HOUSE GIRL EP 60 || SEASON FINALE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 1 тыс.

  • @busatitv
    @busatitv  Месяц назад +103

    Maoni ushauri karibu katika group letu 👇👇
    chat.whatsapp.com/Gboxs71PAvtHl0nvTLi66k

    • @user-ir7ez1ov6h
      @user-ir7ez1ov6h Месяц назад +6

      Kazi nzur napenda sana kiufupi Allah awajalie

    • @RehemaMwakisyala-k9u
      @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад +1

      Kaz nzur mungu azid kuwasaidia kutupa Kaz nzur Zaid zuu Kai nawapenda❤❤

    • @marianchamba3898
      @marianchamba3898 Месяц назад

      kazi yenu ninzuri sana Mungu awatie nguvu ili tuzidi kujifunza mengi kutoka kwenu

    • @ShamsaGao-nn1ge
      @ShamsaGao-nn1ge Месяц назад +2

      Mnachelewesha Sana ckuiz

    • @ZuheriMshan
      @ZuheriMshan Месяц назад

      Kaz nzuri

  • @Norah-dee
    @Norah-dee Месяц назад +253

    Nataka kujua tuliokuwa mwanzo ww safar ya zuu na kai gonga like hapa kuwapa pongez na pole kwa changamoto hatimae wameshinda 🎉🎉

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 Месяц назад +184

    Yule alochukizwa na kilio cha zatiti like twende sawa

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +3

      😭😭😭😭😭😭

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v Месяц назад +1

      Kimechukiza ajee jmn😢😢

    • @irinemmasy8387
      @irinemmasy8387 Месяц назад

      ​@@user-dn3sn2fk9vAnalia mpaka anazidisha sasa khee

    • @mauamshindo2558
      @mauamshindo2558 Месяц назад +4

      Zatiti nae msenge kwan hana kwao

    • @mauamshindo2558
      @mauamshindo2558 Месяц назад +6

      Nikiona mwanamke anateseka alaf bado anamlilia hivi nataman nimzabuee🚮

  • @LidyaKadogo
    @LidyaKadogo Месяц назад +89

    Wanaomhurumia zatiti like hapa

  • @minakhami1228
    @minakhami1228 Месяц назад +57

    hiv jaman ina maan mpka house girl inafika tamat mmeshindwa hata cku moja kunipa like tu..???mnabagua jaman

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      👌👌👌👌

    • @minakhami1228
      @minakhami1228 Месяц назад +2

      oyooo leo ntalala had busati mmeniona..!! Nawapenda sana kazi nzur tunataka nyingine kali kuliko hii..

    • @jacklineteresia2629
      @jacklineteresia2629 Месяц назад

      ​@@busatitvmungu awalindi viema mulete nyingine Kali tuko tunasubilia Kai ongera Sana 🎉🎉🎉

    • @aaminaasljbgbvf745
      @aaminaasljbgbvf745 Месяц назад +1

      😂😂😂😂 weeeeeee mambo moto walausijsli

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Месяц назад +19

    twashukur sana kwa movie nyeny mafunz na waombea mung wape nguvu na zatiti usikate tamaa mdogo wang🎉🎉🎉

    • @JosephineMegora
      @JosephineMegora Месяц назад

      Bora wew sio mengine kazi kuomba like tu

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika Месяц назад +94

    Wenye tunangoja harusi ya zuu na Kai gonga like ❤

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi Месяц назад +22

    anae mkubari bibi zuu kwa ushauri wake kuusu sherehe lazima tufurahi harusi zuu tutambe tutuzwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉like kidogo hapa

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Месяц назад +20

    yaan zuu anahurumia pesa .anaona zitaish n hazitapatikan tena .team zuu n kai harusi hoyeee🎉🎉🎉ila naomben like pamoja n kuchelewa😢

  • @IreneLudani
    @IreneLudani Месяц назад +91

    Zuu anawaza jinsi hela zitakavyoisha ety jaman hajui kama zitapatikana nyingine kama unanissaport gonga like hapa

