MY LOVE |12|
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #Bhailam#Mariam#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...
Oya sio vizuri watu wa nje tutafanyaj aha izo kuwatizama tu nisapoti kubwa tuma ya mwisho wake wenza
Washaituma lkn tusiolipia hatuoni😂😂😂 ngoja nahii ikifikia mwisho watatufanyia hivyohivyo😂😂
Bhailam Naomba nisaidie niweze kufanya kaz naww najua ku act and ninastor nyingi sana Naomba
Unapatikana wap
naipenda kazi ya bhailam huyu ni moto tumsapoti afike mbali, tumpe bhailamu like na views wa kutosha
inamana liké ndiyo inaweza kumufikicha bali 😮😮
Rebeka mambo
@@DevidnestoryKokotoko freshe
Kwa alivyoanza na alipo Sasa tunaona viewz wanaongezeka hakuna mbaya sema Nina pita mtaani kuwambia watu wasabscribe na wapige alama ya kengere ili tuongezeke🎉🎉🎉🎉
@@rebeccazagabendio
Bailam kuwamakini na kipenzi chako Mariam lakini nawapenda sana❤ naomba like
Daaah bhailam umekua hatari mbaka nakuogopa
Mzazi ni Mzazi hata iweje namaanish ukiuwa Mzazi wangu naw nakuuwa🤤 so kazi nzuli
Kazi nzuri Jojo kimekuramba😅😅😅
Kaiba kaibiwa😂😂😂
😂😂😂
Kaka bhaillam ubarikiwe sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupenda sana bhailam ila kwenye wake wenza hujatutendea haki maskini
😂😂😂nahii itakua hivyo😢
Mimi niseme tu kua Naomy ni chombo mazee ❤
Umeonaeeeeeee
Naomi anashepu nzr halafu ananywele Mashallah
Love from Tanzania nawapenda timu ya bhailam
🇹🇿🔥👏🏽👏🏽
Pamoja san from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Hiiiii movie janaaa si nimeiangaliaa jamani au walifutaa ikapostiwa tenaaa
Jojo mwizi kaibiwa 😂😂😂😂
Sijapenda jojo kuibiwa 😢
😂😂😂😂
😂😂😂
Mwizi kaibiwa, uwa ananibamba sanayani😂😂😂😂
da imeniuma maskin JoJo 😢
Pia na yeye ameiba
Ulisema tusi watch wake wenza kabisa final cc wakenya
Sasa hivi mtaambiwa mtoe elf mbili mbili ili tumalizie na hii.
Elfu mbili ya Tanzania ni 2000
Hapa mda si mrefu tunakuja kupata news génération atakaye chukuwa nafasi ya Steven kanumba❤, alafu toka lini mvinyo wa tusker lite unaua mtu 😂😂😂 mbona ndo vitu vyangu hivyo😅😅😅,, hizo number zote haziko whatsapp nipo Congo jaman mnisaidiye niweze kutuma hiyo pesa ili nipate épisode ya mwisho jaman leo tupo tarehe kumi
Jojo anatia Imani jamani
Waliwekewa sumu
Tumeisubiri sana iyi, mimi hapa wa kwanza kutoka Uganda 🇺🇬
Nimeumia sana kuona jojo kaibiwa 😢
Ata mm sijapenda jojo alivoibiwa ety
Maskini Jojo umenyanganywa hela pole sana wanje 😢kimekuramba 😂 madame atakuuwa akikukamata😂
Bhailam km bhailam ,you are the great thinker
😂😂😂😂jojo mwizi kaibiwa😂😂😂😂😂 team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi Eid Mubarak nawapenda mno
Eid Mubarak
Nimekumis zai wangu❤
@@aishafrancis7714 miss to team rial sijakuona kwenye hatia 🤣🤣
@@AmeirhajjRamadhan-e1h Taqabllallah minna wa minkum
WAKWANZA LEO NAOMBA LIKE ZANGU WATANZANIA WENZANGU HATA KUMI TU
Nice movie
😂😂😂,mwizi kaibiwa.walai nawapenda sana
Hongera sn bhailam kazi nzuri sn ila jojo unamakerere 👏👏
Waw Hongera Sana Team Bhailam Nawapenda Sana Kutoka Burundi Guys 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️♥️💜💜💜 Bhailam Wew Nihatar Kbx 🥱🥱
Nimeipenda cast ya mama na mtoto Maryam wana mfanano kama wana mahusiano kweli
Nani amegundua hilo jumba bovu Ni lile walilotumia kina Clam vevo kwenye MISTAKE
Sure 💯
ndo lenyewe ndg😂😂😂
Ata na mm ilikw najiuliza ivo ivo
Kazi nzuri jaman du,,hv Naomi huo uywele wako au
😂😂😂Jojoooo muiz kaibiwa 😂😂
Good talent plz ifanye iwe ndefu किस
Shape la naomi🥰🥰
Jojo hangeibiwa😢😢wangeacha apige sherehe aki😂😂Sijapenda
Bhailamu ni actor mzuriii jamaniiii!!!!!!!
