HOTUBA YA MAKAMU WA RAIS MEI MOSI, ATOA MAJIBU KUHUSU NYONGEZA ZA MISHAHARA, KIKOKOTOO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 27

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 3 месяца назад +3

    Braza bwana, anajitahidi sana. Ila kwa upole huu alionao naona ilifaa awe akihudumu kanisani! Hivi kwa tanzania ya leo ya povu la akina Mwabukusi, Lissu, Heche, Mdude nk. wewe unaongea kwa upole na muda wote ukicheza na maneno: nawaasa, nawaomba, wazembe wajitafakari, tume/bodi tusaidiane nk. "Timu inapoingiza uwanjani first eleven nawe timu shindani ingiza first eleven!"

  • @mashakathobias1958
    @mashakathobias1958 4 месяца назад +9

    Mkifika kwenye swala la kuongeza mishahara linaibuka swala la vita vya Urusi na Ukraine na Majanga mbona ziala za kwenda inje zinazoligalimu taifa fedha nyingi sana hazisitishwi kutokana na hayo majanga,na kwanini ninyi mnalipana mishahara ya juu na kuongezeana mishahara hiyo kila nyakati.

    • @hassan-sarumbo
      @hassan-sarumbo 4 месяца назад

      😂😂😂no comment hii nchi ukifatilia viongozi sana utateseka

    • @donaldbenedict5761
      @donaldbenedict5761 3 месяца назад

      Hawa watu hawana huruma na wafanyakazi wa nchi hii pale bungeni wamepitisha nyongeza ya posho kwa week &waume wa rais na mawaziri watanzania ccm wameshindwa kuleta maandeleo ya wananchi wake 😂😂😂😂

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 3 месяца назад

      Zanzibar wameongezewa elfu 50 ya nauli Tanzania bara wameongezewa wadudu wa arusha 😂😂😂😂

    • @MuhammadKarungu
      @MuhammadKarungu 3 месяца назад

      Vibarua wa halmashauri muwaangalie kwa jicho la tatu wanafanya kazi kubwa lkn maslahi ni madogo mno na bado hapohapo wananyanyasika kwann halmashauri zote zisiwe na kiwango kimoja cha malipo na tena yawe kwa wakati na kuwekwe mfumo mzuri wa mikataba yao

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 месяца назад +3

    Hotuba nzuri sana kwa Wananchi wote kutoka Serikali iliyoko Madarakani ❤

    • @MaarufuHussein
      @MaarufuHussein 4 месяца назад

      Nimeipenda sana hotuba hii. Naipongeza sana serikali ya awamu ya sita. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa!!

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b 3 месяца назад

    Mama tunakuomba utuangalie kwa jicho.la tatu sisi tulio staafu kwa kikokotoo hiki tumeumia tuna maisha magumu kuliko mkulima tumezeekea kazini na hatuna pa kwenda tusaidie mama

  • @CasmiryNikata
    @CasmiryNikata 3 месяца назад +1

    Hakuna sababu ya kuiongezea mishahara mijitu ambayo haipo tayari kupigania KATIBA mpya ya wananchi, Zanzibar wameongezwa eti huku bara vita ya urusi duuu!!! Safi sana.

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 3 месяца назад +1

      Zanzibar wameongezewa nauli kwa wafanyakazi Tanzania wameongezewa wadudu wa arusha 😂😂😂😂

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b 3 месяца назад

    Kikokotoo kiangalieni kwa upya tunakufa maisha magumu wastaafu tuliopitia humo ni maumivu makubwa

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b 3 месяца назад

    Kikokotoo ni maumivu makubwa watu wahuku chini tunatumia maisha magumu

  • @carenmselle6800
    @carenmselle6800 3 месяца назад +1

    Baba ss wa viwandani hatuonekani tunalipwa pesa ndogo hazikidhi mahitaji kabisa

  • @marymrema1907
    @marymrema1907 3 месяца назад +1

    Ngoja ninyamazeeee kwanza maana ndiyo maana mama hakuja😂😂😂😂

  • @deoprosper556
    @deoprosper556 3 месяца назад +2

    Mbona Mwinyi kaongeza elf 50 au vita hivi vyaathiri huku bara tu na mbona wao wanajiongezea

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 3 месяца назад

      Zanzibar elfu 50 ya nauli kwa wafanyakazi Tanzania bara wameongezewa wadudu wa arusha 😂😂😂

  • @mashakathobias1958
    @mashakathobias1958 4 месяца назад +2

    Hakuna hotuba hapo niubwenyenye tu.

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 3 месяца назад

    Kikokotoo Fumbo
    NHIF Jipu kubwa

  • @RebecaLesananda
    @RebecaLesananda 4 месяца назад +1

    Kwakweli serikali watazame swala la kikokotoo

  • @matokeomwinami3659
    @matokeomwinami3659 3 месяца назад

    Kikokotoo fumboooooo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 месяца назад

    Fisiyemu mmetuchosha San poropoganda zenu tunataka tume. Huru ya uchaguzi tutaipata kwa jasho na damu subirin muda utasema

  • @A.H619
    @A.H619 4 месяца назад

    Tuache siasa kwenye mambo ya kitaalamu 🙆

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад

    Mimi Niko ughaibuni mshahara unaongezeka kila mwaka ni haki yako kama mfanyakazi huko Tanzania mnapigwa hadithi tu

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 3 месяца назад

    🤔

  • @kevintruman9981
    @kevintruman9981 3 месяца назад

    Swali la msingi wanamfanyia kazi nani.?! ❌❌Je wafanyakazi ni wa serikalini tu? ❌

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q 3 месяца назад

    Ndio viongozi wetu hao akili zao zilipofikia tusiwalaumu . China inakua kila siku bila kuleta visingizio na wao ndio waliotafunwa na corona cc tumepewa viongozi wa maneno sio critical thinker au problem solver