😂😂😂 Jameni team house girl kama umefurahi SNA kwa hii kazi nzuri iliyofanywa na team busati ❤eka like tukisonga Yani hii EP 3 wallah inakuja motooooo🔥🔥🔥🔥🔥
Season zangu bora mximu huu 1. Hause girl 2.penzi la mtoto wa boss 3.wrong hause 4.tarzan 5.baba yangu kipofu 6.ndupe Kama na ww wazifatilia hzo weka like tujuane🎉🎉🎉
Asalamu walekum😢 ndugu zangu wakristo bwana yesu asifiwe kama ulikiwa unasubusiria kwa ham house girl msimu wa tatu please like hapa tujuane🤲🤲🤲🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏
Waoo safi nimewai mm mshangazi wa b Kai Hil batuli somoy unajidagaj wallah Tena utajuta ww nao wezio waliokupa kazi wap bibi zuuuu busat tv📷 lete vitu ww waif za Bure za warabu 🇴🇲
Whatsapp group 👇👇
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Season 1,2 na 3 zote ni 1 story ni ile ile hakun kipya
Duh
Kimewaka out link hii
🎉😅🎉😅
Kwelii kbsaa@@vumiliawaziri2007
Ambao tulikuwa tunahisi tangu mwanzoni kama batuli ni kamati ya roho mbaya like tujuane 😂😢😢❤
Tuko pamoja
Pamoja 😂😂 natukonae sambamba Hadi kieleweke
Yaniii
Bibi zuu atamfundisha atabu😂
Bibi zuu kama anaona kila kinacho endelea kwa batuli😂😂
Tulioanza season 1 mpaka sasa season 3 tumeanza wapi like
Tupo 🙌 🙌 🙌 ❤❤❤
😂😂😂😂😂
🩷❤️🩷❤️
Tupo 🙌🙌👊
Tupo
Tunao mchukia batur kwa ambo anayotaka kumfanyia zuu like bc
Nmejua. Batul. Hanania. Nzur. Kwa. Zuu. Lakn.hajui.dazuu.analidwa.namizmu.ya.nyanyake.😂😂
Hatafanikiwa,bibi zuu atamnyoosha
Tunaomkubali zatiti Mr Tasha gonga like 🎉🎉🎉
Kw wenye wanatazama hosgel wakiwa kitandani like apo thkisonga🎉
😊😊
@@TheeMgHouse 😂🤣😂 ila wewe
Watu mnajuaje kuwa mda huo tuko kitandani
Wenye tunayitizama tukiwa kazini tujuwane
Tuliokuwa tukingoja house girl season 3 tujuane na likes
Batuli auna bahati mchawi bibi yake zuuh atakunyoosha kbs😏😏😏waliyo hona gisi Batuli aliweka ushawi wagonge like apa❤❤❤
Kabisa broo
Ila zatiti nakupenda sana wenye wanapenda zatiti like hapa
Napenda sana zatiti ukiwa na furaha na tashaá na mama piya ongereni ki ukweli 🎉🎉🎉
✌️
Mungu azidi kumbariki kila mtu atakae like na kusoma comment hii ❤❤❤
Amen
Amen
Allahumma Amin
Duuh watuu ata hamjaangaliaa mpk mwishoo mshaaanza kusema mimi wakwanza naomba like 😂😂😂!!
