MY LOVE |15|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #Bhailam#Naomy#Mariam
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...

Комментарии • 309

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah 5 месяцев назад +71

    Team Jojo tujuane Kwa like

    • @MiriamEmanuel-yr3cm
      @MiriamEmanuel-yr3cm 5 месяцев назад +1

      Yaani we acha2 ananikoshaga jojo anavyojibalaguza balaguza 😘😘

    • @JeniEmmah
      @JeniEmmah 5 месяцев назад +1

      @@MiriamEmanuel-yr3cm 🤣🤣

  • @SalmaMohamedy-o2g
    @SalmaMohamedy-o2g 5 месяцев назад +25

    Kazi nzuri ila mnachelewa Sana kutoa hadi tunawasahau

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 5 месяцев назад +17

    Hapo kuhara tu nimecheka jamn!😂😂😂😂 Embu nipeni na Mimi like

  • @OmarAli-vj9kg
    @OmarAli-vj9kg 5 месяцев назад +39

    Siombi like kwasababu siyo hela lakini naomba like moja 😂😂😂😂😂

    • @Jajakanjaniri
      @Jajakanjaniri 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @rechokizumbe7314
    @rechokizumbe7314 5 месяцев назад +4

    Mjomba umetisha sana😅😅

  • @VioletteManirakiza-n6f
    @VioletteManirakiza-n6f 5 месяцев назад +3

    Very good munacheza vizuli naomba like

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 5 месяцев назад +21

    Leo kama ndoto wa kwanza 🔥🔥🔥🔥 aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno kazi kazi❤❤

  • @jacklinemapendo2032
    @jacklinemapendo2032 5 месяцев назад +3

    Mbona mwachukua mda mrefu kutoa episode nyingine?bhailam....tunakutambua....my love ni moto sanaaaa.....usitueke saaaaaana.one love

  • @julianaedwin8652
    @julianaedwin8652 5 месяцев назад +4

    Jaman mwenzenu sijawai Pat atalike moja, naomb mnipe ata 10

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 5 месяцев назад +3

    Mjomba anaupiga mwingi 😅😅😅kazi nzuri wahusika wote ❤❤❤

  • @zenasalumu8570
    @zenasalumu8570 5 месяцев назад +6

    Basi bhailam wetu tukiwa tunasubilia my love, utufanyie mwendelezo wa PETE AU SHAGALABAGALA jamanii

  • @CizaFrancine-
    @CizaFrancine- 5 месяцев назад +3

    We Jojo mimi unanimalizaga na ico kiherehere cako 😂😂😂😂😂❤🇧🇮

  • @LovenessJames-r9l
    @LovenessJames-r9l 5 месяцев назад +8

    Mnacheelew sana mpaka tunasahau imn kaah

  • @Wardat-o3l
    @Wardat-o3l 5 месяцев назад +5

    Nawapenda ila bailam unatuchelewesha ❤❤❤

  • @manfromkakamega
    @manfromkakamega 5 месяцев назад +12

    #bhailam 🇹🇿 kazi nzuri sana napenda kazi sako

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 5 месяцев назад +38

    Ciku nyngne tena wadau my love kwa like zake sote Kwa pamoja

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi1663 5 месяцев назад +5

    Hap kwa naomi kua na pacha wake mmecheza kama pele ❤❤

  • @AshaaAyubu
    @AshaaAyubu 5 месяцев назад +17

    Jamani story zinachelewa mpk inaboa😢

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 5 месяцев назад +6

    Mariam amenona mashalah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Jojo 😂😂😂😂na huku kwa mjomba nako balaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 5 месяцев назад +16

    Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @amisafsaf3006
    @amisafsaf3006 5 месяцев назад +23

    Wakwanza Leo kutoka Kenya like zenu jamani❤❤❤

  • @HappyChona
    @HappyChona 5 месяцев назад +5

    Jaman Hawa wajomba wa bhailamu wananichekesha kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndio uzuri 😂😂😂😂😂😂

