KIMEITIKA KENYA, RUTO ATANGAZA MAAMUZI MAGUMU/KUHUSU KUJIUZULU
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz Развлечения
dahh mambo ni hot Kenya..mabadiliko kwenye nchi yao yanasomeka vizuri kwa sasa...Mungu ibariki nchi ya Jirani../Tukumbuke nasi Mungu wetu Bariki Samia
Hilo la kuondoa malipo ya wenza wa Viongozi Wakuu (mke/mme wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu), malipo hayo yako pia Tanzania. Hivyo, Viongozi wa Tz bila shaka wajiandaye.
very wise people in Kenya
Alilazimisha kushinda uchaguzi kimagumashi, cha moto amekiona. Majogoo wa Kenya maua yenu jamani💪💪💪💪💪
Wewe ni mjinga kiongozi ambaye hakuwa rais anawezaje kulazimisha ushindi? Haya yanayoendelea ke
@@George-jz3jgWhen the U.S is fully behind u to use u as a puppet,,hata kupindua serikali is not an issue
Thank his Excellency for admitting for Kenyan cry especially gen Z.
This time round you become sober.
I appreciate you Ruto.
First time the president has been very far from kenyan. I'm appealing to you sir lopetun/lopeitwaan. Turkana people from Turkana west has been cut short from 5000/_2000.where is the problem sir.
Thank you. Turkana west sub county.
Talk about the oil money that's being drilled
Ruto must goooo
very wise people in Kenya
Good choice
Ruto must go ruto must go ruto must go
Uiii tret la misyer vann nation nwa pour lajean avek Obama
Jambo zitooo ila uamuzi ni wako,kuachia ngazi,au kupambania kiti chako huku amani ikiwa hakuna nchini kwako,kipi bora kwa upande wako? Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏
Katika Ugtuzi anaozungumzia hapo akitaja Kaunt kwa Tanzania ni region/ Mikoa lakini wao Kaunt hizo hizo ni majimbo kwa hiyo magavana ambayo huku kwetu ni majimbo so magovana kwao huwakilisha kaunti kama jimbo
#RUTO must goooo
Wanasema hawataki posho waongo wezi wakumbwa mauwaji jamani poleni eee 😬😬😬😬daah police hata huruma hawana wamenda achia risasi za moto aaah mungu atawauwa na nyie
Never lose Hope Jesus is available every moment of day to give us guidance and direction through prayer Amen!
Kaza kijana wangu by Warumi
pole sana rais ruto
Ruto ni mwongo sana hatwezi amini mambo yake
RUTO must goo
MNAKUMBUKA ALIILANI URUSI (PUTIN) HUYU RUTO' HAKUMALIZA ATA MWEZI TAYARI LAANA IMEMRUDI
Ndio ni mnafiki anangata na kupuliza hapo ndo nilimshangaa san ruto
Tatizo waandamanaji hawana shida na haya anayorekebisha Ruto waandamanaji wanataka aachie ngazi of which wanaye president wao wanayemtaka na wameshamwandaa!
Kitakuramba ruto enda ukapumzike
Oii hiyo Ngoma hapo background ni gani
Roto mast go
Ile Katiba Mpya vipi?
Acha udaku baba.
Se ale liye
Laana tupu
😂😂😂😂😂😂😂
Aamue yuendelee na maisha kama wakati wa kibaki au ajiuzulu
Aleeee
Bado kwetu sisi watanzania kupinga Kodi ya jengo ya Tanesco
hio laana hata bongo ipo viongozi na wake zao wanalekebishiana shelia ili wapige mihela mungu ikumbuke nasi tz. hayo matumizi yabanwe
Ayiti gen plis tret wi
Ruto must go home tumechoka na yenye
Huyu ruto ana akili lakini damu si resign
Haki itendeke sio serikali itawaangalia
Wiii Ansyen dirijean sayo toujour nan koken Avek American se Ale viv pep kenya 🇰🇪
Kaka please be corrected because wamuratha has boy child mission for a very long time
Waliokufa wanashughulikiwaje?
