HOUSE GIRL EP 01 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

Комментарии • 805

  • @busatitv
    @busatitv  16 дней назад +97

    Whatsapp group 👇👇
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 17 дней назад +362

    Ambao tulikuwa tunahisi tangu mwanzoni kama batuli ni kamati ya roho mbaya like tujuane 😂😢😢❤

  • @LidyaKadogo
    @LidyaKadogo 17 дней назад +365

    Tulioanza season 1 mpaka sasa season 3 tumeanza wapi like

  • @AnjellahMwendamseke
    @AnjellahMwendamseke 17 дней назад +202

    Tunao mchukia batur kwa ambo anayotaka kumfanyia zuu like bc

    • @SaumuZuma-gm3hp
      @SaumuZuma-gm3hp 16 дней назад

      Nmejua. Batul. Hanania. Nzur. Kwa. Zuu. Lakn.hajui.dazuu.analidwa.namizmu.ya.nyanyake.😂😂

    • @elizabethurassa9854
      @elizabethurassa9854 16 дней назад

      Hatafanikiwa,bibi zuu atamnyoosha

  • @ZainabuKabache-tx7tu
    @ZainabuKabache-tx7tu 16 дней назад +45

    Tunaomkubali zatiti Mr Tasha gonga like 🎉🎉🎉

  • @TheeMgHouse
    @TheeMgHouse 17 дней назад +154

    Kw wenye wanatazama hosgel wakiwa kitandani like apo thkisonga🎉

  • @jayvannyclassic191
    @jayvannyclassic191 17 дней назад +208

    Tuliokuwa tukingoja house girl season 3 tujuane na likes

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 17 дней назад +83

    Batuli auna bahati mchawi bibi yake zuuh atakunyoosha kbs😏😏😏waliyo hona gisi Batuli aliweka ushawi wagonge like apa❤❤❤

  • @aisha-j4x
    @aisha-j4x 16 дней назад +17

    Ila zatiti nakupenda sana wenye wanapenda zatiti like hapa

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 17 дней назад +42

    Napenda sana zatiti ukiwa na furaha na tashaá na mama piya ongereni ki ukweli 🎉🎉🎉

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 17 дней назад +59

    Mungu azidi kumbariki kila mtu atakae like na kusoma comment hii ❤❤❤

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 17 дней назад +64

    Duuh watuu ata hamjaangaliaa mpk mwishoo mshaaanza kusema mimi wakwanza naomba like 😂😂😂!!

  • @Rehemasidi-n3p
    @Rehemasidi-n3p 17 дней назад +18

    😂😂😂 Jameni team house girl kama umefurahi SNA kwa hii kazi nzuri iliyofanywa na team busati ❤eka like tukisonga Yani hii EP 3 wallah inakuja motooooo🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 17 дней назад +27

    Oyooooooooooooooooo Asanteni sana timu busati kwa kutubulidisha tuko na nyie pamoja

    • @OtiliaExavery
      @OtiliaExavery 16 дней назад

      Mbonq hii imekua fupi sana jaman

  • @PeninaMageni
    @PeninaMageni 17 дней назад +51

    Huyu batuli hamjuh vizur bibi zuuh ooh 😂

    • @stellakadzo1624
      @stellakadzo1624 17 дней назад

      Nkwambia kitamramba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tusubiri matokeo😂😂😂😂😂😂😂adi namuonea huruma vile😂😂😂😂😂😂

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 16 дней назад

      Muace kitawalamba na candy wake

    • @SalomeMlelwa
      @SalomeMlelwa 16 дней назад +1

      Subili akutane na moto wakeee kwa bibi Zuuuu

    • @RizikiMukucha-e7r
      @RizikiMukucha-e7r 16 дней назад

      😂😂😂

    • @nurumwinyi796
      @nurumwinyi796 16 дней назад

      Hamjui,sio ajabu bbi zuu tayari ameshazoom na kuona kila kitu ila anampa mda tu,kitamramba sio mda

  • @carolinesidi-od4ni
    @carolinesidi-od4ni 17 дней назад +44

    Wenyew tumetoka live busati tv Na kuja Kwa house girl weka like tukisonga

  • @NadzuwaKilaga
    @NadzuwaKilaga 17 дней назад +19

    Naomba da zuu shutkia bomu hilo dada wema huo utakuponza😢 janamqn Naomba like team strong 💪 ♥️ 😀

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 17 дней назад +75

    Season zangu bora mximu huu
    1. Hause girl
    2.penzi la mtoto wa boss
    3.wrong hause
    4.tarzan
    5.baba yangu kipofu
    6.ndupe
    Kama na ww wazifatilia hzo weka like tujuane🎉🎉🎉

