MY LOVE |15|
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #Bhailam#Naomy#Mariam
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...
Team Jojo tujuane Kwa like
Yaani we acha2 ananikoshaga jojo anavyojibalaguza balaguza 😘😘
@@MiriamEmanuel-yr3cm 🤣🤣
Kazi nzuri ila mnachelewa Sana kutoa hadi tunawasahau
Hapo kuhara tu nimecheka jamn!😂😂😂😂 Embu nipeni na Mimi like
Siombi like kwasababu siyo hela lakini naomba like moja 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Mjomba umetisha sana😅😅
Very good munacheza vizuli naomba like
Leo kama ndoto wa kwanza 🔥🔥🔥🔥 aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno kazi kazi❤❤
Mbona mwachukua mda mrefu kutoa episode nyingine?bhailam....tunakutambua....my love ni moto sanaaaa.....usitueke saaaaaana.one love
Jaman mwenzenu sijawai Pat atalike moja, naomb mnipe ata 10
Mjomba anaupiga mwingi 😅😅😅kazi nzuri wahusika wote ❤❤❤
Basi bhailam wetu tukiwa tunasubilia my love, utufanyie mwendelezo wa PETE AU SHAGALABAGALA jamanii
We Jojo mimi unanimalizaga na ico kiherehere cako 😂😂😂😂😂❤🇧🇮
Mnacheelew sana mpaka tunasahau imn kaah
Nawapenda ila bailam unatuchelewesha ❤❤❤
#bhailam 🇹🇿 kazi nzuri sana napenda kazi sako
Ciku nyngne tena wadau my love kwa like zake sote Kwa pamoja
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
🙏🙏
Hap kwa naomi kua na pacha wake mmecheza kama pele ❤❤
Jamani story zinachelewa mpk inaboa😢
Mariam amenona mashalah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Jojo 😂😂😂😂na huku kwa mjomba nako balaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Wakwanza Leo kutoka Kenya like zenu jamani❤❤❤
Jaman Hawa wajomba wa bhailamu wananichekesha kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndio uzuri 😂😂😂😂😂😂
Kazi ipoo dah😂😂😂😂😂😂😂
Nimewai jamani nipeni likesa❤Mach love from kenya
Hahahaha safi sana jameni🎉
Huyu jojo kweli😂😂😂😂hakuna mwenye anaongea kumuhusu na vituko vyake😅😅😅😅😅
Mie ananikosha sana
Bahlamu weye mukali sana
Nime chelewa nip liké ata moja ivi
❤❤❤❤❤mbona ulichelewesha jamani next usicheleweshe jameni
Wakwanza leo from kenya 🇰🇪 much love❤
Kazi nzuri sana bailam na time yako ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ndo uzuri
Jamani sisi tunazipenda sana kazi zenu ila kitu kimoja tu ambacho akiendi sawa, yani mkitowa kazi mnachelewesha saaaana alafu badae mkitowa tena dakida munazipunguza daaaa sio vizuri from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mumechelewa sanaaa mpaka nikamsahau
Mpaka ukuu🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nipe ata 10k tu
Team jojo tujuwane😂😂😂chawa kama chawa
Nakubali faza
Thanks Sana akiiii
Mmechalewesha sana time nyingn muwe mna2waishia bn
After 2 minutes of publication I just watched it sir bhailam please give me at least ten likes Your Congolese fan I love you so much my idol
Kumbe bado mupo hai washiriki ❤😮
Wadau aky mie nausunika sana kila siku sijawai pewa like yeyote huku
Mjombaaa umeniua mbavu ,, mtu anakufa unaangalia movie 😅😅😅😅
Hebu nicoment nitangalia Badae from Oman 🇴🇲
Safi sana qwa kazi nzuri🎉🎉🎉
Kazi iendelee!