    • @valentinanduku8718
      @valentinanduku8718 Месяц назад

      Mgumu huyo dadake na bbibi wapo sahihi

    • @IreneLudani
      @IreneLudani Месяц назад

      @@valentinanduku8718 kabisa wale ndo wanakua maana ya sherehe nzuri

  • @MwiraqKuncelly
    @MwiraqKuncelly Месяц назад +22

    Walio frah kumon mr ndevu za mbuz kumb hakwend ulaya like hap tujuane

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v Месяц назад +16

    Nawàshukuru🙏💘🙏 nyote tulioanza kipindi hiki pamoja pongeza sana Kwa wana BUSATI TV kwa kazi nzuri 🤞🤞🤞

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +2

      Asante sana🙏🙏

    • @user-wq9ew1kb9b
      @user-wq9ew1kb9b Месяц назад

      ​@@busatitvseason two lini itaanza jmn

  • @Thebossmama254
    @Thebossmama254 Месяц назад +75

    Kama tulianza pamoja mpaka tumefika hapa gonga like

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Месяц назад +83

    Jamn leo mm wakwanz ila naogp kuomba like maan mtasema nitoe maoni na nikitoa maoni like sipew😏😏 kwaiy like mwanipa au amnipi

    • @MargaretKilongi
      @MargaretKilongi Месяц назад +2

      😂😂

    • @Farthun
      @Farthun Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 twakupa maan sikwakichambo hicho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Badru-k7m
      @Badru-k7m Месяц назад

      Kwavile ujaomba mm nakupa

    • @user-sk7un6ls2t
      @user-sk7un6ls2t Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @Naaah-cc3kq
      @Naaah-cc3kq Месяц назад +1

      Sikupi ninyonge😮

  • @HawaOmary-gw2oo
    @HawaOmary-gw2oo Месяц назад +41

    Walio amini chisa anaenda marekani gonga like hapa

  • @A-dcha_14
    @A-dcha_14 Месяц назад +46

    1 mimi leo from kenya naomba like zenu❤❤❤❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mamakemariam3910
    @mamakemariam3910 Месяц назад +27

    Wakwanza kutoka Kenya likes zangu jamani

  • @JenifaAnthony
    @JenifaAnthony Месяц назад +21

    Jaman nawaomba, naombeni jaman 😢😢😢ata like moja kwaajir ya zuu na kaiiiiiiìii😅

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv Месяц назад +2

    Daah uu wifi wa zatiti ata jutia Siku moja naomba like zang

  • @hadiaamiri-ig9xm
    @hadiaamiri-ig9xm Месяц назад +46

    Weeee nimekuwa namba mbili gonga like kwa zuu wake time gulfu time wi:fi

    • @FaithMokeira-gl3rq
      @FaithMokeira-gl3rq Месяц назад +1

      Yaan movie imeanza kua damu na ndo tuko final 😢😢😢

  • @HellenAlquin
    @HellenAlquin Месяц назад +22

    Npo hapa saiz naomba like na mm jmn hata sijawahi kupewa hata

  • @SaquinaMinrage-m4o
    @SaquinaMinrage-m4o Месяц назад +3

    Kandi nakupenda bure,najitahidi sana nikuchukie kwa matendo yako lakini siwezi kabisa, nakupenda mama ❤🎉

