HOUSE GIRL EP 38 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • #bongomovie #housegirl
  • КиноКино

Комментарии • 895

  • @user-bj1gu8cw3b
    @user-bj1gu8cw3b 17 дней назад +158

    Mapenzi ya dawa unaishi kwa wasiwasi yakiisha huna chako iyo nzuri nimeipenda kama tuko pamoja gonga like kwa wingi

  • @LinaLina-uu5pw
    @LinaLina-uu5pw 17 дней назад +101

    Mafundisho,vichekesho,maelimisho mazuri tunafurahia mno kwa hii movie ❤kama unawapenda waigizaji tupa likes kwa wingi.

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 17 дней назад +97

    Wale tunao enjoy maamuzi ya kai tugonge like

  • @user-nh5zw9fg1h
    @user-nh5zw9fg1h 17 дней назад +232

    Woyooooo wanaofrahia maamzi ya kai gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @mwajumasimai2165
      @mwajumasimai2165 17 дней назад +4

      🎉🎉🎉🎉❤❤

    • @ridhwaniSdhahabu
      @ridhwaniSdhahabu 17 дней назад +2

      ​salminaabasi

    • @Kinyua-ye8kk
      @Kinyua-ye8kk 17 дней назад

      Candy Laana Ni mbaya badala unyenyekee bado unamkaripia utabaki Na Laana milele

    • @JenipherAlphayo
      @JenipherAlphayo 9 дней назад

      Maake acha nicheke kwanz 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joshuzaro9
    @joshuzaro9 17 дней назад +33

    Hii ni noma sana kai kachukua maamuzi ya kiume ,sjawai pata like kuanzia nianze kuangalia hii muvi naombeni like

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 17 дней назад +68

    Jamani ambao tulisubiri mpaka tukakata tamaa like hata kumi nienjoy kidogo please 🙏❤️😂😂

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 17 дней назад +41

    Ambao tulikuwa tunasubiri kuona sapraiz ya kai mko wap😂😂😂😂😂😂

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx 17 дней назад +69

    Muvi iko nomba Sana kwa kweli ila taizo ni moja tu kipande inaisha dakika zenyewe chache ila zile sini muhim ambazo tuna ham nazo hamuchezi munazinguwa munaweka Mambo mengi hayana ata maana. tulio pamoja na hili tujuane kwa like apa.

    • @FatmaSalim-dc6zp
      @FatmaSalim-dc6zp 17 дней назад +2

      Mie nakuunga mkono wanakera sana

    • @dorcaswandera8829
      @dorcaswandera8829 17 дней назад +2

      𝐾𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑗𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑎 ℎ𝑖𝑘𝑖 𝑘𝑖𝑠𝑤𝑎ℎ𝑖𝑙𝑖 𝑐ℎ𝑎𝑘𝑜..𝑢𝑛𝑎𝑠𝑒𝑚𝑎𝑎???

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 17 дней назад +193

    Candy uchawi tyu kuoga aahhh hy ss tujuane ambao tupo kwny maandalizi ya harusi candy bahn candy gooo hy tjuane🎉🎉 kwa like

  • @JoshuaLoth-qy1yk
    @JoshuaLoth-qy1yk 17 дней назад +109

    Hii movie inafundisha , inaelimisha ,,inachekesha pia kama unakubaliana na mimi tujuane kwa like hapa

    • @gersonissa9124
      @gersonissa9124 17 дней назад +2

      😂😂🎉🎉🎉

    • @MankaMeski-o5k
      @MankaMeski-o5k 17 дней назад +2

      Sikweli inafundisha San ila kendi anaboa kama nn nasurayake mby mungu ty ndy anajua alivyo mtengeneza kweli mung nisamehe ty kama nakosea

    • @melanianjau3244
      @melanianjau3244 17 дней назад +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 17 дней назад +2

      Sana tu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 17 дней назад

      Mm na enjoy tu jmn😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 17 дней назад +53

    Leo 200naomba like jamani mwenye atakuja nyuma ❤🎉❤🎉

  • @AgnesDavdi-rz9hg
    @AgnesDavdi-rz9hg 17 дней назад +33

    Leo nmechelewa muvi zenu kiwango mambo ni moto kama unanifatilia gonga like zifike 100😃