❤❤❤❤ tumeuanz mwez wa 5 na kibao pendwaa MY LOVE 💓
Oya nyie wakwanza jamani like zenu
Sanaa kaka
Mume wangu ni samehe tuhh ivo ivo😅😅😅nimeenda chooni mara 30😂😂😂😂
Was eagerly waiting for this
Tumeingoja sana from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
UNACHELEWA SANAA KUTUPA MWENDELEZO NDUGU YANGU 😭🥺😭🥺😭🥺
Kweli kabisa anachelewa sana Hadi tunaisahau jmn
Ata mmi nlidhani iliisha kwanza wanachelewesha af fupi kweli
Jojo ni like aki nimekuja wa mwisho leo
Kwan haka kiumbau mbau jojo kwann msikachape makofi kakapunguza jeur 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kamejua kunogesha kwenye hii movie sana
Sawa sana
Wa kwanza kutoka kenya❤❤likes za biram
Hapo vizuli
Bhailam💪💪🇲🇿
Kumbe uyu police jamanini 🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Unachelewesha san kazii
Asante ila siku izi unakiya sana jaman
ndo uzuri 😂😂
Niliwsublia Kwa hamu ila Mna chelewsha🎉🎉🎉🎉🎉
View no moja 😊 nipewe maua yangu 😂
Ila Jojo ety minyoko ndo nguo😀🤭🙌
Woow nimependa naomy kuwa tena❤❤❤
🎉🎉🎉 great thing about this love 💕💕💕💕
Jojo😂😂😂😂😂
Siki limtanjua mke mjombaaa😂😂😂😂
Atakae nipa like namuombea Kwa mungu apate balaka nyingi sanaa
Mambo moto
hatariiiiii
Like kwa babe wake rose 🤣🤣🤣pacha wa naomi nmempnda babe wkoo🤣🤣🤣🤣
Jamani wangapi tumemic recho wetu. 😂😂😂
TANGU NIANZE KUCOMMENT SIJAWAHI KUPATA LIKE JAMANI 😭😭
We like unauza azimsaidii msanii unatakiwa umshauli kuusu movie nasio kulilia like
Tuko pamoja kbs
Hilo tumbo la Mariam 😂😂😂😂😂😂😂😂
jamn ni mewai leo kwa nini muna shelewesha mu zigo 😮
Team jojo tujuane nampenda sna jojo❤
Vumbi vaaa Hawa hapa😂😂😂😂😂😂
Shangaz shulikia uso huwo mwili umependeza kama kiooo uso sasa kama jalala😢😢
Siku hz anakuwa mbaya sijui shida nn
Nan Janet au
@@Bahati-wu4bs ndio shangaz janet
@@sikudhanimohammad7692 anapaka vipako vikali ndio maaan chunusi tele hapa mweupe pale mweus tfran time😂😂
😂😂😂😂😂uncle
Wakwanz jamani like ata10
💚 🔥 nice like me
Léo ni wakwanza naombeni like zenu from Mozambique
Jojo Jojo weee❤
Wakwanza mimi leo
🔥🔥🔥
Kazi nzuri guys
Wakwanza mm
Naomi hpo umenichekesha kwl ety ndio baby 🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka unatuchereweshea sanaaaa
Mlevi ameweza😂😂😂,anasema mbele yake nyuma yenu ye hayumo🤗🙌😅😅#who are they bytheway he hates you😅😅...team bhailam mko sawa aiseee ngoma inazidi kuwa 🔥
Mmechelewa sanna😢
Jojooo nakupendaa na umapepe wakoo😆😆😆😆😆😆
Wakwanza mim jamani
Bipeni mauwa yangu
Naii penda ki noma ,
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakuna wakenya 🇰🇪 uku jameni
Kama kuna uwezekano uwe unatoa mwendelezo haraka haraka
Haya like zote ni kwa Bhailam nyinyi mbwa xubirin
Unamaanisha nini
Mbwa utakua ww mwenyewe mjinga mkubwa ww
@@Sayd-pi5lq aya bhana ahsante
@@IslamuJafary unajua kuna wa2 hawana kauli mzr
Unaomba like😂 na matusi mujinga kapiza kamahaujui kuomba unafikiria ata bhairamu atakupea akiona hayo matusi nuku wewe😂😂
We nae marium unazingua bhailam ulikuwa unaishi nae nyumb moja afu unauliza bhailam ailikuw anaish wap wakat uliondoka kwake
Wanatuuza
@@sikudhanimohammad7692 wanazingua afadhar tungeona bhailam anahama
Bhailam baada ya kujua kua mariam amamtafuta amuue i think alihama nyumba na kwenda sehemu ingine