🔴LIVE: KAMWE ANAFUNGUKA A-Z KUONDOKA YANGA/ WASAUZI WASHTUSHWA NA UBORA WA YANGA/ SIMBA TISHIO MISRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 31

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 месяца назад +4

    Mdathir kazin kwake Kuna kazi aombe Dua na apambane Kweli Kweli d abuya daadaadaa

  • @MonicaNathanael
    @MonicaNathanael 2 месяца назад +3

    Tuko live wananchiiii💛💚💚💛

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 месяца назад +1

    SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @MalikiMohamedy
    @MalikiMohamedy 2 месяца назад +3

    Omari mketto nipo sãopaul Brasil nawapata vitória sana hapo wasafi

  • @alisalmin512
    @alisalmin512 2 месяца назад +3

    Naomba majina ya hawa wachambuzi ndio niwafuatilie

  • @dragon_tz
    @dragon_tz 2 месяца назад +6

    HIVI KUNAUWEZEKANO MKIWA MNACHAMBUA MDA HUO HUO MNAKUA MNATUPITISHIA YA HIGHLIGHTS JAPO HATA KWA UCHACHE2.. 🙏
    OTHER WAYS NAWAPENDA SANA NA NAWAFATILIA KUTOKA DUBAI🇦🇪

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 2 месяца назад +10

    Mimi nilivyo muelewa Mr. Gamond hakutaka kuwanyima usingizi wachezaji pamoja na mashabiki wa Simba mpaka siku ya kuwafumuwa na kuvalishwa Sanda lakini ikabidi hivyo ila wajuwe Sanda wamesha zivaa bila ya kuambiwa wakae wakijuwa hivyo wasubili kuzikwa tu

  • @VictorKahangwa
    @VictorKahangwa 2 месяца назад +4

    Mashabiki walikufuru kusema even Jesus Christ can't save Kaizer Chiefs !!

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 2 месяца назад

      Kabisa yani 😅😅😅😅

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 месяца назад +2

    Huyu michambuzi wa kipemba tunajua amechukia yanga kupata kombe maana yeye ni kolo

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 2 месяца назад +3

    JAMAN JOB,KIBABAGE Na YAO YAO KAZI ZAO PIA NI MOTO SANA

  • @BoniphaceJacobo
    @BoniphaceJacobo 2 месяца назад

    Mbona kwenye tv hampo live kwenye kisimbuzi Cha Azam

  • @LucyMbwambo-w4d
    @LucyMbwambo-w4d 2 месяца назад +1

    Wasafi iringa mjini tunawapata kwa shida kwa upande wa kutumia redio,tunaomba mboreshe zaidi mfumo wa matangazo yenu

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 2 месяца назад

    Hapo wanamuongelea Mzize 😅😅😅😅😅😅

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 2 месяца назад

    Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na Yanga ktk club bingwa Africa ndo kuleta hujuma...itakuwa Kaizer chiefs😂😂.. Makolo huwa hawakubali wanatafuta sababu kusema Kaizer chiefs wameshuka...vp kuhusu mamelod aliyefungwa na n bingwa ligi hiyo???

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +2

    Xav mtupu

  • @aboumanasse90
    @aboumanasse90 2 месяца назад

    Naomba kuuliza swali, haji manara hana slogan nyingine ya uwamasishaji tofauti na kuingumzia simba, mbona Ali kamwe anafanya uwasishaji bila kuizungumzia simba na Ahmed anafanya hivyo bila kuizungumzia yanga, mda wote aliokaa nje hajajifunza vitu vipya?!

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 месяца назад +1

    Mnachekesha sana.kaizer chifu Ile mnazani ndio hii.kwenye ligi huko kwao inashika nafasi ya 10.acheni upumbavu huo.mnapiga bomu muchwari mnasema mmeua.fyuuuuuuuu

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 2 месяца назад

      Utakufa mapema kwa roho mbayaa😅

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 месяца назад

      ​@@salmamlokela1987mwache afe tu maana Sanda tayari anayo

    • @johannmaloda6027
      @johannmaloda6027 2 месяца назад

      Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na yanga ktk club bingwa Africa wewe unaongea nn, makolo akili km zimejaa kamasi mpira hamjui.....😂😂

  • @cosmaskituikitui4542
    @cosmaskituikitui4542 2 месяца назад

    mbna sijibiwi ubwela nn?

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 2 месяца назад +2

    Mbona walifungwa goli 2 hizo hamzisemi kwaniniii

  • @cosmaskituikitui4542
    @cosmaskituikitui4542 2 месяца назад +1

    ubaya ubwela ndooninnnn

    • @Mleiosia
      @Mleiosia 2 месяца назад

      ubaya ubwela ni mavi yalokauka

  • @khmissalum3881
    @khmissalum3881 2 месяца назад +1

    Mimi