MY LOVE |11|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 421

  • @farajabinrobert2443
    @farajabinrobert2443 6 месяцев назад +39

    ❤❤❤❤ tuko wangapi tunaho hi kubali my love tujuwane basi ❤❤lik apo

  • @VioletteManirakiza-n6f
    @VioletteManirakiza-n6f 6 месяцев назад +26

    Nimewahi natokea🇧🇮🇧🇮nawapenda sana Mariam na mme wake munanifurahisha naomba like hata 20

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u 6 месяцев назад +8

    Jamani mjomba na mke wake wananifurahisha❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 6 месяцев назад +28

    😂😂😂😂JoJo we mwisho kweli..much love from 🇰🇪 nipeni likes zangu hpa

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 6 месяцев назад +17

    Jojo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha nisi comment sana juu Kuna vile hii movie mjomba tu ndio unikosha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 6 месяцев назад +51

    Wanaefuatilia jojoo na janeti😂😂😂weka like hapa

  • @PurityKyalo-mj6io
    @PurityKyalo-mj6io 6 месяцев назад +85

    Sijawai kupata ata like moja tafathali naomba mnipee kumi tuh aki

  • @Kamoste
    @Kamoste 6 месяцев назад +22

    Jojo anaupiga mwingi❤❤😂😂alafu mariamu kambee kweli mke wa bhailam yaani mnajua kutufurahisha

  • @Zulpher-d1x
    @Zulpher-d1x 6 месяцев назад +5

    Kama unakubali bhailam 2juane apa jmn kwa kazi aliyomfanyia bamkwe wke kwa kumunafkia hongera sana bhailam

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 6 месяцев назад +20

    Kazi yangu pendwa from 🇧🇮💐 tunawapenda san

  • @nsengiyumvawhite6480
    @nsengiyumvawhite6480 6 месяцев назад +8

    Jojo pamoja na ndoo uzuli wananiuwa kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 6 месяцев назад +7

    Bhailam nakupenda San kazizakozote nzuli nakuomba iyikaziiwendefu kama wakewenza asante san from 🇧🇮💐 tunawapenda san

  • @joanbwahama-rx3tc
    @joanbwahama-rx3tc 6 месяцев назад +6

    Kiukweli mnajua sana kuigiza pokea maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @floranceflorance3923
    @floranceflorance3923 6 месяцев назад +21

    Jojo kimbao mbao 😂😂😂😂😂😂😂

  • @alilumia9525
    @alilumia9525 6 месяцев назад +7

    Hongera jomba hamza😅ndo uzuli❤ umevunja kabati

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 6 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sana bailam wajua kutufurahishaa nikadhani naome kafa kweli 😂😂😂 nimeipenda hiyo

  • @barakajoackim-xu3hi
    @barakajoackim-xu3hi 6 месяцев назад +20

    Kila.mtu ni wa kwanza mnanichanganya kiukweli basi mm ni wa mwisho ila mtoe ushauri kwa waigizaji wenu au mtoe pongezi kwao kama wanafanya vyema

  • @sadcome3213mapenzi
    @sadcome3213mapenzi 6 месяцев назад +87

    Wakwanza Leo kutoka Kenya 🇰🇪 bt kwa ss nko saudi 🇸🇦 nakunywa shorba polepole like zangu tukiendelea kumaliza ramadhan jamani❤❤ nawapenda sana watu wangu

    • @حليمهمفومو
      @حليمهمفومو 6 месяцев назад +1

      Pamoja

    • @AgnesMasoud
      @AgnesMasoud 6 месяцев назад +2

      Kabisa yaan shorba kwa wingi kenia majinun

    • @sadcome3213mapenzi
      @sadcome3213mapenzi 6 месяцев назад

      😂😂😂😂bwana wee​@@AgnesMasoud

    • @SubraBweta
      @SubraBweta 6 месяцев назад

      @@sadcome3213mapenzi mm nikiwa Riyadh nikinywa vimto na shawarma

    • @Jackillyne
      @Jackillyne 6 месяцев назад +1

      Wacha kiherehere nkt🚮🚮

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 6 месяцев назад +6

    Mwamanye vandu 😂😂😂😂ndouzuri nikuchane😂😂nawapenda sana kutoka Kenya 🇰🇪

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 6 месяцев назад +12

    Wanaomkubali bhailam na naomi hapo kwa kukufa weka likes😅😅

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 6 месяцев назад +7

    ❤❤❤❤❤wa gapi wanapeda Jojo like hapa tumupe 🎉🎉🎉🎉

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 6 месяцев назад +16

    Hamza +Janeti=❤❤

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 6 месяцев назад +5

    Kumbe mzigo tayari na amsemi aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰 kazi kazi