    • @salhatiddy
      @salhatiddy Месяц назад

      Ongea yake TU 😂😂

  • @Farthun
    @Farthun Месяц назад +15

    Chiko na dadako mtakuja kumkumbuka zatiti twendeni naloo tu

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Месяц назад +24

    Wangapi tumeshtuka kumuona mume wa wifiyake zatiti

    • @mimahsavage-ju2xj
      @mimahsavage-ju2xj Месяц назад

      Tupo hap mi had siamin jmn😂

    • @selestinakazuvi7213
      @selestinakazuvi7213 Месяц назад

      Hata nami pia sijaamini kabisa kabisa

    • @selestinakazuvi7213
      @selestinakazuvi7213 Месяц назад

      Bw.Kaboga na si Chisa tena

    • @AaRew-u3g
      @AaRew-u3g 14 дней назад

      𝕨𝕚𝕗𝕚 𝕟𝕚 𝕨𝕒𝕥𝕦 𝕖𝕒𝕛𝕚𝕟𝕘𝕒 𝕤𝕒𝕟𝕒

  • @SaiuYys
    @SaiuYys Месяц назад +6

    Pole sn zatiti. Ila rafiki Yako ako n roho nzuri sn nimempenda❤❤❤

  • @omarsaid_1607
    @omarsaid_1607 Месяц назад +12

    Jamanii mbona venye naona haifai kuishaa hivi haraka,,,, hadi tuone Mr tashaa apatane na mrembo zatiti😊

    • @marymele9714
      @marymele9714 Месяц назад

      Alafu ashike mimba Yan itakua tamu balaa

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 Месяц назад

      @@marymele9714 hapo ndo atakumbukaa kuwa haweziii kupata mke kma zatiti

  • @ZuhuraGama
    @ZuhuraGama Месяц назад +22

    Jaman naomben like na mimi😢😢

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz Месяц назад +44

    Niwahi leo wa 4 😂😂acha nicomment kbila wakuomba like wafike team oman munatazama mukiwa kitandani au bdo mko kazi😂😂

    • @smartoman9378
      @smartoman9378 Месяц назад +1

      😂😂Nipo kitandani hapa 🇴🇲

    • @AliceCharo-wz9oz
      @AliceCharo-wz9oz Месяц назад

      @@smartoman9378 raha ya oman😂😂hio hkna mtu kufnya kazi hdi 12:00 Am hku

    • @zahraali5113
      @zahraali5113 Месяц назад +2

      Nipo kitandani tangu saa 2 ya usiku huku nikipunga kibaridi cha salala 😂😂😂😂 wifi za waraabu zitatauua

    • @metrinenyakoe1764
      @metrinenyakoe1764 Месяц назад

      🇸🇦 🇸🇦 ndaaaaaaaani 😊

    • @KhadijaG-rm8fu
      @KhadijaG-rm8fu Месяц назад +1

      Mm naosha vyombo huku niko busat tv

  • @SarahWanjala-tb9oz
    @SarahWanjala-tb9oz Месяц назад +17

    ❤❤❤❤ napenda video zenu the way nafuatilia wee weka like jamani

  • @RuthNyanchera-vk6nq
    @RuthNyanchera-vk6nq Месяц назад +12

    Wa kwanza kutoka kenya mnipee likes zangu please 💖💖

  • @LeilaAdija
    @LeilaAdija Месяц назад +15

    Chiko ww mung anakuona dada wawtu mpole mamb unayomfania

    • @riziki8406
      @riziki8406 Месяц назад +1

      atakuja juta badae na hata kulia naona

    • @JamalHaji-nv9yt
      @JamalHaji-nv9yt Месяц назад +1

      Chiko mwenyewe tasa😂😂😂...but akija gudua itakua too late😂

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 Месяц назад +33

    Kwanzia nianze nimekuwa wanne leo kwa mara ya kwanza naomba like plz

  • @user-ky4ce9py5i
    @user-ky4ce9py5i Месяц назад +7

    Zatiti atalia😢 mpaka lini maoni yangu ni hamache chiku na kubali yamekuwa

  • @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj
    @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj Месяц назад +11

    Mashallaah mashallaah mashallaah mmejuwa kutufrahisha Mambo Bam Bam like jamani hata 5

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Месяц назад +7

    Nauyo zatiti anitolee uchimvyi wa lisha mwambia. Omani 😂😂 asikiyi

  • @user-wx6kw2ly3w
    @user-wx6kw2ly3w Месяц назад +5

    Nipeni like kwa zuu na kai kwa upend wao like zao jamn hat kum tu na kopa kopa❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      😍😍😍🥰🥰🥰

