BINTI FORM 4 AACHA BARUA YENYE UJUMBE MZITO 'SOMA PEKE YAKO' - ATOROKA -FAMILIA YAHANGAIKA KUMTAFUTA
HTML-код
- Опубликовано: 3 апр 2024
- BINTI FORM 4 AACHA BARUA YENYE UJUMBE MZITO 'SOMA PEKE YAKO' - ATOROKA -FAMILIA YAHANGAIKA KUMTAFUTA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Mtoto wa mwenzio kazi sana kumlea,kila unacho fanya kibaya kwao yani mimi kilanga koma sirudii tena
Umeonaee yaani ni lawama tu
Huyu mama ana upeo wa mbali. She is very smart.
18yrs anajuwa anachofanya kabisa tena keshachezwa mwali atarudi akisha jifungua
😂😂😂😂 kwani anamimba
Mm huyu mm mlezi ananiumiza sana maana anaonekana kabisa alitaka kumpa mafundisho mema❤❤❤
Huyo mama anaonekana ni mwema sana sema kulea mtt wa mtu ni kaz sana
yaani mama mlezi ni mzuri mno jamani ana moyo wa utu kumlea mtoto Miaka mitatu mpaka form four
Maana kumlea mtoto wa mtu kuanzia miaka mi 3 mpaka unakua mkubwa si mchezo
Me ndo man najikatalia, akuh..
@@josephineokama2200yaani picha inayo onekana huyo mtoto ni mshenzi mno kiburi mno mungu atamzalilisha mno na yeye ni mwanamke atakuwa yatamkuta naye, mtoto shetani huyo mwacheni akatobwe mtaani Ili yakishamkuta ndio atatulia
@@ziadasalimu1730 alafu mama yake pia ni boya mtoto anamuuliza ulikua wapi anasema kakuta mama hayupo kalala kwa jirani yaani Mimi nguu wangu mguu wake mpka kwa jirani na viboko analamba eti mama akaridhika tu akatulia jamani
Zari ushungi umekupendeza mashaallah 💕👍
Anajiona amekua angekua amateswa angefikia umri alionao hanashukrani aende zake katafute maisha yake asichonganishe wazazi
Mtoto huyo shetani kabisa Malaya huyo mtoto Tena jeuri huyo kukaa na mtu hawezi
Awa watoto wa wanawake wengne ukiishi nao hata uwabebe mgongon utaonekana mgongo wako una misumari. Ata uwapende vip awa watoto utaonekana tu huwapendi. ivyo kila mama akiona mama wa kambo awez ishi na mtoto wake bas kwann mama umwache mtoto kwa mama mwingne??? pambana na mwanao
sio watoto wote, nime lelewa na mama yangu wa kambo, yule mwanamke ni zaidi ya mama alie nizaa.
Kweli tumelelewa na mama yetu wa kambo lakini mungu amrehem….. alikuwa ni mtu mzuri sana mungu amrehem amjalie jannat firdous ulya…. Allahuma ami.
@@shamzone388 mi pia namshukuru sana nilikaaa nae kwa kutulia na baada ya kumfaham tu baba angu nilimomba mama nikakae kwa baba na nikipendwa kama wanae had naolewa nimetoka kwa mama wa kambo. na wote walikuja harusin nikawatambulisha kama mama zangu
Sari vip mambo yule dd wa zanzibar aliezaa na mzungu kesi vip asant
Angekua mama muhongo basi alivyo ulizwa sofi ana boyfriend angesema ndio mladi kumkandia mtoto ila huyu mama kakataaa kasema hajui huyu dada anaonekana mtu poa sana tena sana mtoto wa miaka 3 kamlea mbaka 18 si mchezo
Mama anaonekana hakuwa na shida maskini
Zari kumbe mzuri
Unapendeza ukiwa ivyo ulivyovaa
Kapendeza sana sio akiwa anaweka kichwa wazi
dah wazaz wanasababisha matatizo sana ya kifamilia .kuachana kubaya sana
Daaah, da Zari nimekupenda bure ulivyo jistiri MashaaAllah🙏🙏🙏
Kweli sauti inazingua.
Na kina sophy tuna shida jamani?haya majina mlitupa ya nini?
