My LOve - Episode |10|
HTML-код
- Опубликовано: 29 мар 2024
- #Bhailam#Mariam#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... Кино
Mmesikia hiyo 😂😂😂shikamoo dada jambazi😅 kila scene ww jojo unaua ..
Kama unapendaga jojo🎉🎉🎉basi likes 5.
Wow wakwanza leo nipen like zangu plz bailam
kutoka kenya naomba like zangu❤❤❤
Wakwanza leo..❤team BHAILAM burudani kwa wote 😊😊😊
Kuna hii couple ya mjomba na shangaz ni moto
😅😅😅
😂😂😂😅😅😅
Ndo Uzuriiii😂😂😂😂
🤪🤪
Ila jojo😂😂😂😂
❤❤ anaemukubali Brz bahilamu❤❤ atiye likes apo ❤❤
Brz bahilamu tuna musubiri muedelezo wa ngoma ya mganga ep.......
Kutoka Uganda 🇺🇬 naitaji like zangu
Wa mwisho Leo kutoka kenya 🇰🇪
Nyie mnawai mno team furus team kupambana team WiFi team kupambana team bhailam aya tusalimiane
Hujambo time panguso😂😂😂
@@aishafrancis7714 udugu wangu sijambo kabisa alhamdulillah tupo na bhailam sasa 🤣🤣🤣
Baramu ukopowa 😀😀
@@mjombaa3899 🤣🤣🔥🔥
Nime fika mbele atakama siko wa kwanza ebu nipe liké zangu 🙏
Niko ichini Congo RDC 🇨🇩🇨🇩
Napenda kwamba bhailam amekubari kujiunga na ba mukwe wake❤ nawapenda nyinyi wote munaigiza vizuli sana
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Huyu boss Emy si mmuweke kwa nyumba nzuri maana anakaa kwenye kiota cha ndege tena eti anajiita boss😂😂😂
Hataki watu wajue anapoishi. Atakayempata wa kuenjoy naye ndo anampeleka kwenye nyumba nzuri
@@sikudhanimohammad7692 waah hiyo nayo ni kali
Emmy atarudi mjin na Jojo movie itakuwa ya mjin tu mana mjomba na shangazi nao wanaenda mjin
Wakwanza Léo 🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Bhailam amekua Bad Boy 🙆🏾♀️ 😂😂 Mzee Simba kuna new Sheriff in town 😮 kazi safi Team Bhailam 👏🏽💯👏🏽
Mariyamu usifuraiye nyumba bhailamu amekuwa jambazi kesho atauwa baba yako we kavizuri
😂😂😂😂😂baba mkwe 😂
Nimefurahi bhailam hakumuuwa mzee Simba na hatimaye kuungana pamoja❤❤Ila naomiy pic Kali jaman uongo tuacheni mtoto kama ngamia ❤❤naomiy asantee
Mashallah
🎉🎉🎉yupo vizur san
Huyu emy ni tajiri lakini hio nyumba anayokaa 😂😂😂
Tajiri fukara
😂😂😂
Kama banda la kuku😂😂😂
Maajab sana, hhh
🎉🎉🎉 ndio uzuri
WA kwanza Mimi from congo 🎉
Grate job Sir Bhaliam😊
Jojoooooo😂😂😂😂😂njaa mbayaa
Wa kwanza leooo, nipeni like zangu
Wa kwanza leo nipeni za kwangu❤❤
Jaman bhailam nlkuwa naisubr kwa ham hii movie 🥰
Wakwanza mimi from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Leo wakwanza nipe like zng plz
Yani humu kuna viumbe wa ajabu badala mtoe maoni juu ya kazi wanazofanya nyie mmekazana wa kwanza haya hizo like ndo mwenzenu ananufaika nn?? Hongereni team bailam kazi nzuri sana najivunia tz yangu
Kweli mwaya
Best series
Upo vizuri sana pamoja na timu yako cha kukushauli ongeza bidii usiishie hapo🏅
Kazi safii bhailam
Good job from 🇧🇮💐🙏🙏🔥
🎉🎉🎉
Hahaha hahaha 🤣🤣😂😂😂🤣
following from +254 🇰🇪
Jmn nani ameona bamkwe na bhailam nimependa sn hii part
0:16 0:17 0:18 0:18
😂😂😂😂
Ndo uzur
Nawapenda ❤❤
Nakubal xn
Wa kwanza Leo naombeni likes zenu jmniii
Wakwanza leo