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi Месяц назад +5

    wangapi wanapenda msimamo wa Mr Tasha likes kwake

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg Месяц назад +3

    Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 tangu nianze kuangalia house grel sjawai kupewa like hata moja jaman na mm naomba like hata kumi

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +1

      Tukutane season 2 utapata like nyingi

  • @miguelrosarioyessa7327
    @miguelrosarioyessa7327 Месяц назад +10

    Tunataka harusi ya Kay na Zuuuuu

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l Месяц назад +1

    Zuu acha stress pisa ya harusi peza ziko kwa kai bado ndio mambo inaanza ❤❤❤❤from team gen yani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @joynicecarol1480
    @joynicecarol1480 Месяц назад +24

    Mimi wapili wakenya weka likes hapa

  • @Doreen254-up1mp
    @Doreen254-up1mp Месяц назад +3

    Sa mbona season one iishe kaa Kai na Zuu hawajaoana😢 duuh naona hiyo season two tutalalamika mpaka mate yakauke 😂😂 na kuchungulia kila mara mpaka shingo ingwamie pande moja na macho yabakie kupepesa tu huku gumba likivuka mito yenye series ili kutafuta HOUSE GIRL SEASON TWO BUSATI msitucheleweshee manake kazi mtakayo tuachia ni ngumu sana. ❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      Siyo kwa Busati Tv sisi ni Bandika Bandua

    • @LindaEDWARD-tu7ho
      @LindaEDWARD-tu7ho Месяц назад

      Elewesha vzr ​@@busatitv

    • @Doreen254-up1mp
      @Doreen254-up1mp Месяц назад +1

      @@busatitv Yani hapo umeongea la maana, hao BUSATI wa mchongo season two wataambulia patupu hatuview ng'oo 😂😂

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman Месяц назад +1

      ​@busatiwow ndio maana na wapenda sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ one love wana busati tv

  • @omarsaid_1607
    @omarsaid_1607 Месяц назад +7

    Dadake chiko huyu ndo mume wake 😮,,, sipati pichaa

  • @JaneroseWarren
    @JaneroseWarren Месяц назад +2

    Naskitika kuwaambia sku ya harus ya zuu ndio sku ya chiko kujua mimba sio yake na ndio mwisho wa tamhhilia hiii 😂😂😂 endeleen kupanga mipango yenu ss nmekaa pale😊

  • @PetronilahMatisha
    @PetronilahMatisha Месяц назад +4

    Wooiii Leo nmechelewa wale tunangoja chiku kimrambe tujuane kwa like watching from 🇰🇪🇰🇪

    • @JamalHaji-nv9yt
      @JamalHaji-nv9yt Месяц назад +1

      😂😂😂😂atakuja kujua yy ni tasa

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb Месяц назад +2

    Dah asantn sana tumejifunza mengi na mungu awabariki sana sa a 🎉🎉🎉

  • @DeboraJems-zs7fr
    @DeboraJems-zs7fr Месяц назад +8

    Dada anajua kulia nakung'ang'ania mume asiyekuwa namapenz naye

  • @user-pu3dz7mh2f
    @user-pu3dz7mh2f Месяц назад +2

    hahah shemeji ake chiko kumbe ndo tapeli wa Candy mambo ni fireee🤣🤣

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf Месяц назад +3

    Sema zatiti saivi wanawake hatupo dhaifu ivo hatulilii wanaume 😂😂😂

  • @WitneyZulpha
    @WitneyZulpha Месяц назад +1

    Jman kumbe chisa n shemegi yke n chko acha tuone kuhusu nyumba y candy vyeny utaenda wanaokublian n mm gonna like apa

  • @Byaunda-zi7ue
    @Byaunda-zi7ue Месяц назад +3

    Namimi nashukurusana. Kuwamwazo wamovieiiyetu house girl Asante Nisana kweli beautiful ❤️❤️ Good Bai

  • @Janety-e1u
    @Janety-e1u Месяц назад +1

    Jmna bonge moja la season jmn nilikuw nanyi tok mwanzo mpaka sasa natumae season two itakuw Moto San naisubiri kwa hau jmn❤❤❤❤❤

