🔴
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- 🔴#Live: KUPOTEA KWA SOPHY KWASHIRIKISHA IMANI ZA KISHIRIKINA | MAPITO...
Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Развлечения
Mungu ataweka wepes kazidishe dua kwa shekhe aya mambo yapo rud kwa shekhe akasome dua
InshAllah mungu yupo atapatikana
Pole sana Mungu asaidie ila zari ukienda usiende peke yako uende na mtu au police bila ya yeye kujua
kweli dada umesema pole, 👏👏👏👏👏
Mtihani wallah
Mlimsema bure mama wa kambo mtihani huu kwa watoto wetu
Mmemsema sana mama wa kambo alie mlea tangu akiwa na miaka 3 mtoto amekua amejazwa kiburi na mama ake mzazi mnakuja kumzalilisha mama wa kambo hapo mnamsema vibaya sana mwanamke wawatu ila mungu atazidi kumuumbua huyo mama
Mwemdelezo wa sophy
Inawezekana mama wa kambo anajua sofi yupo na mwanamme na pia mwanaume anamjua mama wa kambo vzr tu yqni kama mchezo umechezwa na ndio mana mama wq kqmbo hana muda wakumtqfuta
Mama namba ya sheikh please nimepotelewa na mtu waangu jamani
Tusikimbiliage kulaumu mama wa kambo
Wao walijuajehizo habar
Msingerusha icho kipindi akiona atatafuta njia zakujitoa
Mmempata huyo Mwaname
Nimecheka
Poleni sana😢
Daaaah yaliyomo yamo
Watoto wakike nibidhaa mbovu
Na itwa kulthum niko zanzibar nnashkuru dada zari kwa ushirikhano wako
Mnamtafuta mtu live lazima awapange tu.
Mama sofii rundi kwa huyo shehe kaombe duaa tena kaweka nia aru di ararundi Qruaani haiongopi rundi kwa shehe mama sofii
Muhimu apatikane ili aseme ukweli
Mtafuteni uyo boss wake waelekeze alopo muende mhakikishe km yupo kweli
Akipiga tena mrikodini
Mtamgazaji usinge sema maswala yakumu track apo, inge'kua siri sasa apo na yeye si atajipanga
mmmmh sauti ya mwanafunzi imekomaa hiyo
Sasa hizo taarifa si atazipata unadhani atakubali kuonana na nyinyi?
Sasa mkisema atatafutwa na police si ndio atakimbia kabisa!
Hata mtu akiamia mkoa mwingine atapatikana tuu kwa kuitrack simu yake
😭
Zarina bhana et mamvua vua yamenyesha kwahyo atakua mjamzito😂
Zaari hiwezi juaa katoka pale kwa sababu ngani mwambie arundi kwa shehe akaombe duaa tena atarundi tuu kama yuko haii
zari ukipata taarifa km hii jaribu kuwa mpole ili hasije hakandua na amino km kweli hamisi yupo na sofi basi hatakuwa hana simu mkubwa ila hofu yangu wenda hamisi ana marafiki na wanatumia sim kubwa na wakaona kipindi unaisi tutafanikiwa?
Inabidi muitrak hiyo cm
nyinyi mmekosea kurusha hiki kipindi, mnge enda moja kwa moja polisi na hiyo namba, mama sophy kashasema sauti ya mwanae. hivi mnavyo toa vitisho ndo atakuja?
Mm nilimuelewa siku ya mwanzo kabisa mama mlezi hakua muongo alikua anaongea kutoka moyon
Kachagua juma tano kwavile aendi shule
Mnatuchezea roho tu. Mtoto mwenyewe hana adabu huyo
Kaona kipindi kaona apokee cm
makubwa
huy huenda yupo kwa mwanaume nimemkumbuka warda kaa zake mbande anaosha vyomb huk ndugu zake kila sik wanalia
Haya matukio ya wadichana yanafanya tudharau kufatilia mapito ukweli tuseme
Watoto wetu hawa wanatutia ubaya nawazazi wenzetu
Sasa hivyo mnavyoongea na kucheka si atakuja kujua kama sio wakweli na anaweza akazima simu
Well scripted.
Duuu! Kama maigizo