KIMEITIKA KENYA, RUTO ATANGAZA MAAMUZI MAGUMU/KUHUSU KUJIUZULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 73

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 8 дней назад +5

    dahh mambo ni hot Kenya..mabadiliko kwenye nchi yao yanasomeka vizuri kwa sasa...Mungu ibariki nchi ya Jirani../Tukumbuke nasi Mungu wetu Bariki Samia

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 8 дней назад +8

    Hilo la kuondoa malipo ya wenza wa Viongozi Wakuu (mke/mme wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu), malipo hayo yako pia Tanzania. Hivyo, Viongozi wa Tz bila shaka wajiandaye.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 8 дней назад +2

    Alilazimisha kushinda uchaguzi kimagumashi, cha moto amekiona. Majogoo wa Kenya maua yenu jamani💪💪💪💪💪

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 8 дней назад

      Wewe ni mjinga kiongozi ambaye hakuwa rais anawezaje kulazimisha ushindi? Haya yanayoendelea ke

    • @geoffreyembasa8483
      @geoffreyembasa8483 8 дней назад

      ​@@George-jz3jgWhen the U.S is fully behind u to use u as a puppet,,hata kupindua serikali is not an issue

  • @laburmoses6797
    @laburmoses6797 8 дней назад +1

    Thank his Excellency for admitting for Kenyan cry especially gen Z.
    This time round you become sober.
    I appreciate you Ruto.
    First time the president has been very far from kenyan. I'm appealing to you sir lopetun/lopeitwaan. Turkana people from Turkana west has been cut short from 5000/_2000.where is the problem sir.
    Thank you. Turkana west sub county.

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy 7 дней назад

    Ruto must goooo

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 6 дней назад +1

    very wise people in Kenya

  • @mbegembege
    @mbegembege 8 дней назад

    Good choice

  • @piusmwinzi178
    @piusmwinzi178 8 дней назад +5

    Ruto must go ruto must go ruto must go

    • @user-sz4nj5tr3r
      @user-sz4nj5tr3r 8 дней назад

      Uiii tret la misyer vann nation nwa pour lajean avek Obama

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 7 дней назад

    Jambo zitooo ila uamuzi ni wako,kuachia ngazi,au kupambania kiti chako huku amani ikiwa hakuna nchini kwako,kipi bora kwa upande wako? Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 8 дней назад +1

    Katika Ugtuzi anaozungumzia hapo akitaja Kaunt kwa Tanzania ni region/ Mikoa lakini wao Kaunt hizo hizo ni majimbo kwa hiyo magavana ambayo huku kwetu ni majimbo so magovana kwao huwakilisha kaunti kama jimbo

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 8 дней назад +8

    #RUTO must goooo

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 8 дней назад +1

    Wanasema hawataki posho waongo wezi wakumbwa mauwaji jamani poleni eee 😬😬😬😬daah police hata huruma hawana wamenda achia risasi za moto aaah mungu atawauwa na nyie

  • @NaomiAwuorOnyango-jr5vf
    @NaomiAwuorOnyango-jr5vf 7 дней назад

    Never lose Hope Jesus is available every moment of day to give us guidance and direction through prayer Amen!

  • @TonyTony-tg1nz
    @TonyTony-tg1nz 7 дней назад

    Kaza kijana wangu by Warumi

  • @NdakiDoyi
    @NdakiDoyi 8 дней назад

    pole sana rais ruto

  • @RitaLoice
    @RitaLoice 8 дней назад +2

    Ruto ni mwongo sana hatwezi amini mambo yake

  • @hassanirambona7520
    @hassanirambona7520 8 дней назад +3

    RUTO must goo

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 8 дней назад +8

    MNAKUMBUKA ALIILANI URUSI (PUTIN) HUYU RUTO' HAKUMALIZA ATA MWEZI TAYARI LAANA IMEMRUDI

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 7 дней назад

      Ndio ni mnafiki anangata na kupuliza hapo ndo nilimshangaa san ruto

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 8 дней назад

    Tatizo waandamanaji hawana shida na haya anayorekebisha Ruto waandamanaji wanataka aachie ngazi of which wanaye president wao wanayemtaka na wameshamwandaa!

  • @user-tf7hz6mw1o
    @user-tf7hz6mw1o 8 дней назад +4

    Kitakuramba ruto enda ukapumzike

  • @user-hm9ve4ug3n
    @user-hm9ve4ug3n 7 дней назад

    Oii hiyo Ngoma hapo background ni gani

  • @user-yj7vu1oe7j
    @user-yj7vu1oe7j 8 дней назад +1

    Roto mast go

  • @samnice5ify
    @samnice5ify 8 дней назад +1

    Acha udaku baba.

  • @user-xr4cd3ki4i
    @user-xr4cd3ki4i 8 дней назад +2

    Laana tupu

  • @INNOCENTMOKUA
    @INNOCENTMOKUA 8 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 8 дней назад +2

    Aamue yuendelee na maisha kama wakati wa kibaki au ajiuzulu

  • @ruginavenance3042
    @ruginavenance3042 8 дней назад

    Bado kwetu sisi watanzania kupinga Kodi ya jengo ya Tanesco

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 8 дней назад +2

    hio laana hata bongo ipo viongozi na wake zao wanalekebishiana shelia ili wapige mihela mungu ikumbuke nasi tz. hayo matumizi yabanwe

  • @JesicahMoraa
    @JesicahMoraa 8 дней назад +4

    Ruto must go home tumechoka na yenye

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 8 дней назад

    Huyu ruto ana akili lakini damu si resign

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 8 дней назад +1

    Haki itendeke sio serikali itawaangalia

    • @user-sz4nj5tr3r
      @user-sz4nj5tr3r 8 дней назад

      Wiii Ansyen dirijean sayo toujour nan koken Avek American se Ale viv pep kenya 🇰🇪

  • @josephwabita8662
    @josephwabita8662 6 дней назад

    Kaka please be corrected because wamuratha has boy child mission for a very long time

  • @levissamweli9005
    @levissamweli9005 8 дней назад +3

    Waliokufa wanashughulikiwaje?