  • @Saumu254
    @Saumu254 17 дней назад +22

    Malipo n dunian candy kula chuma icho tena cha kutu😂😂😂😂

  • @FatmaAli-wr7mm
    @FatmaAli-wr7mm 17 дней назад +45

    Man nkajua me wakwanz enywey like kwa kai🎉🎉🎉

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 17 дней назад +28

    Kai umekuwa chizi juu ya zuu utakuwa naye karibuni tu zuu wako ❤❤❤❤

  • @patrickmutuku5726
    @patrickmutuku5726 17 дней назад +16

    Wagapi tunawatch tukiwa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💥

  • @user-dt2be7eg1c
    @user-dt2be7eg1c 17 дней назад +12

    Any Kenyan here enjoying these beautiful episodes😑

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 17 дней назад +15

    Waliekuw wakiifikiria hii suprze anaeonyeshwa kai like hap😋

    • @DianaMuyoka
      @DianaMuyoka 17 дней назад +1

      Nilidhani n zuu imagine 😂

  • @faridasaleh4982
    @faridasaleh4982 17 дней назад +46

    Tunaomuona Kai kama kachanganyikiwa tujuane Kwa like

    • @elifurahamassawe2275
      @elifurahamassawe2275 17 дней назад +3

      Ajachanganyikiwa subiri uachwe na mpenz wak,alafu uwe na nguo zake ndani utajua😅

    • @AnithaMwijonge
      @AnithaMwijonge 17 дней назад

      😢😢😂😂😂😂😂😂😂​@@elifurahamassawe2275

    • @MarianeKibada
      @MarianeKibada 16 дней назад

      Haja changanyikiwa mapenz yanauma yaan kama hujawahi kupenda huwezi elewa

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 16 дней назад

      ​@@MarianeKibada😂😂 kweli kabisa siwezi elewa

  • @AshuraShafii
    @AshuraShafii 17 дней назад +2

    Candy gooooh goooooh harusi tunayo na tunatamba nayo wanaotaka zuu awe wifi yetu gonga like hapa❤❤❤😂😂

  • @JoycePeter-rk4hf
    @JoycePeter-rk4hf 17 дней назад +15

    Jamani now days mmekua na Kazi nyingi mnatuma kidogo sana mjitahidi basi mfanye kama zamani busati tv movie Ni nzuri Ndio ila sasa ikichelewa kama hivi inakosa radha

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 17 дней назад +15

    Yaan Kila moja ANAOMBA like hamna kitu chakusema

  • @user-yt3nn9gz8u
    @user-yt3nn9gz8u 17 дней назад +23

    Wakwanza jamani naombeni like zangu❤😂😂😂

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 17 дней назад +22

    Sikwa mbio hio yani imenipata humuhum tu mkuje polepol nime mop xai tu 😂😂😂

  • @sikukuusaid-ki1yn
    @sikukuusaid-ki1yn 17 дней назад +15

    jamani hii movie ni ipi na ipi sababu Kuna km hii haya bs naombeni hata like moja jamani

  • @buru1235
    @buru1235 17 дней назад +16

    Wow Leo top 100 Mashallah thanks so much

  • @AaAaarehema
    @AaAaarehema 17 дней назад +9

    Candy kimemuramba,ujanja wa nyani kaishia jangwani.😂😂😂😂😂hapa hapa mama,hongira sana

  • @AkimanaVely-gq9cu
    @AkimanaVely-gq9cu 17 дней назад +64

    Watu mnashindahumu nyieeee like kwa wana wa burundi tujuane kwa like

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 17 дней назад +11

    Yaan nmekimbilia uku karibu nianguke lkn mshawai tyr duuh 😂😂😂😂❤team zuuu tupo Yaan 😊

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v 17 дней назад +3

    Candy doa ni ufumilivu na kuomba sana mwenzi mungu ailinde sasa. Ww ulionelea ukatafutane na mizimu ona sasa umepoteza kila kitu samahani dada tujifunze na kendi

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 17 дней назад +14

    Nmewah leo jmn naomben likes hat 3 ty 🎉🎉🎉🎉

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 17 дней назад +9

    Candy waskia maneno ya mama 😭😭😭hufai tena bila baraka za mama hata huyo masozi atakutupa