Pole kipenz usiseme hivyo Mungu atakuvusha
Sio uwongo ni kweli mna mitihani sana
Hayo majina yanalaan
@@fatmaally7252
Sema wewe wajina
Acha nikae na mwanangu nitakacho kula mimi nayeye atakula
ndo inatakiwa ivyo unampa mwanamke mwingne mtoto akulelee wewe ukiwa wap
Yani ni mtihani mkubwa wallah
Kabisa wajina @@happybryce1269
Dada kanyosha maelezo fresh kabisa
Kulea mtoto wa mtu nikazi hata uwe nwema kiasi Gani Bado watasema unamtesa Bora ukae na wanao😢
Mhhh aise bint Hawa wanamitian Sana huyu mama malez Ni MTU powa sana SEMA kivumbi huyo mtoto
Huyu mama wa kambo anamapungufu yke , na katoto ndio kanamapungufu zaidi . mm na mama yangu wa kambo niliona kanizidi mapungufu nikagundua siwezani nikamkataa , nikajifunza kuishi kivyangu ni miaka sasa na ananitegemea saa hii na tupo sawa tu hamna tatzo nikiwa fresh namcheki nikiwa pabaya namwambia next time.
Mtoto hata akosee vipi usimnyime chakula,mama ninakuelewa sana ila hiyo adhabu ya kuwanyima chakula cha mchana ulikosea.
Huyo mama Hana shida shida mtoto
Huyo ni mpuuzi kabisa hana ata shukran
Mmh!! Kutowapa chakula watoto kwa ajili ya deni hii sio poa
Mama wa kambo ni mzuri tu MAMA mzazi anapotosha bint yake.
Hawa watoto wakulea wana vituko sana . Ukimlea vizuri anakuwa na mambo ya ajabu ajabu na ukiwa namtesa kanakuwa kapole Sijuwi wanataka nini
Hapana kwakweli kulea mtoto wa mwingine ni kazi sana.
Kwenye maelezo tu Sofia anaonekana amebeba ujauzito ndio maana hataki shule
Mbili mama yake mzazi anayajua mahusiano aliyonayo Sofia
Tatu huyo mtoto anahalibiwa na mama yake
Kama mmemcheza unyago ameenda kufanya practical.😂😂😂😂 Yupo anaikeshea huko.
Mmmhhh kazi iendelee
Huyu mwanamke aongea hamezi mate heeeeee
Mama mzazi ndio mshenzi wa washenzi ndio maana aliachwa na huyo baba ni mshenzi wa tabia kuna mawanawake hayafai ni makurumbembe na mtoto litabia la mamake haloo ningemnyuka akae sawa pumbavu
Lkn jamani kisaikolojia tu huyu mama anaonekana wamo na Ana mdomo wa kutosha tena anaonekana anasema uongo kujitetea tu hasemi ukweli
Kama unajua ukweli ita wakuhoji
WakinaSophy wanashida sana
Watoto wengi wakike ni wapuuzi hawaleleki mi mtu akinambia anamtoto ndo kashanikosa
Kwahiyo kama anamtoto akufiche aseme Hana mtoto? Jaribu kuwaza vizur
Mama wa Kambo Maneno Mengi sana ni shida
Age yake anayo yafanya ni sawa kabisaaa,Dunia itamfundisha
Ila baazi ya watoto wa kike wakianza kubarehe wanatabia za ajabu Kuna mtoto wa mjomba angu yaani alikua anamfanyia jeuli mpaka mama ake mzazi ukaangaka kapata mimba katulia Sasa analea shenzi
Mwananmke ukiachwa hachika yaani maanayake beba watoto wako wakumbatie naukubali matokeo jamani cha tuu nilee watoto wangu mwenyewe ili kuepusha lawama na matatizo
Angachagua moja nanyuka au aende kwa mamake bint kama huyo akiishi maisha aliichagua ni hasara ya wazazi sio wa kumuendekeza leeni kimayai ila mnalea mabomu yatakakayokuja kuwaangamiza😂
Mm nimelelewa na wamama wakambo kiukwel uyu mama ni hapana tena anavyoongea amenifanya nimkumbuke mamaangu wakambo mmoja ivi yn yupo km uyu alikua ana roho km ya huyu mm bana nawachukia wamama wa kambo kishenz yan uyu sijampenda ni muongo tu anaonekana anatunga 😏😏sisi tuliolelewa na wamama wakambo ndo tunaelewa kwakwel mxiiiiuuuu
Mmezingua upande wa sauti
Mama Shida, Mtoto Shida
Huyo kapata Bwana sisi tuliosoma Cuba tunaelewa.
