HIVI KUNAUWEZEKANO MKIWA MNACHAMBUA MDA HUO HUO MNAKUA MNATUPITISHIA YA HIGHLIGHTS JAPO HATA KWA UCHACHE2.. 🙏 OTHER WAYS NAWAPENDA SANA NA NAWAFATILIA KUTOKA DUBAI🇦🇪
Mimi nilivyo muelewa Mr. Gamond hakutaka kuwanyima usingizi wachezaji pamoja na mashabiki wa Simba mpaka siku ya kuwafumuwa na kuvalishwa Sanda lakini ikabidi hivyo ila wajuwe Sanda wamesha zivaa bila ya kuambiwa wakae wakijuwa hivyo wasubili kuzikwa tu
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na Yanga ktk club bingwa Africa ndo kuleta hujuma...itakuwa Kaizer chiefs😂😂.. Makolo huwa hawakubali wanatafuta sababu kusema Kaizer chiefs wameshuka...vp kuhusu mamelod aliyefungwa na n bingwa ligi hiyo???
Naomba kuuliza swali, haji manara hana slogan nyingine ya uwamasishaji tofauti na kuingumzia simba, mbona Ali kamwe anafanya uwasishaji bila kuizungumzia simba na Ahmed anafanya hivyo bila kuizungumzia yanga, mda wote aliokaa nje hajajifunza vitu vipya?!
Mnachekesha sana.kaizer chifu Ile mnazani ndio hii.kwenye ligi huko kwao inashika nafasi ya 10.acheni upumbavu huo.mnapiga bomu muchwari mnasema mmeua.fyuuuuuuuu
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na yanga ktk club bingwa Africa wewe unaongea nn, makolo akili km zimejaa kamasi mpira hamjui.....😂😂
Mdathir kazin kwake Kuna kazi aombe Dua na apambane Kweli Kweli d abuya daadaadaa
Tuko live wananchiiii💛💚💚💛
SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Omari mketto nipo sãopaul Brasil nawapata vitória sana hapo wasafi
Naomba majina ya hawa wachambuzi ndio niwafuatilie
HIVI KUNAUWEZEKANO MKIWA MNACHAMBUA MDA HUO HUO MNAKUA MNATUPITISHIA YA HIGHLIGHTS JAPO HATA KWA UCHACHE2.. 🙏
OTHER WAYS NAWAPENDA SANA NA NAWAFATILIA KUTOKA DUBAI🇦🇪
Mimi nilivyo muelewa Mr. Gamond hakutaka kuwanyima usingizi wachezaji pamoja na mashabiki wa Simba mpaka siku ya kuwafumuwa na kuvalishwa Sanda lakini ikabidi hivyo ila wajuwe Sanda wamesha zivaa bila ya kuambiwa wakae wakijuwa hivyo wasubili kuzikwa tu
Mashabiki walikufuru kusema even Jesus Christ can't save Kaizer Chiefs !!
Kabisa yani 😅😅😅😅
Huyu michambuzi wa kipemba tunajua amechukia yanga kupata kombe maana yeye ni kolo
JAMAN JOB,KIBABAGE Na YAO YAO KAZI ZAO PIA NI MOTO SANA
Mbona kwenye tv hampo live kwenye kisimbuzi Cha Azam
Wasafi iringa mjini tunawapata kwa shida kwa upande wa kutumia redio,tunaomba mboreshe zaidi mfumo wa matangazo yenu
Hapo wanamuongelea Mzize 😅😅😅😅😅😅
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na Yanga ktk club bingwa Africa ndo kuleta hujuma...itakuwa Kaizer chiefs😂😂.. Makolo huwa hawakubali wanatafuta sababu kusema Kaizer chiefs wameshuka...vp kuhusu mamelod aliyefungwa na n bingwa ligi hiyo???
Xav mtupu
Naomba kuuliza swali, haji manara hana slogan nyingine ya uwamasishaji tofauti na kuingumzia simba, mbona Ali kamwe anafanya uwasishaji bila kuizungumzia simba na Ahmed anafanya hivyo bila kuizungumzia yanga, mda wote aliokaa nje hajajifunza vitu vipya?!
Mnachekesha sana.kaizer chifu Ile mnazani ndio hii.kwenye ligi huko kwao inashika nafasi ya 10.acheni upumbavu huo.mnapiga bomu muchwari mnasema mmeua.fyuuuuuuuu
Utakufa mapema kwa roho mbayaa😅
@@salmamlokela1987mwache afe tu maana Sanda tayari anayo
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na yanga ktk club bingwa Africa wewe unaongea nn, makolo akili km zimejaa kamasi mpira hamjui.....😂😂
mbna sijibiwi ubwela nn?
Mbona walifungwa goli 2 hizo hamzisemi kwaniniii
Mbilingp mbna husemi
Walifungwa mbili na timu Gani?
Mpila hujui ndio mana umejawa na uxhabick2
Unadhani hzo mbili kafungwa na telecom fc?
ubaya ubwela ndooninnnn
ubaya ubwela ni mavi yalokauka
Mimi