Wakwanza kabisa jamani
Kazi ni nzuri🎉🎉🎉🎉 jojo "mwizi kaibiwa"😂😂😂
Toka nianze kuangalia hii move sijamwona Recho jaman tumemmiss sanaa
Yupo kama umeona Naomi akiongea na mtu lakini akumuangalia sura ni recho
Ahaaaaa hapooo sawa maana tumemmiss sanaa jaman
Bhailam bhailam wewe broo unajua san ten zaidi ya san ❤❤❤❤
Naumia uko pw sana nimekupenda
Kazi nzuri kaka
Wake wenza au my love
Bhailam ni mtu nanusu🎉
Kazi nzuri sana ❤
Wow ! Wow! This is great ...wow ! What would happen 😢😢😢😢
Namkubali sana bhailam❤
Nawakubar sana
😂😂😂jamani Jojo amenifurahisha eti mwizi kaibiwa
Kazi nzuri sana ❤❤❤....... Ila Bailam vp mke mwenza ndio imeisha au
Bado kesho inatumwa episode ya mwisho lakini unatakiwa kulipia elfu mbili ndio uitazame
Jamn kwaiyo mzee simba kafa
😂😂😂😂😂majambazi wailing wamepatana mtu na bamkwe wake haya nawapenda kutoka Kenya ila hii nayo msije mkatuuzia
Jamani studio tenaaa❤❤🎉🎉
Ahsante kwa kutuachia mke mwenza final
Jamaa anajua sanaa ,awe anatoa mapem kazii
Na kama hatutoi hiyo elfu mbili hatutawatch ama😂😂
Ndio na ni mwezi mzima
Mashallah tabarakallah Eid Mubarak team bhailam❤❤
Sanaa nawapenda nyie ooh
Jojo umenichekesha sana ulipopokonywa mkoba na mwizi mwenzako Ila bhailam uminifanya nitoke chozi kumuua mzee Simba
Good job bhailam nakupenda San naninaomba iyi my love iwenaepisode nyingi kama wakewenza asant san from 🇧🇮💐 tunawapenda wote
Wa kwanza naomba likes zangu
Si umefariki mzee 😂😂😂😂simba
Jamni kazi nzurii mno 13 na 14 please
😢😢2000 Sina bas Nita acha kufatilia kama icho kipande cha mwisho mnauza😭
Tutaunsubscribe tu mana wametuona hatuna mana kwao
@@elizabethkabanda4105 ndio maana tuna support kazi zake Ila Ana kuja kutuuzia tena movie 😅
Mm pia mwenzenu na sina pesa jamani 😢😢
haupo pekeyako tutakikosa wengi.hicho
Kazi nzuri
Kazi nzuri sana
Kazi mzuriiii ❤❤
We naomi waitwa nan jitambulishe
Jamani mnachelewesha sana muendelezo khaa
Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka
waooo amazing jaman next ep pleaz
Nimekuwa wakwanza
Mbona mwisho imekata❤❤❤
Simba 😂apo lazma akuwe amevaa anti-bullet ! 😂Mchango upo kbsa !❤🎉🎉🎉🎉🎉
@Bhailamu, Mbona umemuua baba mkwe 😎
Nampenda sana bhailam❤
Maryam na mwenzako mmependeza ukivaa hijabu
First to comment..naombeni likes zenyu
Waaah Naomi ana figure mauwano❤
Chao nawashukuru sana ôté
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Good job brother
Mwizi kaibiwa 😂😂😂
Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilkuwa nataman kila anapopost Bhailam kaz one day iwe inaend ata 1k au mnasemaj tu support kaz nzr hii
Mbn mariam mara cleopatra😂😂😂
Bhailam anajua anajua anajua tena congratulations kamanda
Oyaa mwanang bhailam nakupendag San ukiwa unalia mwamba 😂😂😂😂 unanifurahishag saaaana so big up bro kazi nzuri San mnyamwezi
Sehemu kubwa mmerudia
Yan kazi nzuri sana mashallha
Bhailam boss jasiri
❤❤❤❤ kutoka 254 unaweza Kaka bhailam🔥🔥🔥
Yeah apo umetisha bana bhailam unafyatua tu
Kenya Watching, twapenda
Mbona imerudiwa
Marihm amefanya makosa kuondoka walipo mshoot babaake, ange weza kumkimbilia mwili wababaake na kuulilia kwa uchungu….. bahada ya hapo angeanza kuongea maneno ya uchungu na hasira kwa bhailam na naomy na team yake …. Then wange mshika marihamu ili asiende kutoa siri… bahada ya hapo mariamu ange toroka kwenye kifungo… na kwenda kufanya maisha mapya na kufikiria kulipiza kisasi
Ikiwa ingekuwa hivyo ingependeza sana
Hayo ni mawazo yako tu lkn story ya movie haijataka kuwa hivyo😂😅
Akamlilie akat wa2wamechanganyikiw na maisha je wakimuua na yy
Jmn me nampenda Naomi kwa mdomo wake 2 ana mdomo flan iv😋
Hiinayo mnaileta vizuri ikifika mwisho mnasema tuchangie😂😂😂
Hahahahahaa jojo mwizi kaibiwaaa mbavu zangu❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
Bhailam Young Lion