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 6 месяцев назад +12

    Jaman mie mjomba ake Bhailam kaniacha hoiii 😂😂😂😂😂

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 6 месяцев назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niwambiy kitu kmoja ninyi niwatu maalumu nikisma ivo namaanisha Wa Tanzania 🇹🇿 mnaelewa sana ambavyo mnatengeneza kama sanaa! Ila shida moja mnatuibiya mda 😂 yaani mnafupisha sana movies 🎥 ongezeya 5min please! ❤Asante Choya ki dada 😂❤🎉

  • @AgnesMasoud
    @AgnesMasoud 6 месяцев назад +12

    Janet waimba nyimbo gani jamani😂😂😂😂

  • @SaadaAdam-pb9hm
    @SaadaAdam-pb9hm 6 месяцев назад +13

    Wa kwanza leo.❤
    I love this movie alot

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 6 месяцев назад +5

    Nyie hii picha kali jamani kwanza dk za kutosha❤❤

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 6 месяцев назад +5

    Mjomba na shangazi nawapenda ndio uzuri nikuchane😂❤❤❤

  • @joharmussa
    @joharmussa 6 месяцев назад +6

    Woooh my beautiful movie

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 6 месяцев назад +6

    Maua kwa Bhailam ❤❤❤❤23.mko vizuri ila mnachelewesha

  • @alilumia9525
    @alilumia9525 6 месяцев назад +4

    Bingwa nakubali iyo red barret kaa jesh 😮

  • @bettynyasuguta5816
    @bettynyasuguta5816 6 месяцев назад +16

    Kwani siwezi kua wa kwanza😂😂

  • @GetrudaSanga-d7l
    @GetrudaSanga-d7l 6 месяцев назад +3

    Kumekucha team Jojo acha mbavu zitupasuke sasa 🤣🤣😂😂

  • @chemsahakizimana
    @chemsahakizimana 6 месяцев назад +3

    Napenda sanaa kazi yenu ❤️‍🔥 nanawapenda bure from 🇧🇮❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @77Bdb
    @77Bdb 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂huyo mjombaake bhailam na mkewe nawapenda sana ski

  • @matanoabdhalla2603
    @matanoabdhalla2603 6 месяцев назад +24

    Asalaam alaikum kaka bhailam,nimeisubiri sana hii ila naomba like yako

    • @SaloumMp
      @SaloumMp 6 месяцев назад

      Walkumusalam walahmatullah wabarakatuh

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 6 месяцев назад

      Assalamu alikum kwema bro baila😢 wafunga Ramadhan kweli izo sigara na kupigwa busu shavuni na mwanamke nae mariamu uwafunga kweli kwa kuvaa izo nguo izo za kuonesha nusu uchi ungo

  • @JoyceMatondo-ul2dq
    @JoyceMatondo-ul2dq 6 месяцев назад +5

    jojo hatariii sana Bailam kiboko yao naomii maua yakoi❤❤❤❤❤❤

  • @Benson-it1nf
    @Benson-it1nf 6 месяцев назад +7

    Jojo a good actor fts janethi and hamsa

  • @aishawangui-pr4ye
    @aishawangui-pr4ye 6 месяцев назад +7

    Jannet huyo mzee akipata hela sahau kuwa mkewe lol ..atachepuka

  • @rosettenadine452
    @rosettenadine452 6 месяцев назад +26

    Wa kwanza from burundi 🇧🇮 nipeni liké 5😢😢

  • @SubraBweta
    @SubraBweta 6 месяцев назад +33

    Nivile tu hamtaki kupa like zenu lkn mm ndo wakwanza leo

  • @ukhtymwana8404
    @ukhtymwana8404 6 месяцев назад +3

    Hatimae mariamu kabadilisha mtindo mashaalah

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 6 месяцев назад +2

    Nzur sana🎉🎉🎉❤❤❤

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 5 месяцев назад +1

    Nimechelewa lkn nimefika, kazi nzuri 🔥

  • @AnithaIrankunda
    @AnithaIrankunda 6 месяцев назад +1

    Jamani Mariam and Naomie hongereni kwenu Kbx ❤❤Yani mnajuwa sana mko serious na kazi Kbx nawapenda

