Hivi mnajua kua alompa barak zatit na Tasha nimjomb wake nazuu half sasa candy atakiwasha akifik shuhurin mamb yatakua Moto je mnaanin Hilo Pitish like apa
Nahii gari huyu boss amemupa kai asije akawa ametega kitu mungu saidia kai na zuu wasipate madhara yoyote kupitua hii gari huyu boss sijui alitokea wapi
❤❤leo boss umenifurahisha ila usigeuke boss toa kiheli ivyo vitu Mungu ijalie Àrusi ya zuu na kai da zuu umependeza naomba wasiaribu jamani zuu ameteseka sana Saiz awe na Amani boss waache tu we ungetafuta mtu mwingine kama utakuwa ivyo utakuwa mtu mzuriii
Jamanii naombeni msaada hasaa kwenu busati hii nyimbo inayo imbwa kua najaribu kufosi frahaaa nani kaimbaa na kama Kuna kulipia irii mniambia kaimba nanii niambieni tafadhari nawambaaaaaa nasema kutoka moyoniii naombenii msaadaaaa juu ya hiroo
Whatsapp Group Busati Tv 👇
chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Tunasubik shughuli. Jaman kesho mbn aifik
Kesho ya nini Léo apa
@@AgustinOkra-jd6xw😂😂😂😂😂
😂😂😂😂❤
@@AgustinOkra-jd6xwzuu hongera sana 😂😂😂😂😂
Wale tumechungulia youtube from jana hd leo tukisubiri house girl mikono juu 😜😜😜🖐🖐🖐
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
🙌🙌🙌
✋️✋️✋️
🙌
🖐️🖐️🖐️
Eeee mwenyezi naombea harusi ya kai na zuu hipite salama wangapi wengependa hii ndoa ipite vizuri ni waone kwa mikono 🎉🎉🎉🎉🎉🎉✋️✋️✋️✋️✋️✋️✋️✋️
✋️ ✋️ ✋️ ✋️
Mimi naomba EP ya 29 itoke leo kama kunamwezagu like apa❤❤❤
As soon as possible
Na imetoka kweli 🎉
Jamani wale tunatamani harusi ya Kai na zuu ipite salama gonga like 🎉🎉🎉
Team Saud Arabia were you 🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼
Tupo😂😂😂😂
Tupooo😅
Pamojaaa 😂😂😂😂💪💪
Tupo tupo
Tupo
Hivi mnajuwa hii move bira candy hainogi wangapi wanaomkubari candy na mambo yake😂😂😂😂😂
Kabisaa 😂😂😂😂
Sanaaaa anatupa rahaaaa
Kweli kbs candy anajua sana
Yaan candy n Sonia wakikosa n mim naenda
Mimi huyu bosi wa Kai naona ni kama ako na hidden agenda
Kama unakubaliana na mimi nipe like
Hiyo mipango yake itakutana na mizimu ya Bibi zuu😂😂😂
Hiyo mipango yake itafeli
Tena nakukubal Mia asil Mia mim huyo boss sina Amani nae
@@Nailaty564umeonaee
Yan uyu Bo's ananikera
Kama unapenda harusi ya kai na zuu ipite kwa heri ngoga like hapa ❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤
Swadakta Hiweya Kheri
🎉🎉🎉🎉😂❤❤❤
Mi nishachoka na kungoja hiyo harusi yao isofika sahi niko byse na zatiti na mr tasha hao hata hawaeleweki tena
Jaman kai kapendeza sana pamoja na mkewe mtarajiwa bi Zuli ❤❤ , ila boss c muamin kbsa kiukwl, like ange 5 tafazalini🙏
Wakenya tukoo kujeni upande huu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona hawa watu nkaa wanataka kutuzingua
@@JudithSimiyu-ps7ee wanatuchelewesha sana
@@marynabwile4086 alafu wanatumute comment ana wanaitaji salamu
Kenyanss mko wapi
