THE CLASSIC MR BLUE PT 2 ; RAP ILINIKOA/NILIJINASUA KWENYE MIHADHARATI/NLIDHARAULIKA SIKUKATA TAMAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Mr Blue ambapo kiundani anaelezea namna alivyojinasua kutoka kwenye anguko kubwa la kimaisha lililomsababishia matatizo mengi yaliosababisha kukata tamaa kabisa na kisha kupoteza nafasi yake,lakini alijirudi na kutumia muziki wa rap kama ni sehemu ya come back yake ambayo imemrejesha kwenye ramani mpaka sasa
    SUBSCRIBE FOR MORE

Комментарии • 84

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +3

    Interview kali Sana namba Moja toka namsikia blue

  • @naamanbenzema9227
    @naamanbenzema9227 Год назад +2

    Fact blue ni mkali kajaaliwa kipaji sana coz anaweza kuimba na rapper pia hata yeye mwenyew hajui akae ktk pigo ipi na hio ndo changamoto namba mbili kwake.#bluebysersalutebrother

  • @Babamaploti
    @Babamaploti Год назад +4

    More of a life lesson to our new generations 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Год назад +2

    God works in a mysterious ways! Chid Benz from nowhere anamcheki Blue alafu Q chief anawaza hivyo hivyo kwenye wimbo 💪🏿😀🙌🏿

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 Год назад +3

    Interview bora kabisa kuwahi kutokea kwa mwaka huu wa 2023

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 Год назад +3

    Genious Byser

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Год назад

    Byser ni mtu wa maana sana 🙏
    Anakumbuka mema aliyofanyiwa
    Let's say ndio maana anaheshimika
    Huyo jamaa sio muongo 🙌 salute kwake legend

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 8 месяцев назад +1

    Nimecheka sanaa 😂✊🏽👏🏾🙌🏽💪🏽

  • @ommylax7231
    @ommylax7231 Год назад +1

    Kuvichaka mtu mbadi nakubali blood 💪 songesha harakati

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Год назад +5

    One of the best interview na kabaysa

  • @nelsonbilali3888
    @nelsonbilali3888 Год назад +5

    Bro yu are 1 of the best interviewers. Big up ... mad love from Kenya 🇰🇪

  • @StivemarleyBaruswage-sx6gd
    @StivemarleyBaruswage-sx6gd Год назад +3

    Brother blue hajawah kuniangish kbs yani kwahiy ngoma yak mpya na jux ameuwa sanaaa aiseee huyu brother anaumiza kichwa sn yani anaandika vizuri sn

  • @danielmihanjo5472
    @danielmihanjo5472 Год назад +1

    Bonge moja la interview kuvichaka

  • @ArafathMungi-ee9ru
    @ArafathMungi-ee9ru Год назад +1

    Nakubali sana bizy

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 7 месяцев назад

    Hongera kuvichaka

  • @FaustiniKalyembe
    @FaustiniKalyembe 10 дней назад

    Dudubaya😂😂😂😂

  • @sultanijuma9475
    @sultanijuma9475 Год назад +1

    Jabir salute babaaaa🤚🏽✋✋

  • @josphatwakuti-pd3iq
    @josphatwakuti-pd3iq Год назад +2

    From+254 Blue to the 🌎

  • @heightsmays5963
    @heightsmays5963 Год назад +3

    Blue is so true

  • @salaita2829
    @salaita2829 8 месяцев назад

    Huyu ndio anastahili kuwa bishoo,bishoo mwenye discipline sana.

  • @wabaremasandiko1024
    @wabaremasandiko1024 Год назад

    Nyimbo za huyu mwamba nimeziweka xna kwny barua km dedication!!!

  • @terrieblieyz4818
    @terrieblieyz4818 Год назад +2

    Wakongwe ndio tunaelewa vizuri hii interview.

  • @ABDOUASSANI-u5d
    @ABDOUASSANI-u5d Год назад

    ❤❤👍👍 kitoka makasi

  • @nassoroally6093
    @nassoroally6093 Год назад +1

    Hatari sana..

  • @DiabTutty-ke9bs
    @DiabTutty-ke9bs Год назад

    Nakukubali sana mr blue❤

  • @ABDOUASSANI-u5d
    @ABDOUASSANI-u5d Год назад

    😅😅❤❤ nakukubali sana tu

  • @salumuathuman5286
    @salumuathuman5286 Год назад +1

    The classic inabidi sir kibra awepo

  • @yussufmduu2976
    @yussufmduu2976 Год назад +1

    Huyu ni brother tuna muhitaki sana kwenye gam

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Год назад

    Buluuu nakukubali sana Ma man yaani interview zako huwa zina mvuto flani hivi wakuziangalia na kujifunza kitu

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 Год назад +4

    Nyan zee anatisha

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Год назад +5

    Bongofleva Honors
    1. Dully Sykes
    2. TID
    3. Juma Nature
    4. Jay Moe
    5. Mr Blue