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman 17 дней назад

      Tupo pamoja dee mm pia vilevile

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik 17 дней назад

      Tupo sote mojakwa moja

    • @angelmauja1846
      @angelmauja1846 17 дней назад +1

      Dadeki ,tukikosa huku kule mambo ni moto

    • @EveKaari-r7r
      @EveKaari-r7r 17 дней назад +2

      Umesaahau dada wa kazi ageuka kuwa mke , search utaipata n tamu sana pia ❤❤❤❤❤

    • @MaryPendo-gy4yr
      @MaryPendo-gy4yr 17 дней назад

      Wewe ni mm kabisa

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 17 дней назад +71

    Asalamu walekum😢 ndugu zangu wakristo bwana yesu asifiwe kama ulikiwa unasubusiria kwa ham house girl msimu wa tatu please like hapa tujuane🤲🤲🤲🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 17 дней назад +48

    Huyu batuli hamjui bibi ake zuu eeh wow tuliisubir kwa hamu Busati Tv❤❤❤🎉🎉🎉

  • @zawadikimaro4087
    @zawadikimaro4087 16 дней назад +8

    Safi Sana zuri MUNGU akuepushe kabisa na huo uchawi wake.

  • @PurityKdzo
    @PurityKdzo 16 дней назад +5

    Tumefika season 3 napenda sana hii tamthili ya house girl🥰😋🥰🙏

  • @mohamedabdallaseif
    @mohamedabdallaseif 16 дней назад +3

    Team kenya tulioanza kutoka season 1 naomba like

  • @SaufatBaraka
    @SaufatBaraka 16 дней назад +10

    Tuliochelewa kuona season3 like hapa❤❤

  • @SandrineDupfiki
    @SandrineDupfiki 17 дней назад +14

    Waooo warundi tunaopenda house girl tujuane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AminaMagulati
    @AminaMagulati 16 дней назад +12

    Mama Tasha nakupenda sana wewe mstalabu sana

  • @DorcasKwamboka-y5m
    @DorcasKwamboka-y5m 17 дней назад +8

    Finally season 3 tuko hapa kama kawa i'm watching from Dubai 🎉🎉

  • @StellaNamasaka-id3vb
    @StellaNamasaka-id3vb 16 дней назад +2

    Batuli ama angukia pa tup, bibi zuu huko❤❤❤

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 17 дней назад +13

    Mm nilijua 2 huyu batuli sio mtu mzuri kbx ila nko na iman yaku mizimu ya bibi zuu italinda ndoa ya zuu & na kai❤❤

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 17 дней назад +14

    Wenye walikua wanadubili hiyi like zangu hapa Burundi njo nyumbani🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 16 дней назад

      Myumbani wapi nigukute wap kinama kamenge buyenzi bwiza aho calama niambie nigukute

  • @Liam-rh7ps
    @Liam-rh7ps 17 дней назад +16

    Season 3 mm ndo wakwanza jmn nipen likes zangu😂😂😂

  • @ZubedaAnirkojo
    @ZubedaAnirkojo 17 дней назад +12

    Naomba like japo 5 na mm

  • @Djikondj-on4le
    @Djikondj-on4le 17 дней назад +8

    n'a ni asia penda zuu kumusaidia ule dada wakazi wake n'a kai nipeni like zangu

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 17 дней назад +7

    Da Masozi napendag sauti yko My Dear 😘😘😘

  • @Najima-r6r
    @Najima-r6r 17 дней назад +10

    Zuu huruma zako zitakupoza 😂😂

  • @BennTiach
    @BennTiach 17 дней назад +6

    Hapa kazi tunayo. Batuli umeyakanyanga mama

  • @MpashiKennedy
    @MpashiKennedy 17 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤Kilasiku unakuja latest kweli nayo ninzuri kazi njema good lucky guys

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 17 дней назад +18

    Mzigo huu hapa tunaanza kwa kishindo ila batuli ww 👉👉👉

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 16 дней назад

      We muache batuli ipo siku

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 15 дней назад

      Wal sio siku Yani han muda mwingi

  • @MaryMaige-t1b
    @MaryMaige-t1b 16 дней назад +2

    wanaosema kendkafanana na mama yake wagonge like

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 17 дней назад +12

    Kweli ni wamwanzo au macho yngu😂😂

  • @ZulfaA-z7d
    @ZulfaA-z7d 17 дней назад +13

    Wale waliolala satisa jana usiku kusubiri season 3 house girl....like yang y qwanza🎉🎉

  • @RoseJoseph-e7l
    @RoseJoseph-e7l 16 дней назад +2

    Mambo zenu wadau. Mm hata sjui ni wa ngapi na hata sjui like zna umuhimu gan nielewesheni basi

