Sa mbona season one iishe kaa Kai na Zuu hawajaoana😢 duuh naona hiyo season two tutalalamika mpaka mate yakauke 😂😂 na kuchungulia kila mara mpaka shingo ingwamie pande moja na macho yabakie kupepesa tu huku gumba likivuka mito yenye series ili kutafuta HOUSE GIRL SEASON TWO BUSATI msitucheleweshee manake kazi mtakayo tuachia ni ngumu sana. ❤❤❤❤
Naskitika kuwaambia sku ya harus ya zuu ndio sku ya chiko kujua mimba sio yake na ndio mwisho wa tamhhilia hiii 😂😂😂 endeleen kupanga mipango yenu ss nmekaa pale😊
Kiukweli mnafanyq vizuri sana sana sana mafunzo mazuri mno alafu ...kila siku nikiwa na familia house girl ndio huwa inatufulaisha tunasubili...mwenderezo
Much love from Kenya guys... twaisubiriii hiyo season two jamani msicheleweshe nawapenda saana kwa kazi yenu ambayo iko namafunzo haki mungu awabariki nyote naazidi kukuuza vipaji vyenu zaidi na zaidi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🙏🙏
Hii movie haikutakiwa kuisha bila kend kukosa msaada na zatiti kupata bwana bora na chiko ilifaa ajulikane hana kizaz , kusud ajutie kwa alichomfanyia mkewe. Ingekua bomba sana.🎉 But hongeren sana kwa movie hii nzuri.❤
Alhamdulillah ala salama team busati shukran zote ninkwake Allah kwani bila yeye tusingefika mbali umbali huu # bibi ya zuu nywele kasuka au mistari tu😂😂😂
Maoni ushauri karibu katika group letu 👇👇
chat.whatsapp.com/Gboxs71PAvtHl0nvTLi66k
Kazi nzur napenda sana kiufupi Allah awajalie
Kaz nzur mungu azid kuwasaidia kutupa Kaz nzur Zaid zuu Kai nawapenda❤❤
kazi yenu ninzuri sana Mungu awatie nguvu ili tuzidi kujifunza mengi kutoka kwenu
Mnachelewesha Sana ckuiz
Kaz nzuri
Nataka kujua tuliokuwa mwanzo ww safar ya zuu na kai gonga like hapa kuwapa pongez na pole kwa changamoto hatimae wameshinda 🎉🎉
Tupo pamoja
Waooo tupo pamoj
Pamoja
Pamoja sanaaa mwaaaaaa mwiiiiiiiiiii
Pamoja sana
Yule alochukizwa na kilio cha zatiti like twende sawa
😭😭😭😭😭😭
Kimechukiza ajee jmn😢😢
@@user-dn3sn2fk9vAnalia mpaka anazidisha sasa khee
Zatiti nae msenge kwan hana kwao
Nikiona mwanamke anateseka alaf bado anamlilia hivi nataman nimzabuee🚮
Wanaomhurumia zatiti like hapa
hiv jaman ina maan mpka house girl inafika tamat mmeshindwa hata cku moja kunipa like tu..???mnabagua jaman
👌👌👌👌
oyooo leo ntalala had busati mmeniona..!! Nawapenda sana kazi nzur tunataka nyingine kali kuliko hii..