😂😂😂 Jameni team house girl kama umefurahi SNA kwa hii kazi nzuri iliyofanywa na team busati ❤eka like tukisonga Yani hii EP 3 wallah inakuja motooooo🔥🔥🔥🔥🔥
Oyooooooooooooooooo Asanteni sana timu busati kwa kutubulidisha tuko na nyie pamoja
Mbonq hii imekua fupi sana jaman
Huyu batuli hamjuh vizur bibi zuuh ooh 😂
Nkwambia kitamramba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tusubiri matokeo😂😂😂😂😂😂😂adi namuonea huruma vile😂😂😂😂😂😂
Muace kitawalamba na candy wake
Subili akutane na moto wakeee kwa bibi Zuuuu
😂😂😂
Hamjui,sio ajabu bbi zuu tayari ameshazoom na kuona kila kitu ila anampa mda tu,kitamramba sio mda
Wenyew tumetoka live busati tv Na kuja Kwa house girl weka like tukisonga
Naomba da zuu shutkia bomu hilo dada wema huo utakuponza😢 janamqn Naomba like team strong 💪 ♥️ 😀
Season zangu bora mximu huu
1. Hause girl
2.penzi la mtoto wa boss
3.wrong hause
4.tarzan
5.baba yangu kipofu
6.ndupe
Kama na ww wazifatilia hzo weka like tujuane🎉🎉🎉
Tupo pamoja dee mm pia vilevile
Tupo sote mojakwa moja
Dadeki ,tukikosa huku kule mambo ni moto
Umesaahau dada wa kazi ageuka kuwa mke , search utaipata n tamu sana pia ❤❤❤❤❤
Wewe ni mm kabisa
Asalamu walekum😢 ndugu zangu wakristo bwana yesu asifiwe kama ulikiwa unasubusiria kwa ham house girl msimu wa tatu please like hapa tujuane🤲🤲🤲🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤
Huyu batuli hamjui bibi ake zuu eeh wow tuliisubir kwa hamu Busati Tv❤❤❤🎉🎉🎉
Mwache bibi atakuja mtimua
Anacho kitafta atakipata tu@@zainabzain3434
Eee hatakoma batuli
We mwache Tu litamkuta jambo😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kweri
Safi Sana zuri MUNGU akuepushe kabisa na huo uchawi wake.
Tumefika season 3 napenda sana hii tamthili ya house girl🥰😋🥰🙏
Team kenya tulioanza kutoka season 1 naomba like
❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuliochelewa kuona season3 like hapa❤❤
Waooo warundi tunaopenda house girl tujuane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mama Tasha nakupenda sana wewe mstalabu sana
🙏🙏
Finally season 3 tuko hapa kama kawa i'm watching from Dubai 🎉🎉
Batuli ama angukia pa tup, bibi zuu huko❤❤❤
Mm nilijua 2 huyu batuli sio mtu mzuri kbx ila nko na iman yaku mizimu ya bibi zuu italinda ndoa ya zuu & na kai❤❤
Wenye walikua wanadubili hiyi like zangu hapa Burundi njo nyumbani🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Myumbani wapi nigukute wap kinama kamenge buyenzi bwiza aho calama niambie nigukute
Season 3 mm ndo wakwanza jmn nipen likes zangu😂😂😂
Naomba like japo 5 na mm
n'a ni asia penda zuu kumusaidia ule dada wakazi wake n'a kai nipeni like zangu
Da Masozi napendag sauti yko My Dear 😘😘😘
Mimi pia jmn 😊
Zuu huruma zako zitakupoza 😂😂
Hawez kuzulika chochot
Hapa kazi tunayo. Batuli umeyakanyanga mama
❤❤❤❤❤Kilasiku unakuja latest kweli nayo ninzuri kazi njema good lucky guys
Mzigo huu hapa tunaanza kwa kishindo ila batuli ww 👉👉👉
We muache batuli ipo siku
Wal sio siku Yani han muda mwingi
wanaosema kendkafanana na mama yake wagonge like
Kweli ni wamwanzo au macho yngu😂😂
Ahah
Aakaaaa
Jamaniii napenda kuja mwigizajii naombeni msaadawenuu
Wale waliolala satisa jana usiku kusubiri season 3 house girl....like yang y qwanza🎉🎉
Mambo zenu wadau. Mm hata sjui ni wa ngapi na hata sjui like zna umuhimu gan nielewesheni basi
Mko wapi mashabiki was buzati TV,like jameni ❤
nilijuaaa tuuu huyuu dada wakazi aa zuuu ni snich
Alotabasam kipengele Cha kibendu na mpenziwe kukumbatiana like
Team strong tujuane💪💪💪kma waamini batuli katumwa na candy gonga likes tukosonga
Japo nimekua WA mwisho Mimi nawapenda kibendu n mpenzi wake❤❤❤❤
Msijifanye hamjaona kendi amesave tajili badala ya tajiri😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Jamani jamani watu mnaona tu michapio
😂😂😂
Macho wewe 🤣🤣🤣🤣
😂
Waliokuwa wakingoja kwa hamu kubwa sana season 3 house girl tujuane kwa like
Jamani watu hamulalagi kwl 😂😂😂
Kibendu na keina❤❤❤❤
haya na mm naomben izo liked😊
Wa 1 jaman
Batuli kitakuramba mbona unataka kumiza zuu wanaoamini kikundi cha batuli na roho chafu watakikuta tuchuane kwa like
wow sahii Moto kweli yavutia mbaya Sana
Waooooooo kitu tayari kimeshawadia 🎉🎉🎉🎉 Wana busati na watazamaji kalibuni tuendelee na season 3😅😅
Nickson kutoka kenya 254 ndani mapema tuuuu
Asanteeni kwa season 3,,,hongereeeni Sanaa kwa kzii nzuriii!!!!