  • @josephmunywoki8304
    @josephmunywoki8304 17 дней назад +8

    Am the first one to comment...I am Jose from Kenya I like the movie keep it up Kai alafu bro akh ingekua sio kuingiza ... walahi keddy angekua mtu

  • @winniejapheth5071
    @winniejapheth5071 17 дней назад +15

    Napenda Sana hii movie ❤

  • @MaryWachira-m5y
    @MaryWachira-m5y 17 дней назад +27

    Nimewahi Leo nipeni like

    • @OneEmanuelAlly
      @OneEmanuelAlly 17 дней назад

      Kuomba like tu subscribe aaah😂😂😂😂

  • @JladyKadzo
    @JladyKadzo 17 дней назад +6

    Yani kendy hujui kuwa mple hata kwa mama mzazi wewe kwisha sasa mimi niko kusubiria kula ubwabwa tuna harusi mbili sasa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethNanjala-lm5ec
    @ElizabethNanjala-lm5ec 17 дней назад +5

    Haya basi wa mwisho kutizama nipee likes zangu 🎉🎉❤❤😂😂

  • @user-kv8rj3ib4o
    @user-kv8rj3ib4o 17 дней назад +8

    😂😂kai utafika mbinguni Kwa njia ya mtandao 😅😅😅😅haya

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 17 дней назад

      😂😂😂😂 hata mm naona hvyo

  • @DianaRumbanisa
    @DianaRumbanisa 17 дней назад +14

    Kimewakaaaa mamb yako motooooooo mnajua had mnajua tenaaa🎉🎉🎉❤❤❤chukueni maua yenuuuuu❤❤❤

  • @Aishybeb
    @Aishybeb 17 дней назад +3

    Nyie ata one hour haijaisha like na comment km zote,, thats great work congratulations team zuu n kai kwa kazi yenu nzuri aisee 🎉🎉❤

  • @JacklinePaul-oq3ws
    @JacklinePaul-oq3ws 17 дней назад +10

    Kai unakwama wapi aiiii ...maamuzi ya taratbu hvo maneno makali lakini unaongea kiustaarabu ...mbona huku duniani n mateke kabsa na hawez kubaki mtu

  • @vanessanathan3135
    @vanessanathan3135 17 дней назад +25

    SCRIPT ZA KUONGEA ZIMEKUWA NDEFU SANAA, YANI EPISODE NZIMA KUNA SCRIPT MBILI TUU MPAKA CHARACTERS WENGINE WANASHINDWA KUONEKANA DIRECTOR PLZ REKEBISHA HILI, FUPISHA MAZUNGUMZO KWA CHARACTERS.
    though ni kazi nzuri sanaa.. keep it up team💯

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 17 дней назад

      Niliwah ongelea ili jambo kitambo sana scene moja inamaliza dakk nne akat muv inachkua dakk 15

  • @Fatuma-vz9zl
    @Fatuma-vz9zl 17 дней назад +11

    Mashallah Allah awape nguvu zaid muzd kusonga mbele

  • @Seifbrown
    @Seifbrown 17 дней назад +12

    dan niatar kweli yani mupaka raha 💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich 17 дней назад +1

    Wale wamefurai mahamuzi wa kai wapi like yake🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 17 дней назад +4

    wow kai sahii bdo maandalizi y harisi n zuu 🎉🎉🎉

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah 17 дней назад +9

    Leo nimewa nipewa atabusu jamani😊😊😊

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi 17 дней назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MtabibuAsilia
    @MtabibuAsilia 17 дней назад +15

    Tiliokua tunasubiri tangu asubuhi tujuane

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 17 дней назад +8

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @user-bq3hg6oi5p
    @user-bq3hg6oi5p 17 дней назад +65