    • @gisthevictorperiod.9763
      @gisthevictorperiod.9763 8 дней назад

      Yaani serikali itawalipa family za walotoweka Dunia fidia au malipo ya damu.wengine majeruhi pia watalipwa fidia..
      Amani itawale Kenya amani itawale Africa and the whole 🌎 world 🌎

    • @user-sz4nj5tr3r
      @user-sz4nj5tr3r 8 дней назад

      Misyer mechan

  • @ShomarRajabu
    @ShomarRajabu 8 дней назад

    Atoke2

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 8 дней назад +1

    Ruto LBQT na NATO wako wapi una support....Putin atakuondoa hao vijana sio Gez

  • @margymuasa977
    @margymuasa977 8 дней назад +1

    Ruto must go. Can' t be trusted. Too much cheating.

  • @augustinekaio411
    @augustinekaio411 8 дней назад

    😂😂😂

  • @AlimasiMalembe
    @AlimasiMalembe 8 дней назад

    NA WALIOKUFA WATARUDISWA AMA AJE???

  • @dareenpetro338
    @dareenpetro338 7 дней назад

    kama alisema, kwa nini hamtaki afanye references? Mpeni nafasi afanye utekelezaji. hivi vurugu na kelele, na madai yasiyokuwa na kikomo, wala lengo la reconciliation, na matusi na ku kaza rais sijui nini matusi ya ku attack personality hadi imani ya Rais inachukua suala hili katika sura ya ujinga na vita kwa kanisa. Remain focused on the points, mwache afanye kazi, muendelee kumonitor na kussuport mipango ya mabadiliko. mkikataa reconciliation ninyi mnataka kuuana na kumpa faida shetani. mtaona nimewaonya mara nyingi

  • @MartiniEnock-e2e
    @MartiniEnock-e2e 8 дней назад

    Wakenya mtamkumbuka huyu ruto
    Mtaniambia
    Nchi inaenda kwenye mkono wa chuma

    • @geoffreyembasa8483
      @geoffreyembasa8483 8 дней назад

      What are u talking about?
      Who really cares about what happens?
      Utawala mtu akichukua kwa wizi na uwongo,mungu mwenye ndio huondoa amani na akaweka chuki na dharau katika roho za watu kwa ajili ya huyo kiongozi.
      Its better we all die kuliko kubebwa ufala na mtu mmoja,kibaka wa wazungu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 8 дней назад +1

    Mtanzania niko dar ila niko Kenya ruto must go atupishe uko ata uyu samia aende nae waizi hawa

  • @ConsolathaKicheleri
    @ConsolathaKicheleri 7 дней назад

    MUNGU IBALIKI TANZANIA MUNGU MLINDE RAIS WETU.MUNGU TULINDE WATANZANIA WOTE. MUNGU ILINDE MIPAKA YETU NA WANA JESHI WETU WOTE.

  • @INNOCENTMOKUA
    @INNOCENTMOKUA 8 дней назад

    Ruto must go

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 8 дней назад +2

    HUYU NI KINARAKA MTIIFU WA MARECANI

    • @user-sz4nj5tr3r
      @user-sz4nj5tr3r 8 дней назад

      Ale

    • @geoffreyembasa8483
      @geoffreyembasa8483 8 дней назад

      Sasa huo ndio uchungu wetu kabisa.
      Hiyo finance bill imeandikwa na I.M.F.
      Vipengele mukichelewa kulipa deni wachukue mashamba.
      Raisi mwenyewe anakodisha ndege ya 2 million akisafiri kwenda kusamilia wazungu na waarabu wake almost every month.
      Halafu hati pandisha bei ya bread,diapers and every other basic commodity.
      This man is a curse to the land

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 7 дней назад

      Na wakenya wamejichanganya kuingilia vita yemen

  • @stephenkalidush5446
    @stephenkalidush5446 6 дней назад

    katiba yetu hatar sana kwa Rais ambae ni mtawala asiye na uongoz ndan ake

  • @user-gb9oo7hn2k
    @user-gb9oo7hn2k 8 дней назад

    This g.ment I say I don't no why why hi miskiniy people why killed Ruto know is dawn !!!

  • @user-xn3uu5el7l
    @user-xn3uu5el7l 8 дней назад

    Ruto is not going anywhere,bado 50tena,we kalenjins ate behind him

    • @onpurpose292
      @onpurpose292 8 дней назад

      @user fine if 43 tribes ni wakale. Mtujua hamjui

  • @dareenpetro338
    @dareenpetro338 7 дней назад

    mnamwtwisha lawama kwa maisha magumu , rushwa na kukosa ajira ambako kumedumu kenya miaka mingi sana. hamwoni hilo, mnamsakama Ruto aliyeingia madarakani juzi, atekeleze mabadiliko yote na kufanya kenya kuwa paradise kwa miaka miwili. you re very irrational. Mpeni nafasi afanye kazi, muangalie na msim squeeze arekebishe makosa yote aliyoyakuta kwa muda wa miaka 2. yeye si Mungu. Acheni kumtesa huyu baba kwa sababu mnakwenda mbali hata kuattack kanisa na sasa mnakuwa Anti-Christs. Ishieni tu kudai haki na kuhakikisha mabadiliko yanafanyika lakini achni matusi na kuattack kanisa.

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 8 дней назад +1

    Daah, nimesikitishwa na bajeti ya serikali kwa mke wa raisi

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy 7 дней назад

    Ruto must goooo