THE CLASSIC MR BLUE PT 2 ; RAP ILINIKOA/NILIJINASUA KWENYE MIHADHARATI/NLIDHARAULIKA SIKUKATA TAMAA
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Mr Blue ambapo kiundani anaelezea namna alivyojinasua kutoka kwenye anguko kubwa la kimaisha lililomsababishia matatizo mengi yaliosababisha kukata tamaa kabisa na kisha kupoteza nafasi yake,lakini alijirudi na kutumia muziki wa rap kama ni sehemu ya come back yake ambayo imemrejesha kwenye ramani mpaka sasa
SUBSCRIBE FOR MORE
Interview kali Sana namba Moja toka namsikia blue
Fact blue ni mkali kajaaliwa kipaji sana coz anaweza kuimba na rapper pia hata yeye mwenyew hajui akae ktk pigo ipi na hio ndo changamoto namba mbili kwake.#bluebysersalutebrother
More of a life lesson to our new generations 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
God works in a mysterious ways! Chid Benz from nowhere anamcheki Blue alafu Q chief anawaza hivyo hivyo kwenye wimbo 💪🏿😀🙌🏿
Interview bora kabisa kuwahi kutokea kwa mwaka huu wa 2023
Genious Byser
Byser ni mtu wa maana sana 🙏
Anakumbuka mema aliyofanyiwa
Let's say ndio maana anaheshimika
Huyo jamaa sio muongo 🙌 salute kwake legend
Nimecheka sanaa 😂✊🏽👏🏾🙌🏽💪🏽
Kuvichaka mtu mbadi nakubali blood 💪 songesha harakati
One of the best interview na kabaysa
Bro yu are 1 of the best interviewers. Big up ... mad love from Kenya 🇰🇪
respect
Brother blue hajawah kuniangish kbs yani kwahiy ngoma yak mpya na jux ameuwa sanaaa aiseee huyu brother anaumiza kichwa sn yani anaandika vizuri sn
Bonge moja la interview kuvichaka
Nakubali sana bizy
Hongera kuvichaka
Dudubaya😂😂😂😂
Jabir salute babaaaa🤚🏽✋✋
From+254 Blue to the 🌎
Blue is so true
Huyu ndio anastahili kuwa bishoo,bishoo mwenye discipline sana.
Nyimbo za huyu mwamba nimeziweka xna kwny barua km dedication!!!
Wakongwe ndio tunaelewa vizuri hii interview.
❤❤👍👍 kitoka makasi
Hatari sana..
Nakukubali sana mr blue❤
😅😅❤❤ nakukubali sana tu
The classic inabidi sir kibra awepo
Huyu ni brother tuna muhitaki sana kwenye gam
Buluuu nakukubali sana Ma man yaani interview zako huwa zina mvuto flani hivi wakuziangalia na kujifunza kitu
Nyan zee anatisha
Bongofleva Honors
1. Dully Sykes
2. TID
3. Juma Nature
4. Jay Moe
5. Mr Blue
itakuwa vyema sana kama ukawatafuta hao uwafanyie interview
Bishoo hatari alafu ni bonge la rapa mkali balaa
Blue brother man kinoma
Niwaibukie ndotoni #Eti uvumilie mabomu
Bayser
Respect to my brother Prince Dully Sykes ❤❤❤❤
#BlueBabylonByser #Kuvifact💥🙌🏻
Hakuna bishow alowah kutokea kama blue tz hii
Kuvi hii interviews nimecheka mwanzo mwisho
Bro kuvi unanimalizia bando languuuu, hii kali sanaaaaaaa😅😅😅
Ndio interview ambayo nimemaliza,bila Tuzo ila bado jamaa mkali
Dudu baya
Oi blue Kama solo thang2 🤜🤛
Respect
Si unajua dudu baya😀😀😀
....miaka 20 huwezi kumaliza kwa dakika 20 😁
LEGEND 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤🎤🔥🎤🔥🔥🔥🔥🎼🎼🎼🔥🔥🎼🎼🔥🔥🔥
If you abuse the herb it gonna crush your head hommie
Byser OG sanaa
asantee kuvi
asantee ka-byser
asante efm kwa interview safi Ya kuv
Unyama
Babylon bizzyyyy
Kuviii nakukubalii kaka mkubwa
Mi mbona nafkiri Mr blue alikua mzuri kuimba kuliko kurap...tulimjua na wimbo wake wa mapozi...ilihit Sana,mbona hakuendelea kuimba akachange to rap
Nikweli kabisa Ila yeye ndo kakomaa na kurap Ila angekuwa anafanya moja rap moja kuimba
Nadhani vile alimature sauti ilibadilika haingekidhi vizuri vigezo vya kuimba pia Kisha wakati ule wake rap ndio ilikua top of the game but singing was so sweet of him
Mlete joslin
kaka #KUVI kama hutojari kuna hiyo #MIDUNDO uwaga unaPlay na kina sisi ambao tuna CHEKI kupitia HUKU kama vip uwe unaPlay hata nusu ili tuwe tunaenda sawa . .. #KUVICHAKA
Umesahau kolabo ya kassim mganga Ndoano
🔥🔥🔥🔥
Kizazi
❤byser
Blue🎉🎉
💪
❤❤❤❤
Blue Baisa Babylon Biiz
#LiegeEdward 🔥 🔥 🔥 😂😂😂
Mr blue kweri ni kiboko Yao
Bonge La Interview
I like the way they ended the show!
Sema uyo dogo mwingine hatakiwi kuwepo hapo
Byser🎉
naomba mtafute dizasta vin
@@omaryhabibu5144 Nikimpata nimwambieje kaka🤷
Kuvi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊.
Madini kama yote
Uyu mwamba kizungu kingi na hakijamkubali, anamchosha Blue kinoma, alafu anakera kimtindo...ubishoo wa nyoko !! 😒😒
Ungekubali shule aya yote yasingetokea
@@SabanaKhalfani-rr1zv Haha, mie ni msomi sana bro, ila acha ubishoo wa nyoko, Kizungu kingi na cha ovyo sana, kinakera.
✊🏿👮🏿