    Jamani tangu niangalie hii move sijawahi kupata like nipeni na mm😊

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 17 дней назад +7

    Kai😂😂😂 nguo Za zuu tu umeishaaa mapezdi jameni

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 17 дней назад +8

    Wakwanza mie nimengojea xn house girl

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi 17 дней назад +1

      Hongera mpenzi 🎉🎉🎉

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze 17 дней назад +16

    Pigeni vigelegele muache kuomba likes😂😂😂

  • @Beathasimon
    @Beathasimon 17 дней назад +8

    Hello guys jaman like ata mojaaaaaaa 😅😅

  • @selinajosepbat2993
    @selinajosepbat2993 17 дней назад +6

    Aaah nimechungulia huku leo manzee mpk nikakata tamaaa

  • @user-fr1nr5zu6p
    @user-fr1nr5zu6p 16 дней назад +1

    kwan ukipewa like kinatokea nini jaman mi sijawah omba like alooo haya wa kunilike karibu ni

  • @edimaralupenza917
    @edimaralupenza917 17 дней назад +4

    Next inatoka saa ngap jaman maan Leo mmeanza kurusha kipande cha Jana please next mutuwaishie

  • @Sada-sk
    @Sada-sk 17 дней назад +2

    Jamani huko kwengine sija kubaliana na nako lakin hapa hadi natoa machozi,candy ni wakumuambia mama nyamazaaaa,huyu mdada hana radhi kabca

  • @FATMARAHMARahma
    @FATMARAHMARahma 17 дней назад +1

    MAMAN kandy shikamo mman nakusalimia maman🤗🤗 unanikosha moyo wallah bibi yetu nae Milele daima🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 17 дней назад +3

    Jameni mnatuchelewisha aki jaribu kueka mapema maana nangoja hdi nachoka🎉🎉🎉🎉

  • @user-dx3yy5oh2r
    @user-dx3yy5oh2r 17 дней назад +6

    Wa kwanza mm naomba like zangu pls

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq 17 дней назад +1

    Mov nzuli San , wanaojifunza kitu chochote kupitia mov hii gonga like hapo

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 16 дней назад +1

    Kaz nzuri san mungu azid kukupa nguvu na ubunifu mtunzi🎉🎉🎉🎉

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 17 дней назад +9

    candy kudanga 2 kuoga aaaaaaahh

  • @monarm9363
    @monarm9363 17 дней назад

    Hahaaa mapenzi ya dawa simapenzi jamani nimejifunza mengi hapa kheri nijikibali nilivyo mtu akinipenda anipende asiponipenda nikipendwa na wazazi wangu inatosha wallah hii movie inamafunzo mazuri sana hongerani sana Wana busati kwa maelimisho yenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HrdaKahimbi
    @HrdaKahimbi 17 дней назад +2

    Waooo mov kuanzia mwanzo mpka mwshoo ni kalii blaaa 🎉🎉❤❤❤❤

  • @MohammedyJuma-wf3jc
    @MohammedyJuma-wf3jc 17 дней назад +5

    Wakwanza leo Mm ndo kontawa 🎉🎉🎉

  • @AbiaClement
    @AbiaClement 17 дней назад +2

    Like kumi tu naomba

  • @Igra254
    @Igra254 17 дней назад +1

    Nilitamani iwe hivyo jameni❤likes hapa Kwa wingi

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 17 дней назад +2

    Kai uko sawa bt Tasha why Sania?? Halaf 😂😂😂😂😂mama candy jamani nipe nafasi nipumue hta kidogo,,aty ndevu kama mbuzi za nini eishy hyu mama Ako on next level 👏👏 very interesting show nawapenda sana mie jirani wenu 254🇰🇪🇰🇪

  • @EsterWikama
    @EsterWikama 17 дней назад +1

    Jaman mm huku kutwa nashinda kuchungulia tuuuuuuu😂😂😂😂 kazin nzur sana jamn et eeee

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 17 дней назад +2

    Kai maamuzi mema nakupenda sana🎉🎉🎉

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 17 дней назад +4

    Mbna sikuhizi mwachelewesha ongezi ata madakika basi 🎉🎉🎉

  • @user-cl1po8pj5c
    @user-cl1po8pj5c 17 дней назад +8

    Namba moja

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa 9 дней назад

    Napenda movie zenu jamn nixakiwango kama unapenda kama unafatilia gonga like50

  • @VickyFrancis-eb2vp
    @VickyFrancis-eb2vp 17 дней назад +3

    Jana tumebshana sana .. suplz n shoga ake candy 🍭🍭😅😅😅😅😅😅

  • @rehemalimonga9058
    @rehemalimonga9058 17 дней назад

    Laana ya Mama mbaya 😢😢,,,Mungu atusaidie tuwaheshim Wazazi wetu waliotuleta Duniani 👏👏💪💪.

