Jojo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha nisi comment sana juu Kuna vile hii movie mjomba tu ndio unikosha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakwanza Leo kutoka Kenya 🇰🇪 bt kwa ss nko saudi 🇸🇦 nakunywa shorba polepole like zangu tukiendelea kumaliza ramadhan jamani❤❤ nawapenda sana watu wangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niwambiy kitu kmoja ninyi niwatu maalumu nikisma ivo namaanisha Wa Tanzania 🇹🇿 mnaelewa sana ambavyo mnatengeneza kama sanaa! Ila shida moja mnatuibiya mda 😂 yaani mnafupisha sana movies 🎥 ongezeya 5min please! ❤Asante Choya ki dada 😂❤🎉
Nimetazama My Love kutoka Episode 1 hadi 11. Nimeona kipaji na ubunifu mkubwa kwenye tungo hususani jinsi ilivyounganisha matukio mengi mhimu katika mazingira tofauti. Bahiram amefaulu sana na ninaona real replacement ya Kanumba. Lakini natamani nione mwisho wa ubaya ikiwa ni mapatano kwa makundi yote hasimu na kuwa watu wema. Lakini sijaona, baada ya Bahiram kupima na mke wake waligundua nini ikiwa tayari Bahiram alisha lala na Kibonge Tajiri kule Kijijini ambaye ni Muathirika? Hongera sana team kwa ujumla maana imesimama sana ii chuma.
❤❤❤❤ tuko wangapi tunaho hi kubali my love tujuwane basi ❤❤lik apo
Nimewahi natokea🇧🇮🇧🇮nawapenda sana Mariam na mme wake munanifurahisha naomba like hata 20
Jamani mjomba na mke wake wananifurahisha❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂😂JoJo we mwisho kweli..much love from 🇰🇪 nipeni likes zangu hpa
Jojo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha nisi comment sana juu Kuna vile hii movie mjomba tu ndio unikosha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaefuatilia jojoo na janeti😂😂😂weka like hapa
😂😂😂😂
😂😂❤❤❤
🤣🤣😅😅
Nipo apa 😂😂
Tuko hapa jojo 😂😂😂😂
Sijawai kupata ata like moja tafathali naomba mnipee kumi tuh aki
Jojo anaupiga mwingi❤❤😂😂alafu mariamu kambee kweli mke wa bhailam yaani mnajua kutufurahisha
Mke wake kiukweli au
Uhalisia n mke wake kweli au?
Kama unakubali bhailam 2juane apa jmn kwa kazi aliyomfanyia bamkwe wke kwa kumunafkia hongera sana bhailam
Kazi yangu pendwa from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Jojo pamoja na ndoo uzuli wananiuwa kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
Bhailam nakupenda San kazizakozote nzuli nakuomba iyikaziiwendefu kama wakewenza asante san from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Kiukweli mnajua sana kuigiza pokea maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Jojo kimbao mbao 😂😂😂😂😂😂😂
Hongera jomba hamza😅ndo uzuli❤ umevunja kabati
Kazi nzuri sana bailam wajua kutufurahishaa nikadhani naome kafa kweli 😂😂😂 nimeipenda hiyo
Kila.mtu ni wa kwanza mnanichanganya kiukweli basi mm ni wa mwisho ila mtoe ushauri kwa waigizaji wenu au mtoe pongezi kwao kama wanafanya vyema
Wakwanza Leo kutoka Kenya 🇰🇪 bt kwa ss nko saudi 🇸🇦 nakunywa shorba polepole like zangu tukiendelea kumaliza ramadhan jamani❤❤ nawapenda sana watu wangu
Pamoja
Kabisa yaan shorba kwa wingi kenia majinun
😂😂😂😂bwana wee@@AgnesMasoud
@@sadcome3213mapenzi mm nikiwa Riyadh nikinywa vimto na shawarma
Wacha kiherehere nkt🚮🚮
Mwamanye vandu 😂😂😂😂ndouzuri nikuchane😂😂nawapenda sana kutoka Kenya 🇰🇪
Wanaomkubali bhailam na naomi hapo kwa kukufa weka likes😅😅
❤❤❤❤❤wa gapi wanapeda Jojo like hapa tumupe 🎉🎉🎉🎉
Hamza +Janeti=❤❤
Kumbe mzigo tayari na amsemi aya tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰 kazi kazi
Jaman mie mjomba ake Bhailam kaniacha hoiii 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niwambiy kitu kmoja ninyi niwatu maalumu nikisma ivo namaanisha Wa Tanzania 🇹🇿 mnaelewa sana ambavyo mnatengeneza kama sanaa! Ila shida moja mnatuibiya mda 😂 yaani mnafupisha sana movies 🎥 ongezeya 5min please! ❤Asante Choya ki dada 😂❤🎉
Janet waimba nyimbo gani jamani😂😂😂😂
Kihindii
Wa kwanza leo.❤
I love this movie alot
Nyie hii picha kali jamani kwanza dk za kutosha❤❤
Mjomba na shangazi nawapenda ndio uzuri nikuchane😂❤❤❤
Woooh my beautiful movie
Maua kwa Bhailam ❤❤❤❤23.mko vizuri ila mnachelewesha
Bingwa nakubali iyo red barret kaa jesh 😮
