MY LOVE |12|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #Bhailam#Mariam#Naomy
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...

Комментарии • 328

  • @MartinNiyukuri-n2t
    @MartinNiyukuri-n2t 5 месяцев назад +20

    Oya sio vizuri watu wa nje tutafanyaj aha izo kuwatizama tu nisapoti kubwa tuma ya mwisho wake wenza

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      Washaituma lkn tusiolipia hatuoni😂😂😂 ngoja nahii ikifikia mwisho watatufanyia hivyohivyo😂😂

  • @FatmaNkuna-vd8py
    @FatmaNkuna-vd8py 5 месяцев назад +36

    Bhailam Naomba nisaidie niweze kufanya kaz naww najua ku act and ninastor nyingi sana Naomba

  • @moneyfollowme737
    @moneyfollowme737 5 месяцев назад +95

    naipenda kazi ya bhailam huyu ni moto tumsapoti afike mbali, tumpe bhailamu like na views wa kutosha

    • @rebeccazagabe
      @rebeccazagabe 5 месяцев назад +2

      inamana liké ndiyo inaweza kumufikicha bali 😮😮

    • @DevidnestoryKokotoko
      @DevidnestoryKokotoko 5 месяцев назад +1

      Rebeka mambo

    • @rebeccazagabe
      @rebeccazagabe 5 месяцев назад

      @@DevidnestoryKokotoko freshe

    • @saimonwantango9569
      @saimonwantango9569 5 месяцев назад +3

      Kwa alivyoanza na alipo Sasa tunaona viewz wanaongezeka hakuna mbaya sema Nina pita mtaani kuwambia watu wasabscribe na wapige alama ya kengere ili tuongezeke🎉🎉🎉🎉

    • @HAWAMAULIDI-zl5xd
      @HAWAMAULIDI-zl5xd 5 месяцев назад

      @@rebeccazagabendio

  • @VioletteManirakiza-n6f
    @VioletteManirakiza-n6f 5 месяцев назад +10

    Bailam kuwamakini na kipenzi chako Mariam lakini nawapenda sana❤ naomba like

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 5 месяцев назад +14

    Daaah bhailam umekua hatari mbaka nakuogopa

  • @Odreille
    @Odreille 5 месяцев назад +8

    Mzazi ni Mzazi hata iweje namaanish ukiuwa Mzazi wangu naw nakuuwa🤤 so kazi nzuli

  • @JulianaNehemiahjonathani
    @JulianaNehemiahjonathani 5 месяцев назад +15

    Kazi nzuri Jojo kimekuramba😅😅😅

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 5 месяцев назад +12

    Kaka bhaillam ubarikiwe sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @magrethtuma5843
    @magrethtuma5843 5 месяцев назад +10

    Nakupenda sana bhailam ila kwenye wake wenza hujatutendea haki maskini

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      😂😂😂nahii itakua hivyo😢

  • @bakariomary5781
    @bakariomary5781 5 месяцев назад +10

    Mimi niseme tu kua Naomy ni chombo mazee ❤

  • @nyamiziramadhani4232
    @nyamiziramadhani4232 5 месяцев назад +3

    Naomi anashepu nzr halafu ananywele Mashallah

  • @Miriamsanga-wf9si
    @Miriamsanga-wf9si 5 месяцев назад +12

    Love from Tanzania nawapenda timu ya bhailam

    • @elimukwadada
      @elimukwadada 5 месяцев назад +2

      🇹🇿🔥👏🏽👏🏽

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 5 месяцев назад +12

    Pamoja san from 🇧🇮💐 tunawapenda san

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 5 месяцев назад +7

    Hiiiii movie janaaa si nimeiangaliaa jamani au walifutaa ikapostiwa tenaaa

  • @MESAID-j4g
    @MESAID-j4g 5 месяцев назад +6

    Jojo mwizi kaibiwa 😂😂😂😂

  • @ChristinaCharles-ef8qv
    @ChristinaCharles-ef8qv 5 месяцев назад +34

    Sijapenda jojo kuibiwa 😢

  • @jennysomo7021
    @jennysomo7021 5 месяцев назад +14

    Ulisema tusi watch wake wenza kabisa final cc wakenya

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 5 месяцев назад +1

      Sasa hivi mtaambiwa mtoe elf mbili mbili ili tumalizie na hii.