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Busati tv kuweni serious na kazi yenu watu ni wengi mno wanao wafuatilia jitahidini sana jamani
Wanao amini Doa ya kai iko namajanga tujuwane na Doa itakuwa zatiti na tasha ❤❤❤❤❤❤❤
Labda bibi yake zuu asiwepo😂😂😂
Nimechekaaaa❤😂😂😂😂@@Nailaty564
Kajifunze kuandika vzr kwanz😅
😂😂😂😂unamwambia kwamba alud shule@@SaadaHaroun
@@Shakila-pq2gveeeh😂😂 sasa doa ndo nn jmn😅😅
Leo nimekuwa wa kwanza haijawahi kutokea naomben like 🙏😭😭😭
😂😂usilie towa namba ipi tutume
Hello
😂😂😂😂@@RahimaMct-ik8mr
@@RahimaMct-ik8mr😅😅😅😅
Aky mrembo mpaka unalipa surely Aya likes hizo daaa😂😂😂😂
Nyie mnaoxema ndoa haipo mjue kweny hii ndoa kuna bibi zuu m2 m,badi kama unaamini hii ndoa itapita xalama weka ❤❤❤❤❤
😂😂😂waache watandikwe bakora kama da zuu
Yaan so pw😂😂😂
Ambao tunatamani tungekuwepo kwenye kigoma cha zuuuuu like kidogo 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅😅😅😂😂😅
@@MwaliSuleih 🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤭
@@MwaliSuleihweeeee falaaaa ukaunga kweny kigoma😂😂😂
@@Shakila-pq2gv sitaki matusi tueshimiane
Wakwanza kutoka burundi 🇧🇮🇧🇮 turikua tunayisubili kwasana Like zangu
Go ahead
House girl imejua
Imetuteka akili mpaka mwili bigap Sana jaman kanzi nzuri ❤❤❤❤
Yaa lakini wawe wanatuambia kaa kuna delay
@@JudithSimiyu-ps7ee 😄🤣
@@LilianMwakajila-qm9qn sasa wacheka ama tuwasalimie
Kwel kabisa
Kwakweli
Harusi iliyosemwa ipo kesho,kesho ishaafika jameni tushuhudie ndoa ya Khai na zuu watarajiwa 🎉🎉wenye wamesubiria kama mm like tukisonga😊
Hivi mnajua kua alompa barak zatit na Tasha nimjomb wake nazuu half sasa candy atakiwasha akifik shuhurin mamb yatakua Moto je mnaanin Hilo Pitish like apa
Nawapenda Japo mulikuw mumechelewesh kidogo from burundi 🇧🇮
Kwani hii ndoa Tokea juzi kesho yao haijafika jaman Mbona sielewi 😂😂
nashindwa pia mm
😂😂😂😂
Hufatiii huba wew.....wiki2 wapo kwenye ndege kutoka zanzibar kurud dar😂😂😂
😂😂😂😂😂@@hanifahkhamiss8485
@@hanifahkhamiss8485😂😂😂😂😂😂
Anayemuunga hiz mzee mkon Kwa kuja kumwambia bibi ake zuu ndoa ipite halak San anipe like hap
Harusi tunayo 🎉🎉🎉🎉ya kai n zuu lkn huyu boss wa kai namchukia sana
Hii ndio movie Bora Bora mwaka, hongereni wahusika wote Kila mtu ameiwezea sehemu yake vizuri, team candy nipo hapa
Siku hizi hamueleweki.....keep updating us on time ....tusiboeke
Kesho ya kwenye hii move Huwa haifiki mbona mnatufanyia hivo.kila siku kesho kesho hee mpaka tunawachoka mnakuwa kama wahindi bwana
😂😂😂
Bongo movie yenye chembe chembe za india😅😅
😂😂😂😂 nishida
My friend leo umeongea point kbxaaaa nd mn mchez unakua mrefu😅😅😅😅
😂😂😂😂@@ZidinaIdrisa
Waooo Zuuh kapendeza si iwe ukweli Tu isiwe muv Jmn mana siyo kwa kujipodoa na kigoma hicho 🎉🎉🎉🎉🎉yan me nipo na nyie kihisia nacheza kigoma 😂😂😂😂😂
Hii shughuli inachelewa sana na vile Kuna watu tunataka tuone mipango Yao jinsi itakavyokuwa. Pia boss naona Sasa maji ameyavulia nguo pia.