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 5 месяцев назад +7

    Kazi ipoo dah😂😂😂😂😂😂😂

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 5 месяцев назад +14

    Nimewai jamani nipeni likesa❤Mach love from kenya

  • @JanvierIrengenshamamba
    @JanvierIrengenshamamba 5 месяцев назад +5

    Hahahaha safi sana jameni🎉

  • @Jackymomanyi
    @Jackymomanyi 5 месяцев назад +5

    Huyu jojo kweli😂😂😂😂hakuna mwenye anaongea kumuhusu na vituko vyake😅😅😅😅😅

  • @DjumaRichboy
    @DjumaRichboy 5 месяцев назад +4

    Bahlamu weye mukali sana
    Nime chelewa nip liké ata moja ivi

  • @Dellybcomedian
    @Dellybcomedian 5 месяцев назад +12

    ❤❤❤❤❤mbona ulichelewesha jamani next usicheleweshe jameni

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 5 месяцев назад +13

    Wakwanza leo from kenya 🇰🇪 much love❤

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana bailam na time yako ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Credokiwaga01
    @Credokiwaga01 5 месяцев назад +3

    Ndo uzuri

  • @Raluba
    @Raluba 5 месяцев назад +5

    Jamani sisi tunazipenda sana kazi zenu ila kitu kimoja tu ambacho akiendi sawa, yani mkitowa kazi mnachelewesha saaaana alafu badae mkitowa tena dakida munazipunguza daaaa sio vizuri from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 5 месяцев назад +4

    Mumechelewa sanaaa mpaka nikamsahau
    Mpaka ukuu🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nipe ata 10k tu

  • @IrakozeFuraha-n5f
    @IrakozeFuraha-n5f 5 месяцев назад +8

    Team jojo tujuwane😂😂😂chawa kama chawa

  • @YunusHassan-dl2md
    @YunusHassan-dl2md 5 месяцев назад +12

    Nakubali faza

  • @Fizzohofficial
    @Fizzohofficial 5 месяцев назад +10

    Thanks Sana akiiii

  • @ArsenSilayo-r4o
    @ArsenSilayo-r4o 5 месяцев назад +3

    Mmechalewesha sana time nyingn muwe mna2waishia bn

  • @pt.olivier
    @pt.olivier 5 месяцев назад +13

    After 2 minutes of publication I just watched it sir bhailam please give me at least ten likes Your Congolese fan I love you so much my idol

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 5 месяцев назад +10

    Kumbe bado mupo hai washiriki ❤😮

  • @BrianKhan-nq7ob
    @BrianKhan-nq7ob 5 месяцев назад +1

    Wadau aky mie nausunika sana kila siku sijawai pewa like yeyote huku

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 5 месяцев назад +6

    Mjombaaa umeniua mbavu ,, mtu anakufa unaangalia movie 😅😅😅😅

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 5 месяцев назад +9

    Hebu nicoment nitangalia Badae from Oman 🇴🇲

  • @ShilingiMwapesa
    @ShilingiMwapesa 5 месяцев назад +2

    Safi sana qwa kazi nzuri🎉🎉🎉

  • @jomwanjestv
    @jomwanjestv 5 месяцев назад +3

    Kazi iendelee!

  • @HusnaChelicheli
    @HusnaChelicheli 5 месяцев назад +7

    ❤❤❤❤ tumeuanz mwez wa 5 na kibao pendwaa MY LOVE 💓

  • @elyudig
    @elyudig 5 месяцев назад +18

    Oya nyie wakwanza jamani like zenu

  • @fahruq4486
    @fahruq4486 5 месяцев назад +5

    Sanaa kaka

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 месяцев назад +5

    Mume wangu ni samehe tuhh ivo ivo😅😅😅nimeenda chooni mara 30😂😂😂😂

  • @mouh844
    @mouh844 5 месяцев назад +6

    Was eagerly waiting for this

  • @hermanwanjohi1124
    @hermanwanjohi1124 5 месяцев назад +7

    Tumeingoja sana from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @emmanuelsichula7117
    @emmanuelsichula7117 5 месяцев назад +14