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +3

    Bishoo hatari alafu ni bonge la rapa mkali balaa

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq 8 месяцев назад

    Blue brother man kinoma

  • @rogerbrother255
    @rogerbrother255 Год назад +1

    Niwaibukie ndotoni #Eti uvumilie mabomu

  • @ZaireJason
    @ZaireJason 4 месяца назад

    Bayser

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 10 месяцев назад

    Respect to my brother Prince Dully Sykes ❤❤❤❤

  • @valenciatraseas4840
    @valenciatraseas4840 Год назад +1

    #BlueBabylonByser #Kuvifact💥🙌🏻

  • @asherymwande5644
    @asherymwande5644 27 дней назад

    Hakuna bishow alowah kutokea kama blue tz hii

  • @yondutv3253
    @yondutv3253 Год назад +3

    Kuvi hii interviews nimecheka mwanzo mwisho

  • @mackamehassani201
    @mackamehassani201 9 месяцев назад

    Bro kuvi unanimalizia bando languuuu, hii kali sanaaaaaaa😅😅😅

  • @judithmwenda825
    @judithmwenda825 Год назад

    Ndio interview ambayo nimemaliza,bila Tuzo ila bado jamaa mkali

  • @bonnycostacosta7339
    @bonnycostacosta7339 Год назад +2

    Dudu baya

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 Год назад

    Oi blue Kama solo thang2 🤜🤛

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Год назад +1

    Respect

  • @hamadnasri5251
    @hamadnasri5251 Год назад

    Si unajua dudu baya😀😀😀

  • @MoMuhija
    @MoMuhija 8 месяцев назад

    ....miaka 20 huwezi kumaliza kwa dakika 20 😁

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад +1

    LEGEND 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤🎤🔥🎤🔥🔥🔥🔥🎼🎼🎼🔥🔥🎼🎼🔥🔥🔥

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 5 месяцев назад

    If you abuse the herb it gonna crush your head hommie

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 Год назад +1

    Byser OG sanaa

  • @deogratiusdaudi5482
    @deogratiusdaudi5482 Год назад

    asantee kuvi
    asantee ka-byser

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 Год назад

    Unyama

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Год назад

    Babylon bizzyyyy

  • @realpopray96
    @realpopray96 Год назад

    Kuviii nakukubalii kaka mkubwa

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 Год назад +2

    Mi mbona nafkiri Mr blue alikua mzuri kuimba kuliko kurap...tulimjua na wimbo wake wa mapozi...ilihit Sana,mbona hakuendelea kuimba akachange to rap

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 Год назад +1

      Nikweli kabisa Ila yeye ndo kakomaa na kurap Ila angekuwa anafanya moja rap moja kuimba

    • @mikesolomon1332
      @mikesolomon1332 8 месяцев назад +1

      Nadhani vile alimature sauti ilibadilika haingekidhi vizuri vigezo vya kuimba pia Kisha wakati ule wake rap ndio ilikua top of the game but singing was so sweet of him

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Год назад +1

    Mlete joslin

  • @alvinsamir2013
    @alvinsamir2013 9 месяцев назад

    kaka #KUVI kama hutojari kuna hiyo #MIDUNDO uwaga unaPlay na kina sisi ambao tuna CHEKI kupitia HUKU kama vip uwe unaPlay hata nusu ili tuwe tunaenda sawa . .. #KUVICHAKA

  • @immastersurvival481
    @immastersurvival481 Год назад

    Umesahau kolabo ya kassim mganga Ndoano

  • @cloudcharles3476
    @cloudcharles3476 Год назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @bosmutoto4416
    @bosmutoto4416 Год назад

    Kizazi

  • @fidelemupilinda2677
    @fidelemupilinda2677 Год назад

    ❤byser

  • @MtituTheDon-jl7ol
    @MtituTheDon-jl7ol Год назад

    Blue🎉🎉

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад

    💪

  • @mkoreaboytz
    @mkoreaboytz Год назад

    ❤❤❤❤

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 Год назад

    Blue Baisa Babylon Biiz

  • @Rachid_Daudi
    @Rachid_Daudi Год назад

    #LiegeEdward 🔥 🔥 🔥 😂😂😂

  • @mankwemba3841
    @mankwemba3841 Год назад

    Mr blue kweri ni kiboko Yao

  • @BongoZaKitambo55
    @BongoZaKitambo55 Год назад

    Bonge La Interview

  • @rajabmbogo8196
    @rajabmbogo8196 Год назад

    I like the way they ended the show!

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 8 месяцев назад

    Sema uyo dogo mwingine hatakiwi kuwepo hapo

  • @mwandustar
    @mwandustar Год назад

    Byser🎉

    • @omaryhabibu5144
      @omaryhabibu5144 Год назад +1

      naomba mtafute dizasta vin

    • @mwandustar
      @mwandustar Год назад

      @@omaryhabibu5144 Nikimpata nimwambieje kaka🤷

  • @afterx3172
    @afterx3172 Год назад

    Kuvi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊.

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Год назад

    Madini kama yote

  • @MeastrasElKachelino
    @MeastrasElKachelino Год назад

    Uyu mwamba kizungu kingi na hakijamkubali, anamchosha Blue kinoma, alafu anakera kimtindo...ubishoo wa nyoko !! 😒😒

    • @SabanaKhalfani-rr1zv
      @SabanaKhalfani-rr1zv 9 месяцев назад

      Ungekubali shule aya yote yasingetokea

    • @MeastrasElKachelino
      @MeastrasElKachelino Месяц назад

      @@SabanaKhalfani-rr1zv Haha, mie ni msomi sana bro, ila acha ubishoo wa nyoko, Kizungu kingi na cha ovyo sana, kinakera.

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Год назад

    ✊🏿👮🏿