Chezea pratiko wew
Na msikitikia nje huko kuna vijana wana upwiru ukikosea akikosea step atarudi na kibendi😢😢😢
Zari umependeza sana. Pia mama mlezi yuko vzr ki busara.hakuwa na ubaya kwa sophi.basi tu mtoto wa mwenzio habebeki hata umbebeje. Mama mzazi atakua anajua mwanae alipo hii ni njama ya kumkomoa mama mlezi na baba sophi.
Ungemsubiri babake arudi ndio be mimgukuxe
Tatizo ni mamake mzazi amtafute malaya mwenzie
Yuyo sophia kisha ujua ukubwa mwenyekuonja asali huchonga mzinga wamuache andelee na maisha yake anayo ya hitaji shule kisha ishindwa
Sharifa na Rose vio sari? 😊
Mbna hamsikikiiii kampuni kubwa hvo
Duh
sema kama mtoto sio wako kila anachokifanya ni kosa, mbona wakwako husemi, kwamba wako hajawah kukukosea😢
Hapo sasa
Anamsema sophia tu hapo ni kwenye camera ila mama nae anaongea sana hatuwezi jua ila angepatikana na sophia tungejua ukweli
Umenikumbusha kelezange na misitu zimepakana nilisoma hiyo shule
Yaani ukiishi na mbwa ni shida sn.
Kuishi na mtoto wa mtu yataka moyo wazazi jitahidi kulea watoto wenu wenyewe kuepusha lawama mimi siwezi kwa yaliyonikuta
Mwacheni huyo sofi akikua ataelewa yan dunia ya sasa bila mateso kuvumilia tu kila jambo na wakat wake siku mamake akifa huyo malezi atabaki kuwa mlez wake tu haina kukumbia
Staki mwanaume mwenye watoto 😂😂😂
Unachekesha omba mungu ukiolewa usiachike maana nao wanasema hawataki mlozaa
Watoto wa kambo kuwalea kwake uwe na moyo hata akinya kwenye sahani inabidi uridhike tu ukisema umwambie ukweli anakutangazia ubaya
Mtoto wa mtu sikio la mbwa
Soma barua wewe usiongee mambo ya kichwani mwako eboo...... Kama huna habari kausha hatutaki porojo na maandiko unayo mikononi
Yule sharfa ip ile kesi yake na yule dd wa kisambaa?
Mruguru plus mzaramo😂😂😂 weeeee patamu hapo
Huyu dada hajamtesa huyu mtoto, huyu binti ni jeuri na mama yake mzazi hajawajibika kulea mwanae na kuwaachia watu lawama
Kulea mtoto wa mtu puuuu
Yupo kwa jamaa
Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - = 👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪
Binti akiondok nyumbn cy wakumtfuta kbx kshchachaw n wnaume akipt mimb mwenyew tu atrd tu wazzi kuen na amn mmalizie Ramadhan mkisubiria Kula Iddy
Kwakwet mtoto wa mwenzio ni mtihani mimi yamemkuta ayo
Sari nipigie pkse
Muongo huyo wanawake ndiomaana mmeambiwa mtakuwa wengi moton wanawatesa watoto wakambo
jamani kulea mtoto wa mwenzako ni kazi hata umpe malezi gani ni lawama
Mama mlezi nae ana maneno ya nyodo kah hana brek ya maneno yakuongea kwenye interview mmhh kz ipo
Wewe nae una shida kaongea vibaya wapi?khaa
@@Louessentials Mm nina shida au ww wapi nimekwambia kaongea vibaya raaplay ukielewa comments sio kukurupuka usingizini
Na amejiachia anaona kama anapija story na shogaage apo wakati sheria iki mkomalia atalia
@@EddahBure-te7ftsheria!!!kwan kafanya nini kinyume na sheria??