    UNACHELEWA SANAA KUTUPA MWENDELEZO NDUGU YANGU 😭🥺😭🥺😭🥺

    • @IreneArobogast
      @IreneArobogast 5 месяцев назад

      Kweli kabisa anachelewa sana Hadi tunaisahau jmn

    • @Lill12llLil888
      @Lill12llLil888 5 месяцев назад

      Ata mmi nlidhani iliisha kwanza wanachelewesha af fupi kweli

  • @Benson-it1nf
    @Benson-it1nf 5 месяцев назад +4

    Jojo ni like aki nimekuja wa mwisho leo

  • @mahirmahir2407
    @mahirmahir2407 5 месяцев назад +4

    Kwan haka kiumbau mbau jojo kwann msikachape makofi kakapunguza jeur 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SaharaAli-b3h
    @SaharaAli-b3h 5 месяцев назад +5

    Sawa sana

  • @deshantehwereji8326
    @deshantehwereji8326 5 месяцев назад +14

    Wa kwanza kutoka kenya❤❤likes za biram

  • @JohnMathias-vf2hy
    @JohnMathias-vf2hy 5 месяцев назад +9

    Hapo vizuli

  • @abderochdogostar
    @abderochdogostar 5 месяцев назад +9

    Bhailam💪💪🇲🇿

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 5 месяцев назад +6

    Kumbe uyu police jamanini 🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @vumiliawaziri3182
    @vumiliawaziri3182 5 месяцев назад +6

    Unachelewesha san kazii

  • @Aishk71
    @Aishk71 5 месяцев назад +5

    Asante ila siku izi unakiya sana jaman

  • @Venus_dm9
    @Venus_dm9 5 месяцев назад +6

    ndo uzuri 😂😂

  • @ShinunaUnsfat
    @ShinunaUnsfat 5 месяцев назад +5

    Niliwsublia Kwa hamu ila Mna chelewsha🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SiajabuAbdallah
    @SiajabuAbdallah 5 месяцев назад +9

    View no moja 😊 nipewe maua yangu 😂

  • @MwanaidiSuleiman-vg2qn
    @MwanaidiSuleiman-vg2qn 5 месяцев назад +3

    Ila Jojo ety minyoko ndo nguo😀🤭🙌

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 5 месяцев назад +4

    Woow nimependa naomy kuwa tena❤❤❤

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉 great thing about this love 💕💕💕💕

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 5 месяцев назад +5

    Jojo😂😂😂😂😂

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 5 месяцев назад +2

    Siki limtanjua mke mjombaaa😂😂😂😂

  • @EmmanuelLudovick-df7ze
    @EmmanuelLudovick-df7ze 5 месяцев назад +2

    Atakae nipa like namuombea Kwa mungu apate balaka nyingi sanaa

  • @mpeliibrahim398
    @mpeliibrahim398 5 месяцев назад +9

    Mambo moto

  • @Witnessmajija
    @Witnessmajija 5 месяцев назад +8

    hatariiiiii

  • @NajmaMohammedy-u4y
    @NajmaMohammedy-u4y 5 месяцев назад +2

    Like kwa babe wake rose 🤣🤣🤣pacha wa naomi nmempnda babe wkoo🤣🤣🤣🤣

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 5 месяцев назад +3

    Jamani wangapi tumemic recho wetu. 😂😂😂

  • @PascalChales-r7o
    @PascalChales-r7o 5 месяцев назад +17

    TANGU NIANZE KUCOMMENT SIJAWAHI KUPATA LIKE JAMANI 😭😭

    • @Professor.Irene95
      @Professor.Irene95 5 месяцев назад

      We like unauza azimsaidii msanii unatakiwa umshauli kuusu movie nasio kulilia like

    • @MariamRashidi-n7u
      @MariamRashidi-n7u 5 месяцев назад

      Tuko pamoja kbs

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 5 месяцев назад +2

    Hilo tumbo la Mariam 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rebeccazagabe
    @rebeccazagabe 5 месяцев назад +5

    jamn ni mewai leo kwa nini muna shelewesha mu zigo 😮

  • @faridahally6314
    @faridahally6314 5 месяцев назад +4

    Team jojo tujuane nampenda sna jojo❤

  • @ummycheedy2809
    @ummycheedy2809 5 месяцев назад +2

    Vumbi vaaa Hawa hapa😂😂😂😂😂😂

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi1663 5 месяцев назад +2

    Shangaz shulikia uso huwo mwili umependeza kama kiooo uso sasa kama jalala😢😢

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 5 месяцев назад

      Siku hz anakuwa mbaya sijui shida nn

    • @Bahati-wu4bs
      @Bahati-wu4bs 5 месяцев назад

      Nan Janet au

    • @hamisuuhamadi1663
      @hamisuuhamadi1663 5 месяцев назад

      @@Bahati-wu4bs ndio shangaz janet

    • @hamisuuhamadi1663
      @hamisuuhamadi1663 5 месяцев назад

      @@sikudhanimohammad7692 anapaka vipako vikali ndio maaan chunusi tele hapa mweupe pale mweus tfran time😂😂

