MY LOVE |13|
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2024
- #Bhailam#Mariam#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... - Кино
Daaaa sema jojo umetisha sana .alo liona hilo agonge like hapa 😂😂😂
Number one uwaga kilasiku ni wewe tu ila leo ni mimi APA Congo kama hauto jali nipe like zako ni muhimu sana
Kwani bro like ata tukikupa itakusaidia nini?
@@hakizimanabilaliNami pya daji uliza iyo swali 😅
Halafu uzipeleke wapi? Zinakuongezea nini?
Kazi nzuri bhailam kama unamkubali bhailam usichelew gonga like t apa
Jerry from United ❤❤
Jojo sitachoka kukupenda dadangu naomba like za jojo
Mwana muziki kutoka Congo, nipeni japo like 10 tuh wa tanzania🙏🙏
Like apo kama unaipenda MY LOVE
Ila hii ngoma ni moto sana mnajua maua yenu🎉🎉🎉🎉
Nawakumbali Sana time Bhailam 🎉🎉wapi like ya jojo na maombi yake mazuri🎉🎉🎉🎉😂
Watu munamepe ndo uzuli na mke wake gonga like
Mauwa kwa Jojo jamani 🎉🎉🎉 Namupenda Sana anavyo yigiza jamani 😂😂😂 nawapenda team zima ya bhailam kutoka malawi ❤❤❤
Nataka recho aingie ulingoni alafu awe anti yake mariam,
yaani huu moto utalipuka😂😂
Daaaaa nakubali sana bhailam❤❤❤
JoJo amenifanya ni feel something 😢😢 imenigusa sana ...the she begs..😢😢😢 ... congrats JOJO
Wakwanza mm apa nipeni like zangu kutokea tanzania
WE jojo ww jinga sana😂
Jojo apewe maua yake,tasnia ya uigizaji anaimiliki na kuishika kwa Koleo za ubongo ❤
Jojo hapa umenimaliza mbavu zaniuma jamani 😅😅😅😅
Nampenda mjomba ata ni balaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu ndio anafanya na watch movie zenu bile yy no siezi watch so bailam kwa kila movie naomba sana mjomba awe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yy na mkewe aki wamechukua part nzuri sana
Ila mjomba ataibiwa mke😂😂
@@m.mmarckus6298umeona😂😂😂
Hyu kijana mwenye anafagia na kofia ya red jmn pia alikua amepotea zamani alikua kwa asma comedian
Anko putula
More fire🔥from Kenya much love❤❤,nimekuwa wa mwisho si mnipee hata like kumi tu😢😂😂
Anko putula
Muache iyo ujinga Yakuomba omba like Ngombe nyinyi, tunaitaji maoni
Likes hazina umuhimu🤣🤣🤣
Mm pia wananikera kweli,utadhani like ndio wananunua nazo vocha😅
😂😂😂
😂🤣
Hizo like wakiomba zaingia kwenye move bado
Mko fasta sana team my love ❤️❤️ aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi team bhailam nawapenda mno
Hongereni sana kwakazi nzuri jojo😂😂😂 umeisha sana mauw yako mpenzi
Couple ya janeth na mumewe mm huku hoii😅😅😅
😅😅😅Aki ndio uzur janet nae ajua mapenzi
Jojo kama jojooo unanifurahisha 😂
Mmi naona anajichetua kupitiliza
@@mirnababy5012 ni kweli lakini ananifurahisha Jojo
😂😂😂😂😂Ila jojo mungu anakuona umepigaje apo
😂😂😂😂 jojo aki hyu demu ataja nivunja mie
Oyoooooooo ❤❤❤❤❤❤kama unaipenda love story hii like
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kumekuchaah halafu nmetoka kuiwaza sasaiv hii My Love jaman❤❤❤❤
Mjomba na mkewe mukoju 🎉🎉sasa bhailamu ukimwambiya mariyamu ukweli njo atakuelewa kipindi alikua akikuuliza kilasiku kama we jambazi unakata anaakikisha unauwa bb yake unafkiri atakuelewa
😢 imagine awezi
Jojo nakupenda bure😂😂😂😂😂
Uyu mjomba ake bhailam na uyo mkewe wameeendana na vituko vyao😅😅
Hahaha,Jojo aky wee n good actor ddng Mungu akupee nguvu zaidi . Good job guys aky mko vzri sana but mwachelewa sana
Wa 144 nomba ata like 10 tu ntafurahi sana
Miriam aky wanifurahisha na hicho kimimba chako😂😂❤❤, naomba like zang hp
Hii si mimba ni kibuyu mimba😂😂😂
Jojo umeweza ,unajua kuifanyia kazi part yko mauwa yko kipenzi🌹🌹🌹
Mungu andelee kubalki kazi zako brother bailamu ww ni shida
Nadhani mnakumbuka mwanzoni niliposema bhailam lazima ataua babake huyu msichana 😁nipeni like zangu from Kenya
Mze ndo uzuri hu nifurahisha Sana, much love from Rwanda 🇷🇼
Wakwanz naomba like zngu jmni nmewai❤
Wakwanza nawapenda wote jamani ❤️
Tumpe Jojo like zake Jaman 😂😂😂😂
Jojo ni chawa wa maana mwijaku akasome yaani so Kwa Dua hizo🤗
Ilove you jojo somuch.