  • @Betty-t9q
    @Betty-t9q 16 дней назад +4

    Mko wapi mashabiki was buzati TV,like jameni ❤

  • @ibrahrapper6606
    @ibrahrapper6606 16 дней назад +2

    nilijuaaa tuuu huyuu dada wakazi aa zuuu ni snich

  • @piusalfons
    @piusalfons 16 дней назад +1

    Alotabasam kipengele Cha kibendu na mpenziwe kukumbatiana like

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 17 дней назад +4

    Team strong tujuane💪💪💪kma waamini batuli katumwa na candy gonga likes tukosonga

  • @Rehemajumanne-qy5mk
    @Rehemajumanne-qy5mk 16 дней назад +3

    Japo nimekua WA mwisho Mimi nawapenda kibendu n mpenzi wake❤❤❤❤

  • @StephanieJerono-zu2we
    @StephanieJerono-zu2we 17 дней назад +8

    Msijifanye hamjaona kendi amesave tajili badala ya tajiri😂😂😂

  • @hamisichau8975
    @hamisichau8975 17 дней назад +3

    Waliokuwa wakingoja kwa hamu kubwa sana season 3 house girl tujuane kwa like

  • @Marem-xu5xx
    @Marem-xu5xx 17 дней назад +3

    Jamani watu hamulalagi kwl 😂😂😂

  • @DoreenWanyonyi-x8y
    @DoreenWanyonyi-x8y 16 дней назад +1

    Kibendu na keina❤❤❤❤

  • @swetie6584
    @swetie6584 17 дней назад +2

    haya na mm naomben izo liked😊

  • @Mariam-u6z6f
    @Mariam-u6z6f 17 дней назад +10

    Wa 1 jaman

  • @MagiMagi-zk3es
    @MagiMagi-zk3es 16 дней назад +1

    Batuli kitakuramba mbona unataka kumiza zuu wanaoamini kikundi cha batuli na roho chafu watakikuta tuchuane kwa like

  • @mwanaishahamadi-lb1oy
    @mwanaishahamadi-lb1oy 16 дней назад +1

    wow sahii Moto kweli yavutia mbaya Sana

  • @LuciaBukula
    @LuciaBukula 17 дней назад +3

    Waooooooo kitu tayari kimeshawadia 🎉🎉🎉🎉 Wana busati na watazamaji kalibuni tuendelee na season 3😅😅

  • @NicksonKahindi
    @NicksonKahindi 16 дней назад +2

    Nickson kutoka kenya 254 ndani mapema tuuuu

  • @omarsaid_1607
    @omarsaid_1607 16 дней назад +1

    Asanteeni kwa season 3,,,hongereeeni Sanaa kwa kzii nzuriii!!!!

  • @carolinenyadzua2458
    @carolinenyadzua2458 17 дней назад +4

    Team Strong gonga like ukipita 🎉🎉🎉🎉🎉hatujali ng'ooo😂

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 17 дней назад +9

    Wakwanza likes bac

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 17 дней назад

      Kwel watu hatulali tushaidaka tayariii 🤣🤣

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 17 дней назад +4

    Nilikua naisubir kwahamu sana house girl msimu wa 3 karibun mtupe burudan busati TV

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 16 дней назад +3

    Ivi mnawezaje kushoot Kila siku na kaz nzur mpo vizur mbn wengine wanachelewa

  • @EUNICEBENDERA
    @EUNICEBENDERA 17 дней назад +5

    Tunatamba nayooo😅😅

  • @SofiaSofia-nc9rw
    @SofiaSofia-nc9rw 17 дней назад +3

    Jamani kumbe batuli ametumwa na gupa poleni sana hiyo kazi hautoyiweza lLa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MariamHamisi-ti9vb
    @MariamHamisi-ti9vb 16 дней назад +1

    Nilijua tu batuli ni kamati ya roho mbaya sasa naiman mungu atawalani na zuu atabaki kuwa mke wa kai

  • @WardaSuleimn
    @WardaSuleimn 17 дней назад +3

    Weew 🎉🎉🎉🎉🎉wenzangu waliokuwa wakiisubil km mim mpo

  • @selestinakazuvi7213
    @selestinakazuvi7213 16 дней назад +3

    Ila kendy umeigiza kuwa binti asiye na heshima hata kidogo kwa mzazi wake, mama yako unamwita Mwanzani umeshindwa kumuita mama jamani hatariiiiiiiiiii

