Muvi iko nomba Sana kwa kweli ila taizo ni moja tu kipande inaisha dakika zenyewe chache ila zile sini muhim ambazo tuna ham nazo hamuchezi munazinguwa munaweka Mambo mengi hayana ata maana. tulio pamoja na hili tujuane kwa like apa.
Jamani now days mmekua na Kazi nyingi mnatuma kidogo sana mjitahidi basi mfanye kama zamani busati tv movie Ni nzuri Ndio ila sasa ikichelewa kama hivi inakosa radha
Candy doa ni ufumilivu na kuomba sana mwenzi mungu ailinde sasa. Ww ulionelea ukatafutane na mizimu ona sasa umepoteza kila kitu samahani dada tujifunze na kendi
SCRIPT ZA KUONGEA ZIMEKUWA NDEFU SANAA, YANI EPISODE NZIMA KUNA SCRIPT MBILI TUU MPAKA CHARACTERS WENGINE WANASHINDWA KUONEKANA DIRECTOR PLZ REKEBISHA HILI, FUPISHA MAZUNGUMZO KWA CHARACTERS. though ni kazi nzuri sanaa.. keep it up team💯
Hahaaa mapenzi ya dawa simapenzi jamani nimejifunza mengi hapa kheri nijikibali nilivyo mtu akinipenda anipende asiponipenda nikipendwa na wazazi wangu inatosha wallah hii movie inamafunzo mazuri sana hongerani sana Wana busati kwa maelimisho yenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kai uko sawa bt Tasha why Sania?? Halaf 😂😂😂😂😂mama candy jamani nipe nafasi nipumue hta kidogo,,aty ndevu kama mbuzi za nini eishy hyu mama Ako on next level 👏👏 very interesting show nawapenda sana mie jirani wenu 254🇰🇪🇰🇪
Kazi za hawa ni danger ni nzuriii hatari ukiangalia huwezi acha angalia kiukweliiii ziko na mvuto tuliopak movie nyingine na kufatilia hii comment chochote
Mapenzi ya dawa unaishi kwa wasiwasi yakiisha huna chako iyo nzuri nimeipenda kama tuko pamoja gonga like kwa wingi
Mapenz ya Dawa hayadumu😂😂😂😂
Na mtu awezi zuia hatma ya mtu
Mafundisho,vichekesho,maelimisho mazuri tunafurahia mno kwa hii movie ❤kama unawapenda waigizaji tupa likes kwa wingi.
Wale tunao enjoy maamuzi ya kai tugonge like
❤
❤❤❤🎉🎉
😂😂😂
Woyooooo wanaofrahia maamzi ya kai gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉❤❤
salminaabasi
Candy Laana Ni mbaya badala unyenyekee bado unamkaripia utabaki Na Laana milele
Maake acha nicheke kwanz 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni noma sana kai kachukua maamuzi ya kiume ,sjawai pata like kuanzia nianze kuangalia hii muvi naombeni like
Jamani ambao tulisubiri mpaka tukakata tamaa like hata kumi nienjoy kidogo please 🙏❤️😂😂
Mimi mpaka nikahisi kufa
@@YoanaNikomedi-hk7lh ahahaha jaman 🤣🤣🤭
Ambao tulikuwa tunasubiri kuona sapraiz ya kai mko wap😂😂😂😂😂😂
😂😂 tupo
@@SunGod-i4b ahahaha jaman 🤣🤣
Mi nilijuwa ni zuuu😂😂
@@ShukuruElizabeth ahahaha jaman 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tuko apa
Muvi iko nomba Sana kwa kweli ila taizo ni moja tu kipande inaisha dakika zenyewe chache ila zile sini muhim ambazo tuna ham nazo hamuchezi munazinguwa munaweka Mambo mengi hayana ata maana. tulio pamoja na hili tujuane kwa like apa.