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂uncle

  • @SmilingCap-hy9di
    @SmilingCap-hy9di 5 месяцев назад +12

    Wakwanz jamani like ata10

  • @Mwandola1
    @Mwandola1 5 месяцев назад +6

    💚 🔥 nice like me

  • @FrankinaAntonioAntonio
    @FrankinaAntonioAntonio 5 месяцев назад +13

    Léo ni wakwanza naombeni like zenu from Mozambique

  • @AshaSeif-t9j
    @AshaSeif-t9j 5 месяцев назад +4

    Jojo Jojo weee❤

  • @FernandoMakalabo
    @FernandoMakalabo 5 месяцев назад +10

    Wakwanza mimi leo

  • @haruniblackson1318
    @haruniblackson1318 5 месяцев назад +7

    🔥🔥🔥

  • @Zulpher-d1x
    @Zulpher-d1x 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri guys

  • @nishaolewatayari
    @nishaolewatayari 5 месяцев назад +7

    Wakwanza mm

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 5 месяцев назад +2

    Naomi hpo umenichekesha kwl ety ndio baby 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maboyaofficial8491
    @maboyaofficial8491 5 месяцев назад +2

    Kaka unatuchereweshea sanaaaa

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 месяцев назад +1

    Mlevi ameweza😂😂😂,anasema mbele yake nyuma yenu ye hayumo🤗🙌😅😅#who are they bytheway he hates you😅😅...team bhailam mko sawa aiseee ngoma inazidi kuwa 🔥

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 месяцев назад +5

    Mmechelewa sanna😢

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 5 месяцев назад +3

    Jojooo nakupendaa na umapepe wakoo😆😆😆😆😆😆

  • @StephanJames-mp1nz
    @StephanJames-mp1nz 5 месяцев назад +8

    Wakwanza mim jamani
    Bipeni mauwa yangu

  • @mumbereElise
    @mumbereElise 5 месяцев назад +2

    Naii penda ki noma ,

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 5 месяцев назад +7

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tbt7754
    @tbt7754 5 месяцев назад +5

    Hakuna wakenya 🇰🇪 uku jameni

  • @DBlack-bo8ob
    @DBlack-bo8ob 5 месяцев назад +4

    Kama kuna uwezekano uwe unatoa mwendelezo haraka haraka

  • @AbuuRumaytha-i4c
    @AbuuRumaytha-i4c 5 месяцев назад +35

    Haya like zote ni kwa Bhailam nyinyi mbwa xubirin

    • @IslamuJafary
      @IslamuJafary 5 месяцев назад +1

      Unamaanisha nini

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 5 месяцев назад +1

      Mbwa utakua ww mwenyewe mjinga mkubwa ww

    • @IslamuJafary
      @IslamuJafary 5 месяцев назад

      @@Sayd-pi5lq aya bhana ahsante

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 5 месяцев назад

      @@IslamuJafary unajua kuna wa2 hawana kauli mzr

    • @philohmutua2968
      @philohmutua2968 5 месяцев назад

      Unaomba like😂 na matusi mujinga kapiza kamahaujui kuomba unafikiria ata bhairamu atakupea akiona hayo matusi nuku wewe😂😂

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 5 месяцев назад +2

    We nae marium unazingua bhailam ulikuwa unaishi nae nyumb moja afu unauliza bhailam ailikuw anaish wap wakat uliondoka kwake

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 5 месяцев назад

      Wanatuuza

    • @gracekayumba-z9l
      @gracekayumba-z9l 5 месяцев назад

      @@sikudhanimohammad7692 wanazingua afadhar tungeona bhailam anahama

    • @hildachiboti6080
      @hildachiboti6080 5 месяцев назад

      Bhailam baada ya kujua kua mariam amamtafuta amuue i think alihama nyumba na kwenda sehemu ingine