@@joycemhana2018 unamfukuzaje mtoto wa mume wako baba ake akiwa safarini na mpaka sasa mtoto hajulikani alipo, ukiambiwa umekula njama na mtu utasemaje !?
Mimi nilikataa kulea mana wana vitabia vyaovyo sana mm stakii kabisa
Pole mama mlezi
Kama kashawahi kufumaniwa basi Kahifaziwa uyo anakula maisha
Kila anaeitwa mama alee watoto wake msiwape wenzio mizigo,
Ni mtihan wallah
ww unasema mama huyu, mm na jamaaa amezaaa na mwanamke mama mtoto anasumbua jamaaa kaamua kumsusa mtoto anasema hivi mama naye anasema lile akimwambia haya sikiliza ya mama yako akiharibika wanamletea yule jamaaa yaaan wanamuharibu mtoto akishaharibika mzigo analetewa jamaaa jamaaa kachoka kaachana na dogo wamama miyeyusho kinoma
Hajapotea huyo wamuache ale raha zake huko
angekua wakwako ungefukuza
Was it necessary kuweka introduction ndeeefu!?
Yaani malezi ni magum sanaaa jamani,, hasa kwa watoto wa kufikia,, ila Namshukuru sana Mungu, mie nimelea watoto watano na kwa uwezo wa mwenyezi Mungu wote wamevuka salama, na kwa sasa wana maisha yao,
Mushukuru Mungu kwakua uliweza
Hongera sana Mungu alisimama nawe.
Barikiwa mama
Ila ni kwa uwexo wa yeye Aliye mkuu wa vyote
Haikua kazi rahisi my ,ila kwa uwexo wa MUNGU nimeweza
wamama miyeyusho wanawajaza watoto maneno
Yani mimi siwezi olewa na mwanaume mwenyewe mtoto never 😮
Endelea kuchagua mwisho uwe km Diva ukaangukie pua kilingeni hakuna mtoto mdogo wakukuoa umri wako wote washazaa😂😂😂
@@Official83640 mahi mume nimaye na ninatamba naye
@@annamussa185 Sasa ulivyosema huwezi olewa kumbe ulitaka wakudanga nae
Ukiachika utajua umuhim wa wanaume wenye watt tema mate chini usijimalize hii dunia hujipangii history yako ya maisha
@@Chakol682 mwenye mtoto marufuku
Ukiamua kusoma barua soma yote sio kusema huwez kuimaliza kusoma mbwa ww
Tena😢
Eeeh! Makubwa.
Usitukane wenzio kwani unawalipa ww kipind huwenda na muda acha matusi
@@user-mw5xs2wx8n unayajua matus ww kama uyajui sema nkupe mfano wake
Shikamoo mama sophy
Sasa mbona mnasoma hadharani akati yeye kasema asome baba ake?
Mwacheni akarithi umalaya wa mamake,wakashee mume na mamake.Mbwa.
Usilolijuwa ni sawa na usiku wa giza
Uyu mama anaongea simple lkn hajui sheria ikimgeukia anafungwa bila chenga, ndo mana me najikatalia kukaa namtoto wa mtu bora nikae na wadogo zangu
Ni kweli lkn mama mwenyewe huyu anaonekana moto kiukweli
😂😂😂😂😂😂
@@Official83640 ukimsikiliza anavyoongea ana maneno Fulani ya nyodo mpaka apate MTU mwenye moyo wa kuvumilia,sasa unawanyima kula kisa walitumia hela je,hayo matumizi hayakutumika nyumbani kwako? Kwamba walichezea tu hela?
@@Official83640 nikimsikiliza kama na mume anamumudu kabisa ndo maana binti aliamua kumkasirikia baba yake maana alikuwa anaona kama hana msaada kwake kwa kukosa maamuzi
@@hawajohn749😅
Soma peke yako
Kula ugari na firigisi ni mateso
Kuishi na mtoto wa mtu kazi jmn
Uyu mama Ana malenzi mazuri tu una baya Dada umeongea ukweli
Some pekee Yako kwani ni wasia 😢
Huyo mtoto n jeuri wacha dunia itamfundsha
@@eestermos9933toto jinga hilo