Mie nakuunga mkono wanakera sana
𝐾𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑗𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑎 ℎ𝑖𝑘𝑖 𝑘𝑖𝑠𝑤𝑎ℎ𝑖𝑙𝑖 𝑐ℎ𝑎𝑘𝑜..𝑢𝑛𝑎𝑠𝑒𝑚𝑎𝑎???
Candy uchawi tyu kuoga aahhh hy ss tujuane ambao tupo kwny maandalizi ya harusi candy bahn candy gooo hy tjuane🎉🎉 kwa like
😅
😂😂😂
Uchawitu kusali aaaah 😂
Yani ni vigeregere kwa wingi❤
no
mo
Hii movie inafundisha , inaelimisha ,,inachekesha pia kama unakubaliana na mimi tujuane kwa like hapa
😂😂🎉🎉🎉
Sikweli inafundisha San ila kendi anaboa kama nn nasurayake mby mungu ty ndy anajua alivyo mtengeneza kweli mung nisamehe ty kama nakosea
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sana tu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mm na enjoy tu jmn😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Leo 200naomba like jamani mwenye atakuja nyuma ❤🎉❤🎉
Leo nmechelewa muvi zenu kiwango mambo ni moto kama unanifatilia gonga like zifike 100😃
Malipo n dunian candy kula chuma icho tena cha kutu😂😂😂😂
Man nkajua me wakwanz enywey like kwa kai🎉🎉🎉
Kai umekuwa chizi juu ya zuu utakuwa naye karibuni tu zuu wako ❤❤❤❤
Wagapi tunawatch tukiwa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💥
Niko😊😊
Any Kenyan here enjoying these beautiful episodes😑
Waliekuw wakiifikiria hii suprze anaeonyeshwa kai like hap😋
Nilidhani n zuu imagine 😂
Tunaomuona Kai kama kachanganyikiwa tujuane Kwa like
Ajachanganyikiwa subiri uachwe na mpenz wak,alafu uwe na nguo zake ndani utajua😅
😢😢😂😂😂😂😂😂😂@@elifurahamassawe2275
Haja changanyikiwa mapenz yanauma yaan kama hujawahi kupenda huwezi elewa
@@MarianeKibada😂😂 kweli kabisa siwezi elewa
Candy gooooh goooooh harusi tunayo na tunatamba nayo wanaotaka zuu awe wifi yetu gonga like hapa❤❤❤😂😂
Jamani now days mmekua na Kazi nyingi mnatuma kidogo sana mjitahidi basi mfanye kama zamani busati tv movie Ni nzuri Ndio ila sasa ikichelewa kama hivi inakosa radha
Yaan Kila moja ANAOMBA like hamna kitu chakusema
Wakwanza jamani naombeni like zangu❤😂😂😂
Sikwa mbio hio yani imenipata humuhum tu mkuje polepol nime mop xai tu 😂😂😂
jamani hii movie ni ipi na ipi sababu Kuna km hii haya bs naombeni hata like moja jamani
Wow Leo top 100 Mashallah thanks so much
💪💪
❤❤❤🎉🎉
Candy kimemuramba,ujanja wa nyani kaishia jangwani.😂😂😂😂😂hapa hapa mama,hongira sana
Watu mnashindahumu nyieeee like kwa wana wa burundi tujuane kwa like
Like hapa
Burundi🎉🎉mikono juu
Hakuna kisicho na mwisho..... Mwisho wa candy umefika
Yaan nmekimbilia uku karibu nianguke lkn mshawai tyr duuh 😂😂😂😂❤team zuuu tupo Yaan 😊
Candy doa ni ufumilivu na kuomba sana mwenzi mungu ailinde sasa. Ww ulionelea ukatafutane na mizimu ona sasa umepoteza kila kitu samahani dada tujifunze na kendi
Nmewah leo jmn naomben likes hat 3 ty 🎉🎉🎉🎉
Candy waskia maneno ya mama 😭😭😭hufai tena bila baraka za mama hata huyo masozi atakutupa