Wow bhailam nakubali walai nkubali 😂😂😂😂😂😂😂love from team strong 🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️❤️
NICEE
❤❤❤❤🎉🎉🎉
So kuhusu ukimwi wa lishangaz bhailam hana
Ndo hapo hata haieleweki imekuaje
Atakua nao
Nipeni like zng 😅❤
Wa kwanza Mimi jamani
Bhailam wenoma baba
Tunakukubali sana watoto wa Congo 🇨🇩
Unatufurahisha mashabiki wako bailamu chukua maua yako 💐💐💐💐💐💐💐💐🌹
Good work
😊😅🎉😅😅
Mjini mjini 😂😂😂 alafu msaliti nlimjua kabla ata sijaona
Nimekuwa wakwanza jameni nipeni like zangu
Bhailam fund wa ku shine ty
Kazi nzurii sana
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ndo uzuri kwenda kuishi mjini😂😂😂😂😂😂
sema uyu demu wake bhailam ni mzuri nisaidieni contant zake
Mjomba na shangazi hayo mapenzi yao 😊
Bhailam mhandsome😂😂
Wamwisho mm nipe like❤
Bola ww mama kilam2wakwanza
Ila Janet unajua sana kunifurahisha
DRC 🇨🇩💪 nipeni
Safi sana🎉🎉🎉
Safi sana group bhailam😀😀kazi nzuri
Jmn kwan mnapika saa ngp 😊
Uyo mjomba wake ba ilamu nampenda sana na vibweka vake na ubunifu wake wa kuimba na swaga na kuongea kiruga aiseee
Ndio uzuri huo lazima nikuchane 😂😂😂😂😂
Tearm bhailam tupo kwa ajili ya my love
Yamekukuta bailam 😂, shida yko uoga, uliyavulia nguo kwaiyo shart uyaoge😂
Hivi nyie watu likes mnauzaga wapi maana kila comment et mm wa kwanza naomba likes halafu hatujui kama nani wa kwanza haya mm wa mwisho naombeni likes na mm
😀😀😀😀
😂😂😂
Jojo uyo Madam mwambie abadirishe nyumba basi🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂mkenamume mjomba wake bailamu nawependa
Aki uyu mujomba ananifurahisha 😂😂😂amesikia kwenda mjini anapiga break kwa kupumua
Bailam umegewuka jambazi lini nimekubali❤❤
Bhailam kazi nzuri nilikua hauwezi kumuua baba mkwe,,,hata kama ni pesa,,,,, Naomi pole Kwa kusalitiwa Kwa kiwango Cha juu😂😂😂😂😂
Wamwesho
Wakwanza Leo naomba like jamani
Bhailam hapo mwanzo umependeza na love wako
Bahilam tayari kaingia kwenye ugaidi kazi ipo
🎉🎉🎉🎉zenu bhailam
Hawa mjomba na shangazi vituko cn amapiano tn😂😂😂
Kitabu imegeuka 😅
😂😂😂😂😂😂jojo tajiri hanuniwii😅😅😅
Bailam Mimi nimezoea kukuona kwenye filamu ya uke wenza uko vizuri na nikiangalia hii filamu yako ya ugaidi inanitia hamu ya kuendelea na filamu yangu lete muendelezo wa ukewenza haraka mie hapa Wala naogopa
Nimekuwa wa mwisho naomba musinipe like zangu
❤❤❤
Naomba like ya bhailam❤❤❤
Mm nakuwaga wa mwisho na pia nikiitaji like sipewi sina bahati bc nipeni hata like tano
Movie kali🎉
Jaman mjomba Na mke wake mie hoiii 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂❤ mimi wa mwisho bas anae kubaliana na mm wa mwisho like kumi tuu nakupenda bailam
Wakwanza mm nipeni like zangu
Bhailam umemusaliti naomi kazi nzuri sana ❤❤❤❤
Goood timeee😂
Madam wa Jojo anacheka vzr sana n mrembo si habaa
Nakusikia Ndo uzuri 😂😂uncle mbwa kwel😂
Nikweli wanasemaga kwenye familia lazima kutakuwa na mkorofi mmoja jaman jojo ni shida anajua kunogesha movie nimempenda bureeee
Ni atareee mjomba na mk wake wanatisha
Bhilam nakubali kisi unakubali kutumka na baba kwe wako apo ndoo mutamkamata naom vizuli kabisa