Daaahhh jaman Zuuuhh kwpendeza sana lkn Mungu awe mlinzi wa yote ndoa ipite salàma
Ila zuu mecap haiko POA badilisha wamekupaka vibaya Ila nimependa mnaenda kutimiza hatima yenu kwangu nahisi niukweli mmpendezana mashallah from oman❤
Leo nimekuwa wa kwanza haijawahi kutokea naomben like
Ila wanja wa bibi harusi mbona sijauwelewa jmn
nipo hapa ramsa boy shabiki yenu busati tv nawapenda sana kwani mnanifundisha na kunifurahishaaa ila kikubwa NAWAOMBEA KWA Allah awatie nguvu tuu
Nimesubir san kil mda nachungulia achen kutunyanyas jamn tupen utam huoo❤❤❤
Nahii gari huyu boss amemupa kai asije akawa ametega kitu mungu saidia kai na zuu wasipate madhara yoyote kupitua hii gari huyu boss sijui alitokea wapi
Anataka Mtoto Salisema kama Anaitaji Mtoto Kutoka kwa Kai😂😂😂
😢😢😢 mmepunguza Kasi siku izii mnachelewesha japo changamoto ziko lkn mjitahidi 🎉🎉🎉 🥳 KAZI nzuri congratulations 🎉
Hah😂😂 nimetoka whatxap mbiombio najua me ndo WA kwanza kumbe mxhaangalia wat kibao😂😂
😂😂😂😂 watu wankesha humu
Jamani zuu Masha'Allah umependeza ajabu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ harusi tunayooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Namimi nimewahi reo wakwaza 🎉
Wow mashaallah zuu umependeza sana
Yaani nmekua tangatanga wa online ju ya house girl
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Yan siy wew tu Mahi 🤣🤣🤣😅
Team house girl mko vzr na mnanipa raha jmn
😂😂😂na mmejua kututega mmeachia katikati ya pale tulipokua tunapasubiri😢😢😢😢😢 sijapenda aki
Bibi yk zuu ujana wake anaonesha alikuwa beautiful 😂😂❤
San😂
Sana yaani huyu Bibi Mzee ila mzuri Sana mbaka Leo mashaAllah mashaAllah
Nawapenda sanaaaaaaa wote 🎉❤❤ tunaofuatilia house girly
Waoooo zuu umependeza mashaallah
Tulio kuwa busy kuchungulia mpaka kufanikiwa ndio tunaendelea
kazi nzuri mmeonyesha uhalisia wa sherehe ya harusi 🔥🙌
Nimechelewa janvini karam ishaliwa Ila nakula mabaki na utandu pekee 😂😂😂
Mashaallah na mpumbavu mwenzng kapendeza
Mbona kama candy anaenda kuharibu jaman ❤
Jamani zuuu karembeka daah...nakupenda dada❤❤❤
O que estraga a felicidade é o medo. From Mozambique 🇲🇿❤💞
Waooooooh kweli itapita bila makelel ya kend
Leo wakwanza jamani tunasubiri saaana harusi ya Kai na zuuu🎉🎉
MASHALLLAH bi harus zuu kapendeza sana ❤❤
Kila mda nilikuw nachungulia RUclips kuangalia house girl
Woow, mashaallah.Kai wacha kudanganyika tafadhali.Achana na huyo mwanamke wewe.