@@busatitvmungu awalindi viema mulete nyingine Kali tuko tunasubilia Kai ongera Sana 🎉🎉🎉
😂😂😂😂 weeeeeee mambo moto walausijsli
twashukur sana kwa movie nyeny mafunz na waombea mung wape nguvu na zatiti usikate tamaa mdogo wang🎉🎉🎉
Bora wew sio mengine kazi kuomba like tu
Wenye tunangoja harusi ya zuu na Kai gonga like ❤
❤
anae mkubari bibi zuu kwa ushauri wake kuusu sherehe lazima tufurahi harusi zuu tutambe tutuzwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉like kidogo hapa
yaan zuu anahurumia pesa .anaona zitaish n hazitapatikan tena .team zuu n kai harusi hoyeee🎉🎉🎉ila naomben like pamoja n kuchelewa😢
Zuu anawaza jinsi hela zitakavyoisha ety jaman hajui kama zitapatikana nyingine kama unanissaport gonga like hapa
Mgumu huyo dadake na bbibi wapo sahihi
@@valentinanduku8718 kabisa wale ndo wanakua maana ya sherehe nzuri
Walio frah kumon mr ndevu za mbuz kumb hakwend ulaya like hap tujuane
Ulayaaa oyeeee😂😂😂
Nawàshukuru🙏💘🙏 nyote tulioanza kipindi hiki pamoja pongeza sana Kwa wana BUSATI TV kwa kazi nzuri 🤞🤞🤞
Asante sana🙏🙏
@@busatitvseason two lini itaanza jmn
Kama tulianza pamoja mpaka tumefika hapa gonga like
Jamn leo mm wakwanz ila naogp kuomba like maan mtasema nitoe maoni na nikitoa maoni like sipew😏😏 kwaiy like mwanipa au amnipi
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 twakupa maan sikwakichambo hicho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwavile ujaomba mm nakupa
😂😂😂😂
Sikupi ninyonge😮
Walio amini chisa anaenda marekani gonga like hapa
👌👌👌
Kumbe chisa yupo😅😅😅
1 mimi leo from kenya naomba like zenu❤❤❤❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakwanza kutoka Kenya likes zangu jamani
Jaman nawaomba, naombeni jaman 😢😢😢ata like moja kwaajir ya zuu na kaiiiiiiìii😅
Daah uu wifi wa zatiti ata jutia Siku moja naomba like zang
🙏🙏🙏
Weeee nimekuwa namba mbili gonga like kwa zuu wake time gulfu time wi:fi
Yaan movie imeanza kua damu na ndo tuko final 😢😢😢
Npo hapa saiz naomba like na mm jmn hata sijawahi kupewa hata
Kandi nakupenda bure,najitahidi sana nikuchukie kwa matendo yako lakini siwezi kabisa, nakupenda mama ❤🎉
Ongea yake TU 😂😂
Chiko na dadako mtakuja kumkumbuka zatiti twendeni naloo tu
Wangapi tumeshtuka kumuona mume wa wifiyake zatiti
Tupo hap mi had siamin jmn😂
Hata nami pia sijaamini kabisa kabisa
Bw.Kaboga na si Chisa tena
𝕨𝕚𝕗𝕚 𝕟𝕚 𝕨𝕒𝕥𝕦 𝕖𝕒𝕛𝕚𝕟𝕘𝕒 𝕤𝕒𝕟𝕒
Pole sn zatiti. Ila rafiki Yako ako n roho nzuri sn nimempenda❤❤❤
Jamanii mbona venye naona haifai kuishaa hivi haraka,,,, hadi tuone Mr tashaa apatane na mrembo zatiti😊
Alafu ashike mimba Yan itakua tamu balaa
@@marymele9714 hapo ndo atakumbukaa kuwa haweziii kupata mke kma zatiti
Jaman naomben like na mimi😢😢
Niwahi leo wa 4 😂😂acha nicomment kbila wakuomba like wafike team oman munatazama mukiwa kitandani au bdo mko kazi😂😂
😂😂Nipo kitandani hapa 🇴🇲
@@smartoman9378 raha ya oman😂😂hio hkna mtu kufnya kazi hdi 12:00 Am hku
Nipo kitandani tangu saa 2 ya usiku huku nikipunga kibaridi cha salala 😂😂😂😂 wifi za waraabu zitatauua
🇸🇦 🇸🇦 ndaaaaaaaani 😊
Mm naosha vyombo huku niko busat tv
❤❤❤❤ napenda video zenu the way nafuatilia wee weka like jamani
Wa kwanza kutoka kenya mnipee likes zangu please 💖💖