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 6 месяцев назад +6

    Mjomba kama mjomba ndo uzuriii😂😂😂😂😂😂

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 6 месяцев назад +2

    Mke wa mjomba ana mambo😂😂😂😂

  • @cocutweezy2532
    @cocutweezy2532 6 месяцев назад +9

    Wakwanza Mimi Leo

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 6 месяцев назад +5

    Mko wapi mnaotaka kujua maali sauti imekuwa muted vile walikuwa wanasema?😂

  • @Mokogoti181
    @Mokogoti181 6 месяцев назад +3

    😂😂😂jojo kweli you're talented 😅❤nakukubali sana❤❤❤

  • @Fiscoofficial
    @Fiscoofficial 6 месяцев назад +2

    Gangster bhailam

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 месяца назад +1

    nime ipenda sana kazi ya mariamu

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 6 месяцев назад +5

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

    • @user-Diego51
      @user-Diego51 6 месяцев назад

      Naweye umefika from Burundi

  • @HabibaNgonyani-d2g
    @HabibaNgonyani-d2g 4 месяца назад

    Mm wa mwisho jaman....naomba like zangu......

  • @emmanuelbaraka1672
    @emmanuelbaraka1672 6 месяцев назад

    Bailam Nakukubali sana mwanangu,,,Natamani sana siku moja nije nifanye kazi nawewe,,,Naomba saana,,

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 6 месяцев назад +2

    Ila jojo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 6 месяцев назад +1

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stephenkianga6643
    @stephenkianga6643 6 месяцев назад +1

    Eti inabidi tusafiri twende ... Singapore!! Hatari sana from 254

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 6 месяцев назад +3

    Kaz nzr

  • @MWANAIDIRULIMBIYE
    @MWANAIDIRULIMBIYE 6 месяцев назад +3

    Jojo kacheza humu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 6 месяцев назад +3

    Bhailam upewe tu mauwa yako🎉🎉🎉

  • @MrKimond-ip2zp
    @MrKimond-ip2zp 6 месяцев назад +2

    Jojo😂😂😂😂 unajua

  • @KhadijaKhadija-i3h
    @KhadijaKhadija-i3h 6 месяцев назад +1

    Nawapend sana kazi nzuri natok Kenya ❤❤❤🎉

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 6 месяцев назад +2

    Jojo Kwel Unanimariza Wallahi 😂😂😂 Mbamvu Zangu Jameni 😅😅😅 Guys Much Love From Burund 🇧🇮❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MrJohnblaiseBlaise
    @MrJohnblaiseBlaise 6 месяцев назад +5

    C cool 🇨🇩🇨🇩

  • @AminaaAgnes
    @AminaaAgnes 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂jojo kimbaumbau et

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 6 месяцев назад +2

    Jojo😂

  • @Kavulajuma5
    @Kavulajuma5 6 месяцев назад +3

    Huu mwaka wa kofoc jamani😅😅😅😅

  • @MariamuRajabu-el9ev
    @MariamuRajabu-el9ev 6 месяцев назад +1

    waooh mm wamwisho lakn naomben like🎉❤😢

  • @Man_Freja
    @Man_Freja 6 месяцев назад +2

    Kamanda mwenyewe Sasa Bailam

  • @JoyceAngoma
    @JoyceAngoma 6 месяцев назад +3

    Kama unakubali mjomba na sweet wake nichane😂😂😂😂

  • @Zlfa-y2p
    @Zlfa-y2p 6 месяцев назад +3

    Ndo uzuri uwo😊

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 6 месяцев назад +2

    Lkn jojo ww! Mikono mieusi ka dhambi zako😂😂😂😂 🙌 🙌 🙌

  • @enockmathew5568
    @enockmathew5568 6 месяцев назад +1

    Mjomba ndy uzuri wangapi tunamkubar😂😂😂

  • @Angel33346
    @Angel33346 6 месяцев назад +3

    Sasa izo ni nguo gani hamza 😂😂😂😂

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤ very nice kazi nzuri sana 🔥🔥🔥