    • @michaeljambo5981
      @michaeljambo5981 5 месяцев назад

      Elfu mbili ya Tanzania ni 2000

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 5 месяцев назад +26

    Hapa mda si mrefu tunakuja kupata news génération atakaye chukuwa nafasi ya Steven kanumba❤, alafu toka lini mvinyo wa tusker lite unaua mtu 😂😂😂 mbona ndo vitu vyangu hivyo😅😅😅,, hizo number zote haziko whatsapp nipo Congo jaman mnisaidiye niweze kutuma hiyo pesa ili nipate épisode ya mwisho jaman leo tupo tarehe kumi

  • @raphaelvarane-rv9bv
    @raphaelvarane-rv9bv 5 месяцев назад +5

    Tumeisubiri sana iyi, mimi hapa wa kwanza kutoka Uganda 🇺🇬

  • @ZainbZainb-s6f
    @ZainbZainb-s6f 5 месяцев назад +8

    Nimeumia sana kuona jojo kaibiwa 😢

  • @VanillaVictor
    @VanillaVictor 5 месяцев назад +4

    Ata mm sijapenda jojo alivoibiwa ety

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 5 месяцев назад +8

    Maskini Jojo umenyanganywa hela pole sana wanje 😢kimekuramba 😂 madame atakuuwa akikukamata😂

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 5 месяцев назад +9

    Bhailam km bhailam ,you are the great thinker

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 5 месяцев назад +11

    😂😂😂😂jojo mwizi kaibiwa😂😂😂😂😂 team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi Eid Mubarak nawapenda mno

  • @PascalChales-r7o
    @PascalChales-r7o 5 месяцев назад +24

    WAKWANZA LEO NAOMBA LIKE ZANGU WATANZANIA WENZANGU HATA KUMI TU

  • @Mwanajuma-j5i
    @Mwanajuma-j5i 5 месяцев назад +2

    😂😂😂,mwizi kaibiwa.walai nawapenda sana

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 5 месяцев назад

    Hongera sn bhailam kazi nzuri sn ila jojo unamakerere 👏👏

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 5 месяцев назад +2

    Waw Hongera Sana Team Bhailam Nawapenda Sana Kutoka Burundi Guys 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️♥️💜💜💜 Bhailam Wew Nihatar Kbx 🥱🥱

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 5 месяцев назад +3

    Nimeipenda cast ya mama na mtoto Maryam wana mfanano kama wana mahusiano kweli

  • @arifyussuf7900
    @arifyussuf7900 5 месяцев назад +8

    Nani amegundua hilo jumba bovu Ni lile walilotumia kina Clam vevo kwenye MISTAKE

  • @MagrethSiame-q5n
    @MagrethSiame-q5n 4 месяца назад

    Kazi nzuri jaman du,,hv Naomi huo uywele wako au

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 5 месяцев назад +4

    😂😂😂Jojoooo muiz kaibiwa 😂😂

  • @JayKhabibu
    @JayKhabibu 5 месяцев назад +2

    Good talent plz ifanye iwe ndefu किस

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 5 месяцев назад +4

    Shape la naomi🥰🥰

  • @kisakatheerichkid
    @kisakatheerichkid 5 месяцев назад +2

    Jojo hangeibiwa😢😢wangeacha apige sherehe aki😂😂Sijapenda

  • @LUCIAMYINGA-xx4hu
    @LUCIAMYINGA-xx4hu 5 месяцев назад +3

    Bhailamu ni actor mzuriii jamaniiii!!!!!!!

  • @christopherrhoida8207
    @christopherrhoida8207 5 месяцев назад +6

    Wakwanza kabisa jamani

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 месяцев назад +2

    Kazi ni nzuri🎉🎉🎉🎉 jojo "mwizi kaibiwa"😂😂😂

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 5 месяцев назад +3

    Toka nianze kuangalia hii move sijamwona Recho jaman tumemmiss sanaa

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 5 месяцев назад +2

      Yupo kama umeona Naomi akiongea na mtu lakini akumuangalia sura ni recho

    • @Godfrey_lusekelo
      @Godfrey_lusekelo 5 месяцев назад

      Ahaaaaa hapooo sawa maana tumemmiss sanaa jaman

  • @HusnaMasenga
    @HusnaMasenga 5 месяцев назад

    Bhailam bhailam wewe broo unajua san ten zaidi ya san ❤❤❤❤

  • @EsterMwambuchi
    @EsterMwambuchi 5 месяцев назад +1

    Naumia uko pw sana nimekupenda

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli 5 месяцев назад +3

    Kazi nzuri kaka

  • @ahmadichumbueni6261
    @ahmadichumbueni6261 5 месяцев назад +2

    Wake wenza au my love

  • @RamadhanihamisiMussa
    @RamadhanihamisiMussa 5 месяцев назад +4

    Bhailam ni mtu nanusu🎉

  • @RoseWabis
    @RoseWabis 5 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sana ❤