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад +3

    Toba shemeji ndio uyo hhhhhhh sheji yake chiku nicheke mie

  • @josephderick8695
    @josephderick8695 Месяц назад +1

    Kiukweli mnafanyq vizuri sana sana sana mafunzo mazuri mno alafu ...kila siku nikiwa na familia house girl ndio huwa inatufulaisha tunasubili...mwenderezo

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      Asante sana🙏🙏

  • @linagervas
    @linagervas Месяц назад +5

    Leo nimekuwa wa 110 nipeni like bas

  • @salmasaidi6847
    @salmasaidi6847 Месяц назад +2

    Jaman tulomuona shemej ni chisa like apa😂😂🙌

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy Месяц назад +6

    Kaz nzur sana hongelen mmetisha

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Месяц назад +2

    Ahsanteni na hongereni kwa kazi nzuri,,,,,,ila msichelewe kuleta muendelezo wa season 2 basi

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Месяц назад +3

    Basi mfanye haraka hiyo seasol 2 twaisubiri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @agapitshayo-cy7vy
    @agapitshayo-cy7vy Месяц назад

    Hatimae imefika mwisho big up 🤛🤛 kai leteni nyingine nzuri zaidi

  • @ashaathman-k4n
    @ashaathman-k4n Месяц назад +3

    Jameni wakenya wenzangu wenye tunafalia hii pamoja hata like 5jameni mm hata kama usiku lazima niione naipenda sana

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv Месяц назад +1

    Yah chisa kaonekana tena je nyumba itarudi kwa ibirisi kendi au chisa atawaigizia tu namuona mrs zuu mama wa kubajeti sema kaumwaga mwingi👏👏👏👏

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela Месяц назад +12

    Mimi wa kwanza 😂😂😂

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw Месяц назад +1

    Bibi mashaallah uko vzr sn mungu kakujaakia mme bc pia riziki mungu atatoa kweli bibi 🎉🎉🎉🎉

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Месяц назад +3

    Oky apo sawa kumbe itaendelea nilijuwa ndo final. Ninge umia

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l Месяц назад

    Much love from Kenya guys... twaisubiriii hiyo season two jamani msicheleweshe nawapenda saana kwa kazi yenu ambayo iko namafunzo haki mungu awabariki nyote naazidi kukuuza vipaji vyenu zaidi na zaidi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🙏🙏

  • @liznaliaka5972
    @liznaliaka5972 Месяц назад +7

    Wakwanza ❤❤more love from kenya

  • @user-hm2kl7tx6h
    @user-hm2kl7tx6h Месяц назад +1

    New subscriber, yaani only for three days, guy's from EP1 upto EP60 naomba like jamani hata kama ni 60

  • @LadyKCG
    @LadyKCG Месяц назад +17

    Wenye tunasahau ku like 👍 leo nawakumbusha

  • @user-rf9zs7io9x
    @user-rf9zs7io9x Месяц назад +2

    Hongela sana jamani 🎉natamani season 2 nae isichelewe

  • @user-wl6xx8od2m
    @user-wl6xx8od2m Месяц назад +3

    Zatiti karib oman tupo tulioachw tunapambana ila kazi nzr team strong tujuane kwa like nawapndaa

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo Месяц назад +2

    Maskini zatiti pole sana kwa unayopitia 🙏🙏🙏💕

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      Asante sana🙏🙏

  • @LinaLina-uu5pw
    @LinaLina-uu5pw Месяц назад +12

    Likes kwangu mm msinipite na number last yangu😊kweli n tamu hii movie

  • @salomembise4538
    @salomembise4538 Месяц назад +1

    Kazi nzuri Sana congrats busat tv❤ Haya jmn naombeni like hata moja

  • @ZainabMxalu
    @ZainabMxalu Месяц назад +6

    Nimewah na Mimi hongereni sana

  • @afreyghp34
    @afreyghp34 Месяц назад

    Hii movie haikutakiwa kuisha bila kend kukosa msaada na zatiti kupata bwana bora na chiko ilifaa ajulikane hana kizaz , kusud ajutie kwa alichomfanyia mkewe. Ingekua bomba sana.🎉
    But hongeren sana kwa movie hii nzuri.❤