Yaani serikali itawalipa family za walotoweka Dunia fidia au malipo ya damu.wengine majeruhi pia watalipwa fidia..
Amani itawale Kenya amani itawale Africa and the whole 🌎 world 🌎
Misyer mechan
Atoke2
Ruto LBQT na NATO wako wapi una support....Putin atakuondoa hao vijana sio Gez
Hii kitu itupiliwe mbali nchini Kenya.
Ruto must go. Can' t be trusted. Too much cheating.
😂😂😂
NA WALIOKUFA WATARUDISWA AMA AJE???
kama alisema, kwa nini hamtaki afanye references? Mpeni nafasi afanye utekelezaji. hivi vurugu na kelele, na madai yasiyokuwa na kikomo, wala lengo la reconciliation, na matusi na ku kaza rais sijui nini matusi ya ku attack personality hadi imani ya Rais inachukua suala hili katika sura ya ujinga na vita kwa kanisa. Remain focused on the points, mwache afanye kazi, muendelee kumonitor na kussuport mipango ya mabadiliko. mkikataa reconciliation ninyi mnataka kuuana na kumpa faida shetani. mtaona nimewaonya mara nyingi
Wakenya mtamkumbuka huyu ruto
Mtaniambia
Nchi inaenda kwenye mkono wa chuma
What are u talking about?
Who really cares about what happens?
Utawala mtu akichukua kwa wizi na uwongo,mungu mwenye ndio huondoa amani na akaweka chuki na dharau katika roho za watu kwa ajili ya huyo kiongozi.
Its better we all die kuliko kubebwa ufala na mtu mmoja,kibaka wa wazungu
Mtanzania niko dar ila niko Kenya ruto must go atupishe uko ata uyu samia aende nae waizi hawa
MUNGU IBALIKI TANZANIA MUNGU MLINDE RAIS WETU.MUNGU TULINDE WATANZANIA WOTE. MUNGU ILINDE MIPAKA YETU NA WANA JESHI WETU WOTE.
Ruto must go
Se voye vacabon saa ale tret
HUYU NI KINARAKA MTIIFU WA MARECANI
Ale
Sasa huo ndio uchungu wetu kabisa.
Hiyo finance bill imeandikwa na I.M.F.
Vipengele mukichelewa kulipa deni wachukue mashamba.
Raisi mwenyewe anakodisha ndege ya 2 million akisafiri kwenda kusamilia wazungu na waarabu wake almost every month.
Halafu hati pandisha bei ya bread,diapers and every other basic commodity.
This man is a curse to the land
Na wakenya wamejichanganya kuingilia vita yemen
katiba yetu hatar sana kwa Rais ambae ni mtawala asiye na uongoz ndan ake
This g.ment I say I don't no why why hi miskiniy people why killed Ruto know is dawn !!!
Ruto is not going anywhere,bado 50tena,we kalenjins ate behind him
@user fine if 43 tribes ni wakale. Mtujua hamjui
mnamwtwisha lawama kwa maisha magumu , rushwa na kukosa ajira ambako kumedumu kenya miaka mingi sana. hamwoni hilo, mnamsakama Ruto aliyeingia madarakani juzi, atekeleze mabadiliko yote na kufanya kenya kuwa paradise kwa miaka miwili. you re very irrational. Mpeni nafasi afanye kazi, muangalie na msim squeeze arekebishe makosa yote aliyoyakuta kwa muda wa miaka 2. yeye si Mungu. Acheni kumtesa huyu baba kwa sababu mnakwenda mbali hata kuattack kanisa na sasa mnakuwa Anti-Christs. Ishieni tu kudai haki na kuhakikisha mabadiliko yanafanyika lakini achni matusi na kuattack kanisa.
Daah, nimesikitishwa na bajeti ya serikali kwa mke wa raisi
Unalijuwa analofanya mke wa Rais?
Ruto must goooo