Chiko ww mung anakuona dada wawtu mpole mamb unayomfania
atakuja juta badae na hata kulia naona
Chiko mwenyewe tasa😂😂😂...but akija gudua itakua too late😂
Kwanzia nianze nimekuwa wanne leo kwa mara ya kwanza naomba like plz
Zatiti atalia😢 mpaka lini maoni yangu ni hamache chiku na kubali yamekuwa
Mashallaah mashallaah mashallaah mmejuwa kutufrahisha Mambo Bam Bam like jamani hata 5
Nauyo zatiti anitolee uchimvyi wa lisha mwambia. Omani 😂😂 asikiyi
Nipeni like kwa zuu na kai kwa upend wao like zao jamn hat kum tu na kopa kopa❤❤❤
😍😍😍🥰🥰🥰
wangapi wanapenda msimamo wa Mr Tasha likes kwake
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 tangu nianze kuangalia house grel sjawai kupewa like hata moja jaman na mm naomba like hata kumi
Tukutane season 2 utapata like nyingi
Tunataka harusi ya Kay na Zuuuuu
Zuu acha stress pisa ya harusi peza ziko kwa kai bado ndio mambo inaanza ❤❤❤❤from team gen yani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mimi wapili wakenya weka likes hapa
Sa mbona season one iishe kaa Kai na Zuu hawajaoana😢 duuh naona hiyo season two tutalalamika mpaka mate yakauke 😂😂 na kuchungulia kila mara mpaka shingo ingwamie pande moja na macho yabakie kupepesa tu huku gumba likivuka mito yenye series ili kutafuta HOUSE GIRL SEASON TWO BUSATI msitucheleweshee manake kazi mtakayo tuachia ni ngumu sana. ❤❤❤❤
Siyo kwa Busati Tv sisi ni Bandika Bandua
Elewesha vzr @@busatitv
@@busatitv Yani hapo umeongea la maana, hao BUSATI wa mchongo season two wataambulia patupu hatuview ng'oo 😂😂
@busatiwow ndio maana na wapenda sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ one love wana busati tv
Dadake chiko huyu ndo mume wake 😮,,, sipati pichaa
Kitaumana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kimeumanaa
Naskitika kuwaambia sku ya harus ya zuu ndio sku ya chiko kujua mimba sio yake na ndio mwisho wa tamhhilia hiii 😂😂😂 endeleen kupanga mipango yenu ss nmekaa pale😊
🤣🤣🤣
Wooiii Leo nmechelewa wale tunangoja chiku kimrambe tujuane kwa like watching from 🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂atakuja kujua yy ni tasa
Dah asantn sana tumejifunza mengi na mungu awabariki sana sa a 🎉🎉🎉
Dada anajua kulia nakung'ang'ania mume asiyekuwa namapenz naye
hahah shemeji ake chiko kumbe ndo tapeli wa Candy mambo ni fireee🤣🤣
Sema zatiti saivi wanawake hatupo dhaifu ivo hatulilii wanaume 😂😂😂
Jman kumbe chisa n shemegi yke n chko acha tuone kuhusu nyumba y candy vyeny utaenda wanaokublian n mm gonna like apa
Eeeeh heti
Namimi nashukurusana. Kuwamwazo wamovieiiyetu house girl Asante Nisana kweli beautiful ❤️❤️ Good Bai
Jmna bonge moja la season jmn nilikuw nanyi tok mwanzo mpaka sasa natumae season two itakuw Moto San naisubiri kwa hau jmn❤❤❤❤❤
Sanaaa
Toba shemeji ndio uyo hhhhhhh sheji yake chiku nicheke mie
🤣🤣🤣
Kiukweli mnafanyq vizuri sana sana sana mafunzo mazuri mno alafu ...kila siku nikiwa na familia house girl ndio huwa inatufulaisha tunasubili...mwenderezo
Asante sana🙏🙏
Leo nimekuwa wa 110 nipeni like bas
Jaman tulomuona shemej ni chisa like apa😂😂🙌
🙏🙏
Kaz nzur sana hongelen mmetisha
Ahsanteni na hongereni kwa kazi nzuri,,,,,,ila msichelewe kuleta muendelezo wa season 2 basi