Am the first one to comment...I am Jose from Kenya I like the movie keep it up Kai alafu bro akh ingekua sio kuingiza ... walahi keddy angekua mtu
Hongera sana
Napenda Sana hii movie ❤
Nimewahi Leo nipeni like
Kuomba like tu subscribe aaah😂😂😂😂
Yani kendy hujui kuwa mple hata kwa mama mzazi wewe kwisha sasa mimi niko kusubiria kula ubwabwa tuna harusi mbili sasa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Haya basi wa mwisho kutizama nipee likes zangu 🎉🎉❤❤😂😂
😂😂kai utafika mbinguni Kwa njia ya mtandao 😅😅😅😅haya
😂😂😂😂 hata mm naona hvyo
Kimewakaaaa mamb yako motooooooo mnajua had mnajua tenaaa🎉🎉🎉❤❤❤chukueni maua yenuuuuu❤❤❤
Nyie ata one hour haijaisha like na comment km zote,, thats great work congratulations team zuu n kai kwa kazi yenu nzuri aisee 🎉🎉❤
Kai unakwama wapi aiiii ...maamuzi ya taratbu hvo maneno makali lakini unaongea kiustaarabu ...mbona huku duniani n mateke kabsa na hawez kubaki mtu
SCRIPT ZA KUONGEA ZIMEKUWA NDEFU SANAA, YANI EPISODE NZIMA KUNA SCRIPT MBILI TUU MPAKA CHARACTERS WENGINE WANASHINDWA KUONEKANA DIRECTOR PLZ REKEBISHA HILI, FUPISHA MAZUNGUMZO KWA CHARACTERS.
though ni kazi nzuri sanaa.. keep it up team💯
Niliwah ongelea ili jambo kitambo sana scene moja inamaliza dakk nne akat muv inachkua dakk 15
Mashallah Allah awape nguvu zaid muzd kusonga mbele
Ameen
😊😊😊😊
dan niatar kweli yani mupaka raha 💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️
Wale wamefurai mahamuzi wa kai wapi like yake🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
wow kai sahii bdo maandalizi y harisi n zuu 🎉🎉🎉
Leo nimewa nipewa atabusu jamani😊😊😊
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tiliokua tunasubiri tangu asubuhi tujuane
Wakwanza leo naomba like zangu
Jamani tangu niangalie hii move sijawahi kupata like nipeni na mm😊
Hiyo hapo
Kai😂😂😂 nguo Za zuu tu umeishaaa mapezdi jameni
Wakwanza mie nimengojea xn house girl
Hongera mpenzi 🎉🎉🎉
Pigeni vigelegele muache kuomba likes😂😂😂
Mbn umewapiga mwingiiiii😂😂😂😂❤
Exactly
😂😂😂😂 kabisa
@@SalmaKenyatta-cn8tg 🤣🤣🤣🤣
@@eversweedakemo ee wanatabia ajabu
Hello guys jaman like ata mojaaaaaaa 😅😅
Aaah nimechungulia huku leo manzee mpk nikakata tamaaa
kwan ukipewa like kinatokea nini jaman mi sijawah omba like alooo haya wa kunilike karibu ni
Next inatoka saa ngap jaman maan Leo mmeanza kurusha kipande cha Jana please next mutuwaishie
Jamani huko kwengine sija kubaliana na nako lakin hapa hadi natoa machozi,candy ni wakumuambia mama nyamazaaaa,huyu mdada hana radhi kabca
😭😭
MAMAN kandy shikamo mman nakusalimia maman🤗🤗 unanikosha moyo wallah bibi yetu nae Milele daima🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jameni mnatuchelewisha aki jaribu kueka mapema maana nangoja hdi nachoka🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza mm naomba like zangu pls
Mov nzuli San , wanaojifunza kitu chochote kupitia mov hii gonga like hapo
Kaz nzuri san mungu azid kukupa nguvu na ubunifu mtunzi🎉🎉🎉🎉
candy kudanga 2 kuoga aaaaaaahh