Strong from oman kuja hapa kwa like
Tupo jamn from.oman😂😂😂 tumetekwaaaa akili na movie jamn
0yooooooo asante sana washilika mungu awajalie sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu boss kapangawa na mapepo kweli kufwata fwata kai mbona likes za zuu na kai
Hapana kampa kwa Nia njema Tu anampenda
Daa zuu n bibi y mpumbavu wallah mko mmmwaah💋💋
❤❤leo boss umenifurahisha ila usigeuke boss toa kiheli ivyo vitu Mungu ijalie Àrusi ya zuu na kai da zuu umependeza naomba wasiaribu jamani zuu ameteseka sana Saiz awe na Amani boss waache tu we ungetafuta mtu mwingine kama utakuwa ivyo utakuwa mtu mzuriii
Waouh zuu kapendeza jmn🥰👌
❤❤ wakwa zaleo
Mashaallah Kai kapendeza Kam namuona mwanaume wng CK iyo ❤🎉
Harus tunayo hatunaaaa🎉❤❤❤
Busat mnawez mbaka raha❤
Waaah Leo sijakuwa mbali
Nawa penda sana ❤❤
Hee watu mko chapu dk 2 tu mshajaa
Kazi nzuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimewahi naombeni like zangu
Zuu leo kapendeza hatari🎉
❤❤
Masha Allah wallah zuu umependeza natamani ingekuwa ndoa ya kweli 🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️
Wakwandza Leo kutoka kenya
Bosi nimemwelewa mpaka nimependa wallah❤❤❤🎉🎉
SEMA wanaboa wanacherewa kutoa sababu wwnatoa ma move mengi mara na fisi mala cjui Nini zire move 5 marizeni kwanza iiii jmni mnakera
Asahv nashangaa wanachelewa sana
Movie haiwezi kutoka kama haipo tayari, zinapokuwa tayari utaona episode hata 3 kwa siku. Kuna shooting editing na mambo mengine lazima muyajue
Mumezid kutoa muv nyingi ndmna zinachelewa
@@busatitvnaomba kumjua alie imba hako kawimbo ka nimenogewa
Asante@@busatitv
Mashaallah ak mumependeza wananndoa 🎉❤❤❤❤❤
Tuloichungulia youtube mpaka tukakata tamaa tujuane kwa like🎉🎉🎉🎉
😢😢
Kapendeza zuu mashallah 😍
🎉. 🎉❤❤ Wakwanzaa
Kazi nzuri sana wana Busati🇹🇿
King🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow zuu kapendeza🎉🎉🎉
Wakwanza
Kazi nzuri jmn kumbe ilikua itanonga wee maua kwa arusa jmn
Harusi tunayo atuna❤❤❤
Safi Jamani, Kazi Nzuri Sana🎉🎉❤
Kama kun wenzangu tulioweka bandl kusubiria gonga like
Jmn iyiharus kali kbs tunayisubiriy kwaham❤❤❤
Jamanii naombeni msaada hasaa kwenu busati hii nyimbo inayo imbwa kua najaribu kufosi frahaaa nani kaimbaa na kama Kuna kulipia irii mniambia kaimba nanii niambieni tafadhari nawambaaaaaa nasema kutoka moyoniii naombenii msaadaaaa juu ya hiroo
Mwenye anajua aniambie Sasa jamanii au nishingap mpaka mniambiee ..weee kaiiii nambiee
Ata mimi naitaka
Kumbe siku Leo team kai mashaa Allah tabaraka Allah bless you 🙏 💖 ♥️ 🎉
Jaman mm dadake kay nataka nimnyooshe kend na boss nipeni like kwanza😅😅😅
😂😂😂
Weee harusi nzurii huyu boss anatabu na kai acha tamaa 😂😂😂candy aki nakupenda😂😂😂hingera nyote
Aende Kwa mumewe
Masha Allah zuu kapendeza kweli
Mnaomba likes na bado hamjawatch jameni kueni serious 😂
❤
Kai umependez san na zuri pia wanaomuobea dua njem zuu na kai kwenye ndoa yao🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