Je! Kwa katiba ya Zanziba wanaliunganisha Taifa? Je! Kwa kupigiwa mizinga Rais wa Jamhuri na wa Zanzibar inaendama na katiba ya Jamhuri? Kuna mjinga yupi asiyeyaelewa hayo?
Sijui CCM walisomea chini ya miembe, wanashindwa kuyaona yote haya. Katiba ya 1977 iliyooza. Km tuna Rais asiye na utashi wa kufanyia kazi haya, lazima akapime ubongo. Wamekumbatia madaraka kwa madaraka ya kulimbikiza mali. Huu ni ulafi bila aibu mchana kweupe.
Wao it doesn't matter wamesomea wapi. Cha muhimu kwao ni matumbo yao tu. Mbona enzi ya mwenda zake waliikimvia nchi? If they think we are all fools ther are all wrong. We are not and let them be informed that the entire report of all what's happening is on the desk of the Holy Spirit. Just wait and see what's following. Epikedzo, Nuru and Dunamis will act accordingly
Zanzibar,nchi,Tena,itaendea,kua,nchi,daima
Hawa CCM ndiyo watugawa watanzania, Zanzibar mafuta na gesi bei iko chini Sana
Je! Kwa katiba ya Zanziba wanaliunganisha Taifa? Je! Kwa kupigiwa mizinga Rais wa Jamhuri na wa Zanzibar inaendama na katiba ya Jamhuri? Kuna mjinga yupi asiyeyaelewa hayo?
Tuna Rais asiyejua kuongoza kazi kujinufaisha yeye na family yake uyu kibaka Hatumtaki
Sijui CCM walisomea chini ya miembe, wanashindwa kuyaona yote haya. Katiba ya 1977 iliyooza. Km tuna Rais asiye na utashi wa kufanyia kazi haya, lazima akapime ubongo. Wamekumbatia madaraka kwa madaraka ya kulimbikiza mali. Huu ni ulafi bila aibu mchana kweupe.
Wao it doesn't matter wamesomea wapi. Cha muhimu kwao ni matumbo yao tu. Mbona enzi ya mwenda zake waliikimvia nchi? If they think we are all fools ther are all wrong. We are not and let them be informed that the entire report of all what's happening is on the desk of the Holy Spirit. Just wait and see what's following. Epikedzo, Nuru and Dunamis will act accordingly
Dokta slaa hata unguja ccm hawana wanachama ,wengi ni WAPINZANI