  • @MRMASHAKA
    @MRMASHAKA 6 месяцев назад +2

    My love ipo bomba sana achieni like zenu

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 6 месяцев назад +1

    Jojo 😂😂. Ananifurahisha sana

  • @Merychau
    @Merychau 6 месяцев назад +1

    Naitazama nikiwa mbeya mjini❤❤❤❤

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 6 месяцев назад +3

    😂😂😂😂jojo ananifurahisha wallah 😂😂

  • @nurudinmusa7290
    @nurudinmusa7290 6 месяцев назад +5

    Bailamu tunaomba wake wenza

  • @fatmashillah5482
    @fatmashillah5482 6 месяцев назад +2

    Hamza na janeth 🤣🤣🤣🔥🔥❤️❤️❤️

  • @benoseaone
    @benoseaone 6 месяцев назад +1

    Nimetazama My Love kutoka Episode 1 hadi 11. Nimeona kipaji na ubunifu mkubwa kwenye tungo hususani jinsi ilivyounganisha matukio mengi mhimu katika mazingira tofauti.
    Bahiram amefaulu sana na ninaona real replacement ya Kanumba.
    Lakini natamani nione mwisho wa ubaya ikiwa ni mapatano kwa makundi yote hasimu na kuwa watu wema.
    Lakini sijaona, baada ya Bahiram kupima na mke wake waligundua nini ikiwa tayari Bahiram alisha lala na Kibonge Tajiri kule Kijijini ambaye ni Muathirika?
    Hongera sana team kwa ujumla maana imesimama sana ii chuma.

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 6 месяцев назад +4

    Wa kwanza🎉🎉 like zangu

  • @aminaabdulrahman9589
    @aminaabdulrahman9589 6 месяцев назад +1

    Kwenye makochi watu hawakai na vijora janeti...ndo uzuriii😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @SarafinaSaimon-g8i
    @SarafinaSaimon-g8i 6 месяцев назад +2

    Niku gang unawakilisha mangaka🥴🥴😄😄 hongera shem

  • @AshaKamota-wg4oc
    @AshaKamota-wg4oc 6 месяцев назад +2

    Jojo kwenye kubola wake❤️🔥🔥🔥🔥

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz 6 месяцев назад +5

    Bro inabidi kesho uachie ingine tunapoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 5 месяцев назад +1

    Masiara mbali lkn mjomba na mk wake wanatisha wameua😂😂😂

  • @julianaedwin8652
    @julianaedwin8652 6 месяцев назад +1

    Tunao mpenda bailam wote tugonge like ap

  • @Zeinabmea
    @Zeinabmea 6 месяцев назад +3

    Ndio uzuri nikuchane😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 6 месяцев назад +2

      Ndio uzuri huo lazima nikuchane 😂😂😂😅😅😅

    • @Zeinabmea
      @Zeinabmea 6 месяцев назад

      @@MwinyiSalim-d4j 🤣🤣🤣🤣

    • @Zeinabmea
      @Zeinabmea 6 месяцев назад

      @@MwinyiSalim-d4j 🤣🤣🤣🤣

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 6 месяцев назад +3

    Janeth ❤❤❤😂😂😂😂🎉

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 6 месяцев назад

    Hahahaha. Umefik mda wa msaliti kuaga asije kuharbu plan za bailam jawan pamoj n naomy za kumuangamiza mzee Simba 😅🎉🎉 gud creative bailam 🙌🙏

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 6 месяцев назад +1

    Janeti 😂😂😂

  • @machozikatembo-fn7kd
    @machozikatembo-fn7kd 6 месяцев назад +11

    Wakwaza jamani nipeni like zangu❤❤

  • @NeemaKombe
    @NeemaKombe 6 месяцев назад +1

    Wa katikati ndio uzuri niwachane ...mm nipen like eee ndio uzur

  • @Aishaawadhimsloki
    @Aishaawadhimsloki 6 месяцев назад +3

    Jojo kama tulivo ongea kwenye kikao chetu cha vi mbaombao sepa mazima

  • @mariamdennis9576
    @mariamdennis9576 6 месяцев назад +1

    Janeth na jojo humu mmeua sana😂😂😂😂😂

  • @ShafiiMohamedi-ub8mi
    @ShafiiMohamedi-ub8mi 6 месяцев назад +1

    Uyo kaka alio vaa koti la LV uko mwishon timu jawani nimemkubali sana yupo siriaz na kazi yake