BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 846

  • @VioletteManirakiza-jf2rk
    @VioletteManirakiza-jf2rk 14 дней назад +134

    Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like

    • @janetkyumbe7154
      @janetkyumbe7154 14 дней назад +7

      Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂

    • @juliensango8504
      @juliensango8504 14 дней назад +3

      Aki tume furahi sana kabisa sana 😊

    • @emilymarcel8172
      @emilymarcel8172 14 дней назад

      Huyu atakua anaota​@@janetkyumbe7154

    • @rukcabby2572
      @rukcabby2572 14 дней назад

      ​@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂

    • @user-kb1rq8dx1h
      @user-kb1rq8dx1h 14 дней назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅​@@janetkyumbe7154

  • @ElogeKambale-bw2zd
    @ElogeKambale-bw2zd 14 дней назад +57

    Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l 14 дней назад +53

    wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉

  • @LuciaBukula
    @LuciaBukula 14 дней назад +108

    Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona

  • @Kamoste
    @Kamoste 14 дней назад +52

    Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂

  • @faithkalulu
    @faithkalulu 14 дней назад +76

    mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni

    • @graffinamisi
      @graffinamisi 9 дней назад

      Like zikusaidie na nini jamani

    • @faithkalulu
      @faithkalulu 9 дней назад

      @@graffinamisi none of your business braza

    • @faithkalulu
      @faithkalulu 9 дней назад

      @@graffinamisi na sipendi uchokozi

    • @graffinamisi
      @graffinamisi 9 дней назад

      @@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like

    • @faithkalulu
      @faithkalulu 9 дней назад

      @@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 14 дней назад +57

    Wa kumi na Nani kutoka Burundi
    Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo

  • @modex_0376
    @modex_0376 14 дней назад +178

    Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa

  • @dianaqueen7967
    @dianaqueen7967 14 дней назад +36

    Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani

  • @gaudenciasyl9809
    @gaudenciasyl9809 14 дней назад +46

    Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉

  • @user-wy8ru2pi4s
    @user-wy8ru2pi4s 14 дней назад +43

    Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @KeristiStel
      @KeristiStel 14 дней назад

      Hi

    • @bridgetakuku6955
      @bridgetakuku6955 14 дней назад +1

      Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @JohnsonMwita-uz5dn
      @JohnsonMwita-uz5dn 14 дней назад

      Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂

    • @YusraSiyaleo-yk2fz
      @YusraSiyaleo-yk2fz 14 дней назад

      Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap​@@bridgetakuku6955

  • @emm-blacklight5243
    @emm-blacklight5243 14 дней назад +23

    Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 14 дней назад +28

    Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 14 дней назад +22

    Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi

    • @bridgetakuku6955
      @bridgetakuku6955 14 дней назад

      Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-hb9eq2fo6z
    @user-hb9eq2fo6z 14 дней назад +39

    Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂

  • @user-eo8wi2is7t
    @user-eo8wi2is7t 14 дней назад +27

    Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu

  • @kingchiefking9265
    @kingchiefking9265 14 дней назад +26

    Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro

  • @MashMashile
    @MashMashile 14 дней назад +20

    Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana

  • @user-dc5xm3bd9x
    @user-dc5xm3bd9x 14 дней назад +10

    Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 14 дней назад +11

    mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m 14 дней назад +9

    Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤

  • @SARIVE.LAME_123
    @SARIVE.LAME_123 14 дней назад +16

    Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 14 дней назад +16

    Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-cj9pe5ts6c
    @user-cj9pe5ts6c 14 дней назад +13

    Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤

  • @kondebouy1308
    @kondebouy1308 14 дней назад +15

    Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗

  • @RehemaKitsao
    @RehemaKitsao 14 дней назад +6

    Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤

  • @niyogushimadorine6086
    @niyogushimadorine6086 14 дней назад +13

    Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @AmonIhangane
    @AmonIhangane 14 дней назад +5

    Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe

  • @user-oj2bd9td6r
    @user-oj2bd9td6r 14 дней назад +4

    Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤

  • @Tikijmlengo-rj8ed
    @Tikijmlengo-rj8ed 14 дней назад +15

    imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉

  • @MosesMakokha-tg4ki
    @MosesMakokha-tg4ki 14 дней назад +4

    Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv 14 дней назад +5

    Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko 14 дней назад +5

    Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @joygitahi3809
    @joygitahi3809 14 дней назад +8

    Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.

  • @babutalemituno
    @babutalemituno 14 дней назад +7

    Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 14 дней назад +10

    Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san

  • @dondeprincer9527
    @dondeprincer9527 14 дней назад +12

    aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho

  • @user-fk4pd6bp7j
    @user-fk4pd6bp7j 14 дней назад +13

    A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu

  • @HadijaHuseni
    @HadijaHuseni 14 дней назад +8

    Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g День назад

      😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤

  • @user-ff9gr2ns1c
    @user-ff9gr2ns1c 14 дней назад +15

    Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪

  • @vavavava-ed7lg
    @vavavava-ed7lg 14 дней назад +4

    Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏

  • @GaidiBeuchi
    @GaidiBeuchi 14 дней назад +6

    Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie

  • @BrianMulari
    @BrianMulari 14 дней назад +4

    Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana

  • @user-ex6tg6di7r
    @user-ex6tg6di7r 14 дней назад +3

    Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 14 дней назад +9

    Ngojaa niangalie kwanza movie

  • @ksaskaka
    @ksaskaka 14 дней назад +2

    Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-zm8wo1ue7e
    @user-zm8wo1ue7e 14 дней назад +4

    Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤

  • @niyogushimadorine6086
    @niyogushimadorine6086 14 дней назад +7

    Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @NzarokalamaNzarokalama
    @NzarokalamaNzarokalama 14 дней назад +5

    Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana

  • @HassanBambaza
    @HassanBambaza 14 дней назад +13

    Namm nimewahi Leo jmn naomba like

  • @marietacristovao1387
    @marietacristovao1387 14 дней назад +3

    Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla

  • @FrancoIndeche
    @FrancoIndeche 14 дней назад +4

    Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤

  • @Pauline-254
    @Pauline-254 14 дней назад +7

    Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes

  • @constantinndayishimiyenshu4948
    @constantinndayishimiyenshu4948 14 дней назад +2

    Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 14 дней назад +3

    Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz

  • @cishamakejoseph
    @cishamakejoseph 14 дней назад +7

    Amazing film rwanda we together

  • @esterester3628
    @esterester3628 14 дней назад +2

    Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤

  • @NelcyAfrica
    @NelcyAfrica 14 дней назад +2

    Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah

  • @janemoraa8470
    @janemoraa8470 14 дней назад +2

    Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤

  • @BrandinaAntony
    @BrandinaAntony 14 дней назад +7

    Kazi nzuri sana

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z 14 дней назад

    Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢

  • @aminakenyaa9337
    @aminakenyaa9337 14 дней назад +1

    Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 14 дней назад +1

    Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi 14 дней назад +1

    Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 14 дней назад

    Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @belysenibitanga2786
    @belysenibitanga2786 14 дней назад +3

    Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona

  • @user-lv6xv6nf5j
    @user-lv6xv6nf5j 13 дней назад +1

    Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 14 дней назад +8

    Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g День назад +1

      𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂

    • @MwanalimaAbdallahkea
      @MwanalimaAbdallahkea 23 часа назад

      @@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣

  • @zainaburashidi8127
    @zainaburashidi8127 14 дней назад +4

    Aya jamani nimewahi😅

  • @user-help046
    @user-help046 14 дней назад +3

    😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤

  • @DeguerreKanyoni
    @DeguerreKanyoni 11 дней назад +1

    Hongela sana baba yake Karobo.
    Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani.
    Nina shauku ya kuyiona next period

  • @RashidMgeni
    @RashidMgeni 14 дней назад +3

    Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,

  • @amarsaod6595
    @amarsaod6595 14 дней назад +1

    Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉

  • @danieldemuriah6881
    @danieldemuriah6881 14 дней назад +2

    Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤

  • @user-ps7ur8kw8h
    @user-ps7ur8kw8h 14 дней назад +1

    Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊

  • @HassanSeif-mh6oh
    @HassanSeif-mh6oh 14 дней назад +3

    Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂

  • @MaryJoseph-d1i
    @MaryJoseph-d1i 14 дней назад +3

    Nimewahi like zangu na mm

  • @amisabakari1263
    @amisabakari1263 14 дней назад +5

    Leo nimekua wakwanza jamani maajabu

  • @issakabezi
    @issakabezi 14 дней назад +2

    Nmefurah sana baa kaloobo kuonaa

  • @philipolugoma3796
    @philipolugoma3796 14 дней назад +3

    Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri

    • @delvinejeruto
      @delvinejeruto 12 дней назад

      Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan

  • @kenyasloughinggags1553
    @kenyasloughinggags1553 14 дней назад +4

    Hata Mimi na comment nipe likes

  • @hghh6056
    @hghh6056 14 дней назад +2

    Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone

  • @user-rk1uq3ht4z
    @user-rk1uq3ht4z 14 дней назад +2

    Waooo jmn nice plz leteni haraka uwii imenogaje

  • @MashMashile
    @MashMashile 14 дней назад +3

    Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤

  • @happygalahenga782
    @happygalahenga782 14 дней назад +4

    Wa ishirini na tatu 😀

  • @JosephKatana-o5e
    @JosephKatana-o5e 14 дней назад +1

    Hongera kwako kwa kaz nzur

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 14 дней назад +1

    Team strong tuko ndani km kitu nyengine😂😂😂😂😂

  • @user-pm8vd9ni9y
    @user-pm8vd9ni9y 14 дней назад +2

    Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢

  • @charityngumbao
    @charityngumbao 14 дней назад +1

    Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 14 дней назад +3

    Really amazing....I like it

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 14 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤baba karobo kapona jamani kesho tena

  • @OmarJuma-eo5zw
    @OmarJuma-eo5zw 14 дней назад +1

    Jamani musijeharibu stori imalize mapema stori nzuri

  • @GachariJoe
    @GachariJoe 14 дней назад +2

    Mama karobo akoswa amecheza poa

  • @BinwaTiba
    @BinwaTiba 14 дней назад +1

    Tunafurahi sana baba kalobo kupona mungu akubariki namwanaho kalobo

  • @user-fk1od3fm8w
    @user-fk1od3fm8w 14 дней назад +1

    Good mama kalobo akoze neza

  • @HellenNyaboke-z4z
    @HellenNyaboke-z4z 14 дней назад +2

    Mwanamke una roho mbaya wewe mungu amusamehe

  • @pendotv5110
    @pendotv5110 14 дней назад +1

    Wowwwwww mungu nuwajabu baba karobo amewona

  • @katanakea4325
    @katanakea4325 12 дней назад +1

    Natazama Toka Kenya napenda sana hiyo karobo anavopenda babake🎉🎉

  • @user-tw5jw1tr9y
    @user-tw5jw1tr9y 14 дней назад +1

    Naomba like zangu from Burundi ❤❤❤

  • @Agentoftchauta
    @Agentoftchauta 14 дней назад +3

    Leo mimi wa pili 🤙🤙🤙