Mungu akuze kipaji chalo sana😅😅😅😅😅
Mnaichelewesha sana hadi tunasahau tulipoishia
Jojo unajua hadi unakera
Wa kwanza leo😂
Jojo kaniuwa😂
Jojo is my favorite acto lwa hii movie ya my love
Jojo we sio powa
Jamaniii mmh jojo khaaa mambo ni fire 🔥🔥
Jojo alikua hafananii kua na maisha magum
Kazi kazi kumekucha....
Kisambaaaa nimekiskia hapa😅😅😅😅umetisha
😂😂😂😂ak Jojo nakupenda bure kazi nzuri
Hii movie sasa si my love tenaa maana maadui ni wengii isay wanawindanaa wenyewe kwa wenyewe😂😂😂nomaa sanaa
Jojo kama Jojo 😂 anakipaji cha uchawa😅😅, vipi ndugu yake babalevo ao😊
😂😂
😂😂😂
Jojo waaaah safi 😅😅😅 uko vizur ❤❤❤
Ndo uzuli. Kazi nzuri bwana bhailam.
Wakwanza leo. Ni mm naomben like sangu🎉
Bila jojo hainogi ❤
Jojo bana nakupenda sn😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
ILA JOJOH🙌😂😂😂😂😂
Big up Bhailam keep the good work and we can't wait part 14 🎉 🔥🔥
Kazi nzuri, Kenya Watching. Twapenda
Wakwanza leo
Kazi nzuri ila mnachelewa sana
Mim leo wa kwanza ❤❤kama unamkubali bhailam mpe likes
Bhailam ni mmoja tu❤❤❤...kwel9 mtoto wa nyoka ni nyoka,haya mariam pelekea watu 🔥 🔥 🔥
Jojo jojo😂😂😂😂😂😂😂
Waume sungu zangu nigejufa mm😂😂😂
Admiro muito os Tanzânianos ❤em particular BAILAM e grupo dele, vós desejo força, saúde acima de tudo fé em Allah (Munngo)🙏,que Allah abençoe vossos trabalhos ❤️❤️❤️. Quem ama e admira todos trabalhos de Bay peço LIKE mesmo que seja 10🥰🥰🥰🥰🥰
From mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kila mtu ni wa kwanza basi mi wa mwishoooo
Nan kaliona tumbo ka mariam lipo kifuwan🤣😂
😂😂😂
Yaan Jojo na awa wakina mjomba ni comedian wakubwa
Jojo nakupenda sana🤣🤣
bhailamu jaman msicheleweshe sana utamuuuu🎉❤🎉
Safi sana bwana bhailam🎉😊
Jojo weee aah mwisho w mawazo😂😂❤❤
Jamani uyu JoJo ana furahisha kinoma🎉🎉🎉❤❤❤
Naipenda sana hiyi movie lakini mna tukoseya kitu kimoja Tu mana kawiya ku towa sana
Mariam sasa ilo tumbo 😮
😂😂😂😂
Mover ya my love me nampenda sanaa jojo😂😂😂😂😂ananifuraisha sanaaa
Jojo😂😂 for me love from Kenya 🇰🇪 to Tanzania ❤❤
Lakini kwenye mimba mmetupiga 😅😅kah mimba ipo kifuani kama matiti 😂😂 inatembea upande upande mimba hiyo 😅😅
Ndo uzulii😂😂😂
Mbona mimba Maryam iko juu
😂😂😂huyu mzee ndouzuri nkuchane mwamanye vandu😂😂namke wake wananifurahisha sana ila naona mjamaa mumoja Ana mfungia macho mke wa mzee mwamanye vandu
😅😅😅😅😅 ungekongwa iweeee😅😅😅
Hamza na mkewe wanachekesha🤣🤣🤣🤣🤣
aiseee bhailam wewe ni Big thinker
Kazi nzuri, big up ❤❤❤
Mambo imechemka kwa Bhailam
Uzuli bhailam iyikazininzuli natunayipenda san ilaunakawiza kuachia from 🇧🇮💐🌹 tunakupenda san
Jojo umetisha sana uko vzl
Ila jojoh ananifaa😂😂😂❤❤
Jojo noma kwa uchepe hongera
Jojo kapeleka uchawa mjini ndio uzuri nikuchane😹😹😹😹😹😹😹
😂😂😂
Jojo bana unanifulahisha sana❤❤❤😂😂😂❤❤❤