Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii Instagram @busatitv Facebook @busatitv TikTok @busatitv Pia tuna Group la WhatsApp
Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu
Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪
Wallah hii kipindi nimeipenda sana toka kanumba afe niliacha kuwarch move zakitanzania lakini toka nilivo kuta hii tiktok nimeanza tena kuwafatilia jamani mbarikiwe kwa kipaji mungu awazidishie ujuzi zaid na sisi tufaidi nawapenda sana jirani zangu 🌹🌹🌹🌹
Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌
Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii
Instagram @busatitv
Facebook @busatitv
TikTok @busatitv
Pia tuna Group la WhatsApp
Sawa
Chapu chapu basi
Mambo ayo
Yatoka saa ngpi
Jina la kawimbo jaman nmeupenda sanaaa🥳😋😋
Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu
Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa
Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂
😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko
@@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe
Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤
Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤
Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢
Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40
Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤
Ndio ninachosubiri na mm😢😢
Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰
Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba
Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba,
uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂
Neeeexxxxxttttttt
Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu
Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like
Kai plz zuu mumependezana sana
Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
5/5
Nawafatiria
Nikiwa
Nairobi.kenya
Movie
Njema
Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza
Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂
Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie
Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂
Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe
Atari shoga sijui like zina Hela 😮
umesema neno wana niudhi hatar
Nikwel wanaboa san haooo
Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂
Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian
Naomba like
Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤
Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪
Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio
@@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani
Wakwanza mm Leo naomba like nyiing
Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤
Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅
Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki
Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn
😂😂😂
Unapenda like ww😂😂😂😂
Acha ushamba kaombe kanisani mfyuuu
Nicee one❤
@@AllyShabany mm wala sihtaji like yamtu ndio mana nika malizia na kicheko
Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤
Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂
Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...
Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote
Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk
Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂
Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera
Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂
😂😂😂😂Yamenoga sasa
Yani ifike hata mia
Sitamani iishe kiukweli ❤
Mbona mnachelewesha jamani 😊
Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅
Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪
😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn
Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂
😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes
Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉
Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅
Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂
Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa
Wanakera mpka wanakera Tena 😏🙄
Wakwanza leo nipeni like jameen
Namba moja leo ❤🎉🎉🎉
Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂
Tunaisubiria Kwa hamu sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂
Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna
Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu
Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv
Jaman na me like leo hata siku 1
Wale wa HOUSE GIRL GANG😅
Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes
Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele
Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa
Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜
Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉
Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa
WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
Haaa nasubiri zuuu mie sasa
Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰
Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅
Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania
Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂
Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma
Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂
Izo like mnapeleka wapi nyie 😂😂😂
Wakatikati leo naomba like zenu
Nyie watu wa likes mmeangalia movie wapi😂😂😂
Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂
Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂
Ila watu mnawahi
Timu zuu na cay gongeni like hapa
Achen kuomba like 😮😮
mm hata nilidhani imeisha .munakawia sana .kutoa naomben like 🎉🎉🎉
Ila ww Muongo, episode ya mwisho imetoka jana saa 3 usiku mpaka kufikia leo tunachelewa kaaaah 🙌🙌
@@busatitvfigisu za wabongo kaka😂
Nimuongo kweri@@busatitv
😅😅😅😅😅@@busatitv
@@busatitvtatizo move ni tamu watu wanataka iachiwe baada ya lisaa
Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂
Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida
Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni
Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅
Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂
Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana
Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅
Atlest leo nmejarb nnewayi 🎉🎉🎉nipee hta like bas
😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari
Busati mnafanya kaz nzuri hongera
Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani
Naiaubiria kwa hamu 😂😂htkma 41 sijaimliza ju ya network munipee likes guys
khaa atal sana mko vizur kwa kuwahi sasa😂😂😂🎉
Kazi nzuri sana❤❤❤
Wakwanza naombeni like gusy
Wallah hii kipindi nimeipenda sana toka kanumba afe niliacha kuwarch move zakitanzania lakini toka nilivo kuta hii tiktok nimeanza tena kuwafatilia jamani mbarikiwe kwa kipaji mungu awazidishie ujuzi zaid na sisi tufaidi nawapenda sana jirani zangu 🌹🌹🌹🌹
Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu
Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌
Twenty two minutes to go....nasubiri kwa hamu sana
Hiki kzungu schakenya 😂😂😂
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣cha wapi sasa...
Sania ni mmbea kweli na mawigi kama mikia ya kuku 😂😂
😅😅😅😅
Candy bigup😂😂😂😂😂
Mpaka kai kawa mwembamba daaah wanaopenda kai ampate zuuu gonga like hapa