Team Strong gonga like ukipita 🎉🎉🎉🎉🎉hatujali ng'ooo😂
Wakwanza likes bac
Kwel watu hatulali tushaidaka tayariii 🤣🤣
Nilikua naisubir kwahamu sana house girl msimu wa 3 karibun mtupe burudan busati TV
Ivi mnawezaje kushoot Kila siku na kaz nzur mpo vizur mbn wengine wanachelewa
Tunatamba nayooo😅😅
Jamani kumbe batuli ametumwa na gupa poleni sana hiyo kazi hautoyiweza lLa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nilijua tu batuli ni kamati ya roho mbaya sasa naiman mungu atawalani na zuu atabaki kuwa mke wa kai
Weew 🎉🎉🎉🎉🎉wenzangu waliokuwa wakiisubil km mim mpo
Ila kendy umeigiza kuwa binti asiye na heshima hata kidogo kwa mzazi wake, mama yako unamwita Mwanzani umeshindwa kumuita mama jamani hatariiiiiiiiiii
nakwambia anamshinda ata kibendu muuni lkn anamheshimu mamaake
Nyie dakika 10 mshafika mia ama mpo serious nawapenda ❤
Kibendu nili handsome boy jmn😂😂 chukua 🌹🌹 yako kibendu nimekupenda bure
Bibi zuu fantastic mambo kwahuyo batuli
Nimewah😂
Jamani mtukome❤❤❤
Kwa dakika 14 ❤❤❤❤ da batuli utamufanyia vibaya zuu nawakati Ari kusaidia kumbe ulipewa Dili n'a kendi nansania
Sijachelewa sana 😂😂😂
Good one
Finally it's done season 3 ishaingia nimwendo wa kuendelea na movie yetu ya house girl kazi nzuri sn mungu awabariki❤
Wow kazi nzuri sana
Twende nalo sasa yaani mpaka tamati 🙌🙏
Wakwanza jameni❤❤❤❤
Wangpi walisubiri reason 3 kwa hmu gong like tusongee mbele ❤
Here I am,nilikuwa nasuburia hii season sana,like jamani😢😢😢😢
Season 3 muache kuomba like tumewachoka kuna mambo meng ya kuchangia
Niko kwa kitanda naangalia house gril naipenda sana 🇰🇪🇹🇿❤❤
Maua yenu❤❤❤
Gonga like moja kuubwa sana kwa season 3.😊
wanaotaka house gerl iendelee km huba ! nyosheni mkono njuu ✌️✌️✌️✌️✌️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
💪💪💪
🤗
Uyu kam nibakuli mbona anakuja kuhalibisha mambo yetu❤🎉
😮😮😮😮😮mko rada aje😂😂😂
Leo na mimi nimewah
Mbona nimechelewa kidogo
Jaman huyu batuli mbona sio mtu mzuri
Ila kitamramba mda si mrefu😂😂huruma niona mm jaman😢
Aki eeeeeed batul mwezako anakupenda mpk anasema ww si mfanyajazi Leo hii unafanya hayo😢😢😢😢😢 haya utaona moto uko mbele bi zuuu❤❤❤❤
jamn kil saa nachungulia bd t haijatok hatimae busati mko vizur ❤❤❤
Wanabusat wapo chapu we uogop 😂
Tuliokuws pamoja kwa live tujuane hapa❤❤❤❤
Waoo safi nimewai mm mshangazi wa b Kai Hil batuli somoy unajidagaj wallah Tena utajuta ww nao wezio waliokupa kazi wap bibi zuuuu busat tv📷 lete vitu ww waif za Bure za warabu 🇴🇲
Naomba tasha na zatiti baowane jamani❤❤❤
❤❤❤❤
Kazi nzuri busati lakin tuongezeebi mda please
Wangapi wameona Tajili😂😂😂