraveler9880 Месяц назад

    That is life trump s the best

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 Месяц назад +1

    Bado mzee wa putin hajasema, Leo nimejua amerika ni father halafu urusi ni grandpa

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 Месяц назад

    Huu upepo ndio utamsaidia zaidi Trump kushinda.

  • @totonata5384
    @totonata5384 Месяц назад

    Mbona hakuna anayeongelia miili inayoopolewa kenya?

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Месяц назад +2

    Na tunaitaka AU itume team ya wachunguzi kuchunguza tukio hilo. Hii sio democracy tunayoitaka na tunayoitangaza kila siku😂😂😂

    • @wolinet1
      @wolinet1 Месяц назад +1

      Kwa jeuri ipi

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 Месяц назад

    Wahaya wote wanalaani tukio la Trump kushambuliwa

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 Месяц назад

    SAWA SAWA TU ACHA NA WAO WAONJE ADHA YA MACHAFUKO WASICHOCHEE VURUGU NCHI ZA WENZAO ZICHAFUKE NA WAO WABAKI SALAMA WAONE MAUMIVU YA MACHAFUKO

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Месяц назад

    Wazungu ni wajinga sana ni bora wauwane wenyewe

  • @Ankobiotics
    @Ankobiotics Месяц назад

    TEFLON DON

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Месяц назад

    Wacha tu afe wengi wanakufa , hajafa leo atakufa kesho,

  • @aminaali792
    @aminaali792 Месяц назад

    Mbona hawaoni kama Palestine watoto na wakubwa.., huyo trump ndo wamemuona mtu kuliko maelfu ya watu wanaouliwa kisa kugombea nchi yao🙄ALLAH atawashinda yaa Rabbi 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼

    • @deniseliuter3002
      @deniseliuter3002 Месяц назад

      Trump ndo mtu mwenye siasa zinazolenga kumaliza huo mzozo wa gaza

    • @ce-08
      @ce-08 Месяц назад +1

      ​@@deniseliuter3002 anaweza kumaliza mzozo wa Ukraine na Russia sio Israel na Palestine

    • @abdallahmohammed6865
      @abdallahmohammed6865 Месяц назад +1

      Amesema atamaliza wa Ukrain sio Palestina

    • @aminaali792
      @aminaali792 Месяц назад

      @@deniseliuter3002 huyo ndo anaona kaam wanachewa kuwamaliza wa palestine anataka wawauwe wote kabisaaa 🤦🏽‍♀️

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Месяц назад +3

    Mungu mbariki Donald Trump apone na ashinde Uchaguzi.