😂😂😂
Hahaaa mapenzi ya dawa simapenzi jamani nimejifunza mengi hapa kheri nijikibali nilivyo mtu akinipenda anipende asiponipenda nikipendwa na wazazi wangu inatosha wallah hii movie inamafunzo mazuri sana hongerani sana Wana busati kwa maelimisho yenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Waooo mov kuanzia mwanzo mpka mwshoo ni kalii blaaa 🎉🎉❤❤❤❤
Wakwanza leo Mm ndo kontawa 🎉🎉🎉
Like kumi tu naomba
Nilitamani iwe hivyo jameni❤likes hapa Kwa wingi
Kai uko sawa bt Tasha why Sania?? Halaf 😂😂😂😂😂mama candy jamani nipe nafasi nipumue hta kidogo,,aty ndevu kama mbuzi za nini eishy hyu mama Ako on next level 👏👏 very interesting show nawapenda sana mie jirani wenu 254🇰🇪🇰🇪
🤣🤣
@@busatitv mama candy for me 😂😂
Jaman mm huku kutwa nashinda kuchungulia tuuuuuuu😂😂😂😂 kazin nzur sana jamn et eeee
Kai maamuzi mema nakupenda sana🎉🎉🎉
Mbna sikuhizi mwachelewesha ongezi ata madakika basi 🎉🎉🎉
Namba moja
Napenda movie zenu jamn nixakiwango kama unapenda kama unafatilia gonga like50
Jana tumebshana sana .. suplz n shoga ake candy 🍭🍭😅😅😅😅😅😅
Laana ya Mama mbaya 😢😢,,,Mungu atusaidie tuwaheshim Wazazi wetu waliotuleta Duniani 👏👏💪💪.
Mi nawapenda nyote jamn movie tamu hii❤❤
Viguu kama udi devu kama ndevu za nini😂😂😂😂
Huyo mama amenichekesha 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Kimenuka leo waaah lazima kieleweke kwa kai lazima ushindi urudi kwa zuu
Kai umenifrahisha jaman duhhhhh hongeren kwa kaz nzri wapedwa ila ombi langu msicheleweshe move ban wat hatulali tunasubir move
Mmmh jamn hta hamwatch ndio mkacomment hya twenden nalo😂😂😂
🤣🤣
Candy kashayabananga n bado anazidi kuyabananga team kai n zuu tujuan kwa like 🎉🎉🎉❤❤❤
Chap chap wa 6 niwekeeni like za kutosha nikuhadisieni ina malizia vip 😂 from 🇴🇲
🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi guys congratulations sem imekua fupi sijamuona bi daa zuu
Aky hii nayo ni moto 🔥🔥🔥🔥
Duuh kua na mtot kam candy bola niwapeeee wagumba wanixaidie kulea mm aaaaah 🎉🎉🎉
Kazi za hawa ni danger ni nzuriii hatari ukiangalia huwezi acha angalia kiukweliiii ziko na mvuto tuliopak movie nyingine na kufatilia hii comment chochote
Asante sana🙏🙏
@@busatitv shukuran maboss zangu
🎉🎉🎉
@@SunGod-i4b wowoh
Wow muvi nzuli jm 😍 👏 👌
Waaah haki hii movie inamafunza sana candy 😅😅😅😅mama ni mama
Mama candy matusi jamaani😂😂😂😂😂😂😂😂 ati wengine mindevu kama nini ya mbuzi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaotaman watuachie na 39 leoleo gonga like apa
💪
Kaa nimeku like pia nilike tukiendelea kunyifusha
Candy hana adabu
Wallah anamyamanzisha mama yake asiseme
Subhana Allah 😮
Nyie kwan kamkondeee amuja sikiaa 😬😂😂😂😂 naombeni like zanguu ❤
Nimewahi reo 🎉🎉🎉
Kai kweli kahamua kwa maamuzi mazuri hongera
Jaman hii move naipend na naifatilia sanaa jamn❤
Ila kai ndo ulale na nguo za zuu et harufu yako imetawala 😂😂 team kai mkuje kwa like jomon
Fun Mkubwa wa hii episode...... from Kenya 🇰🇪 likes zikam