  • @MaryamSaid-pq6ix
    @MaryamSaid-pq6ix 17 дней назад +3

    Mi nawapenda nyote jamn movie tamu hii❤❤

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if 17 дней назад +4

    Viguu kama udi devu kama ndevu za nini😂😂😂😂

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w 17 дней назад

      Huyo mama amenichekesha 😂😂😂😂

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 17 дней назад

      😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @user-ex2ck5zw9c
    @user-ex2ck5zw9c 17 дней назад +3

    Kimenuka leo waaah lazima kieleweke kwa kai lazima ushindi urudi kwa zuu

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg 17 дней назад

    Kai umenifrahisha jaman duhhhhh hongeren kwa kaz nzri wapedwa ila ombi langu msicheleweshe move ban wat hatulali tunasubir move

  • @AminaChile-bx8hv
    @AminaChile-bx8hv 17 дней назад +2

    Mmmh jamn hta hamwatch ndio mkacomment hya twenden nalo😂😂😂

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 17 дней назад

    Candy kashayabananga n bado anazidi kuyabananga team kai n zuu tujuan kwa like 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 17 дней назад +17

    Chap chap wa 6 niwekeeni like za kutosha nikuhadisieni ina malizia vip 😂 from 🇴🇲

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 17 дней назад

    🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi guys congratulations sem imekua fupi sijamuona bi daa zuu

  • @Ismaelmeja
    @Ismaelmeja 17 дней назад +4

    Aky hii nayo ni moto 🔥🔥🔥🔥

  • @DorcusLongo
    @DorcusLongo 17 дней назад

    Duuh kua na mtot kam candy bola niwapeeee wagumba wanixaidie kulea mm aaaaah 🎉🎉🎉

  • @LesianJuma
    @LesianJuma 17 дней назад +3

    Kazi za hawa ni danger ni nzuriii hatari ukiangalia huwezi acha angalia kiukweliiii ziko na mvuto tuliopak movie nyingine na kufatilia hii comment chochote

    • @busatitv
      @busatitv  17 дней назад +1

      Asante sana🙏🙏

    • @LesianJuma
      @LesianJuma 17 дней назад

      @@busatitv shukuran maboss zangu

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 17 дней назад

      🎉🎉🎉

    • @LesianJuma
      @LesianJuma 17 дней назад

      @@SunGod-i4b wowoh

  • @MandiZERO
    @MandiZERO 17 дней назад +2

    Wow muvi nzuli jm 😍 👏 👌

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 17 дней назад +1

    Waaah haki hii movie inamafunza sana candy 😅😅😅😅mama ni mama

  • @millysitati8844
    @millysitati8844 17 дней назад +1

    Mama candy matusi jamaani😂😂😂😂😂😂😂😂 ati wengine mindevu kama nini ya mbuzi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EvaluluMpandagoya
    @EvaluluMpandagoya 17 дней назад +2

    Wanaotaman watuachie na 39 leoleo gonga like apa

  • @Doricah-pm2jc
    @Doricah-pm2jc 17 дней назад +1

    Kaa nimeku like pia nilike tukiendelea kunyifusha

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 17 дней назад

    Candy hana adabu
    Wallah anamyamanzisha mama yake asiseme
    Subhana Allah 😮

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 17 дней назад

    Nyie kwan kamkondeee amuja sikiaa 😬😂😂😂😂 naombeni like zanguu ❤

  • @charitychadrek
    @charitychadrek 17 дней назад +7

    Nimewahi reo 🎉🎉🎉

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg 17 дней назад +1

    Kai kweli kahamua kwa maamuzi mazuri hongera

  • @ZulfaHamza-e8h
    @ZulfaHamza-e8h 15 дней назад

    Jaman hii move naipend na naifatilia sanaa jamn❤

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 17 дней назад

    Ila kai ndo ulale na nguo za zuu et harufu yako imetawala 😂😂 team kai mkuje kwa like jomon

  • @user-iv2ni4bz6n
    @user-iv2ni4bz6n 17 дней назад

    Fun Mkubwa wa hii episode...... from Kenya 🇰🇪 likes zikam