Coming soon
Basi mfanye haraka hiyo seasol 2 twaisubiri sana ❤❤❤❤❤❤
Hatimae imefika mwisho big up 🤛🤛 kai leteni nyingine nzuri zaidi
Jameni wakenya wenzangu wenye tunafalia hii pamoja hata like 5jameni mm hata kama usiku lazima niione naipenda sana
Yah chisa kaonekana tena je nyumba itarudi kwa ibirisi kendi au chisa atawaigizia tu namuona mrs zuu mama wa kubajeti sema kaumwaga mwingi👏👏👏👏
Mimi wa kwanza 😂😂😂
Bibi mashaallah uko vzr sn mungu kakujaakia mme bc pia riziki mungu atatoa kweli bibi 🎉🎉🎉🎉
Oky apo sawa kumbe itaendelea nilijuwa ndo final. Ninge umia
Itaendelea
Much love from Kenya guys... twaisubiriii hiyo season two jamani msicheleweshe nawapenda saana kwa kazi yenu ambayo iko namafunzo haki mungu awabariki nyote naazidi kukuuza vipaji vyenu zaidi na zaidi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🙏🙏
Wakwanza ❤❤more love from kenya
New subscriber, yaani only for three days, guy's from EP1 upto EP60 naomba like jamani hata kama ni 60
Wenye tunasahau ku like 👍 leo nawakumbusha
Hongela sana jamani 🎉natamani season 2 nae isichelewe
Asante sana🙏
Zatiti karib oman tupo tulioachw tunapambana ila kazi nzr team strong tujuane kwa like nawapndaa
Maskini zatiti pole sana kwa unayopitia 🙏🙏🙏💕
Asante sana🙏🙏
Likes kwangu mm msinipite na number last yangu😊kweli n tamu hii movie
Kazi nzuri Sana congrats busat tv❤ Haya jmn naombeni like hata moja
Asante sana🙏
Nimewah na Mimi hongereni sana
Hii movie haikutakiwa kuisha bila kend kukosa msaada na zatiti kupata bwana bora na chiko ilifaa ajulikane hana kizaz , kusud ajutie kwa alichomfanyia mkewe. Ingekua bomba sana.🎉
But hongeren sana kwa movie hii nzuri.❤
Season 2 inakuja
Wakenya kujeni hapa mabichwa nyinyi 😂😂😂😂😂
Mimi WA pili kama unampenda Kai na zuu kuowan
Kumbe chisa kapatikana na pesa ya candy kutavirugika
Sio pow
Jamani zatiti hacha haenda mungu uko na mpango mizuri juu yako 🎉🎉🎉🎉
Naomben na mm like jmn
Sijawahi kucomment kwnye hii movi but chiko na chisa kinaumana safi sana kayi kazi nzuri
Tupendaneni na likes jameni 🎉🎉
Alhamdulillah ala salama team busati shukran zote ninkwake Allah kwani bila yeye tusingefika mbali umbali huu # bibi ya zuu nywele kasuka au mistari tu😂😂😂
Niwangapi wanajua candy kitamlamba
Jamani Zuu kanifurahisha leo😅😅...kama wampenda Zuu gonga like kwa ajili yeke🎉🎉😂😂😂
Waloifatilia house girl mwanzo mpaka mwisho tujuane kwa lake
Kai unachelewesha ndoa bwana arusi tupe card ya mwaliko bas😂😂
Mashallah ❤❤❤❤
Like ziende kwa busati tv hongeleni San kwa kazi nzuri
Safi sio kuomba like tu
Niwape pongezi kwa movie mzuri km hii rakini2 mumebadiIika hamtoi kwa wakati km mwanzo rakini bd tunawapa pongezi
jamaniii tumefka tamati barikiweni cna kwa kazi yenu nzur mwenyenzi mungu awatie nguvu pia dad zatiti uskate tamaa mungu yu pamoja na wew
🙏🙏🙏🙏
Wa pili haya naombeni hizo likes nikanunue soda
Fainali vipi jaman na haijaisha
Season 1 imeisha inakuja season 2
Tunaisubiri season 2 kwa hamu sana🎉🎉🎉
Angalau Leo hamjaomba like
Jamani musituchelweshe season two sana sinema nimeipenda
Soon
Kai mambo we ukofiti kimapezi bana
Oya chisa kapatikana nae 😂😂
Cisa cisa kapanda ndege leo namuona 😂😂😂😂😂
Mungu awatagulie kz mzur❤❤ from Zanzibar apa