  • @AUTRISFILMPRODUCTION
    @AUTRISFILMPRODUCTION 5 месяцев назад +1

    Wow ! Wow! This is great ...wow ! What would happen 😢😢😢😢

  • @vailethmgimba8367
    @vailethmgimba8367 5 месяцев назад +3

    Namkubali sana bhailam❤

  • @meshackafro1070
    @meshackafro1070 5 месяцев назад +3

    Nawakubar sana

  • @MonaaOm
    @MonaaOm 5 месяцев назад +2

    😂😂😂jamani Jojo amenifurahisha eti mwizi kaibiwa

  • @rahmajuma2946
    @rahmajuma2946 5 месяцев назад +2

    Kazi nzuri sana ❤❤❤....... Ila Bailam vp mke mwenza ndio imeisha au

    • @nasrikhan4218
      @nasrikhan4218 5 месяцев назад

      Bado kesho inatumwa episode ya mwisho lakini unatakiwa kulipia elfu mbili ndio uitazame

  • @BintyRama-b1r
    @BintyRama-b1r 5 месяцев назад +3

    Jamn kwaiyo mzee simba kafa

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 5 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂majambazi wailing wamepatana mtu na bamkwe wake haya nawapenda kutoka Kenya ila hii nayo msije mkatuuzia

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u 5 месяцев назад +3

    Jamani studio tenaaa❤❤🎉🎉

  • @AllyhusseniSamnenga
    @AllyhusseniSamnenga 5 месяцев назад

    Ahsante kwa kutuachia mke mwenza final

  • @eliasmsagati6448
    @eliasmsagati6448 5 месяцев назад +1

    Jamaa anajua sanaa ,awe anatoa mapem kazii

  • @Winleizerabdy
    @Winleizerabdy 5 месяцев назад +3

    Na kama hatutoi hiyo elfu mbili hatutawatch ama😂😂

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 5 месяцев назад +2

    Mashallah tabarakallah Eid Mubarak team bhailam❤❤

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 5 месяцев назад

    Sanaa nawapenda nyie ooh

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 5 месяцев назад +1

    Jojo umenichekesha sana ulipopokonywa mkoba na mwizi mwenzako Ila bhailam uminifanya nitoke chozi kumuua mzee Simba

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 5 месяцев назад

    Good job bhailam nakupenda San naninaomba iyi my love iwenaepisode nyingi kama wakewenza asant san from 🇧🇮💐 tunawapenda wote

  • @mahmoudiddris7945
    @mahmoudiddris7945 5 месяцев назад +3

    Wa kwanza naomba likes zangu

  • @BintyRama-b1r
    @BintyRama-b1r 5 месяцев назад +3

    Si umefariki mzee 😂😂😂😂simba

  • @SandrahVictor-yz9ph
    @SandrahVictor-yz9ph 5 месяцев назад

    Jamni kazi nzurii mno 13 na 14 please

  • @chugaboytz7763
    @chugaboytz7763 5 месяцев назад +7

    😢😢2000 Sina bas Nita acha kufatilia kama icho kipande cha mwisho mnauza😭

    • @elizabethkabanda4105
      @elizabethkabanda4105 5 месяцев назад +4

      Tutaunsubscribe tu mana wametuona hatuna mana kwao

    • @chugaboytz7763
      @chugaboytz7763 5 месяцев назад

      @@elizabethkabanda4105 ndio maana tuna support kazi zake Ila Ana kuja kutuuzia tena movie 😅

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 5 месяцев назад

      Mm pia mwenzenu na sina pesa jamani 😢😢

    • @ibrahimunicodemo2806
      @ibrahimunicodemo2806 5 месяцев назад

      haupo pekeyako tutakikosa wengi.hicho

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri

  • @geraldaud
    @geraldaud 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @OmanMobile-v7h
    @OmanMobile-v7h 5 месяцев назад +2

    Kazi mzuriiii ❤❤

  • @BintyRama-b1r
    @BintyRama-b1r 5 месяцев назад +2

    We naomi waitwa nan jitambulishe

  • @RosyKaemdin
    @RosyKaemdin 5 месяцев назад

    Jamani mnachelewesha sana muendelezo khaa

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 5 месяцев назад +1

    Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka

  • @VictoriaNkole
    @VictoriaNkole 5 месяцев назад +1

    waooo amazing jaman next ep pleaz

  • @AckibayowelKennedy-ls2gi
    @AckibayowelKennedy-ls2gi 5 месяцев назад +3

    Nimekuwa wakwanza

  • @jamesjoachim1692
    @jamesjoachim1692 5 месяцев назад +2

    Mbona mwisho imekata❤❤❤

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 5 месяцев назад +2

    Simba 😂apo lazma akuwe amevaa anti-bullet ! 😂Mchango upo kbsa !❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bhenryfilm
    @bhenryfilm 5 месяцев назад +2

