HOUSE GIRL EP 42 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 авг 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 575

  • @busatitv
    @busatitv  Месяц назад +129

    Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii
    Instagram @busatitv
    Facebook @busatitv
    TikTok @busatitv
    Pia tuna Group la WhatsApp

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Месяц назад +11

    Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu

  • @marrytrance
    @marrytrance Месяц назад +83

    Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 Месяц назад +18

    Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂

    • @elizabethmwafongo7829
      @elizabethmwafongo7829 Месяц назад

      😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 Месяц назад

      @@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Месяц назад +11

    Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 Месяц назад +20

    Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il Месяц назад +29

    Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢

  • @Rahmaomarymangosongo
    @Rahmaomarymangosongo Месяц назад +12

    Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Месяц назад +22

    Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin Месяц назад

      Ndio ninachosubiri na mm😢😢

  • @mvinyo99
    @mvinyo99 Месяц назад +25

    Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g 14 дней назад +1

      Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba

  • @zainaburamadhani2982
    @zainaburamadhani2982 Месяц назад +15

    Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba,
    uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂
    Neeeexxxxxttttttt

  • @aishaseif-zq6zx
    @aishaseif-zq6zx Месяц назад +12

    Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj Месяц назад +25

    Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like

  • @KampalaKmfzn
    @KampalaKmfzn Месяц назад +18

    Kai plz zuu mumependezana sana

  • @carowamakalo7993
    @carowamakalo7993 Месяц назад +8

    Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @jedenecosta
    @jedenecosta Месяц назад +11

    5/5
    Nawafatiria
    Nikiwa
    Nairobi.kenya
    Movie
    Njema

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz Месяц назад +13

    Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 Месяц назад +43

    Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +3

      Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki Месяц назад +1

      Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c Месяц назад

      Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 Месяц назад +49

    Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe

  • @user-qm2kb1ln7p
    @user-qm2kb1ln7p Месяц назад +11

    Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba Месяц назад

      Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian

  • @PriscaEmmanuel-fh4yn
    @PriscaEmmanuel-fh4yn Месяц назад +15

    Naomba like

  • @Vincent0piyo-dc1qw
    @Vincent0piyo-dc1qw Месяц назад +7

    Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w Месяц назад +36

    Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪

    • @user-qv1jx5nj2u
      @user-qv1jx5nj2u Месяц назад

      Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w Месяц назад

      @@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani

  • @rashdmwikon
    @rashdmwikon Месяц назад +31

    Wakwanza mm Leo naomba like nyiing

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f Месяц назад +36

    Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b Месяц назад +10

    Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅

  • @privteemail4327
    @privteemail4327 Месяц назад +7

    Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl Месяц назад +97

    Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn

  • @user-fy4fo5yx2b
    @user-fy4fo5yx2b Месяц назад +7

    Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Месяц назад +10

    Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂

  • @axmedhussein5721
    @axmedhussein5721 Месяц назад +27

    Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk Месяц назад +6

    Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote

  • @SalomeMhela
    @SalomeMhela Месяц назад +9

    Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl Месяц назад +18

    Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g 14 дней назад

      Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y Месяц назад +56

    Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂

  • @user-zw9jg7ne8k
    @user-zw9jg7ne8k Месяц назад +11

    Mbona mnachelewesha jamani 😊

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th Месяц назад +5

    Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅

  • @user-ys3wz1sf7s
    @user-ys3wz1sf7s Месяц назад +17

    Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪

    • @Mwandegu
      @Mwandegu Месяц назад

      😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn

  • @MillyMjeni
    @MillyMjeni Месяц назад +4

    Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂

  • @user-yk5sl9bk3x
    @user-yk5sl9bk3x Месяц назад +5

    😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx Месяц назад +3

    Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉

  • @Saumu254
    @Saumu254 Месяц назад +7

    Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅

  • @sumaya-q7i
    @sumaya-q7i Месяц назад +7

    Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂

  • @user-pi4oi9np3z
    @user-pi4oi9np3z Месяц назад +5

    Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa

  • @kenethmwasenga
    @kenethmwasenga Месяц назад +33

    Wakwanza leo nipeni like jameen

  • @JustinJoseph-jf9xj
    @JustinJoseph-jf9xj Месяц назад +10

    Namba moja leo ❤🎉🎉🎉

  • @blandinedusabe
    @blandinedusabe Месяц назад +8

    Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @bethkendi5157
    @bethkendi5157 Месяц назад +30

    Tunaisubiria Kwa hamu sana

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Месяц назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich Месяц назад +16

    Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna

  • @GraceJulius-kv3rz
    @GraceJulius-kv3rz Месяц назад +24

    Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz Месяц назад +10

    Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv

  • @user-vd9cj5ro4u
    @user-vd9cj5ro4u Месяц назад +18

    Jaman na me like leo hata siku 1

  • @anfrashadvertiser4801
    @anfrashadvertiser4801 Месяц назад +7

    Wale wa HOUSE GIRL GANG😅

  • @LindaEDWARD-tu7ho
    @LindaEDWARD-tu7ho Месяц назад +23

    Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes

  • @user-if4zn5vf5z
    @user-if4zn5vf5z Месяц назад +15

    Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k Месяц назад +2

    Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa

  • @user-vi2gs5ie9m
    @user-vi2gs5ie9m Месяц назад +23

    Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 Месяц назад +23

    Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉

  • @jackilinekaini8744
    @jackilinekaini8744 Месяц назад +7

    Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa

  • @user-if7rb1su9j
    @user-if7rb1su9j Месяц назад +30

    WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅

  • @user-xq5po1di7w
    @user-xq5po1di7w Месяц назад +3

    Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b Месяц назад +6

    Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd Месяц назад +18

    Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qh3xy2hi4t
    @user-qh3xy2hi4t Месяц назад +15

    Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania

  • @MetrineKhisa
    @MetrineKhisa Месяц назад +15

    Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂

  • @VailethYusi
    @VailethYusi Месяц назад +18

    Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x Месяц назад +4

    Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 Месяц назад +4

    Izo like mnapeleka wapi nyie 😂😂😂

  • @tausimct
    @tausimct Месяц назад +22

    Wakatikati leo naomba like zenu

  • @eunice1808
    @eunice1808 Месяц назад +23

    Nyie watu wa likes mmeangalia movie wapi😂😂😂

  • @user-bj1gu8cw3b
    @user-bj1gu8cw3b Месяц назад +4

    Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂

  • @JacklineNamahala
    @JacklineNamahala Месяц назад +4

    Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂

  • @RahabuMwashilinde
    @RahabuMwashilinde Месяц назад +7

    Ila watu mnawahi

  • @directorwizzo3298
    @directorwizzo3298 Месяц назад +12

    Timu zuu na cay gongeni like hapa

  • @Hilda-qp7gi
    @Hilda-qp7gi Месяц назад +6

    Achen kuomba like 😮😮

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Месяц назад +3

    mm hata nilidhani imeisha .munakawia sana .kutoa naomben like 🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +1

      Ila ww Muongo, episode ya mwisho imetoka jana saa 3 usiku mpaka kufikia leo tunachelewa kaaaah 🙌🙌

    • @furahamgina1402
      @furahamgina1402 Месяц назад

      @@busatitvfigisu za wabongo kaka😂

    • @user-il8wx3eq8i
      @user-il8wx3eq8i Месяц назад

      Nimuongo kweri​@@busatitv

    • @Saumu254
      @Saumu254 Месяц назад

      😅😅😅😅😅​@@busatitv

    • @irinemmasy8387
      @irinemmasy8387 Месяц назад

      ​@@busatitvtatizo move ni tamu watu wanataka iachiwe baada ya lisaa

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 Месяц назад +3

    Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i Месяц назад +1

    Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida

  • @groryaidan7386
    @groryaidan7386 Месяц назад +4

    Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @LucyKhachiti
    @LucyKhachiti Месяц назад +4

    Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni

  • @user-ro7sk9ic7z
    @user-ro7sk9ic7z Месяц назад +2

    Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Месяц назад +3

    Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Месяц назад +2

    Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf Месяц назад +2

    Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅

  • @GladysOmwando
    @GladysOmwando Месяц назад +4

    Atlest leo nmejarb nnewayi 🎉🎉🎉nipee hta like bas

  • @salmamwakabutama
    @salmamwakabutama Месяц назад +3

    😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 Месяц назад +3

    Busati mnafanya kaz nzuri hongera

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Месяц назад +3

    Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz Месяц назад +15

    Naiaubiria kwa hamu 😂😂htkma 41 sijaimliza ju ya network munipee likes guys

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z Месяц назад +8

    khaa atal sana mko vizur kwa kuwahi sasa😂😂😂🎉

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh Месяц назад +4

    Kazi nzuri sana❤❤❤

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg Месяц назад +11

    Wakwanza naombeni like gusy

  • @user-hf9fh6nk6h
    @user-hf9fh6nk6h Месяц назад +1

    Wallah hii kipindi nimeipenda sana toka kanumba afe niliacha kuwarch move zakitanzania lakini toka nilivo kuta hii tiktok nimeanza tena kuwafatilia jamani mbarikiwe kwa kipaji mungu awazidishie ujuzi zaid na sisi tufaidi nawapenda sana jirani zangu 🌹🌹🌹🌹

  • @Igra254
    @Igra254 Месяц назад +1

    Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu

  • @christinewanga7385
    @christinewanga7385 Месяц назад +1

    Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌

  • @Joanmemusi
    @Joanmemusi Месяц назад +3

    Twenty two minutes to go....nasubiri kwa hamu sana

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g 14 дней назад +1

      Hiki kzungu schakenya 😂😂😂

    • @Joanmemusi
      @Joanmemusi 13 дней назад

      @@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣cha wapi sasa...

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Месяц назад +1

    Sania ni mmbea kweli na mawigi kama mikia ya kuku 😂😂

  • @esterkulwa
    @esterkulwa Месяц назад +2

    Candy bigup😂😂😂😂😂

  • @MarianeKibada
    @MarianeKibada 29 дней назад

    Mpaka kai kawa mwembamba daaah wanaopenda kai ampate zuuu gonga like hapa