  • @user-oj7jv2sf9y
    @user-oj7jv2sf9y Месяц назад +4

    Wakenya kujeni hapa mabichwa nyinyi 😂😂😂😂😂

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l Месяц назад +9

    Mimi WA pili kama unampenda Kai na zuu kuowan

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze Месяц назад +2

    Kumbe chisa kapatikana na pesa ya candy kutavirugika

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Месяц назад +1

    Jamani zatiti hacha haenda mungu uko na mpango mizuri juu yako 🎉🎉🎉🎉

  • @user-he3mj8dn8u
    @user-he3mj8dn8u Месяц назад +8

    Naomben na mm like jmn

  • @JoinaKahwa
    @JoinaKahwa Месяц назад

    Sijawahi kucomment kwnye hii movi but chiko na chisa kinaumana safi sana kayi kazi nzuri

  • @mbaruamutwiri5404
    @mbaruamutwiri5404 Месяц назад +10

    Tupendaneni na likes jameni 🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад

    Alhamdulillah ala salama team busati shukran zote ninkwake Allah kwani bila yeye tusingefika mbali umbali huu # bibi ya zuu nywele kasuka au mistari tu😂😂😂

  • @veronicahmomanyi
    @veronicahmomanyi Месяц назад +8

    Niwangapi wanajua candy kitamlamba

  • @user-hi3ts2rk8w
    @user-hi3ts2rk8w Месяц назад +1

    Jamani Zuu kanifurahisha leo😅😅...kama wampenda Zuu gonga like kwa ajili yeke🎉🎉😂😂😂

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz Месяц назад +13

    Waloifatilia house girl mwanzo mpaka mwisho tujuane kwa lake

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Месяц назад +1

    Kai unachelewesha ndoa bwana arusi tupe card ya mwaliko bas😂😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад +7

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @Miriamerasmas-rk7nz
    @Miriamerasmas-rk7nz Месяц назад +2

    Like ziende kwa busati tv hongeleni San kwa kazi nzuri

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Месяц назад +2

    Niwape pongezi kwa movie mzuri km hii rakini2 mumebadiIika hamtoi kwa wakati km mwanzo rakini bd tunawapa pongezi

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le Месяц назад +1

    jamaniii tumefka tamati barikiweni cna kwa kazi yenu nzur mwenyenzi mungu awatie nguvu pia dad zatiti uskate tamaa mungu yu pamoja na wew

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      🙏🙏🙏🙏

  • @DjFg-ue3pg
    @DjFg-ue3pg Месяц назад +9

    Wa pili haya naombeni hizo likes nikanunue soda

  • @user-qz2if6nc9j
    @user-qz2if6nc9j Месяц назад +2

    Fainali vipi jaman na haijaisha

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      Season 1 imeisha inakuja season 2

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman Месяц назад

      Tunaisubiri season 2 kwa hamu sana🎉🎉🎉

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 Месяц назад +2

    Angalau Leo hamjaomba like

  • @JohorahassanHadi
    @JohorahassanHadi Месяц назад +1

    Jamani musituchelweshe season two sana sinema nimeipenda

  • @WinfrendKathure
    @WinfrendKathure Месяц назад +4

    Kai mambo we ukofiti kimapezi bana

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Месяц назад +1

    Oya chisa kapatikana nae 😂😂

  • @manirambonajeanne3876
    @manirambonajeanne3876 Месяц назад +3

    Cisa cisa kapanda ndege leo namuona 😂😂😂😂😂

  • @user-gs7gm8ry9c
    @user-gs7gm8ry9c Месяц назад +2

    Mungu awatagulie kz mzur❤❤ from Zanzibar apa