Kim na team yako najua mnamajukum ya kaz nying kuzikamilisha lkn kwa ww unapaswa hii movie usichelewe kuitoa kipande kinachofuata ilikujibrand zaid ww cz me najua hii ndo movie yako ya kwanza so jitahid
apo kwenye begi mmefeli sanaaaa nyie wenyewe angalieni kwa makini hamkufikiria mara mbili kingine kioande cha mbele mnakiweka nyuma cha nyuma mbele apo kwa mbwela na huyo dada kumzingumzia butua
Kim na team yako najua mnamajukum ya kaz nying kuzikamilisha lkn kwa ww unapaswa hii movie usichelewe kuitoa kipande kinachofuata ilikujibrand zaid ww cz me najua hii ndo movie yako ya kwanza so jitahid
Kweliii
Vizuri Sana wangu Kim
Nipeni like🎉🎉🎉
Kim ametendea haki uhusika lakini big up kubwa kwa mbwela ameiongoza vizur na story nzuri sana...big up mbwela na kim kwa pamoja mmeweza
Msako ni move imetulia mno hongera Kim vevo naomba like hapa 👍
Mbwela km mbwela og lop u broo❤
Kama uko hapa juu ya Kim🤲🔥
Our next east Africa female Goddess🔥🔥🔥🔥
Kim nakubali kazi zuri ilaa nakupenda Kim vevo
Kim usikawizi muendelezo msako nzuri sana
Bado tunatamba 2024✌️mungu akubariki
Watching from country KENYA 🇰🇪🙋👏👏👏👏💞💞💞
Kazi Mzurii Sanaa Dada Mungu akubariki
Nakupenda mbwela
Nakupenda sana Kim vevo hongera kwa kazi nzuri
Like🎉🎉
Hongera dada kim kaz yak ya kwanz bt n nzur mno tu tumeipenda xan MOLA akusimamia dada
KIM VEVO GOOD JOB FROM 🇧🇮 nimependa san kaziako unaweza san mollah akuwekeewepesi naumusalimie sandra❤❤😂😂
Nipeni like basi🎉🎉😢kim ana ekima
Kazi nzuri ❤
Official Kim Vevo Umekua Bora sanaaa ❤❤❤❤
Wa Kwanza mimi from 🇨🇩
Hongera sana Kim,,,, nakupenda sana kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimekupa like nipeni na wewe🎉🎉
Kim unasura nzuri natamani uwe mke wangu
Like basi
Waaaaah haya twendeni nalo time mbwela 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Go girl❤❤ kwanza nakupenda 🎉❤ All the best sweetheart May God bless your hustles
Sauti inakwaruza mbona Kim
Kazi mwanzo inaonekana nzuri sana iko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana mbwela nakukubalia kazi zako si zakototo hongera
Team clam mupo vzr sana hakika saiv bongo movie ipo sehemu salama❤🎉😊
Kazi nzuli ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂 😅😅
Kazi mzuri kim
Mbwrla basi black handsome 😂❤tembea kenya mbwela nitakuhost
Hii msako nzur Sana naomba like
vijiji skuizi vimeendeleya sana umeme umeshafika kotehuko mambo ni 🔥
KAZI mzuri lakni sauti mbovu
Kim nakukubali sana dr
Kazi nzuri san dada
Popote napomuona kim hyo movie lazima niiangalie tuuu kwa namna yoyoteee❤❤❤
Ata mm pia nmpend uyo mdada🎉❤
nampenda pia kim😊💓😊💓😊💓😊💓💓😊💓😊💓😊💓😊💓😊💓😊💓😊💓😊
same to me😂
Ata na mm nampenda cn❤❤❤
Mungu akujaalie kwa kazi mzuri
Kere muito msako
Nawapenda ❤❤
Jaman my sister kim kama 🎒 lakwako lakwangu likowapiiiiiii😮
Congratulations Kim❤ from CONGO 🇨🇩🇨🇩
Namimi ndo naanza kuitazama,
Naomba like zenu
Like🎉🎉
Umeanza vizur
Kim ni 🔥 🔥🔥
Kim me nakupend mwenzak nkija pata Hela naja kukuoah mwenzak
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤kim unaweza dada
Good job kim
ipo vzr sana jamn
Kazi nzr
Vizuri Sana wangu Kim una Fanya vizuri Sana
Sauti uko na noma kiasi ...... jaribu kuweka vocal real... otherwise ni movie Kali sana ...naikubali
I thought ni speaker ya simu yangu...hadi nikaipuliza😂😂😂
Niyeke mura
Sauti siyo nzuri
Kazi nzur
Love from kc Baba❤❤ I love it
Kim vevo nakupenda sana ❤❤❤
Hongera sana ❤
Hongera kim vevo kwa kutuleteya move yako ya kwanza nipo saudiya Riyadh kukufatiliya na nawafatiliya kwq karibu kazi zenu
Congratulation sister kim
Mhariri hakuona hiyo sauti haiko sawa
Napenda sana kaz dadang,,,kla sehem unayochez uwa unajua ,,,hongera dadaa
Noma sana❤🎉
Hongeren san mmnawez na mm nataman siku nin kua muingizaj
Kazi nzuri wa kwetu❤
Iyi kitu konki lakini mna tuchelewesha sana kutupa partie 2
Ooo Kim hongelasana umejitahindi Sasa usiwe unakawza
KALI SANAAAAAAA
Kim kama kim
Kim nakuelewaga mno.❤❤🎉🎉
Congratulations sister
kazi nzuri kim vevo🎉🎉
Bwela mtt helwa uyo katowe mahari uowe
Nahapa ipo team VEVO ❤❤❤❤❤😂
ktu safi Kim vevo
DADA KIM KAZI MZUR MY LOVELY SISTER
Nampenda Kim sana
Imeweza sna
Hongera Kim🤗
Director unafeli wapi begi linakaaje nje wakati kuna mtu alikuwa anakimbizwa kabisaa
hapo sasa hata mm nimekasirika
Ni kweli kbs
Kim nice job God bless you 🙏 ❤❤❤
Muito bom
First kenyan to watch...
What a film #Kim.
Congratulations ❤❤❤
Kazi zuri sana
Live in Lusaka naomba like zangu
Nimekubali sana
Sengo hatarii Sanaa
Acheni kutufanya atuna akili akili mbovu utaweka aje begi inje wakati umeona mtu anakimbizwa namajambazi alafu aujakaguwa
Kwel kabisa wanatufanya wasenge
Kim,ni🔥🔥🔥🔥
Woyooopp🎉🎉🎉🎉🎉kim we 🔥 🔥 na team yako...nawapendaje!
Kim Kim Kim VEVO❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Dada Kim unaweza dear
Team work
😁😁😁🤣mbwira joana ipituwa begi yawatu lini muendelalesho
Ichi kiluga au
More fire ❤❤
Weldone kim❤❤❤❤
Naamin nannakuamin kim unaweza
Kim na mie nimsanii naigizq naomb niwe kwenye kundi lako
Karibu dar zone tv
Kazi nzuri
Kazi nzuri ila hapo kwenye beg kuachwa njee mmezingua
apo kwenye begi mmefeli sanaaaa nyie wenyewe angalieni kwa makini hamkufikiria mara mbili kingine kioande cha mbele mnakiweka nyuma cha nyuma mbele apo kwa mbwela na huyo dada kumzingumzia butua
Nampenda mtu mwenye miwivu wivu kma mbwera❤❤❤❤❤❤❤❤
Good introduction