Kwani siwezi kua wa kwanza😂😂
Kumekucha team Jojo acha mbavu zitupasuke sasa 🤣🤣😂😂
Napenda sanaa kazi yenu ❤️🔥 nanawapenda bure from 🇧🇮❤️🔥❤️🔥❤️🔥
😂😂😂😂😂😂huyo mjombaake bhailam na mkewe nawapenda sana ski
Asalaam alaikum kaka bhailam,nimeisubiri sana hii ila naomba like yako
Walkumusalam walahmatullah wabarakatuh
Assalamu alikum kwema bro baila😢 wafunga Ramadhan kweli izo sigara na kupigwa busu shavuni na mwanamke nae mariamu uwafunga kweli kwa kuvaa izo nguo izo za kuonesha nusu uchi ungo
jojo hatariii sana Bailam kiboko yao naomii maua yakoi❤❤❤❤❤❤
Jojo a good actor fts janethi and hamsa
Jannet huyo mzee akipata hela sahau kuwa mkewe lol ..atachepuka
Wa kwanza from burundi 🇧🇮 nipeni liké 5😢😢
Nambie
Nivile tu hamtaki kupa like zenu lkn mm ndo wakwanza leo
Hatimae mariamu kabadilisha mtindo mashaalah
Assalamu alikum kwema
Nzur sana🎉🎉🎉❤❤❤
Nimechelewa lkn nimefika, kazi nzuri 🔥
Jamani Mariam and Naomie hongereni kwenu Kbx ❤❤Yani mnajuwa sana mko serious na kazi Kbx nawapenda
Mjomba kama mjomba ndo uzuriii😂😂😂😂😂😂
Mke wa mjomba ana mambo😂😂😂😂
Wakwanza Mimi Leo
Mko wapi mnaotaka kujua maali sauti imekuwa muted vile walikuwa wanasema?😂
😂😂😂jojo kweli you're talented 😅❤nakukubali sana❤❤❤
Gangster bhailam
nime ipenda sana kazi ya mariamu
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Naweye umefika from Burundi
Mm wa mwisho jaman....naomba like zangu......
Bailam Nakukubali sana mwanangu,,,Natamani sana siku moja nije nifanye kazi nawewe,,,Naomba saana,,
Ila jojo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Eti inabidi tusafiri twende ... Singapore!! Hatari sana from 254
Kaz nzr
Jojo kacheza humu
Bhailam upewe tu mauwa yako🎉🎉🎉
Jojo😂😂😂😂 unajua
Nawapend sana kazi nzuri natok Kenya ❤❤❤🎉
Jojo Kwel Unanimariza Wallahi 😂😂😂 Mbamvu Zangu Jameni 😅😅😅 Guys Much Love From Burund 🇧🇮❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
C cool 🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂😂😂jojo kimbaumbau et
Jojo😂
Huu mwaka wa kofoc jamani😅😅😅😅
waooh mm wamwisho lakn naomben like🎉❤😢
Kamanda mwenyewe Sasa Bailam
Kama unakubali mjomba na sweet wake nichane😂😂😂😂
Nakuchana
Ndo uzuri uwo😊
Lkn jojo ww! Mikono mieusi ka dhambi zako😂😂😂😂 🙌 🙌 🙌
Mjomba ndy uzuri wangapi tunamkubar😂😂😂
Sasa izo ni nguo gani hamza 😂😂😂😂
❤❤❤❤ very nice kazi nzuri sana 🔥🔥🔥
My love ipo bomba sana achieni like zenu
Jojo 😂😂. Ananifurahisha sana
Naitazama nikiwa mbeya mjini❤❤❤❤
😂😂😂😂jojo ananifurahisha wallah 😂😂
Bailamu tunaomba wake wenza
Hamza na janeth 🤣🤣🤣🔥🔥❤️❤️❤️
Nimetazama My Love kutoka Episode 1 hadi 11. Nimeona kipaji na ubunifu mkubwa kwenye tungo hususani jinsi ilivyounganisha matukio mengi mhimu katika mazingira tofauti.
Bahiram amefaulu sana na ninaona real replacement ya Kanumba.
Lakini natamani nione mwisho wa ubaya ikiwa ni mapatano kwa makundi yote hasimu na kuwa watu wema.
Lakini sijaona, baada ya Bahiram kupima na mke wake waligundua nini ikiwa tayari Bahiram alisha lala na Kibonge Tajiri kule Kijijini ambaye ni Muathirika?
Hongera sana team kwa ujumla maana imesimama sana ii chuma.
Wa kwanza🎉🎉 like zangu
Kwenye makochi watu hawakai na vijora janeti...ndo uzuriii😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Niku gang unawakilisha mangaka🥴🥴😄😄 hongera shem
Jojo kwenye kubola wake❤️🔥🔥🔥🔥
Bro inabidi kesho uachie ingine tunapoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Masiara mbali lkn mjomba na mk wake wanatisha wameua😂😂😂
Tunao mpenda bailam wote tugonge like ap
Ndio uzuri nikuchane😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio uzuri huo lazima nikuchane 😂😂😂😅😅😅
@@MwinyiSalim-d4j 🤣🤣🤣🤣
@@MwinyiSalim-d4j 🤣🤣🤣🤣
Janeth ❤❤❤😂😂😂😂🎉
Hahahaha. Umefik mda wa msaliti kuaga asije kuharbu plan za bailam jawan pamoj n naomy za kumuangamiza mzee Simba 😅🎉🎉 gud creative bailam 🙌🙏
Janeti 😂😂😂
Wakwaza jamani nipeni like zangu❤❤
Wa katikati ndio uzuri niwachane ...mm nipen like eee ndio uzur
Jojo kama tulivo ongea kwenye kikao chetu cha vi mbaombao sepa mazima
Janeth na jojo humu mmeua sana😂😂😂😂😂
Uyo kaka alio vaa koti la LV uko mwishon timu jawani nimemkubali sana yupo siriaz na kazi yake