    @Bhailamu, Mbona umemuua baba mkwe 😎

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 5 месяцев назад

    Nampenda sana bhailam❤

  • @fatmahmuhamad7301
    @fatmahmuhamad7301 5 месяцев назад +1

    Maryam na mwenzako mmependeza ukivaa hijabu

  • @funnytiktokvideos7824
    @funnytiktokvideos7824 5 месяцев назад +2

    First to comment..naombeni likes zenyu

  • @douglasmbogo2836
    @douglasmbogo2836 5 месяцев назад +3

    Waaah Naomi ana figure mauwano❤

  • @FrançoisJustin-e5n
    @FrançoisJustin-e5n 5 месяцев назад

    Chao nawashukuru sana ôté

  • @MrJohnblaiseBlaise
    @MrJohnblaiseBlaise 5 месяцев назад +1

    C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @AgaboLukas-m5w
    @AgaboLukas-m5w 5 месяцев назад

    Good job brother

  • @hatangafelix5598
    @hatangafelix5598 5 месяцев назад +1

    Mwizi kaibiwa 😂😂😂

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 5 месяцев назад +5

    Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gabrielmnangala7822
    @gabrielmnangala7822 5 месяцев назад

    Nilkuwa nataman kila anapopost Bhailam kaz one day iwe inaend ata 1k au mnasemaj tu support kaz nzr hii

  • @EmmyMo
    @EmmyMo 5 месяцев назад +1

    Mbn mariam mara cleopatra😂😂😂

  • @scompanyswahili3024
    @scompanyswahili3024 5 месяцев назад +1

    Bhailam anajua anajua anajua tena congratulations kamanda

  • @UwimanaAmanBreezy
    @UwimanaAmanBreezy 5 месяцев назад

    Oyaa mwanang bhailam nakupendag San ukiwa unalia mwamba 😂😂😂😂 unanifurahishag saaaana so big up bro kazi nzuri San mnyamwezi

  • @geekilimba8362
    @geekilimba8362 5 месяцев назад +2

    Sehemu kubwa mmerudia

  • @ZubedaRamadhan-tv1pq
    @ZubedaRamadhan-tv1pq 5 месяцев назад

    Yan kazi nzuri sana mashallha

  • @sarahchampions-wi8re
    @sarahchampions-wi8re 3 месяца назад

    Bhailam boss jasiri

  • @BekahKhassankan-yr6vr
    @BekahKhassankan-yr6vr 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤ kutoka 254 unaweza Kaka bhailam🔥🔥🔥

  • @JacksonKimario-ig8dl
    @JacksonKimario-ig8dl 5 месяцев назад

    Yeah apo umetisha bana bhailam unafyatua tu

  • @STANLEYKINYILI
    @STANLEYKINYILI 5 месяцев назад

    Kenya Watching, twapenda

  • @SteveJames-j8m
    @SteveJames-j8m 5 месяцев назад +2

    Mbona imerudiwa

  • @sabria7421
    @sabria7421 5 месяцев назад +5

    Marihm amefanya makosa kuondoka walipo mshoot babaake, ange weza kumkimbilia mwili wababaake na kuulilia kwa uchungu….. bahada ya hapo angeanza kuongea maneno ya uchungu na hasira kwa bhailam na naomy na team yake …. Then wange mshika marihamu ili asiende kutoa siri… bahada ya hapo mariamu ange toroka kwenye kifungo… na kwenda kufanya maisha mapya na kufikiria kulipiza kisasi
    Ikiwa ingekuwa hivyo ingependeza sana

    • @GetrudaSanga-d7l
      @GetrudaSanga-d7l 5 месяцев назад +2

      Hayo ni mawazo yako tu lkn story ya movie haijataka kuwa hivyo😂😅

    • @mzembemakini3532
      @mzembemakini3532 5 месяцев назад +1

      Akamlilie akat wa2wamechanganyikiw na maisha je wakimuua na yy

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 5 месяцев назад +1

    Jmn me nampenda Naomi kwa mdomo wake 2 ana mdomo flan iv😋

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

    Hiinayo mnaileta vizuri ikifika mwisho mnasema tuchangie😂😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 5 месяцев назад

    Hahahahahaa jojo mwizi kaibiwaaa mbavu zangu❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @elimukwadada
    @elimukwadada 5 месяцев назад +1

    Bhailam Young Lion