    • @ZenaAfreka
      @ZenaAfreka 16 дней назад

      nakwambia anamshinda ata kibendu muuni lkn anamheshimu mamaake

  • @ruthyohanesy3739
    @ruthyohanesy3739 17 дней назад +1

    Nyie dakika 10 mshafika mia ama mpo serious nawapenda ❤

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 16 дней назад +2

    Kibendu nili handsome boy jmn😂😂 chukua 🌹🌹 yako kibendu nimekupenda bure

  • @ZamdaMouhammed
    @ZamdaMouhammed 16 дней назад +1

    Bibi zuu fantastic mambo kwahuyo batuli

  • @haikaellyngajilo7768
    @haikaellyngajilo7768 17 дней назад +2

    Nimewah😂

  • @ShannelVelmah
    @ShannelVelmah 17 дней назад +2

    Jamani mtukome❤❤❤

  • @janeburu6538
    @janeburu6538 17 дней назад +1

    Kwa dakika 14 ❤❤❤❤ da batuli utamufanyia vibaya zuu nawakati Ari kusaidia kumbe ulipewa Dili n'a kendi nansania

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 17 дней назад +2

    Sijachelewa sana 😂😂😂

  • @sirielypetrombise519
    @sirielypetrombise519 17 дней назад +4

    Good one

  • @AmneHabshy
    @AmneHabshy 17 дней назад +1

    Finally it's done season 3 ishaingia nimwendo wa kuendelea na movie yetu ya house girl kazi nzuri sn mungu awabariki❤

  • @elizabethobaigwa9521
    @elizabethobaigwa9521 17 дней назад +3

    Wow kazi nzuri sana

  • @CatherineChege-w5x
    @CatherineChege-w5x 17 дней назад +2

    Twende nalo sasa yaani mpaka tamati 🙌🙏

  • @جاااحظمجنون
    @جاااحظمجنون 17 дней назад +2

    Wakwanza jameni❤❤❤❤

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 17 дней назад +1

    Wangpi walisubiri reason 3 kwa hmu gong like tusongee mbele ❤

  • @NjeriCess
    @NjeriCess 17 дней назад +1

    Here I am,nilikuwa nasuburia hii season sana,like jamani😢😢😢😢

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 16 дней назад +2

    Season 3 muache kuomba like tumewachoka kuna mambo meng ya kuchangia

  • @JudithMunisi-r8h
    @JudithMunisi-r8h 17 дней назад +1

    Niko kwa kitanda naangalia house gril naipenda sana 🇰🇪🇹🇿❤❤

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk 17 дней назад +2

    Maua yenu❤❤❤

  • @yaredmdabuko
    @yaredmdabuko 16 дней назад +1

    Gonga like moja kuubwa sana kwa season 3.😊

  • @JustinBonaneharerimana-zg1td
    @JustinBonaneharerimana-zg1td 16 дней назад

    wanaotaka house gerl iendelee km huba ! nyosheni mkono njuu ✌️✌️✌️✌️✌️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l 17 дней назад +2

    Uyu kam nibakuli mbona anakuja kuhalibisha mambo yetu❤🎉

  • @shamillahsuleiman3431
    @shamillahsuleiman3431 17 дней назад +2

    😮😮😮😮😮mko rada aje😂😂😂

  • @EunikeSilla
    @EunikeSilla 17 дней назад +2

    Leo na mimi nimewah

  • @JoyceKizo
    @JoyceKizo 17 дней назад +2

    Mbona nimechelewa kidogo

  • @KambaleTemauzenge
    @KambaleTemauzenge 17 дней назад +4

    Jaman huyu batuli mbona sio mtu mzuri

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix 17 дней назад +1

    Aki eeeeeed batul mwezako anakupenda mpk anasema ww si mfanyajazi Leo hii unafanya hayo😢😢😢😢😢 haya utaona moto uko mbele bi zuuu❤❤❤❤

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty 16 дней назад +1

    jamn kil saa nachungulia bd t haijatok hatimae busati mko vizur ❤❤❤

  • @FatumaJuma-vk8nv
    @FatumaJuma-vk8nv 17 дней назад +3

    Wanabusat wapo chapu we uogop 😂

  • @جاااحظمجنون
    @جاااحظمجنون 17 дней назад +2

    Tuliokuws pamoja kwa live tujuane hapa❤❤❤❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 16 дней назад +1

    Waoo safi nimewai mm mshangazi wa b Kai Hil batuli somoy unajidagaj wallah Tena utajuta ww nao wezio waliokupa kazi wap bibi zuuuu busat tv📷 lete vitu ww waif za Bure za warabu 🇴🇲

  • @ثامركعبي-ي1ق
    @ثامركعبي-ي1ق 16 дней назад +1

    Naomba tasha na zatiti baowane jamani❤❤❤

  • @SylviaSyliviawanjala
    @SylviaSyliviawanjala 16 дней назад +1

    ❤❤❤❤

  • @HildaStephanie
    @HildaStephanie 16 дней назад +1

    Kazi nzuri busati lakin tuongezeebi mda please

  • @bakarizinga8556
    @bakarizinga8556 17 дней назад +2

    Wangapi wameona Tajili😂😂😂